Poleni sana ndugu ila tusijigambe nahayo matokeo ahamedi ingekuwa tumewafunga kwao ndiyo matokeo mazuli sana kuliko ku sale maana wao ndiyo watakuwa nafaida sana wakitufunga
UONGOZI WA SIMBA NA WANASIMBA WOTE YATUPASA TUWE KITU KIMOJA NA TUJUE NDO KWANZA VITA NDO IMEFIKA PENYEWE TUUNGANE KUWATOA HAWA MAANA WALITUFANYIA UBAYA SISI TUWAMALIZIE NA UBWELA KWA KUSHIKAMANA ILI WAJIFUNZE.
😂😂 mpira si lelemama mechi hizi za mtoano kila mtu ashinde kwake ndo kanuni ila ukikutana na kibonde piga sana kama yanga juzi na CBE ili takiwa wamalize pesa zoote za kampeni za mama 😂😂😂 joking
Kwa kweli simba ni waongo sana yani wao tu kila wakienda nchi za kiarabu basi eti wanafanyiwa fujo wao tu wakati timu zingine zote afrika hatusikii shutuma hizo! Mmmmhhh uongo wapunguze na mpira wenyewe uko wapi kwao kwani???
@@MwanahamisHussein-dp2if cha kuona kipi pale hao viongozi kuingia uwanjani kulalamika penati walionyimwa na hilo ni jambo la kawaida sana lkn nyie mnazidisha oh kapigwa oh kazimia wanafiki wakubwa nyie
Poleni sana simba 💪💪💪💪♥️♥️🎉🎉
Simba ya Watanzania imesharudi salama na tumewapokea karibuni Tz
Mimi ni yanga lakini leo umeongea vizuri mno
Uko vizuri semaji
Yule dogo ni mzuri sana hamza
Mzuri sana kwa sura ila anafanya kazi chafu sana kwa wapinzani wake anabalaa huyoo
Simba nguvu moja
Ubaya ubwelaaaa 🦁😂
Ubaya ubwer
Kushinda nirazm akipenda mola
Unyama sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💪♥️♥️♥️🦁🔥🦁🦁🦁semaji la kafu nakupend a sana ❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁
Poleni sana ndugu ila tusijigambe nahayo matokeo ahamedi ingekuwa tumewafunga kwao ndiyo matokeo mazuli sana kuliko ku sale maana wao ndiyo watakuwa nafaida sana wakitufunga
🙏🙏🙏🙏🙏
Nguvu Moja ubaya ubwela
Sawa semaji la caf
❤
UONGOZI WA SIMBA NA WANASIMBA WOTE YATUPASA TUWE KITU KIMOJA NA TUJUE NDO KWANZA VITA NDO IMEFIKA PENYEWE TUUNGANE KUWATOA HAWA MAANA WALITUFANYIA UBAYA SISI TUWAMALIZIE NA UBWELA KWA KUSHIKAMANA ILI WAJIFUNZE.
Lazima tutoboe hapa kwetu
MUNGU ni mwema mmerudi salama! Yote tuwaachie viongozi wa CUF watatimiza majukumu Yao!😢😢
CUF hii ni ya lupumba
Leo kwan vp mbona kaongea point😂😂😂😂
Kwa hiyo hapo uongo wa Simba uko wapi au wewe nyuma mwiko hukuona kwenye mitandao
Mimi ni shabiki wa simba lialia lakini kwa ninavyoona tim yetu safari imeishia hapa
Wewe Ni Utopoleee
Shoga pekee ndo anaweza Kusema yeye ni Shoga hongera
Safari yako ndy imeishia hapo
wakishinda utatoa cha mvunguni au?
Wee ni msengekwinyo uto kama uto
kila ntu anatabasamu chezea semaji professional 😂
Tutafuzu
Insha allah
Pongez kwenu
Lakini kwanini wale madogo wawili hawapewi nafasi? Karabaka na chasambi?
Muwe maskini na uwanja majirani hawatupend
Semaji
Inajivunia sare dah
😂😂 mpira si lelemama mechi hizi za mtoano kila mtu ashinde kwake ndo kanuni ila ukikutana na kibonde piga sana kama yanga juzi na CBE ili takiwa wamalize pesa zoote za kampeni za mama 😂😂😂 joking
Ulitaka ijivunie Nini sasa wewe matako mbona nyuma mwiko kama hamjielew au mpira umejulia ukubwani Nini?
KOMBE LA LUZA😅😅😅😅
We mwenyewe ni luza
Msimu ulioisha mlitaka kunjinyelea kwaajili ya kombe la loser 😂
Kwa kweli simba ni waongo sana yani wao tu kila wakienda nchi za kiarabu basi eti wanafanyiwa fujo wao tu wakati timu zingine zote afrika hatusikii shutuma hizo! Mmmmhhh uongo wapunguze na mpira wenyewe uko wapi kwao kwani???
Hongera
NDIO SHIDA YA KUHADITHIWA MPIRA 😂😂😂 YAANI UNA SIMU KUBWA ALAFU AKILI NDOGO YAANI UMESHINDWA HATA KUONA MATUKIO NA YAMETUMWA SAAANA
@@saidbakari2408 mfanyiwe fujo gani nyie na hii ndio trend ya simba miaka yote kusingizia kufanyiwa fujo na waarabu tu! Simba ni waongo
Kwiniweweujaona
@@MwanahamisHussein-dp2if cha kuona kipi pale hao viongozi kuingia uwanjani kulalamika penati walionyimwa na hilo ni jambo la kawaida sana lkn nyie mnazidisha oh kapigwa oh kazimia wanafiki wakubwa nyie
Mashine ya kuongea
Lipizeni Kwa kuwafunga
❤❤❤❤❤❤🤍🤍🤍🤍🤍🤍
Hata mama yko ni luzer kwa baba yako! Bwege nini😢😢😢?
HII MECHI NAIONA NDO NGUMU KWA SIMBA ZIFUATAZO NI KITONGA TU
Nguvu Moja ubaya ubwela