Yani watu wanalipa.wewe uko hapo unaomba likes,Huna hata aibu wewe.uwezi kuwa na utu unataka likes zikusaidie na nn sasa.bahati mbaya mkono wangu wangu umeshika hiyo like kibahati mbaya.najutia sanaa
Pole sana Japhet Zabron na familia nzima, jamani ni pigo kubwa sana. Hapa Kenya tunawaombea BWANA YESU awatie nguvu na kuwafunga mshipi wa nguvu psalms 18:32
Na warundi huku Burundi tunawapenda sana! Hapa roho inauma kuusu kifo cha mpendwa wetu Marco Joseph Bukuru 💔 Mungu Amlaze mahali pema peponi!Apumzike kwa amani🕯️
Nimeona mahali kesho ndio watakutana mara ya kwanza juu ya mipango labda watapeana namba za michango,but ni uchungu sana ameacha familia changa bado woiye
Pole kwa jamii ya uimbaji ya zabron na mkewe mwenda zake na watoto aliowaacha. Mungu ni mfariji. Ni mume wa wajane. Ni baba wa yatima. Atawaongoza na kuwatia nguvu
Akii pole saana Naphtha,,jikaze tafadhli,,,Mungu ndo mwamuzi wa uhai wetu,,,,tulia na uamini Marco yupo mahala pema patakatifu,hio nafsi yake yaendelea kumwabudu Muumba wake kule mbinguni
Kufiwa, usikie tu kwa mwenzio. Poleni sana Zabron singers, Mungu Awatie nguvu na kuwaponya mioyo yenu, with time time you will be ok, tuna tumaini katka Kristo, tusipozimia mioyo we shall meet again in Heaven. #Mzalendo_Wa_Uimbaji thats my take today, nilikuwa nakosa neno sahihi inapofika kuongelea eneo hili la uimbaji/music
Kweli poleni sana wapendwa,Mungu awafariji kwa yaliyowakuta.tusife mioyo sote ni wapitaji,kila aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi sinyingi hapa duniani!! Lakini hata hiki kiwakute mwaka huu ila tutazidi tu kuwapenda na kupenda nyimbo zenu!!
@@InnocentAmos-wr3br wanajisafisha Tu hao hawana lolote ,watoke hadharani hivyo hivyo waelezee kifo cha Magufuli kilitokwa tokeaje??wanafikir tumesahau?
Poleni sana!! Mwenyezi Mungu awe Mfariji wenu....inauma sana kumpoteza rafiki, ndungu na mtu wa karibu!!!!! Tunaiombea roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu Apumzike kwa Amani.
Polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu kazi ya mungu haina makosa me naamin mungu atawavusha hayo matatizo na mutakuwa sawa pia tunawaombea mungu awalinde na awatie moyo wa ujasili ktk hilo❤
Poleni sana watumishi waimbaji wa nyimbo za injili w kwaya ya Zabron Singers Kwa kuondokewa na ndugu Marco, Mungu awatis nguvu katika kipindi hiki kigumu,
This life is precious and too short!! Death is unpredictable 😭May God comfort the families and wipe the tears❤much love from kenya!May the departed soul rip
Poleni sana Zabron Singers..Hakika hilo limetuguza sana lakini hatuna shaka kamwe maana twaelewa Marco alichanguliwa na Mungu akaiendeleze kazi yake uimbaji kule mbinguni pamoja na malaika watakatifu,akawe mmoja wa walimu wa nyimbo huko juu,Kazi yake humu duniani ameifanyia kikamilifu na ameenda kuiendeleza kwingine ambako Mungu alimwita aende.Tunawaombea sana Mungu awatie nguvu zaidi ili kuifanikisha kazi mlioitwa kuifanya..Mungu anawapenda na anawajali sana..Mara tena,poleni sana🙏
Kenyans we love zabron Singers.its sad and painful loosing one of you.we mourn with you.may God comfort you and give you that peace that surpasses human understanding.
