RAIS ENG. HERSI ALIVYOWAFANYIA SURPRISE WANANCHI WA KYELA, MBEYA MBELE YA ALLY KAMWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 113

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 3 месяца назад +12

    Rais Wetu Wa Yanga Mungu Akulinde Na Kukubariki, Katika Majukumu Yako.🙏🙏🙏

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 3 месяца назад +20

    Hers mtu wa watu tunakupenda mwenyezi Mungu akubariki

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 3 месяца назад +10

    💛💚💛💚💛💚Yanga Africa Moto na moto bongisaaaa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 месяца назад +9

    Eng. Hersi Said mtu wa maana sana

  • @GidionGidion-v4k
    @GidionGidion-v4k 3 месяца назад +31

    Wa kwanza jaman naomben ata like 10

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 3 месяца назад +3

      Duuh! Zimezidi hongera Mwananchi mwenzangu

  • @JacklineMwaleleka
    @JacklineMwaleleka 3 месяца назад +11

    Jmn yanga mtaua watu....yan hapa mme wangu anataka kufa, nikimwangalia nachekea pemben

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 месяца назад +12

    Uyu jamaa ana karaha vibaya sanaaa🤣🤣🤣🤣🟢🟡🟢

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 3 месяца назад +8

    yanga safiiiiii

  • @JenifaAnthony
    @JenifaAnthony 3 месяца назад +9

    Jaman wanayanga wote shusha like kama zote kama unaipendaaaaa

  • @prosperjohneriyo2068
    @prosperjohneriyo2068 3 месяца назад +8

    Hongereni kwa 600k

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 3 месяца назад

      Tuendelee kusubscribe wananchi

  • @mntambaprimary1326
    @mntambaprimary1326 3 месяца назад +6

    Ila Ally Kamwe upo vizuri sanaaaaaa
    Ahsante Eng.Hersi,u deserve ma brother

  • @Isihak
    @Isihak 3 месяца назад +9

    Wananchiiiiiiiiiiii iiiiiiiiii

  • @DenisJames-k5l
    @DenisJames-k5l 3 месяца назад +9

    Ally kamwe nakukubali

  • @MartinWekesa-c2x
    @MartinWekesa-c2x 3 месяца назад +2

    Mwenye kiti la semaji....upo vizuri

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 месяца назад

    ALLY is clever, SMART, a fab salesman, articulate,knowledgeable,HARD working,creative, name it!

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 3 месяца назад +2

    Kila la Kheri Msemaji wa Yanga S.C Kwa uhamasishaji wa kutafuta Wanachama wapya na kuhimiza Ulipaji Ada. "Daima Mbele Nyuma Mwiko".

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 3 месяца назад +6

    Safi sana

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 3 месяца назад +4

    George mpole huyo❤❤❤

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 месяца назад +2

    Mungu atujarie furaha iendelee kudumu Ndani ya team yetu

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 3 месяца назад +3

    Allaah Akbar

  • @ismailkiwawas5982
    @ismailkiwawas5982 3 месяца назад +1

    Daaah❤akija Dube kitu yaa maaana Sana Ile mashine

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 3 месяца назад +1

    Pamoja Sana Uyo ni George Mpoleeeeee

  • @MonahMosafiri
    @MonahMosafiri 3 месяца назад +2

    💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @samwelmahesha4986
    @samwelmahesha4986 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yanga pow sana dubeeee

  • @IssahMwakimbwala
    @IssahMwakimbwala 3 месяца назад +1

    Nilicho frahii jana nimepata kadi ya yanga💚💚💚💚💚💚

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 3 месяца назад

    Yanga bingwaaaaa❤❤

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 месяца назад +2

    Ada zilipwe vizuri jamani wananchi

  • @Michellenestory
    @Michellenestory 3 месяца назад +8

    Yanga hapa tuuu

  • @goodluckKirenga
    @goodluckKirenga 3 месяца назад +3

    Yangaaaaa

  • @emmanuelfrance
    @emmanuelfrance 3 месяца назад +10

    Uko sawa semaji la caf

  • @comfortkitiwi2879
    @comfortkitiwi2879 3 месяца назад +3

    Karibuni Arusha yenye Raha.

