BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 7

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июл 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 85

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 16 дней назад +17

    Mnaomchukia diva mnamatatizo binafsi kwakweli she is an entertainer 😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 16 дней назад +12

    Ila abduli ndomwanaume pekee ambaye anamuwezea diva. Kiukwer abduli asimuache diva kwamana yeye abduli ndo mwanaume anayemuwezea diva ...hakuna mwingine kama abduli...ila abduli nadiva nawapenda Sana msiachane bwana..

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 16 дней назад +5

    Mungu ni mwema kila wakati atatenda ipo siku utatuonyesha nywele zako

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 16 дней назад +6

    These 2people are very different, wako tofauti😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 asante Abdul kwa diva . I love her , ako very open ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇬🇧

  • @zainabmohd6524
    @zainabmohd6524 16 дней назад +4

    Jishushe diva ujenge nyumba ya kifahari utaishi maisha unavyotaka,ufahari ukiwa kwako ni mzur zaidi

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 16 дней назад +8

    Aki kila siku zinavyozidi najikuta naipenda hii couple na vituko vyake

    • @kampotkanangila9647
      @kampotkanangila9647 15 дней назад

      😁😁😁 yani naskia tu cheko yani ata wa toto wadogo awakuwagi ivo

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 12 дней назад +2

    Kuna watu pale milembe wana waonea tu wehu wako huku mtaani huyu wangempeleka tu huko milembe

  • @ikentertainment3145
    @ikentertainment3145 16 дней назад +3

    One thing about Diva is she delulu 😂😂

  • @user-iy7xy1np7c
    @user-iy7xy1np7c 15 дней назад +1

    Nimegundua kwamba Uyo Abduli ndie anaemvuumilia sana huyo diva..Mana jmn inahitajika m.mme wa kipekee kuishi na hicho kiumbe Diva

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 16 дней назад +2

    Ila abduli usimuache diva mnapendana Sana..na Abdul kashamjulia diva kabisa..na diva kakwama Kwa Abdul na hawawez achana... kiukwer napenda kapo yenu msiachane jaman mim nainjoy Sana kuwaona mkiwa pamoja

  • @Oman-cd3zq
    @Oman-cd3zq 16 дней назад +1

    Nyie mrejeane mnapendeza sana mkiwa pamoja mntuchangamsha san😅😅

  • @aishakamundi4985
    @aishakamundi4985 16 дней назад +3

    That's stupid. When somebody told you I was in prayer and I needed to pray, but you are calling yet😮😢😊

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 16 дней назад +3

    Yaan Abdul tapel Dunian sijaona..unasema uliota ndoto ukiwa chuo unamiaka 22?hahh saiv uliowa na miaka 21..ww Abdul Acha kumdanganya diva..na dau lako la 50k..hlf kaaaa.v

  • @LevinaMiteo
    @LevinaMiteo 16 дней назад +8

    Uongo tu kusema ukweli Aaaaaahh 😂😂

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 15 дней назад +2

    Diva:rafiki angu anatoka marekani namleta kwa jonijo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Elly jonijo:💀

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i 16 дней назад

    Diva kuko nguoo Za kiislamu nzuri tunapenda siku moja uwe umevaliaa habaya Na jalabibu ujione utakavyopendeza

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi 15 дней назад

    I really enjoy watching diva and the husband ❤

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 12 дней назад +1

    Ma wig ya diva mabayaaaaaaa😅

  • @ramhuudulla8921
    @ramhuudulla8921 15 дней назад

    Mwanaume usiidhihaki din i mfanye mkeo aiheshim na kuihofu dini.
    Mwanamke uache utoto kwa kujifanya mdekaji ubwabwa soma dini kisha uifate usidhihaki dini

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 16 дней назад +4

    Ukisha olewa kubari kuwa chini ya Mume wako tokea kwa wazee wetu mbaka leo

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 12 дней назад

      Dini tofauti ndochangamoto hapa .kuwa chini tena😂😂😂yeye brand pia ni Beyonce's we huogopi😜

