EXCLUSIVE: MAMA NA MTOTO HAWAJAONANA MIAKA 41,WAKUTANISHWA MOSHI "NILITUMA MALAIKA, NI KILIO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 376

  • @gretagonga2966
    @gretagonga2966 Год назад +25

    Jamani I know this lady, alikua jirani yangu.
    She is just a sweet soul.
    She has a strong faith jamani.
    Mama B nimefurahi kukuona tena sweetheart ❤️

  • @cesilialucas2458
    @cesilialucas2458 Год назад +25

    Mungu ni mwema anajibu kwa wakati sahihi

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 7 месяцев назад

    Napenda kuwapongeza walezi wahuyu dd,,mmemlea vzr sn,,anamjua Mungu,, waooooooo hongeren walezi wote,pokeen maua yen🎉🎉🎉,,mama yak mh

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Год назад +11

    Mungu ni Mungu asiyeshindwa, Mungu azidi kukuinua binti, umeinua imani za watu wengi, nimekupenda sana...na kulikubali hili Neno MUNGU WA YASIYOWEZEKANA...yale tunaona hayawezekani Mungu hufanya njia🙏🙏

    • @hubamwinyi2441
      @hubamwinyi2441 Год назад

      Je huyu mama hakupata ht kujua ndugu za mtu aluyezaa nae au ht wafanyakazi wenzao...licha ya mawasiliano kuwa magumu ila miaka 40 ni mingi mno kutokujua kabisa habari za mwanao. Mtoto sehemu kubwa ni mama, hakuwahi ht kupata mshtuko kuwa kizazi changu hakiwezi kupotea, angetafuta ht bdugy au jirani ili apate kumuona na kujua kuwa mama yeye yupo. Ni huzuni kubwa sana hii...wajukuu utawauma mno wakikua na kujua. Ni ngumu kuunganisha udugu. Mungu tusaidie na utusamehe.

    • @magrethpastory4311
      @magrethpastory4311 Год назад

      Mungu ashindwi yeye ni muweza wa yote.Hongera kwa ulilofanya kumtafuta mama ,hakuna kama mama

  • @Neema935
    @Neema935 10 месяцев назад

    Huyu mama , moyoni mwake, hamna furaha, sijuwi anakumbuka alicho fanyiwa na mwenza wake. Hongera sana dada.

  • @hildahtemu
    @hildahtemu Год назад

    Nafrah sana mama angu yupo....mungu ahsante kwa ili ❤pia naiman baba yangu nawe utakuepo na wish nikuone ...mimi ni mzima na wishi nawe nataman nikuone baba ata sekunde moja❤....daaah sijui ntampata wapi mana najina moja tu nalolijua....Temu❤

  • @lovegodwine7868
    @lovegodwine7868 Год назад +3

    Mama ana roho ngumu , sijui ni hasira daaah🥲🥲

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Год назад +40

    Huyu mama mmmmh roho ngumu 🥲dada ww ni kupe hongera sana👏🏽👏🏽👏🏽

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад +1

      😂😂 kabisa mama roho ngum mi hata nigombane Vipi na Mzee siwez Acha watt wangu isitoshe Baba angle ni Baba mzuri mdada anahekima

    • @zurrychannel235
      @zurrychannel235 Год назад +1

      Nilijua mimi tu ndio nimeliona ilo😃😃🤔

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Год назад +1

      Usiwe mwepesi kulaumu mpaka ukiona Mama kamuachia mtoto Baba mengi yalihusika

    • @maajabumaridadi8756
      @maajabumaridadi8756 Год назад +2

      Ana roho ngumu sana yn sijui anachinja ng'ombe. Ila huyu dada anamjua sana Mungu ndy maana ana furaha na amani yn kasahau yote.

    • @aminamakobola7386
      @aminamakobola7386 Год назад

      Hongera Sana angel

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +2

    Yesu nilijua movie. Big up sweet heart kumpata mama.

