JAPHETI AMWAGA MACHOZI, ATAJA MAAGIZO ALIYO ACHIWA NA MARCO WA ZABRON SINGERS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 сен 2024

Комментарии • 848

  • @jojohk.3993
    @jojohk.3993 19 дней назад +133

    Poleni sana kwa msiba,Mungu awape nguvu. Any Kenyans pita na like

    • @CollyKamili
      @CollyKamili 19 дней назад

      @@jojohk.3993 Like iyo basi, nami pia mnicheck out mnisupport, ama vipi? Na Mungu awabless. 🇰🇪🇬🇧

    • @simateitim4700
      @simateitim4700 18 дней назад +2

      Hata kwa msiba mnaomba likes jameni? Hizi likes mnazikula?

    • @magrethevarist4378
      @magrethevarist4378 18 дней назад +1

      Poleni sana familia ya zablon singers

    • @user-nm6bf6xk2m
      @user-nm6bf6xk2m 17 дней назад

      Yani watu wanalipa.wewe uko hapo unaomba likes,Huna hata aibu wewe.uwezi kuwa na utu unataka likes zikusaidie na nn sasa.bahati mbaya mkono wangu wangu umeshika hiyo like kibahati mbaya.najutia sanaa

    • @user-bj6dq7dj4c
      @user-bj6dq7dj4c 17 дней назад

      sasa wewe unazingatia kasoro ama unatoa pole yako

  • @rosenight272
    @rosenight272 19 дней назад +52

    Pole sana Japhet Zabron na familia nzima, jamani ni pigo kubwa sana.
    Hapa Kenya tunawaombea BWANA YESU awatie nguvu na kuwafunga mshipi wa nguvu psalms 18:32

    • @michelraphael9871
      @michelraphael9871 19 дней назад +1

      It's sad for me sée your tears,let's thé Lord give you consolation.From Martinique in Caribbean.Michel.

  • @ItangishakaSamuel-s8d
    @ItangishakaSamuel-s8d День назад

    From Rwanda we love you so much zabron singers,poleni kwa ndugu wetu Joseph. Poleee sana Japhet, so turabakunda cyane!

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 19 дней назад +67

    Ila wanahabari mnahoji sanaa angalieni na situation waliyonayo wanazabron siyo kuhoji hoji tuu Kila mara.

    • @fedmiradaf3141
      @fedmiradaf3141 19 дней назад +2

      Wajinga sna hawa

    • @GastoJohn-s1p
      @GastoJohn-s1p 19 дней назад +3

      Sure you're right sio saw kuhoji bila kuangalia watu wapo katika hali gan noo!😢😢

    • @user-bi9zi1ex7t
      @user-bi9zi1ex7t 19 дней назад +3

      Kabisa Jaman sisi Wambali tunalia Sasa Wenyewe jamn Duuuh

    • @hedayakagoma9133
      @hedayakagoma9133 19 дней назад

      Mbaya sana hii wangewaacha kwanza jmn

    • @joycembugua9848
      @joycembugua9848 19 дней назад +2

      Ukweli wawapatie muda kifo chaumiza sana

  • @ESSY795
    @ESSY795 19 дней назад +25

    Poleni Sana kwa msiba..Mungu ailaze roho ya MARCO mahali pema peponi.

  • @CarineSindihebura
    @CarineSindihebura 19 дней назад +10

    Na warundi huku Burundi tunawapenda sana!
    Hapa roho inauma kuusu kifo cha mpendwa wetu Marco Joseph Bukuru 💔 Mungu Amlaze mahali pema peponi!Apumzike kwa amani🕯️

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2e 19 дней назад +15

    Brother Japheth take heart even if it's painful God knows why he took Marco

  • @DaimeryMahenge
    @DaimeryMahenge 19 дней назад +99

    Poleni sana Wana familia toeni namba zitakazo pokea michango wapendwa daaaah pole Dada angu mungu akutie nguvu mshiriki mwenzang 😭😭😭😭😭

    • @RosieNgina
      @RosieNgina 19 дней назад +11

      Nimeona mahali kesho ndio watakutana mara ya kwanza juu ya mipango labda watapeana namba za michango,but ni uchungu sana ameacha familia changa bado woiye

    • @mndemedeborah6850
      @mndemedeborah6850 19 дней назад +2

      Namba ya Japhet inapokea michango na pole

    • @DaimeryMahenge
      @DaimeryMahenge 19 дней назад

      @@mndemedeborah6850 ipi iyo

    • @gracewilson1024
      @gracewilson1024 19 дней назад +4

      Kwa kweli hasa maharusi jamani nyimbo zake zimepigwa sana haswa uko single na mkono wa Bwana