Pokeeni rambirambi zetu kutoka Kenya tulipenda nyimbo zenu na bado tutazipenda hata licha ya Marco kuondoka,wacha mungu ailaze roho yake mahali pema palipo wema.
Popeni sana Wa zabron singers mungu awatie nguvu kwa kipindi hiking kigumu,, Mungu ndo anajua sababu ya kumchukua Marco mungu awatetee na muendelee na huduma,,I feel your pain 😭 😭😭😭
Mungu huchukua kila kizuri zaidi..alafu hupenda kutupa sisi binadamu wakati Mgumu Allahmdhulilah poleni sana kwa msiba mzito Allah awatie nguvu kipindi hiki kigumu awape faraja..Innalilah rajiun 😢
Watu wana uchungu mpo bize kuwahoji hv hamjawah kufiwa nyie?maana nimeshangaa hta mke wa marehemu kuhojiwa Leo ,,waandishi wa nchi inaweza ukawapiga ngumi kwa hasira😢😢 looh
Poleni sana Zabron singers Mungu awe mfariji wenu ktk kipindi hiki kigumu. pole sana Mrs Marco... Mungu akushike sana. R. I. P Marco. Tutaonana badae 😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 the song nakutuma wimbo uende kwa yule... My favorite song 😭😭😭😭May you Rest In peace brother Marco. For the rest may God gives you strength during this trying moment.
Poleni sana kwa msiba,Mungu awape nguvu. Any Kenyans pita na like
@@jojohk.3993 Like iyo basi, nami pia mnicheck out mnisupport, ama vipi? Na Mungu awabless. 🇰🇪🇬🇧
Hata kwa msiba mnaomba likes jameni? Hizi likes mnazikula?
Poleni sana familia ya zablon singers
Yani watu wanalipa.wewe uko hapo unaomba likes,Huna hata aibu wewe.uwezi kuwa na utu unataka likes zikusaidie na nn sasa.bahati mbaya mkono wangu wangu umeshika hiyo like kibahati mbaya.najutia sanaa
sasa wewe unazingatia kasoro ama unatoa pole yako
Pole sana Japhet Zabron na familia nzima, jamani ni pigo kubwa sana.
Hapa Kenya tunawaombea BWANA YESU awatie nguvu na kuwafunga mshipi wa nguvu psalms 18:32
It's sad for me sée your tears,let's thé Lord give you consolation.From Martinique in Caribbean.Michel.
From Rwanda we love you so much zabron singers,poleni kwa ndugu wetu Joseph. Poleee sana Japhet, so turabakunda cyane!
Ila wanahabari mnahoji sanaa angalieni na situation waliyonayo wanazabron siyo kuhoji hoji tuu Kila mara.
Wajinga sna hawa
Sure you're right sio saw kuhoji bila kuangalia watu wapo katika hali gan noo!😢😢
Kabisa Jaman sisi Wambali tunalia Sasa Wenyewe jamn Duuuh
Mbaya sana hii wangewaacha kwanza jmn
Ukweli wawapatie muda kifo chaumiza sana
Poleni Sana kwa msiba..Mungu ailaze roho ya MARCO mahali pema peponi.
Na warundi huku Burundi tunawapenda sana!
Hapa roho inauma kuusu kifo cha mpendwa wetu Marco Joseph Bukuru 💔 Mungu Amlaze mahali pema peponi!Apumzike kwa amani🕯️
Brother Japheth take heart even if it's painful God knows why he took Marco
Poleni sana Wana familia toeni namba zitakazo pokea michango wapendwa daaaah pole Dada angu mungu akutie nguvu mshiriki mwenzang 😭😭😭😭😭
Nimeona mahali kesho ndio watakutana mara ya kwanza juu ya mipango labda watapeana namba za michango,but ni uchungu sana ameacha familia changa bado woiye
Namba ya Japhet inapokea michango na pole
@@mndemedeborah6850 ipi iyo
Kwa kweli hasa maharusi jamani nyimbo zake zimepigwa sana haswa uko single na mkono wa Bwana
Namba ipo kwenye page ya Japheth Zabron ametoa namba za kupokea pole ya rambi rambi
Safi sana!!!madakitari wamefanya NAFASI yao.umejibu vizuri.tumshukuru mungu Kwa Kila jambo
@@RoseShakanya-x8s kabisa
I don't know why my tears are rolling endlessly 😭😭😭😭😭Poleni sana Brother Japheth...Mungu akutie nguvu kaka.
