JAPHET ZABRON NA VICTORIA WAELEZEA MAISHA YA MARCO ENZI ZA UHAI WAKE NDUG YETU HAKUWAHI KUUGUA MOYO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 549

  • @angieblessed
    @angieblessed 2 месяца назад +34

    Poleni ndungu zetu wa Tz . pia sisi tumeumizwa na kifo cha ndungu yetu.from kenya

  • @emmahndunda5691
    @emmahndunda5691 2 месяца назад +17

    Sio Jambo rahisi, Mwenyezi Mungu hawafariji Zablon Singers na aiweke roho yake mahali salama.
    From Kenya

  • @MaryMuli-co9sf
    @MaryMuli-co9sf 2 месяца назад +13

    Rip Marcos Joseph, tulikupenda lakini mungu amekupenda zaidi . Najua ni uchungu kumpoteza ndugu yenu. Sisi wa Kenya twasema pole sana. Tunalia pamoja na mungu awafariji zabron singer's na wa Tanzania wote.

  • @yucabethdavis4072
    @yucabethdavis4072 2 месяца назад +10

    Poleni ndugu zetu wa TZ. My condolences 💐 to the Zabron singer’s family. Pole zangu from USA 🇺🇸. I love your ministry na maombi kwenu nyote wana ZABLON SINGERS 😭😭😭😭😭😭🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

    • @isaacmaomba
      @isaacmaomba 2 месяца назад

      🙏🙏🙏 💔💔 shukrani

  • @maggiemandela3526
    @maggiemandela3526 2 месяца назад +10

    Yehova awafajiri familia ,ndungu na marafiki pamoja na taifa mzima la Tanzania.
    Hugs from Kenya 🇰🇪.
    Tunaomboleza pamoja nayi.

  • @JescaKisinza
    @JescaKisinza 2 месяца назад

    Daaaaah pole sana , wanafamilia wa zabron Mungu awatie nguvu kwa kipindi hiki kigumu, Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi.

  • @wilfrednyandusi5148
    @wilfrednyandusi5148 2 месяца назад +5

    Condolences to Zabron singers in general and Tanzania. We are proud of your songs. Hence receive our condolences from Kenya

  • @susannyairabu
    @susannyairabu 2 месяца назад +4

    Poleni sana zabron singers, poleni Tanzania,, Mungu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu,, kutoka Kenya

    • @DeboraThomas-i4t
      @DeboraThomas-i4t 2 месяца назад

      Poleni jamani dah si rahisi lakn Acha mungu awatie na awape faraja kama wana familia

  • @VirginiaKitheko
    @VirginiaKitheko 2 месяца назад +5

    Weee si raisi ila poleni sana wana zablon singers ndungu na familia kwa ujumla na ss mashabiki pia tuwe pole kazi yake ameimaliza bado na ss tumalize yetu tuweni pole sana ss wote from kenya 🇰🇪 inauma sana❤😢 ila mungu kashampenda zaidi lala salama Marco kuume kwa bwana amen 🙏 😢 😢

  • @EvelyneShadrack
    @EvelyneShadrack 2 месяца назад +57

    Tume huzunika sana sio tu Tanzania pekee kenya kwa ujumula ina uma sanaa kumupoteza muimbaji maarufu my heart condolences to the entire friends family and zabron singers may our Lord God strengthen you all

    • @MilaKavwai
      @MilaKavwai 2 месяца назад +2

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @victoriauno5394
      @victoriauno5394 2 месяца назад +2

      Sad unbelievable we will never see him again oh God😢.Wife n kids mungu awape nguvu.

    • @victoriauno5394
      @victoriauno5394 2 месяца назад +1

      Victoria may the Lord strengthen you.

