I saw a clip where Tanzanian journalist asked their president samia about new constitution for TZ,the response made me realise that we are very different neighbours.
Umeongea sana kaka dudu ..tz ..bado tumelala usingiz mzito ndomana viongoz wanatuamulia ..kila kitu ....sukali tununue ekfu 10 kwa kilo sawa tu Petroli tununue 5000 lita sawa ....sisituko busy na yanga .na simba ...😂😂😂😂ila tz 😂😂
Dudu baya much love from Kenya , Kenny's they have respond to your speech you are so grateful man guys like back tujuane kwa kugonga like Apo chini 👇❤😂
Huo ni ukweri kabisa! Mimi sio mkenya lakini nillishi huko miaka takriban 20! Nilisomea huko pia! Kenya ni Nchi ngumu kuliko hata Nigeria! Kila mtu ni mjuaji!
That's true bro,huku kwetu haki za binadamu zinafundishwa mitaani,tena unafundishwa haki yako na unapewa sitting allowance,huku kila mtu anajua haki zake
Tanzania is a real Nation State. Keep up your Unity and Non TRIBAL nature. Your country is in a good place under a clear leadership philosophy. Hio elimu ya Wakenya inayo zungumzwa hapa - INA FAIDA GANI ikiwa UKABILA TELE na Daamu kumwagika kila siku?
I'm a kenyan and I do agree to this guy.Us here in kenya,we are fully sensitized about our rights as citizens.Even when our stupid president is lying tutamwambia openly,pole unatudanganya.Tanzania tunawaomba mtafute wakati and fight for true democracy.
Kenya n inchi ya wajaja viogozi n wakora,kubuka hustlers vs dynasty na yenye Yana fanyika sahi,katiba yetu Ina ruhusu serikali kuwajibika,Kama sahi Kuna Vita Kenya wabuge Wana pitisha bill ambazo zina tugandamiza,ndo tunasema #ruto must go
Tanzania hakuna education ya kuwafungua akili ndio maana viongozi wenu wanapeleka watoto wao kusoma nje...afu nyie mnasoma shule za government zenye zinawafundisha mambo yasiyo ya faida
Ww unaakiri nyinyi kenya amna akiri wote bangi zinawaribu kenya kunawasomi sio mwenye akiri msomi na mwenye akir watu tufaut kirakitu unatakiwa utumie akiri sio usomi
Kumbe Dudu ni mtu very understanding. Aliyoyasema ndiyo ukweli halisi na viongozi wanautumia umbumbumbu wa wananchi wengi kutojua lolote na kuamini kwao kuwa siasa haiwahusu. Itatuchukua muda mrefu sana.
VERY SMART DUDU BAYA. POLITICS HAS EVERYTHING TO DO WITH US ORDINARY CITIZENS. WE CAN'T BE IN A STATE OF I DON'T CARE. GOVERNMENT OFFICIALS AND PARLIAMENT IS MAKING DECISIONS AFFECTING OUR EVERY LIFE. EVERY TANZANIAN AS TO STAND UP AND ASK QUESTIONS ON GOVERNMENT MATTERS AND WHAT ELECTED MEMBERS OF GOVERNMENT ARE DOING 🇹🇿. OUR IGNORANCE IS SENDING US TO THE BOTTOM PIT OF LIFE AND DEVELOPMENT. WAKE ⏰ PEOPLE AND AFRICA 🌍. LOOK AT IBRAHIM TRAORE.
Apo tz ambiez rais alete free education ndo kila mtu asome. Najua watanzania wengi hawakasoma si eti wanaogopa masomo ni kwa sababu karo iko juu. Mimi cjatoka kwa familia yenye pesa lakini free education kwa shule ya upili ilinisaidia sana na ikaniwezesha kuingia chuo kikuu. Kwa ivo its high time wanainchi kuweka matakwa yao kwa viongozi wanaowachagua.
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA....... Wou what a caption!!!! Yaani Dudu baya anawakilisha Watanzania???? Jamaa hajuwi anacho ongea. Si kweli kwamba Wakenya wote wanaijuwa KATIBA. Shindeni vita yenu!!!!
