Ila abduli ndomwanaume pekee ambaye anamuwezea diva. Kiukwer abduli asimuache diva kwamana yeye abduli ndo mwanaume anayemuwezea diva ...hakuna mwingine kama abduli...ila abduli nadiva nawapenda Sana msiachane bwana..
Ila abduli usimuache diva mnapendana Sana..na Abdul kashamjulia diva kabisa..na diva kakwama Kwa Abdul na hawawez achana... kiukwer napenda kapo yenu msiachane jaman mim nainjoy Sana kuwaona mkiwa pamoja
Yaan Abdul tapel Dunian sijaona..unasema uliota ndoto ukiwa chuo unamiaka 22?hahh saiv uliowa na miaka 21..ww Abdul Acha kumdanganya diva..na dau lako la 50k..hlf kaaaa.v
Mwanaume usiidhihaki din i mfanye mkeo aiheshim na kuihofu dini. Mwanamke uache utoto kwa kujifanya mdekaji ubwabwa soma dini kisha uifate usidhihaki dini
Diva be AUTHENTIC you're such a good person but you're trying too hard to force the American accent.Just be yourself ongea tu Swahili you sound SO MUCH better!!!
Nampa Pole huyo mumeo mana Huna nidhamu kwake km mke..sasa mtu ameshasema anawatu na anataka kuswali afu ishu yenyew haina maana ni km kumsumbua tu kwaiyo mtu asifanye vtu vya muhimu asikilize ujinga??😂😂😂
Sasa sheikh Abdul hapo kwenye tendo unakosea sio chumbani tu popote Alimradi hamuonekani na mtu ukumbini jikoni hata juu ya dari Almradi mko Peke yenu wala hamuingiliani kwa nyuma ruhsa dini haijamfungia mtu .
Tatizo jingine diva wewe upo kidunia Zaid na mwenzio abduli anahofu ya mungu ndomana mnashindana na mnapishana vitu vingi Yani wewe diva umarekan mwingi no dini no dini yakislam ndomana humuelew abdul
Ikiwa Diva umesilimishwa iweje bado uwe na imani eti ya mchungaji. Ina maana bado hujaukubali uisilamu, mara wanunuwa mti wa Xmass unaupamba, usichezee dini za watu itakuja kukuweka mahali pabaya. Make up your decision what you want, muone huyo ABDUL hata umwambie vipi eti abadili dini yako Upon my dead body hatoweza bali ataihishimu dini yako but he will never convert!!!
Diva unataka kuishi😂 pazuri sijaona anavaa nguo na mawigi mazuri mtihani chukua wigi hata la 50000 ni nzuri, unalipa pa kuishi pesa ndefu si unanue kiwanja😮😮😮
yani dada yangu utanihuwa na cheko ao ajuwagi kama nimutu muzima ukubwa mwengine mutu kama kachelewa kupata ana kuwa ana lala anahota kama amesha kuwa kama kina bionse nihatari😁😁😁😁😁😁😁😁
Mnaomchukia diva mnamatatizo binafsi kwakweli she is an entertainer 😂
Ila abduli ndomwanaume pekee ambaye anamuwezea diva. Kiukwer abduli asimuache diva kwamana yeye abduli ndo mwanaume anayemuwezea diva ...hakuna mwingine kama abduli...ila abduli nadiva nawapenda Sana msiachane bwana..
Mungu ni mwema kila wakati atatenda ipo siku utatuonyesha nywele zako
These 2people are very different, wako tofauti😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 asante Abdul kwa diva . I love her , ako very open ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇬🇧
Jishushe diva ujenge nyumba ya kifahari utaishi maisha unavyotaka,ufahari ukiwa kwako ni mzur zaidi
Aki kila siku zinavyozidi najikuta naipenda hii couple na vituko vyake
😁😁😁 yani naskia tu cheko yani ata wa toto wadogo awakuwagi ivo
Kuna watu pale milembe wana waonea tu wehu wako huku mtaani huyu wangempeleka tu huko milembe
One thing about Diva is she delulu 😂😂
Nimegundua kwamba Uyo Abduli ndie anaemvuumilia sana huyo diva..Mana jmn inahitajika m.mme wa kipekee kuishi na hicho kiumbe Diva
Ila abduli usimuache diva mnapendana Sana..na Abdul kashamjulia diva kabisa..na diva kakwama Kwa Abdul na hawawez achana... kiukwer napenda kapo yenu msiachane jaman mim nainjoy Sana kuwaona mkiwa pamoja
Nyie mrejeane mnapendeza sana mkiwa pamoja mntuchangamsha san😅😅
That's stupid. When somebody told you I was in prayer and I needed to pray, but you are calling yet😮😢😊
Yaan Abdul tapel Dunian sijaona..unasema uliota ndoto ukiwa chuo unamiaka 22?hahh saiv uliowa na miaka 21..ww Abdul Acha kumdanganya diva..na dau lako la 50k..hlf kaaaa.v
Uongo tu kusema ukweli Aaaaaahh 😂😂
Diva:rafiki angu anatoka marekani namleta kwa jonijo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Elly jonijo:💀
Diva kuko nguoo Za kiislamu nzuri tunapenda siku moja uwe umevaliaa habaya Na jalabibu ujione utakavyopendeza
I really enjoy watching diva and the husband ❤
Ma wig ya diva mabayaaaaaaa😅
Mwanaume usiidhihaki din i mfanye mkeo aiheshim na kuihofu dini.
