DEO SUKAMBI AFICHUA WANANDOA KUISHI MIAKA MINGI BILA TENDO -"WANAWAKE WAMEGEUKA WANAUME" | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 40

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +2

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Год назад +6

    sukambi yupo vizuri kwa kweli somo zuri sana!!

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 10 месяцев назад +1

    Ongereeni sana sana mnaongelea maisha ya watu wengi,lakini ongeeni kiswahili sahihi acheni kizungu,mbona mchungaji EZEKIEL wa kenya anaongea kiswahili tu,!!

  • @happychildren7003
    @happychildren7003 11 месяцев назад +3

    Na ndo mana uislam unamtaka mwanamke kukaa nyumbani na mwanaume amhangaikie kwa kila kitu

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 11 месяцев назад

    Pastor Deo umejibu vema issue ya Lesbians. I agree with you 💯 %

  • @neemajacob6407
    @neemajacob6407 Год назад +2

    Wasn't boring for me. Nimejifunza

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

    Nimependa hapo mwisho, ni kweli sio Mungu ndo anawajibu ....

  • @nsiadawson7633
    @nsiadawson7633 11 месяцев назад

    Nimejifunza kitu 👏👏👏

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 11 месяцев назад

    Mungu anajibu kila mtu 🎉🎉

  • @MamaNabii
    @MamaNabii 11 месяцев назад

    Asante kwa mafundisho nimesaidika🎉🎉🎉

  • @ANGELBYAMUNGU
    @ANGELBYAMUNGU 5 месяцев назад

    Shikamoo Mr DEO

  • @SM-xt2yi
    @SM-xt2yi Год назад +1

    Jamani tunaomba mpunguze au mtoe hiyo background sound/music. Binafsi napata shida kusikiliza kinachosemwa.

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Год назад +2

    Ametalk sense kabisa

  • @UpendojohnTango
    @UpendojohnTango Год назад +1

    Mbarikiwe sana watumish

  • @hamidamussa593
    @hamidamussa593 11 месяцев назад

    Golden voice # Lilian Mwasha💪

  • @ANGELBYAMUNGU
    @ANGELBYAMUNGU 5 месяцев назад

    Umeniona mm

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 11 месяцев назад +5

    😮uko kunena kwaa lilian ndo kunaniachaga hoi😅😅😅😅😅

    • @preciouspeter6126
      @preciouspeter6126 11 месяцев назад

      Mungu anisamehe ila huwa naona km ni kitu tu ambacho amekizoea😂, sio kunena kwa maana ya kunena kweli

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 11 месяцев назад

      Nakwambia cjui anajua na maana yake😅

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 11 месяцев назад

    THAT'S Deo Sukambi...

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki 8 месяцев назад

    Sijui huujumbe utaupataje.mshirikiane kujenga hili

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Год назад +3

    JAMANI TULIKI MISS SANA KIPINDI. NEXT TIME MLETE CHRIS MAUKI

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Год назад

    Bila Dr. Elie kwa kweli hapanogi

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 11 месяцев назад +2

    Kama naona ishu ya mke wa masanja na katibu yanahadiliwa kinamna!!😊

    • @imanimwakinga4934
      @imanimwakinga4934 11 месяцев назад

      Ulikuwepo?? Au nawewe unadakia uliyoyakuta mitandaoni?? 😂😂😂😂😂 Kwanini hamuwezagi kusikiliza Tu kipindi bila kuwaza watu na maisha yao mazuri wewe huna hata mia 😂😂😂😂😂.

  • @michaelmgege4600
    @michaelmgege4600 11 месяцев назад

    Doctor mwaka next time

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 11 месяцев назад

    Ukiachia hao akina dada je nani anafikiri jana dhambi na anastahili kujibiwa na Mungu, Mungu habagui mtu

  • @neponova8988
    @neponova8988 11 месяцев назад

    Positive content🔥🔥🔥

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 11 месяцев назад

    Sukambi yupo vizuri sana lakini tumemmiss Dr Ellie utuletee jamani

  • @njeyaduniatv
    @njeyaduniatv 11 месяцев назад +2

    HUYU DADA ANAPENDA MAPENZI😂😂😂😂

  • @RogatheJosiah
    @RogatheJosiah 10 месяцев назад

    Wanaumiza sana sitaki hata kuwa sikia uchungu nilionao munguvanajua

  • @yusraramadhan8203
    @yusraramadhan8203 Год назад

  • @WinfridaNdege
    @WinfridaNdege 11 месяцев назад +5

    kweli mnajiita watumishi wa Mungu alafu mnashangaa Mungu kujibu maombi ya ma lesbian? Mbona hamshangai Mungu kujibu maombi yetu sisi waongo, wazinzi, walevi , mafisadi n.k !! Mungu huwanyeshea mvua wema na waovu, Mungu anachukia DHAMBI ila hamchukii MTENDA DHAMBI! na anatusubiri sote turejee tobani

  • @RogatheJosiah
    @RogatheJosiah 10 месяцев назад

    Dada mie Ni mmoja wa hao wanao chukia wanaume sana lla s

  • @nyiranzimami728
    @nyiranzimami728 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 11 месяцев назад

    Mama mwanamme hatapata mtu wa kumfanya feel like a man ndio wale huwa wanakuja kuwa wanawake na kuingia kwenye mapenzi ya jinsia moja kwa nini lazima awepo mtu wa kukufanya ujisikie kama mwanamme wakati wewe tayari ni mwanamme ina maana uanamme unatengenezwa na mtu mwingine na sio nature ulivyo zavyozaliwa?

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Год назад

    Ilikuwa bored. Tuletee mauki then turudishie Dr Elie