DIVA THE BAWSE AONYESHA MAISHA YA KIFAHARI/ SOFA YA MILLION 20/AFUNGUKA SAUTI ZA KWA MANGE KIMAMBI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 570

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 10 месяцев назад +22

    Sio swala la ukishua ndio uwe unapenda kusoma vitabu mimi pia napenda sana kusoma vitabu sana ila sio mtoto wa kishua ni hobbi ya mtu jamani diva

  • @starzone0458
    @starzone0458 10 месяцев назад +29

    She is hard working she deserves a serious man for love

    • @novasmgode2943
      @novasmgode2943 10 месяцев назад +2

      If that’s the only thing you think men wants, u should do more research

  • @dianerditto
    @dianerditto 10 месяцев назад +27

    Tuliokuja moja kwa moja kutokea kwenye app ya mange tujuane

    • @fatmasaid9400
      @fatmasaid9400 10 месяцев назад +1

      Inaitwaje hio app napitwa

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 10 месяцев назад +29

    Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢

    • @moffimms8211
      @moffimms8211 10 месяцев назад

      Naomba nitumie namimi iyo voice

    • @kandygraphicstanzania
      @kandygraphicstanzania 10 месяцев назад +1

      utakuta hujawahi kuolewa, kuogea utumbo kama huu sio ajabu

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 10 месяцев назад

      😅😅😅😅nimecheka hapo akili imetingisika😂😂😂. Huyu dada ana tatizo very serious, she needs help

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 10 месяцев назад +2

      Aan vituko ipo hiv 80% waafrika hatujajielewa akili zetu zimeishia hapo kuonyesha saman za ndan tunachekesha kwakwel 😅😅😂😂😂

    • @Anzalmidel
      @Anzalmidel 9 месяцев назад

      😂😂😂

  • @user-jf6vk1qm2b
    @user-jf6vk1qm2b 10 месяцев назад +19

    Huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia ana tatizo kichwani

  • @PriskilaMajengo
    @PriskilaMajengo 10 месяцев назад +21

    Huyu Diva sijui sura yake vizuri anabadilika Kila siku jamani

  • @elviuskanena6799
    @elviuskanena6799 10 месяцев назад +15

    Huyu analazimisha kuonewa wivu wakati ni wa kuonea huruma.😅

    • @tunajaribu
      @tunajaribu 10 месяцев назад

      😂😂😂😂 me naona aibu

  • @gres1182
    @gres1182 10 месяцев назад +15

    Zari ana pesa lakn sija wai kumuona ana ushamba kma huu jamen 😂😂😂😂😂

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 10 месяцев назад +2

      Kweli maneno yako! Ila kila mtu na Tabia yake😅

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 10 месяцев назад

      Mashamba sana katika kwenye maisha ya Chini sasa kama kipofu aliyeona jogoo kila kitu yeye anasema kikubwa kama jogoo

  • @godsdaughter2820
    @godsdaughter2820 10 месяцев назад +51

    Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂

    • @ReshimaaChitende
      @ReshimaaChitende 10 месяцев назад +3

      Miwan nyumban😢mshamba haswaaa😅

    • @vickyitenyo.
      @vickyitenyo. 10 месяцев назад +1

      I know right??! Miwani ni za nini kwa nyumba??

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q 10 месяцев назад

      Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa

    • @aminamgaya7511
      @aminamgaya7511 10 месяцев назад

      Kabisa aise halafu ukimwambia ukweli anakublock🤣🤣🤣

  • @neemajeremiahs8430
    @neemajeremiahs8430 10 месяцев назад +40

    Hivi hizi hela si angejenga nyumba yake jamaniii 😔😔😭.. Kwelii tunatofautiana vision

