#ZaNdaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 115

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Месяц назад +6

    Wamechelewa usajili umeisha, kikosi kiko full😂😂😂

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 Месяц назад +3

    😂😂INGEKUWA SIMBA HAPO STUDIO
    MAMAMAMAMAAA.

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Месяц назад

    Hongereni hapo studio,na nina wakubali kinoma.

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Месяц назад +2

    I LOVE YOU 🎉🎉❤❤ SIMBA NGUVU MOJA MAJILAN MKOWAP 😢😢😅😅😂😂😂😂

  • @SijapataMathiasJosephat
    @SijapataMathiasJosephat Месяц назад +5

    Me binafsi namwomba Eng Hersi aelewe uongozi ni gunia la misumari aswaze kuhusu maumivu inabidi atizame zaidi makusudio na malengo yako kwa ajili ya maslahi ya Young Africans

    • @xfamefatetv
      @xfamefatetv Месяц назад

      Shame on you too Maskini😂

  • @zakaria924
    @zakaria924 Месяц назад

    Mnajifariji, bahasha inafanya kazi, wengine mnacheka kwa kujilazimisha

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 Месяц назад +21

    Jamanii sipati picha ingelikuwa ni Simba iyo studio leo ingekuwa ni furaa

  • @Conrad-c4r
    @Conrad-c4r Месяц назад +2

    Swali langu kwenu nyote hapo studio" Hivi mnahisi Hilo Jambo Lina madhara gani kwa wanachama na mashabiki pia na wachezaji kwa ujumla ??

  • @zakaria924
    @zakaria924 Месяц назад

    Assumptions & Gossip za wapokea hahaha 🤣🤣

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад +2

    Studio Ina uyanga ....

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад +2

    Dah mafanikio ya yanga yata towa watu roho😢

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Mbona mambo ya Simba mnafurahi sana

  • @Funyvideos708
    @Funyvideos708 Месяц назад

    Yani ingekuwa Simba wangeua sanaaaaa yani

  • @user-np4di2lg5u
    @user-np4di2lg5u Месяц назад

    Tanzania 🇹🇿 eeeeee nchi yangu eeeeee

  • @bymnyaru
    @bymnyaru Месяц назад +2

    Napenda kuuliza kwenye huyo magoma yupo kwenye balaza la wazeee

    • @khamisihussein8777
      @khamisihussein8777 Месяц назад +1

      hahah wazee wenyewe wanasema wamemfukuza mzee wamigogoro

    • @DottoMoshi-x9o
      @DottoMoshi-x9o Месяц назад

      Hakuna ata anae mjuwa kwenye balaza chura tu huyo

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd Месяц назад +1

    Sasa mbona maamuzi yametoka bila hata mshtakiwa kuulizwa?

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Месяц назад

    Yanga uwaneniii kabisaa tutakula nyama zeni

  • @kamandamlimaog3430
    @kamandamlimaog3430 Месяц назад +1

    wasafii mnauyanga yanga sana katikaa uchambuzi wenuu
    Simba hawana shidaa na matatzoo ya yangaa
    Simba wanaangalia Yao ya lawii

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Месяц назад +1

    Yanga fm ipo hewani😂

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад +2

    HATA SIMBA SUALA LA LAWI SIMBA IMETULIA TULIIIIIII......

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 Месяц назад

    ONA KITENGE NA WASENGE WENZAKE ETI WAMETULIA TULIIIIIIII😂

  • @rbayoub1181
    @rbayoub1181 Месяц назад +2

    Wasafi na yanga yao

  • @user-hj9fc6it1y
    @user-hj9fc6it1y Месяц назад +5

    chuki ni katumiwa ni vtu vibaya sana mzeee unatumiwa 😂 mungu atujaliee maishaa mazuri atuepushe na njaaa tusije kuwa kama hawa wazeee kutumiwa kufanyaaa ujinga😂

  • @Conrad-c4r
    @Conrad-c4r Месяц назад +1

    Jibun koment

  • @martinejohn714
    @martinejohn714 Месяц назад +2

    Huyo magoma njaa zinamsumbua atafute chakufanya yanga siku hizi imeacha kushibisha matumbo ya watu

    • @bone102
      @bone102 Месяц назад

      😂😂😂 we kweli dishi limeyumba kushibisha matumbo wakat mshatapeliwa billioni 1 mnaambiwa ni hasara ya timu😂😂

  • @goodlucksalumu1818
    @goodlucksalumu1818 Месяц назад

    nani akupe like kenge wewweeeee

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 Месяц назад +1

    Kama anauwezo huyo magoma apeleke mguu wake apo jangwani aone

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 Месяц назад

    Ndio maana nmeacha kusikiliza hili li REDIO uchwara. Hawa sio watangazaji, ni machawa wa Utopolo.......

