#EXCLUSIVE
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- #EXCLUSIVE: DORIS wa HUBA AFUNGUKA PENZI LAKE na NIYONZIMA - ''ATABAKI KUWA BABA MTOTO WANGU TU'''
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Nakupenda sana Doris huwa nikikuangalia movie naskia poa😊
Ila huba kwa upande wangu natamani iishe cz.................leteni nyingine
ILA HUBA MUDA WOTE FULL MAKE UP HAKUNA HATA MUDA HATA MTU UKO KITANDANI AU UNAFANYA SHUGHULI ZAKO YAANI MUDA WOTE MMEJIPODOA ANGALIENI JUA KALI HUBA KWANGU MMMM
Mbona anacheka cheka kama changudoa? anaboa sana
Ndo alivo jaman
Sasa ndy naamini mkiigiza pamoja mutegemee chochote kinaweza kutokea huyu na Niyonzima Gabo na Husna Sajent, Ray na Johari akaja Chuchu hans na sasa Naira na kaka Bill hatari sana wengine wapo tele Kitare kaoa kabisa Salome
wewe usiniambie naira na bill in real life!???
Kumbe kitale aliowa salome
@@عبداللهالعازمي-ع3ش mwezi sasa nahisi kamuoa mke wa pili
@@sarahmcharo1548hapo ni uwongo 😂
Mhhhh acha nisome zangu comment
Umri gani anaoongelea huyu? Kila saa umri mdogo umri mdogo akat ni mtu mzima..anamakumyanzi hatar
Kumbe kuna clip nliona mnaigiza wote mke na mume kumbe ni wazaz masha Allah
Acheni comenty zisizo na nidham
Hivyo vigezo unavyovitaka kwa mwanaume atakayekuoa,je wewe unavyo?
Sema unawakilisha wachawi tu😅😅😅
❤❤❤
Waati anazaa nae alikua ana mke kabisa wa ndoa na familia kabisa
Wewee 😂😂😂 roiii anasikiaa
Nakupenda doric wangu
Wakwaz mmi kbs mates niliy Pata kwamwanaum