#mwamposa #kakobe #diamondKatika ibada ya tarehe 2 /2/2020Askofu kakobe akemea vikali kwa baadhi ya mitume na manabii kutumia maji na mafuta aongea jana katika ibada
Mwenyesi mungu akulinde nakubariki nakupe miaka mingi yakuishi kwa kweli hao managing nimataperi wakubwa wanausa maji udongo vitamba pia niwachonganishi wanapga bau chonganishi nakujifanya kudanganya watu wajifanye vipo wanapona awatakiwi
MATHAYO 7:21-23 kaisome na uielewe usifkiri kila mtumishi anayeponya katumwa na MUNGU, kama ni hivyo basi hata waganga wa kienyeji nao wametumwa na MUNGU. Tujifunzeni NENO mpendwa ili tuijue kweli nayo ituweke huru YOHANA 8:31-32 Tusiwe watu wa kufuata ishara, maajabu na uponyaji hivyo hata ibilisi hufanya
Aaah wee mwamposa noma alfu yeye ajiiti nabii mwaache aponye watu ata mim nimepona kweny madhabao ile maji mafuta saf tunatumia weka na ww maji mafuta mwamposa ❤❤❤mungu akupe umri mrefu mwamposa
@@emmanuelchipanha6765 kakobe we mbwaa tuu.mbonawewe ulikuwa unanyanganya watumishi wako cheni hereni za dhahabu.na kanisa lako ukifungua macho unakutana na majoka. Huna lolote wewe ndiyo tapeli mkubwa huna uponyaji wowote. Acga wivu mwamposa anaponyaaa na ha na utapeli kama wewe.
Unavyo mfaahamu mungu kakobe ni kwa kadri mungu alivyo kujalia kumjua mungu Hana mwisho ufaamu wako ndio una mwisho mugu hufanya apendavyo sio wewe ufaamuvyo usimsengenye mtumishi na kama wewe ni mwema ulisha wai kumwita uka fanya nae mazungumzo toa Kwanza kibanzi jichoni kwako ndio uone boriti jichoni kwa mwenzio
@@winifridaagidy7733 Nabii wa uongo awatatoka kuzimu direct wako miongoni mwetu Yesu mwenyewe alisema utawajua kwa matendo...mafuta ya upako ni sign moja yao ya kuwatambua...
Imeandikwa kitabu gani? Je tuliache Karisa la BWANA YESU litumbukie shimoni //KWA TAARIFA YAKO ILE SIYO INJILI YA BWANA YESU //KATIKA KITABU CHA WA GALATIA PAULO ANASEMA NI INJILI YA NAMNA NYINGINE KISHA AKASEMA NA WALAANIWE (WAGALATIA 1:8-9
Jamani kwa Mtumishi wa Mungu Mwamposa maji ni bure mafuta ni bure Mwamposa yuko na Mungu kabisa,mm namkubali tena na muelewa sana, kupitia Mwamposa familia yangu imeponywa,tena kupitia TV.Na wewe hubiri habari za Mungu acha uongo wa kusema vitu vya kutunga na kuchafua watumishi wa Mungu
Maji na mafuta yapo kwenye kumbukumbu la torati mbona ukikanyaga unakuwa na miguu ya shaba na leo nimekanyaga kwa mwamposa hatumuachi kamwe man of god mwamposa Asante kwa kutuponya
Mungu nisaidie nifundishe kunyamaza nisinene neno lolote baya juu ya watumishi wa Mungu maana neno linasema usihikumu usije kuhukumiwa sina mamlaka ya kuwanenea watumishi vibaya Mungu ndiye anawajua wa lio wake
Wewe nimtumishi wa Mungu nafikiri hata wewe ulisemwa vibaya ulikatiswa tamaa,Pima unacho kiongea,kwanza usije ukawasema wenzako vibaya,kwa sababu Mtumishi wa Mungu hawezi hubiri neno LA Mungu akaponya kwa jina LA yesu afu tukasema nishetan ,Mungu sio mwanadamu,anatenda kama anavyo ona
Tangu mwaka 208 natembelea magongo nimepona mwaka 2018 sinaulemavu tena Arise and shines kiboko yao Mwamposa Mungu akulinde na akutie nguvu pambana mpaka kieleweke shetani ataisoma namba
👍 Mwamposa ni MTUME wa Mungu ametusaidia wenge na anahekima sana huwa apendi kuwasema vibaya watumishi wenzake na ametufundisha sisi pia tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya. KAKOBE MUNGU AKUPE HEKIMA NA UPAKO WA KUFICHA.
Mafuta ndio yenye kufanya kazi ila sio mwamposa, kwasababu mafuta hayapatani na uchawi pamoja na majini na yanatengenezwa na kuuzwa duniani kote. Kama ukilogwa mafuta yanatoa uchawi. Ni utapeli na pesa wanaitafuta na wanailamba. Muislamu akienda kwa mwamposa hakuna tofauti na akienda kwa mganga kote huko Ni Haramu. Na Ni shirki,
@@tymchanneltv1143 sio kila mafuta, mafuta yanayotoa uchawi na majini ni yalioombewa kwa JINA LA YESU KRISTO, vingine kama hayajaombewa kwa jina la BWANA WA MAJESHI, hayawez kufanya kaz, na ndo maana pia kuna mafuta ya kichawi, mafuta ya kifreemason
Ikiwa mwamposa anatumia ushirikina kuponya basi ushirikina wake ni kiboko 💪ndio ninaouhitaji wengine ni feki. Mtume Mwamposa Mungu AKUPE umri mrefu kwa maana huchagui dini Wala kabila.mungu U pamoja nawe✌️
Kakobe umechanganyikiwa kweli acha wenzako wamuhubiri kristo kamq wewe umeshindwa jua kila nabii anaufunuo wake mungu aliempa kwahiyo wewe unaufunuo wako na mwenzako nae kapewa kivyake acha hivyo
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu kweli maana hata mimi mwenyewe nina shuhuda nyingi kupitia madhabahu ya Arise and shine kwa Mwamposa ndugu yangu aliye nifuatia amepona Hiv na kichaa sasa ni zaidi ya miaka saba emeshapita na kama miujiza inayofanyika kwa Mwamposa nibandia basi yale maradhi ukimwi na kichaa yangerudi tena, mimi naomba watumishi wa Mungu wasiwaingize washirika wao kwenye laana ya kuwanena watumishi Mungu vibaya kwa sababu yao hasi
Kwan kupona ndio nini Kwan hata Kwa mganga wa kienyeji SI unapona sisi hatuhoji kupona sisi tunahoji njia anazotumia kukuponesha je ni za mungu kweli au laaa?
