A-Z SAKATA KIJANA wa MIAKA 27 KUFUNGUKA NDOA na BIBI wa MIAKA 67 -"WANAWAKE WA MJINI WANASUMBUA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 518

  • @PracksedaPeter
    @PracksedaPeter Год назад +7

    Muwe na respect kidogo kwenye interview mna kejeli sana watangazaji

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +9

    Ila Dida tabia mbaya😮😮😮😮ni nini kucheka ivo mbele yenu,huoni kama wifi anajiskia vibaya,
    Nidhamu na heshima ni muhimu sana,
    Zingatieni ubinadamu,hana moyo wa jiwe huyu mama.
    Mmemuita wenyewe,mbona mnawakosea heshima.

  • @aishahahmeddy9288
    @aishahahmeddy9288 Год назад +1

    jamani kama mko pamoja na wasafi mnawaharibia tunapenda sana wasafi ...Dida kidogo kama mzazi wako huyo bb mpe tu heshima zake maanake kupenda sio kosa Roho kapenda afanyaje aah umemdhalilisha bb na hata sisi wanawake kwa jumla

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 Год назад +21

    😢Hawa watangazaji wawili dida na Juma hawana adabu na kisheria wangefaa adhabu maana WAPO hewani dunianzima tunaangalia wanamdhalilisha huyu mama.😢
    I'm from KENYA IM A GREAT FAN OF WASAFI BUT ON THIS INTERVIEW. YOU SPOILED THE ENDING OF MY DAY😢 SIJAPENDA HAKI.

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад +1

      Mbona nao wanaenda kwa media mimi angekua mamangu ningemkataza au ningekua naenda naye

    • @mariamnur1036
      @mariamnur1036 Год назад +2

      Eeh wajinga kweli

    • @MercyNorris-q3z
      @MercyNorris-q3z Год назад +4

      Yu mama mwenyewe chizi kwani yeye hajijui kuwa mtu mzima anajizalilisha mwenyewe si angekataa dida hana makosa

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад

      @@MercyNorris-q3z mara nyingi miaka ikienda akili hurudi kua ya kitoto mimi sikua nalijua hilo mpaka nilipoanza kuhudumia wazee utakuta hata sisi ndio tunaona dida kakosa lakini yeye aona ako sawa

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад

      Mtihani kabisa

  • @DJQueenBeeOG
    @DJQueenBeeOG Год назад +19

    Mkiwa mnahoji watu mjaribu kiwa na adabu kidogo sasa huko kumcheka inamaana gani hadi mtu anakiwa ajisikik vyema nikama dhihaki siyo hawa tu wengi mnawahoji huku mnawasema mnawananga hapo hapo ndo nn na siyo Media hii tu media nyingi ndo zilivuo kuweni na nidhamu ya kazi yenu subirini akitoka ndo mumtete

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +4

    😂😂😂😂😂leo mmenifurahisha sana😂😂😂hongereni sana wapenzi.
    Bora mkono uende kinywani😂😂

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 Год назад +15

    15:46 sasa Dida unacheka nini!!? Maana mtangazaji huna maadili ya kazi yako na huyo Bibi Mzuri kuliko wewe Dida

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Год назад +2

    Huyo mume hataki watoto yaani amewacha dini inna lillahi wainna inna illahi rajiun

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Год назад +13

    Ahsanteni bibi na kijana mmeweza kutengeneza drama hadi imewafikia wasafi

  • @catherinechisalala4055
    @catherinechisalala4055 Год назад +7

    Mmemkosea sana Mama wa watu. Kinachowachekesha ni nini sasa. Hakuna maadili ya utangazaji hata kidogo.

    • @sarahkeivaly3351
      @sarahkeivaly3351 Год назад

      hao watangazaji wameokotwa tu huko mitaani, labda Idriss ndio kdg anatambua nnn anachotakiwa kufanya

  • @mwatangachuma9069
    @mwatangachuma9069 Год назад +3

    Ugeni nimeuwelewa Didaaaa sema wifi na kaka didaaaaaa🥰

  • @abdallaali10
    @abdallaali10 Год назад +1

    Hii hapa imeenda👍

  • @hamadimatano4503
    @hamadimatano4503 Год назад +1

    kusema kweli uyo kaka amefanya jambo zuri sana miaka ni namba kislam uyo kijana ako sawa musiejua dini muna tabu sana bro niko mbali ila mwenyewe mungu akulinde na mahasidi funga ndoa na mungu atakusimamia ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Chrisscherry
      @Chrisscherry Год назад

