#ZaNdaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 27

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Месяц назад +4

    Ndiyo maana ya zandani watu wanapekenyua mpaka wapate wakitakacho Big up Momo unajitahidi

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 Месяц назад +1

    Whats up wenyewe walitutafuta wakatuambie tufungue whats up channel😮😮😮😮

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Месяц назад +9

    Hivi jamani hatuwezi ku comment tu bila matusi. Hii niaibu kubwa kutoa matusi.

    • @user-zn4jl5wy3d
      @user-zn4jl5wy3d Месяц назад +1

      ukiona mtu anatoa matusi anapo comment jua uwezo wake wa kujadili hauna uwezo huo ama ndivyo alivyolelewa ikiwa si hivyo anataka ajulikane mjini!

  • @ibraimoselemane17ibraimo29
    @ibraimoselemane17ibraimo29 Месяц назад

    Leonardo akituliya Anakuwa kama m2 wamana kabisa. Shenzi kabisa kwa mbili mbili kwa mbili mbili. 😂😂

  • @jumahamad3272
    @jumahamad3272 Месяц назад

    Asa simba sindio inamatatzo meng kumb aongelee tim gan

  • @supermwinula8531
    @supermwinula8531 Месяц назад

    Kama angekuwa anajua sababu angekuwa amezisema before

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Nyie kila cku Simba??? Au hakuna timu nyingine??

  • @AbdalahAlly-pw4dt
    @AbdalahAlly-pw4dt Месяц назад

    Haondiotabiayaoyamatusi mpakakwao

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe Месяц назад

    Chombo Cha umbea kila siku shule o

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 Месяц назад

    Alafu kunalimtu litacoment hapa

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe Месяц назад

    Hana elimu umbea tuuu kila siku kukebei simba

  • @Idealistic_23
    @Idealistic_23 Месяц назад

    Huyu si analipwa kusambaza propaganda za kuleta presha nda simba ili kuficha yanayoendelea upande wa Yanga

    • @Official83640
      @Official83640 Месяц назад

      Kuimba kupokezana kwani mmesahau mwanzo alivyoishambulia Yanga hasa kipindi cha Fei Toto

  • @Khalidharisson
    @Khalidharisson Месяц назад +2

    Naombeni like zangu

    • @samirshabani-yu4xu
      @samirshabani-yu4xu Месяц назад

      Muombe mkeo punguza ushamba uzipeleke wapi hizo like😅

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 Месяц назад

    Hii redio itapotea kisa ushoga wenuu

  • @SteveChogairingaboy
    @SteveChogairingaboy Месяц назад

    wewe ni muongo sana hususani likija swara la simba acha upuuzi kama huwezi kuizungumizia acha bwana usiwahalinie wenye kipindi

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 Месяц назад

    Kucomment kwa mapovu na matusi ni aibu kwa taifa inaonyesha taifa lina vijana wa hovyo wengi kumbe sio 😡😡

  • @jumamukhaimar7307
    @jumamukhaimar7307 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @abdulyshebby3018
    @abdulyshebby3018 Месяц назад

    Ukuma kila cku yeye zandani zake simba

    • @athumanikauga6782
      @athumanikauga6782 Месяц назад +1

      Punguza mihemuko

    • @Eng2460
      @Eng2460 Месяц назад +3

      tafuta radio nyingine ya kusikiliza hujalazimishwa🚮🚮

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад +2

      Matusi ya nini... dunduka halina ustaarabu hata likenda shule

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Месяц назад

      @@athumanikauga6782 kuna radio nyingine huko kaisikilize inatangazwa na mtoto wa Simba mwenzenu anaitwa Ally Kamwe

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Месяц назад

      Ndio wenye shida now