  • @JacklineMakule-id8hn
    @JacklineMakule-id8hn 16 дней назад +1

    Alaf kumbe ww ndo unatafutaga kiugomv kwa abduli alaf akikuchenjia unaanza kusema ooh abduli nyooo nyooo kumbe wwndo nyooo nyooo unahic unamuweza sana mwanmme pole utachezea matukio mpk mai uite mma shenz type

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 16 дней назад +2

    Diva mi nakupenda sana lbda kwakua una umbo km languuu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 16 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @belak999
      @belak999 5 дней назад

      Pole kwa hilo umbo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 5 дней назад

      @@belak999 😆😆😆😆😆

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 12 дней назад

    Yan Abdul anamdanganya diva vibaya😊😊😊😊

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 15 дней назад

    Wamekatana waongo wote eti ndoto😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 12 дней назад

    Bado ana gari ya kufungua kwa funguo,😅😅😅 beyonce

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 16 дней назад

    Bitu mingi😂😂😂 milioni tano ukulele kauza milioni moja na nusu dash Uyu ss misifa yke ila naipenda

  • @JacklineMakule-id8hn
    @JacklineMakule-id8hn 16 дней назад

    Sofa zenyew dd hujazi safish mpk zimebadilika rangg mmhh uzungu mwingii ila mchafuui cjui chumbani kukojee

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 14 дней назад

      Huoni aibu hata kusema hvo😂😂 diva ni msafi Acha chuki za umaskini

  • @vickyitenyo.
    @vickyitenyo. 16 дней назад +2

    Diva be AUTHENTIC you're such a good person but you're trying too hard to force the American accent.Just be yourself ongea tu Swahili you sound SO MUCH better!!!

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 16 дней назад +1

    Boyfriend 13🙄 mbona nimeshituka mpaka nikakimbilia swala jamaniiiiii diva wewe 🦛

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 16 дней назад

    Wajua diva yeye kila kitu yuachukulia sawa iyo ndio shida yake punguza maneno mengi📻📻

  • @salmatuleteesehem71jmnmahm59
    @salmatuleteesehem71jmnmahm59 10 дней назад

    Unalipa nyumba ml5 badala ujenge unaakili kweli wewe nyie wasanii mnapenda sana kufake life

  • @sheikhaabbas8680
    @sheikhaabbas8680 16 дней назад

    Diva unadharauliwa sanaaaaaa, mm subutu mume wangu anikatie simu aone chamtema kuni

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 16 дней назад +4

      Nampa Pole huyo mumeo mana Huna nidhamu kwake km mke..sasa mtu ameshasema anawatu na anataka kuswali afu ishu yenyew haina maana ni km kumsumbua tu kwaiyo mtu asifanye vtu vya muhimu asikilize ujinga??😂😂😂

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c 15 дней назад

      @@Hajer-be2khsawa sawa

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 16 дней назад

    Diva huna mtoto bhana kula Bata shoga angu inshi maisha mazuri maisha yenyewe mafupi haya ponda mali baby

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 16 дней назад

    Today is a day but Kuna siku nyingine zaidi ya leo

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 16 дней назад

    Nywele milion ngapi vileee😂😂😂😂😂

  • @rizikikasongo4388
    @rizikikasongo4388 13 дней назад

    Diva is so funny 😂

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 16 дней назад

    Tena hicho kifurushi ulichoijounga kitakutesa sana

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay7415 16 дней назад

    Ila Diva😂😂

  • @RahmaRashid-lc6nw
    @RahmaRashid-lc6nw 14 дней назад

    Sasa sheikh Abdul hapo kwenye tendo unakosea sio chumbani tu popote Alimradi hamuonekani na mtu ukumbini jikoni hata juu ya dari Almradi mko Peke yenu wala hamuingiliani kwa nyuma ruhsa dini haijamfungia mtu .