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia 19 дней назад +1

      Namba ipo kwenye page ya Japheth Zabron ametoa namba za kupokea pole ya rambi rambi

  • @RoseShakanya-x8s
    @RoseShakanya-x8s 19 дней назад +16

    Safi sana!!!madakitari wamefanya NAFASI yao.umejibu vizuri.tumshukuru mungu Kwa Kila jambo

  • @EstherOloo-no3bz
    @EstherOloo-no3bz 17 дней назад +3

    I don't know why my tears are rolling endlessly 😭😭😭😭😭Poleni sana Brother Japheth...Mungu akutie nguvu kaka.

  • @MargarethKapinga
    @MargarethKapinga 17 дней назад +2

    Pole sana sana mke wa Marco, Mungu Baba akuangalie na akutunze pamoja na familia yako, ni Mungu tu atakayewafariji binadamu hatuwezi.

  • @camelitelevin1294
    @camelitelevin1294 19 дней назад +6

    Poleni sana familia, Zabron singers, marafiki na Watanzania wote. Japheth Mungu awatie nguvu.

  • @euniceeveria2621
    @euniceeveria2621 19 дней назад +4

    Pole sana kwa family mungu awatie nguvu family na friend wote marko mungu ailaze roho yako mahali pema pa Amani pole zangu kutoka Kenya

  • @joycembuvik9690
    @joycembuvik9690 19 дней назад +18

    Im really sorry I feel your pain
    Poleni sana from 254

  • @LoyceDaud
    @LoyceDaud 4 дня назад +1

    Poleni sana wapendwa wetu wa Zabron Mungu awatie nguvu nyote na familia yake

  • @KwizeraAssumpta
    @KwizeraAssumpta 19 дней назад +16

    Marco muvandimwe uruhukire mu mahoro twagukundaga cyane ariko Imana yo yagukunze kuturusha.aheza ni mu ijuru .RIP Marco

  • @user-rk5xr8ub6y
    @user-rk5xr8ub6y 18 дней назад +4

    Poleni Sana wapendwa wanafamilia wa zabron singers, mungu awape faraja na ujasiri katika Hilo, mungu Yuko pamoja nanyi.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 19 дней назад +15

    Mi nilijua ni wakenya kumbe from Kahama😭😭😭😭😭poleni sana. Tunapenda sana nyimbo zenu

  • @gladysluka5945
    @gladysluka5945 16 дней назад +1

    Poleni sana kwa kumpoteza Marco,naomba mungu awafariji nyinyi nyote na familia kwa juma.pokeeni amani ya mungu

  • @catengina3922
    @catengina3922 17 дней назад +1

    Poleni poleni sana zablon singers, familia na watanzania kwa hii pigo kubwa, Mwenyezi Mungu awatie nguvu.

  • @hellenobwogi472
    @hellenobwogi472 16 дней назад +2

    It's so painful Japheth take heart,Marco has finished the race 😭😭😭God knows better than us

  • @CarolynnBeth
    @CarolynnBeth 19 дней назад +4

    So sad to lose such a young soul. It sucks😭😭. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi....

  • @bettyisaack209
    @bettyisaack209 19 дней назад +4

    Poleni sana wapendwa kwa msiba huu. Faraja ya Mungu iwatosheleze katika kila jambo!

  • @madlinemkawajomba4472
    @madlinemkawajomba4472 19 дней назад +2

    😭😭😭😭😭😭yani inauma sana poleni Sana kaka zetu watanzania.
    Rip Marco Mungu aiweke roho yako pema palipo na wema

  • @poulineijusa376
    @poulineijusa376 16 дней назад +1

    Pole kwa jamii ya uimbaji ya zabron na mkewe mwenda zake na watoto aliowaacha. Mungu ni mfariji. Ni mume wa wajane. Ni baba wa yatima. Atawaongoza na kuwatia nguvu

  • @JacklineNangila
    @JacklineNangila 5 дней назад

    Akii pole saana Naphtha,,jikaze tafadhli,,,Mungu ndo mwamuzi wa uhai wetu,,,,tulia na uamini Marco yupo mahala pema patakatifu,hio nafsi yake yaendelea kumwabudu Muumba wake kule mbinguni

  • @JESUS354
    @JESUS354 18 дней назад

    Poleni sana Japhet; Mungu roho Mtakatifu akawe faraja yenu.
    It's so painful....but it's our way back to our Almighty God.