Asante baba askofu kakobe kwakutufumbua macho naroho lakini Kwa MTUMISHI wamungu mwamposa sio hivo kwani TUNAPOKEA UPONYAJI tukiwa mbali sana nahatumjui nahatujui .maji anatuambia tutumie yanyumbani namafuta yanyumbani ukweli ndio huo
@@oscarphilip2428 Nikweli kabisa Oscar, kinacho tusikitisha ni pale Mtumishi wa Mungu unaposimama kwenye Madhabahu na kumsema Mtumishi mwenzie. Kama vile yeye ni kipimo cha haki, wanasahau haki ni ya Mungu. Ukiamini na kuona Mwenzio anakosea mfuate kwa upendo umwambie kile unachokiona hakikosawa kwako na si kwake.
Baba yangu kakobe Nakupenda lakini kwa mwamposa hafanyi biashara, bei ya maji ni Ile Ile ya kawaida na viwete wanatembea vipofu wanaona,kifupi tunafunguliwa sana sana
acha uongo ww. Viwete na vipofu bado wapo wengi sana mitaani na mikoani. wale ni vipofu na viwete wa kutengenezwa sio wa ukweli ukweli. yule ni muongo anawatapeli na kuwadanganya watu wajinga wajinga waso jitambua.
Mungu akusamehe bure ewe KAKOBE kumsema vibaya mtumishi mwenzio sio jambo jema hata kidogo. Napenda kukutia moyo ewe mtumishi wa Mungu Bulldozer Mwamposa kuwa hata Yesu alitukanwa na kudharauliwa sembuse wewe'! Tuko nyuma yako piga kazi, Mungu yu pamoja nawe, kwani yeye ndiye anajua alikuleta hapa kwa makusudi gani.
Kwa nini watu awajiulizi wale walio tutanglia kuokoka awatumii mafuta wala maji wala awamiliki magari wala mali kwa nini hawa watumishi wa 20century wapita wazee wao kiinjil kwani theolojia ya bible si moja au nini?....
Watu tumepona kupitia madhabahu hiyo ya mwamposa ambayo wewe unaona ni uganga Ila tumepona kupitia jina la Yesu kristo aliyehi wa madhabahu ya inuka uangaze au sema SHINE AND ARISE
Wewe hujui maandiko anachosema Askofu Kakobe hakuna Injili ya Maji Kuna Injili ya Wokovu kwa damu ya Yesu: Maandiko yanasema siku ya mwisho watakuja manabii wa uongo nao watapotosha wengi wewe utakuwa mmoja wao Yesu alisema kipofu akiongoza kipofu mwenzake wote watatunbukia shimoni"
Kama siyo tatizo chukua mafuta nyumbani kwamko yatamkie hivyo na umuamin MUNGU Anaishi hakika pia yata fanya kazii kikubwa kinachotakiwa watumishii watangaze injiliii kisawa sawa Tuache dhambi tyuvae silaha za MUNGU Tupate kuzishinda hila za Shetani .TUWEZE KUVIOMBEA WENYEWEEEEE AYOMAVITYUU UWAyanatokea waaapii
Huyu naye akae kwa kutulia wakat yeye alkua anawaambia watu watoe dhahabu zao wakiingia kwenye kanisani lake apo mwenge atuache na MWAMPOSA wetu anatusaidia sana aacha uongo maji gan yanauzwa kwa laki du baba umetisha.hubir neno la Mungu acha kumsakama mwenzio
mtakufa kaeni hvohvo, ndo maana mnakung'utwa na nguvu za giza, watu wa giza wenyewe wanatumia maji na mafuta yao ya kichawi, vp kuhusu sisi WANA WA MUNGU(BENEHA ELOHIM), je sisi sinzaidi ya wao, watu wa giza wameyaiga kwetu, lkn sisi watu wa YESU ndo tnajiganya ooh YESU anatosha, ni sawa YESU anatosha, lkn maandiko yanasema imani bila matendo imekufa nafsini mwako, unasemaje unamwamininYESU KRISTO, halaf hyo imani yako huionyesh kwake, unapomwamin YESU anza kuamini na vifaa vyake vitakatifu, maji, mafuta, udongo, chumv, vitambaa, nguo, maandiko yenyewe yameweka waz kuhusu hv vtu, mitume walitumia nguo kuponya watu, wakatumia na mafuta kuwapaka watu baada ya kuwaponya, kwann sisi ndo tunajifany hatutak, KRISTO YESU mwenyewe anasema ROHO WA BWANA yuko juu yangu kwa sabab amenipaka mafuta, sasa sisi ndo tunajifanya hatutak kutumia, ndo maana mnagandamizwa na nguvu za giza kwa sabab ya ubish
Watu wanacha unganga,wanapona magonjwa na wanamuona Mungu wa kweli,jaman mwamposa Amin katika Maj na mafuta ila amepewa ufunuo kwavyo,kama nabii Musa alivopewa nguvu kupitia fimbo.
Nani anakumbika saa ya maajabu kwahiyo baada ya saa ya maajabu sasa mzee wetu katulia mwamposa msikilize mzee kakobe alikutangulia kwenye izo izo ishu kwahiuo kakobe akiongea kitu inabidi muelewe. Mimi sasa hivi namwamini kakobe sio yuye wa saa ya maajabu huyu sasa ndo halisi big up baba
Ubarikiwe lakini tunamshuru Mungu watu wanaponywa anapolitaja jina la Yesu tumtie. moyo anaponya roho za watu.wa Mungu tumuombee. mtumishi Mwamposa anafanya kazi ya Mungu imeandikwa usihukumu usije.ukahukumiwa Amen
Baba askofu tuna kuheshimu wafundishe waumini wako neno la nungu acha majungu kanisani,tumia kipawa chako ulicho pewa na mungu,sio kuwajaza chuki kondoo wako kwa watumishi wengine wa mungu,fanya yako baba,kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma
Kwa ujumbe huu mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama Redeemed Gospel church binafsi nimekuelewa sana sana sana sana....huo ndio uongo wa shetani ameuingiza kanisani. Wateule tuamke!
