Nimesoma comment nyingi za hii clip nimegundua sisi Young Africa tunaupendo Sana na tunajua kuvitunza vya kwetu congratulations Ally kamwe with all Young Africa management and leadership all might God may protect our dreams
😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 ila Ali kamwe jamani yupo kama mganga mjue😮😮😮😮 Hata mechi za Yanga kama hajapiga nazo kelele sana Yanga hawachezi vizuri sana Ila zile anapiga nazo kelele Kwa kujiamini hakika tunapasua Maua Yako semaji la CUF wanayanga tunakupenda.
Pia dube na mastriker wetu wote na wachezaji wajitahidi sana kumcha Mungu wao kwa Kila Imani zao kama dube Bado hayupo sawa akifunga ata goli Moja tu confidence itarudi
Umenena kweli kabisa Bila maombi Imani Sala na kumtumaini MUNGU na ibada kipaji kitasua .wachezaji wasali sanaaaaaa Ibada sana Sio kuwa hawana Imani ila iwe mara dufu.tunawapenda sana wachezaji wetu wa Yanga❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ally Kamwe pamoja na kuwatabiria makolo imetokea leo big up. Ila hata wewe ninakuomba usiongee matokeo ya timu yetu ya YANGA na kusema itafunga magoli mangapi kabla ya kucheza.Tuwape moyo wachezaji kwa kila mchezo bila ya kujali timiu dhaifu au ngumu. KUKAA KIMYA NAYO NI MAJIBU MAZURI SANA. YANGA MBELE DAIMA,NYUMA MWIKO❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
Nimesoma comment nyingi za hii clip nimegundua sisi Young Africa tunaupendo Sana na tunajua kuvitunza vya kwetu congratulations Ally kamwe with all Young Africa management and leadership all might God may protect our dreams
Mwenyekiti ni mmoja tuuu TANZNIA na anapatikana YANGA 💛💚💛💚💛🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
Kweli❤
Ally kamwe wetu
Unajua sana kuelimisha wasemaji , kitaaaalamu zaidi congratulations
Yanga bingwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Oyayyyy raha sana tabu iko palepale daima mbele
Bro safi sana Ali kamwe unakili sana mimi wana yanga Leo nimetowa dua nzito inshallah yanga bingwa tena tena 💓💓💓
Mashaaalah mungu akulinde na mahasidi na akujaalie afya njema ALLY KAMWE 💚💛💚💛💚 NIPO OMAN NAKUKUBALI SANA 💛💚💛💚
Oman sehemu gani wee Faizaa nikutafute
@@joojombi2341wepambana na makahaba wa Dar mwache Faiza wa watu
Ally kamwe anajua mpira kwel kwel proud of you bro
Tunaee mkubali semaji letu tujuwane hapa semaji kiboko ya makolo.fc
Semaji la cuf
😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 ila Ali kamwe jamani yupo kama mganga mjue😮😮😮😮
Hata mechi za Yanga kama hajapiga nazo kelele sana Yanga hawachezi vizuri sana
Ila zile anapiga nazo kelele Kwa kujiamini hakika tunapasua
Maua Yako semaji la CUF wanayanga tunakupenda.
MUNGU ni mwema hongera Sana Msemaji kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
Mapema sana nishatia team
Shukran kamwe, shukran hersi, shukran GSM
Aliy kamwe ni kitukuu cha mtume anajuwa kuchambuwa❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂
Ally kamwe saf sana aisee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwenyekiti anajipakulia minyama😂😂😂😂😂
😂😂😂 Ajiaribii kabisaa " biriani Tonge nyama sio
Safi sana Afisa habari Makolo mdomo umewakata
Nikisema huyu jamaa anajua mpira mnabisha😂😂
Semaji hongera 🎉🎉🎉🎉🎉
✅💚💚💚 yanga oyeee
Huyu jamaa akoseagi cjui kwann maana sio mara moja😂😂😂
Mungu akulinde jembe retu
Safi semaji mngu akulinde ww viongozi wetu wachezaji wetu
Semaji letu Ally Kamwe🎉🎉🎉🎉🎉
Pia dube na mastriker wetu wote na wachezaji wajitahidi sana kumcha Mungu wao kwa Kila Imani zao kama dube Bado hayupo sawa akifunga ata goli Moja tu confidence itarudi
Umenena kweli kabisa
Bila maombi Imani Sala na kumtumaini MUNGU na ibada kipaji kitasua .wachezaji wasali sanaaaaaa
Ibada sana
Sio kuwa hawana Imani ila iwe mara dufu.tunawapenda sana wachezaji wetu wa Yanga❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu azd kua nawe daima Ali Kamwe..una uwezo mkubwa saaaaana
❤❤❤❤❤ Young African,s
Allaah Akbar
Kwelii😮😮😮😮 kabisa pmj san
One billion off yanga Africans jiiTeam kubwa let's me saying something from you guys good evening 🙏
Semaji la kimataifa 💚💛🖤💚💛🖤
Yanga bigwa ❤❤❤
Hahahahaha semaji ana doko hakika idara yetu ya habari nyinyi ni noma kbs
Ally Kamwe you are the best my young brother!,a real visionary spoken person!. Congratulations 👏.
