A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 мар 2024
  • A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE
    Muigizaji Kupitia Tamthilia ya #JuaKali Zakayo amefunguka sababu za kuumwa kwa muda mrefu na kusema baada ya kutafuta suluhu kwenye mahospitali kwa muda mrefu bila kupata jawabu, rafiki yake ambaye pia ni muigizaji katika tamthili hiyo aitwaye FEMI alimshauri kwenda kwa mganga na akakubali ushauri huo
    Sikiliza kujua nini kiliendelea baada ya kufika kwa mganga, Zakayo amefunguka yote kwenye interview hii aliyofanya na Mashamsham
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 303

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 2 месяца назад +23

    Jesus is the only Way to follow

  • @AnethKapingaInventoryControlle
    @AnethKapingaInventoryControlle 2 месяца назад +19

    Zakayo bas mpereken na hawa akapone ana teseka jaman🙏🙏

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 2 месяца назад +10

    Ila zakayo ndiyo uwataje watu kwa majina yao😂😂

  • @3malis
    @3malis 2 месяца назад +28

    Kijana friji yake mbovuu 😂😂😂😂

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 2 месяца назад +29

    Mmh Asante Yesu kwa Neema ulonipa yakukutafuta

    • @shadiantakiyica6647
      @shadiantakiyica6647 2 месяца назад

      Sasa yesu ndo Mungu

    • @shamiramsoke1365
      @shamiramsoke1365 2 месяца назад

      @@shadiantakiyica6647YESU NDIE MUNGU WA MIUNGU

    • @user-yz5zn4tr6i
      @user-yz5zn4tr6i 2 месяца назад +2

      Kweli kabisaaa dear YESU Ndio kila kitu❤❤❤❤❤YOU

    • @user-gd2dx3pm9y
      @user-gd2dx3pm9y Месяц назад

      HUYO ALIKUWA NA TB ILIYOJIFICHA DALILI KUBWA YA TB NI KUTOKA JASHO JINGI KAMA MAJI NYAKATI ZA UCKU

    • @elizabethmuli5911
      @elizabethmuli5911 Месяц назад

      Yes YESU NI MUNGU KWA TAARIFA YAKO WEWE UNAYE ULIZA

  • @uwasekanimba4115
    @uwasekanimba4115 2 месяца назад +9

    Ayomaji nimoja symptom ya TB

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 2 месяца назад +62

    Kiufupi kijana hauna Siri kabisa,siku nyingine hutopata wa kukusaidia

  • @josephinemeela9098
    @josephinemeela9098 2 месяца назад +6

    Dalili kubwa ya TB ni maji mengi kutoka mwilini, jasho kali haswa usiku

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 2 месяца назад +2

    Amemtaja femi kwa nia nzuri kwa kuwa alimsaidia

  • @HeleneruthSango
    @HeleneruthSango 2 месяца назад

    Pole sana kaka Mungu akusaidiye

  • @user-yf3wu6ez3k
    @user-yf3wu6ez3k 11 дней назад

    Duuuuh Allah atuongoze kweli unafanya zambi alafu unatangaza 🤦🤦🤦

  • @malemawatson1130
    @malemawatson1130 2 месяца назад +3

    Daaaah sio poaaa

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 месяца назад +4

    Watu wanatafuta number ya mganga 😅😅tz people 🙌🙌🙌vijana fanyeni kaz acheni umariooo

  • @UpendoKimesu
    @UpendoKimesu 11 дней назад

    Duuuu uh poles aisee

  • @LacknessChaluza-wk9xu
    @LacknessChaluza-wk9xu 2 месяца назад

    Aiseeeee pole sana kwakwel wanadam hawa jamn Mungu asimame tu kwakweli

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 месяца назад +8

    Mwanaume huna kifua kabisa kwann umtaje mtu tena kwenye radio ?! Hovyoo kabisa 😢😢😢 ndo mana watu hawataki kusaidia wengine kwasababu ya vijana wa hovyo kama ww 😢😢

    • @sitybby0069
      @sitybby0069 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @JudithNyabori
    @JudithNyabori Месяц назад +1

    Kwann kwa femi hamjazima maiki alafu huyo mchawi mmezima

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 2 месяца назад +3

    Zakayo.......pole kwa mlima uliopitia

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv9230 2 месяца назад +9

    Afazali ungemtaj aliye kuroga na siyo femi ivi watu watamuona femi anapenda shirki

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 2 месяца назад +2

      Kanikera sn mbwa huyu😢

  • @MariaNdagile-hx5pr
    @MariaNdagile-hx5pr Месяц назад

    Hapo umenena kaka yangu Mungu akupe mwisho mwema.

