MWIJAKU AMCHANNA MWAMBINO KUNUNUA TUZO MTV, HARMONIZE, ALIKIBA NIMEWAKATAZA, BABA LEVO SIMTAKI, MKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 ноя 2023
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 90

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 6 месяцев назад

    NIKUREKEBISHE KIDOOGO BRO....PARIS... !! Umechemsha ama niseme umepitiwa tu kiubinaaadam.. PARIS NI MJI MKUU WA UFARANSA ...PARIS SIO NCHI KAMA UNAVYOELEWA WEWE 👐Ila nakukubali san bro..✌🙌🙌

  • @user-nx6bu4zv7l
    @user-nx6bu4zv7l 7 месяцев назад +1

    Nawapenda sana From RWANDA

  • @kulwamkota2459
    @kulwamkota2459 7 месяцев назад +5

    Ila nyinyi jitambueni uyu jamaaa anajua mengi mcmzarau yupo sahh
    Nyinyi mnayemzarau mpo kzan,mwijaku PGA Kaz

  • @makischocho4613
    @makischocho4613 7 месяцев назад +4

    Ukweli kabisa mwijaku unaongea

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 7 месяцев назад +5

    uyu mwajuma anaongea sanaa

  • @BOBAOIL-xr7ex
    @BOBAOIL-xr7ex 7 месяцев назад +4

    Watu walio chelewa kufika mjini na kusafiri nje ya nchi ndio hawa

  • @j...876
    @j...876 7 месяцев назад +4

    Kwani Paris ni nch??? Bangi wewe na unafki unao kusumbuwa!!😮😮

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 7 месяцев назад +5

    Ngoma gani ya mondi ya kumpa tuzo 2023? Kumzidi rema na burna boy?

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 7 месяцев назад

      Ata mim najiuliza 🤔🤔

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 7 месяцев назад +4

    Nenda na wewe basi ukanunuwe chawa chawa tu kazi kunyoya damu tu

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 7 месяцев назад +3

    Wa kwnza Leo kwny comment nipeni Likes zngu

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 7 месяцев назад +5

    Paris nchi? Au mji ndani ya france😂

  • @jimykelly7233
    @jimykelly7233 7 месяцев назад +3

    Jamaa la kushika chuchu za wanaume

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo2807 7 месяцев назад +3

    😅😅😅Mwijaku

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 7 месяцев назад +1

    Mkumbusheni Mwijaku coz hajui kama Turkey 🇹🇷 haipo Asia ila ipo Europe vitu vingine asiongee kama havijui

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 7 месяцев назад +4

    Huyumwijaku kwn anayosema utfkr nikweliee

  • @DanielSaid-tv7dd
    @DanielSaid-tv7dd 7 месяцев назад +2

    Uyuuu jamaaa anawivu kwel acha uwivu weewe wee nichawaa uchwalaa mwenzako kapewa galiii sijui ww utapewa nn sasa labda

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 7 месяцев назад +5

    Huuu jama hawajuwi wana wake ...sijawahi kuona mwana ume kama uyu kweli

    • @Edgar_49
      @Edgar_49 7 месяцев назад +3

      Mwanamke ni akili jamaa Yuko parfect kabisa kua na uzuri wa sura na shepu kama huna akili it's none sense

    • @RichardRutembesa-ns1kn
      @RichardRutembesa-ns1kn 7 месяцев назад

      ​@@Edgar_49wanaofata Makalio n wajinga na walevi!! Akili ndio Cha kwanza!!

  • @Yangaza
    @Yangaza 7 месяцев назад +1

    Uyu jamaa muuongo 😂😂😂😂 wajukuu wake watakuwa wanacheka sana kuwa babu aliwahi kulidanganya Taifa.

  • @AMwamzola
    @AMwamzola 7 месяцев назад +1

    Mwambie uyo mwijaku

  • @stanslausihano1154
    @stanslausihano1154 7 месяцев назад +2

    Nitaanza kukupinguza kwa sababu huna mwaswari mazuri uko kikuda hii tuzo ilikua inapigiwa kula hata mimi nilipiga iweje uinunue tena acha ukuma na mwijaku wako

  • @tracycheptoo305
    @tracycheptoo305 7 месяцев назад +3

    Almando snich sana

  • @hassanidris5873
    @hassanidris5873 7 месяцев назад +8

    Kuhusu tuzo ni kweli hata kwa wasanii wakubwa inafanyika

  • @user-hs1en8dm7n
    @user-hs1en8dm7n 6 месяцев назад

    Mwinjaku Katar sio Asia Ile ni UAE Kasome Tena wacheni kujisifu Asia ni China, Japan, India, n.k

