AHMED ALLY AFUNGUKA A-Z VURUGU WALIZOFANYIWA LIBYA, INAUMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Simba

Комментарии • 58

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani День назад +4

    Poleni sana simba 💪💪💪💪♥️♥️🎉🎉

  • @DaudiLengai-ym5fx
    @DaudiLengai-ym5fx 21 час назад +1

    Simba ya Watanzania imesharudi salama na tumewapokea karibuni Tz

  • @SINDAWAWA
    @SINDAWAWA День назад +2

    Mimi ni yanga lakini leo umeongea vizuri mno

  • @charlesmahuna
    @charlesmahuna День назад +1

    Uko vizuri semaji

  • @SINDAWAWA
    @SINDAWAWA День назад +1

    Yule dogo ni mzuri sana hamza

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 День назад

      Mzuri sana kwa sura ila anafanya kazi chafu sana kwa wapinzani wake anabalaa huyoo

  • @abdurahiimjuma3661
    @abdurahiimjuma3661 День назад +5

    Simba nguvu moja

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w День назад +1

    Ubaya ubwelaaaa 🦁😂

  • @KakeSimba
    @KakeSimba День назад +2

    Ubaya ubwer

  • @STEVYPHILIMON
    @STEVYPHILIMON 30 минут назад

    Kushinda nirazm akipenda mola

  • @KonshazKonshaz
    @KonshazKonshaz День назад

    Unyama sana

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani День назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💪♥️♥️♥️🦁🔥🦁🦁🦁semaji la kafu nakupend a sana ❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 День назад

    Poleni sana ndugu ila tusijigambe nahayo matokeo ahamedi ingekuwa tumewafunga kwao ndiyo matokeo mazuli sana kuliko ku sale maana wao ndiyo watakuwa nafaida sana wakitufunga

  • @neemaKihongole
    @neemaKihongole День назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @BakarFupi
    @BakarFupi День назад +1

    Nguvu Moja ubaya ubwela

  • @IsackMahenga
    @IsackMahenga День назад

    Sawa semaji la caf

  • @NassoroNyavili
    @NassoroNyavili День назад

  • @OMARYALEX-e2y
    @OMARYALEX-e2y День назад

    UONGOZI WA SIMBA NA WANASIMBA WOTE YATUPASA TUWE KITU KIMOJA NA TUJUE NDO KWANZA VITA NDO IMEFIKA PENYEWE TUUNGANE KUWATOA HAWA MAANA WALITUFANYIA UBAYA SISI TUWAMALIZIE NA UBWELA KWA KUSHIKAMANA ILI WAJIFUNZE.

  • @AbimelkiMagoma
    @AbimelkiMagoma День назад

    Lazima tutoboe hapa kwetu

  • @LudovickSindani
    @LudovickSindani День назад

    MUNGU ni mwema mmerudi salama! Yote tuwaachie viongozi wa CUF watatimiza majukumu Yao!😢😢

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 6 часов назад

    Leo kwan vp mbona kaongea point😂😂😂😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 День назад

    Kwa hiyo hapo uongo wa Simba uko wapi au wewe nyuma mwiko hukuona kwenye mitandao

  • @user-vj4ip8cp5h
    @user-vj4ip8cp5h День назад +1

    Mimi ni shabiki wa simba lialia lakini kwa ninavyoona tim yetu safari imeishia hapa

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 15 часов назад

    kila ntu anatabasamu chezea semaji professional 😂

  • @claudsaprapasen9068
    @claudsaprapasen9068 День назад +1

    Tutafuzu

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka День назад

    Pongez kwenu

  • @KhamisAlawi-n1k
    @KhamisAlawi-n1k День назад

    Lakini kwanini wale madogo wawili hawapewi nafasi? Karabaka na chasambi?

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o День назад

    Muwe maskini na uwanja majirani hawatupend

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 День назад +1

    Semaji

  • @Jamessichone-tg7pm
    @Jamessichone-tg7pm День назад

    Inajivunia sare dah

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 День назад

      😂😂 mpira si lelemama mechi hizi za mtoano kila mtu ashinde kwake ndo kanuni ila ukikutana na kibonde piga sana kama yanga juzi na CBE ili takiwa wamalize pesa zoote za kampeni za mama 😂😂😂 joking

    • @ramaasechambo9239
      @ramaasechambo9239 4 часа назад

      Ulitaka ijivunie Nini sasa wewe matako mbona nyuma mwiko kama hamjielew au mpira umejulia ukubwani Nini?

  • @allymtanga8127
    @allymtanga8127 День назад

    KOMBE LA LUZA😅😅😅😅

  • @maase2023
    @maase2023 День назад

    Kwa kweli simba ni waongo sana yani wao tu kila wakienda nchi za kiarabu basi eti wanafanyiwa fujo wao tu wakati timu zingine zote afrika hatusikii shutuma hizo! Mmmmhhh uongo wapunguze na mpira wenyewe uko wapi kwao kwani???

    • @IlhamKhalid-mt3jp
      @IlhamKhalid-mt3jp День назад

      Hongera

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 День назад

      NDIO SHIDA YA KUHADITHIWA MPIRA 😂😂😂 YAANI UNA SIMU KUBWA ALAFU AKILI NDOGO YAANI UMESHINDWA HATA KUONA MATUKIO NA YAMETUMWA SAAANA

    • @maase2023
      @maase2023 День назад

      @@saidbakari2408 mfanyiwe fujo gani nyie na hii ndio trend ya simba miaka yote kusingizia kufanyiwa fujo na waarabu tu! Simba ni waongo

    • @MwanahamisHussein-dp2if
      @MwanahamisHussein-dp2if День назад

      Kwiniweweujaona

    • @maase2023
      @maase2023 День назад

      @@MwanahamisHussein-dp2if cha kuona kipi pale hao viongozi kuingia uwanjani kulalamika penati walionyimwa na hilo ni jambo la kawaida sana lkn nyie mnazidisha oh kapigwa oh kazimia wanafiki wakubwa nyie

  • @sammychansa1797
    @sammychansa1797 День назад

    Mashine ya kuongea

  • @SINDAWAWA
    @SINDAWAWA День назад +1

    Lipizeni Kwa kuwafunga

  • @MariamHamisi-l9k
    @MariamHamisi-l9k 16 часов назад

    ❤❤❤❤❤❤🤍🤍🤍🤍🤍🤍

  • @LudovickSindani
    @LudovickSindani День назад

    Hata mama yko ni luzer kwa baba yako! Bwege nini😢😢😢?

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 День назад

    HII MECHI NAIONA NDO NGUMU KWA SIMBA ZIFUATAZO NI KITONGA TU

  • @BakarFupi
    @BakarFupi День назад

    Nguvu Moja ubaya ubwela