MADEBE AMWAGA MBOGA, AMJIBU CHANUO - "ANAPELEKA WATOTO Kwa MASHOGA, ANALEWA" - PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • MADEBE AMWAGA MBOGA, AMJIBU CHANUO - "ANAPELEKA WATOTO Kwa MASHOGA, ANALEWA" - PART 1
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 323

  • @user-ej6ov9tf5c
    @user-ej6ov9tf5c 5 месяцев назад +4

    Huyu jamaa nilikuwa namuheshimu sana nakupenda movie zake Hira anaonekana nimswahiri sana napia mnyanyasaji mno rione kwanza baya kama boga

  • @user-ov2hv7nt2e
    @user-ov2hv7nt2e 7 месяцев назад +14

    Mwanaume wa hovyo mtoto wa miaka mitano hajaanza shule😂
    Dada dida nakupenda Sana umemuweza madebe

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 6 месяцев назад

      Yaani miaka mitano mtoto asipo pelekwa shule ndio mwanaume anakuwa wa hovyo? Kweli kuishi na msungo ni kipaji Kinacho jitegemea

  • @JemsOzil-wx1io
    @JemsOzil-wx1io 3 месяца назад +1

    Maisha yana siri kubwa yape sikio yakunongoneze ❤ be blessed my brother madebe lidai ❤

  • @user-gi4ys2nj5w
    @user-gi4ys2nj5w 7 месяцев назад +5

    Bwana madebe Mimi Huwa nakuelewa sana Kwa misemo mingi pamoja na kuwa kioo Cha jamii ila kwahili umeharibu mrudishe chanuo Jabra mambo hayajawa mengi acha kujitetea

  • @KOATV
    @KOATV 7 месяцев назад +6

    Noma lazima iingie trending 🔥🔥

  • @jayeventstv313
    @jayeventstv313 6 месяцев назад +1

    😂😂😂 Yaaani madebe Yuko sawa kabisaa. Hadi mnaona evidence Lakini mnamuonea Madebe. Even if it's me,nitafanya alivyofanya. Hongera Madebe.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 7 месяцев назад +1

    Kheeee sa ayo makubaliano gani jamani hapana kwakweli et asimchunguze mumewe 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @user-yf6ws8uz2p
    @user-yf6ws8uz2p 6 месяцев назад +1

    Nimefurahi MADEBE alipowauliza dida na lokole mupokwenyendoa jibu hawapo kwenyendoa lakini mukawamajaji kwenyendoa zawatu nimeipenda hii sini

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 7 месяцев назад +6

    Hawa wanaume wa hivi ndio wanadaigi mpaka chupi😢roho mbaya tuuuuuu msheeenziii

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 7 месяцев назад +4

    Niliposkiliza interview ya mkewe aligusia kuhusu suala la kulewa ilionekana kama madebe anaruhusu mkewe awe analewa nilimuona madebe mtu wa ajabu sana haswa katika misingi ya kidini now nimepata picha nimeelewa..vizuri kuskiliza malalamiko pande zote mbili still nahisi kuna matatizo pande zote mbili

  • @marthakinyaga8342
    @marthakinyaga8342 7 месяцев назад +16

    Yaan hapo mngewaita wote ilikuepusha unafiki na longolongo fanyeni muwaite pamoja .

  • @AZHAD26-gl9xf
    @AZHAD26-gl9xf 7 месяцев назад +10

    Niliwambia angalieni na upande wa pili..kiweni na Akili musiropoke tuu maisha yana Siri kubwa

  • @bensonmtutwa4583
    @bensonmtutwa4583 6 месяцев назад +1

    Yeye alikuja na mission Mimi nilikuja na vision. Chunguzaneni kabla ya kuoana ndoa ni dude kubwa

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l 7 месяцев назад +1

    Mke alikuwa straight forward..... Akiongea vinaeleweka Sana.