Ameongea ukweli tupu Watanzania tunapenda vitu visivyoumiza kichwa kutokana na asilimia kubwa kukosa elimu na hata wenye elimu wengi wao hawajaelimika na huo ndio mtaji mkubwa sana wa wanasiasa. Wanasiasa hawapendi watu werevu, wanaofatilia masuala ya msingi na wenye kuhoji kila kitu. Jamii yetu waambie tu mpira, udaku na muziki hapo umemaliza kila kitu.
Umenena ingawaje nahofia jinsi wakenya tumesoma sana but twafanya kazi ya vibarua kweli hakuna kazi but anything to do with law kika mkenya ni msomi. Hatudanganyiki virahisi . Shinda kubwa iko hapa sasa wen every one is educated then the leaders cant do anything the way they want sababu walio chini wanaelewa wanafinyiliwa. Heli wanjinga kwingine at least .but we thank God 🙏 alitupea hekima tu. Hope hivi vita vitakoma siku moja . Wakenya hooooeeeee👊💪💪
...I'm a Kenya.That true boss you're right every of us know his right under Chapter 4 of bill of right... Then under article 37 of our constitution each one of use have right to demonstrate peacefully.... The article 24 ....
Kwani hamjui Africa 🌍 iko ndani ya Kenya 🇰🇪?kwa ujumbe wenu kiongozi wa Africa 🌍 yote..kama tz ni githurai tu na burudi ni korogocho tu..Kenya 🇰🇪 sisi ndio simba 🦁 wa Africa 🌍
@@DominicOjwang Anawasaidia ulimbukeni wa kisomo kisicho na faida,kama mnaweza rudisheni grabbed land iliyoporwa na wanasiasa toka uhuru nitawaona wa maana..ardhi imekaa barely while majority mmebanana kwenye slams,bei ya mkate ikipanda mnachoma Kila kitu, kwetu mkate ikipanda naenda kulima viazi,shamba ninalo.Change your policies acha ubishi.
Wa Tz bado hampo tayari. Huwezi kupigania haki msizojua mnazo. Cha kwanza, mjielimishe. Huku Kenya, wanasheria walichambua ile katiba wakairahisisha na ikasambazwa kwa WhatsApp. Tulipokuwa tunaingia mitaani tulijua tulichokuwa tunakipigania ndipo uwoga ukaisha. Mjinga akifinyika vya kutosha anafunguka macho anawacha kuwa mjinga
Elimu ya shule nchini Kenya ni bora kuliko Tanzania. Machafuko nchini Kenya yamezuka kwa sababu ya masa ya elimu ya kuwataka viongozi wafisadi katika serikali yao. Tanzania ina umati mtulivu kwani hawaruhusiwi kujieleza kwa uhuru, au kuandamana bila kupitia mashine nzito ya urasimu. Kupunguza umati wa watu wenye elimu na kuzuia uhuru wao wa kujieleza hufanya iwe rahisi kwa utawala kutawala bila kusumbuliwa.
Dudu Baya nakupenda juu ya kuongea ukweli. Pili, wachache wa ndugu zetu wa TZ watadhamini huu ukweli kwa maana hauwelewi na hawaelewi unasema nini. Namaanisha uko mbele karne moja zaidi ya watu wengi. Njoo tuishi 🇰🇪 . Mahali unaeleweka
Umeongea vizuri sana salamu zikufikie kutoka Kenya,,umeongea vizuri mtu wa kuelewa ataelewa ila naona. Comment za wengine apa bure kabisa amkeni nyinyi
Ni kweli naona upuuzi mtupu...km wangekuwa na akili na elimu ya kutosha si wangetumie maarifa ya kuongea kisomi...wanachoma magari..wanaharibu maduka ya watu wema nk.
Mimi ni mkenya shida inatoke mahali ambapo tunakuanga tumefunzwa haki yetu kutoka shule hadi Nationality inaanzia primary school we know our rights kutoka baby class sa mtu huwa ana grow akijua right uake toka akiwa mdogo
Ni kweli Kenya wako vzr saana kielimu,ss tuliwafukuza waingireza baadae ya kupata Uhuru,,kwelirieee
I saw a clip where Tanzanian journalist asked their president samia about new constitution for TZ,the response made me realise that we are very different neighbours.
