BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 11

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 28

  • @zaharaidd8445
    @zaharaidd8445 Месяц назад +4

    I love diva the way she always compliment her friend....❤❤❤

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 Месяц назад +7

    Yani akuna loyalty show naipenda kama ya diva na mganga wake😅

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Месяц назад

      Mke wa Sheikh anaweka vitu vyake hapo mambo hayo

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz Месяц назад +2

    Ukiwa na rafiki km diva u have everything she is so loyal as a friend

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Месяц назад +8

    Diva kavaa kigodolo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад +1

      😂😂😂 ndio yan kabisa

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Месяц назад

      Ulikuwa nae nyumbani wakati anavaa kigodoro au uneamua tu kuongea pumba? Hebu acheni chuki.

    • @naserianlolmodooni5768
      @naserianlolmodooni5768 Месяц назад

      aliye kukataza ww kuvaa ni nani

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад +1

      @@ashaali7154 kwani kusema mtu kavaa kigodoro ni chuki jaman. Inaonekana umjui vizuri diva namna umbo lake lilivo ndomana hujaielewa hii comment ya anna

  • @AminKanefu
    @AminKanefu Месяц назад +2

    Nakipenda Sana hiki kipindi

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Месяц назад +2

    😂😂😂 diva kipenzi umetoa wapi tako lote ilo mama

  • @aminaali792
    @aminaali792 Месяц назад +1

    Diva kwanza huo uvaaji sijauwelewa kabisa 😂😂😂maana hata wewe mwenyewe haukuwa comfortable kabisaa🤦🏽‍♀️💀😂

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 Месяц назад +2

    Diva kipenz changu kila cku hikikipindi kiwepo

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Месяц назад +1

    😂😂😂 muuza madafu bwana, et raisi akasema poa leteni hahaha

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Месяц назад +2

    Rip captain ❤❤❤🙏

  • @JacqpatPat-rq9ok
    @JacqpatPat-rq9ok Месяц назад +1

    Nakupenda diva jamani

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Месяц назад +2

    si mmeo alisema unashida mayai hayakomai sijui kizazi chepesi...sasa uchawi unatoka wapi mam

  • @abdulkadirgafla3889
    @abdulkadirgafla3889 Месяц назад +3

    Huyu si sheikh wala hawezi kua sheikh

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Месяц назад

      Hayo yalisababishwa na diva ila ukweli unamungu

    • @jacklinechuga2569
      @jacklinechuga2569 Месяц назад

      Kwan ni shee au mgangaa

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Месяц назад

      Abdul ni mtoto wa sheikh salum daruweshi mti mkavu kwaiyo mtoto wa nyoka ni nyoka kiufupi ni sheikh sawa😎

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Месяц назад +1

    Nyiie mm na piga gym ila kilo 65 huw ivo mishavu iyo nyote mmekutana kwa uongo leo😂😂😂

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад

      mahi diya kilo sio mashavu ni mifupa mfano mimi mrefu mwembamba naweza nikawa na kilo sawa na mtu mfupi mnene kiasi coz mifupa yetu ipo tofauti.

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Месяц назад +1

    Mama brand 😂

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein Месяц назад

    Huyu hakufudwa utanisamehe diva ila huo ndio ukweli🇰🇪

  • @user-mz6lq3gr9l
    @user-mz6lq3gr9l Месяц назад +1

    Hata hujawasalimia watu unauliza chooni wapi ndiomana hawajakujibu

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Месяц назад +3

    huyu bibi anaumbo baya

  • @x7hia
    @x7hia Месяц назад

    Very Boring show