A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE
HTML-код
- Опубликовано: 18 мар 2024
- A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE
Muigizaji Kupitia Tamthilia ya #JuaKali Zakayo amefunguka sababu za kuumwa kwa muda mrefu na kusema baada ya kutafuta suluhu kwenye mahospitali kwa muda mrefu bila kupata jawabu, rafiki yake ambaye pia ni muigizaji katika tamthili hiyo aitwaye FEMI alimshauri kwenda kwa mganga na akakubali ushauri huo
Sikiliza kujua nini kiliendelea baada ya kufika kwa mganga, Zakayo amefunguka yote kwenye interview hii aliyofanya na Mashamsham
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Jesus is the only Way to follow
Zakayo bas mpereken na hawa akapone ana teseka jaman🙏🙏
Ila zakayo ndiyo uwataje watu kwa majina yao😂😂
Kijana friji yake mbovuu 😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
🙆🙆🙆🙆
Kateseka acha ateme.nyongo itoke
Compressa imekufa kabisa 😆
Mmh Asante Yesu kwa Neema ulonipa yakukutafuta
Sasa yesu ndo Mungu
@@shadiantakiyica6647YESU NDIE MUNGU WA MIUNGU
Kweli kabisaaa dear YESU Ndio kila kitu❤❤❤❤❤YOU
HUYO ALIKUWA NA TB ILIYOJIFICHA DALILI KUBWA YA TB NI KUTOKA JASHO JINGI KAMA MAJI NYAKATI ZA UCKU
Yes YESU NI MUNGU KWA TAARIFA YAKO WEWE UNAYE ULIZA
Ayomaji nimoja symptom ya TB
Kiufupi kijana hauna Siri kabisa,siku nyingine hutopata wa kukusaidia
NIKWELIIIII
KBSAAAAAA 💯%🤝
True anaongea sana jaman 😂😂😂
Duuh
Kweli hana siri ivi femi ataanza kuandamwa kwa kweli
😂😂😂😂😂😂
Dalili kubwa ya TB ni maji mengi kutoka mwilini, jasho kali haswa usiku
Amemtaja femi kwa nia nzuri kwa kuwa alimsaidia
Pole sana kaka Mungu akusaidiye
Duuuuh Allah atuongoze kweli unafanya zambi alafu unatangaza 🤦🤦🤦
Daaaah sio poaaa
Watu wanatafuta number ya mganga 😅😅tz people 🙌🙌🙌vijana fanyeni kaz acheni umariooo
Duuuu uh poles aisee
Aiseeeee pole sana kwakwel wanadam hawa jamn Mungu asimame tu kwakweli
Mwanaume huna kifua kabisa kwann umtaje mtu tena kwenye radio ?! Hovyoo kabisa 😢😢😢 ndo mana watu hawataki kusaidia wengine kwasababu ya vijana wa hovyo kama ww 😢😢
😂😂😂😂😂😂
Kwann kwa femi hamjazima maiki alafu huyo mchawi mmezima
Zakayo.......pole kwa mlima uliopitia
Afazali ungemtaj aliye kuroga na siyo femi ivi watu watamuona femi anapenda shirki
Kanikera sn mbwa huyu😢
Hapo umenena kaka yangu Mungu akupe mwisho mwema.
Sijaelewa. Karogwa ila alipoanza Dawa za TB akapata nafuu vipimo vikasema maji yameisha na akaendelea na Dawa paka akamaliza na kupona. Sijaelewa hapo ni Dawa za TB simemponesha au uko kwa mganga
Ongera Sana Kwa ukweli Vijana muache kupenda mteremko
Duuh pole san
Asiye pitia mambo ya kiswahili awez kuku elewa Pole sana
kweli?
Kweli kabisa, mpaka upitie ndio utajua hujui.
