BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 июн 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 246

  • @MariaHamis-cl3nu
    @MariaHamis-cl3nu Месяц назад +14

    Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂

  • @EmmyMo
    @EmmyMo Месяц назад +19

    Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂
    Pole kaka mganga kazi unayo😂😂

    • @nuryatmussa9966
      @nuryatmussa9966 24 дня назад

      Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 22 дня назад

      nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji​@@nuryatmussa9966

    • @MwaminiyusuphRwekaza
      @MwaminiyusuphRwekaza 15 дней назад

      Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂

  • @mutamurizajosephine8349
    @mutamurizajosephine8349 Месяц назад +18

    Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 Месяц назад +6

    Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay7415 Месяц назад +5

    Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽

  • @diannaphabian7440
    @diannaphabian7440 25 дней назад +5

    Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆‍♀️

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 29 дней назад +8

    Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 26 дней назад +1

      🤣🤣umewaza kama Mimi

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein Месяц назад +7

    Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini

  • @lilianpeter1631
    @lilianpeter1631 28 дней назад +5

    Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 29 дней назад +5

    Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza

  • @sherryx.7897
    @sherryx.7897 Месяц назад +6

    Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..

  • @queentanitah1346
    @queentanitah1346 Месяц назад +5

    DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +5

    Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 Месяц назад +6

    Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 25 дней назад +2

    Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 19 дней назад +1

    Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Месяц назад +13

    Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 4 дня назад

    Wewe umekwenda kuowa mkridto wakati dini yenyewe inatukataza tusiwaowe hao bali mbaka pale pasipokuea na budi kwakuwa kuna hasara nyingi lakini mapenzi mapenzi yalikuchotaa pole sana ila usipotexe mdu hapo una mkee wanawake wa dizaini hiyo uwa awabadiliki kiamaa pole na jipange tuuu kwa maisha mengine mimi simufichi nskueleza kweli pia kumbuka wew ni shekhe fuata dini basii ole inalilah waina...... Kumbuka hadhi za maswahaba moja alipoambiwa na baba eke abadilishe kizingiti cha mlango ndugu huyo sio mke umueexiiii mbaka kiamaaaa alafu wee shekhe. Ndoa yako ya mkataba ndowa ya bomaniii uyo ni mwamke wa kutumiaaa ana fuchaaa ndugu baldili kixingiti na fuata vigezo vya dini wacha matamanio ya duniaaa shekhe gani wewe badilika ili uendane na cheo chake

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 28 дней назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa

    • @fettymilly7664
      @fettymilly7664 24 дня назад

      😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii

  • @monicakimati4619
    @monicakimati4619 29 дней назад +2

    Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d Месяц назад +4

    Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 24 дня назад +2

    Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 29 дней назад +1

    Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi

  • @nayarichard5318
    @nayarichard5318 Месяц назад +9

    Ila huyu kaka anajitahidi jaman khaaaa!!

    • @nayarichard5318
      @nayarichard5318 Месяц назад +2

      Yaani hapa Abdul kajikanyaga naatakonda sana😂😂😂😂

    • @mutamurizajosephine8349
      @mutamurizajosephine8349 Месяц назад +1

      Kweli atamimi nahisi ivo,jama anapambana sana sikazi ndogo kukuwa karibu na Diva

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 26 дней назад

      @@nayarichard5318mbona washaachana kitambo show yenyewe marudio hii

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 26 дней назад

      @@mutamurizajosephine8349washaachana

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 Месяц назад +7

    Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 29 дней назад +1

      Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana

    • @mutamurizajosephine8349
      @mutamurizajosephine8349 26 дней назад +1

      ​@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 28 дней назад +2

    Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Месяц назад +6

    Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @aminanyembo8471
      @aminanyembo8471 24 дня назад

      Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂

  • @rehemapeter8621
    @rehemapeter8621 Месяц назад +7

    Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh

    • @3Dshoez
      @3Dshoez 26 дней назад +1

      Yan anajifanya mgeni TZ

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 28 дней назад +2

    Jamani hadi leo huna passport jamani😢

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 Месяц назад +6

    Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂

  • @NnajMimi
    @NnajMimi Месяц назад +4

    Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Месяц назад +1

      Exactly 💯

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +2

    Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini

  • @NnajMimi
    @NnajMimi Месяц назад +4

    Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x Месяц назад +3

    Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana

  • @sechemaguha7262
    @sechemaguha7262 12 дней назад +1

    Yani mwanamke lazima uwe na kitu cha Ziada cha kumfanya mwanaume ajue mkewe nyumbani kichwa sasa Huyu binti namsikitikia sana hakuna Mke hapo

