MZOZO WAZUKA PENZI la BIBI MIAKA 60 na KIJANA, AMKANA MKEWE wa MWANZONI, ATAKA WAPIME DNA KISA MTOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • MZOZO WAZUKA PENZI la BIBI MIAKA 60 na KIJANA, AMKANA MKEWE wa MWANZONI, ATAKA WAPIME DNA KISA MTOTO
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 160

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +2

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

    • @mwana4599
      @mwana4599 Год назад

      Tutamchangia binti aendelee na maisha yake. Mimi.nitamxhangia.

  • @joycemageta4876
    @joycemageta4876 Год назад +7

    Sasa kwa nn mwanzo alisema hamjui uyo dada afu kwnn saiv aseme akapime naye DNA

  • @JaneBihagala
    @JaneBihagala Год назад +6

    Mbona mara ya kwanza alisema hamjui huyo mzazi mwenzie

  • @hyasintaraphael9531
    @hyasintaraphael9531 Год назад +2

    Kwa kweli mwenyewe huyu kijana na bi mkubwa wananibariki sana wafunge ndoa tu ibaki historia

  • @neemamrisho7500
    @neemamrisho7500 Год назад +1

    AMBAO HATUELEWI HII DRAMA GONGA LIKE

  • @SophiaKilimo-gx7xh
    @SophiaKilimo-gx7xh Год назад

    Bibi achana na mambo ya kidunia muda wako uliobaki ni wa kuswali na kutubu dhambi, fanya toooooobaa

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga2126 Год назад +16

    Hakuna uchawi wala nn Bali vijana wanapenda kitonga hawataki kujishuhulisha

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Год назад +1

    Kibibi kinatia huruma bro piga chini wote songa Mbele Na maisha😊

  • @KhoulaAlMahrazi
    @KhoulaAlMahrazi Год назад +11

    Lakini huyu kijana alisema huyu dada hamjui vp alisema wakapime DNA

  • @NitoLiquid
    @NitoLiquid Год назад

    Mmmh mara hamjui mara alimuacha hajatulia kaka mungu anakuona khaaa

  • @matlidaemmanueli3785
    @matlidaemmanueli3785 Год назад

    khaaaa interview zingine!!! hadi kwa wazee mwee

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Год назад +6

    Kijana.anapenda kulelewa

  • @BushulRobertJoel-do9cr
    @BushulRobertJoel-do9cr Год назад

    ila jaman ndomana pesa ilimuua Yesu kijana mdg anasubutu kutaka kuoa bibi kama huyo kisa pesa Mungu amsamehe hajui alitendalo

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq Год назад +1

    Mungu anasema mama wakambo siyo mama nimuzimu wahibiris

  • @allydingi9736
    @allydingi9736 Год назад +6

    Vyombo vya habari vya sasahivi havina kazi kabisa yaani mambo ya hovyo ndiyo yanapewa mjadala

    • @winnifridaashery4449
      @winnifridaashery4449 Год назад

      Mi mwenyewe nimeshangaa Zarina kweli na Global Kwa ujumla cjawaelewa kbs mi mwanzoni nilijuaga ni kiki za Bongo

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Год назад

      Wanatamani sana kuweka mambo ya maana ila wanaogopa kufungiwa

  • @aminaheri2590
    @aminaheri2590 Год назад +5

    Huyo sheini ni muongo, mwanzo kasema hamjui huyo Dada na hajawai kumuona, tena baadae anasema alikua nae kwenye mahusiano looh Bibi take care uyo kijana ni tapeli

  • @ashiaabdul887
    @ashiaabdul887 Год назад +12

    Bibi hapo atajidanganya tu atafute mtu mzima mwenzie akae atulie hila kwa huyo kijana ataambulia maumivu kila kisiku.

  • @QueenJane-x3m
    @QueenJane-x3m Год назад +8

    Mbona mwanzo alisema hamjui hajawahi kumuona

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo Год назад +7

    Sikasema hamjui wanaume bhana huyo yupo nje ya mstari. Sasa km wakwako ww lea mwanao hayo mapenzi na huyo bb hayo maamuzi yako

    • @GraceMbula-gh2kz
      @GraceMbula-gh2kz Год назад

      Apo chacha

    • @pendomkumbo8262
      @pendomkumbo8262 Год назад +1

      Ipo siku mwanae pia atakuja kumkana kwenye media kama hiviiiiii.......yana muda basi

    • @fridaminja7191
      @fridaminja7191 Год назад

      Heee sialisema hamjui jaman, huyu kka nimuongo jamani duu!