  • @yasmine937-so4mi
    @yasmine937-so4mi Год назад +13

    Kuna wamama wanaroho mbaya miaka 40 hujui mwanao anaishi vipi looo huyu mama anaonekana anaroho ngumu kweli ata ongea yake kwanza anaona aibu looh😂😂😂
    Ahsante mama angu kwakutukuza watto zako nitakupe daima❤❤❤

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 Год назад +1

      Yani huyu mama Hana hata aibu

    • @michaelchristopher2452
      @michaelchristopher2452 Год назад +1

      Bi mkubwa samahani lkn wew ni mtu mbad sana

    • @narlt229
      @narlt229 Год назад

      ​@@michaelchristopher2452 😂😂

    • @maajabumaridadi8756
      @maajabumaridadi8756 Год назад +1

      Huyu mama ana roho ngumu kwa sababu angekuwa na nia ya kumtafuta mwanae angeweza kwan mzazi mwenzie alikuwa ni mtumishi wa serikali ni rahisi sana. Na baba wa huyu Angel ni mtu mzuri inaelekea maana angekuwa nunda angemwambia labda mama ake alikufa siku nyingi lakini hajamficha kitu. Huyu baba akapewa maua yake.

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Год назад +1

    Dada anajua kujieleza,( anatiririka kama Mtangazaji)
    Conguraturations 🎉

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад +2

      yuko vizuri kama mimi tu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад +5

    Maskini🙏🙏🙏 hongera Sana kwa kumpata mama ako mzazi kweli una fraha kubwa moyoni.

  • @minamina8024
    @minamina8024 Год назад +5

    Ila uyu mama kauzu sana

  • @LucyMwasu
    @LucyMwasu Год назад

    Hongera dada kwa kuweka Imani kwa Mungu
    Ni kweli hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +28

    MUNGU WA MAMBO YASIO WEZEKENA 🙏🏿AMEN AMEN MAMA HUYU ❣️

  • @shamzone388
    @shamzone388 Год назад +2

    Hakuna kama mama kwa kweli
    Hongera dear

  • @lovenessfrancis5547
    @lovenessfrancis5547 Год назад

    Dah!mama komando professional ps but matendo commando jmn miaka 2-40 hujui Hali ya mwanao dah!! hongera dada nimekupenda bure

  • @Papaa_Hillary_Mrema
    @Papaa_Hillary_Mrema Год назад +23

    Vitu kama hivi vikitokea huwa vina Ishara nyingi mfano inawezekana Mama ameishi kwa majonzi na amekuwa akimuomba Mungu kabla hajaondoka Duniani akutane tena na Binti yake. Huyu Binti afanye Ibada ya Shukrani pia afanye mpango yeye na Mama yake waende Tabora kumuona Baba yake ili Wazazi hawa waombane Msamaha. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 Год назад

      Kweli kabisa

    • @kadokemarco9966
      @kadokemarco9966 Год назад

      Ni kweli kabisa

    • @mengikiguruwe6750
      @mengikiguruwe6750 Год назад

      Inawekana pia huyu binti alitaka kuonana na mama ili amuoneshe wajukuu na mkwe wake kabla hajatwaliwa; suala la kwenda Tabora si muhimu kwa sasa kwani mzee ana maisha mengine

    • @mercygibson1379
      @mercygibson1379 Год назад

      Glory to Almighty Living God. Amen

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 Год назад

    Barikiwa San dada mama ni mama kns🎉❤🤲🙏👏🔥

  • @NaomiMshana-lj4tc
    @NaomiMshana-lj4tc 7 месяцев назад

    Barikiwa sana dada enjo

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Год назад +14

    Huyu mama hakuwa anamuhitaji kwa sababu alikuwa na watoto wengine🤔. Namshangaa alivyomsahau mtoto wake kabisa😢

    • @saynabmohammed6263
      @saynabmohammed6263 Год назад

      Pengine ameona din yke tofaut

    • @marthamungure1777
      @marthamungure1777 Год назад +1

      @@saynabmohammed6263 Alimwacha akiwa mdogo. Hakuna sababu yoyote. Mtoto mdogo hajui dini. Alimtafuta mama alipojua wokovu.

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад

      Usishangae miaka 41 ni mingi jamani huez kumkumbuka mtu

    • @marthamungure1777
      @marthamungure1777 Год назад

      @@mwitaagness455 Alikuwa wapi mpaka akafika miaka hiyo??
      Hata baada ya mwaka au miwilu hakutaka kwenda kumwona alipomwacha?

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 8 месяцев назад

    Tenda wema wende zako. Mama ametoa pongezi Kwa binti yake na clouds TV akamuacha mzazi mwenzake alie kuza.Baba nakupa hongera Kwa kukuza binti yako jazza yako iko Kwa mungu.

