Mzee wa matunguli anaongoza kwa uongo na kuvunja ndoa za watu.ashukuru mungu yupo Tza, angekuwa huku Arabuni anafanya ujinga wake wa kutembea na wake za watu tungekuwa tumeishamsahau siku nyingi.
Hata pesa za hospital ulishindwa muongo hakuna dini iliosema kama mwanamke awe na pesa ndo uoe huyo ni tapel mkubwa umesifiwa lini kwani hatu ukiwa hodari chumbani ndo nini haitoshi unatakiwa uqe natabia nzuri uwe unamtuza mke leo zote hizo huna
Diva hunijui sikujui lakini apa Hakuna mtu ni hewa.najua wazazi wako penye wako wanahuzunika sana. You are educated and clever girl tafuta class yako please.
Mtu gani wa kumpa ushauri mtu huyo mwenyewe muhuni mtu akitaka ushauri ndo kwanza anamtogongaza na wangapi kawatupa msichana mdogo ulimuacha na ukamuoa anamimba naukamkana ukamruka huna jipya watu muwe makini na huyu abdul
Ache kujitetea kwahio mwana mke akiwa maskini dini inasema asiolewe asijifanye ajua dini sana kama ni mali mtume wetu Muhammad ajamuoa hadija kisa ni mali alimstri sio sababu ni mali hiyo abdul atumia falak ni shirk hio
😂😂Sheikh WA mchongo. Utamaliza mizizi kuganga huyo Mjinga Diva... Kweli mpambavu kuolewa Na Mjinga Kama wewe, Yani Mimi hata uniroge milele wewe sio mwanaume unaweza hata kuskia yani unakera Muongo muongo kakonda kwa uongo.. Pumbavu😂😂😂😂
Diva huyu mwanaume atakuuwa usipomuacha! Mwanaume anaongea bullshit nyingi sana and anakiburi kingi sana na binaadam yoyote mwenye kibri hana tofauti na ibilisi! Hawezi kukuacha sio kwa sababu anakupenda hapana, hawezi kukuacha because hajamaliza kukutumia pia anajua hujitambui. Inaumiza kumskiliza huyu kaka too much bullshit and kiburi/ ujuaji mwingi! Manipulation is real.
Mzee wa matunguli anaongoza kwa uongo na kuvunja ndoa za watu.ashukuru mungu yupo Tza, angekuwa huku Arabuni anafanya ujinga wake wa kutembea na wake za watu tungekuwa tumeishamsahau siku nyingi.
Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini
😂😂😂😂😂😂
Nakupenda shemela wangu ila usimuumize mdogo wangu diva buana
Hata pesa za hospital ulishindwa muongo hakuna dini iliosema kama mwanamke awe na pesa ndo uoe huyo ni tapel mkubwa umesifiwa lini kwani hatu ukiwa hodari chumbani ndo nini haitoshi unatakiwa uqe natabia nzuri uwe unamtuza mke leo zote hizo huna
Uyuu ni mganga kichaa
Mwanaume kuachwa noma sana
Uyu Mwanaume kwa sifa ni sheeeeeedah! 😂😂😂
Umeona eee na Meno yake hayo😂😂
@@rodarichard765😂😂😂kwann meno lakin
Huyu si mume ni muhuni tu
Nashkur sanaaaaa sanaaaaa sanaaaaa na ww kulijuwa ilooo.. mshenzi tuu huyuu boyaa
@@hazimamohammed1340 hata aibu haoni
safi sana blaza,wanawake wakiambiwa ukwel huwez wangia,so kuwadanganya ndo habar ya mjini,,
Siyo wote baadhi yetu wasojitambuw
Anatia hata kinyaa kumtizama dume zima limajisifia upuuz
Huyu mshamba anadhani tendo la ndoa ndio njia ya kumtuliza Mwanamke. Hajui kuna vitu vingi vinahitahika katika mahusiano
Hizo ndio zako kujikosha
Safi abdul❤
Diva hunijui sikujui lakini apa Hakuna mtu ni hewa.najua wazazi wako penye wako wanahuzunika sana. You are educated and clever girl tafuta class yako please.
Asante Hapa hakuna bwana yani kwa meno Vambire kweli kweli😂😂😂😂King au kivulana hiki muongo huyu
Mwanaume kichefuchefu ovyo kbsaa
Mbona sasa Diva ameshakukimbia? Wewe ni wa mlima kitonga kupenda vya mteremko kutoka kwa wanawake wenye pesa.
Mganga kaja juuu😂😂
Kashampiga mwezake matunguli kisha anasma awezi kwenda kwa mwengine
Labda kwa uchawi hapa hamna kitu Mai dear
Nimechekaaaaa leo😂😂😂😂😂
Chefuuuu sura ndefu kama kisu cha mmasai libaba limenitoka hili
😂😂😂😂😂😂
Mganga wa mapenzi mbona ndoa zinakushinda
Huyu bwana ana busara safi sana
Mpuuzi huyu busara gani?