  • @AndersonNgolo
    @AndersonNgolo 19 дней назад +3

    Poleni watanzania Kwa kumpoteza muimbaji wa injili mungu wa faraja amufariji

  • @IsayaSiminzile
    @IsayaSiminzile 19 дней назад +7

    Zabron singers!!! Don't think that you're alone in this hardness. The family of Mwl. Siminzile is with you in this greater sorrow!!!!

  • @ZapifaniaMagebu
    @ZapifaniaMagebu 19 дней назад +3

    Poleni sana familia, Mungu awatie nguvu na awe mfaraji kwenu kipindi hiki cha majonzi

  • @AliceJoshua-p1l
    @AliceJoshua-p1l 19 дней назад +2

    Poleni sana familia ya Zabron singers, ila msiwe na hofu siku moja tutaonana tena katika raha ya milele mbinguni kwa baba

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 2 дня назад

    Zabron sisters and brothers msimuache Mungu adui hana mlango,inatosha .

  • @beatricekilonzo1607
    @beatricekilonzo1607 18 дней назад +2

    Poleni Sana Wana familia tuombee mke wa mwenda zake mungu ampe nguvu za kulea watoto

  • @user-lo8zo4xe1b
    @user-lo8zo4xe1b 19 дней назад +1

    Poleni sana its a big loss but God will give you strength to overcome the loss.condolescences from Kenyans

  • @IsaacWamalwa-h9b
    @IsaacWamalwa-h9b 11 дней назад

    Poleni sana kwa zabron singers kwa msiba mlio upata,mungu awatie nguvu....rip brother Marco 😢😢😢

  • @user-ss8ol3gy9m
    @user-ss8ol3gy9m 17 дней назад +1

    Poleni sanaa tunampenda nae mungu alimpenda zaidi hapa mm n mkenya bt nime feel uchungu lala salama bro ❤😢

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 19 дней назад +3

    Wapendwa kifo kipo tujiandae na sisi wanadamu tunatembea tukiwa marehemu Mungu alituwekea fumbo kubwa sana katika jambo ili

  • @luciagurti1829
    @luciagurti1829 17 дней назад

    Poleni sana, Ndg,Mke , Familia nzima ,Marafiki na Waimbaji wote. AMEMFAA MUNGU.
    Amepumzika ktkt Bwana.
    Poleni mno, tumeumia wote.

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 18 дней назад

    Kufiwa, usikie tu kwa mwenzio.
    Poleni sana Zabron singers, Mungu Awatie nguvu na kuwaponya mioyo yenu, with time time you will be ok, tuna tumaini katka Kristo, tusipozimia mioyo we shall meet again in Heaven.
    #Mzalendo_Wa_Uimbaji thats my take today, nilikuwa nakosa neno sahihi inapofika kuongelea eneo hili la uimbaji/music

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 19 дней назад +1

    Asante bengo kwakuuliza ahadi yamtoto kwamba atamuendeleza kumsaidia kumufundisha nyimbo kwasababu baba akifaliki mengi yanatokea😢😢😢😢😢😢😢

  • @BeathaMassawe-y6x
    @BeathaMassawe-y6x 6 дней назад

    Poleni Sana familia kwa ujumla mungu yupo pamoja nanyi.

  • @lucycharles1949
    @lucycharles1949 18 дней назад +1

    Poleni wapendwa,mungu awatie nguvu,alale pema na mwanga wa milele umuangazie🙏

  • @jacklinetanui315
    @jacklinetanui315 19 дней назад +1

    Poleni sana wapendwa,,MUNGU awafariji na kuwatia nguvu wakati huu wa maombolezi.

  • @abigaelratemo3372
    @abigaelratemo3372 19 дней назад

    Poleni Sana Japhet, God was there when Kaka yako akiondoka humu duniani. Take heart.

  • @elizabethkimwemwe7847
    @elizabethkimwemwe7847 19 дней назад +1

    Poleni Sana Zabron Singers Mungu awatie nguvu wengi tumeumizwa na msiba wa Marcus ila hatuna namna yote Ni mapenzi ya Mungu.

  • @InnocentAmos-wr3br
    @InnocentAmos-wr3br 19 дней назад +2

    Kweli poleni sana wapendwa,Mungu awafariji kwa yaliyowakuta.tusife mioyo sote ni wapitaji,kila aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi sinyingi hapa duniani!!
    Lakini hata hiki kiwakute mwaka huu ila tutazidi tu kuwapenda na kupenda nyimbo zenu!!

