Fanya toba ya kumkataa mtoto,asije akawa na roho ya kukataliwa,wakati kumbe huyu mtoto ni nabii wa Mungu amebeba ahadi ya Mungu na tumbo lako limepigwa muhuri na Mungu kwa ajili ya kusudi la Mungu alilobeba mwanao.❤
Wow Glad am happy for you,ila kuna watu washamba umu sjuw wa Tz tuna shida gan😅😅 achen ushamba kwaiyo mtu afiche tumbo ili iweje s lake lets people enjoy the moments if you can’t afford it drink water and pray a lot
Zamaradi anajua kuwadhalilisha wanawake wa bongo kwa kweli na hawa wanaoitwa wasanii au celebrities ndio hawana akili kabisa utadhani hawana ubongo kwenye vichwa vyao.
Sasa ww glad ulikua unataka mtt wa kike wakati mstari tu unauona umeenda mpaka kwenye kifua jaman, au kutuektia....eti meliaaaaa 😂😂😂😂😂😂ila mi nakupenda tu
Nimetokeaa kukupendaa sanaa nyie mnao comments amjasikilizaa mpakaa mwishoo ndiomaana mna comments ujingaa aliwaambiaa amemkataa mtt au yeye alichotarajiaa sicho 🎉love g
Fanya toba ya kumkataa mtoto,asije akawa na roho ya kukataliwa,wakati kumbe huyu mtoto ni nabii wa Mungu amebeba ahadi ya Mungu na tumbo lako limepigwa muhuri na Mungu kwa ajili ya kusudi la Mungu alilobeba mwanao.❤
Pole gland ukijitoa sana kwa watu nawe wasipo jitolea kwako unaumia sana
Mno🥹🥹🥲
Wow Glad am happy for you,ila kuna watu washamba umu sjuw wa Tz tuna shida gan😅😅 achen ushamba kwaiyo mtu afiche tumbo ili iweje s lake lets people enjoy the moments if you can’t afford it drink water and pray a lot
Unamtetea kukaa uchi siku ya hukumu utamsadia kujibu
Mtoto ni mtoto huwezi kuchagua mungu alichokujalia
Ilikua mimba jaman
Hyu ndo mumeo mtarajiwa mashalah
Hongera mama kija❤❤❤❤❤❤ Mungu awe pamoja nawe na ujifungue slm❤❤❤❤❤❤
Kashajifungua sikunyingi lakn
Bya zamani
Usijali mama K mtoto ni baraka
Kibibi nivp jaman mwezio kajua utaenda
Wanawake sisi😂
Zamaradi anajua kuwadhalilisha wanawake wa bongo kwa kweli na hawa wanaoitwa wasanii au celebrities ndio hawana akili kabisa utadhani hawana ubongo kwenye vichwa vyao.
ushetani unawasumbua, mavazi gani sasa hayo.
Punguza kingereza maana unakichapia sana
Tujifaharishe na kiswahil chetu
Kwani mbona nikama mnamgombania Nandi😅😅😅😅
Hao washakua marafiki sio kama wanamhombea nandi ila urafiki wetu waschana tofaut na wanaume
unalaana wewe ngoja mungu amchukue ndo utajua majivuno sio mazuri
Mmh wewe hayo maneno vp we pia binadamu ujue...sio vzr
We ndo mwenye laana umeshindwa kutoka kwenye maisha ya shida unakuja kutoa laana kwenye maisha ya watu
Huoni aibu ww dada eh shame on you msyuuuuu yan watu Maskin wana makasiriko loooh em jipepee
Tabia mbaya wew
Laana iyoo utapata wewe
Nmemwona mzee shayo
Yaani nimefurahi kusikia kwamba ulimuomba msamaha mtoto
Mimi hua sipendi kua rafiki wa rafiki yangu kabisa
Tuache kuiga ujinga kwann mnaonyesha matumbo yenu
😊❤
Kujifunya wazungu saaana ovyo
Em lala na wewe utafikir wew hutak kufanya hv em uko 😒😒
Hapo no ndoa,tumbo linaonyeshwaaa ka sjui nn
Ila watanzania ni watumwa wa wazungu jaman KWA KUIGAA KHA UZUNGU MWINGI ULIMBUKENI TU😂😂😂😂😂😂
4 sure
Sasa ww glad ulikua unataka mtt wa kike wakati mstari tu unauona umeenda mpaka kwenye kifua jaman, au kutuektia....eti meliaaaaa 😂😂😂😂😂😂ila mi nakupenda tu
Sasa huyu dada ana mume kweli????? Sasa wewe mwanaume unaruhusu hii tumbo ya mwezio nje hivyo???? Wala haipendezi kabisa, !!!! 😮😮😮😮
Why music is like that?
Sasa yuko wapi huyo baba moto kama si huyo!
Piri unajeuli ujui kuongea uwezi mwita mtu kama Ami bibi😢
Kwani huyu mjamzito tena
Mi mwenyewe nilitaka kushangaa
Kashazaa zamani
😊😊❤❤❤🙏🙏❤🇧🇮🇰🇪
The second to comment
Jomonn😢
Pili ni mimi staki unafiki
Tuwe wazi😂😂😂
Ujinga mtupu
Ujinga tu, Kwani kujieshimu ni shingapi