DIVA AMCHANA MUME WAKE ATOBOA SIRI ANALALA NNJE/KODI NALIPA MIMI HAFAI SIO MUME/AMKIA KWA HARMONIZE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

Комментарии • 87

  • @marymwaluko3364
    @marymwaluko3364 6 месяцев назад +7

    This is so disrespectful, hata boyfriend wangu siwezi kumdharaulisha hv in public

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 6 месяцев назад +8

    Mmmh..diva embu vunja hiyo ndoa usije kuletewa maradhi bulee😂😂😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 6 месяцев назад +5

    huyu dada chawa katoka wapi tenaa jamani

  • @hawaally3136
    @hawaally3136 6 месяцев назад +1

    Huyu chawa hayuko real anapretend..halaf cyo mzur wala nn sura mbaya

  • @mirabel2336
    @mirabel2336 6 месяцев назад +3

    Huyu mwaume wako kama mwanamke wa kiarabu ameolewa lkn atulie na mme wake kila siku kwa mama yake anamuacha mumewe pekee yake

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x 6 месяцев назад +2

    hivi huyu chawa diva wakilewana na mumewe itakuwa je?

  • @vero57
    @vero57 6 месяцев назад +1

    Eti office ina kitanda, khaaa!!! Umeaza tena divaa ebu malizaneni huko sio kila kitu media

  • @user-xn7oc4qu2m
    @user-xn7oc4qu2m 6 месяцев назад

    Ukute anawaambia watu wake diva anajipendekeza mm sina muda nae ndio maana anayafanya hayo piga chini huyoo

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад +2

    Ukisikia kauli ya Diva! Hapa penzi liliisha zamani sana!! Abdul utapigwa matokeo na diva hutapenda, na by the way,huyu diva ana mtu ambaye anampenda kwa sai!! She is seeing someone!! Listen to her talk!!!

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 6 месяцев назад +2

    Imefikia hatua jamaa anaambiwa kama unaweza kaa kwenye nyumba kama huwezi ondoka,hamna ndoa hapo

  • @kessytajiri6320
    @kessytajiri6320 6 месяцев назад

    We Diva hujielewi, umeyataka mwenyewe. Utajua kama hujui. Shauri yako Mwana kulitafuta Mwana kulipata. Hovyooo

  • @mumspencernleah8037
    @mumspencernleah8037 6 месяцев назад +2

    Office iko na kitanda hapo kuna kitu

  • @jankenkasambala7687
    @jankenkasambala7687 6 месяцев назад +1

    Mwanamke akitoa pesa za nyumbani dharau itakuwepo

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial3939 6 месяцев назад +2

    Diva anampenda sanaaa uyu jamaaa ila tu amujuwi

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад +1

      Si amri yake, jamaa mganga WA kienyeji unategemea nini, kamtangulia 😂😂😂😂

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 6 месяцев назад +1

      @@MsAggie5 🤣🤣🤣🤣🤣🙊

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 6 месяцев назад +2

    Diva is becoming stronger

    • @RahmaRashid-lc6nw
      @RahmaRashid-lc6nw 6 месяцев назад

      Kweli maana anaongea ya machungu na bado yuko sawa

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 6 месяцев назад

    Ndio mvae Miwani ya jua ndani

  • @ramahdaniel8064
    @ramahdaniel8064 6 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂 sijui nacheka nini😂

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w 6 месяцев назад

    Mmh hapa Kuna kitu huy div na shost wake watakua wanasaga

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 6 месяцев назад +1

    Hapo hakuna mke kabisa huyo jamaa achukue maamuzi amtimue tu akafie huko wasafi

    • @annamarry2033
      @annamarry2033 6 месяцев назад

      Amtimue au mwanaume aame kwa diva😂😂😂maana ni kama analelewa

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 6 месяцев назад +1

    Nihatar sana

  • @alexandermajiwa4421
    @alexandermajiwa4421 3 месяца назад

    How old is diva

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 6 месяцев назад

    Kilichobaki kimlamba huy short wke mana anashobo huy mamaeee

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 6 месяцев назад

    Maisha haya Mganga ndio anasemaga anajua mapenzi, Diva ndio mtangazaj pediatric wa kipind cha mapenzi,, tulitegemea ndoa iwe ya mfano badala yale ovyoo😅😅 kweli situation is tafu