  • @user-go9vp1qy8b
    @user-go9vp1qy8b 6 месяцев назад +1

    Kuna sentensi aliyewahi kusema kweny filamu yake yawezekana ndio ambayo anatembelea,, Alisema hivi "NJIA RAHISI YA KUMUHADHIBU MWANAMKE USIEMPENDA NI KUMUOA" sijui alikuwa anamaanisha ao,, maaaana naona ni mwana Psycholojia

    • @tarisilamandy1835
      @tarisilamandy1835 3 месяца назад

      Inakaa wewe ni fan wa movie zake😂😂😂😂

  • @user-qc1ck5zu3c
    @user-qc1ck5zu3c Месяц назад

    Sio kimakosa, Ila ni arudi nyumbani kwake audumie familia yake.
    Napenda Sana movie zake, kumbe ovyo😮

  • @upendodaima8406
    @upendodaima8406 6 месяцев назад +1

    Madebe ni mpenda ngono kaniboa sanaa msaniii wangu

  • @beatricemartin474
    @beatricemartin474 7 месяцев назад +7

    Uyu mwanaume wanaomgombania labda wamelogwa kwa kweli maana kimuonekano haeleweki, mfukoni hasomeki uongo uongo mwingi sanaa.

  • @jacklineandrea
    @jacklineandrea 7 месяцев назад +4

    Huyo madebe anaonekana dikiteta

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 7 месяцев назад +12

    Ndungu yangu Mr. Madebe sisi Wanaume tuko wa janja sana ikiwa kama humpendi lazima umfanyie visaa wewe unajitetee muogope mwenye zi mungu kaka yangu punguza kuoa uko unajitetea ok fine

    • @isihakaabdul1134
      @isihakaabdul1134 7 месяцев назад

      Apunguze kuoa ? Afanyeje ajichue! Ushauri huo tena unatoka kwa mwanaume ? Hii dunia mbona hivi!!

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 7 месяцев назад

      Kwanini asioee?

    • @user-oh6ih7cz6c
      @user-oh6ih7cz6c 7 месяцев назад

      We mwanaume ahogaaa vipiii kwanza wewe abdu wajua maaa ya abdul kweliii

    • @salmabasil385
      @salmabasil385 6 месяцев назад

      @@isihakaabdul1134we nawe hamaanishi ajichue bali apunguze gubu atulie na mke sio kuoa na kuacha kilasiku

    • @PtahEnki-go3io
      @PtahEnki-go3io 6 месяцев назад

      Na vile sura kama kielekezo Cha hofu
      Nakuchukia tokea Kenya,sikudhamini tena

  • @mtorowaziri2645
    @mtorowaziri2645 6 месяцев назад

    😂madebe kamuua chanuo kweupeee😂kwaio saiv madebe ndo HERO

  • @lailalaila9114
    @lailalaila9114 7 месяцев назад +3

    Mi uyu baba ata wanaume waishi siwezi kua nae Jamn mungu anisamehe tu😂😂😂

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV 6 месяцев назад

      Umeonaee na lilivyo na sura km limetokea kwenye mapango ya kolelo

  • @fix_tv
    @fix_tv 7 месяцев назад +2

    Kazi safi sana. Pitia hapa

  • @jkayombo_jr858
    @jkayombo_jr858 5 месяцев назад

    Yan toka leo movie zako mwiko kwang

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 6 месяцев назад

    Mgeita wote Ili muwaulize na sio mmoja mmoja ,hata mahakaman hua wanaitaji watu wote ,ila mkiita mmoja mmoja hampopata ukweli wa uhakika

  • @salmabasil385
    @salmabasil385 6 месяцев назад +1

    Shanuo alisha sema kwenye maneno hakuna wakumshinda madebe

  • @samiriahmadi4632
    @samiriahmadi4632 6 месяцев назад

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema

  • @user-sx8py5hg4n
    @user-sx8py5hg4n 7 месяцев назад +1

    Me cjakusaliti mwamba nawajua wanawake vizur sana mwanaume hawez sema sir za ndan thus way tunaonekana wakosaj

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui 7 месяцев назад

      Msichan analew , marafik zake mashoga, anaiba hati ya nyumba serikal ya mitaa imemuony matendo kaona akimbilie mitandaon kumchafua madebe mpare katumwa hela

