Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
Wewe umekwenda kuowa mkridto wakati dini yenyewe inatukataza tusiwaowe hao bali mbaka pale pasipokuea na budi kwakuwa kuna hasara nyingi lakini mapenzi mapenzi yalikuchotaa pole sana ila usipotexe mdu hapo una mkee wanawake wa dizaini hiyo uwa awabadiliki kiamaa pole na jipange tuuu kwa maisha mengine mimi simufichi nskueleza kweli pia kumbuka wew ni shekhe fuata dini basii ole inalilah waina...... Kumbuka hadhi za maswahaba moja alipoambiwa na baba eke abadilishe kizingiti cha mlango ndugu huyo sio mke umueexiiii mbaka kiamaaaa alafu wee shekhe. Ndoa yako ya mkataba ndowa ya bomaniii uyo ni mwamke wa kutumiaaa ana fuchaaa ndugu baldili kixingiti na fuata vigezo vya dini wacha matamanio ya duniaaa shekhe gani wewe badilika ili uendane na cheo chake
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
Kiongozi wetu ntumee mohamad s(s aw) alidaiwa dhahabu na wake zake wawili na hakuwa na uwezo emu rudi kwenye dini wrwee. Wacha kupoteza muda hakuna jipya kwako amblo alijawahi kutokea enzi za mitume na maswahaba na ndio viongozi wetu tunaotakiwa kuaiga wewe rudi katika imaniii yako wrweeeee vyetu
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
Passport hujui magar hujui hahaha hahha ila jaman tuishinkawaidaaa yan huyo mwanaume anamuenjoy sanaa diva coz anajikuta mjuaji so.mwanaume anakaa nyumanyumaaa,hata kuongea is acting daaa wadada
Familia ya kipuuzi hii😂😂😂upareni ila Abdul ana moyo wa kuishi na diva muongo muongo 😅😅😅😅😅😂majina mawili mawili ivi mnamuelewa huyuu mpuuzi bab a mtanzania linajibu muhaya😂😂
Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂
Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂
Pole kaka mganga kazi unayo😂😂
Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji
nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji@@nuryatmussa9966
Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂
Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2
Abdul apewe 👑 👑
😂😂
Nikweli😂😂😂
Kabisa
Saiv ndo naelewa kumbe kingereza sio akilii😅😅😅😅😅
Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy
Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽
Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆♀️
Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza
🤣🤣umewaza kama Mimi
Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini
Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe
Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza
Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..
DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity
Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅
Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂
Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪
Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu
Yaani. Hata mimi nime mshangaa sana
😂😂 yaan duh
😂😂😂😂
Wewe umekwenda kuowa mkridto wakati dini yenyewe inatukataza tusiwaowe hao bali mbaka pale pasipokuea na budi kwakuwa kuna hasara nyingi lakini mapenzi mapenzi yalikuchotaa pole sana ila usipotexe mdu hapo una mkee wanawake wa dizaini hiyo uwa awabadiliki kiamaa pole na jipange tuuu kwa maisha mengine mimi simufichi nskueleza kweli pia kumbuka wew ni shekhe fuata dini basii ole inalilah waina...... Kumbuka hadhi za maswahaba moja alipoambiwa na baba eke abadilishe kizingiti cha mlango ndugu huyo sio mke umueexiiii mbaka kiamaaaa alafu wee shekhe. Ndoa yako ya mkataba ndowa ya bomaniii uyo ni mwamke wa kutumiaaa ana fuchaaa ndugu baldili kixingiti na fuata vigezo vya dini wacha matamanio ya duniaaa shekhe gani wewe badilika ili uendane na cheo chake
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa
😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii
Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂
Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.
Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂
Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi
Ila huyu kaka anajitahidi jaman khaaaa!!
Yaani hapa Abdul kajikanyaga naatakonda sana😂😂😂😂
Kweli atamimi nahisi ivo,jama anapambana sana sikazi ndogo kukuwa karibu na Diva
@@nayarichard5318mbona washaachana kitambo show yenyewe marudio hii
@@mutamurizajosephine8349washaachana
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana
@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂
Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu
😂😂😂😂
Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh
Yan anajifanya mgeni TZ
Jamani hadi leo huna passport jamani😢
Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😅
Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
Exactly 💯
Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini
Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo
Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana
Yani mwanamke lazima uwe na kitu cha Ziada cha kumfanya mwanaume ajue mkewe nyumbani kichwa sasa Huyu binti namsikitikia sana hakuna Mke hapo
Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza
Abdul ni mwanaume na Robo 3..
Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.