Kasome wakorinto wa kwanza ukaone jinsi Mungu anavyogawa karama but roho atendae niyuleyuleee...kuwa mtoto wa bishop sio kumjua Mungu...imani na kiyajua maandiko ndio siri ya kupokea nguvu za Mungu....tuwaheshimu watumishi wa Mungu...sio sisi tulowatumaa
@@neemakigala3578 karama ya kuvaa barakoa na kuogopa corona? Maana mwanajeshi huyu anakimbia adui corona akiungana mkono na watu wa dunia kukimbia.....haya nguvu yake ilikua kwenye barakoa? By the way nahisi umeshaambiwa tayari na wale waliomwambia yeye kua barakoa ni deal leo wamebadili msimamo wamemwambia tena najua barakoa sio issue...je ni Mungu alisema naye juu ya barakoa kuvaa au kutovaa? Je Mungu wake anabahatisha kama wanadamu? Hapana kitu hapo, karama ya barakoa sitaielewa bora askofu gwajima alivyosimama na kiukweli aliishinda corona, hofu na mauti kwa jina la aliye juu sio kwa barakoa. Bye
@@neemakigala3578 unafikiri kila mtumishi ni mtumishi wa MUNGU kasome kitabu cha MATHAYO 7:21-23 utaona jinsi gani YESU anatoa tahadhari anasema anavyotoa tahadhari, usifikiri kuwa Kila alitajae jina la YESU ni mtumishi wa MUNGU la hasha wengine no mawakala wa shetani
Ndugu, tatizo la kuweka imani katika vitu vingine badala ya Yesu Messia. Yesu alisema tumuabudu Baba katika kweli na Roho. Ukiongozwa na Roho Mtakatifu hakuna binadamu atakaye kudanganya. Kama ni watu kupona, inatokea lakini sio kila mtu anaepona. Yesu ndiye mponyaji na anajua kwanini anaruhusu wengine wapone na wengine wasipone. Yesu mwenyewe hakumponya kila mtu alivyokuwa anafanya kazi yake duniani. Ila aliweka njia ya binadamu wote kupona na hukumu ya moto wa jehanamu kwa kutoa uhai wake. Kikubwa tuikubali hii neema tuliyopewa na tuache haya malumbano ya pembene.
Mungu akubariki kwa mafundisho lakn mafuta ya mwamposa ni mafuta ya kawaida kabisa na maji ya kawaida kabisa Kama hayo ya nyumbn kwako kikubwa ni ile nguvu ya upako iliyoachiliwa ndani ya mafuta na maji alaf Nina swali kwako mbona tumepona ? Mbona tumefunguliwa vifungo vilivo tutesa kwa miaka mingi nyumba zetu zimefunguliwa ndoa zetu zimepona watoto wetu wamefunguliwa ? Usimuhukumu mtu iyo ni kazi yamungu
Yaan askofu kakobe bila shaka huyu ka tumwa na mungu. Mimi ni wa kwanza kumkubali kakobe. Ningepata account yako hata shilingi elfu hamsini Tsh 50,000 nikutumie ya shukrani tu kwavile mahubiri yako inavyo nibariki. Sina kitu Natoka south africa
Mweshimiwa kakobe toboa hayomataperi yanadanganya wale watu mazuzu hayajitambui angalao yachangamke yajuwe yanaibiwa kuliko kwenda kwa mataperi kama hao wanaojificha na mungu niheriuwende kwa waganga wanaetumia miti yamungu aliumba kuliko mataperi kama hayo yanapotesa wanainji mara yanatibu ukim mata wanaponya viwete marawanachonganisha watu kwa kusema watu niwachawi mala wanatoa uchawi waongo hao kakobe tobowa kabsaa usifiche unyanyasaidi kama huo
Wacha basi wivu,hubiri injili basi.Muhubiri YESU.Hata YESU aliambiwa anatoa pepo kwa belizebuli.Mwamposa hata bishana na wewe,yeye Ni mbele kwa mbele.Watu Mtwara wanapokea, Zanzibar nk.wanapona kupitia TV.
Huyu baba amekwama yeye si ndie alikuwa anakusanya cheni za dhahabu akiwaambia ni Mali ya bwana?sasa LEO anaongea nini?mimi nimeombewa na mwamposa nilikuwa mlevi sana na Leo nimeacha pombe kabisa.
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
Tena huyu alivuka mipaka akawa anafanya watu kma misukule anawavalisha nguo nyekundu na nyeupe huyuuu baba alikuwa anafanya uchawi mpk watu wakaingilia kati ndio kufungwa kanisa alikuwa anawaingiza watu kwenye uchawi live
Ubarikiwe Mtumishi kwa ujumbe mzito aliye na sikio ayasikie hayo ambayo Roho ayambia makanisa
Mwenyesi mungu akulinde nakubariki nakupe miaka mingi yakuishi kwa kweli hao managing nimataperi wakubwa wanausa maji udongo vitamba pia niwachonganishi wanapga bau chonganishi nakujifanya kudanganya watu wajifanye vipo wanapona awatakiwi
mmmh askofu kakobe hebu muhubiri Mungu tu hayo mambo ya Kusema watumishi wa Mungu hapana
Ulivumaga sana kakobe enzi hizooo mungu akuinue tena mtumishi wa mungu
Mtoto ambae mungu alimpa upako wa kuokoa watu duniani na mm nikiwa moja wapo kuokolewa mtume. mwamposa ama borodosa ni Powe ⚡⚡⚡⚡
Mwamposa alibarikiwa Toka tumboni kwa mama yake
Acha ujinga
But unatakiwa kujua tulipewa buree tunatoa buree but watumish wa Leo n after money
MATHAYO 7:21-23 kaisome na uielewe usifkiri kila mtumishi anayeponya katumwa na MUNGU, kama ni hivyo basi hata waganga wa kienyeji nao wametumwa na MUNGU. Tujifunzeni NENO mpendwa ili tuijue kweli nayo ituweke huru YOHANA 8:31-32
Tusiwe watu wa kufuata ishara, maajabu na uponyaji hivyo hata ibilisi hufanya
@@jasminsaid4142 una uhakika jihadharini na manabii was uongo
Asante kwa kuona Hill. Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maiarifa, wanataka miujiza hawana haja na Mungu.
Eeh Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine naomba Mungu unipe utulivu wa imani simwabudu Mwamposa naliabudu jina la Yesu Kristo
Amen amen
Ameen
Jichanganye umepumbazwa
Hauna lolote, miujiza ndo iliyokupeleka.
Umep9tea maana unaab7du anachokiab7du mwam0osa toka hko hrk ww
Maombi nimsingi katika Imani hii ya Yesu kristo na toba itokayo kwake nani YESU
Tumwachie Mungu mwenyewe ,maana hii vita ni ya Mungu SI mwanadam yoyote
Wivu tu huo ..Kakobe mhubiri Kristo acha kuhubiri watumishi wa Mungu...Yupo atakae wahukumu na kuzichambua kazi zao
Aaah wee mwamposa noma alfu yeye ajiiti nabii mwaache aponye watu ata mim nimepona kweny madhabao ile maji mafuta saf tunatumia weka na ww maji mafuta mwamposa ❤❤❤mungu akupe umri mrefu mwamposa
Bibilia gani imesema mafuta yanaponya??,
@@emmanuelchipanha6765 kakobe we mbwaa tuu.mbonawewe ulikuwa unanyanganya watumishi wako cheni hereni za dhahabu.na kanisa lako ukifungua macho unakutana na majoka. Huna lolote wewe ndiyo tapeli mkubwa huna uponyaji wowote. Acga wivu mwamposa anaponyaaa na ha na utapeli kama wewe.
Yes mungu anatutendea kupitia mafuta na maji
@@emmanuelchipanha6765 lejea kwenye biblia
Ww muislamu au mkristo
mungu akupe neema ya kuifanya kazi yake
Mtaumbuana sana. Hivi mnaoneana wivu kwa kuzidiana Mbinu upigaji, balaa lingine Wafrika hujifanya wenye dini kuliko walioleta Dini hususani Wanawake
Kakobe mungu.akubaliki.mno
Unavyo mfaahamu mungu kakobe ni kwa kadri mungu alivyo kujalia kumjua mungu Hana mwisho ufaamu wako ndio una mwisho mugu hufanya apendavyo sio wewe ufaamuvyo usimsengenye mtumishi na kama wewe ni mwema ulisha wai kumwita uka fanya nae mazungumzo toa Kwanza kibanzi jichoni kwako ndio uone boriti jichoni kwa mwenzio
Facts 💯
Je,wewe umetumwa na Mungu au umeamua kueleza mawazo yako.Thibitisha maneno yako kwa vifungu vya maandiko matakatifu.Amen.
Anachokiongea utaper huu unafanyika sana na kwa hapa Tz weng wameipata huko nje ni mamb mageni mengi yapo sana
Mwamposa kuinuliwa kwake na mungu ameponya maisha ya wengi sana muachen mtume
Hujaoka wewe anaponya watu wapi, Mungu akupe macho ya rohoni sisi tuliokoka tumeona anatumia uchawi
@EPAFRA MWANSASU kwa halali sio njia ya mkato au ulimuona Yesu akitumia mafuta ya upako?
Msizungumzie mabaya juu ya watumishi wa mungu usitizame kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati wewe unaboliti
@@winifridaagidy7733 Nabii wa uongo awatatoka kuzimu direct wako miongoni mwetu Yesu mwenyewe alisema utawajua kwa matendo...mafuta ya upako ni sign moja yao ya kuwatambua...
@@carolinederi5690 ndio. Alitumia tope kumponya kipofu au hujui biblia
Hatar sana yesu yu karibu kurud
Laaillah ilallah Muhammad allasullullah kama unamwamin Allah usiache kulaik
Mko sawa baba.acha tuu
Allah sio mungu wakweli Bora ungemjua yesu mwana wa mungu wa kweli
Yesi siyo mungu
Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo
Ushafuliaaa kakobe achaaa wenzio na wao wapige helaaa
Atulieee dawa ya mwaposa imwingie, kwa ss habar ya mjin Ni mwaposaaa
Nyiee mponden mwezenu Alafu Mungu anamuinua zaidi na said kila itwapo leo
Imeandikwa usimseme Mtumishi wa mungu vibaya...kila mtu na ufunuo wako nb dini safi niileinayompendeza Mungu😇
Hawa wote waongo wakubwa wanawaibia wenziwao
Imeandikwa kitabu gani? Je tuliache Karisa la BWANA YESU litumbukie shimoni //KWA TAARIFA YAKO ILE SIYO INJILI YA BWANA YESU //KATIKA KITABU CHA WA GALATIA PAULO ANASEMA NI INJILI YA NAMNA NYINGINE KISHA AKASEMA NA WALAANIWE (WAGALATIA 1:8-9
Nae kakobe anahistoria yake,alisemwa vibaya ila amesahau na kusema wengine
Sasa hii ya mwamposa inampendeza Mungu kweli??
Mungu akubariki kwa huo ufunuo
Jamani kwa Mtumishi wa Mungu Mwamposa maji ni bure mafuta ni bure
Mwamposa yuko na Mungu kabisa,mm namkubali tena na muelewa sana, kupitia Mwamposa familia yangu imeponywa,tena kupitia TV.Na wewe hubiri habari za Mungu acha uongo wa kusema vitu vya kutunga na kuchafua watumishi wa Mungu
Amen
Amina kubwaa
Barikiwa magreth
Tena Kama amezeeka akae uko atulie🤣🤣🤣
Amina. Watumishi waache kuchafuana wafanye walichoitiwa
Mwamposa ni mtumishi wabwana,nakatumwa na Mungu kweli, mwambie Mungu atakuonyesha.mwamposa na huyo unaye mtaja tofauti, mwamposa ni Moto.
Hallelujah
Very man of God yafaa tuombe mungu jamani maana siku zamwisho ndio hizo Sasa
Appreciate you
Maji na mafuta yapo kwenye kumbukumbu la torati mbona ukikanyaga unakuwa na miguu ya shaba na leo nimekanyaga kwa mwamposa hatumuachi kamwe man of god mwamposa Asante kwa kutuponya
Oh pole kakobe umekwishs
Poleni san wenznu tunpikia samaki na tunkunywa mafuta na samaki endlen kufata miujiza mtajuta sana kakobe tapeli na huyo mwamposa ni wale wale tu
Mh kazi mnayo karbu sabato achanen na huo ujinga
Mmetuibia......Sasa hv Mmezidiana mnapigana madongo nyie mtakuwa kuni
Yaan mm kwa shda nilizokuwa nazo hanishawishi kakobe bas na iwe hvyo
Amen injili yaukweli kabisa wasiokuelewa ni Wengi ila mimi nimekuelewa
Mi kweli mckilizaji tyuu c mwongelei mtu kwa ubaya wala mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Uko upande gani kukemea ama kuacha ubovu unaendelea maana Mungu ukimfwata kiroho na kweli njia zake ziko wazi😀😆
Mungu nisaidie nifundishe kunyamaza nisinene neno lolote baya juu ya watumishi wa Mungu maana neno linasema usihikumu usije kuhukumiwa sina mamlaka ya kuwanenea watumishi vibaya Mungu ndiye anawajua wa lio wake
Mie Naona kakobe ungemuacha Mwamposa nae Atangaze neno lamungu
Wakati weweenzihizo hakukuinglia Mahubiri yako Acha mtumishi mwamposa Anenenolamungu
Wewe nimtumishi wa Mungu nafikiri hata wewe ulisemwa vibaya ulikatiswa tamaa,Pima unacho kiongea,kwanza usije ukawasema wenzako vibaya,kwa sababu Mtumishi wa Mungu hawezi hubiri neno LA Mungu akaponya kwa jina LA yesu afu tukasema nishetan ,Mungu sio mwanadamu,anatenda kama anavyo ona
Fy
Kakobe mtumishi wa Mungu kwelikweli kina mwamposa waganga tu
Mungu ndo hakimu wa wote Amina
Ww kakobee jamani muache mtumish mwamposaa usimhukumu ,
Tangu mwaka 208 natembelea magongo nimepona mwaka 2018 sinaulemavu tena Arise and shines kiboko yao Mwamposa Mungu akulinde na akutie nguvu pambana mpaka kieleweke shetani ataisoma namba
bora hata umeongea, hawa kaz yao ni kukandiana tu, pkea uponyaj tembea, BWANA atukuzwe sanaa
👍 Mwamposa ni MTUME wa Mungu ametusaidia wenge na anahekima sana huwa apendi kuwasema vibaya watumishi wenzake na ametufundisha sisi pia tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya. KAKOBE MUNGU AKUPE HEKIMA NA UPAKO WA KUFICHA.
Acha utapeli na ww au mwamposa Ni hawala yako?
Mafuta ndio yenye kufanya kazi ila sio mwamposa, kwasababu mafuta hayapatani na uchawi pamoja na majini na yanatengenezwa na kuuzwa duniani kote.
Kama ukilogwa mafuta yanatoa uchawi.
Ni utapeli na pesa wanaitafuta na wanailamba.
Muislamu akienda kwa mwamposa hakuna tofauti na akienda kwa mganga kote huko Ni Haramu. Na Ni shirki,
@@tymchanneltv1143 sio kila mafuta, mafuta yanayotoa uchawi na majini ni yalioombewa kwa JINA LA YESU KRISTO, vingine kama hayajaombewa kwa jina la BWANA WA MAJESHI, hayawez kufanya kaz, na ndo maana pia kuna mafuta ya kichawi, mafuta ya kifreemason
Ikiwa mwamposa anatumia ushirikina kuponya basi ushirikina wake ni kiboko 💪ndio ninaouhitaji wengine ni feki.
Mtume Mwamposa Mungu AKUPE umri mrefu kwa maana huchagui dini Wala kabila.mungu U pamoja nawe✌️
Hubir Neno la Mungu acha kumponda mwenzako
Amina
Acha mzee achape kazi
Mwachen mtumishi hubili neno
Kakobe umechanganyikiwa kweli acha wenzako wamuhubiri kristo kamq wewe umeshindwa jua kila nabii anaufunuo wake mungu aliempa kwahiyo wewe unaufunuo wako na mwenzako nae kapewa kivyake acha hivyo
Yy mwenyewe alifanya hayo nyuma je tusadiki.kwamba na yy alikuwa akipelekewa taharifa tuamini.miujiza hipi mmmmh
Kila Mtu afe na njaa yake.msimamie Mungu😊
Uko sahihi sana Kakobe, Mtukuze Mungu aliyekutoa huko hata ww ila hapo kwenye chanjo umerudi ahela moja kwa moja
Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini
Kakobe umekosa cha kufanya. Mwache Mwamposa, mbona ilijulikana kuwa ulikuwa unafuga majoka ndani na huzungumzii Hilo. Mwamposa shine and rising Amen
utapotea wewe shauli yako
Mungu ananjia nyingi za kuponya watu wake,tatzo watu wanatafta miujza awataki neno la uzima
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu kweli maana hata mimi mwenyewe nina shuhuda nyingi kupitia madhabahu ya Arise and shine kwa Mwamposa ndugu yangu aliye nifuatia amepona Hiv na kichaa sasa ni zaidi ya miaka saba emeshapita na kama miujiza inayofanyika kwa Mwamposa nibandia basi yale maradhi ukimwi na kichaa yangerudi tena, mimi naomba watumishi wa Mungu wasiwaingize washirika wao kwenye laana ya kuwanena watumishi Mungu vibaya kwa sababu yao hasi
Asiye mpenda Mwamposa asage Chupa abwiye mtasema Sana mindonimesha pona ahaaa
Kwan kupona ndio nini Kwan hata Kwa mganga wa kienyeji SI unapona sisi hatuhoji kupona sisi tunahoji njia anazotumia kukuponesha je ni za mungu kweli au laaa?
Baba ubarikiwe uishi milele
Angalia sana mzee simama na imani yako
Asante baba askofu kakobe kwakutufumbua macho naroho lakini Kwa MTUMISHI wamungu mwamposa sio hivo kwani TUNAPOKEA UPONYAJI tukiwa mbali sana nahatumjui nahatujui .maji anatuambia tutumie yanyumbani namafuta yanyumbani ukweli ndio huo
Hawajui tu ni wivu wao acha tuendelee kupokea tupo nyumbani
Pole kwenu msioongozwa na roho mtasikia mengi,
We unaonaje anaongea ukweli au la?
@@ibambasymanyama4914 yupo sahihi ndyo
Hapo ume chemsha mwamposa ni moto
Amesahau alikuwa nakusanya pete za watu za ndoa. Ndoa za watu wengi zimevunjika. Mungu hajakutuma uhukumu, we chapa injili utaeleweka
Kakobe alikiri mbele za watu
Na mwamposa akiri alihusika kwenye ajali ya kukanyagana kisa mafuta
Waliodanganywa ndio wajinga
Injili ni pamoja na hicho anachokifanya, kuwahubiria watu waijue kweli.
@@oscarphilip2428 Nikweli kabisa Oscar, kinacho tusikitisha ni pale Mtumishi wa Mungu unaposimama kwenye Madhabahu na kumsema Mtumishi mwenzie. Kama vile yeye ni kipimo cha haki, wanasahau haki ni ya Mungu. Ukiamini na kuona Mwenzio anakosea mfuate kwa upendo umwambie kile unachokiona hakikosawa kwako na si kwake.
Ninyi mnao sema mwamposa ni mtumishi wa Mungu imekufa kwenu mwamposa ni nguvu za ziada Toka malango ya kuzimu
Baba yangu kakobe Nakupenda lakini kwa mwamposa hafanyi biashara, bei ya maji ni Ile Ile ya kawaida na viwete wanatembea vipofu wanaona,kifupi tunafunguliwa sana sana
Nakupa pole
acha uongo ww. Viwete na vipofu bado wapo wengi sana mitaani na mikoani. wale ni vipofu na viwete wa kutengenezwa sio wa ukweli ukweli. yule ni muongo anawatapeli na kuwadanganya watu wajinga wajinga waso jitambua.
@@markonjoregwa261kabisa hakika. tena pole haswaaa. tuna haki ya kumshukuru sana mola wetu kua Waislamu alhamdulilah kwa neema hii ya Uislamu.
Asiyejua maana haambiwi maana
Huwezi kupona kama hauna imani
Wewe mwenyewe ujihoji kwanza kabla hujamnyoshea kidole😂😂
Mbona manabii wote mko dar tu? Hamkai vijijin
Safi kaka ,umeuliza sawia
Wamapiga hela mjini
Vjijin hali ni mbaya hawatapata hela
Hahahaha
Ndo soko lilipo😁
Mungu ni mwema
Yeye aigize ni kwel kabisaaa mwamposa anaponya
Anayeponya Mungu peke yake
Karibun kwa waislam hakuna makuu leo nabii huyu kesho huyu.😄😄😄😄😄😄
Karibuni sana ROMAN KATOLIKI. Huku maji ya baraka ni Bure kabisaa.
Kweli tulibatizwa kwa maji tumekombolewa kwa damu ya Yesu mengine ni uwongo
Mungu akusamehe bure ewe KAKOBE kumsema vibaya mtumishi mwenzio sio jambo jema hata kidogo. Napenda kukutia moyo ewe mtumishi wa Mungu Bulldozer Mwamposa kuwa hata Yesu alitukanwa na kudharauliwa sembuse wewe'! Tuko nyuma yako piga kazi, Mungu yu pamoja nawe, kwani yeye ndiye anajua alikuleta hapa kwa makusudi gani.
Kwa nini watu awajiulizi wale walio tutanglia kuokoka awatumii mafuta wala maji wala awamiliki magari wala mali kwa nini hawa watumishi wa 20century wapita wazee wao kiinjil kwani theolojia ya bible si moja au nini?....
@DOMKY INFO yaan hawa watu wamefungwa fahamu cjui wamelogwa dah
Kumbe wachungaji ampendani mungu akusamehe kabisa soma Bible vizuri utaona mafundisho ya mafuta na maji
Mwamposa anaweza , mwacheni,,
Watu tumepona kupitia madhabahu hiyo ya mwamposa ambayo wewe unaona ni uganga Ila tumepona kupitia jina la Yesu kristo aliyehi wa madhabahu ya inuka uangaze au sema SHINE AND ARISE
Amen
Kwan mtu ukienda Kwa mganga ndio hauponi. Huyo mwamposa mganga kama waganga wengine wa kienyeji sema kajificha kwenye mwanvuli wa din
Mganga mlimpa nyie tunguli mwacheni mwamposa wawatu
Wewe hujui maandiko anachosema Askofu Kakobe hakuna Injili ya Maji Kuna Injili ya Wokovu kwa damu ya Yesu: Maandiko yanasema siku ya mwisho watakuja manabii wa uongo nao watapotosha wengi wewe utakuwa mmoja wao Yesu alisema kipofu akiongoza kipofu mwenzake wote watatunbukia shimoni"
Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee
Mwamposa anatibu kwa kukwambia muamini Mungu utaponywa kwa damu ya yesu tatzo lipo wapi ni maji tu au Kuna mengine?.