@@Thisisgrace979 kabisa my
Kweli kabisa wanaongea tu hajawafika watatafuta kila njia
Kabisa japo cjawai kwenda mungu anisimamie.kwasababu watu wangu wa karibu wanaenda sana
Izo chale utakuwa kujitiia badae umepona lkn baado una vita usijisahau muombe Mungu
Lakini unaweza tengeza movie nyngine safi sanaaa😂😂🫵🫵
jamani idrisa naomba namba hiyoo tunakufa hukuuj daah
Tatizo wanaume ss hv mnapenda wanawake wenye pesa hiyo ndo shida Bora mrogwe mtu anakusaidia huumiya pesa zk na mwanamke mwenye pesa anaweza kuenda kukuroga popote Kwa garama yyote si anapesa
Compressor ya kijana haifanyi kazi vizur😂😂😂😂😂😂
Mmnh we kaka huna koo kabisa afu uache umalaya mnawachezea sana wadada acha wawanyooshe
BAADAE WAKAKWAMBIA USITAJE JINA LA FEMI KWENYE STORI YAKO.,,ILIKUWA KAMA UNAMUANIKA YEYE,,UMEKOSEA SANA JIFUNZE KUMUHIFADHI MTU
Kama Ni Kweli Basi Umejibloku Siku Ukiwa Hoi Sijui Kama Utapata Mtu Wa Kwenda Nawe Kwa Mganga Mana Kuna Yesu Na Mtume Muhamadi Sasa Ukienda Kwa mganga Weka Sili
Naomba location ya bagamoyo maana kaka yangu anateseka sana
Pole sana zakayo ndo maana nilikuwa sikuon 😭 jua kali pole sana mungu akusimamie sanaa
Kwani huyu ni wa jua kali
Aombe apewe dawa za kuzuia TB
End of the story alikuwa anaumwa TB
Jmn isije kuwa Maria nta umia sana sio mambo yk😊
Unatowa siri za kambi😂😂😂😂😂
Friji la kijana haligandishi😂😂😂😂
Jaman mimi nipo nasitofahamu
Dogo yupo vizuri ktk uigizaji. Mungu ampe mafanikio mema🙏🙏
Anaweza sanatu ulemavu ule
Juwa kali mnarogana sana ndio mana mabadiliko kila siku
Ungemkabizi mungu maisha akurekebishia matatizo
Mhh ushawahi kurogwa wewe😅
Kwaiy unamaanish mung hawez kutatua tatiz lako ila mganga ach ujing wew@@annievibes8794
@@annievibes87944:03
Vizuri, ila usingemtaja jina aliyekupeleka..
Kijana huna siri wewe !!
Ungechambua vitu vinavyostaili kusema Hekima ni muhimu sana
Naomben namba ya uyo mganga
Mtajeni jamani
Dunia pole Sana 🤦🤦
Na mm namtaka nisaidie 12:18
Sbr wakufanyie tn m.mme hun kooo loooogh w.umme wengn mmmgh 😢😢😢😢😢
umezunguka sana ila hiyo ni TB ilikuwa inakusumbua coz jasho jingi n dalili tosha na si lazima uwe na dalili zingine na hata vipimo baadhi haviwezi kuonesha had pale itakapokomaa, na kama ulipotumia doz ukawa sawa, basi umrudie mungu na utubu kwa dhambi hiyo, keep praying brother ..
Hivyo kwa hali hyo angeanza dawa moja kwa moja bila vipimo au angefanyaje ili kupona?
Jamami mpaka waleo kizasi hii,kuna watu wanaeda kwa waganga madharau ya sheitani,kakangu kama ulifanyiwa hizo chale uligizwa kwa ulimwegu wa pili,BUT YESU YUPO YUAODOA HIZI VITU VYOTE HATA KAMA WEWE NI MUSLIM YESU NDIO MAMBO YOTE👏👏👏👏👏
Lkn Juma atatuambia
Ila wifiii sio mcha Mungu kumbe uwiii ndaghaaaaaaaaa mamaaaaaaaa.... idi shemeji UNAE😂😂😂😂
Kma hivy bas mpeleken hawa jmn yule dada anateseka jmn upareshen 22 sio kawaida daah pole
Compressor bovu
Ambao tushamjua huyo mwanamke tujikusanye apa😂😁
Sas mtatusanua na sie au mpk tuwabembeleze😂😂
@@candiesalm8995 we huogopi kulogwa 😂😂
@@Humanity21216 huu mwezi mtukufu uchawi haufanyi kazi😁😁
@@candiesalm8995 shetani kafungiwa 😁
Mtutajie na sisi achen roho mbaya