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb 2 месяца назад +2

    Sijaelewa. Karogwa ila alipoanza Dawa za TB akapata nafuu vipimo vikasema maji yameisha na akaendelea na Dawa paka akamaliza na kupona. Sijaelewa hapo ni Dawa za TB simemponesha au uko kwa mganga

  • @kassimahmed1831
    @kassimahmed1831 2 месяца назад

    Ongera Sana Kwa ukweli Vijana muache kupenda mteremko

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln 2 месяца назад +1

    Duuh pole san

  • @RukiaRashid-mb7qc
    @RukiaRashid-mb7qc 2 месяца назад +16

    Asiye pitia mambo ya kiswahili awez kuku elewa Pole sana

    • @AzahOmary-kd2db
      @AzahOmary-kd2db 2 месяца назад

      kweli?

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 2 месяца назад

      Kweli kabisa, mpaka upitie ndio utajua hujui.

    • @RukiaRashid-mb7qc
      @RukiaRashid-mb7qc 2 месяца назад

      @@Thisisgrace979 kabisa my

    • @wanzitadeogratias497
      @wanzitadeogratias497 2 месяца назад +1

      Kweli kabisa wanaongea tu hajawafika watatafuta kila njia

    • @EmJesho
      @EmJesho 2 месяца назад

      Kabisa japo cjawai kwenda mungu anisimamie.kwasababu watu wangu wa karibu wanaenda sana

  • @aishanoor6819
    @aishanoor6819 Месяц назад

    Izo chale utakuwa kujitiia badae umepona lkn baado una vita usijisahau muombe Mungu

  • @saidisercy1707
    @saidisercy1707 2 месяца назад +1

    Lakini unaweza tengeza movie nyngine safi sanaaa😂😂🫵🫵

  • @judymarcus6445
    @judymarcus6445 2 месяца назад

    jamani idrisa naomba namba hiyoo tunakufa hukuuj daah

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 2 месяца назад +1

    Tatizo wanaume ss hv mnapenda wanawake wenye pesa hiyo ndo shida Bora mrogwe mtu anakusaidia huumiya pesa zk na mwanamke mwenye pesa anaweza kuenda kukuroga popote Kwa garama yyote si anapesa

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 2 месяца назад +1

    Compressor ya kijana haifanyi kazi vizur😂😂😂😂😂😂

  • @AnnerErneo-vc9yz
    @AnnerErneo-vc9yz 2 месяца назад +1

    Mmnh we kaka huna koo kabisa afu uache umalaya mnawachezea sana wadada acha wawanyooshe

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 2 месяца назад +4

    BAADAE WAKAKWAMBIA USITAJE JINA LA FEMI KWENYE STORI YAKO.,,ILIKUWA KAMA UNAMUANIKA YEYE,,UMEKOSEA SANA JIFUNZE KUMUHIFADHI MTU

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 месяца назад +1

    Kama Ni Kweli Basi Umejibloku Siku Ukiwa Hoi Sijui Kama Utapata Mtu Wa Kwenda Nawe Kwa Mganga Mana Kuna Yesu Na Mtume Muhamadi Sasa Ukienda Kwa mganga Weka Sili

  • @zuhurayusuph4826
    @zuhurayusuph4826 2 месяца назад +2

    Naomba location ya bagamoyo maana kaka yangu anateseka sana

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 2 месяца назад +5

    Pole sana zakayo ndo maana nilikuwa sikuon 😭 jua kali pole sana mungu akusimamie sanaa