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 16 дней назад +2

    Tatizo jingine diva wewe upo kidunia Zaid na mwenzio abduli anahofu ya mungu ndomana mnashindana na mnapishana vitu vingi Yani wewe diva umarekan mwingi no dini no dini yakislam ndomana humuelew abdul

  • @naifathassan2607
    @naifathassan2607 16 дней назад

    The wave ( Al murooj) Al khair

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 16 дней назад +3

    Ila diva ungekua unamjua huyo Abdul ungezimia mwezi..

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 14 дней назад

      Wacheni kuaribu ndoa za watu sio vizuri 😏

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 14 дней назад +1

      Ww uliemjua umezimia kwa miezi mingapi

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 8 дней назад

      ​@@Hajer-be2kh🙌🙌

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 16 дней назад

    Ikiwa Diva umesilimishwa iweje bado uwe na imani eti ya mchungaji. Ina maana bado hujaukubali uisilamu, mara wanunuwa mti wa Xmass unaupamba, usichezee dini za watu itakuja kukuweka mahali pabaya. Make up your decision what you want, muone huyo ABDUL hata umwambie vipi eti abadili dini yako Upon my dead body hatoweza bali ataihishimu dini yako but he will never convert!!!

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 16 дней назад

    Diva una shida ya mapenzi

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 12 дней назад

    Unataka kwenda America unapaspoti

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 15 дней назад

    Abdul anakoma 😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆🤣🤣🤣🤣

  • @user-gi8zg7nc2j
    @user-gi8zg7nc2j 16 дней назад

    Huyo kaka kapitia😂😂😂

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 16 дней назад

      Yetu ni macho tu😅😅😅😅

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 12 дней назад

    Unataka kwenda America passport ya kwendea

  • @4bod801
    @4bod801 16 дней назад

    Guys 👦 your life is like judge ing each other

  • @Noor-qq9ut
    @Noor-qq9ut 15 дней назад

    Diva bhana 😂😂😂

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 16 дней назад

    Kajala lini

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 16 дней назад

    Ila Diva eti MIM NIMEFANYA SANA MAPENZI🤣🤣🤣🤣🤣bora umesema ukweli

  • @user-xl3cd6iq2u
    @user-xl3cd6iq2u 16 дней назад +1

    Wewe dada ni malaya alafu Huna aibu atakidogo

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 16 дней назад

    Labda urudi kwa yuleeee

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 12 дней назад

    Diva anachekaje

  • @latifam1436
    @latifam1436 16 дней назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 16 дней назад

    Hivi hii reality huwa wanapewa script au?

  • @mutamurizajosephine8349
    @mutamurizajosephine8349 16 дней назад

    Eti alikuwa 13 boyfriend 28😢

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 16 дней назад +8

    Diva unataka kuishi😂 pazuri sijaona anavaa nguo na mawigi mazuri mtihani chukua wigi hata la 50000 ni nzuri, unalipa pa kuishi pesa ndefu si unanue kiwanja😮😮😮

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 15 дней назад

      🙌🙌🙌🤝🤝

    • @kampotkanangila9647
      @kampotkanangila9647 15 дней назад +1

      Jama mimi ni nataka kuhuliza tu ivi uu diva anakuaga muzima minafikiri ikonachenga kadogo kichwani ao yini sohelwi😁😁

    • @salisali3738
      @salisali3738 15 дней назад +1

      Bora ume sema

    • @salisali3738
      @salisali3738 15 дней назад +1

      Yaaani anavo jiona bions na hilo umbo lake kama baunsa

    • @kampotkanangila9647
      @kampotkanangila9647 15 дней назад

      yani dada yangu utanihuwa na cheko ao ajuwagi kama nimutu muzima ukubwa mwengine mutu kama kachelewa kupata ana kuwa ana lala anahota kama amesha kuwa kama kina bionse nihatari😁😁😁😁😁😁😁😁