  • @taqiyyamwijage3324
    @taqiyyamwijage3324 Год назад

    Aletwe walii hapo studio wfungishwe ndoa wote watatu

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 Год назад +7

    Mara ya Kwanza si kijana alisema hamjui huyo binti,huyo kijana tapeli bibi umeliwa hapo

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣kaliwa mwili,kaliwa pesa!!!!!

    • @Muhamed_mo
      @Muhamed_mo Год назад

      Ndio lazima aseme hamjui .watoto wetu wanajitongozesha wenyewe wala hawatakiwi saiv kashamuharibu hana haja nae. Asote huko

    • @sophiashayo1431
      @sophiashayo1431 Год назад

      Hiyo imeenda Bibi umetapeliwa

  • @aggiemarley5742
    @aggiemarley5742 Год назад +8

    Lakini mwanzoni kasema hamfahamu huyo dada

  • @augustinoottaru6736
    @augustinoottaru6736 Год назад

    Hizi radio nani anatoa leseni?

  • @rosemery542
    @rosemery542 Год назад +2

    Kwa kweli ni msiba huo mama na kijana mnazini. Miaka si tatizo katika uislamu.Tatizo ni kuishi pamoja bila.ndoa. Mnazini. Hivi mnaonaje shida kumwita walii baba ya msichana au Babu au baba mkubwa au mdogo au kaka au mtoto wa kiume. Kisha mkamwita sheikh ndoa ikafungwa. Halafu mkaishi pamoja. Baadaye mfanye sherehe yenu.

  • @vincej9275
    @vincej9275 Год назад +2

    Kijana alisema mwanzo hamjui dada, sasa "mtoto sio wangu !!"

  • @severinakanemela8793
    @severinakanemela8793 Год назад

    we dada noma mpaka studio😂😂😂 si umwache kama ni kurudi atarudi tu. kama kuondoka si basi kwani wameisha hao wanaume?

  • @tulimwaipopo-eq3be
    @tulimwaipopo-eq3be Год назад

    Bibi huyu maisha yake yaliyobaki amwishie Mungu kama anapesa awassidie yatima ili akapate thawabu kwa Mungu

    • @paulinaswai6661
      @paulinaswai6661 Год назад

      Kweli kabisa angewasaidia mayatima na wajane na kuna maskini pia

  • @candidadilemile5882
    @candidadilemile5882 Год назад

    Mwaka mzima hayupo naye huyo mzazi mwenzie siyo mkewe mwacheni Bibi na kijana waendelee na maisha yao

  • @InosensiaMgimba
    @InosensiaMgimba Год назад

    dada leaga mtoto wako mtoto anakula shingapi dada angu achana kufwatilia mme huyo atajuta mbele huko mungu anamuona kukataa mtoto sawa mwanaume ww

  • @shehaswalehagilagil2343
    @shehaswalehagilagil2343 Год назад

    Nyanya ywapean vizur labda msimlaum sana bibi atoa ngoma vizur wasichan wanaruk km kunguru 😂😂

  • @InosensiaMgimba
    @InosensiaMgimba Год назад

    jamani inaimiza sana sana dada komaa kulea mtoto wako huyo mwanaume atajuta kumkataa mtoto anafkili kwahuyo bibi atapata mtot leaga mtorowako usihangaike namwanaume namm mwenzako nina mtoto baba yake alimkataa nimelea kwashida lakini leo ananisaidia mtoto ndo nduguyako

  • @HappyMatata
    @HappyMatata Год назад +1

    Jaman huyu bibi kwer mchawi jaman hivi mwanaume aliyekamilika anaweza kuwa na mwanamke kam huyu bibi kizee kam huyu me naona hapo mungu kaingia kati hii ndoa isifunge kwakweri😜😜 na nyie kina mama watu watuwazima mtuachia mabwana zetu jaman na sisi tuolewee wakati wenu ushapita mtuachie sisi bhana🙃🙃

  • @nimmonimmo420
    @nimmonimmo420 Год назад

    Huyo kijana ni kama ako na laana ,yani hivi sasa anamkaraa mke alozaa nae kisa ni nyanya Mzee , huyo Bibi ni mshirikina na akwende zake huko Hana hata haya nyooo

  • @ndogolofadhila6203
    @ndogolofadhila6203 Год назад +1

    ❤ huyu kaka mongo mbona mwanzo alosema hamujui mwanamke

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад

    Pole Sana bibi nimeumiya saana leo 😢

  • @teddyaloyce8218
    @teddyaloyce8218 Год назад

    Uyu video vix wa dullah makabila

  • @AishaAmin-b2k
    @AishaAmin-b2k Год назад

    nilikubali sana kaka

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 Год назад

    Uyu kaka mpuuzi sanaaaaaaa unamkana mwanamke then badae unataka DNA😮😮😮😮 pesa ya bibi inampa jeuri hana lolote njaaaaaa tu inamtesa

