#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #EXCLUSIVE: DORIS wa HUBA AFUNGUKA PENZI LAKE na NIYONZIMA - ''ATABAKI KUWA BABA MTOTO WANGU TU'''
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 22

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 Год назад +1

    Nakupenda sana Doris huwa nikikuangalia movie naskia poa😊

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya6231 Год назад +2

    Ila huba kwa upande wangu natamani iishe cz.................leteni nyingine

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 Год назад

    ILA HUBA MUDA WOTE FULL MAKE UP HAKUNA HATA MUDA HATA MTU UKO KITANDANI AU UNAFANYA SHUGHULI ZAKO YAANI MUDA WOTE MMEJIPODOA ANGALIENI JUA KALI HUBA KWANGU MMMM

  • @eraera2304
    @eraera2304 Год назад +3

    Mbona anacheka cheka kama changudoa? anaboa sana

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Год назад +10

    Sasa ndy naamini mkiigiza pamoja mutegemee chochote kinaweza kutokea huyu na Niyonzima Gabo na Husna Sajent, Ray na Johari akaja Chuchu hans na sasa Naira na kaka Bill hatari sana wengine wapo tele Kitare kaoa kabisa Salome

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +7

    Mhhhh acha nisome zangu comment

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 Год назад +2

    Umri gani anaoongelea huyu? Kila saa umri mdogo umri mdogo akat ni mtu mzima..anamakumyanzi hatar

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc Год назад +3

    Kumbe kuna clip nliona mnaigiza wote mke na mume kumbe ni wazaz masha Allah

  • @zuenajuma9603
    @zuenajuma9603 Год назад +1

    Acheni comenty zisizo na nidham

  • @esthergerald6790
    @esthergerald6790 Год назад

    Hivyo vigezo unavyovitaka kwa mwanaume atakayekuoa,je wewe unavyo?

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 Год назад +1

    Sema unawakilisha wachawi tu😅😅😅

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Год назад +1

    ❤❤❤

  • @Tijarakabendera
    @Tijarakabendera Год назад

    Waati anazaa nae alikua ana mke kabisa wa ndoa na familia kabisa

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Год назад +1

    Wewee 😂😂😂 roiii anasikiaa

  • @LabiKongwa-pp2vh
    @LabiKongwa-pp2vh Год назад

    Nakupenda doric wangu

  • @فاطمة-ح8ث4ن
    @فاطمة-ح8ث4ن Год назад +2

    Wakwaz mmi kbs mates niliy Pata kwamwanaum