Hongera YANGA Queens wetu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 tupo pamoja sana vipenzi vyetu munc luv tunawaombea afya njema na ushindi mwema hiyo siku ya jumamosi.daima mbele🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani Nina ushauri kidogo kocha wa tim ya wanaume fanyieni mazoezi Kona zinatuuma xana Tena xana zinapigwa Kona 12 na hatufungi hata Moja? Kwel inaniuma tim yetu tunaipenda xana ila kuikosoa kdg n vyema wapendwa Kona zinaninyima amani Edina tunaomba kombe like jangwan kpenzi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛🇹🇿🇷🇼🌹🌹🌹🌹🌹🌹💐💐💐💐💐
Yanga ya 🔥🔥🔥daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💛💛💛💛
Haka katangazaji kamechangamka saana ...kazi nzuri saana Yanga tv
MUNGU ni mwema hongera Sana Coach kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
Kweli tuliumia sana vice president ajatudanganya alisema anatengeneza timu kaitengeneza 💚💚💛
YANGA BINGWAAAAAAAA 💚💛💚💛💚💛We are the champions
Yanga on fire 🔥🔥🔥🔥 ma champion 🏆🥇🏆🥇
MORINYOOO 🙌🙌🙌💚💛
hongera sana
🔰💛💛💚💚💚💚
Alle Boy1
Daaaaah kocha unajua kutamba😂😂 aisee😂😂
Safi kabisa COACH EDNA LEMA 💚💛🌟💯
🎉🎉🎉🎉🎉
🥰✅✅✅🖤🖤🖤💛💛💛
Mungu tujaalie tuweze kpata hata kombe lije jangwan
Dada ongera
Congratulations Edina lema much confidence 💚💚💚💛💛💛💛💛 daima mbele nyuma mwikooooo tumenza Sasa atunaga manenoooooooo aku Wala atulingi
Hongera YANGA Queens wetu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 tupo pamoja sana vipenzi vyetu munc luv tunawaombea afya njema na ushindi mwema hiyo siku ya jumamosi.daima mbele🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
This time upande wa wanawake timu tunayo
Yanga mbigwa
Huyu mama wampe na Yanga ya wanaume tuwakande makolo
Ah😂
Jamani Nina ushauri kidogo kocha wa tim ya wanaume fanyieni mazoezi Kona zinatuuma xana Tena xana zinapigwa Kona 12 na hatufungi hata Moja? Kwel inaniuma tim yetu tunaipenda xana ila kuikosoa kdg n vyema wapendwa Kona zinaninyima amani Edina tunaomba kombe like jangwan kpenzi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛🇹🇿🇷🇼🌹🌹🌹🌹🌹🌹💐💐💐💐💐
Mi yanga ila huu ni ushauri wa kijinga
Arsenal jana alipiga kona 9 lakini hata moja haijaenda golini
Stuttgart wamepiga kona 13
Wamekosa zote
@@EmanuelMiyonjo ana hoja yanga mala ya mwisho kufunga goli la kona lini
@@YusuphJuakali😂😅😂😅
Safi sana wanajeshi wetu wa Yamga Princess endeleeni kupambana tuko nanyi kwa 🎉🎉🎉
Edit: 688K and counting tuendelee kusubscribe wananchi target ni 1M subscribers Daima mbele nyuma mwiko
Wamelize 😂😂😂😂 hao makolo
Kocha anahitaji ulinzi please
Fundi kabisaah huyu kocha
Kocha wa boli😂
TAMBA KOCHA LA BOLI wee timu mpka inafanya sub ya wachezaji watano kwa pamoja sio poa 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Ila mwenyekiti😂😂😂
Mtafutieni kocha ulinzi😂😂😂