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 26 дней назад +2

    Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 27 дней назад +2

    Abdul ni mwanaume na Robo 3..
    Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 4 дня назад

    Kiongozi wetu ntumee mohamad s(s aw) alidaiwa dhahabu na wake zake wawili na hakuwa na uwezo emu rudi kwenye dini wrwee. Wacha kupoteza muda hakuna jipya kwako amblo alijawahi kutokea enzi za mitume na maswahaba na ndio viongozi wetu tunaotakiwa kuaiga wewe rudi katika imaniii yako wrweeeee
    vyetu

  • @user-ii2dp3es9h
    @user-ii2dp3es9h Месяц назад +2

    Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂

  • @saraheunice8661
    @saraheunice8661 29 дней назад +2

    na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana

  • @steveabel5819
    @steveabel5819 29 дней назад

    Yaan diva ni vituko jmn mwanaume wake kazi anayo😂🙌 anajikuta sana af hana chochote mxieew na hayo mawigi kama katani

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Месяц назад +12

    Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 Месяц назад +1

      Mbona kawaida

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh Месяц назад +1

      Hilo liko wazi

    • @mapishiyetumazuri2312
      @mapishiyetumazuri2312 Месяц назад

      Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel Месяц назад

      @@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 Месяц назад

      Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Месяц назад +3

    Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 Месяц назад +5

    Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Месяц назад +3

    Si angemwambia diamond amtafutie passport😂

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 28 дней назад +1

    Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂

  • @MariaThomas-wm9iq
    @MariaThomas-wm9iq 24 дня назад +2

    Diva mbona fek mpka majina😅😅😅

  • @mariamhussein7620
    @mariamhussein7620 24 дня назад +1

    Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 Месяц назад +4

    Diva umeolewa na mzungu 😅

  • @Mwanamkesahihi01
    @Mwanamkesahihi01 Месяц назад +4

    Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????

  • @minaeli5989
    @minaeli5989 12 дней назад

    Huyu Abdul wanasema hana Adabu sijui malaya but he is a realy man mtulivu anampa mke heshima na anamsikiliza vizuri kaka mtulivu

  • @sechemaguha7262
    @sechemaguha7262 12 дней назад +1

    Ujue Huyu dada anajifanya mtoto mdogo asiyejielewa hata kidogo wakati yeye muda wote ni mtoto mchanga

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 19 дней назад +1

    Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu

  • @temeketv
    @temeketv 25 дней назад +1

    Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 28 дней назад +2

    Aiseee ila diva kwa mashauziii

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 Месяц назад +5

    Puwagu na pwaguzi 😀😀😀

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d Месяц назад +7

    😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil

  • @TabithaAlfred
    @TabithaAlfred 24 дня назад +1

    Mmeweza😊😊

  • @awaynaaaa3490
    @awaynaaaa3490 Месяц назад +1

    Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek

  • @MagretSalheart
    @MagretSalheart 9 дней назад

    Nyie mnaomsema diva angalien inteview yaa salma mwanamke wa huyu kaka aloachana nae ata ela ya chakula anasema alikua aachi uyu kaka

  • @salama1113
    @salama1113 Месяц назад +1

    Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz

  • @beatriceevan3074
    @beatriceevan3074 Месяц назад +1

    @zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 29 дней назад +4

    😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂

    • @activestudios.
      @activestudios. 28 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah

  • @elizabethsamwel8628
    @elizabethsamwel8628 Месяц назад +2

    Realty yenu mbaya hainogi

  • @user-td8bp9kz8d
    @user-td8bp9kz8d Месяц назад +8

    Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji

    • @ZulekhaAmar-fy4pm
      @ZulekhaAmar-fy4pm Месяц назад

      😂😂😂

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Месяц назад

      😂😂😂😂daaah

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 28 дней назад

      😂 we mshenzii😂😂😂

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 19 дней назад

      😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 26 дней назад +2

    Hata mume hajui majina ya mkewe

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 29 дней назад

    😂😂we hutaki kutumwa af unataka akununulie mavitu hahaha

  • @ZaynaAdam
    @ZaynaAdam 12 дней назад +1

    Huyu diva hayupo hata romantic

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 24 дня назад

    Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 28 дней назад +1

    Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva

  • @khairyaalamri4002
    @khairyaalamri4002 12 дней назад

    Me na diva nimeanza kumiliki passport me😂😂😂😂😂diva bwabwa

  • @happynessmuro6474
    @happynessmuro6474 28 дней назад

    Passport hujui magar hujui hahaha hahha ila jaman tuishinkawaidaaa yan huyo mwanaume anamuenjoy sanaa diva coz anajikuta mjuaji so.mwanaume anakaa nyumanyumaaa,hata kuongea is acting daaa wadada

