Issues ya wigi diva alijibu kwenye interview it's was true yule dada alilipata kwenye gari ya Abdul wala haikuwa ya kutengeneza😊 So this man nimuongooo😊
Wanawake wanapenda watu marufu na wenye hela sahv hawangali upendo hela tu ila ukifilisika wanakuacha someni maisha madilikeni wanawake kama unataka kuolewa hem tafuta anae kupenda kweli sio upendo wahela2
Anaweza akawa kajala au Nicole au posh queen au Irene uwoya ...awo ndo mmoja wao alioenda kuoga dawa...ila abduli ni mfuska Sana...hakika diva kampata mwanaume wakufanana nae kuanzia akili na Kila kitu..kufek uwongo n.k
Sura ya mtu ndo kila kitu mbona kwa wenye kuelewa washajua ila m2 akikosea tumuombe dua tu abadilike mana yy hua anaseidia watu kwann nasisi tusimuombe Asije akafanya zayd ya hv !!!!
Masaa 2 muongo huna ubavu huo shenzi wewe😅 anajuwa kuongea tu! Na kujitetea kipaji anacho cha ujinga wake. Wote hawawezi kusema uwongo. Kijana hatari promax ndio maana hanenepi😂
Diva aje kubalance story Wigi lilikuwa kwa gari na ndio alipofanyia umalaya wake...housegirl alimwambia Diva hiyo ishu mwenyewe.. wanawake wengi anaolala nao wanataka tu kumuona utupu wake na tamaa ya umalaya na sio kumpenda au kuolewa, haiwezekani wakajitoa mwenye kadamnasi anajitetea ili aonekana mtu mwema mbele za watu
ABDULI NI MSHENZI PROMAX.
@@tatuaamuuinyi9633 et kambomoa dahhhhh mpk aibu jaman
Mshenz mbwa
Issues ya wigi diva alijibu kwenye interview it's was true yule dada alilipata kwenye gari ya Abdul wala haikuwa ya kutengeneza😊 So this man nimuongooo😊
Kwanini unamuamin Diva?
Narcissistic,womanizer,so disrespectful 🙌
Nyapu tbh 🙌🙌
Leoo divaaa anaitwaa mtangazajii 😂😂😂Ngoja aioneee hiyooo atashushaaa ngazeti 😂😂😂
Angekaaa kimya nani agemuita mtangazaji😏
Na huyo mtangazaji anajibebisha ingia kwenye moto
Asante hata mm hiki nimekiona
Mwanamme ana mdomo mchafu huyu loh diva ana moyo wa chuma hata iwe waume adimu ila hapa big no
Badoo haujasemaa
@@AmanaHusseinhahaha khaaa kwa huyu tutasema yote puuuuuu mama ake alitoa chango
Chango yanini tena mpenzi 😜
Diva amevumilia mengi sana kwa huyu baba mdomo mchafu masifa
Kama kuzini unazini sanaaa na ingekua kauli inaumba kiukweli wewe sasa ungekua tayari chizi mana unavojisemesha na ulivo ni tofauti kwakweli
Hapa diva alivamia mtumbwi wa vibwengo 😂
Diva mwenyewe ni kibwengo zaid ya Abdul
😂😂😂😂😂😂 Kwakwel
Yani Abdul ni professional Narcist na muongo grade ya mwisho
Queen huyooo.. tuchafungua code 😂😂😂😂
Masaa mawili kwaiyo mteja akakaa kuwasubiri😢
Alafu nyie watangazaji ni wagombanishi diva uzuri wote uliokua nayo hukujua kutafuta mwanaume wakweli dah
This man is sick, I swear 😢
Am telling you
Safi nimependa kwenye kipato ...mungu akujalie upate zaidi na uwe na mafanikio zaidi
Wellu sengo
Wanawake wanapenda watu marufu na wenye hela sahv hawangali upendo hela tu ila ukifilisika wanakuacha someni maisha madilikeni wanawake kama unataka kuolewa hem tafuta anae kupenda kweli sio upendo wahela2
Huyuuu shehe wallah hamuongopiii hataaa munguu kilaaaa sikuu anazini na watejaa wakeee leooo anakanushaaa
Wewe ulienda hoficn kwake kama mtejaa mkazinii🙄
QUEEN
Huyu sheikh hata mama mkwe aliwahi kumtaka wanawake kuweni makini na huyu mtu mchafu
Sifaaaa hausifiweeeeeeeeee togolwa hautogelweeeeee ptuuuuuuuuu
Huyo mimi namjua Sana nimalaya wakutupwa anajikosha tu hapo😂😂😂😂😂😂😂
Eb nisimulie ndugu yangu Abdul nimalaya kivipi 👂
Amesha kukula
Abduli acha uongo. Kama ulikuwa hutaki Dada wa kazi asifue boxer zake mbona uliziweka pamoja na nguo zingine. Muongo huyu kaka
Inaonesha ni Shilole😂😂😊
😂😂😂😂😂
What if atokee mschana ambae si mkeo na ulimla ofisini ??
