PART 2: CHANUO APIGIWA SIMU LIVE, AMUWAKIA MADEBE, WAJIBIZANA LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • PART 2: CHANUO APIGIWA SIMU LIVE, AMUWAKIA MADEBE, WAJIBIZANA LIVE
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @gemstoken1515
    @gemstoken1515 7 месяцев назад +120

    Ukimsikiliza Madebe,anatafuta udhaifu wa mwanamke badala ya kujibu tuhuma za Mwanamke.Anasemaje anapenda watoto na hajali kuhusu shule?Mtoto anaumwa hajaenda muona?Anajibu kisanii sana.Bro Madebe,tunza familia.

    • @RehemaMasunga-ml7kt
      @RehemaMasunga-ml7kt 7 месяцев назад +1

      Exactly anatumia udhaifu

    • @user-dy9qw6or9e
      @user-dy9qw6or9e 7 месяцев назад +1

      Asha jibu sema we hujaelewa kwasababu tayari umeamini ulicho aminishwa.

    • @AminaMsimbe
      @AminaMsimbe 7 месяцев назад +4

      Huyo anaonyesha mshamba sana hajui kuhusu kusoma nadhani hata yeye hakusoma hivyo hivyo hajui maana ya elimu

    • @NeemaJoseph-uo2gw
      @NeemaJoseph-uo2gw 7 месяцев назад

      Kweli kabsaaa

    • @godfreymabula6858
      @godfreymabula6858 7 месяцев назад +4

      Huyu bro anazingua Sana facial expression inatoa majibu anakera sana

  • @florencemengo7395
    @florencemengo7395 7 месяцев назад +43

    Duuh yaani ndoa za siku hizi ni hatar Mungu aingilie kati vinginevyo hatutoboi na tuwe na hofu ya Mungu ❤

  • @edinaelikana1057
    @edinaelikana1057 7 месяцев назад +11

    Madebe ungeondoka na Makeo na watoto kwenda kutengeneza vyeti vya watoto wewe ndio mzee mwenye nyumba. AIBU SANA UNAPOSEMA WATOTO HAWANA VYETI VYAKUZALIWA

  • @user-wd2uk9qh7f
    @user-wd2uk9qh7f 27 дней назад +1

    Madebe nimechukia tena nimechukia zaidi ya sana ulicho kifanya sijabkipenda kwa mwanamke mwenzangu, yaani madebe kwa chozi la uyo dada mungu ata kilaani.

  • @saudamuro
    @saudamuro 7 месяцев назад +26

    dida nakupenda sana kwa maswali unaempachika huyo baba asiejali watoto

  • @neymaally3246
    @neymaally3246 7 месяцев назад +16

    Mswahili sana huyu mwanaume tunza familia yako wee kaka acha ujanja wa mdomoni

  • @user-ie5xs4nm4m
    @user-ie5xs4nm4m 7 месяцев назад +42

    Madebe nimetokea kukuchukia sana sio vizuri unavyo Fanya

    • @saddamommie5075
      @saddamommie5075 7 месяцев назад +1

      Unamchukia mtu ambae hakujui kwel

    • @SantiaQwer-ij1ws
      @SantiaQwer-ij1ws 6 месяцев назад

      ​@@saddamommie5075kwani lazima awe ywamjua wee wachekesha ,kamchukia kwa tabia zake mbaya

    • @SantiaQwer-ij1ws
      @SantiaQwer-ij1ws 6 месяцев назад

      Hata huezi amini kama niyeye anayefanya huo ujinga,mwenye ywaelewa hii Hali niyule yalie mfika

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 6 месяцев назад +1

      ​@@SantiaQwer-ij1wsmadebe yupo saw sema mlio wengi hamjafuatilia vizur, huyu mwanamke ni shetani kabisa hakuna mwanaume anaweza kukubali kua na familia alio haribia mwanamke mlevi promota wa mashoga hapo lazima uwe na familia ya watoto mashoga kubali kataa

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 7 месяцев назад +17

    Basi basi chanuo imetosha unatutoa machozi wewe futa machozi pambana Yani nimeumia kweli kama mwanamke mwenzio dah pole sana umeniumiza uliposema unaenda kuchuma tembele kwa jirani dah wanaume hawa ni mitihani pole sana my sister chanuo