  • @ElizabethEnock-ub5vv
    @ElizabethEnock-ub5vv Год назад

    Namuomba mungu kila siku anifunguliy njia nikutane na mama yangu hakika nitafulai sana

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 Год назад +2

    Huyu mama asamehewe tu... nawasihii wamama wale hizi roho achaneni nazo! Mnawatesa watoto wenu wasikuwa na hatia...

  • @Mommy4147
    @Mommy4147 Год назад

    Mungu yumwema jmn tumregeshee sifa na utukufu 😭😭😭🙏🙏🙏

  • @NextoHunter-rm3cs
    @NextoHunter-rm3cs Год назад +19

    Dada unaimani kubw sana na mungu

  • @EdithaMosha
    @EdithaMosha 7 месяцев назад

    Mama roho ngumu amegawa mtoto na kumsahau kabisa miaka yote inaima Dada Imani yako kwa Mungu ni kubwa ubarikiwe kabisa mm hana mapenzi na mtoto kabisa

  • @HappinessTumile
    @HappinessTumile Год назад

    Hongera sana Mungu amejiinua na hakika ni Mungu wa yote yasiyowezekana,

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Год назад +5

    Maombi Yana nguvu Sana Dada hongera kwa kumtanguliza MUNGU

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Год назад

    Pole na ongera my dear

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 Год назад +1

    Mungu wa mbinguni hashindwi

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Год назад +5

    Pole kwa kutopata mapenzi ya mama udogoni na hongera kumpata mama yako ukubwani ingalau uweze kuonja mapenzi yake MMUNGU awalinde and continue to cement your relationship

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 Год назад +3

      Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu.
      Japo mama ni mama

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 Год назад +1

      Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu.
      Japo mama ni mama

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      😢😢mi nilikaa 7yrs bila mama na alivyorudi hakukaa akafa

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale Год назад

    Jamani ni jambo jema sana,,,,nami namtafuta baba yangu mzazi tangu nizaliwe sijawai kumuona naitwa Robert mwangomale ( ila Jina baba niliambiwa anaitwa mlewa A mlewa anaasili ya iringa na dodoma

  • @zawadizawadimussa23
    @zawadizawadimussa23 Год назад +8

    Uyu mama ni mtata hakuwa na uchungu na mwanae

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043 Год назад +4

    Wapo wameru furani wakiona hii vedeo cjuwi wanajiskiaje kwa kweli maana hao wameru ninao wataja watupa mtoto wa miezi 6 kwa baba mpaka sasa huyo mtoto yupo zaidi ya miaka 23 na hawana hata muda wa kutaka kujuwa yupo au la 😊

  • @MARIAMDOE-gb2po
    @MARIAMDOE-gb2po Год назад

    Magamba wooow nyumbn

  • @happymau2809
    @happymau2809 Год назад

    Waoow Asante Mungu

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 Год назад +3

    Hongera sana my dear kwa kuwa na imani kubwa sana

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 10 месяцев назад

    Inavyo onekana uyu mama sio poa kwake ajapenda afu anasema anaelekea kuwa mubibi wakati kishazeeka unamuachachia mwanaume mtoto wako eti yupo mikono salama duh dada pole sana pia onger

  • @halimaabdul4805
    @halimaabdul4805 Год назад +3

    huyu mama noma duu

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Год назад +10

    Huyu mama alijitoa muhanga dah, Bora tu umeonana nae lakini amama yako ana roho ngum sana

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 Год назад

      Inaonekana mama kweli anaroho ngumu hata mwonekano wake kwenye picture hachangamki

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 Год назад

    Mungu ni mwema Angel Barikiwa Sana na Mama,wabarikiwe pia waliokulea.

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Год назад +7

    Mashallah 🙏🙏 nimefurahi sana kusikia umeipata pepo yako🔥🔥🔥

  • @saurasoso1543
    @saurasoso1543 Год назад +17

    Uyo mama mwenyewe Sasa ongea yake tu ana kiburi zarau na roho yake ngumu kinyama mbona haonyeshi kumfurahia mwanae khaa 😂😂😂😢

    • @annehk8185
      @annehk8185 Год назад +2

      anasikitisha kwa kweli yaani hana furaha hata ya kuigiza ile ya kinafiki aibu tupu kwake kama mzazi

    • @fideahyera2599
      @fideahyera2599 Год назад

      Aibu na kujickia mkosaji kwa mwanae

    • @joycemwankusye4872
      @joycemwankusye4872 Год назад +1

      Hata mi huyu mama simuelewi duuu...