  • @DianaVinicius-mp6px
    @DianaVinicius-mp6px 6 месяцев назад +1

    Liongo likubwa ili

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 7 месяцев назад +3

    Usipokuwa makini madebe kumuelewa inaweza kukuchukua muda

  • @SaquinaMinrage
    @SaquinaMinrage 7 месяцев назад +2

    Nilikuwa nakukubali sana kumbe huna lolote nakuchukia

  • @asmahchongoe1117
    @asmahchongoe1117 7 месяцев назад +1

    Chanuo sio chizi jamani ila Mungu hamfichi mnafiki

  • @VestineKankindi
    @VestineKankindi 7 месяцев назад +4

    Madebe wewe ni muongo kwakwerixinaonekana unanyanyasa wanawake kwejiri yahera😢😢

  • @aggreybenny3070
    @aggreybenny3070 6 месяцев назад

    Anavocheka ka jingaa

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 7 месяцев назад +1

    Itoshe kusema tu kwamba ndoa zinasiri kubwa so kesi za wanandoa tuwaachie wanandoa wenyewe maana wao ndiyo wanao jua chanzo na mwenye mapungufu ninani kati yao.

  • @AsiamandutaAsiamanduta
    @AsiamandutaAsiamanduta Месяц назад

    Namuoneya uluma sana chanuo naelewa maumivu anayopitiya mwanaume kama madebe munqu awalahan daimaaa

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 6 месяцев назад +1

    Lkn yeye mwenyewe 😏 ako na ngeli simuchezo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-xg7ph7bz7p
    @user-xg7ph7bz7p 6 месяцев назад

    Kumuelewa Madebe inatakiwaa Akili wanawake wengi ni wahovyo

  • @user-jh9pm1zb1h
    @user-jh9pm1zb1h 7 месяцев назад +1

    Uuyo madebe Hana jipya ajing'ata ng'ata tu Hana hoja uyo

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb 6 месяцев назад

    Dunia Mapito Abdukiba aliimba, Masuala ya ndoa sasa Mitandaon Tutafika tu ila mh.

  • @abdillahabdalla
    @abdillahabdalla 20 дней назад

    Madebe muogope mungu

  • @user-vk8gp3wz9d
    @user-vk8gp3wz9d 6 месяцев назад

    Dada dida hao masta nishidatu hawajali watoto wao kudandiatu wadada waige mfano Kwa kakayao mondi anajuakudandia napia tunamwona anajali wanae na anawapenda maana tunamwona hatamitandaoni tunamwona anakula Bata na wanewe huyo binadam hatujawahi hata malamoja yupo nawamewe weangaliatu hatamwonekano wa wakezake inaonyeshatu halijali

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 7 месяцев назад +2

    Saiv hakuna ndoa kwasabb ndoa ni heshima na ndoa Ina siri zake na ndoa ni kustiriana, huwez kutoa aibu za ndani ya ndoa kwasabb ukitoa aibu za ndoa yko unajidhalilisha ww mwenyewe.
    Ucdhani kusema mabaya ya mke au mme wako humkomoi yy Bali unajikomoa mwenyewe.
    Jianike baba jivue nguo mchana kweupeee udhaifu wa chanuo ndo udhaifu wako halisia.

  • @user-rt6ef3rt4p
    @user-rt6ef3rt4p 6 месяцев назад

    Mapenzi kumbe nalo ni tawi la sanaa

  • @HancyKabisama
    @HancyKabisama 7 месяцев назад +2

    Ukiona mwanaume anashona kitenge!ogopa Sana huyo mwanaume

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 6 месяцев назад +1

    Ailishen kupendana mue km mm no love no sress😂😂😂

  • @KelvinMaganga-ew7xb
    @KelvinMaganga-ew7xb 7 месяцев назад +3

    Jamaa yuko smart sana wanawake siku hizi wanazingua sana

  • @BinSalim-sx8yx
    @BinSalim-sx8yx 6 месяцев назад

    Badebe aseme kweli

  • @tonphilipo7760
    @tonphilipo7760 7 месяцев назад +1

    Yaana anayoyaeleza ayaeleweki mbwa uyu mnafki tu alishajipanga kuja kujitetea tu

  • @AgnessPaschal
    @AgnessPaschal 4 месяца назад

    Wale maoenda na mission kwenye ndoa badala ya vission tujuane hapa

  • @user-tm7qy2fl1t
    @user-tm7qy2fl1t 7 месяцев назад +1

    Sio mapenzi yafungiwe hapana ujinga ndio ufungiwe

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV 6 месяцев назад

    Ukimuangalia madebe usoni unaona kbs uso unahaya nacho hayana nguvu hana nguvu yakupinga kiukweli kwa sis wasanii tunajua madebe hapo amefanya km yupo mbele ya kamera,lkn kwa maisha ya kawaida asingeweza kupinga hizi tuhuma😏😏😏😏

