FUNGUKA NA ABDULRAZAK ep 4:NATEMBEA NA WANAWAKE OFISINI KWANGU,MANENO WANAYAPELEKA NJE,ALIKUKA DADA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #fungukanareytox #fungukanaabdulrazak #entertainment

Комментарии • 79

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Месяц назад +11

    ABDULI NI MSHENZI PROMAX.

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 месяца назад +12

    Issues ya wigi diva alijibu kwenye interview it's was true yule dada alilipata kwenye gari ya Abdul wala haikuwa ya kutengeneza😊 So this man nimuongooo😊

    • @belak999
      @belak999 Месяц назад +1

      Kwanini unamuamin Diva?

  • @AishaHaji-h4d
    @AishaHaji-h4d Месяц назад +9

    Narcissistic,womanizer,so disrespectful 🙌
    Nyapu tbh 🙌🙌

  • @HameedaHh-y5y
    @HameedaHh-y5y 2 месяца назад +6

    Leoo divaaa anaitwaa mtangazajii 😂😂😂Ngoja aioneee hiyooo atashushaaa ngazeti 😂😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 2 месяца назад

      Angekaaa kimya nani agemuita mtangazaji😏

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j Месяц назад +6

    Na huyo mtangazaji anajibebisha ingia kwenye moto

  • @user-cj2kl7cd9k
    @user-cj2kl7cd9k 2 месяца назад +6

    Mwanamme ana mdomo mchafu huyu loh diva ana moyo wa chuma hata iwe waume adimu ila hapa big no

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 2 месяца назад

      Badoo haujasemaa

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 Месяц назад +1

      @@AmanaHusseinhahaha khaaa kwa huyu tutasema yote puuuuuu mama ake alitoa chango

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein Месяц назад

      Chango yanini tena mpenzi 😜

    • @efrahfarahahmed8960
      @efrahfarahahmed8960 Месяц назад +1

      Diva amevumilia mengi sana kwa huyu baba mdomo mchafu masifa

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 Месяц назад +2

    Kama kuzini unazini sanaaa na ingekua kauli inaumba kiukweli wewe sasa ungekua tayari chizi mana unavojisemesha na ulivo ni tofauti kwakweli

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 2 месяца назад +7

    Hapa diva alivamia mtumbwi wa vibwengo 😂

    • @belak999
      @belak999 Месяц назад

      Diva mwenyewe ni kibwengo zaid ya Abdul

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂 Kwakwel

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 2 месяца назад +10

    Yani Abdul ni professional Narcist na muongo grade ya mwisho

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Месяц назад +2

    Queen huyooo.. tuchafungua code 😂😂😂😂

  • @JoyceAndongwisye-l2k
    @JoyceAndongwisye-l2k Месяц назад +2

    Masaa mawili kwaiyo mteja akakaa kuwasubiri😢

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j Месяц назад +4

    Alafu nyie watangazaji ni wagombanishi diva uzuri wote uliokua nayo hukujua kutafuta mwanaume wakweli dah

  • @amamiss22
    @amamiss22 2 месяца назад +10

    This man is sick, I swear 😢

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад

    Safi nimependa kwenye kipato ...mungu akujalie upate zaidi na uwe na mafanikio zaidi

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Месяц назад +3

    Wellu sengo

  • @SuleymanSaid
    @SuleymanSaid 21 день назад

    Wanawake wanapenda watu marufu na wenye hela sahv hawangali upendo hela tu ila ukifilisika wanakuacha someni maisha madilikeni wanawake kama unataka kuolewa hem tafuta anae kupenda kweli sio upendo wahela2

  • @HameedaHh-y5y
    @HameedaHh-y5y 2 месяца назад +2

    Huyuuu shehe wallah hamuongopiii hataaa munguu kilaaaa sikuu anazini na watejaa wakeee leooo anakanushaaa

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 2 месяца назад

      Wewe ulienda hoficn kwake kama mtejaa mkazinii🙄

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Месяц назад +1

    QUEEN

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c Месяц назад +4

    Huyu sheikh hata mama mkwe aliwahi kumtaka wanawake kuweni makini na huyu mtu mchafu

  • @salhawaziri1668
    @salhawaziri1668 Месяц назад +1

    Sifaaaa hausifiweeeeeeeeee togolwa hautogelweeeeee ptuuuuuuuuu

  • @FajmaHilali
    @FajmaHilali 2 месяца назад +2

    Huyo mimi namjua Sana nimalaya wakutupwa anajikosha tu hapo😂😂😂😂😂😂😂

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 2 месяца назад

      Eb nisimulie ndugu yangu Abdul nimalaya kivipi 👂

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 2 месяца назад

      Amesha kukula

    • @Serengeti-iu4qv
      @Serengeti-iu4qv 2 месяца назад

      Abduli acha uongo. Kama ulikuwa hutaki Dada wa kazi asifue boxer zake mbona uliziweka pamoja na nguo zingine. Muongo huyu kaka

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 2 месяца назад +3

    Inaonesha ni Shilole😂😂😊

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 Месяц назад +1

    What if atokee mschana ambae si mkeo na ulimla ofisini ??

