MADEBE LIDAI ALIVYO MCHANA LIVE MKE WAKE KWA MARA YA KWANZA // WEWE NI MUONGO // SIJAWAHI KUKUTESA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024

Комментарии • 31

  • @kenmuthuka3355
    @kenmuthuka3355 2 месяца назад +2

    kumbe madebe wee n mbwa tu wa kawaida.........jandoni....porini......man up braza

  • @MrishoMzelela-xb9bb
    @MrishoMzelela-xb9bb 6 месяцев назад +2

    Mwanzo madebe nilikuwa najua mtu unaejielewa saana kumbe hamna kitu,mambo yakuruahiana maneno na mwanamke ni ujinga.NB mwanaume hashindani na sindiria 🙌🙌🙌🙌🙌

    • @fahmafahmavas
      @fahmafahmavas 12 дней назад

      Huyoooooo SI mndengeleko Hana akili huyoooooo

  • @themalumbos4214
    @themalumbos4214 7 месяцев назад +2

    Yaan kwa sasa sikufatili tena maana unawafunda watu alaf ndani kwako hovyo

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 7 месяцев назад +2

    Utajua tabia ya mtu akiwa amefanikiwa kimaisha. Huyu ndio kwanza maisha yamemuendea vizuri sasa anaona yuko juu ya lila mtu. Kwani mke hana haki ya kuheshimiwa pia yaani yeye tu ndie wa kuheshimu ndoa lakini mume afanye anavyiotaka bila kufuata sheria?

  • @user-sb2tz7sk6t
    @user-sb2tz7sk6t 7 месяцев назад +1

    Bro madebe ukubali kuwa umekosea ili wanaomshabikia chanuo walizike.Na usikubali tena kufany interview yoyote juu ya suala hili.kaa kimya maana ukiendelea kujibizana na huyo chanuo hili kesi halitaisha leo,achana nae kama anahitaji kuombwa radhi mfate umuombe msamah,kimsing saiv wahudumie wanao na acha kuoa ovyo.endelea kufany kaz yako,umetoka mbali san so,hii kesi ndog isikuangushe,Fanya kazi mashabik bado tupo tutaendelea kupenda kazi zako

  • @themalumbos4214
    @themalumbos4214 7 месяцев назад +2

    Yaan ww ni hovyoo kwaiyo ķama unamtesa asiseme sula yenyewe yaumalaya iyo

  • @MrishoMzelela-xb9bb
    @MrishoMzelela-xb9bb 6 месяцев назад +3

    Madebe busara ni kukaa kimyaa,usipende kulizungumzia hili swala

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili 7 месяцев назад +1

    Msikilize madebe vizuri,naamini mtamuelewa vizuri

    • @christinelihavi4068
      @christinelihavi4068 7 месяцев назад +1

      Hawawez kumuelewa…usishangae wanafunzi wote hua wanafundishwa kwa wakati mmja alafu wanafeli wanakua wengi

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 7 месяцев назад

      Hatutaki kumuelewa

  • @suleim505
    @suleim505 2 месяца назад +2

    UNACHOKOSEA NA WEWE PIA NI KULIZUNGUMZIA PIA UNAPOHOJIWA.

  • @user-lc3rn7ow6g
    @user-lc3rn7ow6g 7 месяцев назад +2

    Nenda zako acha kujiona mjuaji huna jipya ulitaka aende wapi safi chunuo Kwa kuliaibisha

  • @user-wj7vo5kv4n
    @user-wj7vo5kv4n 7 месяцев назад +2

    Madebe jieleze vizur tukuelewe naon unajigongango tu

  • @user-hb1nd8yv7d
    @user-hb1nd8yv7d 7 месяцев назад +1

    Jaman cjuw wadad wanajickiaj kuon mwenzao anatow choz la huzn kiac hicho jamn

  • @NuruNyanja-kz1qr
    @NuruNyanja-kz1qr 7 месяцев назад +1

    Baba wa hovyo sana wewe sikutegemea kama unaweza kumtesa mke nahiyo sura isiyokua namvuto wanafata tu hela kwako maana huna sura huna mvuto hunaustaraabu tuachie chanuo wetu

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 7 месяцев назад +2

    huyu madebe ni mpuuzi TU Hana Cha kujitetea

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px 7 месяцев назад +2

    Hovyo 😊

  • @AbdlyhajLuhondo-id7zi
    @AbdlyhajLuhondo-id7zi 7 месяцев назад +1

    Namini upo sahii kk. Kamaujawahi sikia kesi kilasiku wanawake wananyanyaswa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 7 месяцев назад +1

    Msitu wa pande eleza vizuri blabla nyingi 😂

  • @user-hb1nd8yv7d
    @user-hb1nd8yv7d 7 месяцев назад +1

    Ila madebe ni wa ovyoo san cjuw anajkut nan huyo kak na ubaya alokuwa nao

  • @user-dr1sc8vz3r
    @user-dr1sc8vz3r 5 месяцев назад +2

    Wewe nilijinga kwenda nakuchukia mpaka basi

  • @christinelihavi4068
    @christinelihavi4068 7 месяцев назад +2

    Ukitaka kuishi na Mwanaume usitake kujua ana wanawake wangapi bure sivyo utaishi bila mwanaume

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 7 месяцев назад

      Nibora kuishi bila mume bwana aaa strees tupu jitegemee mwenyewe uishi maisha poa naskutegemea mume chefuu 😅😅😅😅😅

    • @christinelihavi4068
      @christinelihavi4068 7 месяцев назад

      @@rahemh1234 Ni kwa vile tu hayajakukuta ndio maana unaongea...ni vigumu sana kwa mwanamke kuishi bila mwanaume kila mtu mwenye mumuwake akikuona atakua insecure atakua anazan unataka kumuibia

  • @user-lc3rn7ow6g
    @user-lc3rn7ow6g 7 месяцев назад +1

    Unyanyasi ni kutelekeza familia kubwa jinga wew ni mshauri tukajua unaakili hauna akili kabisa unajitetea tu

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 6 месяцев назад +2

    Huna lolote

  • @HadijaJumanne-pz5sc
    @HadijaJumanne-pz5sc 3 месяца назад +1

    Kwahy ndo umefundwa kunyanyasa wanawake sio chanuo tu je hao ambao wameondoka utajitetea vp? Jifunze kumtunza mwanamke na kumuheshimu ndo unaweza kuishi na mwanamke utaoa mpaka lini?

  • @sanianan6586
    @sanianan6586 7 месяцев назад +2

    😂😂😂😂

  • @user-sb2tz7sk6t
    @user-sb2tz7sk6t 7 месяцев назад +1

    Bro madebe ukubali kuwa umekosea ili wanaomshabikia chanuo walizike.Na usikubali tena kufany interview yoyote juu ya suala hili.kaa kimya maana ukiendelea kujibizana na huyo chanuo hili kesi halitaisha leo,achana nae kama anahitaji kuombwa radhi mfate umuombe msamah,kimsing saiv wahudumie wanao na acha kuoa ovyo.endelea kufany kaz yako,umetoka mbali san so,hii kesi ndog isikuangushe,Fanya kazi mashabik bado tupo tutaendelea kupenda kazi zako