Adui wa m.mke ni m.mke mwenziwe wewe reytox mshenzi sana
Nataman nije mnihoji khs huyu kaka anaesema hajawai lala na mwanamke zaid ya mke wake..ktk wanaume waongo Dunian basi huyu ndo wa kwanza😢..
Iyo ni kweli ama nistori za jaba😜😜😜
Katika wanaume waongo huyo ni mmoja wao
Nikajala au nicole
Anaweza akawa kajala au Nicole au posh queen au Irene uwoya ...awo ndo mmoja wao alioenda kuoga dawa...ila abduli ni mfuska Sana...hakika diva kampata mwanaume wakufanana nae kuanzia akili na Kila kitu..kufek uwongo n.k
Nicole Fakiiiii!
Nicole feki@@jamilaathumani5481
Na aliapaga wakati anamuoa diva kuwa akimuacha achizike au afe sasa mbona limeoa eee Mola wetu angamizaa hii mtu
Et nyapu nyeusi, mtihani huu
Huyo atakua softena 😂😂😂 maana shughuli yake si ndogo
Anavyio lamba mdomo muongoooooo
Km mjusi😂😂kijamaa cha hovyo kweli hiki
Diva ana chake hapo tena duuuuh 😅😅😅
Sura ya mtu ndo kila kitu mbona kwa wenye kuelewa washajua ila m2 akikosea tumuombe dua tu abadilike mana yy hua anaseidia watu kwann nasisi tusimuombe Asije akafanya zayd ya hv !!!!
Sanchoka😂😂😂
Mange alishakukataza kumtaja taja naona husikii..
20:45😅nimehisi kajala😅au nikool wa huba 😅mnaonaje😅
Itakua kajala mana nicole ametengeneza 😂
@@khalsasalim7930mimi nikawaza sanchoka
Kajala au sanchoka😂😂
Itakuwa welu sengo
@@fettygulla4781 Umewaza kama mm
Niyule alibadil dini 😂😂😂😂 now avumi Tena Rangi ya chocolate. Ila now karud sokoni
Sanchoka..?
@@AishaHaji-h4d eeeiwaaaaa ATA kuwa yule dada jina gumu ilo
Masaa 2 muongo huna ubavu huo shenzi wewe😅 anajuwa kuongea tu! Na kujitetea kipaji anacho cha ujinga wake. Wote hawawezi kusema uwongo. Kijana hatari promax ndio maana hanenepi😂
Hyu ni sheikh? Ptuuu
Mmh
NICOLE
Huyu ni narcissistic 😢
Ila abduli wewe hujatulia kabisa yan..alafu unasema wewe ostaz...usitumie neno ilo la ustaz wakati wewe unaongelea mapenz..usijiite ostaz...
Rey mlete na diva a.k.a mtangazaji ajb hoja ili ubalance story maana huyu Jamaa anaonekana ni muongo haiwezekani kila kitu anasingiziwa
Diva aje kubalance story Wigi lilikuwa kwa gari na ndio alipofanyia umalaya wake...housegirl alimwambia Diva hiyo ishu mwenyewe.. wanawake wengi anaolala nao wanataka tu kumuona utupu wake na tamaa ya umalaya na sio kumpenda au kuolewa, haiwezekani wakajitoa mwenye kadamnasi anajitetea ili aonekana mtu mwema mbele za watu
Ur dental formula sio nzur sana Sasa na wewe unavyochezesha hilo domo ,,mganga kwel mganga
Kiki za kijinga sana
Umeona Eeee ila muhim tuombeane dua t