Usinge toa Siri zote ht huyo mtu mbaya anaweza kukuzuru Tena na kumfatilia ht huyo alo kupeleka karizika kumtaja hpo ktk mahojiano na mwengine akijua tiba yko ulo fanyiwa anaweza kuhangaika Kwa njia nyengine utampa mwanya usinge ongea yote
dah kwanza nakusifu yaani ule ulemavu unaoiga umeweza tena umeweza tena
Yani ukiumwa ukaenda hospital, ukakuta huna ugonjwa wowote, ujue kuna kitu hakipo sawa kwenye ulimwengu wa roho, life is spiritual
Huyu ni mimi kabisa nateseka sana😭
Sasa ukitangaza Kwa mitandaoni suutarongwa tena ww
Mitihani ya dunia nkuonaga mnazimmoja hospital
Hii ulitakiwa kutulia nayo maana bado unajitafuta ungekuja kusimulia ukiwa mkubwa😅😅😅
Ila bas hayanihusu😂
Kwann anataja majin
Friji frijiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni bovu mnoooooooo.... Kumbe Femi mshirikina
😂😂😂😂
@@lovegirls3713 Heeheheheh Doooooh
Siku kichwa kikipat moto atatoa na sir za Lamata ajiandae t director
Kuwa karabu na mungu utafunikiwa
Hana Siri hata kidogo
Friji yake haigandishi tobaaaaa😂😂😂
Hamisa huyo😅
Sijakuelewa kabisa idrisa
C ungetupa na namba za uyo mtaalamu maana hata cc wengine hatuelew kabix nahis kunamtu ananichezea..😢
Dida upo vzr. Vjana tafuteni pesa mtakwisha kwa dezo
Kwann mmezima maiki mnatabia mbaya na ss tunataka kusikia
😂😂😂😂 umbeya utakuponza kijana
Ilikuaje sasa umtaje Femi wajina wangu😢😢😢😢😢😢
Et
Sio gig kweli😅😅😅😅
Kwani kulikua na ulazima wa kumtaja aliekusaidia
Waganga wachoganishi Hakuna kitu unajua wana tumiaga sura za watu kuroga😮😮😮😮
Naamini ayo mambo yapo maana mimi pia nimepitia na nilipitia wakati mgumu sna😊
Kijana huna siri kabisa😂😂😂
Huna kaba khaa😂😂😂 masikini femi
Hii inaonyesha kabisa udhaifu wa hospital zetu hamna vifaa tiba na madaktari hamna unaweza aje kumtibu mtu bila ya kuwa unauhakika anaumwa nini.. Ccm oyee
Ndo huyu aliyekuwa anaumwa akatwambia TikTok mpaka sauti imepotea mpaka kawa cheusi
Na mm namtaka nisaidie
Bora ucngemtaja Femi
Hutapa wa kukusaidia kk s7b. Huna qaba
Naombeni namba ya femi jamani😊
Mmmmh
Kwani kwenda kwa mganga kuna shida gani?kwa maana mmemsakama kijana,wakati na nyie wenyewe mnaendaga
Jamn fem naomba humusaidie n hawa anateseka saan jmn. Kam ni majarib. Sas bs , kam zakayo amepona ata Hawa atapona jmn
Acheni izo Femi kamsadia tu kumpeleka ili atibiwe
Asa ndio wamuweke femi na tunguli hapo kwenye kichwa cha Habari 😢
Asante yesu mimi kua na.imani nawe.sio hao.waminio.shetan na waganga.
Hujaumwa wew omba uyo yesuu uendelee kua mzm ivo ivo usipate homaa saw😢 amn anae amini ila katika harakat za kujitibia kuutafuta uhai ipo siku utakuja kutuelezea apa na wew
Uganga sio ushetani... mjifunze tofauti ya Mganga na Mchawi
Hayajakukuta
Hayajakukuta mwaya
Tema mate chini.....hayajakukuta makubwa.....bado unasafari ndefu sana katika maisha.....wachungaji wenyewe yanawakuta makubwa na wanatafuta msaada upande wa pili..😢
Hapo kwenye kumtaja Femi amezingua 😂😂😂😂
Jmn mm namuhitaji huyo mganga jmn inakuaje msada jmn
Duuh
Didaaa yeyeee yakwakeee hayaoniii anaonaa yawezakeee tuuu yenyee mwenyeweee mtuhumiwaaa namba 3 kupendaaa vijanaaaa
Number ya munga please
Basi nishamjua jamani niliwaona polisi baasiii heee dunia hiii kumbe niyeye
Nan uyo tupee code jamn
Nisaidie na Mimi uyu mganga jamanii