    • @awadhisarai4331
      @awadhisarai4331 10 месяцев назад +6

      Kwani umesauh umsemo wa wenye akili hawana mali na wenye mali hawana......😅😂

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 10 месяцев назад +1

      Mmenichekesha mno Hadi raha

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 10 месяцев назад +1

      Kweli Kwa kabisa angejenga tu

    • @monadinadi5295
      @monadinadi5295 10 месяцев назад +1

      Umeonaeee

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 10 месяцев назад

      yaani anaona amemal8zaaa

  • @tirzahtess3799
    @tirzahtess3799 10 месяцев назад +2

    Aki am kenyan and I love diva am coming so that she can adopt 💞💞me

  • @marianabenangodi5522
    @marianabenangodi5522 10 месяцев назад +36

    Demu anajiaibisha, coz ayo sio maisha yake watu tunamjua fika.
    But anahitaji msaada wa kisaikolojia

    • @faidhacute
      @faidhacute 10 месяцев назад +1

      Acha wivu utakuuua 😢

    • @jacquelineshija2984
      @jacquelineshija2984 10 месяцев назад

      We acha tu pengine yuko kwenye tangazo na utoto mwingi sana

    • @NasraSaid-qc5hf
      @NasraSaid-qc5hf 10 месяцев назад +1

      Hilosofa lamilioni 20 naona silioni hapo niyakawaidatuu

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 10 месяцев назад +1

      Kuna muda nawaza hata ndoa na Abdul ilikuwa kiki tuu hamnaga... Yani she is soooo fake

    • @tunajaribu
      @tunajaribu 10 месяцев назад

      Hata yangekuwa yake unayaona yanachochote cha maana kweli

  • @marthagodson4447
    @marthagodson4447 10 месяцев назад +37

    diva ana shida ya afya ya akili

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 10 месяцев назад +19

    Alhamdulillah kwa afya mungu alionijalia mengine ni mapambo tuy ya dunia

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 10 месяцев назад +4

    DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA

  • @tidyclevertz
    @tidyclevertz 10 месяцев назад +61

    Ila hili life la kiwaki sana, tunavyooneshwa hiyo nyumba as if she owns it, yet akiumwa wanaanza kuomba michango kubabeeki

    • @wardawarda-fp3qe
      @wardawarda-fp3qe 10 месяцев назад +2

      Kabisaa yaani 😢😢

    • @jacquelineshija2984
      @jacquelineshija2984 10 месяцев назад +5

      Bwana we mara hizo furniture unazikuta unaingia wewe na begi lako la nguo tu

    • @tidyclevertz
      @tidyclevertz 10 месяцев назад +2

      @@jacquelineshija2984 tunapigwa na vitu heavy 🤣🤣🤣

    • @TausiOmary-od3my
      @TausiOmary-od3my 10 месяцев назад +1

      Kodi yenyewe alichangiwa hapo akwende

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 10 месяцев назад +2

      Matajir hawajionyesh nyumba ake ipo simple sana

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 10 месяцев назад +2

    Mashaallah M/Mungu awajaalie kwenye maisha yenu Inshaallah

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 10 месяцев назад +4

    ilove diva ana slaying nzuri big up diva

  • @Boaz22
    @Boaz22 10 месяцев назад +22

    Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢

    • @queenlinda255
      @queenlinda255 10 месяцев назад +5

      Jama yani mimi nilitaka kusema ivyo ivyo izo nywele zake zenyewe ni feki yani feki sana sana 🤣🤣🤣

    • @claudiokelly8944
      @claudiokelly8944 10 месяцев назад +1

      Sio box la viatu mbona ni box lake kabsa

    • @chany9950
      @chany9950 10 месяцев назад

      Iyo nikweri👍🏽👍🏽👍🏽

    • @Boaz22
      @Boaz22 10 месяцев назад

      ​@@claudiokelly8944kwahio ata wewe ujui box la viatu lilivyo,? Pole sana

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 10 месяцев назад +1

    Mimi ktk mastaa nampenda sana shilole. Yule ndio staa wa kuigwa jamn yupo kwakeeee. Hata ukiingia kwake kila kitu ni chake.