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Месяц назад

    😅😅Kisu kimechoma kwenyewe!

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec Месяц назад

    Mzee wa zandani wewe c ni mdudu mwenzetu tu

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd Месяц назад +3

    Kwa hiyo kumbe mnajua km jamaa hakukaa kihalali?
    Sasa mbona mnatetea

  • @nickdr_tv
    @nickdr_tv Месяц назад

    MWAIPOPOOOOOO.....

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Месяц назад

    Za ndaniiiiiiiii

  • @AllanKabuga-k2d
    @AllanKabuga-k2d Месяц назад

    Ingekua Simba hapo studio kungechafuka

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 Месяц назад

    Ingekuwa Simba mamamaaaaaaa

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Месяц назад

    maambo ya simba mnashabikia lakn ya yanga aaaah kuma zenu

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Месяц назад

    SUBILINI MO MUIONE HII STUDIO

  • @ludovickkimaro6362
    @ludovickkimaro6362 Месяц назад

    Wasafi na Yanga yao sasa ingekuwa Simba ohooo sipati picha

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z Месяц назад +1

    Makomandoo wanatafuta njia ya kuingia kwenye mfumo. Njaa imekuwa kali mtaani huko.

    • @tirathegreat8839
      @tirathegreat8839 Месяц назад

      Kubababake...wanaona watoto wadogo tuu wanatamba

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Месяц назад

      Wakajiunge na jeshi wapelekwe ukrein watapata pesa.

  • @khamisihussein8777
    @khamisihussein8777 Месяц назад

    nimewaelewa wakuu

  • @user-mz4ik1hx1q
    @user-mz4ik1hx1q Месяц назад

    Makumaaaaaa awaaaa

  • @JabirAthuman-d6d
    @JabirAthuman-d6d Месяц назад

    Mlikuwa wapi kujua kma ayupo mwenyewe

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Mhuuuu magoma chambo atakoma

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Месяц назад +1

    Popo mnyama😂

  • @AthumanKais
    @AthumanKais Месяц назад

    Mzee wa kudele nkbl sana🤜🤜🙂

  • @gilbertfrancis217
    @gilbertfrancis217 Месяц назад

    Wachambuzi hamnazoo hasa maulidi kichwa majii kabisaa

  • @user-np4di2lg5u
    @user-np4di2lg5u Месяц назад

    Malipo hapa hapa dunian

  • @salumobed5980
    @salumobed5980 Месяц назад

    Simba Huwa inakomaliwa balaaa dah.... Ila kwa sabAbu ni Yanga

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Месяц назад

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt Месяц назад

    Kipindi Cha michezo kimebadilika kimekuwa udaku wa dida

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Месяц назад

    Ingekuwa simba Leo hpo cjui ingekuwaje wangese nyinyi Leo mmepoaaaaaaaa😁😁🏃🏃🏃

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Месяц назад

    Mbona tunakereheka na huyo magma ambassador sio mwanachama? Nahiyo mahakama inatoaje hukumu kwa sahihi za kugushi,kama nikweli waligushi ni aibu sana kwa mhimili huu

