LAANA YA BIBI WA MIAKA 60 YAMKUTA MKE WA KIJANA WAMIAKA 27 YUKO HOI AJUI ANAUMWA NINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 фев 2025

Комментарии • 108

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Год назад +4

    Wamaumwa wapo muhimbili tupisheni tafuteni kaz nyengine sio kushikilia maiki😊😊😊😊

  • @Haarun-h4q
    @Haarun-h4q Месяц назад

    Mtangazaji huyu Dada unamsumbuwa.Amerudia mara nyingi anaumwa na bado unauliza maswali ya ujinga.Tafuta kazi ufanye.

  • @FarhatIbrahim-zs3qh
    @FarhatIbrahim-zs3qh Год назад +1

    Waandashi waahabr tafuten Kaz yakufnya

  • @KareemAusi
    @KareemAusi Год назад

    Mwanamke alotimam awenzi kuchora tatu mpunguani uyooo msimpe pesa nyiyi wandishi uyooo mpuuzi😊

  • @meswalehnyaa6509
    @meswalehnyaa6509 Год назад +4

    Achangiwe kwalipi jamani..sai maisha mazuri hayo

  • @marthatv9335
    @marthatv9335 Год назад +2

    Anayeweza mchangia mtu mjinga kama juyu nibora akatoe msaada kwa watoto yatima😮😮

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Год назад

      Kweli kabisa matapeli wezi mgonjwa anatingisha na miguu mpumbavu kabisa

  • @KareemAusi
    @KareemAusi Год назад

    Uyu msichana no mweu mungu amlani uyu anavuta bangi. Na sheni

  • @Haarun-h4q
    @Haarun-h4q Месяц назад

    Mtangazaji vipi mtu anakueleza anaumwa unamsumbua?

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 Год назад

    HangOver hiyo mkesha wa biere hizoo😃😃😃

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Год назад

    Pole

  • @zoab2699
    @zoab2699 Год назад

    Huna pesa muili umeujajaza tatu na za tatu umezitolea wapi 🤔

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Год назад +5

    MITATUU YOTE HIYO YA NINI MTOTO WA KIKE CHAAA 🏃🏃🏃🏃

  • @dora3340
    @dora3340 Год назад +5

    Dada tapeli huyu jamani msimtumie pesa huyu jamani

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 Год назад +1

      Umeonaee yani nawaandishi awanakaz

    • @katanangari1984
      @katanangari1984 Год назад +1

      Nani amtumie pesa kama hazina kazi afadhali zipelekwe kwa mayatima

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 Год назад

      @@katanangari1984 anatafuta bwana

  • @FarhatIbrahim-zs3qh
    @FarhatIbrahim-zs3qh Год назад

    🤣🤣 htr nacheka km mazur vil tafuteni karanga muuze muctumalizie mb zetu hapa

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg Год назад

    Nani akusaidie.

  • @Zena-h4p
    @Zena-h4p Год назад +1

    Hii kiki bado inaendelea au vip

  • @Oman-xx1nm
    @Oman-xx1nm Год назад

    tafuta Kaz hufanye mchenzi wew😂😂

  • @SumuuKijoka
    @SumuuKijoka Год назад

    foxe tv ifungiwe

  • @DelamourmapendoDelamourbay
    @DelamourmapendoDelamourbay Год назад

    Humm mwiziiiii uyoo😅

  • @blessingblessing9641
    @blessingblessing9641 Год назад

    kumamae zenu

  • @MonicaMushi-w1i
    @MonicaMushi-w1i Год назад

    Mbona. Mnatuchekesha. Nyie

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Год назад

    Eheeee sister nikwambie usinichungulie shida ingali huna shida bali saidia wenye shida wallah unapoelekea chunga saaana kukosea kwa muumba wako niko paleee

  • @nickyrizznathan3377
    @nickyrizznathan3377 Год назад

    Huyu dada anafosi san umaarufu yn kunakipindi alitokea kama hivi napo akasema mume wke kachukuliwa

  • @issambonde1469
    @issambonde1469 Год назад +4

    Kichefu chef mimba nyengine ndani ya kiki😅😅😅

    • @LaCharmanteL
      @LaCharmanteL Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @WardaSalehe
    @WardaSalehe Год назад

    Unaumwa na unatisa mguu fanya nchezo na kuumwa😅😅😅

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Год назад

    Sasa siulisema kama shein kakuowa? Mbona sasa unakataa 😅

  • @katanangari1984
    @katanangari1984 Год назад +4

    Tapeli mkubwa wewe acheni kuwahoji hawa watu washenzi sana hawana hata adabu

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 Год назад +2

    Huyu dada ana hata cha msaada. Matatooo mpaka shingoni. Kuna watu wana shida, uyo ana shida gani.