Kenya unaeza pata shamba boy ni University Material
Sisi Kenya Kila kukicha akili inaongezeka,,ss tunasoma Kila cku😂😂,sio lazima twende shule,akili ya kuzaliwa tunayo😂😂
🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂 Kenya, tunajielewa hakuna kulala
Umeongea sana kaka dudu ..tz ..bado tumelala usingiz mzito ndomana viongoz wanatuamulia ..kila kitu ....sukali tununue ekfu 10 kwa kilo sawa tu Petroli tununue 5000 lita sawa ....sisituko busy na yanga .na simba ...😂😂😂😂ila tz 😂😂
Dudu baya much love from Kenya , Kenny's they have respond to your speech you are so grateful man guys like back tujuane kwa kugonga like Apo chini 👇❤😂
NAOMBA MLIO MWELEWA MWAMBA TUMPE LIKE ZAKE HAPO😂
Mtuache sisi wakenya tung'oe Ruto kwenye ikulu kwanza. Tutafika TZ baadaye tuwafunze katiba.
Ndio unaona atuezi ama kenya we love our country . Respect 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Your contribution is realistic Andrew from Kenya.
Nikweli unaloongea Sheria atuijui wengi
Huyu jamaa ametuelewa sana sisi. Huyu ni kati ya wale watanzania wako na akili timamu pila chuki yoyote.
🎉🎉🎉
Tanzania tunawaza yanga na Simba tu na kucheza vigodoro
In Kenya everybody knows his rights and what is expected from the government.
Huo ni ukweri kabisa! Mimi sio mkenya lakini nillishi huko miaka takriban 20! Nilisomea huko pia! Kenya ni Nchi ngumu kuliko hata Nigeria! Kila mtu ni mjuaji!
THANKS SO MUCH FOR SPEAKING GOOD ABOUT KENYA 🇰🇪 NI KWELI KENYA'S WE ARE DIFFICULT
Wabongo ni ngono pekee wanajua na uchawi
Kenya tunataka kukomboa Tanzania.. tunataka tusimame pamoja na tumalize viongozi bure hapa East Africa!!!
Dudu umeanguka nayo kabisaa😅
Wakenya hatutaki upuzi,tunataka uwajibikaji ❤❤❤
😂😂😂 wakenya tushakupata karibu Kenya ndugu yangu ❤❤
That's true bro,huku kwetu haki za binadamu zinafundishwa mitaani,tena unafundishwa haki yako na unapewa sitting allowance,huku kila mtu anajua haki zake
Tanzania is a real Nation State.
Keep up your Unity and Non TRIBAL nature.
Your country is in a good place under a clear leadership philosophy.
Hio elimu ya Wakenya inayo zungumzwa hapa - INA FAIDA GANI ikiwa UKABILA TELE na Daamu kumwagika kila siku?
Dudu baya njoo uwe mkenya..umechambua vizuri sana..huku kenya hata mama nitilie ana degree
Huyu ni mmoja wetu. Alifuzu kimaisha nchini Kenya.
ndiomaana bandali imeuzwa na mbuga za wanyama alafu tunasema mama kaupiga mwingi
😂😂😂😂😂😂
Mungojeeni Roma mkatoliki aimbe mpige makose.Kwa hili mtasubiri sana watanzania
Hahaha Japheth big up mijizoga ndio inayopinga maneno ya maana
Leo umeongea vitu vya maana watanganyika wengi ni wajinga bado
Kenya hutupendi ufala kuchezewa akili na viogozi. Hio ni laa asha. Tutawakosoa hadi msaaalani. We pay them n not the other way around.
Hapo ni kweli wakenya wamesoma sana. Na wanajua haki zao kabisa.
I'm a kenyan and I do agree to this guy.Us here in kenya,we are fully sensitized about our rights as citizens.Even when our stupid president is lying tutamwambia openly,pole unatudanganya.Tanzania tunawaomba mtafute wakati and fight for true democracy.
Dudu baya njoo upo Sawa baba kaka upo sawa all from Kenya
Mimi ni Mukenya nakubalian nahuyu ndugu amesema ukweli mtupu tena anaelimu kubwasana.
Sisi kwetu tuko mandugu kumi naTano.
Tukiwa kumi tumemaliza UNI.