  • @Athmanichambuso
    @Athmanichambuso Месяц назад +1

    nimikulewa hap

  • @thejoeclassicsoldier
    @thejoeclassicsoldier Месяц назад

    Popo sio ndege, acheni ujinga

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Месяц назад +1

    Mmmmmmmmhhhhhhhhhhh mrudisheni madarakani huyo ataleta tafrani jangwani

  • @user-jy1wm8do8w
    @user-jy1wm8do8w Месяц назад

    Ubaya ubwela machambuzi machoko

  • @peterkissiri9821
    @peterkissiri9821 Месяц назад

    Magoma ni Messi mtupu😂😂😂

  • @manfredmlay2743
    @manfredmlay2743 Месяц назад

    Popo ni mbuzi sio mdudu

  • @felixmwayeya6716
    @felixmwayeya6716 Месяц назад +1

    Huyu ndo debora magoma mwenyewe sasa😂😂

  • @dicsonbiko-wz7ym
    @dicsonbiko-wz7ym Месяц назад

    wasafi imekaa kiuyanga yanga tu😅😅😅

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Месяц назад

    Machawa😁😁😁😊

  • @HamisMdamu-en5fe
    @HamisMdamu-en5fe Месяц назад

    Popo ni mnyama sio mdudu wala ndege

  • @SaimonAnton-rj3vt
    @SaimonAnton-rj3vt Месяц назад +1

    Mwaipopo

  • @williammajani2152
    @williammajani2152 Месяц назад +1

    Hawa ndio watu wameaniniwa na TV walete habari za michezo shame of you

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn Месяц назад

    GEN Z'S are typing 😅😅😅😅

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Месяц назад

    Kuanzia leo viongoz wa simba na wansimba tuhme hii media inauyanga sana sasa mamb ya yanga na simba wapi kwa wpai eti wakti sisi tunaongea mzee kaamkia avic na wanae aloo dah nije nion msemaj wa simb akiend wasafi nahama timu

  • @user-ft4ii2jx5d
    @user-ft4ii2jx5d Месяц назад

    mjukuu wng momo upo sawa mie babu yako muba

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Месяц назад

    Studio yenu ni utopolo kabisa Yani Yanga

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Месяц назад

    Wote hawa ni uto wanaongea kiwoga woga

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад +1

    INGEKUWA SIMBA MNGESEMA SIMBA Haijielewi.....LEO .MNASEMA kimajungu

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Месяц назад

      Ongea fact bro, we hapo unadhani magoma ana evidence gan ya maana katika Hilo?

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Месяц назад

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zainabbakari-vw4jy
    @zainabbakari-vw4jy Месяц назад

    Na huu ndo ukwel

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Месяц назад +1

    Magoma Yuko sawa😂😂😂

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 Месяц назад

    Mwai popo hyo

  • @user-ft4ii2jx5d
    @user-ft4ii2jx5d Месяц назад

    momo msalimie ndg yng mauridi

  • @HermanJoseph-mi2og
    @HermanJoseph-mi2og Месяц назад

    Mnazinguaaaaa mna waponda simba sana acheni ushabikiii naona Leo habar y yangaa yn mnawadefend

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Месяц назад +2

    wakwanza nipeni like zngu😢

  • @AziziAbdala-tw6uf
    @AziziAbdala-tw6uf Месяц назад

    bundi limeanza kuzagaa yanga

  • @mussakunenga8866
    @mussakunenga8866 Месяц назад +1

    Acheni uyanga

  • @chamyluna8030
    @chamyluna8030 Месяц назад

    Mnadhihirisha wazi kua mnaongea kiyanga yanga tu mbona Mambo ya simba hamuyapambi hivyo mungeongeza chumvi kibao mbwa nyie

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Месяц назад +1

    Momo wacha uongo

  • @bonfacemassawe3394
    @bonfacemassawe3394 Месяц назад +1

    Popo si ndege bali ni mnyama.

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 Месяц назад

    Ingekuwa lunyasiiiii

  • @AyubuMwakalibule
    @AyubuMwakalibule Месяц назад +1

    Sheli zipo ili zilindwe ko kama mtu kawafanyia mema ndio avunje shelia mgebadili ndio mmpe mtu uongozi mbona ingewezekana tu alaka sio nzuri,

  • @mjuaelias3681
    @mjuaelias3681 Месяц назад +1

    Bundi huyoo jangwani,

  • @BarakaMalekela-nf6gv
    @BarakaMalekela-nf6gv Месяц назад

    Bola mgombane tu

  • @GosheSecurity
    @GosheSecurity Месяц назад

    Mwaipopo ni mshamba toka malawi ndio maana anatumika kifala afu hana hata kadi ya uanachama

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c Месяц назад +1

    Hivi wewe Kitenge wataka kusema Yanga hawakuwahi kufika mahakamani kwa hii kesi ?
    Hii ni mahakama ya kisheria na sio wale Tff. Wacha kuwapotosha wanachama wa Yanga.

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i Месяц назад +1

    Jangwani kumekucha

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Месяц назад +2

    Hapa angekuwa Mo hii studio wangeshambulia lakin hapa wanajaribu kutetea kila kaeneo hapo ndipo utatambua hawa wachambuz wala lushwa

  • @LucyMtweve-i9b
    @LucyMtweve-i9b Месяц назад

    Sipati picha ingekuwa simba momo unavyoivumisha zandaaaaaaani

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Месяц назад

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