BIBI WA MIAKA 50 AMGANDA KIJANA WAMIAKA 23 LAZIMA ANIOE ALINITONGOZA FACEBOOK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 фев 2025
  • #foxetv #hardmovement Bonyeza alama ya Subscribe kisha weka notification on ili kupata matukio yote kwa wepesi zaidi Asante.#FoxeTv Ni Bora Zaidi
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    ©Instagram @FoxeTvTanzania tufollow sasa kwenye mtandao wetu wa kijamii
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    Tag;
    #video #bongomovie #truestory #majanga #mikasa #msaada #update #trendingvideo #trending #trendingnews #oman #omannews #omanchannel #omannewstoday #kenya #kenyanews #kenyadigitalnews #kenyanewsmedia #usa #usanews #america #american #amerika #tanzania #tanzaniasafari #tanzaniayetu #uganda #ugandanewsupdates #rwanda #rwandanmovies #burundi #burundinews #uchawi #mikasa #udakutz #udaku254 #ngono #VideoChafu #VideoXxx #Xxx #xxl #uchib #tikitv #tikitvkiakilizaidi #zanzibarbeach #maximumtvonline #maximumtv #DavistarMatal #mtoto #watoto #Ubakaji #diamondplatnumz #harmonize #comedy #comedyvideo #film #movie #movie #ayo #millardayo #millardayoupdates #GroblaUpdates #global #AingiliwaKinyume

Комментарии • 1,7 тыс.

  • @donaldmgeni4931
    @donaldmgeni4931 4 месяца назад +16

    Jaman duuu pole sana kimbia muache😢😢😢

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 4 месяца назад

    Na sura zao sasa

  • @ThobiasMsechu
    @ThobiasMsechu 5 месяцев назад +14

    Pole sana kijana huruma ndio iimekuponza maana siku hiyohiyo ungemwacha stendi lakini huruma inaua

  • @HamisiAlly-rj1ro
    @HamisiAlly-rj1ro 4 месяца назад +36

    uchawi upo ndugu zangu kwa mishangazi jauuu unaliona ilo li bibi jau wananguuu ila Pole sn ndugu yetu kwa kupata piskal tena uyoo aitaji ata mahaliii bulee kabisa❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @RenediRd
      @RenediRd 4 месяца назад +3

      Aaaa😅

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 4 месяца назад +3

      🤣🤣🤣🤣NaonaAibu mie huku SubhanaAllah

    • @MercyChapax
      @MercyChapax 4 месяца назад

      Huu mama mwanga kuwa makini atakula nyama wewe ungeingiza nyuma akome

    • @DorcasMwanyalo
      @DorcasMwanyalo 3 месяца назад

      😂😂😂😂 utaju hujui utakoma kupanda magari yawatu

    • @ludovickmorice8144
      @ludovickmorice8144 3 месяца назад

      😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮​@@RenediRd

  • @KhadijumaKhadijq
    @KhadijumaKhadijq 5 месяцев назад +14

    Uko sawa mama komesha vijana Kama hawa wapo wengi

  • @Lovenesseliasmasaba
    @Lovenesseliasmasaba 4 месяца назад +4

    Pole mdg wangu kwa hilo pepo

  • @dorothysamwel2648
    @dorothysamwel2648 5 месяцев назад +12

    Kijana ulikosea sana ungemwacha solemba pale pale stendi ukatokomea aisome namba. Sasa usiwe naye karibu atakuroga utaoa nwenyewe bila kujijua.

  • @NeemaGabriel-l1n
    @NeemaGabriel-l1n 2 месяца назад +1

    Hongera ndg yangu umepata wa kkulea.