      Hapo Ndio nachukiaga uislam yaani sisi wakiristo tunachojujua mama wa mtu mwingine ni mama Yako,kijana amekosea atajibu nini kwa mola

    • @Khadijahamza-o2n
      @Khadijahamza-o2n Год назад

      ​@@Chrisscherryunamjua mola wewe sisi ni waislamu kwetu ni haki

    • @hamadimatano4503
      @hamadimatano4503 Год назад

      @@Chrisscherry nikulize swali ww mkiristo ndoa nani kafundisha 🇰🇪🇰🇪

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Год назад

      Sasa uislam gani hadi kubadili dini yahaki kwenda kujidhalilisha namjukuu wake😊

    • @hamadimatano4503
      @hamadimatano4503 Год назад

      kislam uyo kijana amefanya makosa kubadili dini kutoka dini ya mwenyewe mungu kuemda dini ya watu yani wafanya biashara ukiristo sio dini

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 Год назад +1

    Sio kweli,kwann waende kwenye vyombo vya habari,hakuna kitu hapo

  • @mwanaashasoud8240
    @mwanaashasoud8240 Год назад +1

    Dida we kiboko unacheka vibaya ❤❤❤

  • @thehustlerafrica
    @thehustlerafrica Год назад +9

    Media kuweni na elimu au taalamu unamwita mtu anakuja kwenye interview then mnacheka ninyi

  • @NeemaKimambo-f1h
    @NeemaKimambo-f1h Год назад

    Mubasha❤❤❤❤❤❤ hongereni

  • @hamadimatano4503
    @hamadimatano4503 Год назад +1

    uko kucheka kwenu sijapenda mm 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 Год назад +13

    Huyu mzee bibi na huyo mwanae wapungufu wa akili hakuna mapenzi njaa inamsumbua🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

    • @mariamnur1036
      @mariamnur1036 Год назад +3

      Bibi ana hela😂😂

    • @aishaissa2512
      @aishaissa2512 Год назад

      Hahahah huyu kijana kweli anavumilia tu 7babu ya kula mm nashauri vijana watafute pesa zao ili wawe na wapenzi sahihi😂😂

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Год назад

      @@mariamnur1036 kabisa🤣🤣🤣

    • @danielmollel5538
      @danielmollel5538 Год назад

      umri namba tu

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Год назад

      @@danielmollel5538 Angekua dam yako ungekubar?

  • @thamani5842
    @thamani5842 Год назад +8

    Ata kama mapenzi hayana umri lkn hapa hakuna mapenzi hasa kwa huyo kijana kafata kitu tu apo

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 Год назад +1

    Aiseeee leo wasaf mwaniflaishaa

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Год назад +1

    Dida unajuwa kucheza nambavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct Год назад +11

    Mapenzi huota popote jamani.mungu awabariki tu kwakweli

  • @secymald1213
    @secymald1213 Год назад

    Dida anacheka vibaya banaa
    Unamcheka Mbibi wawatu ad anajisikia vibaya anajua mmemuita kumcheka na kumdhalilisha ungemfanya awe comfortable kwanza Ili awe huru kuongea anachojisikia ila sio kwa mlichokifanyaa mmeanza kwa kuwacheka et loo😂

  • @NaifinMohamed
    @NaifinMohamed Год назад +9

    Kijana karogwa kwa ulafi wa kula😂😂😂😂😂

  • @RoseSwai-j7u
    @RoseSwai-j7u Год назад +6

    Dida tabia mbaya sasa unacheka nini😢😢

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Год назад +2

    Mapenzi hayachaguwi mungu awadumishe na ndoa Yao ameen nyie studio kama mnawaenjoy sio vizuri nyie mliopo hapo vijana na na mmeolewa na mmeowa na vijana wenzenu mbona hamjadumu kwenye ndoa zenu acheni hizo tasnifa mistake kuchungulia visima wakati maji mnayaona

  • @TheEdnafamily
    @TheEdnafamily Год назад +1

    Wadada mnacomment hapa na mko na ma sugar daddy kibao😂nyooo achaneni kila mtu afanye dhambi pekee Mungu ndio mwenye kutoa ukumu