  • @BenedictBenedict-hk4fe
    @BenedictBenedict-hk4fe 7 месяцев назад +5

    Hivi kuna mtu bado anasikiliza hili pimbi😂😂

  • @alexandershukuru5265
    @alexandershukuru5265 7 месяцев назад

    Mwijaku wew mpumbafu mukubwa hapo Tanzania

  • @dannymarl2037
    @dannymarl2037 7 месяцев назад +3

    Pariiiì😂😂😂si paris

    • @user-cb2us2nu2m
      @user-cb2us2nu2m 7 месяцев назад +1

      Ni Paris

    • @svt3
      @svt3 7 месяцев назад +1

      ​@@user-cb2us2nu2muwongo ni Pari-s I'll en silence hiyo s iko silent unaelewa au vous voul' explication?

  • @salimmwakaribu942
    @salimmwakaribu942 7 месяцев назад +2

    Mwijaku hyu mpuzi .
    Baba levo ndio humpaka

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d 7 месяцев назад +4

    nonsense anaongea pumba tupu huyu jamaa

  • @BOBAOIL-xr7ex
    @BOBAOIL-xr7ex 7 месяцев назад +3

    Mjinga huyu boya
    Wadhani watu wote hawajsafiri
    Gharama ya Paris tower kupanda ni 20 dollar 💵 only

  • @johnmsogoti8552
    @johnmsogoti8552 7 месяцев назад +11

    Me huwa najiuliza kwani hawa waandishi huwa hawawezi kuuliza maswali bila kumuhusisha diamond kitu ambacho nimegundua diamond ndio content nzima bila yeye watu hawatazami😂😂😂😂😂😂😂

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 7 месяцев назад +1

      siyo diamond tu hata harmonize

    • @petershombo945
      @petershombo945 7 месяцев назад

      Wew Kwan hauelewi maana ya celebrity...sas yeye sini msaniii ndio kioo cha jamiii

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 7 месяцев назад

      mwijaku hana jipya na haw wandishi one line ni wandishi wababaishaji kila kitu mwijaku mwijaku ni mungu wenu hyo washenzi tu

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 7 месяцев назад +1

      Kwani we ndo unajua leo kuwa diamond ni content mbona umechelewa sana bob

    • @johnmsogoti8552
      @johnmsogoti8552 7 месяцев назад

      @@adaboychibu1659noma kwel aisee🙄🙄🙄🙄

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d 7 месяцев назад +2

    ovyoo

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 7 месяцев назад +2

    Ulifukuzwa wasafi bet kwa sabbu ya upuuzi huu....kamununulie harmonize na wewe..😮

  • @tayandaIsbo
    @tayandaIsbo 7 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 7 месяцев назад +1

    Ipo siku utajuta unavyo kumkandika Simba wa watu bila aibu

  • @magutadickson6900
    @magutadickson6900 7 месяцев назад +1

    Mikunfu tu awa

  • @abdullahally5479
    @abdullahally5479 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa lazima anajinsia ya kike haiwezekani anawababikia wanaume ndi maana Dotto magari anamchana

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 7 месяцев назад +2

    Yan uyu jamaa kungekua hamna serikali ,ningekua nsha mpelekea moto kitambo ,live Simba alone asee

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 7 месяцев назад +1

    Propisak ajui kingerwza hajasoma

  • @furahalita-zk2yi
    @furahalita-zk2yi 7 месяцев назад

    😂😂😂daaa mwijaku🤣🤣🤣🤣

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 7 месяцев назад +5

    Hata nyie waandishi ni wapumbavu sana, hamuwezi kumhoji mtu kwa kumhoji kwa kumuuliza maswali ya akili!
    Pumbavu sana nyie

  • @abdulbora812
    @abdulbora812 7 месяцев назад

    Umeenda jerumani😂😂

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 7 месяцев назад +3

    Nisaidieni jmn Kuna A + kwl 😀

  • @jaylazorschannel5681
    @jaylazorschannel5681 7 месяцев назад

    " HOW SURE YOU ARE " 😅

  • @user-uh5qp6jd4h
    @user-uh5qp6jd4h 7 месяцев назад

    Tunakutaka tena paris mwijaku

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFM 7 месяцев назад

    Jamaa kwenye uongo niwa kwanza

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i 7 месяцев назад +1

    Ivi kwani hao watoaji wa tuzo wamekua wajinga kwa kiasi gani mapaka wawe wanauza tuzo

