ALI KAMWE ATEMA NONDO KUHUSU UTABIRI WAKE /JE ALIONA NINI KWENYE MECHI ZA MTANI?/MSIKIE HAPA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 248

  • @Dejacofx6
    @Dejacofx6 Час назад +24

    Nimesoma comment nyingi za hii clip nimegundua sisi Young Africa tunaupendo Sana na tunajua kuvitunza vya kwetu congratulations Ally kamwe with all Young Africa management and leadership all might God may protect our dreams

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 2 часа назад +28

    Mwenyekiti ni mmoja tuuu TANZNIA na anapatikana YANGA 💛💚💛💚💛🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥

  • @godwingobe1887
    @godwingobe1887 2 часа назад +28

    Unajua sana kuelimisha wasemaji , kitaaaalamu zaidi congratulations

  • @TTt-vi2ks
    @TTt-vi2ks 2 часа назад +21

    Yanga bingwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 2 часа назад +17

    Oyayyyy raha sana tabu iko palepale daima mbele

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 2 часа назад +29

    Bro safi sana Ali kamwe unakili sana mimi wana yanga Leo nimetowa dua nzito inshallah yanga bingwa tena tena 💓💓💓

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 2 часа назад +26

    Mashaaalah mungu akulinde na mahasidi na akujaalie afya njema ALLY KAMWE 💚💛💚💛💚 NIPO OMAN NAKUKUBALI SANA 💛💚💛💚

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 2 часа назад +1

      Oman sehemu gani wee Faizaa nikutafute

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Час назад

      ​@@joojombi2341wepambana na makahaba wa Dar mwache Faiza wa watu

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm 2 часа назад +10

    Ally kamwe anajua mpira kwel kwel proud of you bro

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 2 часа назад +87

    Tunaee mkubali semaji letu tujuwane hapa semaji kiboko ya makolo.fc

    • @abubakaliyahaya2968
      @abubakaliyahaya2968 Час назад

      Semaji la cuf

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb Час назад

      😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 ila Ali kamwe jamani yupo kama mganga mjue😮😮😮😮
      Hata mechi za Yanga kama hajapiga nazo kelele sana Yanga hawachezi vizuri sana
      Ila zile anapiga nazo kelele Kwa kujiamini hakika tunapasua
      Maua Yako semaji la CUF wanayanga tunakupenda.

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 49 минут назад +3

    MUNGU ni mwema hongera Sana Msemaji kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @Mrkigoma
    @Mrkigoma 2 часа назад +14

    Mapema sana nishatia team

  • @Nope6e07
    @Nope6e07 Час назад +7

    Shukran kamwe, shukran hersi, shukran GSM

  • @MariamZanzibari
    @MariamZanzibari 2 часа назад +22

    Aliy kamwe ni kitukuu cha mtume anajuwa kuchambuwa❤❤❤

  • @KhamisiKareem
    @KhamisiKareem 2 часа назад +8

    Ally kamwe saf sana aisee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 2 часа назад +25

    Mwenyekiti anajipakulia minyama😂😂😂😂😂

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Час назад

      😂😂😂 Ajiaribii kabisaa " biriani Tonge nyama sio

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Час назад +6

    Safi sana Afisa habari Makolo mdomo umewakata

  • @Saidesonspecial
    @Saidesonspecial 2 часа назад +24

    Nikisema huyu jamaa anajua mpira mnabisha😂😂

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge Час назад +6

    Semaji hongera 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @marthapaulofaida2785
    @marthapaulofaida2785 Час назад +5