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Год назад +1

    Dida yuko kama mdogo wangu hadi sauti
    Yaani hadi nimecheka kwa kweli leo

    • @sara-os9dn
      @sara-os9dn Год назад

      Dida akicheka mi hoi😂😂😂

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад

    Intaview nzur sana lkn watangazaj wamekosa waledi katka hil maana hii nikaz na wapo watu wanangalia hili sasa sisi tumechagua wasaf kwa mapenz lkn nyny mmezngua sana watangazaji dida umetukwanza katk mahojiano inaonyesha waz hupenda na ukaonyesha kabisa had sisi waskilzaj tumejua

  • @NoraOkomolede-wi5eu
    @NoraOkomolede-wi5eu Год назад

    Musiwe mnawacheka watu kuweni na utaratibu wakati wa kuoji aisee mnawakejer sana kwaali iyo watu watashindwa kuikubar mialiko aisee yaaina iyo

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Год назад +11

    Kweli nyie sio watu wazuri wasafi sasa mnawacheka wanandoa hadi wanachukia

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад

    Bibi kizee na mjukuu wake, Bw Shine maharusi watarajiwa

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 Год назад

    Kwani lazima muende kwenye mastudio????????mh kujizalilisha

  • @sitimwarakwe1830
    @sitimwarakwe1830 Год назад +1

    Daa Dida chukua soda bili yngu❤

  • @ziadamussa1005
    @ziadamussa1005 Год назад +2

    Mbavu sina Mimi jamani Dida wewe nomaaaa

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb Год назад +11

    😂😂😂 Dida acha maskhara bibi kapenda kijana kafata pesa

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 Год назад

    Ila wasaf Jaman mbona mnacheka live 😅😅😅

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад +2

    Hizo pesa zote huyo mama ako nazo anaweza kosa pesa ya kuweka meno kweli wewe Dida hivyo sio vizuri

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Год назад +4

    Kile chakula al8chomp siku y kwanza tu alimentary dawa siku ya pili shein akataamka nakupenda huoni dawa

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 Год назад +1

    Kumbe siyo dram ni ukweli duuu hongera na baraka age ni namba tu

  • @christinaernesto4636
    @christinaernesto4636 Год назад

    Wanahojiwa wao aibu naona Mimi🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈shikamoo mapenzi

  • @joyceabasi
    @joyceabasi Год назад +2

    Jaman mbona wazungu wanaoana wabongo wanashangaa nini

  • @florangido202
    @florangido202 Год назад +1

    Bibi kapendeza sana kwa kweli

  • @ZaynabMshihiri-du9rj
    @ZaynabMshihiri-du9rj Год назад +3

    Vyachekesha sana jamn khaaa😁🤣😂🤣🤣🤣

    • @mariamnur1036
      @mariamnur1036 Год назад

      Ata namuonea huruma uyo mama😅😅😅

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Год назад +7

    Yaani hamna siku nimecheka km hii interview ya leo bibi muuza mkaa Tabata Msimbazi kauteka umma jaman😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 Год назад

      Anauza mkaa wakati hy mazee ana mpunga

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Год назад

      @@ashuuuaisha9122 Umemuona nao huo mpunga au unasikiliza hizi kiki zinazoendelea

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Год назад

      @@ashuuuaisha9122 Umemuona nao huo mpunga au unasikiliza hizi kiki zinazoendelea

    • @ignasmethod4239
      @ignasmethod4239 Год назад

      Ni kweli nimemuona juz lerini tabata anachuma mboga nikashangaa maana kajibrand Ana hela ukimuona utashangaa

    • @ukhutfatumah1154
      @ukhutfatumah1154 Год назад

      Watu WA Tabata atujawai kushindwa jambo aise 😂😂😂😂😂😂

  • @charlesjishuli4355
    @charlesjishuli4355 Год назад

    Hawo watangazaji walinde Heshima za wateja wao. Kama huyo bibi wanamwona kapotoka. Nao wasiwe wapotofu kwa kushindwa kumuheshimu huyo mama. Wasihukumu Wala wasituamulie Sisi watazamaji. Wao ni kuripoti TU kioja. Waiache audience Yao iamue!