    • @namsamson3443
      @namsamson3443 Год назад

      Alafu mtoto anamkumbatia yeye wala, ndugu zake Angel ndio wamefurahia ila huyu mama 😢

    • @lylianvegulla7555
      @lylianvegulla7555 Год назад

      Ni aibu. Watoto wanaPotezaga Baba siyo Mama.

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Год назад +1

    Mungu mwema Jamani

  • @dominamsonge3088
    @dominamsonge3088 Год назад +14

    Huyu mama anaonekana hasira ya mwenza wake aliihamishia kwa mtoto maana kama vile bado anahadira jamani. Mungu atusaidie wamama

    • @justinalyimo7966
      @justinalyimo7966 Год назад

      Kahsmishiaje Sasa wakat baba alitaka mwanae

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 Год назад +4

      Una psychology kali sana,hata mimi nimegundua hilo

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Год назад +2

      Yani pia naona HUYU mama hajafurahi

    • @memoryngambi7570
      @memoryngambi7570 Год назад +1

      Unamaanisha yupo kama bibi Ester yaani wa kwenye CD ya teke la mama,umenifurahusha ndugu yangu.

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Год назад

      @@memoryngambi7570 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 Год назад +1

    Hongera bibi sahili Kwa kumpata mwanao

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 Год назад

    Kweli damu nzito kuliko maji🙏🙏🙏🙏

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Год назад +10

    Hawajafanana hataaaaa!!!!Ila binti ana Mungu ndani yake Walezi wake pongezi kwenu

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 Год назад

    Mungu yu mwema

  • @hildahtemu
    @hildahtemu Год назад

    Hello Clouds naomba muanzishe na ya kukutana na baba japo ni ngumu lakin tutawashukulu❤

  • @uwinezajohara8362
    @uwinezajohara8362 Год назад +8

    Maman ni maman tu hakukulea ila unatamani umuone .upendo wa mama na mwana ni wakipeke

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Год назад

    Hakika cloud ni kiboko mno big up

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Год назад +1

    Nilichogundua mama Amna hapa eti nilijua yupo kwa baba yk atakua salama mzima kweli ww mqwanao hata umuache kwa bilionea kumtafuta muhi dah we dada unamoyo Sana Kama mm mwenye roho ya kinyama sizani Kama ningekutafuta thubutuuuuui

  • @brytonypeter5348
    @brytonypeter5348 Год назад +1

    Mm nilitelekezwa na baba yangu nikiwa na miez mpaka Sasa Nina miaka 25 nimefanya jitihada za kumtafuta mitandao mpaka nikampata ila kiuhalisia waalimu Wana tabia ya kukimbia watoto alihama kikaz akahama mazima

  • @stellakusaga4916
    @stellakusaga4916 Год назад +2

    Glory be to our God almighty

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 Год назад +2

    Najifunza kuendelea kuwapenda wanangu sana sana Mimi ni wa maana sana kwao

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +2

    Mama Amejaa Asira Sijajua Kama Anajisikia Vibaya Kwa Kukaa Mbali Na Mtoto Bila Kumsaka Au Bado Yuko Na Asira Wenda Kati Yake Na Mmewe Awakua Na Mawasiliano Mazuli Sasa Bado Amejawa Asira

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад

    Dah😭 miaka yote hiyo hatimae umempata Mama yako mungu mwema lakini pia baba yako ni mtu mzuri maana ingekua baba mwengine angekwambia Mama yako ashakufa haswa ili usimtafute

  • @KabijSaib
    @KabijSaib Год назад +6

    Suala la mama mzazi ni zito mnoo❤❤

  • @ifadatalizam8607
    @ifadatalizam8607 Год назад +9

    Huyo mama wala haoneshi furaha kakalia kiroho mbaya

    • @mwajumahamisi2006
      @mwajumahamisi2006 Год назад

      Kabisa

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 Год назад

      Mimi nahis kama moyo wake umekufa ganzi sijui amini amin

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah

    • @sifaupindo
      @sifaupindo Год назад

      Kakika, pia atakua Hana mapenzi nae sababu hajamzoea, na mazoea pia yanaongeza upendo

  • @carolineelias5847
    @carolineelias5847 Год назад +8

    Hakika Mungu ni mwema sana kwake yote yawezekana

  • @eashaeasha9776
    @eashaeasha9776 Год назад

    Kwenye cm mama qlichangamka mno ile ck ile nashangaa live mama kapoa kiasi hiki hajachangamka sana haoneshi furaha

  • @ScollaLeba-qm3rv
    @ScollaLeba-qm3rv Год назад +2

    Dah furaha ilitawala sana hongereni jamani ❤️❤️

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Год назад +1

    Siqezi kuachia mtu mtoto wangu hata km niko na Hali gani we!