  • @situgoele-eg1eg
    @situgoele-eg1eg Год назад +2

    Dada uko munafri unachindwa TikTok nauyo mumewako eeeh amuogopi mungu kweli

  • @thureyaseif7908
    @thureyaseif7908 Год назад +1

    Huyu dada hatari na anamdomo mchafu hanaoni aibu hats kidogo maneno makubwa kuliko hats umri wake dada ana maneno hata hawezi kukaa na mwamume wala hastahili kuolewa huyu ni mwanamke wa kujiuza ovyoo kabisa

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 4 месяца назад

    Sasa anaongea huku analegeza legeza mguu juu ni adabu ya wapi hiyo, kama kahaba!

  • @khadiijoaxmed4763
    @khadiijoaxmed4763 Год назад +2

    Na wewe FOXE TV wacha kutusumbuwa uyo mwehu naye ukweliii Uko Kwa bibi wee mjinga acha kuzuwaa na hatukuchangiii tutamchangiya BIBI kwenda zako ukooo

  • @nahyahya7349
    @nahyahya7349 Год назад +2

    Ila haya matatoo yanakufanya uonekane kama chakaramu fulani hivi

  • @Oman-xx1nm
    @Oman-xx1nm Год назад +1

    tafuta Kaz hufanye mchenzi ww😂

  • @saudamuro
    @saudamuro Год назад

    hapana wewe akili.huna kuchora midude hiyo ndiyo.nin sasa hivi mnajuta na kukosa mengi

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 Год назад

    Huyu aonekana ni mlevi

  • @nawalmtengo9303
    @nawalmtengo9303 Год назад

    Tatuu waaa Allah atunusuru

  • @hidayaally7059
    @hidayaally7059 Год назад

    Eti anahali mbaya 😀😀😀

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 Год назад

    Huyu dada tapeli sanahalafu ni mdada ana nguvu akatafute hata kazi ya ndani afanye nyokoo muongo tapeli mkubwa

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Год назад +3

    Sialikuwa anamsema bibi eti bibi anaomba msaada kaona bora igize anaumwa ili mpewe msaada, wakusaidie wengi si mimi una nguvu fanya kazi

    • @LaCharmanteL
      @LaCharmanteL Год назад

      Kweli hiyo. Wamekarafisha. Kama anaitaji hela akamuombe mme wake. Vipi anaomba msaada kimbindi anamkoseya kwa maneno mabaya kuhusu yule bibi?

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Год назад

    Mgonjwa gani anaongea kama redio

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Год назад

    Hi Media ya Kitapeli nahuyu Dada Tapeli Bibi Tapeli yule kijana Tapeli kwendeni huko hatuchangi Ng'oo wezi nyie

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v Год назад

    Wewe siulisema mumeo wewe muongope sana mungu

  • @kizauseni1773
    @kizauseni1773 Год назад

    Yuko numba ya mume wake alimpingania shaine

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Год назад +1

    Kwani kule kwa vikabati vibovu alikutoka c mumchanqiye globoli aliowa no achanqiwe tumewachoka tupumzisheni

  • @aishaalhabsi21
    @aishaalhabsi21 Год назад +2

    anaguvu ya kufanya kazi cheni kuchagia watu kama hawa saidieni vilema au anaonekana mtu anastahili ya kusaidi huyu mzima anawezo wa kufanya kazi

  • @sultanaswaleh8892
    @sultanaswaleh8892 Год назад +1

    Kwendaa huna ugonjwa wowote ! Waogeya kama barangumu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 6 месяцев назад

    Wewe zuu mbona ni mzuri kwanini hutulii hata yule sheghe aliyetaka kukuoa sasa akisikia nakuona mtandaoni bado anakuona mtandaoni anaona maneno waliosema wazee hawakutaki sasa acha kuwa mtandaoni na hizo tattoo si zilifutwa mbona zipo vile vile sasa hazijafutwa

  • @FlorenceKamau-bn3yk
    @FlorenceKamau-bn3yk Год назад

    Mkora kabisa

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Год назад +3

    Tumesha wagunduwa hivi hamrudi kutuchosha akilizetu

  • @dora3340
    @dora3340 Год назад +14

    Huyu msichana ni tapeli jamani msiwe mnachangia watu ma tapeli pesa wakati kunawatu wanashida wapo vitandani

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 Год назад

      😂😂😂😂😂

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Год назад

      Matapeli kweli tena wasanii washenzi

    • @LaCharmanteL
      @LaCharmanteL Год назад

      Tapeli maanayake nini? Please

    • @HadijaZabroni-pu1lt
      @HadijaZabroni-pu1lt Год назад

      Nitaperi asa mwanzo alikuwa anajitanda sasa ivi waaaaaaaa mitatu kama yote ivi mwanaume mwenyewe akili zake awezi kutumia mtu mwenyewe viungo vyake😢😢😢😢

    • @blackcolour8183
      @blackcolour8183 Год назад

      😂😂😂ila huyu msichana kwel tapeli,namjua vizuri yani lol!

