MZOZO WAZUKA PENZI la BIBI MIAKA 60 na KIJANA, AMKANA MKEWE wa MWANZONI, ATAKA WAPIME DNA KISA MTOTO
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- MZOZO WAZUKA PENZI la BIBI MIAKA 60 na KIJANA, AMKANA MKEWE wa MWANZONI, ATAKA WAPIME DNA KISA MTOTO
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Tutamchangia binti aendelee na maisha yake. Mimi.nitamxhangia.
Sasa kwa nn mwanzo alisema hamjui uyo dada afu kwnn saiv aseme akapime naye DNA
Mbona mara ya kwanza alisema hamjui huyo mzazi mwenzie
Ndo tushangae
Kwa kweli mwenyewe huyu kijana na bi mkubwa wananibariki sana wafunge ndoa tu ibaki historia
AMBAO HATUELEWI HII DRAMA GONGA LIKE
Bibi achana na mambo ya kidunia muda wako uliobaki ni wa kuswali na kutubu dhambi, fanya toooooobaa
Hakuna uchawi wala nn Bali vijana wanapenda kitonga hawataki kujishuhulisha
Sana yani vijana Wa hovyo sana yani
Kibibi kinatia huruma bro piga chini wote songa Mbele Na maisha😊
Lakini huyu kijana alisema huyu dada hamjui vp alisema wakapime DNA
Hapo sasa
Mwehu uyu na njaa zake
Anapenda vya bure sana
Mmmh mara hamjui mara alimuacha hajatulia kaka mungu anakuona khaaa
khaaaa interview zingine!!! hadi kwa wazee mwee
Kijana.anapenda kulelewa
ila jaman ndomana pesa ilimuua Yesu kijana mdg anasubutu kutaka kuoa bibi kama huyo kisa pesa Mungu amsamehe hajui alitendalo
Mungu anasema mama wakambo siyo mama nimuzimu wahibiris
Vyombo vya habari vya sasahivi havina kazi kabisa yaani mambo ya hovyo ndiyo yanapewa mjadala
Mi mwenyewe nimeshangaa Zarina kweli na Global Kwa ujumla cjawaelewa kbs mi mwanzoni nilijuaga ni kiki za Bongo
Wanatamani sana kuweka mambo ya maana ila wanaogopa kufungiwa
Huyo sheini ni muongo, mwanzo kasema hamjui huyo Dada na hajawai kumuona, tena baadae anasema alikua nae kwenye mahusiano looh Bibi take care uyo kijana ni tapeli
Bibi hapo atajidanganya tu atafute mtu mzima mwenzie akae atulie hila kwa huyo kijana ataambulia maumivu kila kisiku.
Mbona mwanzo alisema hamjui hajawahi kumuona
Sikasema hamjui wanaume bhana huyo yupo nje ya mstari. Sasa km wakwako ww lea mwanao hayo mapenzi na huyo bb hayo maamuzi yako
Apo chacha
Ipo siku mwanae pia atakuja kumkana kwenye media kama hiviiiiii.......yana muda basi
Heee sialisema hamjui jaman, huyu kka nimuongo jamani duu!
Aletwe walii hapo studio wfungishwe ndoa wote watatu
Mara ya Kwanza si kijana alisema hamjui huyo binti,huyo kijana tapeli bibi umeliwa hapo
🤣🤣🤣🤣🤣kaliwa mwili,kaliwa pesa!!!!!
Ndio lazima aseme hamjui .watoto wetu wanajitongozesha wenyewe wala hawatakiwi saiv kashamuharibu hana haja nae. Asote huko
Hiyo imeenda Bibi umetapeliwa
Lakini mwanzoni kasema hamfahamu huyo dada
Hizi radio nani anatoa leseni?
Kwa kweli ni msiba huo mama na kijana mnazini. Miaka si tatizo katika uislamu.Tatizo ni kuishi pamoja bila.ndoa. Mnazini. Hivi mnaonaje shida kumwita walii baba ya msichana au Babu au baba mkubwa au mdogo au kaka au mtoto wa kiume. Kisha mkamwita sheikh ndoa ikafungwa. Halafu mkaishi pamoja. Baadaye mfanye sherehe yenu.
