BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 86

  • @PennyLuis
    @PennyLuis 3 месяца назад +9

    Diva unaitaja taja hyo Ujerumani as if ni hapo kariakoo na wakati passport huna 😂😂😂dooh

  • @fahzernyizzy2418
    @fahzernyizzy2418 2 месяца назад +2

    Which surah is that honey 😂😂😂

  • @Juke995
    @Juke995 3 месяца назад +6

    Diva anaonekana ana roho nzuri sana ila hakupaswa kuolewa na mtu anae mpenda mwanamke unatakiwa kuolewa na mwanaume anaekupenda hebu ona anavyo fedheheka yani anaonekana yeye ndo anajipendekeza kwa mwanaume daaha mapenzi jamani hadi huruma n kazama mwenyewe hata haoni tofauti

  • @mamilooutukufu3516
    @mamilooutukufu3516 3 месяца назад +13

    Jamani uyu dada narudia tena uyu jamaa hampendi uyu mama kabsa mmama anajibebisha ila mume daaah wala hayupo nae kabsa mmama ana moyo uyu!! Mim siwez na sitakaa niweze ila shangaz anaweza pole shangazi diva

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 3 месяца назад +5

    Ahsante Dada zamarad.
    Channel yako imechangamka vipindi ni banduka bandua..
    That's what we want😅❤

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 3 месяца назад +11

    Huyo shekh mbona hayupo romantic kama mke wake anaitwa beb yy kakaza 😂

  • @WalburgaMmassy
    @WalburgaMmassy 3 месяца назад +2

    Huyo shehe hajawahi kumpenda Diva hata ongea yake kwenye cm tu utajua hampendi bali Diva ndo anampwndaga huyo shehe wake

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 месяца назад +5

    Kuishi German,Canada na huna passport dia 😦

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 месяца назад +4

    mwanaume akiwa akupendi hana kificho mpka aibu jamani khaa

  • @bas2823
    @bas2823 Месяц назад

    COULD U REMOVE THOSE WIGS ON TOP OF YR HEAD" OLEASE U R BEAUTY IN NATURAL THE WAY GOD MADE U IN NATURAL WAY👍"

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 3 месяца назад +12

    Diva kutwa upo na mawig hebu mara moja usivae ubongo upumue au unaogopa tutaona panki😂😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 месяца назад +1

      Iyo mikia ya farasi yuaitumia kama mtandio🙄

    • @aminaali792
      @aminaali792 3 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @ms_teeonly
      @ms_teeonly 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @Fadhakir21
    @Fadhakir21 3 месяца назад +6

    Tunapenda mahusiano yenu mana swala LA kuachana ata MUNGU apendi allah awaongoze awaepushe na husda na vijicho pia Allah awape watoto wengi ❤❤

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 месяца назад +8

    na ungekuwa na hela tungejuta

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 3 месяца назад +3

    Awa wawili nivichekesho

  • @jonnycash7682
    @jonnycash7682 3 месяца назад +8

    Allah alikuogoza ukasilimu kwa kupenda kwako hata ukijaliwa kuachana na Abdul usitoke kwa dini ya kiislamu

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 3 месяца назад +4

    Mi nawapenda hawa

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 3 месяца назад +1

    🙄🤔🫣Kumbe wewe Diva mshamba hivyo 🤣😂🤣vitunguu kwenye freege🫣🫣🤣😂🤣Ji wigi kama shetani majinun🤣😂🤣🤪

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh 3 месяца назад +4

    Huyu dada hajielewi

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 месяца назад +2

    Diva:hey baaaayb
    Abdul:HELLO 💀
    Yaan Abou hayuko romantic jaman😂😂😂hata haongei na mke wake kama anavyo ongeaga instagram

    • @ms_teeonly
      @ms_teeonly 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 2 месяца назад

      Kwasababu hampendi

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 3 месяца назад +3

    Nilisema ni tahiya inatosha. Majinun

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 3 месяца назад +12

    Kitunguu unaweka kwenye fridge diva kweli😮😮

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 3 месяца назад +1

    Mm napenda kochi tuu❤️

  • @JeniferMassawe-lu3de
    @JeniferMassawe-lu3de 3 месяца назад +1

    Nampenda diva ivo ivo

  • @MagretSalheart
    @MagretSalheart 2 месяца назад

    Ndo ninaelewa yule mke wake alomuacha salma alichokua anasema nikweli abdul kamfata diva kwaajil ya umaarufu yule dada alisema

  • @ingabireshakira9631
    @ingabireshakira9631 3 месяца назад +2

    Suratul Sumbuka ndio sura gan jamani😅

    • @aminaali792
      @aminaali792 3 месяца назад +1

      Mi mwenyewe nimeshtuka hee 🤭😂😂😂

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 3 месяца назад +1

    Yuataka aachike aende wapii naakae atulie na mumewe apunguze TU ushauri yuapenda ushauri sana

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 3 месяца назад +1

    Suratu subbuka ndio sura gani huyu dada ni mwehu wallahi yaani akiliyake hapo anajihisi ni marekani

    • @zawiynasra
      @zawiynasra 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂

  • @Juke995
    @Juke995 3 месяца назад +1

    Haya mtupe hiyo surah surutumbuka 😂😂tusome na sisi

  • @gloryhillary1294
    @gloryhillary1294 3 месяца назад +1

    Iyo mito ilivyo michafu saaa

  • @salmabasil385
    @salmabasil385 3 месяца назад

    Si mlikiss kwenye gari kabla ya ndoa mbona kutuchanganya dada na first kiss baada ya ndoa

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 месяца назад

    Ndomana ndoa zenu hazigawiyaki kuvunjika ww mtu mnakutana siku 1 siku 2 eti tuowana ndomana wengi wenu mnaolewa leo kesho mnaachana 🤔🤔

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 3 месяца назад +1

    Unaongeaje diva

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 месяца назад +1

    😂😂hayo mawigi uwa hayavuliwi

  • @aishamohamed3967
    @aishamohamed3967 2 месяца назад

    Mmeona makochi lkn

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 месяца назад

    Hayo masofa vipi?

  • @JacklineMakule-id8hn
    @JacklineMakule-id8hn 2 месяца назад

    Nalia ni izoo sofa zakoo chaafuuuuchaaafuuu mshangaz mzima lkn sofa chafu ndo mana mama mkwe anakupulizia dawa za mbuu

    • @HappynessMlimbu
      @HappynessMlimbu 2 месяца назад

      Nikajua macho yangu yameona viby😅😅

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 3 месяца назад

    Diva una uso mkavu sio ule ambao tumeuzoea

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 3 месяца назад

    Mbona umefutuka

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 3 месяца назад

    Ila diva wewe ni bibi

  • @snowaudielizzy8861
    @snowaudielizzy8861 3 месяца назад

    Makochi yameoza😮

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 3 месяца назад

    Munro naye mgerumani gani anamuwa mwanamke keboge

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 3 месяца назад

    Huo mtumbooooooooooooooooooo

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 3 месяца назад

    Mbona tumbo kubwa

  • @RutyNatalia-uu5uj
    @RutyNatalia-uu5uj 3 месяца назад

    😂😂 na gauni lake

  • @jamilaissa1386
    @jamilaissa1386 3 месяца назад +1

    Ety suratul masumbuku😂

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 3 месяца назад +2

    Wig la Halloween

  • @sheikhaabbas8680
    @sheikhaabbas8680 3 месяца назад

    Hyo ni shepu ama mepu

  • @ingabireshakira9631
    @ingabireshakira9631 3 месяца назад +1

    Kwa michepuko yake he’s so romantic😉