  • @hassanswale
    @hassanswale 3 месяца назад +2

    Tunaomba tukilipa ada mfumo usome huyu mlipa ada anatokea wapi kusudi kuweka ushindani wa Kanda na mikoa na chachu zaidi

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      Very good idea! Mkoa unaoshinda ndo inaenda YANGA DAY

  • @Mrggorro
    @Mrggorro 3 месяца назад +2

    Yanga daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂Jamaniii mbona raha tuu 😂😂😂

  • @mariadamas6445
    @mariadamas6445 2 месяца назад

    Rais wa Young Africans Eng.Haris ni mwenye maono,pia ana Hekima/Maarifa kupita kawaida.Ee mwenyezi MUNGU milinde na muongezee Hekima ili masiku huu team ifanye makubwa zaidi, ishangaze Africa yote na Dunia ikibidi......!!!🙏🙏🙏🙏🙏

    • @mariadamas6445
      @mariadamas6445 2 месяца назад

      Marekebisho kidogo ,neno ili masiku isomeke msimu. Sorry 4 that.!

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 3 месяца назад +8

    600K

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 3 месяца назад +1

    Wakitoa THANK YOU. Sisi Tunasema VERY MUTCH.

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 3 месяца назад +5

    Woyoooo

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 3 месяца назад

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote

  • @DieudonneNdiho-yf5sq
    @DieudonneNdiho-yf5sq 3 месяца назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @AchileusNshekanabo
    @AchileusNshekanabo 3 месяца назад +4

    Hahahahaha eng. Kaz kwako

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 3 месяца назад +2

    hurray

  • @Cathyson469
    @Cathyson469 3 месяца назад +2

    Mpigaji picha awe anazungusha kamera na mashabiki waonekane badala ya kujikita kwa viongozi tu.

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 месяца назад +1

    Club above all 🙏🙏🙏

  • @MaliaJastine
    @MaliaJastine 2 месяца назад

    Wao

  • @godfreyelibarikilaizer6178
    @godfreyelibarikilaizer6178 3 месяца назад +2

    Mateso hayatakoma makolo wasajili wa michongo lakini tabu ya msimu ujao ni maumivu zaidi hawataamini mafuriko ya machozi yanavyoenda kuwapata

  • @Naxxmassawe
    @Naxxmassawe 3 месяца назад +4

    Sawa mkali

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnaga 3 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉💚💚💛💛💛💯

  • @shukranmwalembe3926
    @shukranmwalembe3926 3 месяца назад +2

    Godfrey manyasii huyooo

  • @JitihadiJitihadi
    @JitihadiJitihadi 3 месяца назад +1

    Tunakubali sana

  • @godyshayo9984
    @godyshayo9984 3 месяца назад +2

    Dubeeeeee⚽️⚽️⚽️⚽️

  • @ArafatiMohamed
    @ArafatiMohamed 3 месяца назад +6

    Kamwe😂

  • @MobileMobigo2
    @MobileMobigo2 3 месяца назад +2

    Oyeee

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 2 месяца назад

    Kwao Job

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 2 месяца назад

    💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛🖤🖤🖤🖤

  • @sundayseleman9677
    @sundayseleman9677 3 месяца назад +1

    Yanga sc ni raha sana

  • @gideonchipepo8405
    @gideonchipepo8405 3 месяца назад +2

    Jamani tulipe ada zetu

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 3 месяца назад

    George mpole uyooo

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 3 месяца назад +1

    🎉🎉🎉

  • @JasmineSelemani-c2w
    @JasmineSelemani-c2w 3 месяца назад +2

    weeeeee😮😅

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 3 месяца назад +4

    YANGA hatariiii 😂😂😂😂

  • @DottoClement-r7b
    @DottoClement-r7b 3 месяца назад

    Hongelasana msemaji wetu

  • @TrevorTheTraveller
    @TrevorTheTraveller 3 месяца назад +1

    Aziz andambwile

  • @BenardMwitula-s9e
    @BenardMwitula-s9e 3 месяца назад +2

    Eng.we ni mtu na kitu

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 3 месяца назад +4

    Ally kamwe wewe ni kiboko ya makolo nakupa maua yako

  • @Ba63828
    @Ba63828 3 месяца назад +3

    YANGA MBEYA NOMA WALA NYIE PALE MAKOLO MSIMBAZI MSIPIME

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 3 месяца назад +1

    GEORGE MPOLE huyo mzaliwa wa MBEYA alie sajiliwa

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 3 месяца назад

    Yanga BINGWA 🏟 🔰💯🫡

  • @LuvinusKilumile
    @LuvinusKilumile 3 месяца назад +2

    Ahadi imetimia

  • @StadiusBedius-p8s
    @StadiusBedius-p8s 3 месяца назад +2

    Watasubiri sana

  • @saidrajab3808
    @saidrajab3808 3 месяца назад

    George Mpole

  • @IsackMgalh
    @IsackMgalh 2 месяца назад

    Kalibu dube yanga

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 3 месяца назад

    Mpole uyo

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 3 месяца назад

    🎉

  • @PendoCharles-q3z
    @PendoCharles-q3z 3 месяца назад

    Jamani mbn tumekuwa Kama waokota makopo tunachukuwa tu skirepa

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 месяца назад +1

    Mbangula atawamaliza mwaka huu.