Kijana alisema mwanzo hamjui dada, sasa "mtoto sio wangu !!"
we dada noma mpaka studio😂😂😂 si umwache kama ni kurudi atarudi tu. kama kuondoka si basi kwani wameisha hao wanaume?
Bibi huyu maisha yake yaliyobaki amwishie Mungu kama anapesa awassidie yatima ili akapate thawabu kwa Mungu
Kweli kabisa angewasaidia mayatima na wajane na kuna maskini pia
Mwaka mzima hayupo naye huyo mzazi mwenzie siyo mkewe mwacheni Bibi na kijana waendelee na maisha yao
dada leaga mtoto wako mtoto anakula shingapi dada angu achana kufwatilia mme huyo atajuta mbele huko mungu anamuona kukataa mtoto sawa mwanaume ww
Nyanya ywapean vizur labda msimlaum sana bibi atoa ngoma vizur wasichan wanaruk km kunguru 😂😂
jamani inaimiza sana sana dada komaa kulea mtoto wako huyo mwanaume atajuta kumkataa mtoto anafkili kwahuyo bibi atapata mtot leaga mtorowako usihangaike namwanaume namm mwenzako nina mtoto baba yake alimkataa nimelea kwashida lakini leo ananisaidia mtoto ndo nduguyako
Jaman huyu bibi kwer mchawi jaman hivi mwanaume aliyekamilika anaweza kuwa na mwanamke kam huyu bibi kizee kam huyu me naona hapo mungu kaingia kati hii ndoa isifunge kwakweri😜😜 na nyie kina mama watu watuwazima mtuachia mabwana zetu jaman na sisi tuolewee wakati wenu ushapita mtuachie sisi bhana🙃🙃
😂😂🙌 kwakwel watuachie wapumzike jmn
Huyo kijana ni kama ako na laana ,yani hivi sasa anamkaraa mke alozaa nae kisa ni nyanya Mzee , huyo Bibi ni mshirikina na akwende zake huko Hana hata haya nyooo
❤ huyu kaka mongo mbona mwanzo alosema hamujui mwanamke
Pole Sana bibi nimeumiya saana leo 😢
Uyu video vix wa dullah makabila
nilikubali sana kaka
Uyu kaka mpuuzi sanaaaaaaa unamkana mwanamke then badae unataka DNA😮😮😮😮 pesa ya bibi inampa jeuri hana lolote njaaaaaa tu inamtesa
Atakuja jutia baadae🤔
Huyo kijana nimuongo mm nilimsikiliza wsf fm alisema alikua kashalipa mahali akamfunania mwanamke wake sasa hili nakuwa namtoto hawajahi lisema
Huyu kka nimuongo jaman, alisema hamjui huyu dda ssa tena anasema alimuacha sababu alikuwa hajatulia
Mtihani kabisa 😥
Huyo jamaa mbona mwanzo alisema hamjui huyo dada
Yeah na mm hapo nimeshangaa
Plz I need to comment to something
Mwanzo alisema hajuhi
Sasa mbona alisem hamfahamu duh
Niko South Africa nafatilia vizuri bro km vipi piga chini huyo dem, Na hicho Kizee hawana mpango,tafuta wengine
Kijana anatafuta tremd mbona mwanzo alisema hamfahamu hugo dada? Na huyo bibi alone aibu ,anajidai with anafikiri ataweza kumdhibiti huyo kijana.
Uyo ana mapenzi ya kweli anaitaji pesa tu kutoka kwa bb 😏
Baba mzazi wa Shein kasema alimwozea Shein bibi!Achaneni na Shein ajibambe maisha ni yake
Yaani huyo mama hajapata mume amepata tapeli hakuna mapenzi hapo utu uzima wote alionao nao haoni tu kama huyo kijana yuko after money ngoja afunge ndoa naye ataon matokeo yake
Hawa wote waongo wanatuigizia
Before au after ?
aibu kwakweli uyu kaka ana mchezea mama wawatu
umeongea ukwel kska yangu💕 huyo kikana hajielewr🤔
Mnashindwa kujadili mambo ya msingi mnaanza kujadili mambo kama hayo.