  • @user-ve1ot5we5o
    @user-ve1ot5we5o 7 месяцев назад +10

    Mpumbafu sana uyo mwanaume da dida na wanaume wa ivi ni wengi sana uyu madebe siyo wakumusikiliza na ukiona mwanamke analia ujue kachoka sana huyu anatafuta kujisafisha tu na mungu atamlipa

  • @user-lq6ec2cg3o
    @user-lq6ec2cg3o 7 месяцев назад +31

    Nilichogundua uyu dada anaongea point sana madebe ata aibu aoni ilo jamaa zaifu

  • @user-ph8vd7ec1z
    @user-ph8vd7ec1z 6 месяцев назад +2

    Madebe anaigiza, hata akiwa kwake nyumbani.
    Madebe naomba utofautishe ukiwa katika miigizo na maisha halisi ya familia yako.
    Wacha mchezo nabii Mswahili.

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 6 месяцев назад +3

    Mungu huyu baba naomba umpige tukio ili udhihirishe ukweli na uwepo wako.wanaume wa namna hii ni wengi tena wanatokea njia hiyo hiyo ya rufiji ruangwa masasi yani wana watoto kila kona hawadumu kwenye ndoa malaya wake kwa waume wote malaya wake wanne wanne.

  • @pallangyojames6870
    @pallangyojames6870 7 месяцев назад +9

    Madebe ww ni mshenzi sio utani ww ni mshenzi sana mungu atakuja kukulipa siku moja kwa kunyanyaa wanawake

  • @user-lc3rn7ow6g
    @user-lc3rn7ow6g 7 месяцев назад +13

    Aeleweki kabisaaa anabishia uzoefu uyo apelekwe mahakamani Moja Kwa Moja

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 7 месяцев назад +11

    Siku zote Namuomba Sana Mungu aje aniwezeshe na aniepushe na hizi kesi ata ukija kutokea nimeachana na mwanaume wangu naomba nisije thubutu kugandana nae kama hivi kisa watoto Namuomba tu aje aniwezeshe Kazi nikae kuhudumia watoto wangu tu mwenyewe Abar ya kupigizana kelele hivi inakuwa to much Nashaur tu chanuo aache hii mambo ya brand na akae afanye Kazi atunze watoto wake tu inshallah ALLAH atamsaidia

  • @hassaniddrismwamba
    @hassaniddrismwamba 7 месяцев назад +15

    Madebe mwamba umeniangusha mwanamke hajibiwi. Hapa umejidhalilisha Sana

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz 7 месяцев назад +13

    Madebe acha huuni ndugu yangu kweli ndoa nimitihani sana lakini kaka yangu madebe nakuomba uache tamaa zakimapenzi mrudiye mkeo Dunia tunapita kaka duuhh

    • @tabiangonyani3526
      @tabiangonyani3526 7 месяцев назад +1

      Lakini kabla ya chanuo alikuwa na mke wake mwingine wa ndoa uyu madebe inaonekana amekubuu Sana kila K anaiyona mpaya😅

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u 7 месяцев назад +20

    Aan mijanaume ya ovyo hivi kwel mtihan aan na wakishakuona ukishamove on sasa wanaanza kujipanikisha aan Mungu atuepushe na mijaume mitapel kama hii

    • @baloz858
      @baloz858 5 месяцев назад

      Hata nyie matapel wapo

  • @user-lq4gz1yd7g
    @user-lq4gz1yd7g 7 месяцев назад +21

    Kwanini asiende yeye lazima alie anauchungu sana mshenzi tu madebe anaonesha huyu so mwanaume wakujali familia ati kategewa kitu mbona mume wangu mimi anaenda mwenyewe kufata cheti

  • @mubuyafrancis3979
    @mubuyafrancis3979 7 месяцев назад +8

    Kwakujiliza ninyi wanawake Mungu anawaona.Ila Mungu2 pekee ndoatakae wahujum ninyi ila kwahapa Duniani uwezo hatuna wakushinda mbeleyenu Asante jamani ninyi wanawake wote