  • @neemamalila4155
    @neemamalila4155 7 месяцев назад +35

    Mapenzi yafungiwe Tanzania tumechoka 😂😂😂😂

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 7 месяцев назад

    Hiyo barua imeandikwa VIBAYA sanaaaaaa imeegemea upande mmoja

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 7 месяцев назад +3

    Point time nyingine shida niwanawake hakuna mwanaume anaependa mwanamke anajipangia chakufanya sasa mwanamke mrevi mimi niko naww madebe

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 7 месяцев назад +1

    Yaani hata sura inainyesha kuwa mnyanyasaji

  • @user-xp4gl3ug9y
    @user-xp4gl3ug9y 7 месяцев назад +1

    Walioshindwa kwenye ndoa na ndio wamekua makungwi😅😂

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q 6 месяцев назад

    Ndowa za kikiristo mungu alie umba mbingu na arizi hazijuwi wala hajaziandika

  • @sarahkahindi6348
    @sarahkahindi6348 6 месяцев назад +1

    Lenyewe linakaa katili 😏😏😏😏linajitetea tuu

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 6 месяцев назад

    Eeeh mapenzi yafungiwe cna kwely 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AliSaid-jp1ii
    @AliSaid-jp1ii 7 месяцев назад +1

    Madebe wee muongo tena muongo

  • @yaredyndaga6483
    @yaredyndaga6483 7 месяцев назад +1

    Na wewe Juma Lokole ulioa 'mmmh zamani lakini'

  • @Jayden8412-tq4ig
    @Jayden8412-tq4ig 6 месяцев назад

    So kwel kabisa bwana madebe

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 6 месяцев назад +1

    Jibu tuhuma hizo acha kuaminsha watu uongo

  • @jarufuramadhan2734
    @jarufuramadhan2734 6 месяцев назад

    Dida unaongea sanaaa aiseeh unabowa

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 7 месяцев назад +2

    Ati mashoga zake ni wanaume walileft😂😂😂...aah we!

  • @OmarOmar-ob9tb
    @OmarOmar-ob9tb 6 месяцев назад +1

    Haeleweky kabxa

  • @amosjoseph7241
    @amosjoseph7241 7 месяцев назад +1

    Mwanamke WA Aina Hii ni hatarii,huyo anaongea sana, ukimsikiliza vizuri nimchonganishi, pia amelenga kuvuna nyumba

  • @RBSMABATI
    @RBSMABATI 6 месяцев назад +1

    Content za ndoa zimeamia mitandaoni😊

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene 6 месяцев назад

    Hapo sasa madebe nimekuelewa

  • @user-mt8sk6ql9c
    @user-mt8sk6ql9c 7 месяцев назад +1

    Mhmmmm kiukweli mungu amfichi mja wake madebe so mtu kabisaa

  • @josephinethoya
    @josephinethoya 6 месяцев назад

    Mmhh,uyu nabii mswahilifu,anajifanyaga mstaarabu hana lolote😢😢

  • @shadrackmukaria811
    @shadrackmukaria811 7 месяцев назад +4

    Huyu mume mbwa tu.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 месяцев назад +2

    Na ukimwangalia tu uso wake anaonekana ni mnywa viroba.

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 7 месяцев назад +1

    Lione kwanza janaume hovyo sana

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q 6 месяцев назад

    Muhimu sio sura muhimu mashine

  • @user-ds5dr2gl4p
    @user-ds5dr2gl4p 6 месяцев назад +1

    Kusoma kipengele?

  • @BinSalim-sx8yx
    @BinSalim-sx8yx 6 месяцев назад

    Iyo barua ya kubuni haina ukweli

  • @abdulngenda6475
    @abdulngenda6475 7 месяцев назад +3

    Kwanini yeye Madebe haku peleka mtoto kwenye orodha na kumpesha mtoto keti cha kuzaliwa? Mjanja huyo hamtamweza.