    • @princhiuskalogosho1804
      @princhiuskalogosho1804 17 дней назад

      @@InnocentAmos-wr3br wanajisafisha Tu hao hawana lolote ,watoke hadharani hivyo hivyo waelezee kifo cha Magufuli kilitokwa tokeaje??wanafikir tumesahau?

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 19 дней назад

    Poleni sana!! Mwenyezi Mungu awe Mfariji wenu....inauma sana kumpoteza rafiki, ndungu na mtu wa karibu!!!!! Tunaiombea roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu Apumzike kwa Amani.

  • @RehemaKarimi
    @RehemaKarimi 3 дня назад

    Mungu awatuloze. Mioyo yenu❤tuko sote kwa Hali hii

  • @marykaranja7062
    @marykaranja7062 19 дней назад +6

    Poleni sana. Nauelewa uchungu wa kupoteza ndugu.

  • @MorisSinyinza-ee1ux
    @MorisSinyinza-ee1ux 17 дней назад

    Polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu kazi ya mungu haina makosa me naamin mungu atawavusha hayo matatizo na mutakuwa sawa pia tunawaombea mungu awalinde na awatie moyo wa ujasili ktk hilo❤

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew 17 дней назад +2

    Huyu mwanahabari ni mshamba kweli. Anahoji mtu aliyefiwa bila serviette za kumsaidia nazo kufuta machozi !😅😅😅

  • @Anyanga-u3x
    @Anyanga-u3x 8 дней назад

    Inauma 😢😢sana poleni sana bwana japheth na wana zabron singers in large; patrick from kisii kenya

  • @MarryMathias-p2t
    @MarryMathias-p2t 11 дней назад

    Pole wanafamilia ya mungu, mungu Bado yupo nanyi,jioen moyo mtashinda, mungu awape wepes Kwa kipindi kigumu hiki, mungu yupo pamoja nanyi

  • @isabellanyumayinzu6723
    @isabellanyumayinzu6723 17 дней назад

    Poleni sana kwa msiba huo. Mungu awape wepesi katika kipindi hiki kigumu. Apumzike kwa Amani, Amina.

  • @kenyaglobalnewsnetwork35
    @kenyaglobalnewsnetwork35 17 дней назад

    Pole sana. Marco was my favourite singer especially kwa nawapenda, nko single.

  • @YonahMwamanenge-hy7fe
    @YonahMwamanenge-hy7fe 17 дней назад

    Poleni sana watumishi waimbaji wa nyimbo za injili w kwaya ya Zabron Singers Kwa kuondokewa na ndugu Marco, Mungu awatis nguvu katika kipindi hiki kigumu,

  • @faithjenfer63
    @faithjenfer63 17 дней назад

    This life is precious and too short!! Death is unpredictable 😭May God comfort the families and wipe the tears❤much love from kenya!May the departed soul rip

  • @jacintamulei
    @jacintamulei 18 дней назад

    Poleni sana Zabron Singers..Hakika hilo limetuguza sana lakini hatuna shaka kamwe maana twaelewa Marco alichanguliwa na Mungu akaiendeleze kazi yake uimbaji kule mbinguni pamoja na malaika watakatifu,akawe mmoja wa walimu wa nyimbo huko juu,Kazi yake humu duniani ameifanyia kikamilifu na ameenda kuiendeleza kwingine ambako Mungu alimwita aende.Tunawaombea sana Mungu awatie nguvu zaidi ili kuifanikisha kazi mlioitwa kuifanya..Mungu anawapenda na anawajali sana..Mara tena,poleni sana🙏

  • @zipporahmoraa6071
    @zipporahmoraa6071 17 дней назад +1

    Tunatazidi kuwaombea sana ss wakenya tupoo pamoja kiroho MUNGU awalinde,kwa huu MDA mgumu 😢

  • @fridahnyakogera6870
    @fridahnyakogera6870 14 дней назад

    Am literally crying 😭😭,,may his soul rest in peace. My sincere condolences to the entire family. From Kenya

  • @arasalucy654
    @arasalucy654 19 дней назад +4

    Pole sana Japhet kwa kumpoteza nduguyo. We are feeling it for you and your family. Receive my condolences from Kenya

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 19 дней назад +2

      Kenyans!! Thank you for the love,❤
      Hakika ninyi ni majirani wema.
      Mmetufariji sana.