Mungu akutie nguvu inauma sana
Pia nami
Pole sana sana mke wa Marco, Mungu Baba akuangalie na akutunze pamoja na familia yako, ni Mungu tu atakayewafariji binadamu hatuwezi.
Poleni sana familia, Zabron singers, marafiki na Watanzania wote. Japheth Mungu awatie nguvu.
Pole sana kwa family mungu awatie nguvu family na friend wote marko mungu ailaze roho yako mahali pema pa Amani pole zangu kutoka Kenya
Im really sorry I feel your pain
Poleni sana from 254
Poleni sana wapendwa wetu wa Zabron Mungu awatie nguvu nyote na familia yake
Marco muvandimwe uruhukire mu mahoro twagukundaga cyane ariko Imana yo yagukunze kuturusha.aheza ni mu ijuru .RIP Marco
Upuungana mwee uliningo
Nimwihangane bavandimwe
Poleni Sana wapendwa wanafamilia wa zabron singers, mungu awape faraja na ujasiri katika Hilo, mungu Yuko pamoja nanyi.
Mi nilijua ni wakenya kumbe from Kahama😭😭😭😭😭poleni sana. Tunapenda sana nyimbo zenu
Watanzania wezetu Hawa,ndiyo waloimba hata wimbo wa Tumeuona mkono wako Bwana.
Hata Mimi nimeguswa na msiba huu jamani
Poleni sana kwa kumpoteza Marco,naomba mungu awafariji nyinyi nyote na familia kwa juma.pokeeni amani ya mungu
Poleni poleni sana zablon singers, familia na watanzania kwa hii pigo kubwa, Mwenyezi Mungu awatie nguvu.
It's so painful Japheth take heart,Marco has finished the race 😭😭😭God knows better than us
So sad to lose such a young soul. It sucks😭😭. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi....
Poleni sana wapendwa kwa msiba huu. Faraja ya Mungu iwatosheleze katika kila jambo!
Poleni sana wanafamilia
😭😭😭😭😭😭yani inauma sana poleni Sana kaka zetu watanzania.
Rip Marco Mungu aiweke roho yako pema palipo na wema
Pole kwa jamii ya uimbaji ya zabron na mkewe mwenda zake na watoto aliowaacha. Mungu ni mfariji. Ni mume wa wajane. Ni baba wa yatima. Atawaongoza na kuwatia nguvu
Akii pole saana Naphtha,,jikaze tafadhli,,,Mungu ndo mwamuzi wa uhai wetu,,,,tulia na uamini Marco yupo mahala pema patakatifu,hio nafsi yake yaendelea kumwabudu Muumba wake kule mbinguni
Japheth
Poleni sana Japhet; Mungu roho Mtakatifu akawe faraja yenu.
It's so painful....but it's our way back to our Almighty God.
Poleni watanzania Kwa kumpoteza muimbaji wa injili mungu wa faraja amufariji
Zabron singers!!! Don't think that you're alone in this hardness. The family of Mwl. Siminzile is with you in this greater sorrow!!!!
Poleni sana familia, Mungu awatie nguvu na awe mfaraji kwenu kipindi hiki cha majonzi
Poleni sana familia ya Zabron singers, ila msiwe na hofu siku moja tutaonana tena katika raha ya milele mbinguni kwa baba
Zabron sisters and brothers msimuache Mungu adui hana mlango,inatosha .