  • @westonmbeyela9811
    @westonmbeyela9811 5 месяцев назад +22

    😊 huyo mmama anatia aibu wazee wapo kibao na kijana oa kijana mwenzio atakuacha aende zake huko

    • @ayshajeffa7343
      @ayshajeffa7343 4 месяца назад +1

      Aibuu kubwaa 😢 angemuacha mtoto wawatu jaman

  • @aishakamota6012
    @aishakamota6012 4 месяца назад +2

    Sio kweli hiyo

  • @khalifafadhili6950
    @khalifafadhili6950 5 месяцев назад +7

    Naomba namba za huyo kijana nimsaidie

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 5 месяцев назад +12

    Hi movie gani

    • @AngelaChepkemoi-k5p
      @AngelaChepkemoi-k5p 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂 Nami Ninaye wangu hapo Arusha ni kijana mdogo Sana namzidi Kwa miaka

    • @Ahmadilauma-d8p
      @Ahmadilauma-d8p Месяц назад

      Inaitwa mshagazi

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini 5 месяцев назад +30

    Jamani pole kijana Mtafute Mungu akisaidie huyo mwanga inaonekana

    • @FatimaAthoumani-n8k
      @FatimaAthoumani-n8k 4 месяца назад

      1:44 jh

    • @SolomoniRingia
      @SolomoniRingia 4 месяца назад

      Hivo hivo😂😂😂

    • @BMboss108
      @BMboss108 4 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @manilabonalumanula9210
      @manilabonalumanula9210 4 месяца назад

      Wamezidi kutongoza ovyo, acha aendelee kuchungulia alikotoka. Lkn ikiwa alihadaika na picha tofauti na huyo mama, basi tumwombee kwa Mungu atamnusuru

    • @Susankananu-r6j
      @Susankananu-r6j 4 месяца назад

      Jaman we mama uoni huyo ni Mtoto,je unaweza mtolea suruali,aah mamaa usiroge kijana jaman we uko na heshima

  • @mohamedhamdan4956
    @mohamedhamdan4956 4 месяца назад +4

    I can’t believe

  • @ReginaMsoka-pj4jc
    @ReginaMsoka-pj4jc 5 месяцев назад +30

    Kweli bongo kuna raha sn stress free, na sihami ng'oo😂😂😂😂

  • @mtumishisuzanshitemi4145
    @mtumishisuzanshitemi4145 4 месяца назад +1

    Mungu akusaidie

  • @Mary-hx9yn
    @Mary-hx9yn 4 месяца назад +4

    Ghai Mungu akupiganie

  • @mauricemakokha1414
    @mauricemakokha1414 3 месяца назад

    interesting 😅😅

  • @sadickbakari3678
    @sadickbakari3678 5 месяцев назад +6

    Hi part 1 bado 2

  • @JasminBoniphas
    @JasminBoniphas 29 дней назад

    Mmh 😢 hapana😊

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 5 месяцев назад +7

    Huyu kijana awe makini sana na huyu mama.
    Huyu mama ana dalili zote za uchawi. Huo ujasiri wa kusema huyu kijana ni lazima atanioa na ndoa itafungwa. Ujasiri huo na kujiamini huko. Kuna kitu anajivunia, na anajua kabisa kuwa huyu kijana hachomoki. HIVYO USHAURI WANGU KWA KIJANA, AKIMBILIE KWA YESU, PEKEE . yaani aokoke indeep kabisa, na aache dhambi zote. Vinginevyo anaweza kupata matatizo zaidi

  • @Mourinesisera
    @Mourinesisera 3 месяца назад +3

    Bro nitafute nikusaidie iyo uchawi itaisha 2😢😢

  • @agustinohinjo-zo9cb
    @agustinohinjo-zo9cb 4 месяца назад +3

    Oyaaaa ishakuwa noma kwa lishangazi dawa yake lipe mimba😅😅😅

  • @PartsonZNchondo
    @PartsonZNchondo 4 месяца назад +2

    Duuuuuh
    Pole sana mdogo etui

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 5 месяцев назад +19

    😂😂😂😂😂Bongo Hufi kwa stress utakufa kwa muda wako kufika tu

  • @JanethShechonge
    @JanethShechonge 2 месяца назад

    Movie acheni jamani aibu hamna jamani

  • @tinahkarisa1637
    @tinahkarisa1637 4 месяца назад +17

    Hyu mama achinjwe christmas🤣anyway any kenyan here

  • @LucyBenjamin-w6d
    @LucyBenjamin-w6d 4 месяца назад +2

    Pole sana dogo

  • @AnnaMiraji
    @AnnaMiraji 5 месяцев назад +4

    Jmn hii move inauzunisha na ninacheka mm ila ww bibi mungu anakuona achen kuweka picha za wajukuu wenu

