KIKAO CHA WAJAWAZITO WITH GLADNESS KIFALUKA - EPISODE 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 49

  • @AgripinaTesha-ys7nv
    @AgripinaTesha-ys7nv Месяц назад +4

    Nimetokeaa kukupendaa sanaa nyie mnao comments amjasikilizaa mpakaa mwishoo ndiomaana mna comments ujingaa aliwaambiaa amemkataa mtt au yeye alichotarajiaa sicho 🎉love g

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 Месяц назад +2

    Fanya toba ya kumkataa mtoto,asije akawa na roho ya kukataliwa,wakati kumbe huyu mtoto ni nabii wa Mungu amebeba ahadi ya Mungu na tumbo lako limepigwa muhuri na Mungu kwa ajili ya kusudi la Mungu alilobeba mwanao.❤

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Месяц назад +5

    Pole gland ukijitoa sana kwa watu nawe wasipo jitolea kwako unaumia sana

  • @Teddy_jones
    @Teddy_jones Месяц назад +3

    Wow Glad am happy for you,ila kuna watu washamba umu sjuw wa Tz tuna shida gan😅😅 achen ushamba kwaiyo mtu afiche tumbo ili iweje s lake lets people enjoy the moments if you can’t afford it drink water and pray a lot

    • @zenasalum2231
      @zenasalum2231 Месяц назад

      Unamtetea kukaa uchi siku ya hukumu utamsadia kujibu

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Месяц назад +5

    Mtoto ni mtoto huwezi kuchagua mungu alichokujalia

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +1

    Hyu ndo mumeo mtarajiwa mashalah

  • @belyseirakoze5371
    @belyseirakoze5371 Месяц назад +2

    Hongera mama kija❤❤❤❤❤❤ Mungu awe pamoja nawe na ujifungue slm❤❤❤❤❤❤

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 Месяц назад +1

    Bya zamani

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f Месяц назад +2

    Usijali mama K mtoto ni baraka

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +2

    Kibibi nivp jaman mwezio kajua utaenda
    Wanawake sisi😂

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Месяц назад +2

    Zamaradi anajua kuwadhalilisha wanawake wa bongo kwa kweli na hawa wanaoitwa wasanii au celebrities ndio hawana akili kabisa utadhani hawana ubongo kwenye vichwa vyao.

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 Месяц назад +2

    ushetani unawasumbua, mavazi gani sasa hayo.

  • @salhawaziri1668
    @salhawaziri1668 Месяц назад +3

    Punguza kingereza maana unakichapia sana
    Tujifaharishe na kiswahil chetu

  • @evakessy3282
    @evakessy3282 Месяц назад +7

    Kwani mbona nikama mnamgombania Nandi😅😅😅😅

    • @samiramasudi7493
      @samiramasudi7493 Месяц назад

      Hao washakua marafiki sio kama wanamhombea nandi ila urafiki wetu waschana tofaut na wanaume

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Месяц назад +5

    unalaana wewe ngoja mungu amchukue ndo utajua majivuno sio mazuri

    • @mwasitihashimu8593
      @mwasitihashimu8593 Месяц назад

      Mmh wewe hayo maneno vp we pia binadamu ujue...sio vzr

    • @jacklinechuga2569
      @jacklinechuga2569 Месяц назад +1

      We ndo mwenye laana umeshindwa kutoka kwenye maisha ya shida unakuja kutoa laana kwenye maisha ya watu

    • @Teddy_jones
      @Teddy_jones Месяц назад

      Huoni aibu ww dada eh shame on you msyuuuuu yan watu Maskin wana makasiriko loooh em jipepee

    • @MeckitilidaTushabe-or9hu
      @MeckitilidaTushabe-or9hu Месяц назад

      Tabia mbaya wew

    • @rahabumshani8671
      @rahabumshani8671 7 дней назад

      Laana iyoo utapata wewe

  • @nesymichael4286
    @nesymichael4286 Месяц назад +1

    Nmemwona mzee shayo

  • @adelnabukuku7144
    @adelnabukuku7144 Месяц назад +1

    Yaani nimefurahi kusikia kwamba ulimuomba msamaha mtoto

  • @elizabethmwafongo7829
    @elizabethmwafongo7829 Месяц назад +1

    Mimi hua sipendi kua rafiki wa rafiki yangu kabisa

  • @Malaikakisseto
    @Malaikakisseto Месяц назад +3

    Tuache kuiga ujinga kwann mnaonyesha matumbo yenu

  • @Careencriss
    @Careencriss Месяц назад +3

    😊❤

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 Месяц назад +2

    Kujifunya wazungu saaana ovyo

    • @Teddy_jones
      @Teddy_jones Месяц назад

      Em lala na wewe utafikir wew hutak kufanya hv em uko 😒😒

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +1

    Hapo no ndoa,tumbo linaonyeshwaaa ka sjui nn
    Ila watanzania ni watumwa wa wazungu jaman KWA KUIGAA KHA UZUNGU MWINGI ULIMBUKENI TU😂😂😂😂😂😂

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 Месяц назад +1

    Sasa ww glad ulikua unataka mtt wa kike wakati mstari tu unauona umeenda mpaka kwenye kifua jaman, au kutuektia....eti meliaaaaa 😂😂😂😂😂😂ila mi nakupenda tu

  • @vero57
    @vero57 Месяц назад +2

    Sasa huyu dada ana mume kweli????? Sasa wewe mwanaume unaruhusu hii tumbo ya mwezio nje hivyo???? Wala haipendezi kabisa, !!!! 😮😮😮😮

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Месяц назад +1

    Why music is like that?

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 Месяц назад +1

    Sasa yuko wapi huyo baba moto kama si huyo!

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m Месяц назад +1

    Piri unajeuli ujui kuongea uwezi mwita mtu kama Ami bibi😢

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 Месяц назад +2

    Kwani huyu mjamzito tena

    • @Hapygideon
      @Hapygideon Месяц назад

      Mi mwenyewe nilitaka kushangaa

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад

      Kashazaa zamani

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 Месяц назад

    😊😊❤❤❤🙏🙏❤🇧🇮🇰🇪

  • @mybeautyflorence3090
    @mybeautyflorence3090 Месяц назад

    The second to comment

  • @TheresaRobert-e4j
    @TheresaRobert-e4j Месяц назад

    Jomonn😢

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад

    Pili ni mimi staki unafiki
    Tuwe wazi😂😂😂

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Месяц назад +1

    Ujinga mtupu

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Месяц назад

    Ujinga tu, Kwani kujieshimu ni shingapi