  • @LaCharmanteL
    @LaCharmanteL Год назад

    Laaaahh alafu uyo mdada ana mdomo? Sasa kama uyo baba watoto ao mtoto wako kama hana lolote, kwanini kuzaa naye na kuendeleya naye? Hauna akili za kutumiya? Alafu unani shangaza. Unaulizwa kati yako na bibi nani asaidiwe? Eti wewe? Laaah kwanini usisemi wote msaidiwe ao watu wenyewe waamuwe nani watakao saidiya?

  • @ashasaidi1599
    @ashasaidi1599 Год назад

    Mareia ya kispanyora😅😅😅😅

  • @hawaomary8486
    @hawaomary8486 Год назад +3

    Mwili mzima umejichora mwanamke mmmmmh kafanye kz ww msichana unadanga bure tapeli

  • @lilian-e2r
    @lilian-e2r Год назад

    Wakuumwa anakuaga hivyo ! achenikupotezeana mda kwa kutangaziana mambo ya uongo na yasiyo eleweka. Njaa inakusumbuwa. Inaonesha nawe akili yako imeamiya kwenye tatoo.

  • @lisahhans295
    @lisahhans295 Год назад +3

    Malaya huyu na ukinwi wake

  • @katanangari1984
    @katanangari1984 Год назад

    Ukware tu anaumwa nini mshenzi sana

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Год назад +3

    Hana elfu mbili na mwili wote matatoo..

  • @RithaMname-im7zx
    @RithaMname-im7zx Год назад

    Hawa wangechukuliwa hatua tu ni matapeli yeye na shain wake

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Год назад +1

    Naona mumekosa kz yakufanya hamuna habari zengine kilasiku nihawa hawa tu munatubuwa sasa😡😡

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Год назад +1

      Huyu mwanamke hayawani tu anapenda kuoneshwa anaona sifa na waandishi mahanisi tu

  • @FarhatIbrahim-zs3qh
    @FarhatIbrahim-zs3qh Год назад

    🤣🤣kikamera chamchongo navijuic vyako navichips vyako ondoka hapa 🤣🤣🤣

  • @malikamohammed6641
    @malikamohammed6641 Год назад

    Tapeli huyo dada

  • @meswalehnyaa6509
    @meswalehnyaa6509 Год назад

    Kwaharaka haraka unakispanyoro

  • @situgoele-eg1eg
    @situgoele-eg1eg Год назад +1

    Eeeeeeeeeeh mungu wangu minachandwa TikTok kutwa muzima 😂😂😂😂😂😂

  • @khadijaathumanikhadijaathu9031

    😭😭😭😭😭💯🙆🤦😭😭

  • @AliKhamisi-f4m
    @AliKhamisi-f4m Год назад +2

    atakaye mchangia huyu pesa zinamuasha

  • @kulthummohamed101
    @kulthummohamed101 Год назад

    Hawa niuong 2 wana ekti ujing na wanatak pesaaaaa2

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Год назад +1

    Urembo uchafu😂😂😂

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 Год назад

    Jamani huyu mrembo niletewe kenya

  • @sakinakhatibu1820
    @sakinakhatibu1820 Год назад

    Ni muongo huyu dem msichange hata dala tapeli mkubwa

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Год назад +1

    Hupati hata mia Nyoko wewe

  • @samiatsungura
    @samiatsungura Год назад

    Wote matapeli wanatudanganya

  • @CathyMathias-bx4ft
    @CathyMathias-bx4ft Год назад

    Jua namna ya kuomba unaongea lugha gani kua na adabu ,kula hayo matatuuuuu,lugha chafu

  • @zamzamisaa4130
    @zamzamisaa4130 Год назад

    Anasem hana pes ya kul ya tattoo anapat wap

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 Год назад

    Kwa hiyo Kiki bado inaendelea

  • @zamzamisaa4130
    @zamzamisaa4130 Год назад

    Yani hata haelekei kama anaumwa macho jujuuuuuu muong to

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Год назад

    Yaani huyu dada mshenzi kujidhalilisha na kuomba jamii hana haya dada tabiazake sio nzur na alikua anajifunika kichwa vizur sahivi linajichora hata tatoo

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 Год назад

    Mjazito huyo

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Год назад +2

    Tumeshawachoka. Basi tena .tiktik msirudi kutuletea hawa viumbe na habar zao.

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg Год назад

    Jamani tukachangie yatima, umelaniwi wewe jangalie.

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 8 месяцев назад

    Acha ujinga wewe malaya anaumwa nn unaongea sana

  • @LenataMgaya
    @LenataMgaya Год назад

    😂😂😂

  • @rauhiyasalum1399
    @rauhiyasalum1399 Год назад

    Hawa wanatafuta kikii tu hana lolote

  • @mariamanzazi2696
    @mariamanzazi2696 Год назад

    Nonsense pambana wewe

  • @margaretkaranja1864
    @margaretkaranja1864 Год назад

    Ujinga mtupu. Mtaka cha mfuguni chati ainame

  • @bukuruissa4063
    @bukuruissa4063 Год назад

    😂😂😂