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 7 месяцев назад +26

    Huyu dada amburuze mahakamani vinginevyo huyu Madebe ni muongo na mpangaji wa maneno
    Kweli wtt wa mtaani watapungua kukiwa na wanaume wa hivi, mimi naona na shule inachangia yuko mswahili sana busara huna hunyooshi maelezo.
    Mngemfukuza hapo Wasafi

  • @miruhongin
    @miruhongin 7 месяцев назад +7

    Kaka madebe muhogope mungu acha kucheza wa na danu wa mungu

  • @philipolaurent7537
    @philipolaurent7537 7 месяцев назад +11

    YANI HUYU MADEBE ANA MOVIE ZA KUELIMISHA JAMII LAKIN YEYE KWENYE FAMILIA YAKE ANA ANACHOKIFANYA HUU USUPAR STAR NI WA OVYO SANA YANI MKE WAKE NI ANAONGEA UKWELI KABISA. SIS WANAUME TUNAELEWA MWANAMKE AKILALAMIK IVYO UJUE NI UKWEL TU.

    • @Omosh003
      @Omosh003 6 месяцев назад

      Padre hafungi ndoa, anafungisha

  • @user-tf9ls9jn9c
    @user-tf9ls9jn9c 7 месяцев назад +4

    Yan apa namuona mzazi mwenzangu kabisa yan maisha aya mwanaume ovyo uyu nawachukia wanaume wa iv

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 7 месяцев назад +3

    Wah...Nabii mswahili taf jarbu usipata laana ya watto mzee sio vzuri hta mungu hapendi mzee rekebisha bas....

  • @n.dvillagirl3272
    @n.dvillagirl3272 7 месяцев назад +17

    Mbona Madebe kawa mpole sana
    Shabiki zako tunakupenda ila itapendeza ukimtenda wema mkeo msaidie kuleo watoto wenu

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 7 месяцев назад +1

      misess mambo yandoa yanamambo mengi sana !!! sasa hv ndoa zinaamia kwenye mtandao kweli dunia imeisha kabisa

    • @FRANKKALANDA
      @FRANKKALANDA 7 месяцев назад

      Huyo kenge tu kawa malaya kwa sababu ya umaarufu.

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 7 месяцев назад

      hahaha !!! wewe unauhakika gan kama shutuma alizopewa madebe n zakweli ? j

    • @tukuyufm
      @tukuyufm 6 месяцев назад

      asante kwa neno jema

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 7 месяцев назад +7

    Mashamsham mfanye mpango muwe na kipindi Cha kusuruhisha ndoa mnafanya vema mmatafuta haki sehem zote achana na diva analemba Sana 🎉

  • @rayouaabdallah1394
    @rayouaabdallah1394 7 месяцев назад +12

    Madebe ni mbabaifu sana kisha anakejeli na dharau kisha mshirikina

    • @user-yv6bi8rj5z
      @user-yv6bi8rj5z 6 месяцев назад

      Una uthbitisho nahlo au unabwatuka

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 7 месяцев назад +5

    Bwana. Madebe ndugu yangu wewe ni baba watengelezee vieti vya kuzaliwa pili wa saidie watoto tena Acha kuowaowa sio vizuri be man ok

  • @khalidsalum1740
    @khalidsalum1740 7 месяцев назад +11

    Ukweli ndoa zinasiri nyingi sanaaa ivyo sauti ya kunyamaza inatosha kubwaaa Allah awape maelewanoooo

    • @tukuyufm
      @tukuyufm 6 месяцев назад +1

      asante sana shekh. mungu akubariki kwa hekima uliyoiandika hapa

  • @husseinmgandi-ej5kp
    @husseinmgandi-ej5kp 7 месяцев назад +11

    Tanzania Mwehu n Madebe pkeake...Fala madebe😮

    • @joannanaliaka515
      @joannanaliaka515 6 месяцев назад

      😂😂😂 tulikuwa tunapenda move sake huku Kenya ak 😂😂😂🇰🇪

  • @user-lz4fe1ob3l
    @user-lz4fe1ob3l 5 месяцев назад +1

    Huyu mbaba nkama anajitetea tu lkn ana makosa ila wanaume ndivo walivo ni haya limemushika lkn dada pole sana dada chanuo mungu akusaidie sana nakuombea kama mwanamke mwenzangu inaniuma sana