Na sisi ni wakenya Wasomali
He talk well Supporting ndundu mbaya... Go ahead mwezetu. God bless you. Ishalla
Kenya is leading interms of democracy east and central Africa,tumekomaa kidemokrasia our democracy is in another level.
Kama democracy n'iukabira matusi, kuchoma bunge Mungu aiputishembali.
😂😂 dudu Baya the great, ATI hata mama ntilie Yuko na digilii ....siasa ngumu duniani 😂😂😂 Thank you bro
Kwer uricho sema kabisa dudubaya elim apa bongo ndio tatizo
Kiwango cha juu cha elimu si kuanzisha machafuko bali nikutatua changamoto za nchi
Ndugu unaelewa uhuru ulipiganiwa aje?
Tanzania hawana lolote porojo tupu kama ss Tanzania tungekua hv tungefika mbali sna
Kenya n inchi ya wajaja viogozi n wakora,kubuka hustlers vs dynasty na yenye Yana fanyika sahi,katiba yetu Ina ruhusu serikali kuwajibika,Kama sahi Kuna Vita Kenya wabuge Wana pitisha bill ambazo zina tugandamiza,ndo tunasema #ruto must go
Tanzania hakuna education ya kuwafungua akili ndio maana viongozi wenu wanapeleka watoto wao kusoma nje...afu nyie mnasoma shule za government zenye zinawafundisha mambo yasiyo ya faida
Ww unaakiri nyinyi kenya amna akiri wote bangi zinawaribu kenya kunawasomi sio mwenye akiri msomi na mwenye akir watu tufaut kirakitu unatakiwa utumie akiri sio usomi
That's true brother✅️
Kenya we are hero's,wapi nduru weweeeee.........
Umeongea point muhimu elimu nayo muhimu tz wapowapo tu kama mazombi
SPICE FM SIKIZA TU YALE MAZUNGUMZO YAMO HUMU UTAJUA HUYU MSANII ANASEMA NINI.
Kumbe Dudu ni mtu very understanding. Aliyoyasema ndiyo ukweli halisi na viongozi wanautumia umbumbumbu wa wananchi wengi kutojua lolote na kuamini kwao kuwa siasa haiwahusu. Itatuchukua muda mrefu sana.
VERY SMART DUDU BAYA. POLITICS HAS EVERYTHING TO DO WITH US ORDINARY CITIZENS. WE CAN'T BE IN A STATE OF I DON'T CARE. GOVERNMENT OFFICIALS AND PARLIAMENT IS MAKING DECISIONS AFFECTING OUR EVERY LIFE. EVERY TANZANIAN AS TO STAND UP AND ASK QUESTIONS ON GOVERNMENT MATTERS AND WHAT ELECTED MEMBERS OF GOVERNMENT ARE DOING 🇹🇿. OUR IGNORANCE IS SENDING US TO THE BOTTOM PIT OF LIFE AND DEVELOPMENT. WAKE ⏰ PEOPLE AND AFRICA 🌍. LOOK AT IBRAHIM TRAORE.
Apo tz ambiez rais alete free education ndo kila mtu asome. Najua watanzania wengi hawakasoma si eti wanaogopa masomo ni kwa sababu karo iko juu.
Mimi cjatoka kwa familia yenye pesa lakini free education kwa shule ya upili ilinisaidia sana na ikaniwezesha kuingia chuo kikuu. Kwa ivo its high time wanainchi kuweka matakwa yao kwa viongozi wanaowachagua.
Tanzania kwa sasa wengi hawasomi chuo wanaishia form six kwa sababu ya karo hawana
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA....... Wou what a caption!!!! Yaani Dudu baya anawakilisha Watanzania???? Jamaa hajuwi anacho ongea. Si kweli kwamba Wakenya wote wanaijuwa KATIBA. Shindeni vita yenu!!!!
Dudu umesema ukweli ss kenya kila kitu serkali ili ifanye lazima tukipige msasa
Ameongea ukweli tupu Watanzania tunapenda vitu visivyoumiza kichwa kutokana na asilimia kubwa kukosa elimu na hata wenye elimu wengi wao hawajaelimika na huo ndio mtaji mkubwa sana wa wanasiasa. Wanasiasa hawapendi watu werevu, wanaofatilia masuala ya msingi na wenye kuhoji kila kitu. Jamii yetu waambie tu mpira, udaku na muziki hapo umemaliza kila kitu.