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 Год назад

    Huyo kijana nimuongo mm nilimsikiliza wsf fm alisema alikua kashalipa mahali akamfunania mwanamke wake sasa hili nakuwa namtoto hawajahi lisema

  • @fridaminja7191
    @fridaminja7191 Год назад

    Huyu kka nimuongo jaman, alisema hamjui huyu dda ssa tena anasema alimuacha sababu alikuwa hajatulia

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад

    Mtihani kabisa 😥

  • @emmanuelpeter5686
    @emmanuelpeter5686 Год назад +2

    Huyo jamaa mbona mwanzo alisema hamjui huyo dada

  • @hasnakhamis9593
    @hasnakhamis9593 Год назад

    Plz I need to comment to something

  • @luckiiinuswe1725
    @luckiiinuswe1725 Год назад +3

    Mwanzo alisema hajuhi

  • @AnithaCharles-ii9wr
    @AnithaCharles-ii9wr Год назад

    Sasa mbona alisem hamfahamu duh

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Год назад

    Niko South Africa nafatilia vizuri bro km vipi piga chini huyo dem, Na hicho Kizee hawana mpango,tafuta wengine

  • @annamoyo5879
    @annamoyo5879 Год назад +2

    Kijana anatafuta tremd mbona mwanzo alisema hamfahamu hugo dada? Na huyo bibi alone aibu ,anajidai with anafikiri ataweza kumdhibiti huyo kijana.

  • @Lacopabinsimba
    @Lacopabinsimba Год назад +2

    Uyo ana mapenzi ya kweli anaitaji pesa tu kutoka kwa bb 😏

  • @lucylove8783
    @lucylove8783 Год назад

    Baba mzazi wa Shein kasema alimwozea Shein bibi!Achaneni na Shein ajibambe maisha ni yake

  • @agripinadominic78
    @agripinadominic78 Год назад

    Yaani huyo mama hajapata mume amepata tapeli hakuna mapenzi hapo utu uzima wote alionao nao haoni tu kama huyo kijana yuko after money ngoja afunge ndoa naye ataon matokeo yake

  • @asmaathmani440
    @asmaathmani440 Год назад +1

    Hawa wote waongo wanatuigizia

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад

    Before au after ?

  • @stellahlinusi8215
    @stellahlinusi8215 Год назад

    aibu kwakweli uyu kaka ana mchezea mama wawatu

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Год назад

    umeongea ukwel kska yangu💕 huyo kikana hajielewr🤔

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Год назад

    Mnashindwa kujadili mambo ya msingi mnaanza kujadili mambo kama hayo.

  • @SARAHMHANDO-o6y
    @SARAHMHANDO-o6y Год назад +2

    Binti Hana nidhamu kabisa na kijan a ameshabadili dini hakuna ndoa ya Binti hapo

  • @AngeliJoseph-es9hi
    @AngeliJoseph-es9hi Год назад

    Nyie uyo kaka hana mapenzi kabisa anatafta pesa ww bibi mpge marogo akikuacha

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад

    Bibi umri uliofikia niwakumwabudu Mungu jaman haya mambo yaache mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako acha ivi vitoto vidogo

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Год назад +1

    Uyo kijana muongo mwanzo arisema hamtambui mdda uyo reo hi vp aseme wakapme Dni

  • @davidstephano6802
    @davidstephano6802 Год назад

    mwanaume anatuangusha,amesema hamjui huyo dada,inakuwaje tena anasema walikuwa wapenzi?

  • @uytfjhii2138
    @uytfjhii2138 Год назад

    Rest in peace bibi😭😭😭😭

  • @mwanashasjambia8572
    @mwanashasjambia8572 Год назад

    Ngekuwa mzee wamiaka 60 aponabinti wamiaka27 msingesema kitu lkn ni bubi shakua historian.

  • @RaelNyomenda-l7y
    @RaelNyomenda-l7y Год назад

    Dunia iko sawa penzi alina ukubwa ama usogo

  • @LameckLadislausJr
    @LameckLadislausJr Год назад

    Tatizo wanawake wa siku hz wana dharau xna waume zao

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Год назад

    Yaani kijana toka umeanza mahusiano na bibi..umeyaona mengi mpk hapo..

  • @MwanaId-lq3vm
    @MwanaId-lq3vm Год назад

    kweli labda wanajuana nahuyo mwanamkewake wanazugatu

  • @mwana4599
    @mwana4599 Год назад +1

    Sheria Tanzania Bara mkikaa miaka miwili ni mke na mume.