  • @iddidope7376
    @iddidope7376 7 месяцев назад +3

    We madebe kumbe mzeenge sana, we ulikua ukijifaya sana mjuaji kumbe bure kabisa mshamba ww mlumbukeni wa maisha

    • @user-yv6bi8rj5z
      @user-yv6bi8rj5z 6 месяцев назад

      Kumbe wnaume wpumbv mpo wengi eeh, hv mpk leo hujui km wnawke niwhuni? ushaambiw mpk mwilin anatatoo ya marfki zke mashoga hilo umeona sw eh, afu hasapot wtoto alowkuta hilo pia sw? acha ushamba

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 7 месяцев назад +35

    Huyu jamaa kumbe ni mpuuzi mmoja hivi

  • @gaudencekanut902
    @gaudencekanut902 7 месяцев назад +37

    madebe anazingua movie zake siangaliii tenaaaaa

    • @hamzaqaacm1869
      @hamzaqaacm1869 7 месяцев назад

      Unajipa shida tu icyo na manufaaa

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 месяцев назад


      Ndiooo_🤦🏿‍♀️

    • @wigoramso5436
      @wigoramso5436 7 месяцев назад

      Acha usiangalie kaangalie za uyo malaya chanuo

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 7 месяцев назад

      Watu mnajichosha mambo ya mke na mme chanuo anaongea kama nfo anaongea ndani hakutakuwa na oelewano

    • @lukasielibariki3181
      @lukasielibariki3181 7 месяцев назад

      Maisha yaka yanausiana nini na wewr

  • @user-sw6fv8ed8v
    @user-sw6fv8ed8v 7 месяцев назад +4

    Madebe hatuwezi kukuelewa mashabiki zako,,,kuanzia Leo sitoangalia movie zako

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 7 месяцев назад +26

    Madebe ni Mshenzi Sana tena Sana

  • @user-iq6lv5sp3r
    @user-iq6lv5sp3r 7 месяцев назад +10

    Lakini vyeti vya watoto vya kuzaliwa siyo lazima atafute mama ata madebe angeweza kutafuta pia kwa ajili ya watoto wake.

  • @dudiathba2320
    @dudiathba2320 6 месяцев назад +1

    Chanuo jitokeza adharani omba msaada peana nambari yako ya simu tupo wengi tumekuhurumia pamoja na watoto tutakusaidia inshaalah Allah akufanyie wepesi dada .

  • @user-kg5mz3vp3p
    @user-kg5mz3vp3p 6 месяцев назад

    Dada pole sana.tafuta jinsi ya kulea wtt wako na ukae kimya. Wanawake wengi tumepitia hizo changamoto wanaume baadh ndiyo walivyo. Na tamaa ya kila mwanamke.na kusahau walipoanzia.

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w 7 месяцев назад +14

    Dadaa nakuelewaaaaaa

  • @ibn_mohamed.s5603
    @ibn_mohamed.s5603 7 месяцев назад +14

    VAR Check ...inaonekana Goal la Madebe limekataliwa...Mchezo unaendelea dkk ya 73' Chanuo 3-0 Madebe.

  • @user-mg1dt9zp3z
    @user-mg1dt9zp3z 2 месяца назад +2

    MADEBE Nimwogo badilika mwonekano wako na matendo yako tofaut

  • @marthadanielgethro6216
    @marthadanielgethro6216 7 месяцев назад +19

    Mwanaume wa ovyo kweli kweli😢 kwanini wewe baba usiende kufuatilia vyeti vya watoto Kama mkeo alikuwa hataki kwenda? Au cheti wa kufuatilia ni mama tu? Ninacho kiona hapo mnawaumiza tu watoto 😢

  • @user-hf5wr4hr2t
    @user-hf5wr4hr2t 7 месяцев назад +6

    Madebe mungu akupe azabu

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 7 месяцев назад +9

    Madebe ni Mshenzi Sana

  • @user-yy7lm4ux1p
    @user-yy7lm4ux1p 6 месяцев назад

    Madebe mbabaishaji kwa kuonekana tu anajjbu kiubabaishaji ila kuna maisha baaada ya hapo dingi na mungu anamuona