  • @fatmaabasi6867
    @fatmaabasi6867 10 месяцев назад +9

    Hyo hela ya kubadilisha furniture mara hii kannue good quality wigs😢

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 10 месяцев назад +5

    Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 10 месяцев назад +3

    Diva uwa mshamba yan anatumia nguvu nyingi kutuaminisha vitu sijui yupoje asee

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 10 месяцев назад +13

    Diva upo kwenye denial mbaya mno. Huyo atakuja kukupiga tukio baya hutaamini maana hakupendi

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 10 месяцев назад

      Inakuhusu nini! Si uache apige tuu

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 10 месяцев назад

      Kabisa

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 10 месяцев назад

      Wivu acha wivu

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 10 месяцев назад

      Ampige matukio mara ngapi 😂😂😂

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 10 месяцев назад

      Hata mimi nimehisi hasa haya maisha yake hayapendi ila anapata pakutelezea tu! Mungu awasaidie

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 10 месяцев назад +5

    Dada pole uko mjinga ,unamajigambo

  • @SharonAron-t1j
    @SharonAron-t1j 10 месяцев назад +24

    Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life

    • @samwa9496
      @samwa9496 10 месяцев назад +2

      Sio zote zingine zinakuwa wazi, au saa ingine wewe mhitaji unaweza waambia huhitaji furniture

    • @preciouspeter6126
      @preciouspeter6126 10 месяцев назад +3

      Apartments zipo ambazo ziko wazi pia my darling. Sio zote ni fully furnished

    • @aishamridy4774
      @aishamridy4774 10 месяцев назад +2

      @@samwa9496hizo Appartement nazijua zina kila kitu ndani humo kaongeza tu vitabu tu hvy 😂😂

    • @samwa9496
      @samwa9496 10 месяцев назад

      @@aishamridy4774 😂😂😂

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 10 месяцев назад

      Ni kweli kila kitu unakikuta umo zaid ya nguo zako tu ndio unaongia nazo 😅

  • @BrigitaKawau
    @BrigitaKawau 10 месяцев назад +2

    Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 10 месяцев назад +4

    Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂

  • @chimamilion
    @chimamilion 10 месяцев назад +6

    Diva anapenda sifa mbele zawatu ssa kujifanya ww upojuu zaid yamumeo ndo nn?afu ikitokea kitu namumeo jaribu kuwanaka mfyuuu

  • @mackysuphian
    @mackysuphian 10 месяцев назад +11

    Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣

    • @zamdamasondole8272
      @zamdamasondole8272 10 месяцев назад +4

      Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 10 месяцев назад

      ​@@zamdamasondole8272why zombi jamani

    • @poshsmith4268
      @poshsmith4268 10 месяцев назад

      😅😅😅😅

    • @umukulthumu1419
      @umukulthumu1419 10 месяцев назад +3

      Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani

  • @faidhacute
    @faidhacute 10 месяцев назад +5

    Nakupenda we mdada mpaka naumwa ❤❤❤❤❤ DIVA THE BAWSE ❤❤❤

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 10 месяцев назад +4

    Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 10 месяцев назад +5

    Diva dada aaangu usitumie nguvu nyingi kuaminisha watu....kuwa huyo kaka unampeleka.....ndomaana watu wanafanya makusudi kukumiza coz ndounaonyesha uzaifu wa ww kupend sanas

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 10 месяцев назад +7

    Diva ukimaliza nyumba yako nitafute mm nitakufanyia design na kukuwekea vitu vya kisasa mpaka utashangaa..😊

    • @navyoagrey7523
      @navyoagrey7523 10 месяцев назад

      Kwa kweli mana apo mh! Cjaona cha ajabu sana 😢

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 10 месяцев назад

    Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 10 месяцев назад +6

    Uyu ameshaga changanikiwa anaongea sana tena hajaulizwa yani ana ka mchangnyiko furani waliyo kua karibu nae wamupeleke kuona mganga wa hakili😅😅😅😅

  • @happynathan8226
    @happynathan8226 10 месяцев назад +6

    Huyu dada nyie ni mgonjwa wallah😂😂 Diva sio mzima kabisa na wambieni 😢

  • @user-xo4zc9vu5w
    @user-xo4zc9vu5w 10 месяцев назад +12

    Mungu akusaidie jamani Mumeo awe mkweli abadirike na husiache kumuombea

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly1488 10 месяцев назад +12

    Diva kwenye interview unajifanyaga kiswahil kinakupa tabu... Ila ukiwa unamuanika mumeo unaongea kiswahil imenyooka hatari huongez hata neno moja là kimombo😂😂

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 10 месяцев назад +4

    Ferniture 20mil then baada ya miezi 3 anagawa loh!

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 10 месяцев назад +3

    Siyo kwa kujisfia huko duh😊😊😊

  • @rahmahabibu4727
    @rahmahabibu4727 10 месяцев назад +4

    Mtangazaji kashajua diva hayuko sawa na anaenda nae Ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yustamshana-sx8dy
    @yustamshana-sx8dy 10 месяцев назад +5

    Mwongo, furniture za appartement za hapo amezikuta 😅

  • @hamidasalum157
    @hamidasalum157 10 месяцев назад +5

    Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa

  • @khadijab7066
    @khadijab7066 10 месяцев назад +1

    Mungu niweke mie ,unapesa arafu umepanga mtiani jamani master wa bongo pasua kichwa

  • @rehemahassan7475
    @rehemahassan7475 10 месяцев назад +6

    Uyu anajishaua jaman khaaaa mpk anakela

  • @btylove1870
    @btylove1870 10 месяцев назад +18

    Diva anamatatizo ya akili. Kuhusu Abdul hana love kabisa na diva. Wanaume tafuteni pesa please, ukiwa mwanaume hunapesa unakuwa lofa tu.

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 10 месяцев назад +10

    Kwahiyo na miwani ya fashion ukiwa umekaa ndani kwako?😅

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 10 месяцев назад +13

    Hizi ndio hela zetu tulizokuchangia nini😂

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp 10 месяцев назад +6

    Aki uyu dem limbukeni acha tu

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 10 месяцев назад +4

    Yani mtu anaejopanga kudanganya lazima avae miwanii😂😂 dada hajiamini huyu..

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 10 месяцев назад

    Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you

  • @Anzalmidel
    @Anzalmidel 9 месяцев назад

    Divaa wacha pombe ur cute hardworking lady 🎉

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 10 месяцев назад +2

    UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 10 месяцев назад +1

    Palm village na Dar villas apartments gharama zake kwa mwaka unaweza jenga nyumba yako kubwa nzuri tu,,sasa sijui wanafeligi wapi hawa watu,,,

  • @Keyjop
    @Keyjop 10 месяцев назад +3

    Ko diva miwani anapikia anaogea ana lalia ana ...in short ,
    question
    ko miwani Kwa diva ndio Kila kitu

    • @tunajaribu
      @tunajaribu 10 месяцев назад

      Alisema huwa anaona aibu

  • @MadinaAbduKyabazinga
    @MadinaAbduKyabazinga 10 месяцев назад +1

    Diva adi namuonea huruma Aseee jinsi Anavyompenda uyu kaka afu uyu kaka Amekaa kihuni sana wala hana mpango na mkewe

  • @awesosaladi3638
    @awesosaladi3638 10 месяцев назад +5

    Diva the bawser unyama ni mwingi sanaaa😅😅😅😅

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 10 месяцев назад +1

    Mkimaliza kwa Diva mje. Kwangu mlekodi jamani😁😁 Hizo fenicha unazobadili kila miezi mitatu naziomba

  • @faidhacute
    @faidhacute 10 месяцев назад +3

    Roja fala sana eti huea unalewa kabsa 😂😂😂😂😂😂😂 kwahy mtu anakunywa wine anashindwaje kulewa

  • @HajatAbdul
    @HajatAbdul 10 месяцев назад

    Jaman diva ukibadilisha izo sofa na iyo tv naomba unipe nakuomba sana shabiki wako sana kwenye lavi davi

  • @annamontana2854
    @annamontana2854 10 месяцев назад +3

    Wigi limekauka kama limedumbukia kwenye uji

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 10 месяцев назад +3

    Mashaallah pazur

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 10 месяцев назад

      Ingekuwaa nyumba anamiliki yy hajapanga ningesena pazuri

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 10 месяцев назад +3

    Duh si bora angejenga nyumba yake jmn 😢😢Nimelia sana 😭😭😭

    • @صالحالصوافي-غ5و
      @صالحالصوافي-غ5و 10 месяцев назад +1

      Amjengeye nani mbona hana mtoto 🤣🤣🤣🤣

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 10 месяцев назад

      @@صالحالصوافي-غ5و Atapata tu,hizo pesa za kodi hapo ni nyingi sn

    • @tunajaribu
      @tunajaribu 10 месяцев назад

      Anaishi leo

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 10 месяцев назад

      Huenda anamiliki

    • @rerisamba
      @rerisamba 10 месяцев назад

      Amesema anajenga na ametaja ana viwanja 3

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 10 месяцев назад +4

    Huna wakishuwa chochote acha majivuno diva ungekuwa mzuri wallah cjui ingekuwaje .mungu amekupa machoo TU lakini .alikuwa angekupa sura shepu ingekuwa shidah lakini mungu 🙏 amejuwa maskini..Sasa hiyo miwani haivuliwi hiyo sura inashida ganiii?

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 месяцев назад

      Wanawake mna wivu siku zote tuoneshe kwako 😂😂😂

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 10 месяцев назад

      @@fatmafatu1128 kwani mtu aambiwi ukweli sofa za milioni20 Sasa siuongo hayo maneno aseme bosi wake sio yeye kapuku km wewe na mimi.km ukweli mtu anaambiwa km unaona uchungu kajinyonge .huyo mtu wa misifa wewe humjui ndio mana umesema ivyo

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 10 месяцев назад

      ​@@fatmafatu1128hahahaha mwambie atuoneshe kwake na sura yake

  • @angelgodfrey4870
    @angelgodfrey4870 10 месяцев назад +1

    Aaah kumbe ni apartment mm nkajua kajenga, nimeacha ata kuangalia

  • @keyla3641
    @keyla3641 10 месяцев назад

    Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako

    • @AshaKassim-tu7gz
      @AshaKassim-tu7gz 10 месяцев назад

      Muongo diva apartment nyingi hukuta kilakitu..nihiyo ck ya kudaiwa Kodi ndo itajua hujui cjui usowako utauweka wp?

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 10 месяцев назад +2

    Kuna watu wanaumia😂😂pambana naww sio kutokwa namapovu😂😂piga kazi dida mungu azidi kukufungulia

  • @JoviethJames
    @JoviethJames 10 месяцев назад +1

    Nimependa sn maisha yuko acheni kumuonea wifu

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d 10 месяцев назад +6

    Ila katika hii interview mtangazaji katisha sana😂😂😂😂 yaan jamaa anajua anadeal na mtu mgonjwa wa akili 😂😂😂😂😂😂 kila kitu yes yes😂😂😂😂😂😂 anamsifia tu interview iishe😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-jn1qz7sh3q
      @user-jn1qz7sh3q 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @maryammo-gd3me
      @maryammo-gd3me 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @mamabyela18
    @mamabyela18 10 месяцев назад +6

    Kabati la mawigi hatujaonyeshwa , interview irudiwe. Diva alituambia ana mawigi zaidi ya mia moja, ni muhimu tukaonyeshwa😆😆😆