Watanzania wote maiti hawana ujanja watakandamizwa mpaka kiyama, Mwigulu karibu ataleta kodi ya kujamba
@@Gamba177 maiti niwewe nyau
😂😂😂wakenya hoyeeeee❤❤❤❤❤❤❤
Umenena ingawaje nahofia jinsi wakenya tumesoma sana but twafanya kazi ya vibarua kweli hakuna kazi but anything to do with law kika mkenya ni msomi. Hatudanganyiki virahisi . Shinda kubwa iko hapa sasa wen every one is educated then the leaders cant do anything the way they want sababu walio chini wanaelewa wanafinyiliwa.
Heli wanjinga kwingine at least .but we thank God 🙏 alitupea hekima tu. Hope hivi vita vitakoma siku moja . Wakenya hooooeeeee👊💪💪
I thought Dudu Baya was just a musician? How does he know all this, and how does he know about Kenyan politics and politicians? Must love the guy
I'm Kenyan... I like your reasoning
Tanzania wako na amani lakini hawana haki
Amani yaeza kuwa ukandamizaji kama hujafungua macho
You are right bro🎉🎉🎉.
Watu hawapendi ukweli huyu kaka anaijua kenya kimwenyeji ndivyo tulivyou hapa kenya
Kweli KABISA, mimii ni mkenya, asante kaka, kweli kabisa
...I'm a Kenya.That true boss you're right every of us know his right under Chapter 4 of bill of right... Then under article 37 of our constitution each one of use have right to demonstrate peacefully.... The article 24 ....
Kwani hamjui Africa 🌍 iko ndani ya Kenya 🇰🇪?kwa ujumbe wenu kiongozi wa Africa 🌍 yote..kama tz ni githurai tu na burudi ni korogocho tu..Kenya 🇰🇪 sisi ndio simba 🦁 wa Africa 🌍
Kwani vitabu vya katiba hamna kwa maofisi ya Uma hapa kitabu cha katiba ni bure kupata twajisomea sisi
True. Sisi waTz tumefutikwa ujinga wa ajabu
Its true brother from Tz tell them to know there right ✅️
Tanzania ni bure waoga nyinyi kabisaa Kenya hoyeee
Karibu Kenya ndugu bado unanuka na itanuka zaidi, heri tufe wote.
Tanzania hatujuwi chochote kuhusu selikar lakini laiya wa Kenya Masha Allah ❤
Kenya mtoto anaaza kusoma shiria na miaka kumi ama nane hapo sas uwezi imba chochote
@@Rehema-h6t unaweza kusoma ukakosa busara akili ni ywele kila mtu Ana zake,na kusoma sio kufaulu maisha
@@Rehema-h6t Tanzania ni nchi ya amani na serikali ni wewe ulieandika hii meseji hamasisha upendo maisha ni hayahaya wakenya ni wavivu itawakost
@@user-ic7felix sio shiria ni sheria
Dudu mbaya unajua siasa ya kenya tena unajua viongozi wote thanks bro
@@DominicOjwang Anawasaidia ulimbukeni wa kisomo kisicho na faida,kama mnaweza rudisheni grabbed land iliyoporwa na wanasiasa toka uhuru nitawaona wa maana..ardhi imekaa barely while majority mmebanana kwenye slams,bei ya mkate ikipanda mnachoma Kila kitu, kwetu mkate ikipanda naenda kulima viazi,shamba ninalo.Change your policies acha ubishi.
Wa Tz bado hampo tayari. Huwezi kupigania haki msizojua mnazo. Cha kwanza, mjielimishe. Huku Kenya, wanasheria walichambua ile katiba wakairahisisha na ikasambazwa kwa WhatsApp. Tulipokuwa tunaingia mitaani tulijua tulichokuwa tunakipigania ndipo uwoga ukaisha. Mjinga akifinyika vya kutosha anafunguka macho anawacha kuwa mjinga
Kenya kusoma sheria na katiba yetu huwa tunaaza kusoma kutoka class 6
Elimu ya shule nchini Kenya ni bora kuliko Tanzania. Machafuko nchini Kenya yamezuka kwa sababu ya masa ya elimu ya kuwataka viongozi wafisadi katika serikali yao. Tanzania ina umati mtulivu kwani hawaruhusiwi kujieleza kwa uhuru, au kuandamana bila kupitia mashine nzito ya urasimu. Kupunguza umati wa watu wenye elimu na kuzuia uhuru wao wa kujieleza hufanya iwe rahisi kwa utawala kutawala bila kusumbuliwa.