    • @catherinenjeri7702
      @catherinenjeri7702 18 дней назад

      This has hit me hard 😢😢 Rest well Marco

    • @LeonidasNteturuye
      @LeonidasNteturuye 17 дней назад

      Namimi mwana nchi waburundi nasema poleni sana munguwambingu awape uvumilivu sana tuta ishi nae mbinguni.

  • @jemimahsimiyu8313
    @jemimahsimiyu8313 17 дней назад +1

    condolences from Kenya..May the Lord comfort you Zabron singers.

  • @NeemaMbagale
    @NeemaMbagale 4 дня назад

    Poleni sana ndugu zetu mungu awaited nguvu

  • @FatumaJuma-o6l
    @FatumaJuma-o6l 18 дней назад

    Pole I sana sana pole kubwa kutoka Kenya nawapenda Sana huwa nawafuatilia nyimbo zenu r.i.p.marco 😭

  • @agnesnjorogendura7971
    @agnesnjorogendura7971 15 дней назад

    Kenyans we love zabron Singers.its sad and painful loosing one of you.we mourn with you.may God comfort you and give you that peace that surpasses human understanding.

  • @ghostg5993
    @ghostg5993 19 дней назад +2

    Pokeeni rambirambi zetu kutoka Kenya tulipenda nyimbo zenu na bado tutazipenda hata licha ya Marco kuondoka,wacha mungu ailaze roho yake mahali pema palipo wema.

  • @KisakaMariam
    @KisakaMariam 15 дней назад

    Poleni sana huu ni msiba wawengi tutakukumbuka sana mungu akupumzishe mahala pema Amina

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v 19 дней назад +1

    Poleni sana wana familia mungu azidi kuwapa nguvu kweli 😭😭😭😭😭😭🙏🙏

  • @saraumugwaneza2030
    @saraumugwaneza2030 19 дней назад +1

    Pole Sana Kwa Msiba.Mungu wetu Wa Mbinguni awatie Nguvu.

  • @MagrethKagere-uw5xn
    @MagrethKagere-uw5xn 19 дней назад +1

    Polen sana MWENYEZI MUNGU awatie faraja,upendo na amani

  • @Loyce-v5h
    @Loyce-v5h 14 дней назад

    Poleni Sanaa zabron Sungard,mungu awatie nguvuu bwana ametoaa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe😢😢😢

  • @claireadhiambo4147
    @claireadhiambo4147 17 дней назад +1

    Ni pigo sio tu kwa Tanzania bali hata kwa sisi wakenya😢

  • @agnesygitano3710
    @agnesygitano3710 18 дней назад

    Poleni sana ndg zetu Mungu ana mpango na Marco ambao sote hatukuujua,hivyo Bwana alitoa na ndiye ametwaa.

  • @JosephineNdaro-j3y
    @JosephineNdaro-j3y 16 дней назад

    Popeni sana Wa zabron singers mungu awatie nguvu kwa kipindi hiking kigumu,, Mungu ndo anajua sababu ya kumchukua Marco mungu awatetee na muendelee na huduma,,I feel your pain 😭 😭😭😭

  • @TunaniSegeru
    @TunaniSegeru 2 дня назад

    Poleni. Sana. Ilakaniuma. Sana. Huyokaka. Munguamlaze. Mahar. Pemapeponi

  • @maryjustertarimo9858
    @maryjustertarimo9858 19 дней назад +1

    Bwana Yesu awatie nguvu ndugu zetu. Tujipe Moyo nisafari yetu wote japo ni safari ngumu mtu kutangulia

  • @NyamateWeja
    @NyamateWeja 18 дней назад

    Poleni sana wana zabron singers kwa pigo hili kubwa..mungu awe faraja yenu kuu

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 19 дней назад

    Mungu huchukua kila kizuri zaidi..alafu hupenda kutupa sisi binadamu wakati Mgumu Allahmdhulilah poleni sana kwa msiba mzito Allah awatie nguvu kipindi hiki kigumu awape faraja..Innalilah rajiun 😢

  • @eliudsinkala419
    @eliudsinkala419 17 дней назад

    Poleni sanaZabloni Singers,MUNGU awatie nguvu wakati huu mgumu.Pia mjane na watoto

  • @SeventhdayAdventistChurc-jz8sj
    @SeventhdayAdventistChurc-jz8sj 18 дней назад +1