Umetisha
He I very smart respect
Gamond nimegundua ana akili aliwajaza wakajaa mechi zake za mwanzo alishanda magori machache wao wakapata kichwa leo kimewalamba
Ukweli ni kuwa wasingekuwa marefa kolo wangekuwa wamepoteza alama 5. Wangesuluhu na Dodoma na leo wangedungwa.
Semaji tunae na tunatamba nae 🎉
Mim sishangai utanili wake kwakua mbali na utabili nimchambuzi wa soka🎉🎉🎉
Mashaallah Babaa zidisha Imani na Ibada utafika mbali Inshaallah
Ulinzi inahitajika sana kwa semaji na mwenye kiti ww semaji barani Afrika
Pia ulitabiri kwamba saidoo hatamaliza ligi akafikisha goli 5 akiwa Simba na ukasema ikitokea ivo tukuite ASHURAAA
Huyu ukiacha kuwa msemaji pia n mchambuz,pia n kocha that's why sio wapiga kelele
Jamani
Alli
Natamani.kukuona.nikukumbatie❤❤❤❤
Mshauri pacoume ache kucheza ameangalia chini awaone wenzake mda sahihi atakua bora sana
Bw mdogo kamwe hongera
Yanga Africans oyeee oyeee hayaa Twendeee kazi wananchi eee
Ila tusifatilie sana ya makolo tuwe tunajijenga wenyewe hata kama wanashinda au wasiposhinda 🎉🎉🎉maua yako semaji
Power of God live in Jesus name 🙏
Kamwe unatisha. Huwa nakufuatilia sana yale unayoongea, mara nyingi ukisema vinatokea kweli.
Fantastic Sana
Akhui Ally upo vizuri mola akukinge na maasidi wenye shari nawee na club ya Wananchi
Dahhhhhhhhhh😢😢😢😢😢😢😢😢
😅😅😅😅😅😅makoroooo bwanaaa yaniii kipaaa yureee anafananishwaa naaa diaraaa kweriii kwaamashutiii yaree
Ally Kamwe pamoja na kuwatabiria makolo imetokea leo big up.
Ila hata wewe ninakuomba usiongee matokeo ya timu yetu ya YANGA na kusema itafunga magoli mangapi kabla ya kucheza.Tuwape moyo wachezaji kwa kila mchezo bila ya kujali timiu dhaifu au ngumu.
KUKAA KIMYA NAYO NI MAJIBU MAZURI SANA.
YANGA MBELE DAIMA,NYUMA MWIKO❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
'unajua kaka 🎉
💚💚💚💚💛💛💛💛
Dah mbonge la msemaji yanga noma
Hii ndio yanga bwan alaaaaa
Kwenye utabiri we nouma semaji mala mala zote unasemaga zote
Mwezi wa kuwaziba midomo
💚💚💚💛💛💛🔥🔥🔥
Ali muambieni pacome awache kulewa sifa tunahitaji ubingwa Tena awache kuchezea mpira atoe mapasi kwa wenzake
#SEMAJI Huna Bayaaaa 🔥💥💯💚💛🧡 MTU wa Maana Kabisa
More love for kamwe❤❤❤
Kamwe is better
MND Mamlaka ya Nongwa Duniani 🤣🤣🤣ALLY KAMWE
sana semaji la world cup mwenyeket wa wasemaji 😅😅😅❤❤❤❤
Kamwe mitano tena 🔥🔥🔥
Mm nmefurahi saaaaanaaaaa
Kumekuucha, kumekuucha...🤣🤣🤣
Duuuuuh Aiseeeee😮
Tunamjuwa huyo Ali Kamwe choko bado mtoto si rizki, kwanza tabiri mumeo ni nani mbona unaficha ?????
Mmmh umetisha sana kijana 💚💚💚💚💚
Uyu jamaa anamaono hata mechi ya kengold alisema mechi ngumu na kweli ikawa ngumu.akatabili na kmc akasema lazima afungwe leo yanatokea
Nakukubali sana Ally Kamwe
Congratulations to you bro
Yale makuli leo yamenyamaza s8ndano na uzi vimeanza kufanya kazi shwaini😅😅😅😅😅😅
Asante msemaji la mpira
Hongela Dana kwautabili
Ata leo wamepeewa penati ya mchongo.
God bless too ally kamwe.
Msemaji tunaye na tunatambanaye
Thanks for the prediction 😂😂😂😂😂
Hiyo Alisema Hata Mchome Kuhusu Simba Bado Na Hitoshinda Mechi Tano
Mwenyekiti ❤❤
Maasha allah
😂😂😂😂uyu alikamwe noma sana na walabu ulisema
Aliy anajuwa anajuwatena
Mashaallah
Mwenyekiti anajipakulia miyamaa 😂😂
Uyu jamaa nimchambuz hila sio msemaj ndio maha uwa anajua tim iko vp na inacheza vp
Good!!!!!
Alikamwe kiukweli unashindikana akili nyingi sana tunajivunia kua na msemaji kama wewe 🎉🎉🎉chukua maua yako sio kama yule wa cheka tu
Ila semaji😂🔥
Kuwa mwenyekiti wa wasemaji sio mchezo mpaka uwe na kipawaa
👏semaji linalojiamini
Alikamwe ❤❤❤
Semaji la Dunia Hilo pendaaaa sanaaa
😂😂😂ila msemaji wetu hv najiuliza imekuaje 😂
Mafutaa yameanza ujitenga na mafuutaa 😂😂😂😂😂😂😂