MMH:BIBI WA MIAKA 50 AZIDI KUMGANDA KIJANA SIMUACHI ADI ANIPE MAUTAMU ALIYONIONESHA MTANDAONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 фев 2025

Комментарии • 151

  • @KaundaGeorge-g9t
    @KaundaGeorge-g9t 3 месяца назад +2

    Tanzania oye huyu mama ana aibu anaenikubali a like❤❤❤❤

  • @AlyAly-dp7iv
    @AlyAly-dp7iv 4 месяца назад +7

    Apo mama nmekuelewa bora arudi akuonjeshe vya ndani

  • @magazimahushi6417
    @magazimahushi6417 3 дня назад +1

    Daa aibu bibi kizee kujidhalilisha masikini.

  • @GraceKamene-bw3ds
    @GraceKamene-bw3ds 4 месяца назад +3

    Yaani kama ni mtu ananifuraisha ni huyu bibi, hope story unaendelea.Age is just a number.

  • @SophiaMahala
    @SophiaMahala 4 месяца назад +3

    😂😂😂😂wapi from were nirud good english from were duuu chizi huyu na mwanae😅😅😅😅😅😅

  • @Hot_rod-lies
    @Hot_rod-lies 4 месяца назад +2

    Jamania muachinia mama ajichanuwea maisha nimafupea hapo hapo mama

  • @braquinhoMarió
    @braquinhoMarió 10 дней назад

    Na nyinyi watangazaji mnatukera sababu mkifika eneo la Túlio mnaongeyA mpaka sana mpaka mero iyeeee mh

  • @Hesbonmiruka
    @Hesbonmiruka 4 месяца назад +1

    naona hata hyu mtoto wake n mkubwa kwa yle ndugu from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ChandeSefu
    @ChandeSefu 4 месяца назад +1

    Mama usikubali kuondoka dar kuzuli atakuoa TU akikukataa. Njo kwangu utaishi

  • @JumaBacar-r7o
    @JumaBacar-r7o Месяц назад

    Sasa Mbeya Arusha mbona mnatuchanganya?

  • @NuhMohamed-i1h
    @NuhMohamed-i1h 3 месяца назад

    huyu mama ni mjinga sana ndio mana nachukia mama tafuta rika yako hiyo ni uchawi am belindah from Nairobi 😢😢😢😢😢😢

  • @YacuobMohammed-ri7cp
    @YacuobMohammed-ri7cp 2 месяца назад

    Hii sio ni.comed wasitudanganye

  • @SophiaMahala
    @SophiaMahala 4 месяца назад +3

    Hapo mwisho ameongea pointi angekua msichana mdogo si amemharibia safii sanaa wanaume tuieni narudia jifunzeni

  • @MonicaMussa-gy6nb
    @MonicaMussa-gy6nb 4 месяца назад +5

    Dunia inaenda kas nasubir ipunguze mwendo niruke nimechoka

  • @اسماعلكتند
    @اسماعلكتند 2 месяца назад

    ivi hii dunia tunaenda wapi maana sio kwa hali hii mungu atunusuru kwa haya majanga

  • @namungolubala1788
    @namungolubala1788 4 месяца назад +1

    LIKE MOTHER LIKE DAUGHTER
    WACHAWI WAWILI TAFUTA MZEE MWENZAKO ACHANA NA KIJANA WA WENYEWE FROM CANADA 🇨🇦

    • @Oman-k4j
      @Oman-k4j 4 месяца назад

      Kwel umeongea point

    • @joycealbart805
      @joycealbart805 3 месяца назад

      Wewe bibi ujana ule nanani alfu ungangania mtoto wa mwenzako?

  • @aminamwinyimkuu2446
    @aminamwinyimkuu2446 4 месяца назад +2

    Huyu mama Hana aibu anaongea kama kakatika kichwa kwanza anatutia aibu kina mama na huyo mwanae pia Hana akili hebu oneni aibu.