    ✅💚💚💚 yanga oyeee

  • @KabwacheJr-qp7hn
    @KabwacheJr-qp7hn 2 часа назад +9

    Huyu jamaa akoseagi cjui kwann maana sio mara moja😂😂😂

  • @AshaAlly-u1f
    @AshaAlly-u1f Час назад +5

    Mungu akulinde jembe retu

  • @aminasogo5780
    @aminasogo5780 Час назад +4

    Safi semaji mngu akulinde ww viongozi wetu wachezaji wetu

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 Час назад +4

    Semaji letu Ally Kamwe🎉🎉🎉🎉🎉

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Час назад +8

    Pia dube na mastriker wetu wote na wachezaji wajitahidi sana kumcha Mungu wao kwa Kila Imani zao kama dube Bado hayupo sawa akifunga ata goli Moja tu confidence itarudi

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb 38 минут назад +1

      Umenena kweli kabisa
      Bila maombi Imani Sala na kumtumaini MUNGU na ibada kipaji kitasua .wachezaji wasali sanaaaaaa
      Ibada sana
      Sio kuwa hawana Imani ila iwe mara dufu.tunawapenda sana wachezaji wetu wa Yanga❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @simonsangu6040
    @simonsangu6040 2 часа назад +10

    Mungu azd kua nawe daima Ali Kamwe..una uwezo mkubwa saaaaana

  • @PhilipoMwesongo
    @PhilipoMwesongo 2 часа назад +7

    ❤❤❤❤❤ Young African,s

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 2 часа назад +8

    Allaah Akbar

  • @KareemHuseen-o6m
    @KareemHuseen-o6m 2 часа назад +6

    Kwelii😮😮😮😮 kabisa pmj san

  • @hafia.056
    @hafia.056 54 минуты назад +3

    One billion off yanga Africans jiiTeam kubwa let's me saying something from you guys good evening 🙏

  • @saidnachonde2720
    @saidnachonde2720 2 часа назад +4

    Semaji la kimataifa 💚💛🖤💚💛🖤

  • @MussaMlowe-w5g
    @MussaMlowe-w5g 2 часа назад +4

    Yanga bigwa ❤❤❤

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 2 часа назад +14

    Hahahahaha semaji ana doko hakika idara yetu ya habari nyinyi ni noma kbs

  • @mashakalonka7767
    @mashakalonka7767 18 минут назад

    Ally Kamwe you are the best my young brother!,a real visionary spoken person!. Congratulations 👏.

  • @rashidnzunda
    @rashidnzunda 2 часа назад +3

    Umetisha

  • @Dejacofx6
    @Dejacofx6 Час назад +3

    He I very smart respect

  • @KingAmos-il6ce
    @KingAmos-il6ce Час назад +4

    Gamond nimegundua ana akili aliwajaza wakajaa mechi zake za mwanzo alishanda magori machache wao wakapata kichwa leo kimewalamba

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 2 часа назад +4

    Ukweli ni kuwa wasingekuwa marefa kolo wangekuwa wamepoteza alama 5. Wangesuluhu na Dodoma na leo wangedungwa.

  • @KhanTronix
    @KhanTronix Час назад +5

    Semaji tunae na tunatamba nae 🎉

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 2 часа назад +8

    Mim sishangai utanili wake kwakua mbali na utabili nimchambuzi wa soka🎉🎉🎉

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 43 минуты назад

    Mashaallah Babaa zidisha Imani na Ibada utafika mbali Inshaallah

  • @josephlumwecha
    @josephlumwecha Час назад +3

    Ulinzi inahitajika sana kwa semaji na mwenye kiti ww semaji barani Afrika

  • @AlexKaaya-k2x
    @AlexKaaya-k2x Час назад +3

    Pia ulitabiri kwamba saidoo hatamaliza ligi akafikisha goli 5 akiwa Simba na ukasema ikitokea ivo tukuite ASHURAAA

  • @DenisMhema-sr9zy
    @DenisMhema-sr9zy 2 часа назад +4

    Huyu ukiacha kuwa msemaji pia n mchambuz,pia n kocha that's why sio wapiga kelele

  • @rutaalistides7353
    @rutaalistides7353 2 часа назад +4

    Jamani
    Alli
    Natamani.kukuona.nikukumbatie❤❤❤❤

  • @HemedMohamed-i7w
    @HemedMohamed-i7w 21 минуту назад +1

    Mshauri pacoume ache kucheza ameangalia chini awaone wenzake mda sahihi atakua bora sana