    • @liliankimathi6973
      @liliankimathi6973 2 месяца назад +2

      My condolences to his family and Zablon singers

    • @alicekaita
      @alicekaita 2 месяца назад +1

      😭😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪wakenya tumelia sana

  • @noelmukasia376
    @noelmukasia376 2 месяца назад

    Poleni sana Wana Zabron Singers...Mungu Ndio Mfariji Mkuu...Awafariji sana...Mungu Ailaze roho ya Marco mahali pema Kwake

  • @Teacherrononck
    @Teacherrononck 2 месяца назад +13

    From Kenya 🇰🇪 poleni sanaa 😢😢

  • @korirkipyegon7732
    @korirkipyegon7732 2 месяца назад +5

    Makiwa kutoka Kenya. Honestly, this loss came too soon. May God anchor zabron singers and his immediate family through this low moment

  • @abigaelmwendwa5374
    @abigaelmwendwa5374 2 месяца назад

    Poleni Sana Wana Zabron singers, familia na Tanzania, Sisi Mashabiki wa Zabron singers tumeumia Sana , Joseph Mungu amuifadhi Hadi siku ya mwisho.

  • @jacksonsimiyu6492
    @jacksonsimiyu6492 2 месяца назад +3

    Pigo kuu kwetu mashabiki wa Zabron singers.Mwenyezi Mungu aifariji familia na aiweke roho yake mahali pema.

  • @emmanuelbiketi9201
    @emmanuelbiketi9201 2 месяца назад +2

    Poleni sana ndugu zetu wa Tanzania.. Mungu afariji Familia yake.. Pia Wakenya tumelia sana.. Safiri salama Ndugu Joseph.. tutaonana baadaye

  • @ANNHILDAMWANGI
    @ANNHILDAMWANGI 2 месяца назад +5

    Oh God... remember the entire family 🙏... love from Kenya..RIP

  • @mchunguziclemenc4678
    @mchunguziclemenc4678 2 месяца назад +1

    Pole sana kwakweli Mungu azidi kuwapa nguvu katika kipindi hichi vita amevipiga vya kutosha na mwendo ameumaliza Jina lake Bwana litukuzwe Amina

  • @JoelKimutai-e1j
    @JoelKimutai-e1j 2 месяца назад +1

    Zablon singers let God give you strength.waimbaji wazuri sana.ndugu zetu watanzania Pia Sisi wakenya tuko na uzuni Sana wacha mungu awake Roho Yake mahali pema pazuri mbinguni

  • @DorcasMutili-b8l
    @DorcasMutili-b8l 2 месяца назад +1

    Oooh,mwimbaji tuliyemtambua,mwimbaji wa nyimbo za ijiri,Mungu akuweke mahali alipojichakulia,poleni sana,Mungu awatie nguvu,asa,asa hii familia❤, Pole,poleni sana,pia nasi tunauchungu sana,na kifo chake.

  • @emilymwadime5478
    @emilymwadime5478 2 месяца назад +21

    From Kenya poleni sana

  • @ZubedaVicent
    @ZubedaVicent 2 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu ampe pumziko njema, polen sana wapendwa Mwenyezi Mungu awaited nguvu ktk kipindi hiki kigum

  • @eunice3876
    @eunice3876 2 месяца назад +3

    God strengthen his wife and children.so painfully aky..poleni Sana

  • @enockmaina629
    @enockmaina629 2 месяца назад

    Pole sana Familia ya zablon singers. Mungu awepe faraja kipindi hiki kigumu. Mimi Kama kipenzi cha kwaya ya zablon singers naumia kwa kweli. Ni uchungu....... May God grant you strength and comfort during this trying moment

  • @CathreenMexigan
    @CathreenMexigan 2 месяца назад +1

    We were with Zabron singers at kisumu last Saturday during campmeeting Marco was very healthy and happy.i just cannot believe that he's no more.Mungu na aifariji familia yake

    • @NaomOnywoki
      @NaomOnywoki 2 месяца назад

      Weuh pia naumia poleni sana from Kenya may our lord comfort you during this difficult moment

  • @rosyjerop4205
    @rosyjerop4205 2 месяца назад +1

    😢😢😢😢😢it's so painful to lose a mentor and God fearing man like you,my sincere condolences to the family and zabron singers, may his soul rest in eternal peace,,go well champion

  • @daisychepkoech4715
    @daisychepkoech4715 2 месяца назад +1

    Wakenya tulimpenda sana kwa kwaya ya zabron...tulihusunika sana wish Tanzania ingequa karibu tuombolexe wote....may his soul rest in eternal peace till we meet again

  • @danielkyalo5531
    @danielkyalo5531 2 месяца назад +3

    Poleni sana Zabron singers from Kenya Kitui Mungu na awafariji sana.