  • @ZainabuHemedy-m1f
    @ZainabuHemedy-m1f 2 месяца назад

    Mtoto na mama akili zao sawa wachawi hawa bhana😂😂😂😂😂😂

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 2 месяца назад

    Alafu uyu mama atakuwa mshilikina mchawi mbeya mh.m

  • @AlyAly-dp7iv
    @AlyAly-dp7iv 4 месяца назад +1

    Uyu bibi ana pepo la ngono ata kumuuwa mtoto wa watu daaah bibi anapenda kunywambuliwa

  • @FarajaWihagile
    @FarajaWihagile 2 месяца назад

    Mh hamna kazi huyu anaitwa bi mwarabu muongo mgeni dar wapi na anaishi huku kimara

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 4 месяца назад +2

    😂😂😂kizazi gan hiki mungu niepushee

  • @AnjelineOmolo
    @AnjelineOmolo 2 месяца назад

    Nina ushauri nzuri mie mkenya , huyo kijana arudi na wenzake kama watatu wambake huyo bibi ajifundishe adabu.

  • @RehemaMgowole
    @RehemaMgowole 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂mwanakulitafuta umetikana kaka

  • @HijaSalimu
    @HijaSalimu 4 месяца назад +1

    Mama na Mtoto wote ni Vioja

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 4 месяца назад +2

    Huyu mama Ana alaana

  • @AnaraheliMpungu
    @AnaraheliMpungu Месяц назад

    Hiii comedy

  • @GraceGegasa
    @GraceGegasa 4 месяца назад +1

    Yaani huyu kaka angeondoka tuu aende pengine

  • @HijaSalimu
    @HijaSalimu 4 месяца назад +2

    Usimwangie Mtoto wawatu

  • @Husnasalim-f2g
    @Husnasalim-f2g 4 месяца назад +3

    Siwez kusikiliza huu ufala

  • @MikaClearing
    @MikaClearing 4 месяца назад +1

    mimi naona kama ni maigizo tu

  • @FarajaWihagile
    @FarajaWihagile 2 месяца назад

    Na huyo sio mwanae waongo wanatafuta kiki hyu mama anatuuzia mihogo na vitumbua

  • @ZuhuraKitanga
    @ZuhuraKitanga Месяц назад

    Mama nishangingi

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini 4 месяца назад +3

    Huyo ni shetani kabisa maana hata huyo mtoto wake ni mkubwa sana kwa yule kijana Mungu amsaidie huyo kijana

    • @HadiaAme-x5f
      @HadiaAme-x5f 4 месяца назад

      Kalikanyaga atalifuta akome

  • @RoseKillian-b8k
    @RoseKillian-b8k 4 месяца назад +2

    Mtoto wa mtu weeee bibi huna adabu...kwani imekua lazima.

  • @FatumaJuma-b2g
    @FatumaJuma-b2g 4 месяца назад +2

    Ñyoooo 😏😏😏

  • @SophiaMahala
    @SophiaMahala 4 месяца назад +1

    Ila wanaume waache umalaya watatongoz hata majini wanaume jifunzeni hapo tulieni jmn tulieni wanaume mnamatatizo Sanaa

  • @abubacarcarrimo6076
    @abubacarcarrimo6076 2 месяца назад

    Hi ni história Ya dunia, atcha utany

  • @magazimahushi6417
    @magazimahushi6417 3 дня назад

    Daa, huyu bibi katoka milembe

  • @MaryyBenjamini
    @MaryyBenjamini 4 месяца назад +2

    Tatizo huyu shetani atumii simu kubwa maana hata comment zetu asomi mbwa huyu

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 3 месяца назад

    Mama na mtoto hamunaakili

  • @MgeniRasi
    @MgeniRasi 3 месяца назад

    Hii familia ni ya vichaa. maana kama huyu mama na mwanae hamna kitu ni ziro kasorobo, hawa itabidi wapelekwe hospitali wakachekiwe kama wapo sawa kiakili maana sio bure.

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 4 месяца назад +1

    Haya vijana mukome kuchatichati na watu musowajua mutachati na wachawi au majini

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 3 месяца назад

    Mama na mtoto hii Kali huyu bibi ni mchawi

  • @haithamdahillard8746
    @haithamdahillard8746 4 месяца назад

    Huyo mtoto kamchokoza nyuki😂😂😂😂Wenye Tabia Za vedio Call uoneshe vitu mpaka ifike mtu Pagawe Muache hii tabia. Mfano wake huyo kijana

  • @twalibukassim6111
    @twalibukassim6111 2 месяца назад

    Ila huyu bintie akili zake sio nzur

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 3 месяца назад

    HILI LITOTO LAKE LA KWANZA TAHIRA KAMA MAMA YAKE

  • @mariamulimo
    @mariamulimo 2 месяца назад

    Watoto wetu hawasikii san wamtakajemama yako mzazi haya hakukuzaa kln Niaibu kwa wote 😂😂😂

  • @ValentinaKinyaga
    @ValentinaKinyaga 4 месяца назад

    Mtoto mwenyewe huyu nae chenga kichwani ndo walewale mama na mtoto wote makopo.