  • @neemakaisy333
    @neemakaisy333 2 месяца назад

    Aombe apewe dawa za kuzuia TB

  • @stevengeorgetibenda1647
    @stevengeorgetibenda1647 Месяц назад

    End of the story alikuwa anaumwa TB

  • @ramlaprosper7573
    @ramlaprosper7573 Месяц назад

    Jmn isije kuwa Maria nta umia sana sio mambo yk😊

  • @salama1113
    @salama1113 2 месяца назад +3

    Unatowa siri za kambi😂😂😂😂😂

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy4850 2 месяца назад +1

    Friji la kijana haligandishi😂😂😂😂

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 месяца назад +2

    Jaman mimi nipo nasitofahamu

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 2 месяца назад +9

    Dogo yupo vizuri ktk uigizaji. Mungu ampe mafanikio mema🙏🙏

  • @user-gv1op1oh2c
    @user-gv1op1oh2c Месяц назад

    Juwa kali mnarogana sana ndio mana mabadiliko kila siku

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 2 месяца назад +11

    Ungemkabizi mungu maisha akurekebishia matatizo

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 2 месяца назад

      Mhh ushawahi kurogwa wewe😅

    • @RegnaRegna4
      @RegnaRegna4 2 месяца назад

      Kwaiy unamaanish mung hawez kutatua tatiz lako ila mganga ​ ach ujing wew@@annievibes8794

    • @wanzitadeogratias497
      @wanzitadeogratias497 2 месяца назад

      ​@@annievibes87944:03

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 2 месяца назад

    Vizuri, ila usingemtaja jina aliyekupeleka..

  • @PascalDk-pz5sg
    @PascalDk-pz5sg 2 месяца назад +1

    Kijana huna siri wewe !!
    Ungechambua vitu vinavyostaili kusema Hekima ni muhimu sana

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 месяца назад

    Naomben namba ya uyo mganga

  • @neemakaisy333
    @neemakaisy333 2 месяца назад +2

    Mtajeni jamani

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 2 месяца назад +1

    Dunia pole Sana 🤦🤦

  • @EllyDanielMtei
    @EllyDanielMtei Месяц назад

    Na mm namtaka nisaidie 12:18

  • @user-mk2gx5uy8v
    @user-mk2gx5uy8v 2 месяца назад

    Sbr wakufanyie tn m.mme hun kooo loooogh w.umme wengn mmmgh 😢😢😢😢😢

  • @user-jg3zt9ym8m
    @user-jg3zt9ym8m Месяц назад +1

    umezunguka sana ila hiyo ni TB ilikuwa inakusumbua coz jasho jingi n dalili tosha na si lazima uwe na dalili zingine na hata vipimo baadhi haviwezi kuonesha had pale itakapokomaa, na kama ulipotumia doz ukawa sawa, basi umrudie mungu na utubu kwa dhambi hiyo, keep praying brother ..

    • @CelinaPeress
      @CelinaPeress Месяц назад +1

      Hivyo kwa hali hyo angeanza dawa moja kwa moja bila vipimo au angefanyaje ili kupona?

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 Месяц назад

    Jamami mpaka waleo kizasi hii,kuna watu wanaeda kwa waganga madharau ya sheitani,kakangu kama ulifanyiwa hizo chale uligizwa kwa ulimwegu wa pili,BUT YESU YUPO YUAODOA HIZI VITU VYOTE HATA KAMA WEWE NI MUSLIM YESU NDIO MAMBO YOTE👏👏👏👏👏

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 месяца назад

    Lkn Juma atatuambia

  • @hamidahamza3754
    @hamidahamza3754 2 месяца назад +1

    Ila wifiii sio mcha Mungu kumbe uwiii ndaghaaaaaaaaa mamaaaaaaaa.... idi shemeji UNAE😂😂😂😂

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 2 месяца назад

    Kma hivy bas mpeleken hawa jmn yule dada anateseka jmn upareshen 22 sio kawaida daah pole