  • @ManugwaThehiloo
    @ManugwaThehiloo 4 месяца назад +2

    Duuu!!! mwanangu pole sana mungu yupo nawe

  • @RoseKillian-b8k
    @RoseKillian-b8k 4 месяца назад +6

    Naja Arusha kumtafuta Mama mkubwa, Bibi ya Killian Kingi Mramba from Kenya...Mombasa ,...where are you Mum ..😢😢???....God take control of this situation...Mum am looking for you ..

  • @فلوراميكائيل
    @فلوراميكائيل 4 месяца назад +1

    Pole sana kaka

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 5 месяцев назад +22

    😂😂Bibi shikilia huyo kijana hakuna kumuacha.

  • @RoseShayo-kf1pw
    @RoseShayo-kf1pw 4 месяца назад +1

    Pole kijana

  • @murtadhwangereza4208
    @murtadhwangereza4208 5 месяцев назад +7

    Wewe umeyakanyaga
    Muachane na mambo ya mitandao young Z😂😂😊

  • @Pascal-pq5eq
    @Pascal-pq5eq 3 месяца назад +1

    pole sana

  • @rendozrendo7804
    @rendozrendo7804 5 месяцев назад +9

    Ukweli vijana ndo mjifunze kwa hili.

  • @MwahijaHassan-g5h
    @MwahijaHassan-g5h 4 месяца назад

    Pole

  • @ZaitunZaitunsaid
    @ZaitunZaitunsaid 5 месяцев назад +35

    Mama usimuachie huyo😂😂😂😂mpka kieleweke😂😂😂😂kijana ameyakanyaga😂😂😂

    • @mpmp3195
      @mpmp3195 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😮😅

    • @mussanahodha134
      @mussanahodha134 5 месяцев назад +2

      😂😂😂😂😂😂

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @FrancisRM-ex8vf
      @FrancisRM-ex8vf 5 месяцев назад +1

      Bi mdashi anakwambia hajapata shooo😂😂😂

    • @gilbertamolo
      @gilbertamolo 5 месяцев назад +1

      Ni sawa

  • @AshaMyinga
    @AshaMyinga 4 месяца назад +1

    Ee iyo atari

  • @OmarNuri-w7v
    @OmarNuri-w7v 4 месяца назад +5

    This old woman what is disturbing her is menopause,plz leave the young boy in peace,let her go and find her age mate,

  • @عزيزةزنجبار
    @عزيزةزنجبار 4 месяца назад

    😢😢😢dunia ni ndogo aibu naona mie jamani

  • @Marry-l8m
    @Marry-l8m 4 месяца назад +4

    Jmn huyu bibi ashirafu😢😢😢😢 jmn kha

  • @D.P.O
    @D.P.O 5 месяцев назад +6

    Hii movie inaitwaje

  • @monicaandrew8292
    @monicaandrew8292 2 месяца назад

    Pole Sana nenda kwa kuhani mussa ukaombewe

  • @ramadhaniddy5976
    @ramadhaniddy5976 4 месяца назад +4

    Hiyo movie imeandaa msitudanganje

    • @nuurul-anwar1901
      @nuurul-anwar1901 3 месяца назад

      HIYO KIKI KAMA ULIVYOSEMA NATAKA ATOKE TU HUYO KAKA

  • @RamadanLugwe
    @RamadanLugwe 4 месяца назад

    Love ❤🎉

  • @FadhiliMagana
    @FadhiliMagana 4 месяца назад +5

    Funzo kwa Sisi vijana hili

    • @AhmedHImran
      @AhmedHImran 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂si mnapenda filters na sagar kitawaramba