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory5274 7 месяцев назад +3

    Madebe Janja janja sana

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 7 месяцев назад

      Uwezo mdogo wa watangazaji wanawekwa kona na mtu mwenye maneno mengi kuliko facts,media zetu hazina uwezo wa kuhoji ....,watu waoweza ku twist maneno

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 7 месяцев назад

      Ivi kwanini kilasiku kwenye maswala yandoa mtu wakwanza kulala Mika na kutow sili zandani ni mwanamke jamani ila siyo sisi wanaume.Ndomana tutazingishiw sana kwasabab kwenye kesi ya mwanamke kutoboa sisi wanaume katika Dunia hii bad sana tutazidi kuonew 😢

  • @EmJesho
    @EmJesho 7 месяцев назад +3

    Dida uliolewa mara ngap?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MohamedBotto
    @MohamedBotto 7 месяцев назад +1

    Madebe lidai mnafiki sana hata lafiki zake wanasema machafu yake je wanamuongopea

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 7 месяцев назад +3

    Kweli Dida zamani ulikua pambee enzi za times 100.5' saizi kwishney huna jipya umedorola

  • @user-wq5hz1vf4w
    @user-wq5hz1vf4w 6 месяцев назад

    Yaan anajiuma una tuu wallah mwanaume wa hivyo san ww

  • @KhairatyMustapher-zp1vz
    @KhairatyMustapher-zp1vz 6 месяцев назад

    Aiseeee...mh atari

  • @user-oh6dd4rt6w
    @user-oh6dd4rt6w 7 месяцев назад +1

    Hyo,malaya anajitetea tu

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 7 месяцев назад +2

    Mm nilikua na2kanywa insta kisa namtetea madebe ila siku namtetea ila nilikua nawaambia usimuhukumu kesi ambayo hujui upande wa pili upo je

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui 7 месяцев назад

      Ht mm nilisema wasichn Wana tabia ya uongo mkiachan lazm atazusha mambo ya hovyo

  • @ely928
    @ely928 6 месяцев назад +1

    Nasimama na Madebe, Don't trust a crying dog

  • @Adje244
    @Adje244 7 месяцев назад +4

    Wanawake tunahuruma sana😂😂😂 yani huyu na sura yake bado anapata mwanamke anamsumbua😅😅😅

    • @Mariam-fm8vq
      @Mariam-fm8vq 7 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂usinivunje mbavu

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 месяцев назад

      Nyie watu 😂😂😂...aah we! Mapenzi upofu eti

    • @user-wu2er7go9j
      @user-wu2er7go9j 7 месяцев назад +1

      We mwenyewe kupata bwana wa kukidhi haja zako unahurumiwa tu😂😂😂 ukute wa ovyo tu

    • @Adje244
      @Adje244 7 месяцев назад

      @@user-wu2er7go9j 🤣 ila siyo kama uyo 😩

    • @janechaula2870
      @janechaula2870 7 месяцев назад

      😁😁😁

  • @user-pk1gr4if9f
    @user-pk1gr4if9f 5 месяцев назад

    Mm ndio mana natafuta vyangu mahana mwanaume ukichuma nae baadae anakukataa

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 6 месяцев назад

    ila wanawake wajanja kesi kama hizi zipo muhimu watu wote

  • @bakaromar8979
    @bakaromar8979 7 месяцев назад

    Bwana kitana is typing😂😂

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 6 месяцев назад

    NASIMANA NA MADEBE HAPA

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 7 месяцев назад +1

    MADEBE MUONGOOO SANA

  • @enercknoah220
    @enercknoah220 7 месяцев назад +1

    Anajitete tu huyu baba … yule manamke alikua analia keasababu ya watoto wake, watoto wake mbona hawajaenda shule yaya kama baba katulia tu mtotowake ajaanza shule… na kama shule hajawapeleka nawala hajui je watakua wanakula kweli?

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul1134 7 месяцев назад +2

    Sasa mnaotukana kazi kwenu

  • @aggreybenny3070
    @aggreybenny3070 6 месяцев назад

    We mwenyewe msanii

  • @user-vg9on3sb8o
    @user-vg9on3sb8o 7 месяцев назад +1

    Ogopa muongeaji tena saikolojia😅

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 7 месяцев назад +1

    Madebe pumbavu sana

  • @khadijab7066
    @khadijab7066 7 месяцев назад +2

    Uyu jamani mtiani tu namchukia sana