Kwan lazima uangalie
@@salimalaquimane3077 na mm nashangaa
Binti Hana nidhamu kabisa na kijan a ameshabadili dini hakuna ndoa ya Binti hapo
Nyie uyo kaka hana mapenzi kabisa anatafta pesa ww bibi mpge marogo akikuacha
Bibi umri uliofikia niwakumwabudu Mungu jaman haya mambo yaache mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako acha ivi vitoto vidogo
Uyo kijana muongo mwanzo arisema hamtambui mdda uyo reo hi vp aseme wakapme Dni
mwanaume anatuangusha,amesema hamjui huyo dada,inakuwaje tena anasema walikuwa wapenzi?
Rest in peace bibi😭😭😭😭
Ngekuwa mzee wamiaka 60 aponabinti wamiaka27 msingesema kitu lkn ni bubi shakua historian.
Dunia iko sawa penzi alina ukubwa ama usogo
Tatizo wanawake wa siku hz wana dharau xna waume zao
Yaani kijana toka umeanza mahusiano na bibi..umeyaona mengi mpk hapo..
kweli labda wanajuana nahuyo mwanamkewake wanazugatu
Sheria Tanzania Bara mkikaa miaka miwili ni mke na mume.
Hapoo DNA ikapimwe
Waoane
Huyo bibi aendelee na maisha yake
Ilamkumbuke huyu kjna alisema ametendwa ndiomaana ameona bola awenamzee
Kijana anapenda bure tuu na ww bibi ni mwanamke gani ataeza peana mtoto acha zako ww,bint achana naye huyo mume yuapenda bure sanaa
Kwaniwakati anampenda hakumuwona? Achenibibi afurah
Bibi usmuache bwana Ako mzuri sana mm namtamani
Jamaa ataka bure sana
Hivi mnatudangavya ili mle hela zetu hawa wananjama wale pesa yabibi
😂😂😂bibi achana na watoto wadogo, enda chunga wajukuu na vitukuu wako
Si hawajuani hayaa au 😢
Aibu kwa huyo mama ajuza kungangania bwana na rika ya mjuu wake
Hawajui dini hawa jamaa
Huyo nmwari yalokufika ni hakiyako usotulia ukaollewa kisherea unaadhirika sasa uso mbaya . Ulimwengu utakufunza tuuu
😮
Mwanzo kasema hamjui sasaivi anasema alikuwa na mambo mengi tumuelewe vip Sasa... Anaonekana huyu jamaa ni muongo
Hapo nimeamini wanaime kama shaini hawafaiktk jamui
wanawake wa mitatuuu iyo mmmh
Uyo bibi ana danganya mahelezo tu yahuyo kijana anaonekana tapeli
Huyo kijana ni muongo mwwnzoni alisema hamfahamu huyo binti je baadae anasemaje kwamba alikuwa hajatulia ndio maana akamshit
Huyu kijana pasua kiswa ni muhongo hadi shetani anamsikiliza😂😂😂
Naiyo klp niyalini atuambie 2jue
We kqka ww si. Ubaki. Na saiz yk jmn umuache uyo bibi kaa
Ila mahusiano na huyo dada si yaliisha kitambo tu, kwanini Tena kuleta video zao za kitandani leo? Kwani huyu kijana alisema yeye alikua bikra?
😢😢😢😢😢😢😢
Si alisema hamjuw jaman
Hakuna uchawi uchawi pesa uyu mdada angeongea tu asaidiwe hata wakirudi ana na huyo kaka mapenzi hayata kuwepo
Uyomtangazaji.ninona.umetega.kasemamwenyewe.wakati umesemaumjui
Mwanzoni si ulisema huyo dada humfahamu
Tm bibi mpo oyeeee bibi kashinda HD hp l
Yaani huyu jamaa hana hata adabu waeza ruka damu yako ju ya kibibi 😏😏😏😏😏kupenda bure n shida kweli
Mwanamke hawezani na game ala
SIO MAGENI HAYA …MTUME MUHAMMAD ALIMUOA BI KHADIJA ALIMZIDI MIAKA ILIKUWA SUNA SASA MNASHANGAA NINI WAACHENI MAMA KAMUELEWA DOGO JANJA ACHENI WARUKE
Bibi turia😂😂🇴🇲🇧🇮