  • @Ester-y5m9b
    @Ester-y5m9b 4 месяца назад

    Hyu mama ni mchawi😢😢

  • @اسماعلكتند
    @اسماعلكتند 2 месяца назад

    wajamenieeeeeee

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 4 месяца назад

    Uyo mshaurini aje kwangu, nitampa mapenzi mpaka yatamtoa roho.

  • @JumaMzimbili
    @JumaMzimbili 2 месяца назад +1

    Mmmh jamani mimi napitatu

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 3 месяца назад

    Kila nikisoma tu nacheka sana

  • @fanunana6820
    @fanunana6820 4 месяца назад +2

    Muchawi mubaya😢😢😢😢

  • @مريممحمد-ض8غ4ف
    @مريممحمد-ض8غ4ف 4 месяца назад

    Kwani huyo kaka Hana watu wakumteyea?.

  • @michaelgibson-nf9wg
    @michaelgibson-nf9wg 3 месяца назад

    Hata huyo mwanaye naye tabia ndo hiyo hiyo

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 4 месяца назад +1

    Ukisikia utu uzima ovyo ndio huu...unamdhalilisha hata rais maana na yeye ni mwanamke kama wewe....acha ujinga hapo dogo akipiga show....ndio atamganda kabisa 😂 2:40 2:41

  • @SurprisedNanotechnology-kw1dw
    @SurprisedNanotechnology-kw1dw 4 месяца назад +1

    Mama ametakata maji yakuchupa mipaka jaman tz uhuru umezd

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 4 месяца назад +2

    AFYA YA AKILI

  • @nzanzex7831
    @nzanzex7831 4 месяца назад +2

    Hii ni Aibu atah kama ww ni mwanamu, mbn Mabene yupo. Au Mabene huoni huyu? Upweke unafanya akose adabu.

  • @aminamwinyimkuu2446
    @aminamwinyimkuu2446 4 месяца назад

    Nasikia kichefu chefu loho

  • @davidathanasio
    @davidathanasio 4 месяца назад +1

    Kiwakilishi hasi kwa mkoa alikotoka!!!

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 3 месяца назад

    Mtt kwa mama yke kwa bibi baby kadi la krinik analo mama yke

  • @SamiiNassib
    @SamiiNassib 4 месяца назад

    Yani we mama na mtoto wote ni machizi hii ni Lana kubwa sana we mama itakuwa umekusudia na mwanao itakuwa sio bure ni wachawi hujanipata mm ningewakomesha we na mwanao nione utupu wa mzee kama we eti ndoa itafungwa sasa lazima nyi mbona watu wajabu sana

  • @Christina-y3b
    @Christina-y3b 4 месяца назад +1

    .mtoto .mbaya .baya lamfata mama

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini 4 месяца назад +1

    Jamani serikali imsaidie huyo bibi imuondoa arudi kwake

  • @marymassawe8655
    @marymassawe8655 4 месяца назад

    Hawa ndio wanatuharibia dunia yetu tuliopewa namungu huyu achomwe moto asituharibie watoto
    Jamani serekali iingilie kati.😂😂.

  • @justinetm-o7p
    @justinetm-o7p 4 месяца назад

    Duh hili funzo kuwa wanawake hawapatikani mtandaoni

  • @MichaelKianga
    @MichaelKianga 4 месяца назад

    Mwambieni aje kwangu mkubwa mwengu

  • @TausiBugingo
    @TausiBugingo 3 месяца назад

    Dunia simama nishuke

  • @ZubedaIssa-fi2ib
    @ZubedaIssa-fi2ib 3 месяца назад

    Bongo movie mpeni kazi .anakipaji..

  • @BrysonPeter
    @BrysonPeter 3 месяца назад

    Mama huoni aibu kumuonyesha utupu wako

  • @davidathanasio
    @davidathanasio 4 месяца назад +1

    Zamwamwa namba moja hilo.