  • @DeograsiasMapunda-y9y
    @DeograsiasMapunda-y9y 3 месяца назад

    Hatri sana

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 5 месяцев назад +9

    Duh Mzee mwenzamgu tulizana

    • @Dafetty
      @Dafetty 5 месяцев назад

      😂😂😂

  • @Haleema-dg5bo
    @Haleema-dg5bo 4 месяца назад +2

    Wew Mama muogope Allah 😢

  • @MhojaSimon
    @MhojaSimon 4 месяца назад +3

    Nhatari dogo pole sana komaa arud

  • @ZainabuHemedy-m1f
    @ZainabuHemedy-m1f 2 месяца назад

    Ohoo kumbe ni mtu wa kwetu jamani pole kaka yangu

  • @moshalilian399
    @moshalilian399 4 месяца назад +3

    Ahaaaa mwandishiii! Et Dar unaipendaeeee😂😂🏃🏃🏃 uuuwiiii

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 3 месяца назад +2

    Inalilahi waina ilahi rajiunii bibi wacha kuxihirisha zinaaa weeeeee muogope Allah

  • @yusufusolo6173
    @yusufusolo6173 5 месяцев назад +8

    Wewe bibi muogope mungu jamani uyo ni kama mwanao tu musamee

    • @Fofo-z6t
      @Fofo-z6t 5 месяцев назад

      Tena mjukuuu😂

    • @Lilian-fs7wr
      @Lilian-fs7wr 4 месяца назад

      😂😂😂😂 Binadamu mugumu

  • @NgatwileKijati
    @NgatwileKijati 4 месяца назад +1

    Owa kaka mungu amekupa neema

  • @JescaMwakaponda
    @JescaMwakaponda 5 месяцев назад +5

    Jamani acha nimcheke mm niingeze siku zakuishi

  • @JoãoJaimeSelu
    @JoãoJaimeSelu 2 месяца назад

    Pole Kaka Niko Moçambique

  • @Chr196
    @Chr196 5 месяцев назад +13

    La kufanya ba mdogo ni kutubu dhambi na kumrudia Mungu

  • @rudaerisa3721
    @rudaerisa3721 3 месяца назад +2

    kijana ameelezea vizuri, lakini huyo bibi arudi nyumbani

  • @emanuelsichone8027
    @emanuelsichone8027 5 месяцев назад +10

    Iyo ni Sanaa ila wabongo bwana

  • @NatybaeSashaBybe
    @NatybaeSashaBybe 4 месяца назад +1

    Eh mungu wangu we mam wew

  • @MremboKevoo
    @MremboKevoo 5 месяцев назад +9

    Waongo hao trending za mtandaon chefu

  • @AwadhiHemedi
    @AwadhiHemedi 5 месяцев назад +1

    Mmmmh!!😢😢pole sana kaka angu😢😢😢

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 5 месяцев назад +9

    Hebu ionyeshe picha yake mama tapering apelekwe polici kwanini usimuche hapo hapo standing sasa umemchukua mpaka kwako huoni kama ni hatari ukimwingiza nyumbani kwako

    • @RukayyaNassor-i9o
      @RukayyaNassor-i9o 5 месяцев назад

      Ndio mambo yamtandaoni hayo

    • @RukayyaNassor-i9o
      @RukayyaNassor-i9o 5 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @BarkerNassir001
      @BarkerNassir001 4 месяца назад

      Mama unge Kua na hela kijana hange pata tabu kukuondoa mjengoni tatizo mna zeeka na mikoba ya uchawi hela hamna.