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 2 месяца назад

      Kiukweli kifo ni fumbo mwenyezi atujalie mwisho mwema

  • @mercylinemuhere7649
    @mercylinemuhere7649 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu awafariji sana Zabron fraternity na taifa la Tz kwa ujumla, pokeeni pole zangu toka Kenya

  • @stellakusaga4916
    @stellakusaga4916 2 месяца назад

    Huuuwi!!eeeeh!!Mungu!!ni ngumu sana kibinadamu!!inaumiza sana!wapendwa wetu wa Zabron Singers Mungu awatie nguvu awape faraja iliyo kuu!!ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wetu kaka yetu Marco!!

  • @KamantheJohn
    @KamantheJohn 2 месяца назад +1

    Soo bad ,😢😢 heri walalao wakiwa ndani ya yesu ,maana Huwa pamoja na mungu ,shine on your ways shujaa wa nyimbo,😭😭from Kenya , condolences to all his family & Tz na wote wanaomjua ,makiwa

  • @NancyMgonja
    @NancyMgonja 2 месяца назад +1

    Zabron’s singers Family Mungu wa Mbinguni awape faraja ya pekee kutoka mbinguni, Mungu amfariji mke wa marehemu na watoto pamoja na familia yote kwa ujumla 🙏🙏🙏

  • @jacksonfamba1748
    @jacksonfamba1748 2 месяца назад

    Poleni sana ndugu zetu watanzania.....so painful to loose such a vibrant soul .... rest easy Marco Joseph..... from kenya

  • @carolinekaburi2613
    @carolinekaburi2613 2 месяца назад

    My heart condolences to the family and friend's....I know it's a hard time loosing a talented singer Marco ...may he rest in eternal peace...his songs are inspirational to more generations
    May God grant his family grace 🙏

  • @evancekamilembe
    @evancekamilembe 2 месяца назад +1

    Daaaah! Tumehuzunika Sana na kifo Cha mpendwa wetu hakika Mungu ailaze roho ya marehemu mahara pema peponi, apumzike kwa amani, AMINA.

  • @Maria-ic5kp
    @Maria-ic5kp 2 месяца назад

    From us here Tacoma WA Heavenly Consolations and May he rest in Heavenly Peace Through Risen Christ Our LORD Amen .❤

  • @PaulineNdutaWanjira
    @PaulineNdutaWanjira 2 месяца назад +1

    Poleni sana familia, na Tanzania
    Ni ngumu, lakini Mungu anajua kwanini
    Bwana Yesu awape nguve na moyo wa kuitikia lilofanyika. Ndugu yetu Markos
    Pumzika kwa amani.Mungu alitupa ana Mungu amemchukua, Jina lake lisifiwe.

  • @sarahke4298
    @sarahke4298 2 месяца назад +3

    My heartfelt condolences to the family of Marco and the Zablon singers. May God comfort you and grant you sufficient grace as you mourn your loved one.

    • @claudettepeterkin4186
      @claudettepeterkin4186 2 месяца назад

      My condolence to the Zabron Family.Pray I'll meet you in Glory Marco.❤

  • @HylineBwonda
    @HylineBwonda 2 месяца назад +1

    From Kenya my condolences to the family and Zabron singers at large
    Nimeumia roho sana😢😢😢😢😢

  • @FatumaMvungi-u5h
    @FatumaMvungi-u5h 2 месяца назад

    Mungu wa mbinguni awape faraja idumuyo familia nzima ya zabrone singers,na mke wake kipz 😊

  • @sallykiptoo
    @sallykiptoo 2 месяца назад +1

    Poleni sana kwa familia and zabron singers at large...God wil wipe your tears...

