Hadi wa leo sijawai amimi Marco is no more 😢 kwani kunaedanga aje.Mungu tusaidie kuzidi kuhesabu siku zetu.we shall meet him in paradise if we remain to be faithful.poleni sana Wana Zabron .kweli inauma sana.
Kama machozi yangeweza kuamusha mtu aleye kufa basi Marco angeamka leo maana nimelia sana😭😭😭😭😭😭 ila hatuna hiyo uwezo rip shujaa,,,pole zangu from Kenya mungu hawatie nguvu😭💔
I am in U S A. 19000 miles away from Tanzania but I love the songs of this team. I am writing this with a lot of tears. I wish I can be next to this brothers and sisters and sing this with combo with them. Someone needs to talk to be please.
Mungu tujalie mwisho mwema, tutaonana tena Marco Mungu awe mfariji wenu familia na zabron singers kwa ujumla.. ! Pumzika kwa amani bwana alitwaa na bwana ametoa jina lake lihimidiwe!😢
mungu asie waacha wana wake ,, -kwa hiki kipindi kingumu sana mungu awe upande wenu kuwafariji . hapa kenya twaomboleza na nyinyi na tunawaombea neema ya bwana iwe juu wenu ndungu na dada zetu❤❤❤❤ tunawapendaz. neema itoshe😢
Mungu awafariji mioyo yenu Marco ameiaga dunia sissi tumebaki tusonge mbele na kutumainia MUNGU asubuhi njrma inakuja wafu wafufuke waliolala ndani ya YESU..poleni sana
I used to play their,mkono wa Bwana daily in my work place computer daily from 9 am to 8pm Monday to Saturday,but from Friday nimeshindwa am in deep pain,imeniumiza Sana.Pole Sana our neighbors Tanzania.
Ikiwa machozi yanaweza kumuamsha kaka Marko hakika angeamka ni wapi pumzi ya uhai inauzwa niwapi pumzi ya uhai inauzwa hakika wangenunua kaka aamke ....ASANTE MUNGU TUFUNDISHE KUHESABU SIKU ZETU😢😢😢
From Kenya, So painful. May God give fortitude to Zabron Singers and the entire family. @ Japheth and Victoria na wengine, mungu awafariji wakati huu mgumu. Mjane wa Marco pole sana. Siku moja tutakutana nae na tujumuike pamoja kwenye kiti cha enzi. Poleni
Nimelia sana Yan nmeliaaa Mungu nitie nguvu maana huyu kijan kaniumiza Sana kwanini majambazi na wahalifu wengine wanaishi Ila huyu kaondoka mapema sana😢😢😢😢😢 daaaahh
Hakika kizuri hakidumu kama ambavyo wasemavyo wahenga wetu, hatuna namna ya kusema au kufanya ,zaidi ya kumrudishia utukufu wake Mungu,pumzika Kwa Amani kipenzi Cha wengi,aAmina
Ties has fallen after listening to this song,rest in peace my dear brother...at first i thought that it was a joke 😢😢now I can see that it's true you have left us by b
Poleni wan Zabloni singers familia jamaa na marafiki, sisi kama your fans twaendelea kuwashikilia na maombi. Amani ya bwana na iwe nanyi mkimpumzisha. Mpendwa Marco
If tears could bring this guy back 😢we've really cried..tis well .till the resurrection morning.hugs from kenya 🫂🫂🫂
May his soul rest in peace
My condolences to Family.Watching this from Norway and my heart cries with the loss.
Amen
Ndivyo Imani yetu inavyo jaribiwa ,ninacho waombea sana .Msije mkamkatia Mungu tamaa kwaajili ya hili,tazameni kusudi la Msalaba
Poleni sana nimejikuta nimelia
Poleni sana Kwa family yao Marco zabron singers 😭💔💔😭😭 inauma sana
Hadi wa leo sijawai amimi Marco is no more 😢 kwani kunaedanga aje.Mungu tusaidie kuzidi kuhesabu siku zetu.we shall meet him in paradise if we remain to be faithful.poleni sana Wana Zabron .kweli inauma sana.
Not only Zabron singers are mourning in Kenya we knew him through your touching songs 😢we are mourning too may God comfort you guys
Japo ni uchungu farijikeni katika yesu mungu awatie nguvu wakati huu mgumu 😢😢😢
Kama machozi yangeweza kuamusha mtu aleye kufa basi Marco angeamka leo maana nimelia sana😭😭😭😭😭😭 ila hatuna hiyo uwezo rip shujaa,,,pole zangu from Kenya mungu hawatie nguvu😭💔
Ni kweli kabisa😭😭😭😭
Poleni sana ndugu zangu chakufanya tumuombe dua ndugu yetu aliye tangulia mbele za haki mung ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu
I am in U S A. 19000 miles away from Tanzania but I love the songs of this team. I am writing this with a lot of tears. I wish I can be next to this brothers and sisters and sing this with combo with them. Someone needs to talk to be please.