  • @user-ui8ex1yl9k
    @user-ui8ex1yl9k 7 месяцев назад

    Ni wewe mwijaku😅😅😅

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 7 месяцев назад +2

    WATANZANIA TUNAAKILI WE MBWIGA...TUNAJUA MNAMPENDA KUFA DAI...ILA NDO HIVO MMETUPWA KAPUNI..WE NA YULE CHIZI MWENZIO ANAEPEWA MAGARI AUZE SURA..IDIOT

  • @emmalyanga3726
    @emmalyanga3726 7 месяцев назад

    Zinauzwa Bei gani?

  • @geraldkbona5595
    @geraldkbona5595 7 месяцев назад +1

    ndiyo maana dotto magari anawatukana kila siku anasema bora yeye ambaye ajasoma kuliko nyie mnaojifanaya mmesoma kumbe useless

  • @sumasule6207
    @sumasule6207 7 месяцев назад +1

    Turkey si Asia wewe Turkey ni Europe

  • @FarajaRoger-fe4cj
    @FarajaRoger-fe4cj 7 месяцев назад +1

    Turkey 🇹🇷 ni Europe sio Asia

  • @RaymondNjengo-bq1zc
    @RaymondNjengo-bq1zc 7 месяцев назад

    Kama vifaa vyake si aende Mahakamani akadai kama stakabadhi anazo na ushahidi upo wa kununua kwanini kila siku anadai tu vifaa vyake?

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 7 месяцев назад

    Huyu kenge akizeeka atakua mchawi tu lazima ana mambo yakikuma ile mbaya

  • @barakafakihi2431
    @barakafakihi2431 7 месяцев назад

    kumbe huyu jamaa chenga sana

  • @Mariot130
    @Mariot130 7 месяцев назад +4

    Kwenye tuzo mwijaku kaongea Point

    • @svt3
      @svt3 7 месяцев назад +1

      Point gani?

    • @kilungahamis1270
      @kilungahamis1270 7 месяцев назад +2

      Mwabieni Kiba na Harmonize wanunue pia

    • @svt3
      @svt3 7 месяцев назад

      @@kilungahamis1270 yaani wajinga ingekuwa zinauzwa Harmonize anavyo penda sifa angekuwa amezijaza kabatini mtu alichukuwa tuzo ya H baba kwa nini asi nunuwe tuzo ya maana ili aendelee kujidai numbe1

    • @user-bz1rc1gb8q
      @user-bz1rc1gb8q 7 месяцев назад

      Hatuwezi kuwa sawa.......... Sio rahis kuelewa

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 7 месяцев назад

    Huyu nu graduate? University za bongo wanagawa degree kama muhogo?

  • @abdulbora812
    @abdulbora812 7 месяцев назад

    😂

  • @barakafakihi2431
    @barakafakihi2431 7 месяцев назад

    hawafahamiki wewe fala alikiba na harmo hawana vigezo vya kuwania izo tuzo

  • @yahayashuta9608
    @yahayashuta9608 7 месяцев назад +2

    Kuhusu tuzo kweli unaweza kununuwa tuzo

    • @svt3
      @svt3 7 месяцев назад

      Ingekuwa unaweza nunuwa wengi saana wengenunuwa kwanza Harmonize angenunuwa nyingi then he will be writing I'm number 1 in africa mpaka tz mngekoma na kuchoka kwenye instagram yake na hayo magazeti huoenda kuandika

  • @shabanseleman3257
    @shabanseleman3257 7 месяцев назад

    Basi wewe ni kunguni sio chawa tena

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 7 месяцев назад +2

    Nakumini mwinajaku hunafanya saba nVunjabeu

  • @gamerstech5689
    @gamerstech5689 7 месяцев назад

    Baba jinga hili kuwahi tokea😂😂😂😂 Msomi mpumbavu😅

  • @warrenkilimber4013
    @warrenkilimber4013 7 месяцев назад

    Hili pumbavu ndo linajiita lisomi? Turkey ipo Asia kweli 😂😂😂😂 stupid kabisa

  • @magutadickson6900
    @magutadickson6900 7 месяцев назад

    Sijui nani labda una wajinga wenzake

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 7 месяцев назад

    😂😂😂😂