Mume wa Diva Afunguka | "Mwanamke Kuacha na Mimi ni Mjinga"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Mume wa Diva katika Chemba ya Clouds Digital

Комментарии • 90

  • @salehaljadidi8206
    @salehaljadidi8206 Год назад +4

    Mzee wa matunguli anaongoza kwa uongo na kuvunja ndoa za watu.ashukuru mungu yupo Tza, angekuwa huku Arabuni anafanya ujinga wake wa kutembea na wake za watu tungekuwa tumeishamsahau siku nyingi.

  • @neronapoleon6054
    @neronapoleon6054 Год назад +1

    Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +1

    Nakupenda shemela wangu ila usimuumize mdogo wangu diva buana

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Год назад +5

    Hata pesa za hospital ulishindwa muongo hakuna dini iliosema kama mwanamke awe na pesa ndo uoe huyo ni tapel mkubwa umesifiwa lini kwani hatu ukiwa hodari chumbani ndo nini haitoshi unatakiwa uqe natabia nzuri uwe unamtuza mke leo zote hizo huna

  • @kulatendaudi7671
    @kulatendaudi7671 Год назад +4

    Uyuu ni mganga kichaa

  • @anthonydcosta-hh7lu
    @anthonydcosta-hh7lu Год назад +2

    Mwanaume kuachwa noma sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +6

    Uyu Mwanaume kwa sifa ni sheeeeeedah! 😂😂😂

    • @rodarichard765
      @rodarichard765 Год назад

      Umeona eee na Meno yake hayo😂😂

    • @yunyun799
      @yunyun799 Год назад

      ​@@rodarichard765😂😂😂kwann meno lakin

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Год назад +8

    Huyu si mume ni muhuni tu

    • @hazimamohammed1340
      @hazimamohammed1340 Год назад +1

      Nashkur sanaaaaa sanaaaaa sanaaaaa na ww kulijuwa ilooo.. mshenzi tuu huyuu boyaa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      @@hazimamohammed1340 hata aibu haoni

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 Год назад +1

    safi sana blaza,wanawake wakiambiwa ukwel huwez wangia,so kuwadanganya ndo habar ya mjini,,

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Год назад

      Siyo wote baadhi yetu wasojitambuw

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Год назад +10

    Anatia hata kinyaa kumtizama dume zima limajisifia upuuz

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад

      Huyu mshamba anadhani tendo la ndoa ndio njia ya kumtuliza Mwanamke. Hajui kuna vitu vingi vinahitahika katika mahusiano

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Год назад +3

    Hizo ndio zako kujikosha

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад +1

    Safi abdul❤

  • @Chingagirl123
    @Chingagirl123 Год назад +1

    Diva hunijui sikujui lakini apa Hakuna mtu ni hewa.najua wazazi wako penye wako wanahuzunika sana. You are educated and clever girl tafuta class yako please.

    • @user-yo3yy7fx1i
      @user-yo3yy7fx1i Год назад

      Asante Hapa hakuna bwana yani kwa meno Vambire kweli kweli😂😂😂😂King au kivulana hiki muongo huyu

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +3

    Mwanaume kichefuchefu ovyo kbsaa

  • @MaaneML
    @MaaneML Год назад +4

    Mbona sasa Diva ameshakukimbia? Wewe ni wa mlima kitonga kupenda vya mteremko kutoka kwa wanawake wenye pesa.

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Год назад +2

    Mganga kaja juuu😂😂

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 4 месяца назад

    Kashampiga mwezake matunguli kisha anasma awezi kwenda kwa mwengine

  • @mgenimussa5820
    @mgenimussa5820 Год назад +1

    Labda kwa uchawi hapa hamna kitu Mai dear

  • @catherineshayocwbp.2093
    @catherineshayocwbp.2093 Год назад +1

    Nimechekaaaaa leo😂😂😂😂😂

  • @mwanakitenge
    @mwanakitenge Год назад +1

    Chefuuuu sura ndefu kama kisu cha mmasai libaba limenitoka hili

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Год назад +1

    Mganga wa mapenzi mbona ndoa zinakushinda

  • @siashao169
    @siashao169 Год назад +3

    Huyu bwana ana busara safi sana

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Год назад +2

    tapeli umalaya tu, lakini ulivomtenda Diva umenifurahisha mana hajielewi

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад +6

    Mke wangu ninavyomfanya🙈🙈😂😂ndio maneno haya ya kusema mbele za watu ?