@@winnifridaashery4449😂😂😂😂😂
Kamwambie akuoe uone zahma ya dunia.....
tapeli umalaya tu, lakini ulivomtenda Diva umenifurahisha mana hajielewi
Hahaha
@@vickydan2869 😁😁😁😁 lamnyoosha kigagula chali
Mke wangu ninavyomfanya🙈🙈😂😂ndio maneno haya ya kusema mbele za watu ?
Anajitapa ujinga😂😂
Mnafikr sisi hatuangalii mune mwema??? Tunawaza kitandanu tu mfyuuuuu
Meno km mahindi yalokosa mbolea
🤣🤣achakuniuwa nachekomiye😂
🤣🤣🤣
@@uwimanacitegetse9926 🤣🤣cheka ndugu yangu uongeze uhai hawa wanaume wasituchokeshe na maisha
Boraaa kabisaa umemwambia😅😅😅😅😅
unamfanya sana eee 😂😂😂
Meno km mahindi yaliokosa mvua😅😅😅
😂😂😂😂😂
😎😎😎😎
Huyu kaka mh
Lakini wangapi wamefikiria nje ya box labda hii ni Kik 😎
😂😂😂kama kawaida za watu wa WCB... Ninashida ya ku så trust
Dume linakera mmh
😂😂😂😂nacheka hadi hatari
Mtu gani wa kumpa ushauri mtu huyo mwenyewe muhuni mtu akitaka ushauri ndo kwanza anamtogongaza na wangapi kawatupa msichana mdogo ulimuacha na ukamuoa anamimba naukamkana ukamruka huna jipya watu muwe makini na huyu abdul
Wahuni wenzie wanachukua tu ushauri na wanaona poa
@@minaelnathanael1846 àwasssawSqqqqqqqe
Mshikina huyo
Uko na ujinga
Anavyo mfanya?! Huyu ndio sheik wenu??
Nilidhani nimepata mchongo kumbe nimepata mchongomaa
Huyu ndo bwege kabsa hajitambui
Uyu kka cjui yupoje😂
Usha haribu mwanaume ajibizani na wanawake ili kuwa jibu tosha kukaa kimya si uliona kwa yule jamaa na joyce kiria
Mchawi mtupu, hovyo
Huna lolote umeoa umeolewa unakaa kwa mwanamke
my wife she is a perfect, ( use pronoun and noun at the same time)
My wife, she is perfect. As long as ameweka koma it means ameinua upya sentence. Asingeweka pause ingekuwa ukakasi msikilize vzur,
@@fikiriseleman3460 iyo , inawekwaje kwenye verbal, that is not grammar bwana
Au ni English grammar ya tz maana mie nimesoma Marekani
😂😂😂😂darasa linehamia hapa
@@prettynayally2177 😀😀
Hata hivyo alivumilia kuishi na diva mwaka me namwonaga mchafu yale mawigi yananuka Kama kibibi
Ache kujitetea kwahio mwana mke akiwa maskini dini inasema asiolewe asijifanye ajua dini sana kama ni mali mtume wetu Muhammad ajamuoa hadija kisa ni mali alimstri sio sababu ni mali hiyo abdul atumia falak ni shirk hio
yani huyu mganga hajitambui hata kidogo, halafu vyote alivyoangalia anaonekana kichwani hewa
Hakuna Understand Wala understood wewe laghai
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Awo ndo wanaume weupe bwana 😂🙌
Hahahaha
Kumbe unachojua ni kumfanya tu bwege wewe tafuta pesa mtunze mkeo eti kumfanya amekuwa kazi ndiyo ungangane kuifanyai mscccsfyyuuuu😏
Mzinifu mkubwa wewe
😂😂Sheikh WA mchongo. Utamaliza mizizi kuganga huyo Mjinga Diva... Kweli mpambavu kuolewa Na Mjinga Kama wewe, Yani Mimi hata uniroge milele wewe sio mwanaume unaweza hata kuskia yani unakera Muongo muongo kakonda kwa uongo.. Pumbavu😂😂😂😂
Mbwa wewe
Diva huyu mwanaume atakuuwa usipomuacha! Mwanaume anaongea bullshit nyingi sana and anakiburi kingi sana na binaadam yoyote mwenye kibri hana tofauti na ibilisi! Hawezi kukuacha sio kwa sababu anakupenda hapana, hawezi kukuacha because hajamaliza kukutumia pia anajua hujitambui. Inaumiza kumskiliza huyu kaka too much bullshit and kiburi/ ujuaji mwingi! Manipulation is real.
A narcissist man 😢
🍆 na 🥊?
Atakuwa shoga anatafunwa tafuta pesa
Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini
Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini