ASKOFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #mwamposa #kakobe #diamondKatika ibada ya tarehe 2 /2/2020Askofu kakobe akemea vikali kwa baadhi ya mitume na manabii kutumia maji na mafuta aongea jana katika ibada

Комментарии • 1,3 тыс.

  • @ellyjoel9689
    @ellyjoel9689 2 года назад +6

    Ubarikiwe Mtumishi kwa ujumbe mzito aliye na sikio ayasikie hayo ambayo Roho ayambia makanisa

  • @AllyMasterKitali
    @AllyMasterKitali 13 дней назад

    Mwenyesi mungu akulinde nakubariki nakupe miaka mingi yakuishi kwa kweli hao managing nimataperi wakubwa wanausa maji udongo vitamba pia niwachonganishi wanapga bau chonganishi nakujifanya kudanganya watu wajifanye vipo wanapona awatakiwi

  • @alfredshungu3270
    @alfredshungu3270 3 года назад +2

    mmmh askofu kakobe hebu muhubiri Mungu tu hayo mambo ya Kusema watumishi wa Mungu hapana

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 27 дней назад

    Ulivumaga sana kakobe enzi hizooo mungu akuinue tena mtumishi wa mungu

  • @barakabiz8076
    @barakabiz8076 3 года назад +23

    Mtoto ambae mungu alimpa upako wa kuokoa watu duniani na mm nikiwa moja wapo kuokolewa mtume. mwamposa ama borodosa ni Powe ⚡⚡⚡⚡

    • @jasminsaid4142
      @jasminsaid4142 2 года назад

      Mwamposa alibarikiwa Toka tumboni kwa mama yake

    • @immaculatejohn9906
      @immaculatejohn9906 2 года назад

      Acha ujinga

    • @jenipherhenry209
      @jenipherhenry209 2 года назад +1

      But unatakiwa kujua tulipewa buree tunatoa buree but watumish wa Leo n after money

    • @lucasmabula8340
      @lucasmabula8340 2 года назад +2

      MATHAYO 7:21-23 kaisome na uielewe usifkiri kila mtumishi anayeponya katumwa na MUNGU, kama ni hivyo basi hata waganga wa kienyeji nao wametumwa na MUNGU. Tujifunzeni NENO mpendwa ili tuijue kweli nayo ituweke huru YOHANA 8:31-32
      Tusiwe watu wa kufuata ishara, maajabu na uponyaji hivyo hata ibilisi hufanya

    • @diwenagoodiani8087
      @diwenagoodiani8087 Год назад

      @@jasminsaid4142 una uhakika jihadharini na manabii was uongo

  • @laurencemwanga6441
    @laurencemwanga6441 Год назад

    Asante kwa kuona Hill. Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maiarifa, wanataka miujiza hawana haja na Mungu.

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 2 года назад +15

    Eeh Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine naomba Mungu unipe utulivu wa imani simwabudu Mwamposa naliabudu jina la Yesu Kristo

  • @IsackKenedy-d5u
    @IsackKenedy-d5u 25 минут назад

    Maombi nimsingi katika Imani hii ya Yesu kristo na toba itokayo kwake nani YESU

  • @nathaliamhule2081
    @nathaliamhule2081 2 года назад +15

    Tumwachie Mungu mwenyewe ,maana hii vita ni ya Mungu SI mwanadam yoyote

  • @margaritoraphael3805
    @margaritoraphael3805 2 года назад

    Wivu tu huo ..Kakobe mhubiri Kristo acha kuhubiri watumishi wa Mungu...Yupo atakae wahukumu na kuzichambua kazi zao

  • @halmaharuna6
    @halmaharuna6 3 года назад +8

    Aaah wee mwamposa noma alfu yeye ajiiti nabii mwaache aponye watu ata mim nimepona kweny madhabao ile maji mafuta saf tunatumia weka na ww maji mafuta mwamposa ❤❤❤mungu akupe umri mrefu mwamposa

    • @emmanuelchipanha6765
      @emmanuelchipanha6765 3 года назад

      Bibilia gani imesema mafuta yanaponya??,

    • @pamerakinabo3646
      @pamerakinabo3646 3 года назад +1

      @@emmanuelchipanha6765 kakobe we mbwaa tuu.mbonawewe ulikuwa unanyanganya watumishi wako cheni hereni za dhahabu.na kanisa lako ukifungua macho unakutana na majoka. Huna lolote wewe ndiyo tapeli mkubwa huna uponyaji wowote. Acga wivu mwamposa anaponyaaa na ha na utapeli kama wewe.

    • @jmsonlinetvmalya871
      @jmsonlinetvmalya871 3 года назад

      Yes mungu anatutendea kupitia mafuta na maji

    • @godfreywilliam9673
      @godfreywilliam9673 3 года назад

      @@emmanuelchipanha6765 lejea kwenye biblia

    • @abdullahhaji8779
      @abdullahhaji8779 3 года назад

      Ww muislamu au mkristo

  • @PromaxOG-h6v
    @PromaxOG-h6v Месяц назад

    mungu akupe neema ya kuifanya kazi yake

  • @nyawawawanyawawa935
    @nyawawawanyawawa935 3 года назад +5

    Mtaumbuana sana. Hivi mnaoneana wivu kwa kuzidiana Mbinu upigaji, balaa lingine Wafrika hujifanya wenye dini kuliko walioleta Dini hususani Wanawake

  • @JoachimMwananjela
    @JoachimMwananjela 9 дней назад

    Kakobe mungu.akubaliki.mno

  • @edwindaniel5832
    @edwindaniel5832 2 года назад +6

    Unavyo mfaahamu mungu kakobe ni kwa kadri mungu alivyo kujalia kumjua mungu Hana mwisho ufaamu wako ndio una mwisho mugu hufanya apendavyo sio wewe ufaamuvyo usimsengenye mtumishi na kama wewe ni mwema ulisha wai kumwita uka fanya nae mazungumzo toa Kwanza kibanzi jichoni kwako ndio uone boriti jichoni kwa mwenzio

  • @WilfredChomo
    @WilfredChomo 13 дней назад +1

    Je,wewe umetumwa na Mungu au umeamua kueleza mawazo yako.Thibitisha maneno yako kwa vifungu vya maandiko matakatifu.Amen.

    • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
      @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 5 дней назад

      Anachokiongea utaper huu unafanyika sana na kwa hapa Tz weng wameipata huko nje ni mamb mageni mengi yapo sana

  • @tinamzava834
    @tinamzava834 3 года назад +23

    Mwamposa kuinuliwa kwake na mungu ameponya maisha ya wengi sana muachen mtume

    • @glorybonifasi3704
      @glorybonifasi3704 3 года назад +2

      Hujaoka wewe anaponya watu wapi, Mungu akupe macho ya rohoni sisi tuliokoka tumeona anatumia uchawi

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 2 года назад

      @EPAFRA MWANSASU kwa halali sio njia ya mkato au ulimuona Yesu akitumia mafuta ya upako?

    • @winifridaagidy7733
      @winifridaagidy7733 2 года назад +1

      Msizungumzie mabaya juu ya watumishi wa mungu usitizame kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati wewe unaboliti

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 2 года назад +2

      @@winifridaagidy7733 Nabii wa uongo awatatoka kuzimu direct wako miongoni mwetu Yesu mwenyewe alisema utawajua kwa matendo...mafuta ya upako ni sign moja yao ya kuwatambua...

    • @Villagekidtz
      @Villagekidtz 2 года назад

      @@carolinederi5690 ndio. Alitumia tope kumponya kipofu au hujui biblia

  • @MichaelPaul-e9f
    @MichaelPaul-e9f 14 дней назад

    Hatar sana yesu yu karibu kurud

  • @matorahusseni936
    @matorahusseni936 3 года назад +22

    Laaillah ilallah Muhammad allasullullah kama unamwamin Allah usiache kulaik

  • @MarryMarcel
    @MarryMarcel 3 месяца назад +2

    Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 3 года назад +3

    Ushafuliaaa kakobe achaaa wenzio na wao wapige helaaa

    • @lestutaleo7220
      @lestutaleo7220 3 года назад +1

      Atulieee dawa ya mwaposa imwingie, kwa ss habar ya mjin Ni mwaposaaa

  • @felistawilliam6737
    @felistawilliam6737 2 года назад

    Nyiee mponden mwezenu Alafu Mungu anamuinua zaidi na said kila itwapo leo

  • @brendagunder1662
    @brendagunder1662 3 года назад +18

    Imeandikwa usimseme Mtumishi wa mungu vibaya...kila mtu na ufunuo wako nb dini safi niileinayompendeza Mungu😇

    • @khamismwalimu2681
      @khamismwalimu2681 3 года назад

      Hawa wote waongo wakubwa wanawaibia wenziwao

    • @livingstoneberege3348
      @livingstoneberege3348 2 года назад

      Imeandikwa kitabu gani? Je tuliache Karisa la BWANA YESU litumbukie shimoni //KWA TAARIFA YAKO ILE SIYO INJILI YA BWANA YESU //KATIKA KITABU CHA WA GALATIA PAULO ANASEMA NI INJILI YA NAMNA NYINGINE KISHA AKASEMA NA WALAANIWE (WAGALATIA 1:8-9

    • @claudiadismas4487
      @claudiadismas4487 2 года назад

      Nae kakobe anahistoria yake,alisemwa vibaya ila amesahau na kusema wengine

    • @helenmpali7137
      @helenmpali7137 Год назад

      Sasa hii ya mwamposa inampendeza Mungu kweli??

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 10 месяцев назад

    Mungu akubariki kwa huo ufunuo

  • @magrethpius8566
    @magrethpius8566 3 года назад +29

    Jamani kwa Mtumishi wa Mungu Mwamposa maji ni bure mafuta ni bure
    Mwamposa yuko na Mungu kabisa,mm namkubali tena na muelewa sana, kupitia Mwamposa familia yangu imeponywa,tena kupitia TV.Na wewe hubiri habari za Mungu acha uongo wa kusema vitu vya kutunga na kuchafua watumishi wa Mungu

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 2 года назад +2

    Mwamposa ni mtumishi wabwana,nakatumwa na Mungu kweli, mwambie Mungu atakuonyesha.mwamposa na huyo unaye mtaja tofauti, mwamposa ni Moto.

  • @prophethenrywenani169
    @prophethenrywenani169 2 года назад +4

    Very man of God yafaa tuombe mungu jamani maana siku zamwisho ndio hizo Sasa

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd 8 месяцев назад

    Appreciate you

  • @doricemtungi277
    @doricemtungi277 3 года назад +10

    Maji na mafuta yapo kwenye kumbukumbu la torati mbona ukikanyaga unakuwa na miguu ya shaba na leo nimekanyaga kwa mwamposa hatumuachi kamwe man of god mwamposa Asante kwa kutuponya

    • @mwalimunyemba6183
      @mwalimunyemba6183 3 года назад

      Oh pole kakobe umekwishs

    • @aidanmbilinyi8184
      @aidanmbilinyi8184 3 года назад +1

      Poleni san wenznu tunpikia samaki na tunkunywa mafuta na samaki endlen kufata miujiza mtajuta sana kakobe tapeli na huyo mwamposa ni wale wale tu

    • @samwelnyankena9873
      @samwelnyankena9873 3 года назад

      Mh kazi mnayo karbu sabato achanen na huo ujinga

    • @teresiamwita1788
      @teresiamwita1788 3 года назад

      Mmetuibia......Sasa hv Mmezidiana mnapigana madongo nyie mtakuwa kuni

    • @naomibuchanga9047
      @naomibuchanga9047 2 года назад

      Yaan mm kwa shda nilizokuwa nazo hanishawishi kakobe bas na iwe hvyo

  • @LylianeBauma
    @LylianeBauma Месяц назад

    Amen injili yaukweli kabisa wasiokuelewa ni Wengi ila mimi nimekuelewa

  • @johnmushi9766
    @johnmushi9766 3 года назад +18

    Mi kweli mckilizaji tyuu c mwongelei mtu kwa ubaya wala mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @anganilekajigilikajigili2641
      @anganilekajigilikajigili2641 3 года назад

      Uko upande gani kukemea ama kuacha ubovu unaendelea maana Mungu ukimfwata kiroho na kweli njia zake ziko wazi😀😆

    • @christinaamosisakiluamosis2835
      @christinaamosisakiluamosis2835 Год назад

      Mungu nisaidie nifundishe kunyamaza nisinene neno lolote baya juu ya watumishi wa Mungu maana neno linasema usihikumu usije kuhukumiwa sina mamlaka ya kuwanenea watumishi vibaya Mungu ndiye anawajua wa lio wake

  • @chachamwita9987
    @chachamwita9987 4 дня назад

    Mie Naona kakobe ungemuacha Mwamposa nae Atangaze neno lamungu
    Wakati weweenzihizo hakukuinglia Mahubiri yako Acha mtumishi mwamposa Anenenolamungu

  • @danielmchome1506
    @danielmchome1506 3 года назад +11

    Wewe nimtumishi wa Mungu nafikiri hata wewe ulisemwa vibaya ulikatiswa tamaa,Pima unacho kiongea,kwanza usije ukawasema wenzako vibaya,kwa sababu Mtumishi wa Mungu hawezi hubiri neno LA Mungu akaponya kwa jina LA yesu afu tukasema nishetan ,Mungu sio mwanadamu,anatenda kama anavyo ona

  • @NoeliMwita
    @NoeliMwita 11 месяцев назад

    Kakobe mtumishi wa Mungu kwelikweli kina mwamposa waganga tu

  • @teklahyela4576
    @teklahyela4576 2 года назад +5

    Mungu ndo hakimu wa wote Amina

  • @sheilamtate7079
    @sheilamtate7079 2 года назад +1

    Ww kakobee jamani muache mtumish mwamposaa usimhukumu ,

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 3 года назад +13

    Tangu mwaka 208 natembelea magongo nimepona mwaka 2018 sinaulemavu tena Arise and shines kiboko yao Mwamposa Mungu akulinde na akutie nguvu pambana mpaka kieleweke shetani ataisoma namba

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 3 года назад +1

      bora hata umeongea, hawa kaz yao ni kukandiana tu, pkea uponyaj tembea, BWANA atukuzwe sanaa

    • @marwamwita7673
      @marwamwita7673 3 года назад +1

      👍 Mwamposa ni MTUME wa Mungu ametusaidia wenge na anahekima sana huwa apendi kuwasema vibaya watumishi wenzake na ametufundisha sisi pia tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya. KAKOBE MUNGU AKUPE HEKIMA NA UPAKO WA KUFICHA.

    • @charlesmakulumo233
      @charlesmakulumo233 3 года назад +1

      Acha utapeli na ww au mwamposa Ni hawala yako?

    • @tymchanneltv1143
      @tymchanneltv1143 3 года назад

      Mafuta ndio yenye kufanya kazi ila sio mwamposa, kwasababu mafuta hayapatani na uchawi pamoja na majini na yanatengenezwa na kuuzwa duniani kote.
      Kama ukilogwa mafuta yanatoa uchawi.
      Ni utapeli na pesa wanaitafuta na wanailamba.
      Muislamu akienda kwa mwamposa hakuna tofauti na akienda kwa mganga kote huko Ni Haramu. Na Ni shirki,

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 3 года назад +1

      @@tymchanneltv1143 sio kila mafuta, mafuta yanayotoa uchawi na majini ni yalioombewa kwa JINA LA YESU KRISTO, vingine kama hayajaombewa kwa jina la BWANA WA MAJESHI, hayawez kufanya kaz, na ndo maana pia kuna mafuta ya kichawi, mafuta ya kifreemason

  • @rehemajuma4301
    @rehemajuma4301 Год назад

    Ikiwa mwamposa anatumia ushirikina kuponya basi ushirikina wake ni kiboko 💪ndio ninaouhitaji wengine ni feki.
    Mtume Mwamposa Mungu AKUPE umri mrefu kwa maana huchagui dini Wala kabila.mungu U pamoja nawe✌️

  • @sophiapeter4308
    @sophiapeter4308 3 года назад +4

    Hubir Neno la Mungu acha kumponda mwenzako

  • @SaraKalinga-i6v
    @SaraKalinga-i6v 3 месяца назад

    Mwachen mtumishi hubili neno

  • @salomeshila3671
    @salomeshila3671 3 года назад +4

    Kakobe umechanganyikiwa kweli acha wenzako wamuhubiri kristo kamq wewe umeshindwa jua kila nabii anaufunuo wake mungu aliempa kwahiyo wewe unaufunuo wako na mwenzako nae kapewa kivyake acha hivyo

    • @rosehaule220
      @rosehaule220 2 года назад

      Yy mwenyewe alifanya hayo nyuma je tusadiki.kwamba na yy alikuwa akipelekewa taharifa tuamini.miujiza hipi mmmmh

  • @MarryMwimba
    @MarryMwimba 24 дня назад

    Kila Mtu afe na njaa yake.msimamie Mungu😊

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 3 года назад +3

    Uko sahihi sana Kakobe, Mtukuze Mungu aliyekutoa huko hata ww ila hapo kwenye chanjo umerudi ahela moja kwa moja

  • @AnabAbdallah-ii7ou
    @AnabAbdallah-ii7ou 6 месяцев назад

    Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini

  • @paulmallya9573
    @paulmallya9573 2 года назад +3

    Kakobe umekosa cha kufanya. Mwache Mwamposa, mbona ilijulikana kuwa ulikuwa unafuga majoka ndani na huzungumzii Hilo. Mwamposa shine and rising Amen

    • @PromaxOG-h6v
      @PromaxOG-h6v Месяц назад

      utapotea wewe shauli yako

    • @SimonAkyoo
      @SimonAkyoo 5 дней назад

      Mungu ananjia nyingi za kuponya watu wake,tatzo watu wanatafta miujza awataki neno la uzima

  • @ConfusedChicken-ze9fz
    @ConfusedChicken-ze9fz 25 дней назад

    Mwamposa ni mtumishi wa Mungu kweli maana hata mimi mwenyewe nina shuhuda nyingi kupitia madhabahu ya Arise and shine kwa Mwamposa ndugu yangu aliye nifuatia amepona Hiv na kichaa sasa ni zaidi ya miaka saba emeshapita na kama miujiza inayofanyika kwa Mwamposa nibandia basi yale maradhi ukimwi na kichaa yangerudi tena, mimi naomba watumishi wa Mungu wasiwaingize washirika wao kwenye laana ya kuwanena watumishi Mungu vibaya kwa sababu yao hasi

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 3 года назад +6

    Asiye mpenda Mwamposa asage Chupa abwiye mtasema Sana mindonimesha pona ahaaa

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 года назад

      Kwan kupona ndio nini Kwan hata Kwa mganga wa kienyeji SI unapona sisi hatuhoji kupona sisi tunahoji njia anazotumia kukuponesha je ni za mungu kweli au laaa?

  • @MchungajikiwiaW.F.C
    @MchungajikiwiaW.F.C 9 месяцев назад

    Baba ubarikiwe uishi milele

  • @nivermwangajile4357
    @nivermwangajile4357 3 года назад +3

    Angalia sana mzee simama na imani yako

  • @safinkeyemba2174
    @safinkeyemba2174 Год назад +1

    Asante baba askofu kakobe kwakutufumbua macho naroho lakini Kwa MTUMISHI wamungu mwamposa sio hivo kwani TUNAPOKEA UPONYAJI tukiwa mbali sana nahatumjui nahatujui .maji anatuambia tutumie yanyumbani namafuta yanyumbani ukweli ndio huo

    • @eliasjonas3561
      @eliasjonas3561 4 месяца назад

      Hawajui tu ni wivu wao acha tuendelee kupokea tupo nyumbani

  • @rehemadaudi742
    @rehemadaudi742 3 года назад +14

    Pole kwenu msioongozwa na roho mtasikia mengi,

  • @biggboss8644
    @biggboss8644 2 месяца назад

    Hapo ume chemsha mwamposa ni moto

  • @nancymorenje3880
    @nancymorenje3880 3 года назад +14

    Amesahau alikuwa nakusanya pete za watu za ndoa. Ndoa za watu wengi zimevunjika. Mungu hajakutuma uhukumu, we chapa injili utaeleweka

    • @unjushekimweri6787
      @unjushekimweri6787 3 года назад

      Kakobe alikiri mbele za watu

    • @amirikoshuma3039
      @amirikoshuma3039 3 года назад

      Na mwamposa akiri alihusika kwenye ajali ya kukanyagana kisa mafuta

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 года назад +1

      Waliodanganywa ndio wajinga

    • @oscarphilip2428
      @oscarphilip2428 3 года назад

      Injili ni pamoja na hicho anachokifanya, kuwahubiria watu waijue kweli.

    • @nancymorenje3880
      @nancymorenje3880 3 года назад +2

      @@oscarphilip2428 Nikweli kabisa Oscar, kinacho tusikitisha ni pale Mtumishi wa Mungu unaposimama kwenye Madhabahu na kumsema Mtumishi mwenzie. Kama vile yeye ni kipimo cha haki, wanasahau haki ni ya Mungu. Ukiamini na kuona Mwenzio anakosea mfuate kwa upendo umwambie kile unachokiona hakikosawa kwako na si kwake.

  • @AdamLuoga
    @AdamLuoga 2 месяца назад

    Ninyi mnao sema mwamposa ni mtumishi wa Mungu imekufa kwenu mwamposa ni nguvu za ziada Toka malango ya kuzimu

  • @ynyynyyny
    @ynyynyyny 2 года назад +10

    Baba yangu kakobe Nakupenda lakini kwa mwamposa hafanyi biashara, bei ya maji ni Ile Ile ya kawaida na viwete wanatembea vipofu wanaona,kifupi tunafunguliwa sana sana

    • @markonjoregwa261
      @markonjoregwa261 10 месяцев назад

      Nakupa pole

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 3 месяца назад

      acha uongo ww. Viwete na vipofu bado wapo wengi sana mitaani na mikoani. wale ni vipofu na viwete wa kutengenezwa sio wa ukweli ukweli. yule ni muongo anawatapeli na kuwadanganya watu wajinga wajinga waso jitambua.

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 3 месяца назад

      ​@@markonjoregwa261kabisa hakika. tena pole haswaaa. tuna haki ya kumshukuru sana mola wetu kua Waislamu alhamdulilah kwa neema hii ya Uislamu.

    • @ynyynyyny
      @ynyynyyny 3 месяца назад

      Asiyejua maana haambiwi maana

    • @davismnkeni7862
      @davismnkeni7862 27 дней назад

      Huwezi kupona kama hauna imani

  • @mwelumanguli8714
    @mwelumanguli8714 2 года назад

    Wewe mwenyewe ujihoji kwanza kabla hujamnyoshea kidole😂😂

  • @geraldlutamigwa7556
    @geraldlutamigwa7556 3 года назад +34

    Mbona manabii wote mko dar tu? Hamkai vijijin

  • @DanyKABONGO-l9c
    @DanyKABONGO-l9c 6 месяцев назад

    Mungu ni mwema

  • @halmaharuna6
    @halmaharuna6 3 года назад +3

    Yeye aigize ni kwel kabisaaa mwamposa anaponya

    • @tifababynchimbi8454
      @tifababynchimbi8454 3 года назад +2

      Anayeponya Mungu peke yake

    • @asmahassan1044
      @asmahassan1044 3 года назад

      Karibun kwa waislam hakuna makuu leo nabii huyu kesho huyu.😄😄😄😄😄😄

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 3 года назад +1

    Karibuni sana ROMAN KATOLIKI. Huku maji ya baraka ni Bure kabisaa.

  • @ernestkipenya4238
    @ernestkipenya4238 3 года назад +6

    Mungu akusamehe bure ewe KAKOBE kumsema vibaya mtumishi mwenzio sio jambo jema hata kidogo. Napenda kukutia moyo ewe mtumishi wa Mungu Bulldozer Mwamposa kuwa hata Yesu alitukanwa na kudharauliwa sembuse wewe'! Tuko nyuma yako piga kazi, Mungu yu pamoja nawe, kwani yeye ndiye anajua alikuleta hapa kwa makusudi gani.

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 2 года назад

      Kwa nini watu awajiulizi wale walio tutanglia kuokoka awatumii mafuta wala maji wala awamiliki magari wala mali kwa nini hawa watumishi wa 20century wapita wazee wao kiinjil kwani theolojia ya bible si moja au nini?....

    • @immaculatejohn9906
      @immaculatejohn9906 2 года назад

      @DOMKY INFO yaan hawa watu wamefungwa fahamu cjui wamelogwa dah

    • @verenavedasto7385
      @verenavedasto7385 Год назад

      Kumbe wachungaji ampendani mungu akusamehe kabisa soma Bible vizuri utaona mafundisho ya mafuta na maji

  • @ernestngowi995
    @ernestngowi995 Год назад

    Mwamposa anaweza , mwacheni,,

  • @gracejulius23
    @gracejulius23 3 года назад +11

    Watu tumepona kupitia madhabahu hiyo ya mwamposa ambayo wewe unaona ni uganga Ila tumepona kupitia jina la Yesu kristo aliyehi wa madhabahu ya inuka uangaze au sema SHINE AND ARISE

    • @meryngugi7392
      @meryngugi7392 3 года назад

      Amen

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 года назад +1

      Kwan mtu ukienda Kwa mganga ndio hauponi. Huyo mwamposa mganga kama waganga wengine wa kienyeji sema kajificha kwenye mwanvuli wa din

    • @ZuhuraMwanafuno
      @ZuhuraMwanafuno 4 месяца назад

      Mganga mlimpa nyie tunguli mwacheni mwamposa wawatu

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 2 месяца назад +1

      Wewe hujui maandiko anachosema Askofu Kakobe hakuna Injili ya Maji Kuna Injili ya Wokovu kwa damu ya Yesu: Maandiko yanasema siku ya mwisho watakuja manabii wa uongo nao watapotosha wengi wewe utakuwa mmoja wao Yesu alisema kipofu akiongoza kipofu mwenzake wote watatunbukia shimoni"

  • @JanetMwaijumba
    @JanetMwaijumba 3 месяца назад

    Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee

  • @kelvinmapunda2589
    @kelvinmapunda2589 2 года назад +11

    Mwamposa anatibu kwa kukwambia muamini Mungu utaponywa kwa damu ya yesu tatzo lipo wapi ni maji tu au Kuna mengine?.

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 2 года назад

      Kama siyo tatizo chukua mafuta nyumbani kwamko yatamkie hivyo na umuamin MUNGU Anaishi hakika pia yata fanya kazii kikubwa kinachotakiwa watumishii watangaze injiliii kisawa sawa Tuache dhambi tyuvae silaha za MUNGU Tupate kuzishinda hila za Shetani .TUWEZE KUVIOMBEA WENYEWEEEEE AYOMAVITYUU UWAyanatokea waaapii

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 2 года назад

      Tukuwe kirohoo zambi tuacheee

  • @tinajj4881
    @tinajj4881 2 года назад +1

    Haaaaaaaaa utajibeba achanana mwamposa wewe sio level zako hizo 👌👌

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj5407 3 года назад +12

    Huyu naye akae kwa kutulia wakat yeye alkua anawaambia watu watoe dhahabu zao wakiingia kwenye kanisani lake apo mwenge atuache na MWAMPOSA wetu anatusaidia sana aacha uongo maji gan yanauzwa kwa laki du baba umetisha.hubir neno la Mungu acha kumsakama mwenzio

    • @shalompeter5983
      @shalompeter5983 2 года назад

      Wanafanya biashara ya maji cyo kumuhubir krsto

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 года назад +2

    Kwakwel maji hpn.💃💃💃💃yesu anatosha

    • @gracengonde8553
      @gracengonde8553 3 года назад

      Huyu sialiweka pesa za watu mpaka Jana zikajaa

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 3 года назад

      mtakufa kaeni hvohvo, ndo maana mnakung'utwa na nguvu za giza, watu wa giza wenyewe wanatumia maji na mafuta yao ya kichawi, vp kuhusu sisi WANA WA MUNGU(BENEHA ELOHIM), je sisi sinzaidi ya wao, watu wa giza wameyaiga kwetu, lkn sisi watu wa YESU ndo tnajiganya ooh YESU anatosha, ni sawa YESU anatosha, lkn maandiko yanasema imani bila matendo imekufa nafsini mwako, unasemaje unamwamininYESU KRISTO, halaf hyo imani yako huionyesh kwake, unapomwamin YESU anza kuamini na vifaa vyake vitakatifu, maji, mafuta, udongo, chumv, vitambaa, nguo, maandiko yenyewe yameweka waz kuhusu hv vtu, mitume walitumia nguo kuponya watu, wakatumia na mafuta kuwapaka watu baada ya kuwaponya, kwann sisi ndo tunajifany hatutak, KRISTO YESU mwenyewe anasema ROHO WA BWANA yuko juu yangu kwa sabab amenipaka mafuta, sasa sisi ndo tunajifanya hatutak kutumia, ndo maana mnagandamizwa na nguvu za giza kwa sabab ya ubish

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 3 года назад +3

    HONGERA BABA NYUMBA YAKO PALE BARABARANI NI NZURI SANA MZEE.YESU ATAONDOKA NA WACHACHE

  • @NadiaEmmanuel-p3u
    @NadiaEmmanuel-p3u 10 месяцев назад

    Watu wanacha unganga,wanapona magonjwa na wanamuona Mungu wa kweli,jaman mwamposa Amin katika Maj na mafuta ila amepewa ufunuo kwavyo,kama nabii Musa alivopewa nguvu kupitia fimbo.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 3 года назад +5

    Watumishi wa mungu mmefika pabaya.kila siku kusemana.mnamwabisha Kristo.wanawashinda hata wanasiasa.jaribuni kukaa pamoja,mmtukuze mungu

  • @gloryrestorationministrygr6374
    @gloryrestorationministrygr6374 2 года назад

    Nani anakumbika saa ya maajabu kwahiyo baada ya saa ya maajabu sasa mzee wetu katulia mwamposa msikilize mzee kakobe alikutangulia kwenye izo izo ishu kwahiuo kakobe akiongea kitu inabidi muelewe. Mimi sasa hivi namwamini kakobe sio yuye wa saa ya maajabu huyu sasa ndo halisi big up baba

  • @prophetmusasimon9281
    @prophetmusasimon9281 3 года назад +4

    Ww mzeee umechanyikiwa fanya kazi zako unamaliza vibaya mzee

    • @omarally7991
      @omarally7991 3 года назад +1

      Huyu mzee kasema kweli na pia hakuna una bii ni wizi tu

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 года назад

      We nabii uchwara kaa kimya,imekuchoma eeeeh!!

    • @erastochavala3073
      @erastochavala3073 3 года назад

      Kakobe,acha siasa,uchungaji umekushinda, busara ni kukaa kimya,mbona wewe ulishawanyang'anya waumini wako dhahabu mbona watu hawasemi.Ss tunamwelewa sana mwamposa,tena kaa kimyaaa

    • @jeniphadenichhh3615
      @jeniphadenichhh3615 3 года назад

      Huna lolote acha kusema wenzio!

  • @lucykullaya1281
    @lucykullaya1281 3 года назад +8

    Paulo mtume wa NYAKATI hizi,,,,,, am so proud you BISHOP

  • @johansenghanyb
    @johansenghanyb 13 дней назад

    Fanya lako mzee mwache mwamposa hubiri injili acha kusema ya watu

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 3 года назад +10

    Ona.. ona.. akiona kibanzi kwenye jicho la mwenziwe anasahau kutoa boriti kwenye jicho lake

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 2 года назад +2

    Ubarikiwe lakini tunamshuru Mungu watu wanaponywa anapolitaja jina la Yesu tumtie. moyo anaponya roho za watu.wa Mungu tumuombee. mtumishi Mwamposa anafanya kazi ya Mungu imeandikwa usihukumu usije.ukahukumiwa Amen

  • @mathamwambuluma8848
    @mathamwambuluma8848 3 года назад +29

    Timu mwamposa tuonane apa

  • @schollastickamathanacki6062
    @schollastickamathanacki6062 2 года назад +2

    Yesu lisaidie kanisa lako
    Mimi naogopa Sana hakika ni nyakat za mwisho watu wengi wameikimbia kweli 😭😭😭wametimukia huko kwenye mafuta

    • @janemagogo5219
      @janemagogo5219 2 года назад

      Angalia neno linasemaje kwenye Biblia mengineyo tumwachie yeye Mungu aonaye motor hata viuno.

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 2 года назад +12

    usimpige vita Mwamposa.Injili ni ileile ila Mungu anatoa ufunuo na kumgawia mtu karama vile apendavyo

    • @esterkyando4275
      @esterkyando4275 2 года назад

      Mwache mwaposa mbona wewe ulichuwa dhahabu zawatu

    • @shalomsichone6728
      @shalomsichone6728 Год назад

      Nisiku za mwisho wengi wataacha kweli na kufwata tamaa zao wenyewe

  • @creptonbalali9131
    @creptonbalali9131 Год назад

    Baba ahsante sanaaa huu ni ukweli mtupu wanaopinga ndo walewale

  • @Pihansmo
    @Pihansmo 3 года назад +12

    Mwamposa uko sahihi. Tangu lini mganga akaagiza matembele🤣🤣😂🤣

  • @mecklinmalawandu186
    @mecklinmalawandu186 2 года назад

    Baba askofu tuna kuheshimu wafundishe waumini wako neno la nungu acha majungu kanisani,tumia kipawa chako ulicho pewa na mungu,sio kuwajaza chuki kondoo wako kwa watumishi wengine wa mungu,fanya yako baba,kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад +11

    Kwa ujumbe huu mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama Redeemed Gospel church binafsi nimekuelewa sana sana sana sana....huo ndio uongo wa shetani ameuingiza kanisani. Wateule tuamke!

    • @saramungumwemakweliametend5089
      @saramungumwemakweliametend5089 3 года назад +2

      Wewe ndo umesema kiekima Kaka laiki zingine duhu

    • @neemakigala3578
      @neemakigala3578 2 года назад

      Kasome wakorinto wa kwanza ukaone jinsi Mungu anavyogawa karama but roho atendae niyuleyuleee...kuwa mtoto wa bishop sio kumjua Mungu...imani na kiyajua maandiko ndio siri ya kupokea nguvu za Mungu....tuwaheshimu watumishi wa Mungu...sio sisi tulowatumaa

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 2 года назад

      @@neemakigala3578 karama ya kuvaa barakoa na kuogopa corona? Maana mwanajeshi huyu anakimbia adui corona akiungana mkono na watu wa dunia kukimbia.....haya nguvu yake ilikua kwenye barakoa? By the way nahisi umeshaambiwa tayari na wale waliomwambia yeye kua barakoa ni deal leo wamebadili msimamo wamemwambia tena najua barakoa sio issue...je ni Mungu alisema naye juu ya barakoa kuvaa au kutovaa? Je Mungu wake anabahatisha kama wanadamu? Hapana kitu hapo, karama ya barakoa sitaielewa bora askofu gwajima alivyosimama na kiukweli aliishinda corona, hofu na mauti kwa jina la aliye juu sio kwa barakoa. Bye

    • @lucasmabula8340
      @lucasmabula8340 2 года назад

      @@neemakigala3578 unafikiri kila mtumishi ni mtumishi wa MUNGU kasome kitabu cha MATHAYO 7:21-23 utaona jinsi gani YESU anatoa tahadhari anasema anavyotoa tahadhari, usifikiri kuwa Kila alitajae jina la YESU ni mtumishi wa MUNGU la hasha wengine no mawakala wa shetani

    • @yuventmpiru7738
      @yuventmpiru7738 Год назад

      Mtoto wa kuzaa au nawe umeshajisahau kusema mtoto wa Yesu Kristo

  • @endrualay6797
    @endrualay6797 2 года назад +2

    Kakobe hiyo siyo kazi yako acha magugu na ngano vikuwe pamoja mwenye kazi hiyo anafahamu lakuanya

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 Год назад

      Kabisa ndugu sio kazi yake atulie hata yy wanamsema hivyo hivyo.

  • @graceifuja4331
    @graceifuja4331 4 года назад +15

    Amen,kkwel ya Mungu iwaweke huru

  • @WilfredChomo
    @WilfredChomo 13 дней назад +1

    Askofu Kakobe,soma vizuri biblia Ili uwe na maneno sahihi ya kuwaambia watu.

  • @ericbadu3726
    @ericbadu3726 3 года назад +12

    Ndugu, tatizo la kuweka imani katika vitu vingine badala ya Yesu Messia. Yesu alisema tumuabudu Baba katika kweli na Roho. Ukiongozwa na Roho Mtakatifu hakuna binadamu atakaye kudanganya. Kama ni watu kupona, inatokea lakini sio kila mtu anaepona. Yesu ndiye mponyaji na anajua kwanini anaruhusu wengine wapone na wengine wasipone. Yesu mwenyewe hakumponya kila mtu alivyokuwa anafanya kazi yake duniani. Ila aliweka njia ya binadamu wote kupona na hukumu ya moto wa jehanamu kwa kutoa uhai wake. Kikubwa tuikubali hii neema tuliyopewa na tuache haya malumbano ya pembene.