Kiongozi wetu ntumee mohamad s(s aw) alidaiwa dhahabu na wake zake wawili na hakuwa na uwezo emu rudi kwenye dini wrwee. Wacha kupoteza muda hakuna jipya kwako amblo alijawahi kutokea enzi za mitume na maswahaba na ndio viongozi wetu tunaotakiwa kuaiga wewe rudi katika imaniii yako wrweeeee
vyetu
Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂
na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana
Yaan diva ni vituko jmn mwanaume wake kazi anayo😂🙌 anajikuta sana af hana chochote mxieew na hayo mawigi kama katani
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
Mbona kawaida
Hilo liko wazi
Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa
Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂
Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤
😂😂😂
Kwakweli tushike jembe😅😂
Si angemwambia diamond amtafutie passport😂
Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂
Diva mbona fek mpka majina😅😅😅
Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂
Diva umeolewa na mzungu 😅
Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????
😂
Huyu Abdul wanasema hana Adabu sijui malaya but he is a realy man mtulivu anampa mke heshima na anamsikiliza vizuri kaka mtulivu
Ujue Huyu dada anajifanya mtoto mdogo asiyejielewa hata kidogo wakati yeye muda wote ni mtoto mchanga
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
Aiseee ila diva kwa mashauziii
Puwagu na pwaguzi 😀😀😀
Pipa namfuniko 😂😂😂
😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil
Mmeweza😊😊
Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek
Nyie mnaomsema diva angalien inteview yaa salma mwanamke wa huyu kaka aloachana nae ata ela ya chakula anasema alikua aachi uyu kaka
Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz
@zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz
😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah
Realty yenu mbaya hainogi
Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji
😂😂😂
😂😂😂😂daaah
😂 we mshenzii😂😂😂
😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani
Hata mume hajui majina ya mkewe
😂😂😂😂😂😂
😂😂we hutaki kutumwa af unataka akununulie mavitu hahaha
Huyu diva hayupo hata romantic
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva
Me na diva nimeanza kumiliki passport me😂😂😂😂😂diva bwabwa
Passport hujui magar hujui hahaha hahha ila jaman tuishinkawaidaaa yan huyo mwanaume anamuenjoy sanaa diva coz anajikuta mjuaji so.mwanaume anakaa nyumanyumaaa,hata kuongea is acting daaa wadada
Kwani uyu muislam au mklisto?mbona simuelewi😂😂😂😂😂ila diva
She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅
Nacheka mno duu yaan hapa kwenye passport duuu umetuacha sana,,, pass kuhama ipotee😅,, anajiumauma tu😂😂Shekhe kazi unayo,,,, yaan ihi ni comedy
Huyo hajawah kua na passport anazuga tu 😂😂 Shekhe kazi anayo kivipi wakati washaachana hiyo show ya tangu mwaka jana
@@LeeLian95😂😂😂😂😂
@@LeeLian95😂😂ndio hivyo.yasn 😂😂😂diva😂😂😂
Kweli ni comedy nimecheka saana Leo 😂😂😂😂😂😂
Kweli diva acha kichwa gumu mm nilikuwa na passport haja expired tuliambiwa tuna badilisha sababu ya id imetoka
Kuna mimi nikipewa laki mbili inaisha mwez mzm nabdo naulizwa imeishaje 😂😂😂😂
Siyo lazima bwana alipata passport akiwa mtoto sasa leo anaipata wapi 😂😂😂
Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂
Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,
Diva mbaya bila mekap kibibi kweli nibora avae miwani mbaya kweli
Yamekwisha ni upendoo tuuuu
Mental health is real
Kwei sheikh 😅😅😅😅 ❤❤❤
Prague na Pwaguzi, nimecheka sana leo hiyo issue ya passport.
Dah etiquette waambie hana passport mweh 😂😂😂😂😂😂
Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo
Familia ya kipuuzi hii😂😂😂upareni ila Abdul ana moyo wa kuishi na diva muongo muongo 😅😅😅😅😅😂majina mawili mawili ivi mnamuelewa huyuu mpuuzi bab a mtanzania linajibu muhaya😂😂
Yaan Diva 😂😂😂😂 ka mtoto😅
Huyo ni mwanake wa kutumiaaa tuuu si unamuona
Majina magumu kama maisha ya Kenya 😂😂Kwani muhaya sio mtz😂😂
miaka yote likua wapi ata passpot atengeneze leo
Yaani uyu dada ni mshambaaaa
Kumbe ni ile kabila ndio maana kingereza kingi 😂😅
Maji ya upako😂😂😂
Ok gizel na lile la bowse nalo liko na Nani sasa
Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?
Ndio maana kichwa kibovu huyu
Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana
@@ms_teeonly Ooh pole sana kwake
Diva jaman
Mmaosema uyu kaka hana shida taften interview yayule mke wake salma kabla yakumuowa diva
Baba yangu amezaliwa sijui wapi bukoba?😂