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 5 дней назад

    Kwani uyu muislam au mklisto?mbona simuelewi😂😂😂😂😂ila diva

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 26 дней назад +2

    She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅

  • @mvfff7224
    @mvfff7224 26 дней назад +1

    Nacheka mno duu yaan hapa kwenye passport duuu umetuacha sana,,, pass kuhama ipotee😅,, anajiumauma tu😂😂Shekhe kazi unayo,,,, yaan ihi ni comedy

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 26 дней назад

      Huyo hajawah kua na passport anazuga tu 😂😂 Shekhe kazi anayo kivipi wakati washaachana hiyo show ya tangu mwaka jana

    • @mutamurizajosephine8349
      @mutamurizajosephine8349 26 дней назад

      ​@@LeeLian95😂😂😂😂😂

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 25 дней назад

      ​@@LeeLian95😂😂ndio hivyo.yasn 😂😂😂diva😂😂😂

    • @user-rf4yq9yj7u
      @user-rf4yq9yj7u 25 дней назад

      Kweli ni comedy nimecheka saana Leo 😂😂😂😂😂😂

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Месяц назад

    Kweli diva acha kichwa gumu mm nilikuwa na passport haja expired tuliambiwa tuna badilisha sababu ya id imetoka

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 28 дней назад

    Kuna mimi nikipewa laki mbili inaisha mwez mzm nabdo naulizwa imeishaje 😂😂😂😂

  • @christinenere4696
    @christinenere4696 Месяц назад

    Siyo lazima bwana alipata passport akiwa mtoto sasa leo anaipata wapi 😂😂😂

  • @righitkileo
    @righitkileo 25 дней назад

    Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 Месяц назад +1

    Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,

  • @NanaNana-oe5ft
    @NanaNana-oe5ft 5 дней назад

    Diva mbaya bila mekap kibibi kweli nibora avae miwani mbaya kweli

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i Месяц назад +1

    Yamekwisha ni upendoo tuuuu

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 26 дней назад +1

    Mental health is real

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 22 дня назад

    Kwei sheikh 😅😅😅😅 ❤❤❤

  • @elizabethmwakalinga3287
    @elizabethmwakalinga3287 28 дней назад

    Prague na Pwaguzi, nimecheka sana leo hiyo issue ya passport.

  • @fatnaabdulhassan7383
    @fatnaabdulhassan7383 22 дня назад

    Dah etiquette waambie hana passport mweh 😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethadabu4670
    @elizabethadabu4670 28 дней назад +1

    Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 29 дней назад

    Familia ya kipuuzi hii😂😂😂upareni ila Abdul ana moyo wa kuishi na diva muongo muongo 😅😅😅😅😅😂majina mawili mawili ivi mnamuelewa huyuu mpuuzi bab a mtanzania linajibu muhaya😂😂

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 29 дней назад

    Yaan Diva 😂😂😂😂 ka mtoto😅

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 4 дня назад

    Huyo ni mwanake wa kutumiaaa tuuu si unamuona

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 29 дней назад

    Majina magumu kama maisha ya Kenya 😂😂Kwani muhaya sio mtz😂😂

  • @Masoud-bi9bq
    @Masoud-bi9bq 14 дней назад

    miaka yote likua wapi ata passpot atengeneze leo

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 25 дней назад

    Yaani uyu dada ni mshambaaaa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад

    Kumbe ni ile kabila ndio maana kingereza kingi 😂😅

  • @NaomiKasimu
    @NaomiKasimu 29 дней назад

    Maji ya upako😂😂😂

  • @user-og4wh1xr2c
    @user-og4wh1xr2c Месяц назад

    Ok gizel na lile la bowse nalo liko na Nani sasa

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 Месяц назад +2

    Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Ndio maana kichwa kibovu huyu

    • @ms_teeonly
      @ms_teeonly 29 дней назад +1

      Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 29 дней назад

      @@ms_teeonly Ooh pole sana kwake

  • @user-oq2wp8oh1f
    @user-oq2wp8oh1f Месяц назад +2

    Diva jaman

  • @MagretSalheart
    @MagretSalheart 9 дней назад

    Mmaosema uyu kaka hana shida taften interview yayule mke wake salma kabla yakumuowa diva

  • @athumanii
    @athumanii 26 дней назад

    Baba yangu amezaliwa sijui wapi bukoba?😂