Poleni Sana Wana familia tuombee mke wa mwenda zake mungu ampe nguvu za kulea watoto
Poleni sana its a big loss but God will give you strength to overcome the loss.condolescences from Kenyans
Poleni sana kwa zabron singers kwa msiba mlio upata,mungu awatie nguvu....rip brother Marco 😢😢😢
Poleni sanaa tunampenda nae mungu alimpenda zaidi hapa mm n mkenya bt nime feel uchungu lala salama bro ❤😢
Wapendwa kifo kipo tujiandae na sisi wanadamu tunatembea tukiwa marehemu Mungu alituwekea fumbo kubwa sana katika jambo ili
Poleni sana, Ndg,Mke , Familia nzima ,Marafiki na Waimbaji wote. AMEMFAA MUNGU.
Amepumzika ktkt Bwana.
Poleni mno, tumeumia wote.
Kufiwa, usikie tu kwa mwenzio.
Poleni sana Zabron singers, Mungu Awatie nguvu na kuwaponya mioyo yenu, with time time you will be ok, tuna tumaini katka Kristo, tusipozimia mioyo we shall meet again in Heaven.
#Mzalendo_Wa_Uimbaji thats my take today, nilikuwa nakosa neno sahihi inapofika kuongelea eneo hili la uimbaji/music
Asante bengo kwakuuliza ahadi yamtoto kwamba atamuendeleza kumsaidia kumufundisha nyimbo kwasababu baba akifaliki mengi yanatokea😢😢😢😢😢😢😢
Poleni Sana familia kwa ujumla mungu yupo pamoja nanyi.
Poleni wapendwa,mungu awatie nguvu,alale pema na mwanga wa milele umuangazie🙏
Poleni sana wapendwa,,MUNGU awafariji na kuwatia nguvu wakati huu wa maombolezi.
Poleni Sana Japhet, God was there when Kaka yako akiondoka humu duniani. Take heart.
Poleni Sana Zabron Singers Mungu awatie nguvu wengi tumeumizwa na msiba wa Marcus ila hatuna namna yote Ni mapenzi ya Mungu.
Kweli poleni sana wapendwa,Mungu awafariji kwa yaliyowakuta.tusife mioyo sote ni wapitaji,kila aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi sinyingi hapa duniani!!
Lakini hata hiki kiwakute mwaka huu ila tutazidi tu kuwapenda na kupenda nyimbo zenu!!
@@InnocentAmos-wr3br wanajisafisha Tu hao hawana lolote ,watoke hadharani hivyo hivyo waelezee kifo cha Magufuli kilitokwa tokeaje??wanafikir tumesahau?
Poleni sana!! Mwenyezi Mungu awe Mfariji wenu....inauma sana kumpoteza rafiki, ndungu na mtu wa karibu!!!!! Tunaiombea roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu Apumzike kwa Amani.
Mungu awatuloze. Mioyo yenu❤tuko sote kwa Hali hii
Poleni sana. Nauelewa uchungu wa kupoteza ndugu.
Polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu kazi ya mungu haina makosa me naamin mungu atawavusha hayo matatizo na mutakuwa sawa pia tunawaombea mungu awalinde na awatie moyo wa ujasili ktk hilo❤
Huyu mwanahabari ni mshamba kweli. Anahoji mtu aliyefiwa bila serviette za kumsaidia nazo kufuta machozi !😅😅😅
Inauma 😢😢sana poleni sana bwana japheth na wana zabron singers in large; patrick from kisii kenya
Pole wanafamilia ya mungu, mungu Bado yupo nanyi,jioen moyo mtashinda, mungu awape wepes Kwa kipindi kigumu hiki, mungu yupo pamoja nanyi
Poleni sana kwa msiba huo. Mungu awape wepesi katika kipindi hiki kigumu. Apumzike kwa Amani, Amina.
Pole sana. Marco was my favourite singer especially kwa nawapenda, nko single.