  • @blandinamahela6223
    @blandinamahela6223 7 месяцев назад +10

    Madebe Ni mseeeeeeeeeeeee Sana nimekuchukia

  • @frenkfarm1139
    @frenkfarm1139 7 месяцев назад +7

    madebe ya mkuta 😢😢Duuuuuuuuuu akutana namtoto wa mnjini

  • @rahmasaeed6860
    @rahmasaeed6860 7 месяцев назад +9

    Wanaume wanajulikana kwa kujitetea, na siku zote hawana makosa ndio kawaida yao, na sitokaa nikawa na imani nao hawa watu, usanii mwingi tu hana lolote , yaani ananitia uchungu anavo jikosha hapo .

  • @HanifaShabani-dr3dq
    @HanifaShabani-dr3dq 6 месяцев назад +2

    Msanii sana madebe,badilika utakuja kumbuka shuka kumekucha

  • @khamisimalaydzzo6931
    @khamisimalaydzzo6931 6 месяцев назад

    Kama wewe mwanamume ulie timia wachukuwe wanao wewe mwenyewe uwatafutie vyeti na bima ya afya Wacha kukwepa majukumu,utapata lana ya hao wakezo na mwisho wako utakuwa umbaya,hata sasa watu wengi hawakuheshimu kama hapo awali,mawaidha Yako kumbe kiki tu,na huo mchezo wako wakuowa na kuacha ndio chanzo cha kuharibikiwa,kuwa na msimamo madebe,naona waanza kutika sasa, Bado hujachelewa fanya mabadiliko na maamuzi ya busara,Mwenyezi Mungu akuafu insha'Allah Amin

  • @habarikiswahili1593
    @habarikiswahili1593 7 месяцев назад +5

    Huyu jamaa mavi kweli yaan kudadadek daah

  • @user-wn2yt6os5h
    @user-wn2yt6os5h 7 месяцев назад +37

    Madebe wewe ni mpuuzi sana nimekushusha thamani sana

  • @AlfredChai-lv8zr
    @AlfredChai-lv8zr 2 дня назад

    Madebe pumba kweli hauna jipya kwli unapunguza umaarufu broo unaboo kwli

  • @user-fx4cu2yl7t
    @user-fx4cu2yl7t 6 месяцев назад

    Nilipokua nikiona filamu za huyu madebe..nilidhania ni mtu mstaarabu sana..kumbe matendo yake ya kindani i na filamu zake ...ni vitu viwili tofauti sana....medebe kua mwonekano Bora kwa kizazi Cha kesho

  • @JenivaJames-jo5rk
    @JenivaJames-jo5rk 7 месяцев назад +8

    Kheeeeeee siamin Kama ni wwweeeee jamanii 😭😭😭😭😭😊

  • @user-rf9vn7lz1n
    @user-rf9vn7lz1n 7 месяцев назад +3

    Dida wew tunakutegemea ukiw kam mwanamk mwezet mpig maswal mjing uyu mwanaum una adab ulizaliw na mwanamke kweli wew kwa nin mnamtesa mtot wawatu we subir utakuj kupat mwanamke wawat analia hivy 😢😢😢

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz 7 месяцев назад +2

    Chanuo yupo sahihi kabisa uyo madebe anazinguq

  • @user-zd9hy1yd7c
    @user-zd9hy1yd7c 7 месяцев назад +2

    Umeniangusha sana ticher wangu

  • @user-zl2ll4pq7o
    @user-zl2ll4pq7o 7 месяцев назад +10

    Mpaka Sasa chanuo 3 madebe 0 .... Madebe una feli jamaa 😢

  • @JumaZuber-nc4gn
    @JumaZuber-nc4gn 7 месяцев назад +12

    Mdebe lea watoto Acha kujitoa ufahamu mtu mzima wa Acha mambo hayo swala la vyeti mnahusika wote