  • @rehemamwandemani5182
    @rehemamwandemani5182 10 месяцев назад +1

    Diva usisahau kujenga my det

  • @mariej6962
    @mariej6962 10 месяцев назад +7

    Sijaona uspecial wowote wa hiyo nyumba. Nyumba ya kawaida sana!
    Pili, wanaishi maisha ya ajabu sana kama wanandoa, ila nobody should judge her. Ndoa zina mambo mengi sana ambayo waja hamuwezi kuyajua. Let her make her own decisions. Sure she is mentally not okay, but waachieni watu wake wa karibu wamsaidie inavyowezekana, nyie waja hamna namna.
    I support her idea kwenda kuishi nje ya nchi. Ana kiingereza kizuri, still anaweza kupata kazi yake ya utangazaji.
    Ila bwana ni kichefuchefu, atakuletea ukimwi na utaishi nao, ona hawezi hata kumtazama usoni. Mke naye na matatizo yake lukuki, lakini if wanaweza kuyamaliza basi wanajuana wenyewe, sisi wasikilizaji tu.
    Ila aache kumsingizia Mange, simu aliirekodi mwenyewe kutoka kwenye phone ya simu yake mwenyewe ndiyo maana iko clear.

    • @zenadaudzena2849
      @zenadaudzena2849 10 месяцев назад +2

      Mhh hadi mtangazaji kauliza 20 milion halafu kila miezi 3 wanabadilisha uongo mtupu 😊

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 10 месяцев назад +7

    Unapenda sifa mpk una boa

  • @marianabenangodi5522
    @marianabenangodi5522 10 месяцев назад +3

    Yaan unaita media kutuonyesha vitu vya ndan 😂😂😂

  • @YasmineBottan
    @YasmineBottan 10 месяцев назад +2

    Mmh mkiumwa mnaomba kuchangiwa jaman😢

  • @lucasernest6012
    @lucasernest6012 10 месяцев назад +1

    Ila kwenye kuomba michango unatuonyesha maisha ya sanaa tu

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 10 месяцев назад +1

    Wine na msala wapi na wapi duh

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 10 месяцев назад +2

    Diva madawa yamemkolea maskini kama ana ndugu wampeleke kwa mtaalam anatia hutuma sana hayupo Sawa 😢😢😢

    • @kissamwamunyange1018
      @kissamwamunyange1018 10 месяцев назад

      Una uhakika unachokiongea? Halafu wewe kumbuka ni mwanamke kumsemea mwanamke mwenzio ni dhambi kubwa

  • @marianabenangodi5522
    @marianabenangodi5522 10 месяцев назад +2

    😂😂😂 voice si uliongea mwenyewe. Sasa dada etu wa taifa ana husika wapi .

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 10 месяцев назад +1

    Jamani pazuri mimi binafsi nimependa jinsi ilivyo hasa milango kuelejea balcon

  • @steveabel5819
    @steveabel5819 10 месяцев назад +2

    Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh

  • @jacqlinejames7568
    @jacqlinejames7568 10 месяцев назад +2

    Sasa hlo wigi ndo nn mwandishi humwambii mwenzako

  • @rerisamba
    @rerisamba 10 месяцев назад

    Wow 👌 nikuzuri sana jamani nakumekaa expensive

  • @umukulthumu1419
    @umukulthumu1419 10 месяцев назад +2

    Ila diva jaman kwahio huyu mwandish kamwita kwaajili ya kuonesha maisha anayoishi😂😂😂😂

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 10 месяцев назад +1

    MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.