  • @wanjirawarui4215
    @wanjirawarui4215 2 месяца назад

    🎉poleni sanaaa Wana zabron singers especially familia yake may Our good Lord have mercy on you

  • @wairimumurua9351
    @wairimumurua9351 2 месяца назад +1

    Poleni sana family na Zabron singers.May our brother in Christ rest in peace. From Kenya.

  • @HapyNessShirima
    @HapyNessShirima 2 месяца назад +1

    Pole San ndugu wa marehem na rafiki na jamiii Kwa ujumla tulikupenda San ila mungu amekupenda zaidi upumzikee salam Marco Joseph

  • @mugagithome2143
    @mugagithome2143 2 месяца назад

    Poleni sana the Zablons, hili ni pigo kubwa sio kwenu peke yake lakini hata sisi wapenzi wenu the Zablon singers. Mungu awape nguvu

  • @RizikiKalama
    @RizikiKalama Месяц назад

    Msivunjike moyo namsikate tamaa Wana zablon singer mzidi kufanya maombi shetani asipate nafasi yakuwasabaratisha ju ya Marko pia mungu awatie nguvu wakat huu mungumu, pia mim naomba niwe na mwisho mwema! from Kenya

  • @EstherMwongela-n9u
    @EstherMwongela-n9u 2 месяца назад +2

    From Kenya 🇰🇪 poleni sana 😢it has hit us hard too

  • @FaustinMmeitsi
    @FaustinMmeitsi 2 месяца назад

    Poleni sana wa Tz.Mungu ailaze roho ya ndugu pahali pema

  • @Kenyalydiahmonayo
    @Kenyalydiahmonayo 2 месяца назад +2

    From Kenya, poleni sana. 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @evancebarden4
    @evancebarden4 2 месяца назад +1

    Pole ndugu Na jamaa. Tunawapenda Na Upendo was Yesu. Mungu awafariji. Tunawaombea Sana Kwa jaribu Hilo.

  • @mulesi68
    @mulesi68 2 месяца назад

    Poleni sana WanaZabron singers. Poleni sana wote mlioguswa na msiba huu. Mungu Mwenyezi tunazidi kuomba faraja yako kuu isitupungukie.

  • @tracykogo3542
    @tracykogo3542 2 месяца назад +2

    Kutoka Kenya our deepest condolences to the family, friends and the Zablon singers. Mungu awafariji..

  • @EuniceKerubo-n2g
    @EuniceKerubo-n2g 2 месяца назад

    Poleni sana ndungu zetu wa Tanzania hata sisi tumeumizwa na kifo chake ndungu yetu .from Kenya

  • @williamchesoli8622
    @williamchesoli8622 2 месяца назад +2

    Pole sana kwa familia,marafiki na wote.Tunatazamia asubuhi njema tutakapo kutana naye Yesu akija.

  • @PaulineMkongo-k2d
    @PaulineMkongo-k2d 2 месяца назад

    Poleni sana watz tumehuzunishwa sana na kifo Cha mwombaji mungu ailaze roho yake mahala pema wakenya tuko pamoja

  • @janetkhaoma
    @janetkhaoma 2 месяца назад

    A humble soul full of Godly humility.....rest easy brother till we meet again

  • @Christine-ho5us
    @Christine-ho5us 2 месяца назад

    Poleni sana dungu zetu watanzania na familia pamoja zabron singers na Africa mzima tumepondeza my condolences to all God comfort

  • @Kevin-h5l
    @Kevin-h5l 2 месяца назад +1

    Rip Joseph you have really transformed not only my life but also lives of people from different countries 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @SelinaDorcas
    @SelinaDorcas 2 месяца назад +2

    Mungu awape faraja mioyon mwenu zabron singers

  • @andrewmungandi-cg9ql
    @andrewmungandi-cg9ql 2 месяца назад +1

    It's a sad development my family,, let's give God some praise for the loss , I'm following from Zambia