  • @x7hia
    @x7hia Месяц назад

    Adui wa m.mke ni m.mke mwenziwe wewe reytox mshenzi sana

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 2 месяца назад +6

    Nataman nije mnihoji khs huyu kaka anaesema hajawai lala na mwanamke zaid ya mke wake..ktk wanaume waongo Dunian basi huyu ndo wa kwanza😢..

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 2 месяца назад

      Iyo ni kweli ama nistori za jaba😜😜😜

    • @jadetoto
      @jadetoto Месяц назад

      Katika wanaume waongo huyo ni mmoja wao

  • @user-bd1jv7oi3j
    @user-bd1jv7oi3j Месяц назад +3

    Nikajala au nicole

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 Месяц назад

      Anaweza akawa kajala au Nicole au posh queen au Irene uwoya ...awo ndo mmoja wao alioenda kuoga dawa...ila abduli ni mfuska Sana...hakika diva kampata mwanaume wakufanana nae kuanzia akili na Kila kitu..kufek uwongo n.k

    • @missmannydxb
      @missmannydxb Месяц назад

      Nicole Fakiiiii!

    • @JoyceAndongwisye-l2k
      @JoyceAndongwisye-l2k Месяц назад

      Nicole feki​@@jamilaathumani5481

  • @ZenaMaseule
    @ZenaMaseule Месяц назад

    Na aliapaga wakati anamuoa diva kuwa akimuacha achizike au afe sasa mbona limeoa eee Mola wetu angamizaa hii mtu

  • @user-mz6lq3gr9l
    @user-mz6lq3gr9l 2 месяца назад +1

    Et nyapu nyeusi, mtihani huu

  • @TwaibaKifigisa
    @TwaibaKifigisa Месяц назад

    Huyo atakua softena 😂😂😂 maana shughuli yake si ndogo

  • @winnieamanya665
    @winnieamanya665 Месяц назад +1

    Anavyio lamba mdomo muongoooooo

  • @SalhaIradukunda
    @SalhaIradukunda 2 месяца назад

    Diva ana chake hapo tena duuuuh 😅😅😅

  • @SuleymanSaid
    @SuleymanSaid 21 день назад

    Sura ya mtu ndo kila kitu mbona kwa wenye kuelewa washajua ila m2 akikosea tumuombe dua tu abadilike mana yy hua anaseidia watu kwann nasisi tusimuombe Asije akafanya zayd ya hv !!!!

  • @ummysalumu4852
    @ummysalumu4852 Месяц назад

    Sanchoka😂😂😂

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Месяц назад

    Mange alishakukataza kumtaja taja naona husikii..

  • @fatumasuleymanashurambinda6880
    @fatumasuleymanashurambinda6880 2 месяца назад +1

    20:45😅nimehisi kajala😅au nikool wa huba 😅mnaonaje😅

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج Месяц назад

    Niyule alibadil dini 😂😂😂😂 now avumi Tena Rangi ya chocolate. Ila now karud sokoni

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Месяц назад +1

    Masaa 2 muongo huna ubavu huo shenzi wewe😅 anajuwa kuongea tu! Na kujitetea kipaji anacho cha ujinga wake. Wote hawawezi kusema uwongo. Kijana hatari promax ndio maana hanenepi😂

  • @seychelelamsamba475
    @seychelelamsamba475 Месяц назад

    Hyu ni sheikh? Ptuuu

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 Месяц назад

    Mmh

  • @shanifambaraka-v6y
    @shanifambaraka-v6y Месяц назад

    NICOLE

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Месяц назад +2

    Huyu ni narcissistic 😢

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +1

    Ila abduli wewe hujatulia kabisa yan..alafu unasema wewe ostaz...usitumie neno ilo la ustaz wakati wewe unaongelea mapenz..usijiite ostaz...

  • @Mamshika
    @Mamshika 2 месяца назад +1

    Rey mlete na diva a.k.a mtangazaji ajb hoja ili ubalance story maana huyu Jamaa anaonekana ni muongo haiwezekani kila kitu anasingiziwa

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly 2 месяца назад

    Diva aje kubalance story Wigi lilikuwa kwa gari na ndio alipofanyia umalaya wake...housegirl alimwambia Diva hiyo ishu mwenyewe.. wanawake wengi anaolala nao wanataka tu kumuona utupu wake na tamaa ya umalaya na sio kumpenda au kuolewa, haiwezekani wakajitoa mwenye kadamnasi anajitetea ili aonekana mtu mwema mbele za watu

  • @salhawaziri1668
    @salhawaziri1668 Месяц назад

    Ur dental formula sio nzur sana Sasa na wewe unavyochezesha hilo domo ,,mganga kwel mganga

  • @missmannydxb
    @missmannydxb Месяц назад

    Kiki za kijinga sana

    • @SuleymanSaid
      @SuleymanSaid 21 день назад

      Umeona Eeee ila muhim tuombeane dua t