    Poleni sana wana Zablon singers Mungu awape nguvu mpya wakati huu mgumu😢😢😢

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 19 дней назад +2

    Watu wana uchungu mpo bize kuwahoji hv hamjawah kufiwa nyie?maana nimeshangaa hta mke wa marehemu kuhojiwa Leo ,,waandishi wa nchi inaweza ukawapiga ngumi kwa hasira😢😢 looh

  • @CheryAmpetsa
    @CheryAmpetsa 10 дней назад

    Poleni sana familiar ya marco,,,hata sisi.wakenya tunaomboleza kwa huchungu,,😭😭😭

  • @mawazoramazani9370
    @mawazoramazani9370 19 дней назад

    Poleni sana ndugu zetu hatuna chakusema zaidi ya kushukuru Mungu na kuwaombea faraja 😭😭

  • @NteguzaFanny-zf7qm
    @NteguzaFanny-zf7qm 17 дней назад +1

    Poleni sana zabron family tunawapenda

  • @felnestory4181
    @felnestory4181 18 дней назад

    Dah, inauma ila Mungu wetu ni mkubwa atawapoza machungu yote, MUNGU ampokee kwenye raha ya milele Amina 🙏🙏

  • @OnesmoDominick-l7r
    @OnesmoDominick-l7r 12 дней назад

    Poleni sana wapendwa maama Dunia hii tuna pita said tumuombe mungu atusaidie kwakindi hiki kigumu

  • @user-bd2re1cj9u
    @user-bd2re1cj9u 19 дней назад

    Poleni sana Zabron singers Mungu awe mfariji wenu ktk kipindi hiki kigumu. pole sana Mrs Marco... Mungu akushike sana. R. I. P Marco. Tutaonana badae 😭😭😭

  • @FredrickAtika-c8v
    @FredrickAtika-c8v 18 дней назад

    Poleni sana kwa msiba mliopatwa nao waimbaji wa zalon singers,mungu awaongezee marina sana ya kuendelea na utunzi

  • @user-ui9pe5cs3o
    @user-ui9pe5cs3o 11 дней назад

    And we ugandans we love yo songs sorry to loose our bro marco rest in peace josoph ny son

  • @EstherIlakadi
    @EstherIlakadi 18 дней назад

    Poleni sana kwa Wana Zabron singers,Mungu awafariji😭😭😭😭,Makiwa

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 19 дней назад +1

    pole sana kaka usilie sana mshukuru Mungu.

  • @HainesMachor
    @HainesMachor 12 дней назад

    Poleni sana ndugu zangu najua ni kipindi kigumu ila Mungu atawahudumia

  • @purrityykambua5982
    @purrityykambua5982 17 дней назад

    Poleni sana kwa huu msiba umeshtua wengi mungu awape nguvu,mungu alitoa na mungu ametwaa

  • @rehemamasanja8875
    @rehemamasanja8875 17 дней назад

    Poleni sana sana watumishi Mungu awape faraja kuu katika kipindi hiki kigumu

  • @euniceamimo6952
    @euniceamimo6952 18 дней назад +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭 the song nakutuma wimbo uende kwa yule... My favorite song 😭😭😭😭May you Rest In peace brother Marco. For the rest may God gives you strength during this trying moment.

    • @Janetlulonde
      @Janetlulonde 15 дней назад

      My God I feel sad really sad

  • @DotoS12
    @DotoS12 19 дней назад +1

    Heri wafaao ktk Bwana mana ufufuo wa kwanza ni wao ,mungu azidi kuwafariji ndg zetu Amina

  • @MasanjaMakolo
    @MasanjaMakolo 19 дней назад

    Pole sana japhet na familia Kwa ujumla jamn daah Dunia hii kifo ichi jaman MUNGU atusaidie kwakweli daaah nimeskia uchungu sana

  • @barnabaferuzi-z5e
    @barnabaferuzi-z5e 17 дней назад

    Mungu awatie nguvu,faraja ya Roho mtakatifu iwe juu yenu kwa jina la Yesu

  • @MarryMathias-p2t
    @MarryMathias-p2t 11 дней назад

    Pole sana mke wa marehem Kwa maumivu hayo ila mungu atafanya jambo Kwa sababu yeye hashindi kitu, atatenda miujiza yake mungu

  • @user-wp2ch2cq2d
    @user-wp2ch2cq2d 17 дней назад +1

    VVEEEEERRYYYYYY SOORRYY MY DEAR ONES ZABRON SINGERS...
    MAY GOD BE YOUR MIGHTY STRENGTH 💪💪 IN ALL THINGS I PRAY 💪🙏🙏😪 AMEN