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Год назад +4

    Meno km mahindi yalokosa mbolea

    • @uwimanacitegetse9926
      @uwimanacitegetse9926 Год назад +2

      🤣🤣achakuniuwa nachekomiye😂

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya Год назад

      🤣🤣🤣

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Год назад +1

      @@uwimanacitegetse9926 🤣🤣cheka ndugu yangu uongeze uhai hawa wanaume wasituchokeshe na maisha

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 Год назад

      Boraaa kabisaa umemwambia😅😅😅😅😅

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Год назад +1

    unamfanya sana eee 😂😂😂

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation Год назад +1

    Meno km mahindi yaliokosa mvua😅😅😅

  • @mgenimussa5820
    @mgenimussa5820 Год назад

    😎😎😎😎

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 Год назад

    Huyu kaka mh

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer2368 Год назад +1

    Lakini wangapi wamefikiria nje ya box labda hii ni Kik 😎

    • @clariceLu93
      @clariceLu93 Год назад

      😂😂😂kama kawaida za watu wa WCB... Ninashida ya ku så trust

  • @mishikalama5448
    @mishikalama5448 Год назад +1

    Dume linakera mmh

  • @MohamedMohamed-fc7vh
    @MohamedMohamed-fc7vh Год назад

    😂😂😂😂nacheka hadi hatari

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Год назад +2

    Mtu gani wa kumpa ushauri mtu huyo mwenyewe muhuni mtu akitaka ushauri ndo kwanza anamtogongaza na wangapi kawatupa msichana mdogo ulimuacha na ukamuoa anamimba naukamkana ukamruka huna jipya watu muwe makini na huyu abdul

  • @fatmahfatmah8227
    @fatmahfatmah8227 Год назад

    Mshikina huyo

  • @nassormwachala2218
    @nassormwachala2218 Год назад +1

    Uko na ujinga

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 Год назад +1

    Anavyo mfanya?! Huyu ndio sheik wenu??

  • @user-fq3bf4cd1s
    @user-fq3bf4cd1s Год назад

    Nilidhani nimepata mchongo kumbe nimepata mchongomaa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Год назад

    Huyu ndo bwege kabsa hajitambui

  • @alaidertolatine4750
    @alaidertolatine4750 Год назад

    Uyu kka cjui yupoje😂

  • @SalumuMandemla
    @SalumuMandemla Год назад

    Usha haribu mwanaume ajibizani na wanawake ili kuwa jibu tosha kukaa kimya si uliona kwa yule jamaa na joyce kiria

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад +1

    Mchawi mtupu, hovyo

  • @husnamadai7052
    @husnamadai7052 Год назад

    Huna lolote umeoa umeolewa unakaa kwa mwanamke

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 Год назад +1

    my wife she is a perfect, ( use pronoun and noun at the same time)

    • @fikiriseleman3460
      @fikiriseleman3460 Год назад

      My wife, she is perfect. As long as ameweka koma it means ameinua upya sentence. Asingeweka pause ingekuwa ukakasi msikilize vzur,

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Год назад

      @@fikiriseleman3460 iyo , inawekwaje kwenye verbal, that is not grammar bwana

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Год назад

      Au ni English grammar ya tz maana mie nimesoma Marekani

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 Год назад

      😂😂😂😂darasa linehamia hapa

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Год назад

      @@prettynayally2177 😀😀

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Год назад

    Hata hivyo alivumilia kuishi na diva mwaka me namwonaga mchafu yale mawigi yananuka Kama kibibi

  • @fatmahfatmah8227
    @fatmahfatmah8227 Год назад

    Ache kujitetea kwahio mwana mke akiwa maskini dini inasema asiolewe asijifanye ajua dini sana kama ni mali mtume wetu Muhammad ajamuoa hadija kisa ni mali alimstri sio sababu ni mali hiyo abdul atumia falak ni shirk hio

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 Год назад

    yani huyu mganga hajitambui hata kidogo, halafu vyote alivyoangalia anaonekana kichwani hewa

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Год назад

    Hakuna Understand Wala understood wewe laghai

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rodarichard765
    @rodarichard765 Год назад

    Awo ndo wanaume weupe bwana 😂🙌

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Год назад

    Hahahaha

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад

    Kumbe unachojua ni kumfanya tu bwege wewe tafuta pesa mtunze mkeo eti kumfanya amekuwa kazi ndiyo ungangane kuifanyai mscccsfyyuuuu😏

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад

    Mzinifu mkubwa wewe

  • @user-yo3yy7fx1i
    @user-yo3yy7fx1i Год назад

    😂😂Sheikh WA mchongo. Utamaliza mizizi kuganga huyo Mjinga Diva... Kweli mpambavu kuolewa Na Mjinga Kama wewe, Yani Mimi hata uniroge milele wewe sio mwanaume unaweza hata kuskia yani unakera Muongo muongo kakonda kwa uongo.. Pumbavu😂😂😂😂

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 Год назад

    Mbwa wewe

  • @btylove1870
    @btylove1870 Год назад

    Diva huyu mwanaume atakuuwa usipomuacha! Mwanaume anaongea bullshit nyingi sana and anakiburi kingi sana na binaadam yoyote mwenye kibri hana tofauti na ibilisi! Hawezi kukuacha sio kwa sababu anakupenda hapana, hawezi kukuacha because hajamaliza kukutumia pia anajua hujitambui. Inaumiza kumskiliza huyu kaka too much bullshit and kiburi/ ujuaji mwingi! Manipulation is real.

  • @khadijakimana8809
    @khadijakimana8809 Год назад

    A narcissist man 😢

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Год назад

    🍆 na 🥊?

  • @neronapoleon6054
    @neronapoleon6054 Год назад

    Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini

  • @neronapoleon6054
    @neronapoleon6054 Год назад

    Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini