Diva anaonekana ana roho nzuri sana ila hakupaswa kuolewa na mtu anae mpenda mwanamke unatakiwa kuolewa na mwanaume anaekupenda hebu ona anavyo fedheheka yani anaonekana yeye ndo anajipendekeza kwa mwanaume daaha mapenzi jamani hadi huruma n kazama mwenyewe hata haoni tofauti
Jamani uyu dada narudia tena uyu jamaa hampendi uyu mama kabsa mmama anajibebisha ila mume daaah wala hayupo nae kabsa mmama ana moyo uyu!! Mim siwez na sitakaa niweze ila shangaz anaweza pole shangazi diva
Diva unaitaja taja hyo Ujerumani as if ni hapo kariakoo na wakati passport huna 😂😂😂dooh
Which surah is that honey 😂😂😂
Diva anaonekana ana roho nzuri sana ila hakupaswa kuolewa na mtu anae mpenda mwanamke unatakiwa kuolewa na mwanaume anaekupenda hebu ona anavyo fedheheka yani anaonekana yeye ndo anajipendekeza kwa mwanaume daaha mapenzi jamani hadi huruma n kazama mwenyewe hata haoni tofauti
Jamani uyu dada narudia tena uyu jamaa hampendi uyu mama kabsa mmama anajibebisha ila mume daaah wala hayupo nae kabsa mmama ana moyo uyu!! Mim siwez na sitakaa niweze ila shangaz anaweza pole shangazi diva
Hili limana ni litahira
😂😂😂😂😂😂
Anakupenda wewe basi wivu tu
@@nyanziratatou5404limama limekuzaa kuzeesha wenzenu tu wakati nyinyi wenyewe vibibi
@@nyanziratatou5404 Tahira anamuona mwenzie 😂😂😂
Ahsante Dada zamarad.
Channel yako imechangamka vipindi ni banduka bandua..
That's what we want😅❤
Huyo shekh mbona hayupo romantic kama mke wake anaitwa beb yy kakaza 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kamchoka
Huyo shehe hajawahi kumpenda Diva hata ongea yake kwenye cm tu utajua hampendi bali Diva ndo anampwndaga huyo shehe wake
Kuishi German,Canada na huna passport dia 😦
😅😅😅
mwanaume akiwa akupendi hana kificho mpka aibu jamani khaa
COULD U REMOVE THOSE WIGS ON TOP OF YR HEAD" OLEASE U R BEAUTY IN NATURAL THE WAY GOD MADE U IN NATURAL WAY👍"
Diva kutwa upo na mawig hebu mara moja usivae ubongo upumue au unaogopa tutaona panki😂😂😂
Iyo mikia ya farasi yuaitumia kama mtandio🙄
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Tunapenda mahusiano yenu mana swala LA kuachana ata MUNGU apendi allah awaongoze awaepushe na husda na vijicho pia Allah awape watoto wengi ❤❤
Inshallah 🤲
Ameen ❤
na ungekuwa na hela tungejuta
🤣😂😂Hana hata ya kuendea china🤣😂🤪
😁😁😁😁
Awa wawili nivichekesho
Allah alikuogoza ukasilimu kwa kupenda kwako hata ukijaliwa kuachana na Abdul usitoke kwa dini ya kiislamu
kwani awaja achana na mume wake?
Mi nawapenda hawa
🙄🤔🫣Kumbe wewe Diva mshamba hivyo 🤣😂🤣vitunguu kwenye freege🫣🫣🤣😂🤣Ji wigi kama shetani majinun🤣😂🤣🤪
😁😁😁😁
Huyu dada hajielewi
😁😁😁😁
Diva:hey baaaayb
Abdul:HELLO 💀
Yaan Abou hayuko romantic jaman😂😂😂hata haongei na mke wake kama anavyo ongeaga instagram
😂😂😂😂😂
Kwasababu hampendi
Nilisema ni tahiya inatosha. Majinun
Kitunguu unaweka kwenye fridge diva kweli😮😮
Yeah ukiamua unaweka
Yes vinawekwa ndio
Unaweka kinapunguza ukali acha ushamba na we huko 🤗
😂😂😂 we ndo mshamba
sena vinalets mbaya kwa fridg@@TrinaRoman345
Mm napenda kochi tuu❤️
Nampenda diva ivo ivo
Ndo ninaelewa yule mke wake alomuacha salma alichokua anasema nikweli abdul kamfata diva kwaajil ya umaarufu yule dada alisema
Suratul Sumbuka ndio sura gan jamani😅
Mi mwenyewe nimeshtuka hee 🤭😂😂😂
Yuataka aachike aende wapii naakae atulie na mumewe apunguze TU ushauri yuapenda ushauri sana
😅😅😅
Suratu subbuka ndio sura gani huyu dada ni mwehu wallahi yaani akiliyake hapo anajihisi ni marekani
😂😂😂😂
Haya mtupe hiyo surah surutumbuka 😂😂tusome na sisi
Yani uyu anavituko
Iyo mito ilivyo michafu saaa
Si mlikiss kwenye gari kabla ya ndoa mbona kutuchanganya dada na first kiss baada ya ndoa
Ndomana ndoa zenu hazigawiyaki kuvunjika ww mtu mnakutana siku 1 siku 2 eti tuowana ndomana wengi wenu mnaolewa leo kesho mnaachana 🤔🤔
Unaongeaje diva
😂😂hayo mawigi uwa hayavuliwi
Mmeona makochi lkn
Hayo masofa vipi?
Nalia ni izoo sofa zakoo chaafuuuuchaaafuuu mshangaz mzima lkn sofa chafu ndo mana mama mkwe anakupulizia dawa za mbuu
Nikajua macho yangu yameona viby😅😅
Diva una uso mkavu sio ule ambao tumeuzoea
Mbona umefutuka
Ila diva wewe ni bibi
Makochi yameoza😮
Munro naye mgerumani gani anamuwa mwanamke keboge
Huo mtumbooooooooooooooooooo
Mbona tumbo kubwa
😂😂 na gauni lake
Ety suratul masumbuku😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Wig la Halloween
Hyo ni shepu ama mepu
😁😁😁😁
Kwa michepuko yake he’s so romantic😉