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 Год назад

    aiseeeeee hawa watu walijuta kufika hapo walah maana sio kwa kicheko hicho hata mm ningecheka haswaaaa

  • @marryluseko4645
    @marryluseko4645 Год назад +1

    Did umenikera Sana yaani huku Arusha hatukupendi hata kukusikiliza checking unavyoeleweshwa hustuki mpumbavu kweli kweli

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 Год назад +1

    Kwenye hichi kipindi dida masihara yamezidi yaani ksma dharau flan mumewaita harafu kejer ndo zinakuwa nyingi mara hana meno sasa asipo kuwa na meno wewe inakuhusu nn? Mara analingana na mama yako sasa akilingana na mama yako inakuwaje cjapenda mwingine ansonfoka😮

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад

    Interview kairbu dida kabisaa

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Год назад

    Zamaradi uwa anajua Interview,nsimucheke

  • @aishahahmeddy9288
    @aishahahmeddy9288 Год назад

    hii radio inajiita nn jamani hadi mnachunguza mdomo wa bibi kuwa haina meno ...watangazaji cjui ndo Dida na juma huyo wa upande wa kulia aki Tabia mbaya

  • @KadeejaKadeeja-ej4bu
    @KadeejaKadeeja-ej4bu Год назад +1

    Uzee mwisho charinze Safi sana mamy bigap sheeni ongera kijana

  • @gabrielurio6545
    @gabrielurio6545 Год назад +1

    Dida anazingua anakua kama sio mtangazaji maana anaonyesha kukejeli kwa kuwacheka badala aulize maswali.

  • @SavanahGemimah
    @SavanahGemimah Год назад

    Mbona DIDA, Esma, rubyshynah, Zaylissa mume Kimbia ndoa? Bora hawa watadumu tu❤❤❤❤❤baby wake

  • @MagrethDaniel-dk3qs
    @MagrethDaniel-dk3qs Год назад +2

    Aibu naona mimi🤦🙌

  • @Lulubyamung
    @Lulubyamung Год назад +1

    Kijana Ame lishwa Mchanga kwenye chakula

  • @charlesmtitu5606
    @charlesmtitu5606 Год назад

    Dida anazingua naye ni mbibi mtarajiwa. Hii taaluma imeingiliwa na watu hawana weledi sasa Didah anacheka nin watu wameamua sasa anacheka nin

  • @AhaddinSabtura-n5i
    @AhaddinSabtura-n5i Год назад

    Maashaalla kakaang hungera umefavya suns ya mutume muhamad swalalahu alaiwasalama lakini usingi badilidini kwakweli dini isilamu ndio kila kitu 😂😂😂😂nuwapendini

  • @ostakiambilinyi6614
    @ostakiambilinyi6614 Год назад +1

    Dida jamani mbinguni utafika kweli umenifurahisha

  • @marryluseko4645
    @marryluseko4645 Год назад

    Yaaaaaaaaaniiiiiiiiiiiiii ka hi redio hapana

  • @jennifermdabi3716
    @jennifermdabi3716 Год назад

    Hii ni kama ile ya Aizee na yule mama wa miaka 49, ni uwongo mtupu, watu wanatafuta kujulikana tuu

  • @dullabenz5343
    @dullabenz5343 Год назад

    Mhe Temba alisema "Nahichi Ndio kisa Cha BiBi kunipendaa Mimi".

  • @mwatangachuma9069
    @mwatangachuma9069 Год назад

    Juma uko wapiiiiiiiiii hiiii imeenda Dida

  • @mkundemosha1046
    @mkundemosha1046 Год назад

    Huyu Kaka kila interview ana maneno mapya. Ile siku alisema huyo ma alimwambia anataka lumps kazi

  • @Qs3557
    @Qs3557 4 месяца назад

    Kweli dida huna akili na najua huna hofu ya kupoteza kaz mala ya pili coz unauhakika na ulikoenda na napafaham nilikuona ila hujui kazi na itakushnda

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Год назад

    Laana hizi,,kama sio movie ama kiki mungu atawajibu😭😊

    • @neemaberny3598
      @neemaberny3598 Год назад

      Awajibu wamefanya kosa gani?..hebu tujibu Mungu mtu!

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Год назад

    Kama mnawaita watu waka na kuwasanif msikubali wenyewe wanataka kuhojiea na yao kibao wameyakalia

  • @JanethAbel
    @JanethAbel Год назад

    Yano hii studioo ni hawan adabu yan wamenikeera san asa wanachka nn hapo kilichowafraisha

  • @selinamenza-ob2vv
    @selinamenza-ob2vv Год назад

    Wewe mtangazaji ni mjinga wewe Hassan ndio waonyeshe hata hao vijana unawapenda siuongo unaonyesha mkware kweli kweli

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Mimi huyu angekua my mum mungekoma kumuita ita hovyo hovyo kwa hizo media zenu

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 Год назад

    Bora nienjoy!