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад

    Hapoo DNA ikapimwe

  • @GracePaul-x3q
    @GracePaul-x3q Год назад

    Waoane

  • @ssam3385
    @ssam3385 Год назад

    Huyo bibi aendelee na maisha yake

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад

    Ilamkumbuke huyu kjna alisema ametendwa ndiomaana ameona bola awenamzee

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Год назад

    Kijana anapenda bure tuu na ww bibi ni mwanamke gani ataeza peana mtoto acha zako ww,bint achana naye huyo mume yuapenda bure sanaa

  • @piliskaHalimas-o1n
    @piliskaHalimas-o1n 3 месяца назад

    Kwaniwakati anampenda hakumuwona? Achenibibi afurah

  • @BayaAmina
    @BayaAmina Год назад

    Bibi usmuache bwana Ako mzuri sana mm namtamani

  • @amilahmuta7586
    @amilahmuta7586 Год назад

    Jamaa ataka bure sana

  • @aishakondo5434
    @aishakondo5434 Год назад

    Hivi mnatudangavya ili mle hela zetu hawa wananjama wale pesa yabibi

  • @violetkadenge5283
    @violetkadenge5283 Год назад

    😂😂😂bibi achana na watoto wadogo, enda chunga wajukuu na vitukuu wako

  • @saudaissa7397
    @saudaissa7397 Год назад

    Si hawajuani hayaa au 😢

  • @edinahochiche4718
    @edinahochiche4718 Год назад

    Aibu kwa huyo mama ajuza kungangania bwana na rika ya mjuu wake

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад +2

    Hawajui dini hawa jamaa

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo Год назад

    Huyo nmwari yalokufika ni hakiyako usotulia ukaollewa kisherea unaadhirika sasa uso mbaya . Ulimwengu utakufunza tuuu

  • @user-morisjumbe
    @user-morisjumbe Год назад

    😮

  • @thulythatmustf3535
    @thulythatmustf3535 Год назад

    Mwanzo kasema hamjui sasaivi anasema alikuwa na mambo mengi tumuelewe vip Sasa... Anaonekana huyu jamaa ni muongo

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад

    Hapo nimeamini wanaime kama shaini hawafaiktk jamui

  • @AishaAmin-b2k
    @AishaAmin-b2k Год назад

    wanawake wa mitatuuu iyo mmmh

  • @nyotasemanaye1675
    @nyotasemanaye1675 Год назад

    Uyo bibi ana danganya mahelezo tu yahuyo kijana anaonekana tapeli

  • @RehemKipango
    @RehemKipango Год назад

    Huyo kijana ni muongo mwwnzoni alisema hamfahamu huyo binti je baadae anasemaje kwamba alikuwa hajatulia ndio maana akamshit

  • @KamugishaErnest
    @KamugishaErnest Год назад

    Huyu kijana pasua kiswa ni muhongo hadi shetani anamsikiliza😂😂😂

  • @الحمدللهسبحانالله-ج5ق

    Naiyo klp niyalini atuambie 2jue

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Год назад

    We kqka ww si. Ubaki. Na saiz yk jmn umuache uyo bibi kaa

  • @aggiemarley5742
    @aggiemarley5742 Год назад

    Ila mahusiano na huyo dada si yaliisha kitambo tu, kwanini Tena kuleta video zao za kitandani leo? Kwani huyu kijana alisema yeye alikua bikra?

  • @ShamsiaMasoud-cu1oc
    @ShamsiaMasoud-cu1oc Год назад

    Si alisema hamjuw jaman

  • @JamalKhan-le9ud
    @JamalKhan-le9ud Год назад

    Hakuna uchawi uchawi pesa uyu mdada angeongea tu asaidiwe hata wakirudi ana na huyo kaka mapenzi hayata kuwepo

  • @JossephShirima
    @JossephShirima Год назад

    Uyomtangazaji.ninona.umetega.kasemamwenyewe.wakati umesemaumjui

  • @sarahmathias3518
    @sarahmathias3518 Год назад

    Mwanzoni si ulisema huyo dada humfahamu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Год назад

    Tm bibi mpo oyeeee bibi kashinda HD hp l

  • @YusraYusra-hg7wu
    @YusraYusra-hg7wu Год назад

    Yaani huyu jamaa hana hata adabu waeza ruka damu yako ju ya kibibi 😏😏😏😏😏kupenda bure n shida kweli

  • @BequienNzisa
    @BequienNzisa Год назад

    Mwanamke hawezani na game ala

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Год назад

    SIO MAGENI HAYA …MTUME MUHAMMAD ALIMUOA BI KHADIJA ALIMZIDI MIAKA ILIKUWA SUNA SASA MNASHANGAA NINI WAACHENI MAMA KAMUELEWA DOGO JANJA ACHENI WARUKE

  • @vanessairakoze3406
    @vanessairakoze3406 Год назад

    Bibi turia😂😂🇴🇲🇧🇮