It's so sad 😭💔 and painful 😢
Mungu tujalie mwisho mwema, tutaonana tena Marco
Mungu awe mfariji wenu familia na zabron singers kwa ujumla.. ! Pumzika kwa amani bwana alitwaa na bwana ametoa jina lake lihimidiwe!😢
mungu asie waacha wana wake ,,
-kwa hiki kipindi kingumu sana mungu awe upande wenu kuwafariji . hapa kenya twaomboleza na nyinyi na tunawaombea neema ya bwana iwe juu wenu ndungu na dada zetu❤❤❤❤ tunawapendaz. neema itoshe😢
Mungu awatie nguvu poleni sana na ni msiba mzito san
😢😢😢
Mungu aiweke roho yake pahali pema peponi. 😢😢from Kenya
So sad, poleni, may the Lord God continue to strengthen the family and the Zabrons singers
Mungu aonaye machoji ya wapendwa awafariji jitieni nguvu katika jinala Yesu kristo
Amen
Polen sana watumishi wa Mungu mwenyez Mungu awatie nguvu sana
Poleni sana,kwa familia na wana zablon,,mungu amechukuwa kilicho cheke,,mungu wa mbinguni awafariji na kuwa tia nguvu
Polen sana mungu awatie nguvu familia, ndgu marafiki, na kanisa kwa ujumla mbele Yake nyuma yetu mungu pekee aijua sababu.
Mungu awatie nguvu poleni sana Zabron singers tunaumia pamoja na nyinyi
Ni msiba wa Taifa huu
Msiba wa Taifa ni ule akifa kiongozi wa Kitaifa ndiyo maana hata bendera waga zinapepea nusu mlingoti.
@@MashakaMagesafikiria kwa upana alichomaanisha kwa kusema msiba wa taifa.
Mungu awafariji mioyo yenu Marco ameiaga dunia sissi tumebaki tusonge mbele na kutumainia MUNGU asubuhi njrma inakuja wafu wafufuke waliolala ndani ya YESU..poleni sana
Wow, niece one, creativity,hata mimi nimeumia
Poleni sana alafu pia mnajua sanaaa❤❤❤❤❤ mungu awaweke Kwa huduma yake
Inauma sana Mungu tusaidie sana
Kenya tuko pamoja nanyi pole sana
I used to play their,mkono wa Bwana daily in my work place computer daily from 9 am to 8pm Monday to Saturday,but from Friday nimeshindwa am in deep pain,imeniumiza Sana.Pole Sana our neighbors Tanzania.
Pokeeni pole zetu kutoka kenya ,maumivu makali kweli mungu awape nguvu zabron singers na familia ya Marco
Ikiwa machozi yanaweza kumuamsha kaka Marko hakika angeamka ni wapi pumzi ya uhai inauzwa niwapi pumzi ya uhai inauzwa hakika wangenunua kaka aamke ....ASANTE MUNGU TUFUNDISHE KUHESABU SIKU ZETU😢😢😢
Poleni sana
Pole sana mungu azidi kuwaongoza
Mungu hufanya njia pasipo na njia hata hili mtalishinda poleni sanaa
😢😭😭😭angekuwa hapa tungeskia sauti yake tamu aki mbona kaenda jamani Mungu mbona
❤❤❤❤❤ nakuomba
4:22
From Kenya, So painful. May God give fortitude to Zabron Singers and the entire family. @ Japheth and Victoria na wengine, mungu awafariji wakati huu mgumu. Mjane wa Marco pole sana. Siku moja tutakutana nae na tujumuike pamoja kwenye kiti cha enzi. Poleni
Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu katika kipindi hiki kigumu
av watched this hundred times in disbelief! poleni Wana zablon tumo safarini sisi wote
Mungu awatie nguvu family ya zbron kazi yake mungu haina makosa tumuombee ndugu yetu marco apumzike kwa aman tutaonana mbinguni kwa baba marco amna
Mungu awatie nguvu.
Japo yanazushwa mengi ila daima Mungu ni mwema
Poleni sana watumishi wa mungu.acha Mungu hamlaze mahali alipojichangulia Marco na Mungu hawafariji na hawatie nguvu
Nimejikuta nalia sana! Huu wimbo unaumiza sana! Kuliko unavyodhan. Nimemkumbuka kaka simon! Kwann Mungu alituhudu aondoke
Hakika maisha yetu Mungu ndiye anayajua, wimbo huu umeniliza na kunikumbusha mbali sana 😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Hili linaumiza sana😭😭. Enda salama Michael ❤❤❤.
Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu Wana wa Mungu, amen
Mungu mwenyezi ufuna mahali bake
Mungu mwenyezi awe faraja yenu
Poleni Sana MUNGU MWENYEZI awatie nguvu inauma Sana
Poleni sana mungu awatie nguvu
Poleni sana Zabron Singers. Mungu awafariji nyote pamoja na familia ya Marco
Have cried so much,may God comfort you zabron singers
Mungu mwenyezi awafariji 🇰🇪.