  • @TwahaAliMtumbi
    @TwahaAliMtumbi 2 часа назад +3

    Bw mdogo kamwe hongera

  • @hafia.056
    @hafia.056 Час назад +2

    Yanga Africans oyeee oyeee hayaa Twendeee kazi wananchi eee

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 27 минут назад +1

    Ila tusifatilie sana ya makolo tuwe tunajijenga wenyewe hata kama wanashinda au wasiposhinda 🎉🎉🎉maua yako semaji

  • @alexoswald1725
    @alexoswald1725 2 часа назад +2

    Power of God live in Jesus name 🙏

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 2 часа назад +2

    Kamwe unatisha. Huwa nakufuatilia sana yale unayoongea, mara nyingi ukisema vinatokea kweli.

  • @emanuelyisraelshimba8672
    @emanuelyisraelshimba8672 2 часа назад +1

    Fantastic Sana

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 часа назад +1

    Akhui Ally upo vizuri mola akukinge na maasidi wenye shari nawee na club ya Wananchi

  • @ashiraf997
    @ashiraf997 2 часа назад +3

    Dahhhhhhhhhh😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y Час назад +3

    😅😅😅😅😅😅makoroooo bwanaaa yaniii kipaaa yureee anafananishwaa naaa diaraaa kweriii kwaamashutiii yaree

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 2 часа назад +2

    Ally Kamwe pamoja na kuwatabiria makolo imetokea leo big up.
    Ila hata wewe ninakuomba usiongee matokeo ya timu yetu ya YANGA na kusema itafunga magoli mangapi kabla ya kucheza.Tuwape moyo wachezaji kwa kila mchezo bila ya kujali timiu dhaifu au ngumu.
    KUKAA KIMYA NAYO NI MAJIBU MAZURI SANA.
    YANGA MBELE DAIMA,NYUMA MWIKO❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.

  • @ShamiruYusuphu
    @ShamiruYusuphu Час назад +2

    'unajua kaka 🎉

  • @maikoatufigwegemwakapoja8709
    @maikoatufigwegemwakapoja8709 2 часа назад +6

    💚💚💚💚💛💛💛💛

  • @AbelyMwaipopo-k7g
    @AbelyMwaipopo-k7g Час назад +2

    Dah mbonge la msemaji yanga noma

  • @ElishaKitomari-uz3on
    @ElishaKitomari-uz3on Час назад +2

    Hii ndio yanga bwan alaaaaa

  • @LeonardPhilimon-p2u
    @LeonardPhilimon-p2u 2 часа назад +3

    Kwenye utabiri we nouma semaji mala mala zote unasemaga zote

  • @EmanuelMiyonjo
    @EmanuelMiyonjo 2 часа назад

    Mwezi wa kuwaziba midomo
    💚💚💚💛💛💛🔥🔥🔥

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan Час назад +2

    Ali muambieni pacome awache kulewa sifa tunahitaji ubingwa Tena awache kuchezea mpira atoe mapasi kwa wenzake

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Минуту назад

    #SEMAJI Huna Bayaaaa 🔥💥💯💚💛🧡 MTU wa Maana Kabisa

  • @AdolophinaShawa-pd8yo
    @AdolophinaShawa-pd8yo 2 часа назад

    More love for kamwe❤❤❤

  • @RugoBike
    @RugoBike Час назад +3

    Kamwe is better

  • @michaelwilson679
    @michaelwilson679 47 минут назад +1

    MND Mamlaka ya Nongwa Duniani 🤣🤣🤣ALLY KAMWE

  • @vincentkatonga6985
    @vincentkatonga6985 2 часа назад +1

    sana semaji la world cup mwenyeket wa wasemaji 😅😅😅❤❤❤❤

  • @jerrymlay4189
    @jerrymlay4189 Час назад +1

    Kamwe mitano tena 🔥🔥🔥

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 2 часа назад +2

    Mm nmefurahi saaaaanaaaaa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 часа назад +3

    Kumekuucha, kumekuucha...🤣🤣🤣

  • @IssaMbilikira-t4x
    @IssaMbilikira-t4x Час назад +1

    Duuuuuh Aiseeeee😮

  • @Gamba177
    @Gamba177 Час назад +2

    Tunamjuwa huyo Ali Kamwe choko bado mtoto si rizki, kwanza tabiri mumeo ni nani mbona unaficha ?????