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 2 месяца назад +3

    Dada Victoria poleni sana famillia yote inauma sana kwetu wote mpenzi wetu

  • @marymaghuphamary5561
    @marymaghuphamary5561 2 месяца назад +1

    Poleni sana wana zabron singers mungu awe mfariji wenu from kenya

  • @DorcasWanjiru-b3f
    @DorcasWanjiru-b3f 2 месяца назад

    Polen sana ndugu zetu na familia ya Marcos mwenyezi mungu awafariji wakati huu mgumu poleni kutoka kenya

  • @fabianlaurent6144
    @fabianlaurent6144 2 месяца назад +3

    Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi, Tutamkumbuka kwa Mazuri yake Pamoja na Huduma Yake kwa Jamii

  • @Bettermustcome714
    @Bettermustcome714 2 месяца назад +1

    Poleni sana... Wakenya kwa jumla tunatuma pole zetu kwa familia na kikundi kizima cha Zabron singers

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476 2 месяца назад +1

    Poleni sana na huzuni kubwa .Mungu awafariji zablon family na Tanzania nzima.Wakenya twawapenda.

  • @Lordrich-m7y
    @Lordrich-m7y 2 месяца назад +5

    Wanzania tunaoishi south Africa tumeumia sana..poleni sana wanafamilia.

  • @flavianfrank6256
    @flavianfrank6256 2 месяца назад

    Mungu awapatie faraja familia ya zabron hakika inauma 😭😭😭😭😭lala salama kaka yetu

  • @simonkavelaga8964
    @simonkavelaga8964 2 месяца назад

    Pole dada pole sana mwenyezi mungu akutie nguvu kikubwa tumuombee marco apumzishwe kwa Aman

  • @estherkaranu5583
    @estherkaranu5583 2 месяца назад

    Poleni sana WanaZabron na familia kwa jumla😢Mungu ailaze roho ya Marco mahali pema peponi

  • @kamuhuro
    @kamuhuro 2 месяца назад

    Pole to the family and the choir may they find solace at this difficult time,from Kenya poleni sana.

  • @AndreaAbery
    @AndreaAbery 2 месяца назад

    Poleni sana wana ndugu na familia kwa ujumla mungu awatie nguvu

  • @sarahadhiambo7858
    @sarahadhiambo7858 2 месяца назад

    Poleni sana from kenya 🇰🇪 it's not easy loosing such a soul

  • @aggieallan6517
    @aggieallan6517 2 месяца назад

    Tunatoa pole zetu Kwa ndugu zetu wa Tanzania Kutoka Kenya ..Mungu awafariji

  • @chassalamu8886
    @chassalamu8886 2 месяца назад

    Poleni saana ZABRON SINGERS msiba ni wetu sote

  • @Nancymakena-z1d
    @Nancymakena-z1d 2 месяца назад

    Poleni sana familia, twaomboleza pomoja sisi kama wakenya ndugu yetu amekuwa wa baraka kwetu kupitia nyimbo zake😢😢

  • @CarolineLangat-sb2bf
    @CarolineLangat-sb2bf 2 месяца назад +2

    poleni sana ndugu zetu wa tanzania mungu to awafariji wakati huu mgumu

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 2 месяца назад +13

    Mnawahoji sana jamani khaa hamuwaachi wazike kwanza yan mm ningewagomea kuhojiwa wallah

    • @chrispinantabaye4866
      @chrispinantabaye4866 2 месяца назад +2

      Kwakweli mpaka too much,wangewapumzisha kidogo!!!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 месяца назад +1

      😢😢wanakera sana,Mimi HAPO nimeshapiga makamera hukoo😢

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 месяца назад +1

      😢😢wanakera sana,Mimi HAPO nimeshapiga makamera hukoo😢

    • @SelinaDorcas
      @SelinaDorcas 2 месяца назад +1

      Wanatafuta kazi tu hao lkn hawaangalii uchungu wa moyo

  • @MercyMwongeli-q7q
    @MercyMwongeli-q7q 2 месяца назад

    Pole aki victoria...I feel it....take heart 😢😢

  • @davidadorwa258
    @davidadorwa258 2 месяца назад

    My condolences to the entire family and may God comfort you during this hard time? We are leaved with no words but may the name of almighty God praise in both sad and happiness.