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w 6 месяцев назад

    Hapo mganga umemrahishia njia ya kumla huyo Rafiki yako

  • @Marjeby
    @Marjeby 6 месяцев назад

    Wee! Abdul huyo demu hapo nyuma ndiye mchawi kati ya wachawi wa ndoa yako kama vipi mtombe tu na yeye

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 6 месяцев назад +2

    NDOA YA VICHAA😂😂😂😂 DIVA WIVU UTAKUUA

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад +1

      Imagine Hana tena.huyu amesha move on

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад +1

      Jamaa muhuni sana lakini alionywa sana hata mange alisema, mapenzi ya dawa hajafai

  • @dinaalfani
    @dinaalfani 6 месяцев назад

    Huy hakupend

  • @MILK52899
    @MILK52899 6 месяцев назад

    Inamana Abduli ni analelewa ni mume bwege maana anatunzwa na mwanamke huyo mume bwege kweli au ameowa kwa sababu ya ku trending kweli ile mwanamke wake aliwahi kusema abduri alimwambie ameowa Diva kwa sababu ya kujulikana hiyo ndiyo sababu ya kuowa Diva siyo kwa mapenzi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 utakuta Diva anapigwa na vimbola ana rorwa bora ni muowe ni pambane na huyo mchawi abduli 😂😂😂😂😂

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 6 месяцев назад

    Mganga hajigangi naomba nieleweke😂

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 6 месяцев назад +1

    Diva umekua bibi acha watoto wadogo

  • @user-jn4qh5lw5p
    @user-jn4qh5lw5p 6 месяцев назад

    MmmMmh huyu chawa promax

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 6 месяцев назад

    Diva ❤

  • @K2dawilla
    @K2dawilla 6 месяцев назад

    Nipewe namba ya huyu chawa. Nimemuelewa sana.

  • @jescajohn6619
    @jescajohn6619 6 месяцев назад

    Hao ndo wanawake wa mnjini

  • @Marjeby
    @Marjeby 6 месяцев назад +1

    Abdul mtombe huyo demu hapo nyuma ana changia usenge kwenye ndoa yako

  • @zulphaadam4671
    @zulphaadam4671 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 ila daaaah

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 6 месяцев назад +1

    Ndoa ndowano mwanakuyatafu mwanakuyapata🥲🥲🥲😁👅👅👅👅😅😅😅😅😅

    • @pillyolsen6346
      @pillyolsen6346 6 месяцев назад

      Jeuli yote kwisha sili za ndani umeanza kuzimwaga mwenyewe nje 😂😂😂😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      Madawa yameisha 😂😂😂😂

  • @vero57
    @vero57 6 месяцев назад

    DIOMOND,Ebu ongea na wafanyakazi wako , diva na didaa

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 6 месяцев назад

    Hakupendi huyo abdull bhana ni king'asti

  • @davidkisinini8855
    @davidkisinini8855 6 месяцев назад

    Diva sio mzima kichwani.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 6 месяцев назад

    Yani hili sanamu lina shida kwwli

  • @allykota8355
    @allykota8355 6 месяцев назад

    Amna mke hapo 😢

  • @user-tx6nz4up5h
    @user-tx6nz4up5h 6 месяцев назад

    Pp ni nini tena jamani

  • @muhammedtetere484
    @muhammedtetere484 6 месяцев назад

    Kwisha habar yao Hawa 😢😢

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 6 месяцев назад +2

    Umaskini ni kitu kibaya sana,huyu jamaa yake anadhalilishwa sana kwa sababu hana kitu mfukon

  • @mesukanku6016
    @mesukanku6016 6 месяцев назад

    ET ABDUL DIVA ILS ONT QUEL ÂGE ??TOUT SUR LA RUE?? REGARDEZ L'EXEMPLE DE DIAMOND ET ZUCHU

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 6 месяцев назад

    We sema wakupenda ngoja uachike ndio ujue wakupenda au wakuharibia

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 6 месяцев назад

      Mshaambiwa jinsi ya kumpata mke na maandiko yalishasema mwanamke anaolewa kwa uzuri wake mali yake familia yake na dini yake.Oa mwenye dini utabarikiwa ila watu hawaelewi acha tuyaone mengi.