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Год назад +1

    Ni kweli wanacho kifanya clous Fm ni huduma ya Mungu

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 Год назад

    Mapito wanayo pitia akinamam weng nimagum simlaumu huyu mam kupotezan huwez jua ilikuwaje

  • @hidayaomar5783
    @hidayaomar5783 Год назад

    Naomba namba

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Год назад +5

    Ila uwezo wa kila mtu kumtafuta mwezie ilikua inawezekana kabisa sema hawakutaka

  • @SelemanMuhamed-ir5zl
    @SelemanMuhamed-ir5zl Год назад

    MUNGU NI MWEMA SANA. KILA KITU KINA WAKATI WAKE JAMANI. MAMA YANGU NAYE HIVYOHIVYO ALIACHWA NA MAMA YAKE AKIWA NA MIAKA 3 NA AKUFANIKIWA KUKUTANA NA MAMA YAKE . LAKINI KATIKA KUMUOMBA MUNGU NA KUMTAFUTA. 2022 AMEFANIKIWA KUMPATA MAMA YAKE AKIWA AMEZEEKA HUKO KIJIJINI MOSHI.

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 Год назад

    Woo😂😂😮❤

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Год назад

    Mmmmh, Mungu ni mwema.

  • @mariamnkenzi3651
    @mariamnkenzi3651 Год назад +9

    Oh glory to Jesus❤

  • @nasramuhammad2046
    @nasramuhammad2046 Год назад

    Niko na miaka 25 mamangu n tz kutoka moshi ila ako kenya tangu tuzaliwe ajawai kanyaga kwao kwa wajomba zng ata siwajui Allah atueke nikutanishwe na familia ya mamangu 😢 😢

  • @lilianmsafiri5392
    @lilianmsafiri5392 Год назад +1

    Ongera saaana dada

  • @evankya1955
    @evankya1955 Год назад +1

    kuacha mtoto wangu na kufunga milango ya kumuona tena for 40yrs jamani hiyo ni roho ya namna gani? i feel for Angel

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Год назад +4

    Katika hii dunia mama ni kila kitu

  • @Aiuoex
    @Aiuoex Год назад

    Uyu Maman siyo Maman muzuli ila dada Yangu Maman ni Maman tu njo Mungu amekupa ila kwa bingine Mmmmmmm ana roho ya Jiwe njo wa kwanza nasikia hana upendo wa mutoto !! Myaka kama iyo yote!! Apana sija kubali mimi

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Год назад

    Sasa mlitaka apige mayowe ya kinafki ama anaonekana huo ukimya alishaathirika kisaikolg kama unamwelewa mimi nimemwelewa kwa sababu nimeyapitia kama sio Mungu da! Ilikuwa ni hatar ya wangu kunisahau kwa ajili ya mjinga mmoja

  • @reginalongwe8701
    @reginalongwe8701 Год назад

    Mungu nimwema

  • @esterkiyabo1329
    @esterkiyabo1329 Год назад +2

    Mmmhh! Wewe mama! Muda wooote miaka 40?

  • @stellakusaga4916
    @stellakusaga4916 Год назад

    Hakuna linalo mshinda Mungu!!!

  • @florencemsigala6549
    @florencemsigala6549 Год назад +1

    Huyu mama 🙌

    • @fatumastv
      @fatumastv Год назад

      Huyu mama kama Astuki misijaona kufulai kwauo mama ila samahani

  • @happyness577
    @happyness577 Год назад +1

    Mungu ni mwema kila wakat

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад +15

    Uyu mama ana roho ngumu sana miaka yote iyo umekaa hujui mtoto wako yupo sehem gani du

    • @waimani5550
      @waimani5550 Год назад

      Nazani ndio sababu ya Mungu aliamua kumtenganisha na mtoto wake, vinginevyo binti angekuwa kama mama yake

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Год назад

      Yaani jamani

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Год назад +3

    Mama mbona amkumbatii mtoto jamani huyu mama
    Amesema neno moja eti nilimwacha mtoto akae na baba yake kwa kuwa nina wengine. Lo hatausifanye juhudi ya kujua yuko wapi.