Kama siyo tatizo chukua mafuta nyumbani kwamko yatamkie hivyo na umuamin MUNGU Anaishi hakika pia yata fanya kazii kikubwa kinachotakiwa watumishii watangaze injiliii kisawa sawa Tuache dhambi tyuvae silaha za MUNGU Tupate kuzishinda hila za Shetani .TUWEZE KUVIOMBEA WENYEWEEEEE AYOMAVITYUU UWAyanatokea waaapii
Tukuwe kirohoo zambi tuacheee
Haaaaaaaaa utajibeba achanana mwamposa wewe sio level zako hizo 👌👌
Huyu naye akae kwa kutulia wakat yeye alkua anawaambia watu watoe dhahabu zao wakiingia kwenye kanisani lake apo mwenge atuache na MWAMPOSA wetu anatusaidia sana aacha uongo maji gan yanauzwa kwa laki du baba umetisha.hubir neno la Mungu acha kumsakama mwenzio
Wanafanya biashara ya maji cyo kumuhubir krsto
Kwakwel maji hpn.💃💃💃💃yesu anatosha
Huyu sialiweka pesa za watu mpaka Jana zikajaa
mtakufa kaeni hvohvo, ndo maana mnakung'utwa na nguvu za giza, watu wa giza wenyewe wanatumia maji na mafuta yao ya kichawi, vp kuhusu sisi WANA WA MUNGU(BENEHA ELOHIM), je sisi sinzaidi ya wao, watu wa giza wameyaiga kwetu, lkn sisi watu wa YESU ndo tnajiganya ooh YESU anatosha, ni sawa YESU anatosha, lkn maandiko yanasema imani bila matendo imekufa nafsini mwako, unasemaje unamwamininYESU KRISTO, halaf hyo imani yako huionyesh kwake, unapomwamin YESU anza kuamini na vifaa vyake vitakatifu, maji, mafuta, udongo, chumv, vitambaa, nguo, maandiko yenyewe yameweka waz kuhusu hv vtu, mitume walitumia nguo kuponya watu, wakatumia na mafuta kuwapaka watu baada ya kuwaponya, kwann sisi ndo tunajifany hatutak, KRISTO YESU mwenyewe anasema ROHO WA BWANA yuko juu yangu kwa sabab amenipaka mafuta, sasa sisi ndo tunajifanya hatutak kutumia, ndo maana mnagandamizwa na nguvu za giza kwa sabab ya ubish
HONGERA BABA NYUMBA YAKO PALE BARABARANI NI NZURI SANA MZEE.YESU ATAONDOKA NA WACHACHE
Watu wanacha unganga,wanapona magonjwa na wanamuona Mungu wa kweli,jaman mwamposa Amin katika Maj na mafuta ila amepewa ufunuo kwavyo,kama nabii Musa alivopewa nguvu kupitia fimbo.
Watumishi wa mungu mmefika pabaya.kila siku kusemana.mnamwabisha Kristo.wanawashinda hata wanasiasa.jaribuni kukaa pamoja,mmtukuze mungu
Kabisa wanamuaibisha Mungu
Uyu kakobe kawaibia sana waumini wake zaabu
Mwacheni mwamposa wetu .Mtabaki na utopolo wenu Tu.
Nani anakumbika saa ya maajabu kwahiyo baada ya saa ya maajabu sasa mzee wetu katulia mwamposa msikilize mzee kakobe alikutangulia kwenye izo izo ishu kwahiuo kakobe akiongea kitu inabidi muelewe. Mimi sasa hivi namwamini kakobe sio yuye wa saa ya maajabu huyu sasa ndo halisi big up baba
Ww mzeee umechanyikiwa fanya kazi zako unamaliza vibaya mzee
Huyu mzee kasema kweli na pia hakuna una bii ni wizi tu
We nabii uchwara kaa kimya,imekuchoma eeeeh!!
Kakobe,acha siasa,uchungaji umekushinda, busara ni kukaa kimya,mbona wewe ulishawanyang'anya waumini wako dhahabu mbona watu hawasemi.Ss tunamwelewa sana mwamposa,tena kaa kimyaaa
Huna lolote acha kusema wenzio!
Paulo mtume wa NYAKATI hizi,,,,,, am so proud you BISHOP
karibu FGBF
Fanya lako mzee mwache mwamposa hubiri injili acha kusema ya watu
Ona.. ona.. akiona kibanzi kwenye jicho la mwenziwe anasahau kutoa boriti kwenye jicho lake
Uyu nimutumishi wa mungu
Acha kuropoka
Ubarikiwe lakini tunamshuru Mungu watu wanaponywa anapolitaja jina la Yesu tumtie. moyo anaponya roho za watu.wa Mungu tumuombee. mtumishi Mwamposa anafanya kazi ya Mungu imeandikwa usihukumu usije.ukahukumiwa Amen
ameen balikiwa
Timu mwamposa tuonane apa
Amen
Tupoooo arise and shine forever best🔥🔥💪💪
🥰🥰🥰
😂🤣🙏
Arise and shine
Yesu lisaidie kanisa lako
Mimi naogopa Sana hakika ni nyakat za mwisho watu wengi wameikimbia kweli 😭😭😭wametimukia huko kwenye mafuta
Angalia neno linasemaje kwenye Biblia mengineyo tumwachie yeye Mungu aonaye motor hata viuno.
usimpige vita Mwamposa.Injili ni ileile ila Mungu anatoa ufunuo na kumgawia mtu karama vile apendavyo
Mwache mwaposa mbona wewe ulichuwa dhahabu zawatu
Nisiku za mwisho wengi wataacha kweli na kufwata tamaa zao wenyewe
Baba ahsante sanaaa huu ni ukweli mtupu wanaopinga ndo walewale
Mwamposa uko sahihi. Tangu lini mganga akaagiza matembele🤣🤣😂🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Mganga anaagiza kuku na mbuzi
Baba askofu tuna kuheshimu wafundishe waumini wako neno la nungu acha majungu kanisani,tumia kipawa chako ulicho pewa na mungu,sio kuwajaza chuki kondoo wako kwa watumishi wengine wa mungu,fanya yako baba,kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma
Kwa ujumbe huu mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama Redeemed Gospel church binafsi nimekuelewa sana sana sana sana....huo ndio uongo wa shetani ameuingiza kanisani. Wateule tuamke!