  • @nurumasha
    @nurumasha 10 месяцев назад +2

    Subiri kwanza! Hii ni baada ya Diva kuongea na mwajuma zile voice note zikavuja na ndio hawa hapa wamerudiana??? Au hii ni ya kitambo??¿

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 10 месяцев назад +1

      Ya sasa😂😂 ,

    • @nurumasha
      @nurumasha 10 месяцев назад

      Aiseee😂😂😂😂

  • @LuciaUngele-ye6tn
    @LuciaUngele-ye6tn 10 месяцев назад +3

    Sawa dada turingishie tuu pesa zetu hizo

  • @matridasambali6432
    @matridasambali6432 10 месяцев назад +1

    Mh! Yani diva bana wengine wanawaita watangazaji kuongea nao mambo muhim lakin yeye anawaita watangazaji kuonyesha vitu vya ndani jamani mbona mabos hawawagi ivo kwani yeye ubosi wake Ni vipi jamani boss uchala kazi kweli

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 10 месяцев назад +1

    Sasa hiyo nyumba umepanga 😅ingekua vzr ingekua ni yko

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 10 месяцев назад +1

    Sasa hufunquwi dhamana kitu huyo Dada WA kazi napika nini huyo mume km humpikii yuwapikiwa kwenqine tusidanqanyane

  • @khadijaramadhani5562
    @khadijaramadhani5562 10 месяцев назад +1

    Mapovu yanawatoka! Maisha ni kuchagua! Hayo maisha ndo kaona yanampa furaha! Msimpangie!

  • @SarahKeza-lp1fv
    @SarahKeza-lp1fv 10 месяцев назад +2

    😂😂😂😂 naamuwa kufurahia Tu maisha ya diva

  • @nicholauspeter9454
    @nicholauspeter9454 10 месяцев назад +1

    kila kitu very expensive

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 9 месяцев назад

    Mimi nilidhani ni nyumba yake kajenga yeye kumbe kapanga apartments looo jamani!

  • @n.dvillagirl3272
    @n.dvillagirl3272 10 месяцев назад +9

    Uyu dada anampenda mumewe hadi uruma Mungu akulindie ndoa yao

    • @atomphoton5000
      @atomphoton5000 10 месяцев назад +3

      mwanamke akiingiliwa ki-barabara lazima atampenda mume wake tu. Hii ndio dawa ya ndoa na mapezi tosha!

    • @asiamerey9081
      @asiamerey9081 10 месяцев назад +1

      Ameen Inshaallah🤲🤲🤲

    • @getrudeify
      @getrudeify 10 месяцев назад +2

      Li Abdul lizuriii mnoooo acha tu alipendee...

    • @mussaibony2148
      @mussaibony2148 10 месяцев назад

      We wako humpendi

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 10 месяцев назад

      Huruma ya nini kwani kumpenda mume sana ni kosa

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 10 месяцев назад +1

    Ufanye Dada ununue kidogokidogo mikocheni village itakuwa powa saana Diva! Una weza uta achana na kupanga nyumba nzuri enjoy maisha yenyewe mafupi kwanini uteseke Roho jiunge na Diva upooze koo!❤

  • @ngotikongotiko2711
    @ngotikongotiko2711 10 месяцев назад +1

    Mshamba huyo ndo uamini kwamba kwa mwanamke ndoa inathamani kubwa sana inampa ukamilifu duniani na hata mbele za mungu

  • @amzish26576
    @amzish26576 10 месяцев назад +16

    She's beautiful and she's real 100%

    • @dinnarandrew1982
      @dinnarandrew1982 10 месяцев назад +10

      Hakuna cha ureal.wala nini!!!yuko fake mnoo!!!hizo apartment unakuta vitanda n'a makabati mpk n'a masofa.

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 10 месяцев назад +2

      You didn't know her hw you proud on rental house

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 10 месяцев назад +3

      Mh ureal upi!?

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 10 месяцев назад +3

      Real ipi huyu omba omba

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 10 месяцев назад +2

      Ni muongo sana

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 10 месяцев назад

    Mm ety kila bda ya miez mitatu una badilsha fanicha kweli hmna kitu kichwani