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 2 месяца назад +1

    Compressor bovu

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 2 месяца назад +10

    Ambao tushamjua huyo mwanamke tujikusanye apa😂😁

    • @candiesalm8995
      @candiesalm8995 2 месяца назад +1

      Sas mtatusanua na sie au mpk tuwabembeleze😂😂

    • @Humanity21216
      @Humanity21216 2 месяца назад +2

      @@candiesalm8995 we huogopi kulogwa 😂😂

    • @candiesalm8995
      @candiesalm8995 2 месяца назад

      @@Humanity21216 huu mwezi mtukufu uchawi haufanyi kazi😁😁

    • @Humanity21216
      @Humanity21216 2 месяца назад

      @@candiesalm8995 shetani kafungiwa 😁

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 2 месяца назад +1

      Mtutajie na sisi achen roho mbaya

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 2 месяца назад

    Usinge toa Siri zote ht huyo mtu mbaya anaweza kukuzuru Tena na kumfatilia ht huyo alo kupeleka karizika kumtaja hpo ktk mahojiano na mwengine akijua tiba yko ulo fanyiwa anaweza kuhangaika Kwa njia nyengine utampa mwanya usinge ongea yote

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Месяц назад

    dah kwanza nakusifu yaani ule ulemavu unaoiga umeweza tena umeweza tena

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 2 месяца назад +2

    Yani ukiumwa ukaenda hospital, ukakuta huna ugonjwa wowote, ujue kuna kitu hakipo sawa kwenye ulimwengu wa roho, life is spiritual

  • @kiya0910
    @kiya0910 20 дней назад

    Sasa ukitangaza Kwa mitandaoni suutarongwa tena ww

  • @LucyPaul-xc2pe
    @LucyPaul-xc2pe 2 месяца назад

    Mitihani ya dunia nkuonaga mnazimmoja hospital

  • @bwisofredrick8047
    @bwisofredrick8047 2 месяца назад +5

    Hii ulitakiwa kutulia nayo maana bado unajitafuta ungekuja kusimulia ukiwa mkubwa😅😅😅
    Ila bas hayanihusu😂

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 2 месяца назад

    Kwann anataja majin

  • @Tec_martin
    @Tec_martin 2 месяца назад +7

    Friji frijiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni bovu mnoooooooo.... Kumbe Femi mshirikina

  • @user-io5lm8vm6m
    @user-io5lm8vm6m 2 месяца назад +1

    Siku kichwa kikipat moto atatoa na sir za Lamata ajiandae t director

  • @aziza9093
    @aziza9093 2 месяца назад +1

    Kuwa karabu na mungu utafunikiwa

  • @prosperaugustino5292
    @prosperaugustino5292 2 месяца назад

    Hana Siri hata kidogo

  • @user-od9ud8il3n
    @user-od9ud8il3n 2 месяца назад +1

    Friji yake haigandishi tobaaaaa😂😂😂

  • @RahmaUssi-ef5lw
    @RahmaUssi-ef5lw 2 месяца назад +1

    Hamisa huyo😅

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 месяца назад +2

    Sijakuelewa kabisa idrisa

  • @storytownTv
    @storytownTv 2 месяца назад

    C ungetupa na namba za uyo mtaalamu maana hata cc wengine hatuelew kabix nahis kunamtu ananichezea..😢

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i 2 месяца назад

    Dida upo vzr. Vjana tafuteni pesa mtakwisha kwa dezo

  • @mankinemansulikine-2220
    @mankinemansulikine-2220 2 месяца назад +11

    Kwann mmezima maiki mnatabia mbaya na ss tunataka kusikia

    • @CelinaPeress
      @CelinaPeress Месяц назад +1

      😂😂😂😂 umbeya utakuponza kijana

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 2 месяца назад +2

    Ilikuaje sasa umtaje Femi wajina wangu😢😢😢😢😢😢

  • @sund2553
    @sund2553 2 месяца назад +1

    Sio gig kweli😅😅😅😅

  • @matronmkenda3510
    @matronmkenda3510 2 месяца назад

    Kwani kulikua na ulazima wa kumtaja aliekusaidia

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 Месяц назад

    Waganga wachoganishi Hakuna kitu unajua wana tumiaga sura za watu kuroga😮😮😮😮

  • @user-eq3oo1md2l
    @user-eq3oo1md2l 2 месяца назад

    Naamini ayo mambo yapo maana mimi pia nimepitia na nilipitia wakati mgumu sna😊

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 2 месяца назад

    Kijana huna siri kabisa😂😂😂

  • @magrethjohn7684
    @magrethjohn7684 2 месяца назад

    Huna kaba khaa😂😂😂 masikini femi

  • @issataslima9846
    @issataslima9846 2 месяца назад

    Hii inaonyesha kabisa udhaifu wa hospital zetu hamna vifaa tiba na madaktari hamna unaweza aje kumtibu mtu bila ya kuwa unauhakika anaumwa nini.. Ccm oyee

  • @monirangerera7155
    @monirangerera7155 2 месяца назад +1

    Ndo huyu aliyekuwa anaumwa akatwambia TikTok mpaka sauti imepotea mpaka kawa cheusi

  • @EllyDanielMtei
    @EllyDanielMtei Месяц назад

    Na mm namtaka nisaidie

  • @user-lx8nl8hh3f
    @user-lx8nl8hh3f 2 месяца назад +1

    Bora ucngemtaja Femi

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb 2 месяца назад

    Hutapa wa kukusaidia kk s7b. Huna qaba

  • @viatuvikali4938
    @viatuvikali4938 2 месяца назад

    Naombeni namba ya femi jamani😊

  • @heriethmichael6138
    @heriethmichael6138 2 месяца назад

    Mmmmh

  • @marcynhumbi3534
    @marcynhumbi3534 2 месяца назад

    Kwani kwenda kwa mganga kuna shida gani?kwa maana mmemsakama kijana,wakati na nyie wenyewe mnaendaga

  • @user-ok7zb9tn7q
    @user-ok7zb9tn7q 2 месяца назад +1

    Jamn fem naomba humusaidie n hawa anateseka saan jmn. Kam ni majarib. Sas bs , kam zakayo amepona ata Hawa atapona jmn

  • @EmJesho
    @EmJesho 2 месяца назад

    Acheni izo Femi kamsadia tu kumpeleka ili atibiwe

  • @rachelbathromew6223
    @rachelbathromew6223 2 месяца назад

    Asa ndio wamuweke femi na tunguli hapo kwenye kichwa cha Habari 😢

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 2 месяца назад +13

    Asante yesu mimi kua na.imani nawe.sio hao.waminio.shetan na waganga.

    • @JamaliZidadu-jd1nl
      @JamaliZidadu-jd1nl 2 месяца назад +2

      Hujaumwa wew omba uyo yesuu uendelee kua mzm ivo ivo usipate homaa saw😢 amn anae amini ila katika harakat za kujitibia kuutafuta uhai ipo siku utakuja kutuelezea apa na wew

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 месяца назад +1

      Uganga sio ushetani... mjifunze tofauti ya Mganga na Mchawi

    • @user-kc1br9zx4o
      @user-kc1br9zx4o 2 месяца назад

      Hayajakukuta

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 2 месяца назад

      Hayajakukuta mwaya

    • @jacquilinemsule9462
      @jacquilinemsule9462 2 месяца назад

      Tema mate chini.....hayajakukuta makubwa.....bado unasafari ndefu sana katika maisha.....wachungaji wenyewe yanawakuta makubwa na wanatafuta msaada upande wa pili..😢

  • @michaelkikusa2646
    @michaelkikusa2646 2 месяца назад

    Hapo kwenye kumtaja Femi amezingua 😂😂😂😂

  • @SaraphinaPeter-rx1sm
    @SaraphinaPeter-rx1sm 2 месяца назад

    Jmn mm namuhitaji huyo mganga jmn inakuaje msada jmn

  • @user-et8tg6qw1k
    @user-et8tg6qw1k 2 месяца назад +1

    Duuh

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m 2 месяца назад

    Didaaa yeyeee yakwakeee hayaoniii anaonaa yawezakeee tuuu yenyee mwenyeweee mtuhumiwaaa namba 3 kupendaaa vijanaaaa

  • @susankahindi244
    @susankahindi244 2 месяца назад

    Number ya munga please

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 2 месяца назад +1

    Basi nishamjua jamani niliwaona polisi baasiii heee dunia hiii kumbe niyeye

    • @scenic6
      @scenic6 2 месяца назад

      Nan uyo tupee code jamn

  • @HidayaNgala-uk8tt
    @HidayaNgala-uk8tt 2 месяца назад

    Nisaidie na Mimi uyu mganga jamanii