  • @neemakibona2054
    @neemakibona2054 4 месяца назад

    Funzo kwa wanaume. Wamezidi. Ni shida mitandaoni jaman

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini 4 месяца назад +2

    Hata huyo mkubwa aliseema ni wa mbeya mpaka akwa anaongea kinyakyusa

  • @Christina-y3b
    @Christina-y3b 4 месяца назад

    Hamjion mlivo wabayaaaa

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 4 месяца назад +2

    Hili ni zee sana huyu mwanawe ana miaka hamsini 50 kumbe huyu bibi limekusudia kutoka kikowa na huyu mwanawe ni kahaba kama makahaba wengine ni mhuni huyu mtoto

  • @nyotabuhedwa4453
    @nyotabuhedwa4453 3 месяца назад

    Niungo mtumpu wanawapanga vijanawana panga wamama ju yakupaya kupata pesa

  • @tanzaniaburundian582
    @tanzaniaburundian582 2 месяца назад

    😂😂😂😂 napita zangu

  • @AlexnderAnzigat
    @AlexnderAnzigat 4 месяца назад

    WEWE BIBI UJUI UKU DAR KUNA MWAMPOSA NA UCHAWI WAKO WATU WA DAR AWALI UY KIJNA ANASALI KWA MWAMPOSA SASA NGOJA

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 4 месяца назад

    Story za kiki hizi

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 3 месяца назад

    Yani yule kijana ni mjukuu wake kabisa

  • @zurianamohamed
    @zurianamohamed 4 месяца назад

    Jemeni mwateni huyo dada kupenda hakuna rika nusimkataze kupenda

  • @braquinhoMarió
    @braquinhoMarió 10 дней назад

    Eu moz

  • @مريممحمد-ض8غ4ف
    @مريممحمد-ض8غ4ف 4 месяца назад

    Kaka usijeukapewa UKIMWI! sababu huo sio mgando wa kawaida.

  • @PaulMsinga
    @PaulMsinga 4 месяца назад +1

    Mmmmm🙌🏻

  • @safiselemani8235
    @safiselemani8235 4 месяца назад

    Uyu mama ni mchawi haoni ata haibu? Na mtoto wako ni mjinga sana

  • @TwalibTike
    @TwalibTike 3 месяца назад

    Uyu bint akili ana tena bogasi

  • @preciouschild1246
    @preciouschild1246 4 месяца назад +1

    Huyu ni zaidi ya miaka 50 tafadhali..mzee huyu

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 3 месяца назад

    Bibi kura raha mama haujaanza ww ata enzi za akina bi hadija

  • @HazinaElisha
    @HazinaElisha 2 месяца назад

    Ko bibi labdaa hunaaa kwakooo mana cyo kwa huo upumbavuuuu wakoo

  • @AhmedAbdallah-j4u
    @AhmedAbdallah-j4u 4 месяца назад

    Huyu bibi tatizo kubwa anataka nyumba huyo

  • @wawireJames
    @wawireJames 4 месяца назад +1

    Tanzania as a country is full of drama , surely ! What is all these eeh! Rubbish

    • @KiprotichKalya-z4x
      @KiprotichKalya-z4x 3 месяца назад

      I love my country Kenya 🇰🇪 na siwezi hama😅

  • @ShadrackSumila
    @ShadrackSumila 4 месяца назад +1

    Hahahaha acha nicheke jaman

  • @Christina-y3b
    @Christina-y3b 4 месяца назад

    Limama limevaaa vbaya lizeee

  • @GregoryMpungwe
    @GregoryMpungwe 4 месяца назад +3

    Mama wewe muongo sana kumbuka ukiwa muongo usiwe mwepesi wa kusahau haraka haraka,mwanzo ulijitambulisha kuwa una miaka 21 na mwenzako akasema tangu awali ana miaka 23.
    Acha kuivuruga mila na desturi za kiafrika rudi kalime viazi kwenu Uyole.😢😢

  • @ManenoSimkoko-df9yj
    @ManenoSimkoko-df9yj 4 месяца назад +1

    Mmmmh 😂😂😂😂

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me 4 месяца назад +3

    Bibi ondoka wewe achaubishi huyo ni mjuukuu

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 3 месяца назад

    KAVAA NINI SHINGONI?? KAVAA UKUCHA WA SIMBA MCHAWI HUYO.