Wewe ndo umesema kiekima Kaka laiki zingine duhu
Kasome wakorinto wa kwanza ukaone jinsi Mungu anavyogawa karama but roho atendae niyuleyuleee...kuwa mtoto wa bishop sio kumjua Mungu...imani na kiyajua maandiko ndio siri ya kupokea nguvu za Mungu....tuwaheshimu watumishi wa Mungu...sio sisi tulowatumaa
@@neemakigala3578 karama ya kuvaa barakoa na kuogopa corona? Maana mwanajeshi huyu anakimbia adui corona akiungana mkono na watu wa dunia kukimbia.....haya nguvu yake ilikua kwenye barakoa? By the way nahisi umeshaambiwa tayari na wale waliomwambia yeye kua barakoa ni deal leo wamebadili msimamo wamemwambia tena najua barakoa sio issue...je ni Mungu alisema naye juu ya barakoa kuvaa au kutovaa? Je Mungu wake anabahatisha kama wanadamu? Hapana kitu hapo, karama ya barakoa sitaielewa bora askofu gwajima alivyosimama na kiukweli aliishinda corona, hofu na mauti kwa jina la aliye juu sio kwa barakoa. Bye
@@neemakigala3578 unafikiri kila mtumishi ni mtumishi wa MUNGU kasome kitabu cha MATHAYO 7:21-23 utaona jinsi gani YESU anatoa tahadhari anasema anavyotoa tahadhari, usifikiri kuwa Kila alitajae jina la YESU ni mtumishi wa MUNGU la hasha wengine no mawakala wa shetani
Mtoto wa kuzaa au nawe umeshajisahau kusema mtoto wa Yesu Kristo
Kakobe hiyo siyo kazi yako acha magugu na ngano vikuwe pamoja mwenye kazi hiyo anafahamu lakuanya
Kabisa ndugu sio kazi yake atulie hata yy wanamsema hivyo hivyo.
Amen,kkwel ya Mungu iwaweke huru
Wivu tu umekujaa mzee
Askofu Kakobe,soma vizuri biblia Ili uwe na maneno sahihi ya kuwaambia watu.
Ndugu, tatizo la kuweka imani katika vitu vingine badala ya Yesu Messia. Yesu alisema tumuabudu Baba katika kweli na Roho. Ukiongozwa na Roho Mtakatifu hakuna binadamu atakaye kudanganya. Kama ni watu kupona, inatokea lakini sio kila mtu anaepona. Yesu ndiye mponyaji na anajua kwanini anaruhusu wengine wapone na wengine wasipone. Yesu mwenyewe hakumponya kila mtu alivyokuwa anafanya kazi yake duniani. Ila aliweka njia ya binadamu wote kupona na hukumu ya moto wa jehanamu kwa kutoa uhai wake. Kikubwa tuikubali hii neema tuliyopewa na tuache haya malumbano ya pembene.
Ok
Mungu akubariki kwa mafundisho lakn mafuta ya mwamposa ni mafuta ya kawaida kabisa na maji ya kawaida kabisa Kama hayo ya nyumbn kwako kikubwa ni ile nguvu ya upako iliyoachiliwa ndani ya mafuta na maji alaf Nina swali kwako mbona tumepona ? Mbona tumefunguliwa vifungo vilivo tutesa kwa miaka mingi nyumba zetu zimefunguliwa ndoa zetu zimepona watoto wetu wamefunguliwa ? Usimuhukumu mtu iyo ni kazi yamungu
Wambie kina Tomaso walikuwepo yangu zamani hao na hawata Amini kamwe maana ndowalivyo💃💃
Asiwatishe watu waende wasinunue maji wala mafuta ya pale wachukue ya nyumbani kwao yaachiliwe upako na wataponywa nakufunguliwa
Nakukubar sana mtumishi wamungu
Acha vijembe Fanya kazi ya Mungu.hayo unayoyaongea unampa faida shetani,
Yaan askofu kakobe bila shaka huyu ka tumwa na mungu. Mimi ni wa kwanza kumkubali kakobe. Ningepata account yako hata shilingi elfu hamsini Tsh 50,000 nikutumie ya shukrani tu kwavile mahubiri yako inavyo nibariki. Sina kitu
Natoka south africa
Mweshimiwa kakobe toboa hayomataperi yanadanganya wale watu mazuzu hayajitambui angalao yachangamke yajuwe yanaibiwa kuliko kwenda kwa mataperi kama hao wanaojificha na mungu niheriuwende kwa waganga wanaetumia miti yamungu aliumba kuliko mataperi kama hayo yanapotesa wanainji mara yanatibu ukim mata wanaponya viwete marawanachonganisha watu kwa kusema watu niwachawi mala wanatoa uchawi waongo hao kakobe tobowa kabsaa usifiche unyanyasaidi kama huo
Wacha basi wivu,hubiri injili basi.Muhubiri YESU.Hata YESU aliambiwa anatoa pepo kwa belizebuli.Mwamposa hata bishana na wewe,yeye Ni mbele kwa mbele.Watu Mtwara wanapokea, Zanzibar nk.wanapona kupitia TV.
Wewe unayemwambia ivyo...unamjua au unamuona kwa picha...??? Nakupa shauli katubu.....acha Baba awapize waache utapeli...waganga wakienyeji wameingia makanisani.
Matayo 24:4,5 kwanini hamzingatii maonyo ya Yesu? Matayo 24:24 Hakuna Nabii Sasa hivi baada ya Muhammad. Matayo 7:22,23 ngojeni kukataliwa.
Ushirikina per se!
Baba askofu umekwama nyakati tulizonazo Mungu ameona kilio na mateso ya watu wake ameshuka kuwatoa kwenye mateso makuu
Huyu baba amekwama yeye si ndie alikuwa anakusanya cheni za dhahabu akiwaambia ni Mali ya bwana?sasa LEO anaongea nini?mimi nimeombewa na mwamposa nilikuwa mlevi sana na Leo nimeacha pombe kabisa.
Watu si wanapenda miujiza , acha waibiwe .
Aki naenda kusomea uchungaji maana ndo makolo walikoamia
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
Weweeeeee tulia tupokee miujiza haukujua naww enzi zako walivyokutukana
Nyani hajioni
Hata serikali iliingilia kati kakobe na tra
Tena huyu alivuka mipaka akawa anafanya watu kma misukule anawavalisha nguo nyekundu na nyeupe huyuuu baba alikuwa anafanya uchawi mpk watu wakaingilia kati ndio kufungwa kanisa alikuwa anawaingiza watu kwenye uchawi live
Utatamani ukimbie ndio ulipotezwa mazima🤣🤣
Umeishiwa maneno Mzee unatafuta kiki mmezidiwa
Ubiri neno na sio watumishi wenzio machafuko ni mengi Kuna kundi kubwa la wenye mahitaji wagonjwa makahaba majambazi tulishe chakula na sio wahubir
Kwa hivyo mchungaji anapokosea hapaswi kukosolewa si ndio?
Kwan hayo so mahubiri