Yaani hua ckuzote nilikua nakuelewa kwa mbaaali ila Leo nimetambua umuhimu wa mazungumzo yko
Ukweli kabisa kaka karibu Kenya
Very true, Kenya is very enlightened than most eastern Africans.
Kenya is a Democratic country not like Tz , Kenyans wanajua haki yao ya kikatiba don't compare kenya and tz
Wewe acha uongo wale wakenya wana njaa kula chakula ni shida
Ukweli kabisa kaka
Im a kenya we don't lack food or anything but striving to our gaols@@nastehasheikh8454
Ulikua Kenya lini ukanjua hatuna chakula stupid
Dudu baya wewe unajuwa kuongeya ukweli mtupu
Kenya hakuna njaa kaka,,ni wizi tunakomesha
Dudu Baya unaongea pointi tupu! Wakati wa Bajeti Sisi tulikuwa bize na uhamisho wa Cloutus Chota Chama😂😂😂😂😂😂
Kabisa
Siasa Kenya ni donda sugu.
Kabisa wakenya nakwambia😢😢😢
Umeongea ukweli mtupu dudubaya nimekubali sisi tanzania tumenyimwa elimu ndomaana hatujui hakizetu
All Kenyans let's gather here
But in every thing peace is important than anything else
Kenya sio akina honzaambeee
Leo umeongea point
Kenya kisiasa iko moto sana.wananchi wanajitambua mno.Tofauti na nchi wanazotawala maiti.
Twaelewa enyi wa 🇹🇿 mna kijicho dhidi ya maendeleo nchini mwe2 🇰🇪,wikeni lkn cha muhimu mtachoka,jirani bwege!
Chokoraaa wewe
Acha uongo mie nimeolewa kenya sema standard 8 yao ni form six yetu
Weee nawee 😂😂😂😂unaongea kina ukijijibu
Team +254 let's gather here. 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 #HAKI IWE NGAO.
Watanzania ebu mjaribuni dudu mbaya mara moja tukamuone maneno yake, namcheki amepikwa akapikika kwa siasa.
Tanzania ukishamchagua kiongozi anakuwa BOSS wa mpiga kura . Kinyume na Kenya raia ndio BOSS wa kiongozi aliyechaguliwa
Huyu jamaa ameisoma kenya ki ukweli,and thats true..what he says..its real
Yani kwa pakiti ya juu mchele ni Basmart ndani ni sindano kubaabako oe mwandishi unaeka picha ya samia afu unatuletea dudu baya
On point kabisa
Very true every single vote count
Dudu Baya nakupenda juu ya kuongea ukweli. Pili, wachache wa ndugu zetu wa TZ watadhamini huu ukweli kwa maana hauwelewi na hawaelewi unasema nini. Namaanisha uko mbele karne moja zaidi ya watu wengi. Njoo tuishi 🇰🇪 . Mahali unaeleweka
Wonderful Dudu Baya, noted
Umeongea vizuri sana salamu zikufikie kutoka Kenya,,umeongea vizuri mtu wa kuelewa ataelewa ila naona. Comment za wengine apa bure kabisa amkeni nyinyi
Sure 😀 Kenya we know our constitution. We're the bosses of our government. They can't misuse our fund and resources the way they want.
Sasa, izo elimu zao za chuo kikuu na ayo wanayoyafanya si bora ao la saba?. "AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA".
Ni kweli naona upuuzi mtupu...km wangekuwa na akili na elimu ya kutosha si wangetumie maarifa ya kuongea kisomi...wanachoma magari..wanaharibu maduka ya watu wema nk.
Mimi ni mkenya shida inatoke mahali ambapo tunakuanga tumefunzwa haki yetu kutoka shule hadi Nationality inaanzia primary school we know our rights kutoka baby class sa mtu huwa ana grow akijua right uake toka akiwa mdogo
@@LilianIngosi-hh7ex kwahio tuwasaidie nin na hizo aheria zenu za mauaji