  • @agapemwita8679
    @agapemwita8679 Год назад

    Cha ajabu ni Nini? angekuwa babu miaka 80 kuoa Binti miaka 20 wasinge hojiwa kwani wanawake tuna Nini jamani

  • @enjojohn7526
    @enjojohn7526 Год назад +1

    Dada angu acha kuwacheka vumilia kwaza watoke hapo ndipo ucheke

  • @flavianaephraim1521
    @flavianaephraim1521 Год назад

    Jmn wenye watoto wa kiume tucomment wapi, ni ngumu kumeza

  • @Rehemamwamumbo-si6ur
    @Rehemamwamumbo-si6ur Год назад

    Nimecheka mpaka bac dunia jamani inakoelekea sijui ni wapi daah

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад

    Couple in town haaaaa hiii ndio bongo dadeq

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 Год назад +2

    Mimi Mwenzenu Huku Roho Inadunda Vibaya,, Naona Aibu 😅

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Год назад

    Bismillah 😢

  • @AihmAli-d8x
    @AihmAli-d8x Год назад

    Jamani bb

  • @mariamnur1036
    @mariamnur1036 Год назад +1

    Kijana yuataka kula Mic😅😅

  • @shahaupunda301
    @shahaupunda301 Год назад +1

    Hajafuata pesa amefuata mapenzi wadada wa ckuizi hawana mapenzi kijana Yuko sahii

  • @fahashmohd6102
    @fahashmohd6102 Год назад +3

    Kwani kuwa miaka 60 dhambi??? age is just a number jamani kuna watu wa miaka 70 na wame owa ma binti wa nika 20 sasa hii Ina kuwaje??? Mie ni washauri tu musim cheka huyo dada majani huota popote

    • @aishaomary4498
      @aishaomary4498 Год назад +2

      Mwanamke sawa kuolewa na mtu mzima nawengi wao hufata penye pesa ila kwa mwanaume huyo bibi umri umeenda sana

    • @rerisamba
      @rerisamba Год назад +1

      @@aishaomary4498 eeh umeenda kweli pengine upekwe kuishi pekeyake kudharauliwa na majirani Huna mume pengine vikachangia

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Год назад

    Alf we dida mpuuz xn sasa kinachokuchexh hp nn 😮

  • @EdinahNdemo
    @EdinahNdemo Год назад +3

    Tanzania 🇹🇿 mko na maneno aki 😂😂😂😂😂😂

  • @MagdalenaJoseph-q5e
    @MagdalenaJoseph-q5e 15 дней назад

    Ila dida we mungubanakuona

  • @vero57
    @vero57 Год назад

    Umri just a number jamani, acha waowanee 💐🌺👍😄🤸🥳🥳

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Год назад +3

    Wanaume wanapenda kula kiukweli na kujaliwa.

  • @uwimanasitu6330
    @uwimanasitu6330 Год назад

    Yani leo mmenipa raha kwl Mr And Msr ongereni sana😂😂😂😂😂😂

  • @lildraco_k8977
    @lildraco_k8977 Год назад +2

    Siyo mama ni binti mwenzako Dida🤣🤣🤣

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 Год назад +1

    DIDA I MSHENZIIIII SANA ETI HANA MENO YA JUU😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AhyatAyat1-wq3lg
    @AhyatAyat1-wq3lg Год назад +1

    Da dida aki leo umejua kunichekesha kina Juma wanajikaza tuu

  • @GodfreyInocent
    @GodfreyInocent Год назад

    Dida unamcheka mama au baba tabia mbayaaaa achaaaa

  • @safiamohamud1222
    @safiamohamud1222 Год назад

    Dida you have respect this lady ok 😢

  • @aishamohamed3967
    @aishamohamed3967 Год назад +1

    leo mmejua kunichekexha😂😂😂 ety bib mara xhemeji😂😂😂 mara wifi cjui dada

  • @stephenlushinge4076
    @stephenlushinge4076 Год назад

    Dunia imeisha jaman

  • @JawahirSaid
    @JawahirSaid Год назад

    Mhh hiko chakula kilikuwa c bure au shine amefuata kitu kwakwelii

  • @lazarorojha7042
    @lazarorojha7042 Год назад +2

    Ni kama vile mliwaita tu kuwachoresha na kuwadhalilisha tu kwa maswali yasiyokuwa na tija, ebu msiwachambe Bali waulizeni tu maswali yenye tija

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 Год назад

    Yaani mkaka anaonekana ana shida ya hela kabisaa