Mungu amlaze mahalo pema peponi, awatie nguvu familia yake waliobakia
Farijikeni katika Bwana.Mungu awatie nguvu
Nimelia sana Yan nmeliaaa Mungu nitie nguvu maana huyu kijan kaniumiza Sana kwanini majambazi na wahalifu wengine wanaishi Ila huyu kaondoka mapema sana😢😢😢😢😢 daaaahh
Poleni Sana. Mungu awatie nguvu. Wakati Huu wa. Uchungu,Caroline from kenya
Subscribe for me too dearest 🥰
Mungu awe faraja sana kwetu,ata sisi roho zetu zinauma saaana
Mungu awatie ngumvu katika Imani
Msy lord receive marco in eternal live
Polen sana.Mungu awafariji
Pole sana kwa ndugu jamaa na marafiki wote.
Mungu wafariji na ailaze roho yake mahali peponi pole zangu kwa familia
Poleni sana tuko na nyinyi zablone sigers pole sana kutoja kenya
Pole kwa Familia Ndugu na Jamaa Mungu akawe Faraja
Poleni sana sana wapendwa, Mwenyezi Mungu ameona mnaliweza hili jaribu atawafunga moyo mkuu litapita,pumzika kwa amani Marco
Inauma sana,lakini si wote tuko safarini.mungu angekuwa anaulizwa swali,angeulizwa sana kwanza na watoto wangu wanapenda zabron singers
Mungu amlaze pema peponi
Poleni sana kwa kipindi hichi kingumu mungu awatieh nguvu
Mungu awatie nguvu .kaa na imani kuwa there is a bright morning
Mungu afanyike faraja kubwa kwenu🙏🏾,poleni sn ndugu
Poleni sana wanzetu Watanzania...Toka hapa Kenya tumeguzika poleni poleni poleni
Poleni sana aki mungu amueke pahari pema
Mungu ndiye anajua ,Naomba awafariji poleni Mungu amlaze mahali pema
Poleni sana Mungu awe mfarijini wenu na awape amani yake.
Hakika kizuri hakidumu kama ambavyo wasemavyo wahenga wetu, hatuna namna ya kusema au kufanya ,zaidi ya kumrudishia utukufu wake Mungu,pumzika Kwa Amani kipenzi Cha wengi,aAmina
😭😭😭😭poleni sana Yani nimeumia sana kaka Marco Mungu akupokee🙏
Poleni sana najua mpo kwenye kipindi kigumu sana ila mungu yupamoja nanyi
Mungu awapiganieeerr😮😮
Mungu akupe pumziko lamilele mteule wa bwana
Pole sana ndugu zeto.May God confort you
Yauma kweli🇰🇪
Poleni zabron. Singers kwa msiba uliowakumba. Ni huzuni sana kumpoteza.marco kwa huo umri mdogo. Mungu awafute machozi nyote. RIP Marco
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki pumzika kwa amani ndugu yetu
Apumzike kwa amani Amina
Kweli ni huzuni sanaa na upweke ndani ya mioyo,kijana mdogo kuacha family ikiwa bado wanamhitaji.mungu ingilia Kati hili
Mungu awape nguvu na ujasiri yakuendeleza kazi yake
Poleni sana zabron singers, nimejikuta machozi yakitiririka.
😢😢😢😢😢 poleni poleni sana. Mungu Mwenyewe awafariji na kuwapanguza machozi. Lala salama kaka Marco 🙏🏽
Poleni sana majirani and God comfort you all.
Pore. Mwihangane Mungu amwakire
haki inauma sana pole sana japhet na victoria machozi yenu imenikuza rip marco na nyinyi wote wa zabron singers
Ties has fallen after listening to this song,rest in peace my dear brother...at first i thought that it was a joke 😢😢now I can see that it's true you have left us by b
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 🙏
Mungu anasababu ya kila jambo.jina lake liini
Pole zabrons momanyi kenya
Pole yenu watumishi wa mungu Acha mungu awafute machozi rest in eternal peace Shujaa mark
Mungu azidi kuwapa nguvu na faraja ya kweli.
Mungu wa mbinguni,hawakumbuke kwa kipindi hichii kigumu,poleni sana,😢😢
Mungu awe mwamba imara kwenu
Poleni Sana team zabron and the entire family
Mungu atusaidie
Poleni wan Zabloni singers familia jamaa na marafiki, sisi kama your fans twaendelea kuwashikilia na maombi. Amani ya bwana na iwe nanyi mkimpumzisha. Mpendwa Marco
Inauma sana
Daaah inauma sana lkn mungu yupo pamoja nanyi
Mungu awepe amani,pia sisi Kenya tunaumia pia especially us your fun.