    • @BarkerNassir001
      @BarkerNassir001 4 месяца назад

      Kwani hii dar ni mpya miaka 50 hujawai kufika mtoto kazaliwa juzi ndio kakuleta dar jamani kweli hata aibu huoni Bibi ama mchawi Una mipango yako

    • @BarkerNassir001
      @BarkerNassir001 4 месяца назад

      Mama mchawi huyu alikuja fuli dogo Una oa upende usipende Bibi mwanga huyo😂😂😂😂😂

  • @MercyNzioki-m5h
    @MercyNzioki-m5h 4 месяца назад

    I can't believe🤦🤦

  • @MariumHabibu
    @MariumHabibu 5 месяцев назад +4

    Kijana oa usipige nae picha tu

  • @SeveTatu
    @SeveTatu 2 месяца назад

    Pole san😢😢 inaudhunisha mtoloke kwani anapajua kwen acha kucheka na adui

  • @RatifaSalimu-b3i
    @RatifaSalimu-b3i 5 месяцев назад +4

    Pole sana kijana ndoiwe fundisho kwavijana wenzio 😂

  • @halamascat2816
    @halamascat2816 3 месяца назад

    Hatari kweli😂😂😂

  • @MarriamNg9wi
    @MarriamNg9wi 5 месяцев назад +7

    Huyu mama mzinifu anapenda kazini hujafunganae ndoa utasemaje hujafanya chochote tangu uje unatoka kote huko kufuata kuzini mungu waadabishe wazinifu kama hawa wanatuabisha

  • @HadejaSaid-se3on
    @HadejaSaid-se3on 4 месяца назад +1

    Selikali nani?

  • @HadijaHadija-py6xz
    @HadijaHadija-py6xz 5 месяцев назад +4

    Hyo mama mchawi walai sio kweli ety hataki kurudi

  • @ringstone5388
    @ringstone5388 4 месяца назад +2

    Jamaa ana taka trend bana hii kali kama moive inatoka lin maana naona bado ina shoot wa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 4 месяца назад +11

    Hakuna bibi wa miaka 50, umri uzee unaanzia miaka 60

  • @annahkerubokirera5229
    @annahkerubokirera5229 4 месяца назад

    Sisemi kitu mm wacha nehema itoshe😢😢😢

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 4 месяца назад +3

    Njaa sana tz kiki hii

  • @Mourinesisera
    @Mourinesisera 3 месяца назад

    We nyanya ebu kwenda 😮😮😮😮

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 5 месяцев назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂bongo kuna viroja

  • @RizikiGunda
    @RizikiGunda 4 месяца назад +1

    Bibi m.bishi huyoo aendelee au mchawiiiiiiiii mhmh .mungu asaidie kijana huyoooo !

  • @mussanahodha134
    @mussanahodha134 5 месяцев назад +12

    Alooo hiii ni sinema tu. Sio kweli 😂😂😂😂. Bongo bana. Stress free.

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 5 месяцев назад +1

      Hii ni sawa na ile ya yule bibi wa wakati ule mwishowe wakasema walikuwa wamekubaliana na Sasa wamedhulumiana

  • @MarisaVitares
    @MarisaVitares 2 месяца назад +1

    Huyo mama aludi alipotoka amusche mtotowa mwenzake wanaumewapowengi hata aibu haoni huyo alimtumia picha yamtu mwengine🤭🤭🤔🤔

  • @ZabronMtega-y4q
    @ZabronMtega-y4q 5 месяцев назад +9

    Mama anajidhalisha sana na umri wake

  • @DeograsiasMapunda-y9y
    @DeograsiasMapunda-y9y 3 месяца назад

    Duuu pole sana Kaka so ungekimbia tu Kaka ungemwacha tu jau hilo

  • @noahbowden7512
    @noahbowden7512 5 месяцев назад +4

    Duuu hatari sana Mambo ya kupenda mtandaoni ni shida

    • @reubenbushiri1753
      @reubenbushiri1753 4 месяца назад

      Shida alikuwa anamwangilia kwenye simu huku amevaa hiyo miwani

  • @Omar-l2u
    @Omar-l2u 4 месяца назад

    Broo aaa nngekua mimi nnge ondoka pale home nanikamuachia geto nisimuhudumie chochote na asinione geto nimuone kama atakaa

  • @salumhamdu6633
    @salumhamdu6633 4 месяца назад +6

    Shemeji km shem❤❤❤...waoooooo!!! Mmeee chichiiii lakini🎉😂

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im 5 месяцев назад +6

    Ivi jamani kweli unalala na kijana unavua nguo kweli au mnataniya

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 4 месяца назад

    Channel ina mambo yakufikirisha.sana hii. Tafuteni taaifa za kufundisha, hivi hii story kuna jambo gani la kusaidia Jamii.