  • @AbdulrahmanAden
    @AbdulrahmanAden 3 месяца назад

    Mbeya

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 3 месяца назад +1

    Shikamoo Yanga 😂😂

  • @SmartTz-y5z
    @SmartTz-y5z 3 месяца назад +2

    Ss yanga ninomasan

  • @GodwinMwambeleko-xr5nm
    @GodwinMwambeleko-xr5nm 3 месяца назад

    Kwa ubora wa timu yetu ya yanga ulivyo wananchi tumekua wafuatiliaji wakubwa sana wa timu yetu katika mitandao, kwa Hali hiyo wamejitokeza wapigaji wametengeneza group zihusuzo yanga kwakutaka michango, ombi kwa klabu IKIWA Kuna group za klabu zinazotambulika, wananchi tupewe maelekezo, maana baada ya mashabiki wa yanga kuchangia yanga wanachangia wapigaji!!!? Tunapoteza mapato ya klabu yetu, mpira pesa tutasajiri yoyote Toka ulaya, WANANCHI DAIMA MBELE NYUMA MAKOLO

  • @aminahdaniel2756
    @aminahdaniel2756 3 месяца назад +2

    Mtasingwa

    • @moibts
      @moibts 2 месяца назад

      uko sahihi kabisa

  • @rinusdaniel9634
    @rinusdaniel9634 3 месяца назад +1

    🎉🎉😂

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 2 месяца назад

    MIMI NAITWA FAMA MTANZANIA NAISHI MIAMI SASA TIMUYANGU YANGA MNAHARIBU KUWANZA KUNDAGAYA WANACHAMA MEWAPA UHAKIKA KWA AZIZ KI KUWA KESHASANI SASA ANAONDOKA WANACHAMA WATAKUWA HAWAIYAMINI TIMUYAO

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 3 месяца назад +2

    Mbangula Nini au nimekosea?

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 3 месяца назад

    Wenzenu wakikaa kimya ni Ungwana sana! Tunahemu Uzalendo wa Nchi yetu! Wewe tumekungua ni kibaraka mkubwa wa wapinzanu wa Amani,Utulivu na mshikamano wa mtanzania halisia! SaSa huku Mbeya- Kyela ndo KWA waajiri wenu!

  • @MSULUTIPRIMARYSCHOOL-m8p
    @MSULUTIPRIMARYSCHOOL-m8p 3 месяца назад +1

    Hakuna mchezaji pale ,

  • @lenardmagusu2210
    @lenardmagusu2210 2 месяца назад

    HamisiMadoshi

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 3 месяца назад

    😂😂😂😂sio tu kunywa chai mpaka mswaki wame saau kupiga 😂

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 3 месяца назад

    Duuu

  • @josephsamwel2845
    @josephsamwel2845 3 месяца назад

    Subiraga ww ndo mjingq

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 месяца назад +4

    Kamwe tuletee mchezaji bc

  • @Nope6e07
    @Nope6e07 3 месяца назад +2

    DUBE😂😂😂😂😂😂

  • @YonaKigawa
    @YonaKigawa 3 месяца назад +1

    My wet. Alikula 7

    • @YonaKigawa
      @YonaKigawa 3 месяца назад +1

      My wetu alikula 7

  • @RaphaeliAdamu
    @RaphaeliAdamu 3 месяца назад

    Haaaa

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 3 месяца назад +1

    Kama ni george mpole mmefeli kiukweli,huko congo alikuwa. Benchi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 3 месяца назад

      Kwani nani kakwambia ni George Mpole ndugu yangu

    • @majutojackson5718
      @majutojackson5718 3 месяца назад

      hata Yanga atakaa benchi

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 3 месяца назад +1

    Acha Ujinga wewe ALLY KAMWE kinyago tu wewe! Wenzenu tumeamua kuwabeba tu! Pacome,Azizi K tumewajiri SsC ILI wawafikishe huko CAF bado mnajishangaashangaa kama madada poa tu! Unajishaua tu!

    • @othmanali7408
      @othmanali7408 3 месяца назад

      Unateseka ukiwa wapi kwani ?

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      Jisikilize,utasikia ulivyo mjinga! Unatafuta nini hapa by the way?? Utakuta na pressure!

  • @Isihak
    @Isihak 3 месяца назад +7

    Wananchiiiiiiiiiii iiiiiiiiii

  • @StadiusBedius-p8s
    @StadiusBedius-p8s 3 месяца назад +2

    Daima mbele nyuma mwiko