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 34 минуты назад

    Mmmh umetisha sana kijana 💚💚💚💚💚

  • @gervaslukaya
    @gervaslukaya 2 часа назад +2

    Uyu jamaa anamaono hata mechi ya kengold alisema mechi ngumu na kweli ikawa ngumu.akatabili na kmc akasema lazima afungwe leo yanatokea

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 30 минут назад

    Nakukubali sana Ally Kamwe

  • @gofrnIsmail
    @gofrnIsmail 2 часа назад +2

    Congratulations to you bro

  • @masoudmongomongo244
    @masoudmongomongo244 Час назад +1

    Yale makuli leo yamenyamaza s8ndano na uzi vimeanza kufanya kazi shwaini😅😅😅😅😅😅

  • @petromathayo9214
    @petromathayo9214 Час назад

    Asante msemaji la mpira

  • @sebastianjosephat8852
    @sebastianjosephat8852 Час назад

    Hongela Dana kwautabili

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 55 минут назад +2

    Ata leo wamepeewa penati ya mchongo.

  • @LUKASNGOMBANIZA
    @LUKASNGOMBANIZA 52 минуты назад

    God bless too ally kamwe.

  • @Josph-t4c
    @Josph-t4c Час назад +2

    Msemaji tunaye na tunatambanaye

  • @MpalaNoah
    @MpalaNoah 2 часа назад +1

    Thanks for the prediction 😂😂😂😂😂

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 2 часа назад +1

    Hiyo Alisema Hata Mchome Kuhusu Simba Bado Na Hitoshinda Mechi Tano

  • @UmmyHamisi-ru2rw
    @UmmyHamisi-ru2rw 2 часа назад +1

    Mwenyekiti ❤❤

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 2 часа назад +3

    Maasha allah

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Час назад +1

    😂😂😂😂uyu alikamwe noma sana na walabu ulisema

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE 2 часа назад +2

    Aliy anajuwa anajuwatena

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 Час назад

    Mashaallah

  • @saidcisse8700
    @saidcisse8700 Час назад +1

    Mwenyekiti anajipakulia miyamaa 😂😂

  • @FadigaObet
    @FadigaObet 2 часа назад +2

    Uyu jamaa nimchambuz hila sio msemaj ndio maha uwa anajua tim iko vp na inacheza vp

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 26 минут назад

    Good!!!!!

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Час назад +1

    Alikamwe kiukweli unashindikana akili nyingi sana tunajivunia kua na msemaji kama wewe 🎉🎉🎉chukua maua yako sio kama yule wa cheka tu

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw Час назад +1

    Ila semaji😂🔥

  • @KevinPhilberth
    @KevinPhilberth Час назад +1

    Kuwa mwenyekiti wa wasemaji sio mchezo mpaka uwe na kipawaa

  • @SesiliaLaga
    @SesiliaLaga 2 часа назад

    👏semaji linalojiamini

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 Час назад

    Alikamwe ❤❤❤

  • @AminaKuffa
    @AminaKuffa 2 часа назад

    Semaji la Dunia Hilo pendaaaa sanaaa

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 2 часа назад +1

    😂😂😂ila msemaji wetu hv najiuliza imekuaje 😂

  • @KhamisiKareem
    @KhamisiKareem 2 часа назад +1

    Mafutaa yameanza ujitenga na mafuutaa 😂😂😂😂😂😂😂