  • @SuleimaniKimwagas
    @SuleimaniKimwagas 5 месяцев назад +4

    Shekh wew cyo mtoto, miaka 23 mkubwa kapambane na hari yko ili iwe fundisho kwa wengine kama nyie🤣🤣🤣🤣😂😂😂😅😅

    • @Zlfa-y2p
      @Zlfa-y2p 5 месяцев назад

      😂😂😂😂Kbsa hawa wote ni wazeee😂

  • @BilaliHemedi
    @BilaliHemedi 4 месяца назад +1

    Jaman mama anajiamin

  • @aminayaro5197
    @aminayaro5197 4 месяца назад +5

    Salam alekum

    • @Asha-yn4bu
      @Asha-yn4bu 4 месяца назад

      Waaleykum Salaam.hii ni aibu gani huyu mama kaleta???

    • @AhmedHImran
      @AhmedHImran 4 месяца назад

      Waleykum msalam warahamathullah wabarakathu kheir Insha Allah

    • @AhmedHImran
      @AhmedHImran 4 месяца назад +1

      Msimjadge huyu bibi mpelekeni kwa masheikh kufanyiwa ruqya ama kwa mapastor kuombewa huenda ana jinn limemtunuka huyo kijana sio yeye anae ongea hivyo na sikupenda kwake mengi zaid Allahu aa'lam 😢😢😢

    • @Asha-yn4bu
      @Asha-yn4bu 4 месяца назад

      @AhmedHImran it could be, and I just had a second thought that mental illness could be playing part here.

  • @ShakilaMfinanga
    @ShakilaMfinanga 3 месяца назад

    Eee kweli akina mama mmmm

  • @21stegen
    @21stegen 4 месяца назад +3

    😊

  • @Omar-l2u
    @Omar-l2u 4 месяца назад

    😅😅😅😅😅 safi sana safi kabsa siuchawi huo mfanye ivo usimuhudumie chochote

  • @SolomoniRingia
    @SolomoniRingia 4 месяца назад +2

    Umeyakanyaga kijana mwenzangu kwa kibibi cha Roliondoo 😂😂😂 hicho kishafika mpaka Gamboshi ujue 😅😅 umelowa mdogo wangu😂😂😂😂🤣🤣🤣 hapo nduki nduki mzeee baba 🏃🏃🏃🏃🏃

    • @OmarNuri-w7v
      @OmarNuri-w7v 4 месяца назад +1

      Kijana aniachie huyo mama she is my former girl friend

  • @veromollely6602
    @veromollely6602 3 месяца назад

    pole mdg wangu ila mungu ata muondoa2

  • @davidmalila9221
    @davidmalila9221 5 месяцев назад +11

    Au alikua anaangalia picha huku amevaa hiyo miwan 😂😂😂😂

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 5 месяцев назад

      😂😂😂

    • @badrudindaud1087
      @badrudindaud1087 4 месяца назад +1

      Walai umenivuja mbavu eti labda aliangalia hizo picha na miwani hio alivalia 😂😂😂😢

    • @AhmedHImran
      @AhmedHImran 4 месяца назад +1

      Akili ilikua kwa zuchu wa mchongo

    • @LucasGoliath
      @LucasGoliath 4 месяца назад +1

      Wamchongo kayatimba kwenye mchongoma😂😂😂

  • @Edowaleo
    @Edowaleo 4 месяца назад +1

    Safiii sana bimkubwaa