  • @rahmbanzi620
    @rahmbanzi620 2 года назад +3

    Mungu akubariki kwa mafundisho lakn mafuta ya mwamposa ni mafuta ya kawaida kabisa na maji ya kawaida kabisa Kama hayo ya nyumbn kwako kikubwa ni ile nguvu ya upako iliyoachiliwa ndani ya mafuta na maji alaf Nina swali kwako mbona tumepona ? Mbona tumefunguliwa vifungo vilivo tutesa kwa miaka mingi nyumba zetu zimefunguliwa ndoa zetu zimepona watoto wetu wamefunguliwa ? Usimuhukumu mtu iyo ni kazi yamungu

    • @محمدالقايد-د6ب
      @محمدالقايد-د6ب 2 года назад

      Wambie kina Tomaso walikuwepo yangu zamani hao na hawata Amini kamwe maana ndowalivyo💃💃

    • @zahirinashoo8813
      @zahirinashoo8813 2 года назад

      Asiwatishe watu waende wasinunue maji wala mafuta ya pale wachukue ya nyumbani kwao yaachiliwe upako na wataponywa nakufunguliwa

  • @priscamdindile3679
    @priscamdindile3679 3 года назад +3

    Nakukubar sana mtumishi wamungu

  • @peteralbert5636
    @peteralbert5636 2 года назад

    Acha vijembe Fanya kazi ya Mungu.hayo unayoyaongea unampa faida shetani,

  • @albert3359
    @albert3359 4 года назад +8

    Yaan askofu kakobe bila shaka huyu ka tumwa na mungu. Mimi ni wa kwanza kumkubali kakobe. Ningepata account yako hata shilingi elfu hamsini Tsh 50,000 nikutumie ya shukrani tu kwavile mahubiri yako inavyo nibariki. Sina kitu
    Natoka south africa

  • @AllyMasterKitali
    @AllyMasterKitali 13 дней назад

    Mweshimiwa kakobe toboa hayomataperi yanadanganya wale watu mazuzu hayajitambui angalao yachangamke yajuwe yanaibiwa kuliko kwenda kwa mataperi kama hao wanaojificha na mungu niheriuwende kwa waganga wanaetumia miti yamungu aliumba kuliko mataperi kama hayo yanapotesa wanainji mara yanatibu ukim mata wanaponya viwete marawanachonganisha watu kwa kusema watu niwachawi mala wanatoa uchawi waongo hao kakobe tobowa kabsaa usifiche unyanyasaidi kama huo

  • @charlesphiliph528
    @charlesphiliph528 3 года назад +13

    Wacha basi wivu,hubiri injili basi.Muhubiri YESU.Hata YESU aliambiwa anatoa pepo kwa belizebuli.Mwamposa hata bishana na wewe,yeye Ni mbele kwa mbele.Watu Mtwara wanapokea, Zanzibar nk.wanapona kupitia TV.

    • @robinahumphrey9725
      @robinahumphrey9725 3 года назад +1

      Wewe unayemwambia ivyo...unamjua au unamuona kwa picha...??? Nakupa shauli katubu.....acha Baba awapize waache utapeli...waganga wakienyeji wameingia makanisani.

    • @khalfanifarisy119
      @khalfanifarisy119 3 года назад

      Matayo 24:4,5 kwanini hamzingatii maonyo ya Yesu? Matayo 24:24 Hakuna Nabii Sasa hivi baada ya Muhammad. Matayo 7:22,23 ngojeni kukataliwa.

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 12 дней назад

      Ushirikina per se!

  • @ibrahimhemedy7134
    @ibrahimhemedy7134 2 года назад

    Baba askofu umekwama nyakati tulizonazo Mungu ameona kilio na mateso ya watu wake ameshuka kuwatoa kwenye mateso makuu

    • @StellaRupia
      @StellaRupia Год назад

      Huyu baba amekwama yeye si ndie alikuwa anakusanya cheni za dhahabu akiwaambia ni Mali ya bwana?sasa LEO anaongea nini?mimi nimeombewa na mwamposa nilikuwa mlevi sana na Leo nimeacha pombe kabisa.

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 3 года назад +11

    Watu si wanapenda miujiza , acha waibiwe .

    • @Moon-rp5tm
      @Moon-rp5tm 3 года назад

      Aki naenda kusomea uchungaji maana ndo makolo walikoamia

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 9 месяцев назад

    MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae

  • @graceshikulu4139
    @graceshikulu4139 3 года назад +13

    Weweeeeee tulia tupokee miujiza haukujua naww enzi zako walivyokutukana

    • @محمدالقايد-د6ب
      @محمدالقايد-د6ب 3 года назад

      Nyani hajioni

    • @floraamani4196
      @floraamani4196 3 года назад

      Hata serikali iliingilia kati kakobe na tra

    • @aysherkitoi6547
      @aysherkitoi6547 3 года назад

      Tena huyu alivuka mipaka akawa anafanya watu kma misukule anawavalisha nguo nyekundu na nyeupe huyuuu baba alikuwa anafanya uchawi mpk watu wakaingilia kati ndio kufungwa kanisa alikuwa anawaingiza watu kwenye uchawi live

    • @anganilekajigilikajigili2641
      @anganilekajigilikajigili2641 3 года назад

      Utatamani ukimbie ndio ulipotezwa mazima🤣🤣

  • @angelajoseph3940
    @angelajoseph3940 2 года назад

    Umeishiwa maneno Mzee unatafuta kiki mmezidiwa

  • @witnessombetu670
    @witnessombetu670 3 года назад +9

    Ubiri neno na sio watumishi wenzio machafuko ni mengi Kuna kundi kubwa la wenye mahitaji wagonjwa makahaba majambazi tulishe chakula na sio wahubir