  • @Hope0shee
    @Hope0shee 2 месяца назад

    Am just shocked 😢God of love be with the family rip man of God from kenya we have lost a hero and a regend

  • @jamesbenjamin-kp4xc
    @jamesbenjamin-kp4xc 2 месяца назад

    MUNGU wetu ni mfariji mkuu, awafariji Familia nzima ya Zabroni Singers, MUNGU atabaki kuwa MUNGU katika nyakati za kila aina | poleni

  • @Lovergal0423
    @Lovergal0423 2 месяца назад

    From Kenya 🇰🇪 I feel so broken …😭😭may his soul rest in eternal peace

  • @GatiNyamataga-nk3uw
    @GatiNyamataga-nk3uw 2 месяца назад

    Pole sana familia marafiki na kanisa Kwa ujumla Mungu awatie nguvu

  • @claudettepeterkin4186
    @claudettepeterkin4186 2 месяца назад

    Your fans from Jamaica W I weep with you Zabron Family ❤.

  • @onsangojuniorcomedy1739
    @onsangojuniorcomedy1739 2 месяца назад +2

    Pole zangu kwa zabron singers, watanzania wote na wote wampendao Mungu kupitia utumishi wao zabronbsingers kwa njia ya uimbaji.
    Kutoka Kenya

  • @MamaPrince-kd9cw
    @MamaPrince-kd9cw 2 месяца назад +2

    Hapa Kisumu City Kenya tunaomboleza na nyinyi...Mungu awape nguvu na faraja....Ndugu Marco alikuwa angali mdogo....

  • @Roseline-ld8ed
    @Roseline-ld8ed 2 месяца назад

    Poleni sana Mungu awafariji familia ya zabron 😭😭
    Pumzika kwa Amani 😭

  • @justinomtili9226
    @justinomtili9226 2 месяца назад

    Poleni sana familia ndugu jamaa na marafiki,mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 😭😭😭

  • @juliakingori1099
    @juliakingori1099 2 месяца назад

    I'm so heartbroken but God have the reason for everything. May the lord give the family strength at this trying moments

  • @samwelchacha6912
    @samwelchacha6912 2 месяца назад

    😭😭😭😭 from 🇰🇪 poleni sana mungo ailaze roho yeke mahali palipo na wema 🙏

  • @EstherKasoki-s5p
    @EstherKasoki-s5p 2 месяца назад +1

    Nakosa niseme nini ila mungu ajuwa sababu muwe ngufu zabroh mungu afariji jamaa na marafiki na kanisa nzima la wa adventiste

  • @SaraMaphie
    @SaraMaphie 2 месяца назад

    Poleni ndugu wote kwa msiba wa ndugu yetu Marco

  • @joseph.mihambo5842
    @joseph.mihambo5842 2 месяца назад

    Poleni Sana Wana family Mungu wa Mbinguni awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na Mungu aiweke loho ya malehemu mahala pema peponi Amen 😢😢

  • @cynthiamelinda9901
    @cynthiamelinda9901 2 месяца назад

    Representing My Fellow Kenyan 😭😭😭😭May God comfort the family my Biggest condolences 😫😰

  • @carolinekiptoo
    @carolinekiptoo 2 месяца назад

    Poleni sana kwa family, marafiki wote, tulikupenda sana Marco but God love you too rest in peace marco

  • @RahmaMoon-e3h
    @RahmaMoon-e3h 2 месяца назад

    Poleni sana mungu wa mbinguni awatie nguvu from Kenya

  • @BensonKingatibenson
    @BensonKingatibenson 2 месяца назад

    Poleni sana familia,zabron singers na Tanzania yote kwa ujumla kwa kumpoteza Moja wenu.may God condole your hearts

  • @patrickmbogo3029
    @patrickmbogo3029 2 месяца назад

    May God grant you peace at this very difficult time and will fill the gap. Blessed are the peace lover.

  • @HappynessRobert-j8z
    @HappynessRobert-j8z 2 месяца назад

    Poleni sana nyasubi kwa kuondokewa na mpendwa wetu