  • @salhaabdulrahman6323
    @salhaabdulrahman6323 Год назад

    😭😭😭😭 Mungu wangu

  • @muta-news2786
    @muta-news2786 Год назад +28

    Ndugu zangu wapendwa,hizi story za kuachwa na mama kwa baba ukiwa mtoto mdogo zisikie kwa jiran isikupate eiseee. Mimi mwenyewe niliachwa nikiwa na miaka minne ila naisi mpaka Leo hii maumivu ayajawahi kuisha rohoni.
    Nimefurahi wamekutana ila lazima ukweli tuseme,wanawake wengi uwa wanaogopa kuogopa na watoto wa mwisho au wadogo Sana kuogopa usumbufu wa maisha.maana mtoto wa miaka 2 uwezi kumuacha kwa baba yake na kuondoka na watoto wakubwa iyo Nini Sasa.
    Of course mm siwez kudanganya hii kitu uwa inanisumbua akili Sana mpaka naisi ivi au nilikuwa sipendwi na mzazi wangu au tatizo ilikuwa Nini mpaka akaniacha na kuondoka na watoto wakubwa na kuniacha mm mdogo kiasi kile.
    But anyway tupendane tu na maisha yaendelee ndugu zangu.
    Ila tujifunze kitu wazazi tunawaumiza watoto kuwatupa wakiwa wadogo kiasi kile.but kitu Cha kumshukur mungu imenifundisha kuheshimu mke wangu na kuwapenda watoto wangu sitaman ata second kuishi mbali nao au mama yao kunitelekezea watoto km ulivyo kuwa kwangu.
    Kuna mda inanipa moyo wa uvumilivu Sana kwenye familia yangu.Nimeipenda hii story japo imeniumiza maana nimekumbuka mbali Sana.naisi tuna la kujifunza kwenye Aya maisha.

  • @gracemadondola7331
    @gracemadondola7331 Год назад +4

    Mungu anisaidie niwalee wanangu mpk mwisho wangu

  • @mus2sandege
    @mus2sandege Год назад

    Toeni no zenu kuna watoto pia ambao hawajawahi muona baba miaka 25 sasa,wanatamani sana kujua baba kama yuko hai au ndugu wa baba

  • @habibaomarykiponda4036
    @habibaomarykiponda4036 Год назад +2

    Sasa kwann alimuacha mdogo akachukua wakubwa mdogo simuach ht kwa dawa nitamuiba tu

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Hii iwakute watoto wote wakike na wakiume unalea mtoto anashinda akikusumbua nataka babangu au nataka mamangu haya sasa huyu kakutana na mamake mama mwechewe nikama alizoea kuishi bila yeye

  • @sabrinamchipu7657
    @sabrinamchipu7657 Год назад

    Ila bibi mmh mbona kama hajaelewa vizuri kweli mtoto wako humuoni kipindi chote icho mpaka amekutafuta mwenyewe mama apo ukosea sana wewe mama ndo ulitakiwa kujua mwao yuko wapi na mwanao anaishi vipi ata kama baba alikua na uwezo na nanimlezi pia lakini si kwakumuacha mwanao iyvo

  • @delfinamosha2861
    @delfinamosha2861 Год назад

    Wanawake wa kipare wana roho ngumu sana

  • @roseodipo9868
    @roseodipo9868 Год назад +2

    Mmh mama mbona bado ana hasira na ba mtoto sijui nisemeje?kama hana furah kivile🤷🏻‍♀️

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 Год назад

    Hakuna upendo hapo ndiyo maana kila mmoja hana furaha sana na mwenzake.

  • @ummuaisha5559
    @ummuaisha5559 Год назад

    Yani Hadi nimebubujikwa naachoz, mungu ni mwema

  • @NehemiaKimaro-bf5lx
    @NehemiaKimaro-bf5lx Год назад

    NANI KAMA MAMA

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 Год назад +8

    Kweli mama ni mama hata hivyo furaha ya mtoto kumuona mamake imekithiri zaidi ya mama kumuona mwanawe nimeangalia kwa kina hata hivyo mungu azidi kuwapa mapenzi na muhitimishane kwa salama

    • @aishaulengesabry9672
      @aishaulengesabry9672 Год назад

      Yaani. Soo painful but tumuachie Mungu, tusihukumu. Lkn how comes mama hakustruggle kumtafuta mwanae.

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Год назад +5

    Ila huyu mama mmmmh 41 yrs