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 6 месяцев назад +1

    THIS GUY IS DANGEROUS

  • @user-xh6zo2gi6r
    @user-xh6zo2gi6r 6 месяцев назад +2

    Daaaa madebe nilikukubali sana ila ufai kuwa baba boraa aisee😢

  • @anithasanga1909
    @anithasanga1909 7 месяцев назад +4

    Madebe muongo muongo sana

  • @sarahfisoo5689
    @sarahfisoo5689 7 месяцев назад +7

    😮madebe anadharau za kikuma

    • @user-ej6ov9tf5c
      @user-ej6ov9tf5c 5 месяцев назад

      Sana Yaani iri lijimaa lipumbavu sana

  • @wanatangawaja6397
    @wanatangawaja6397 7 месяцев назад +2

    Huyu madebe afai kusapotiwa katika kazi zake

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 7 месяцев назад

    Kuishi na mwanamke yoyote mwanaume unatakiwa uvumilie sana maumivi ya dharau,matusi na unyanyasaji wa kijinsia sasa kwa kuepuka kwenda jela maisha au kijipeleka kaburini na yeye pia ni bora ukamuacha na kuishi peke yako

  • @hansbukuku762
    @hansbukuku762 7 месяцев назад +4

    “Ni rahisi kuwa baba mzazi., lakini kuwa baba ni kazi../ Inahitaji., muongozo safi, utashi na kukidhi mahitaji.” @fidq

  • @Kombo-sl7uj
    @Kombo-sl7uj 7 месяцев назад +2

    Bwege sana wejamaaa hovyo sanaaaaaaa

  • @user-on3kz2kq7k
    @user-on3kz2kq7k 7 месяцев назад +2

    Nimejikuta nakudharau madebe

  • @user-fs6lp3op1x
    @user-fs6lp3op1x 7 месяцев назад +3

    Madebee kumbee wahovyooo ivoooo duuuu

  • @MariamAthuman-jq2ce
    @MariamAthuman-jq2ce 7 месяцев назад +5

    Jaman majib ya madebe hayaeleweki kabisaa mpuuzi uyu

  • @user-mx6zc6tn9v
    @user-mx6zc6tn9v 6 месяцев назад

    Huyu Mapipa ni mkolono mambo Leo kabisa sura bayaa

  • @florakimaro-vw7qj
    @florakimaro-vw7qj 7 месяцев назад +2

    Wewe ni muongo sana yani kwa maelezo Yako madebe unaonekana ni muongo sana

  • @petroniesindarubaza2420
    @petroniesindarubaza2420 7 месяцев назад +3

    Madebe mjingàaa sanaa

  • @Derevamkongwe6864
    @Derevamkongwe6864 7 месяцев назад +8

    Huyu mwmaba ni dhaifu sana, yani anaonekana mapenzi yanamsumbua sana. Hakuna kitu kibaya kama upate pesa japo kidogo na ukubwa yani lazima utafanya vitu vya kipumbavu tu

  • @user-vg9on3sb8o
    @user-vg9on3sb8o 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa Kama unajielewa unaezamtia kofi naumtukane wallah Mshamba sana mjinga huyu

  • @scolamwachia9233
    @scolamwachia9233 6 месяцев назад +1

    Mwanamme katili sana.

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 7 месяцев назад +6

    Huyu madebe ni choko kama choko😏😏😏unakosa kumpa mtoto bima nyooo😢😢alaf unaigiza hadi interview senge ww acha kumliza huyo dada kwel huyo dada cyo bland mangapi tumeona huku chanika akiptia shenzi zako kubwa jinga nyoko😏😏😏

  • @rehemawamwarami3854
    @rehemawamwarami3854 7 месяцев назад +4

    Madebe acha uwongo mungu apendi hudumia watoto wako mwanamke anaumia mnoo moyoni mwakee

  • @rehemamaheri9358
    @rehemamaheri9358 6 месяцев назад

    Chochote unacho fanya madebe huo n umri wako w pili maanake ni utakutana n Allah subhanallah huu ujanja wako w kisanii hautosaidia ndoa n ibada yatekeleze majukumu yako