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 6 месяцев назад

      ​@@Pedeshee01Abduli mwenyewe dini Hana muhini yule

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 6 месяцев назад

      ​@@aishajuma18duhh mtihani

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 6 месяцев назад +5

    Yaani dunia inataka umakini sana ,dada anaefundisha watu mambo yamahusiano,na wanamfuata ,ndo anaongea maneno yakisenge ivo kwa me wake ,mother f**k

  • @alfamgayatv872
    @alfamgayatv872 6 месяцев назад

    Kumbe huna akili

  • @magrethmkira6250
    @magrethmkira6250 6 месяцев назад

    H pylory virus????😮

  • @thomangwanyama7122
    @thomangwanyama7122 6 месяцев назад

    Muambie diva anipe dada yake huyo

    • @NiceMussa
      @NiceMussa 6 месяцев назад

      Michubuko hiyo😊 , kama baruti mwekundu

  • @MultiKelvin1994
    @MultiKelvin1994 6 месяцев назад

    Mashost 😅😅😅

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r 6 месяцев назад

    Hovyo. Wewe saut ñzur ilautakua Huna lolote. Mdangaji

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад +1

      Amekudangia na babako

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      Acha kuropoka mambo usiyoyajua. Jamaa aliroga sasa dawa zimeisha ndo matokeo yake. Anapenda kulelewa ndo shida yake

  • @mwendemwende5789
    @mwendemwende5789 6 месяцев назад +1

    Diva wachana na hio ndoa

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 6 месяцев назад +1

    Mume na mke wame kutana daaah 😂

  • @hamidasalum157
    @hamidasalum157 6 месяцев назад

    Muongo uyu amesshau alisemaha ata kupika chai hawezi 😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 6 месяцев назад

    Lakini hata wewe pia sioni kama unafa kuwa mke . Juyanini kila siku maneno yako kuya towa inje?? Sio sawa hawuna heshima ninavyo kuona wewe nikama vile unapendaka kumugandamiza ukimuuguza si nimme wako??

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 6 месяцев назад

      Nkt kuna mke asiye manenos?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      We kuweza??? Uwe na mume sio mwaminifu, unajua kakuroga, unamghalimia Kwa kulipa Kodi ya nyumba na bills we ungeweza kumvumilia?

    • @RahmaRashid-lc6nw
      @RahmaRashid-lc6nw 6 месяцев назад

      Kuwapa faida wasiokupendelea heri ungeita watu wakasuluhisha huyu rafiki pie sie anaingilia ndoa za watu ukute yeye ndoa hana

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 6 месяцев назад

      @@MsAggie5 .wewe tulia sio mke huyu unazani hata mmewe anakosa mabaya yakumuongeleya?? Siniju tu iko kimya njomana mnamuona yy tu njo mwenye makosa. Any way kwani kila siku kuleta maneno ya ndoa yake kwenye mitandao itamusaidiya nini? Wala ss watazamaji tutamusaidiya nini? Kama ameshindwa siwaachane ? Kwani walimufungiya kwenye hiyo ndoa? Tumesha mchoka hajielewi ma nonsense . Kila siku hili kilasiku lile ala muachane haina maana

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 6 месяцев назад

      @@RahmaRashid-lc6nw exactly point iyo .nahajafungwa nakamba eti paka wafe naye ukifika mahali unaona kuna vitu haviendi achaneni sio kila siku kujizaralisha

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 6 месяцев назад +1

    PENZI LISHAKATA,,,,

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      Tangu mwanzo halikuwa penzi jamaa aliroga Tu, na Mange alimuonya hakutaka kusikia