Mwanamke uache utoto kwa kujifanya mdekaji ubwabwa soma dini kisha uifate usidhihaki dini
Ukisha olewa kubari kuwa chini ya Mume wako tokea kwa wazee wetu mbaka leo
Dini tofauti ndochangamoto hapa .kuwa chini tena😂😂😂yeye brand pia ni Beyonce's we huogopi😜
Alaf kumbe ww ndo unatafutaga kiugomv kwa abduli alaf akikuchenjia unaanza kusema ooh abduli nyooo nyooo kumbe wwndo nyooo nyooo unahic unamuweza sana mwanmme pole utachezea matukio mpk mai uite mma shenz type
Diva mi nakupenda sana lbda kwakua una umbo km languuu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Pole kwa hilo umbo
@@belak999 😆😆😆😆😆
Yan Abdul anamdanganya diva vibaya😊😊😊😊
Wamekatana waongo wote eti ndoto😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bado ana gari ya kufungua kwa funguo,😅😅😅 beyonce
Bitu mingi😂😂😂 milioni tano ukulele kauza milioni moja na nusu dash Uyu ss misifa yke ila naipenda
Sofa zenyew dd hujazi safish mpk zimebadilika rangg mmhh uzungu mwingii ila mchafuui cjui chumbani kukojee
Huoni aibu hata kusema hvo😂😂 diva ni msafi Acha chuki za umaskini
Diva be AUTHENTIC you're such a good person but you're trying too hard to force the American accent.Just be yourself ongea tu Swahili you sound SO MUCH better!!!
Boyfriend 13🙄 mbona nimeshituka mpaka nikakimbilia swala jamaniiiiii diva wewe 🦛
Wajua diva yeye kila kitu yuachukulia sawa iyo ndio shida yake punguza maneno mengi📻📻
Unalipa nyumba ml5 badala ujenge unaakili kweli wewe nyie wasanii mnapenda sana kufake life
Diva unadharauliwa sanaaaaaa, mm subutu mume wangu anikatie simu aone chamtema kuni
Nampa Pole huyo mumeo mana Huna nidhamu kwake km mke..sasa mtu ameshasema anawatu na anataka kuswali afu ishu yenyew haina maana ni km kumsumbua tu kwaiyo mtu asifanye vtu vya muhimu asikilize ujinga??😂😂😂
@@Hajer-be2khsawa sawa
Diva huna mtoto bhana kula Bata shoga angu inshi maisha mazuri maisha yenyewe mafupi haya ponda mali baby
Today is a day but Kuna siku nyingine zaidi ya leo
Nywele milion ngapi vileee😂😂😂😂😂
😂
Diva is so funny 😂
Tena hicho kifurushi ulichoijounga kitakutesa sana
Ila Diva😂😂
Sasa sheikh Abdul hapo kwenye tendo unakosea sio chumbani tu popote Alimradi hamuonekani na mtu ukumbini jikoni hata juu ya dari Almradi mko Peke yenu wala hamuingiliani kwa nyuma ruhsa dini haijamfungia mtu .
Tatizo jingine diva wewe upo kidunia Zaid na mwenzio abduli anahofu ya mungu ndomana mnashindana na mnapishana vitu vingi Yani wewe diva umarekan mwingi no dini no dini yakislam ndomana humuelew abdul
The wave ( Al murooj) Al khair
Ila diva ungekua unamjua huyo Abdul ungezimia mwezi..
Wacheni kuaribu ndoa za watu sio vizuri 😏
Ww uliemjua umezimia kwa miezi mingapi
@@Hajer-be2kh🙌🙌
Ikiwa Diva umesilimishwa iweje bado uwe na imani eti ya mchungaji. Ina maana bado hujaukubali uisilamu, mara wanunuwa mti wa Xmass unaupamba, usichezee dini za watu itakuja kukuweka mahali pabaya. Make up your decision what you want, muone huyo ABDUL hata umwambie vipi eti abadili dini yako Upon my dead body hatoweza bali ataihishimu dini yako but he will never convert!!!
Diva una shida ya mapenzi
Unataka kwenda America unapaspoti
Abdul anakoma 😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆🤣🤣🤣🤣
Huyo kaka kapitia😂😂😂
Yetu ni macho tu😅😅😅😅
Unataka kwenda America passport ya kwendea
Guys 👦 your life is like judge ing each other
Diva bhana 😂😂😂
Kajala lini
Ila Diva eti MIM NIMEFANYA SANA MAPENZI🤣🤣🤣🤣🤣bora umesema ukweli
Nimechoka Leo 🥴
@@AmanaHussein yan duh
Wewe dada ni malaya alafu Huna aibu atakidogo
We huogopi😂😂😂
Labda urudi kwa yuleeee
Diva anachekaje
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi hii reality huwa wanapewa script au?
Eti alikuwa 13 boyfriend 28😢
Dua tuh kw wingii😭🤲
Diva unataka kuishi😂 pazuri sijaona anavaa nguo na mawigi mazuri mtihani chukua wigi hata la 50000 ni nzuri, unalipa pa kuishi pesa ndefu si unanue kiwanja😮😮😮
🙌🙌🙌🤝🤝
Jama mimi ni nataka kuhuliza tu ivi uu diva anakuaga muzima minafikiri ikonachenga kadogo kichwani ao yini sohelwi😁😁
Bora ume sema
Yaaani anavo jiona bions na hilo umbo lake kama baunsa
yani dada yangu utanihuwa na cheko ao ajuwagi kama nimutu muzima ukubwa mwengine mutu kama kachelewa kupata ana kuwa ana lala anahota kama amesha kuwa kama kina bionse nihatari😁😁😁😁😁😁😁😁