WANAWAKE WENGI WALIOFANIKIWA WANAHISTORIA YA KUUMIZWA / WAMEJIANDAA KUPIGWA MATUKIO - DEO SUKAMBI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 14

  • @saidiamiri7898
    @saidiamiri7898 Год назад +3

    Kwani hauwezi kuendesha kipind bila ya kutumia kizungu kingi.Ebu kuweni wazalendo media kubwa inafuatiliwa na watu wengi na hizi media ndo hukuza lugha yetu ssa ninyi kingereza kiiingi.

  • @Zoe-ow5vf
    @Zoe-ow5vf Год назад +2

    Mimi ni mwanamke msomi,nimekua nikifanya kazi nzuri ila nimechoka natamani kua chini ya mwanaume,najihisi kabisa sio mambo yangu haya.

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 Год назад +1

      Pardon plzz 🤔,foreinstance umepata huyo mwanaume unaetaka uwe chini yake akakwambia uache Kazi coz he is a man and can play his part for you and you coming family( children) will you do so... 🤔

    • @Zoe-ow5vf
      @Zoe-ow5vf Год назад

      @@stellamsokwa6785 Kabisa dear naacha kwa amani.

    • @gilbertmboya15
      @gilbertmboya15 4 месяца назад

      Mapema sana😂, ndio kwanza 50% 50% inaanza, pambana

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch 7 месяцев назад

    Yaan nikweli kabisa wanaume wananyanyasa Sana ukiwa huna mwelekeo WA naisha

  • @AbdulRashid-nr8wm
    @AbdulRashid-nr8wm Год назад

    Kupendwa/kutokupendwa vyote nisawa MINDSETS

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Год назад

    Diva hakuna mwanamke asie na kitu ch akuoffer kuoffer sio pesa tu hata huduma ,asikudanganye mwanamme yeyote eti huna anything to offer swali linakuja kwa nini alikuoa au chukua wewe kuna kitu aliona ambacho yeye hana .Mwanamke yeyote ambae anaishi na mwanamme Ana kitu fulani

  • @anethaniceth
    @anethaniceth Год назад

    Ukweli mchungu

  • @eliethkwesigabo1990
    @eliethkwesigabo1990 Год назад

    Naongolewa mimi

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 Год назад

    Kipindi kiko poa

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Год назад

    Mbona kama mmeniongelea mimi😂😂😂

  • @boobohhh3029
    @boobohhh3029 Год назад

    👌🌷