  • @Yuulove-ro7er
    @Yuulove-ro7er 2 месяца назад

    Madebe muongo mimi shahidi namuon chanuo anavy hangaika madebe muongo sana shetani uyu sikupendi san. Chanui hana brand yyt ni mtu simpo san anaehangaika nawatot

  • @danieltsaxara9199
    @danieltsaxara9199 7 месяцев назад +3

    madebe mbwa mwenzangu

  • @husseinomary3893
    @husseinomary3893 7 месяцев назад +3

    "...Sema mnajua hizi mambo ni kawaida saana Kila Kona kupishana kupo sema Hawa Wote Wanakuja kwetu kutafuta sympathy, Mwanamke hakupaswa kuja kwenye audience ili paswa wafate Upatanishi wa Mgogoro kwa wazee hususani wale wa Imani yao

  • @frankyunia1809
    @frankyunia1809 6 месяцев назад

    Madebe anazingua sanaaa Mimi Kama baba wa familia vitambulisho vya wanangu nimefuatilia mwenyewe usipende Sana kutuma

  • @abdulhamidisiraja4930
    @abdulhamidisiraja4930 6 месяцев назад

    Nduguzangu ndoa zina mambomengi sana na ukimsililiza uyu mwanamke Anaongea sanaaaa huwezi furaia maisha kwamtu wa ivyo na pia hakuna mwanaume mkorofi kwa Mwanamke mnyenyekevu

  • @user-bk7zf1im7n
    @user-bk7zf1im7n 7 месяцев назад +5

    Mpumbavu sana we kaka nakuchukia sana

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 7 месяцев назад +7

    Madebe msenge sana

  • @richardcandidus186
    @richardcandidus186 7 месяцев назад +2

    Madebe ni mjinga anatudharilisha wanaume anataka mwanamke ndo atengeneze vyeti vya watoto? Mpuuzi sana anapaswa kushughulikia watoto wake

  • @Mr.Queentz
    @Mr.Queentz 6 месяцев назад +2

    Sasa kesi inamaluzwa wasafi huyu baba mjinga aiseee

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 7 месяцев назад +13

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Acha nitulie na mke wangu mmoja

    • @PaulCecyl-jz4mr
      @PaulCecyl-jz4mr 6 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣🤣tuliya baba madebe yeuyu ana umbuka

  • @LethisiaNjika
    @LethisiaNjika 7 месяцев назад +6

    Madebe muongo sana,hata macho yanaonekana tu

  • @Juke995
    @Juke995 7 месяцев назад

    Mwanaume wa hovyo sana huyu yan kapata bahti ya kuwa na mdada mzuri na lidomo lake hilo chefuuu. Yan mwanaume kama hawa hawafai hata katika jamii sura tu inaonekana ni liongo liongo tu hajibu maswali anarukaruka tu

  • @rerisamba
    @rerisamba 7 месяцев назад +1

    Wasafi mlikosea mngemuita Chanuo pia

  • @florencengwavi6939
    @florencengwavi6939 7 месяцев назад +6

    Madebe jirekebishe maisha hayaendi hivyo daah!!!

  • @StephanieHenry-kr9vz
    @StephanieHenry-kr9vz 7 месяцев назад +4

    ukitoka hapo kawaone watoto mbwa wew

    • @user-ej6ov9tf5c
      @user-ej6ov9tf5c 5 месяцев назад

      Tena mbwa mkubwa huyu kuanzia reo sihangarii movie zake

  • @Vee_money
    @Vee_money 7 месяцев назад

    Hili libaba linaonekana kabs ni liongo na linatumia ustadi wake wa kuongea kumnyanyasa mwanamke wa watu, mwogope Mungu wew Mzee. Alafu unajizalilisha loooh

  • @ibrahimirove
    @ibrahimirove 7 месяцев назад +1

    Kubwa Zima Linatesa Familia Lione Kwanza Lilivyo Na M/Mungu Anakuona

  • @shabanikipundile8357
    @shabanikipundile8357 7 месяцев назад +14

    Katika maisha huwezi kuhudumia mtu anayekuchukia. Apo sio huduma, shida wivu tu

    • @cathe-wr7gb
      @cathe-wr7gb 6 месяцев назад

      Sio huduma ya mama huduma za matunda waliochuma