Poleni sana watumishi waimbaji wa nyimbo za injili w kwaya ya Zabron Singers Kwa kuondokewa na ndugu Marco, Mungu awatis nguvu katika kipindi hiki kigumu,
This life is precious and too short!! Death is unpredictable 😭May God comfort the families and wipe the tears❤much love from kenya!May the departed soul rip
Poleni sana Zabron Singers..Hakika hilo limetuguza sana lakini hatuna shaka kamwe maana twaelewa Marco alichanguliwa na Mungu akaiendeleze kazi yake uimbaji kule mbinguni pamoja na malaika watakatifu,akawe mmoja wa walimu wa nyimbo huko juu,Kazi yake humu duniani ameifanyia kikamilifu na ameenda kuiendeleza kwingine ambako Mungu alimwita aende.Tunawaombea sana Mungu awatie nguvu zaidi ili kuifanikisha kazi mlioitwa kuifanya..Mungu anawapenda na anawajali sana..Mara tena,poleni sana🙏
Tunatazidi kuwaombea sana ss wakenya tupoo pamoja kiroho MUNGU awalinde,kwa huu MDA mgumu 😢
Am literally crying 😭😭,,may his soul rest in peace. My sincere condolences to the entire family. From Kenya
Pole sana Japhet kwa kumpoteza nduguyo. We are feeling it for you and your family. Receive my condolences from Kenya
Kenyans!! Thank you for the love,❤
Hakika ninyi ni majirani wema.
Mmetufariji sana.
This has hit me hard 😢😢 Rest well Marco
Namimi mwana nchi waburundi nasema poleni sana munguwambingu awape uvumilivu sana tuta ishi nae mbinguni.
condolences from Kenya..May the Lord comfort you Zabron singers.
Poleni sana ndugu zetu mungu awaited nguvu
Pole I sana sana pole kubwa kutoka Kenya nawapenda Sana huwa nawafuatilia nyimbo zenu r.i.p.marco 😭
Kenyans we love zabron Singers.its sad and painful loosing one of you.we mourn with you.may God comfort you and give you that peace that surpasses human understanding.
Pokeeni rambirambi zetu kutoka Kenya tulipenda nyimbo zenu na bado tutazipenda hata licha ya Marco kuondoka,wacha mungu ailaze roho yake mahali pema palipo wema.
Poleni sana huu ni msiba wawengi tutakukumbuka sana mungu akupumzishe mahala pema Amina
Poleni sana wana familia mungu azidi kuwapa nguvu kweli 😭😭😭😭😭😭🙏🙏
Pole Sana Kwa Msiba.Mungu wetu Wa Mbinguni awatie Nguvu.
Polen sana MWENYEZI MUNGU awatie faraja,upendo na amani
Poleni Sanaa zabron Sungard,mungu awatie nguvuu bwana ametoaa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe😢😢😢
Ni pigo sio tu kwa Tanzania bali hata kwa sisi wakenya😢
Poleni sana ndg zetu Mungu ana mpango na Marco ambao sote hatukuujua,hivyo Bwana alitoa na ndiye ametwaa.
Popeni sana Wa zabron singers mungu awatie nguvu kwa kipindi hiking kigumu,, Mungu ndo anajua sababu ya kumchukua Marco mungu awatetee na muendelee na huduma,,I feel your pain 😭 😭😭😭
Poleni. Sana. Ilakaniuma. Sana. Huyokaka. Munguamlaze. Mahar. Pemapeponi
Bwana Yesu awatie nguvu ndugu zetu. Tujipe Moyo nisafari yetu wote japo ni safari ngumu mtu kutangulia
Poleni sana wana zabron singers kwa pigo hili kubwa..mungu awe faraja yenu kuu
Mungu huchukua kila kizuri zaidi..alafu hupenda kutupa sisi binadamu wakati Mgumu Allahmdhulilah poleni sana kwa msiba mzito Allah awatie nguvu kipindi hiki kigumu awape faraja..Innalilah rajiun 😢
Poleni sanaZabloni Singers,MUNGU awatie nguvu wakati huu mgumu.Pia mjane na watoto
Poleni sana wana Zablon singers Mungu awape nguvu mpya wakati huu mgumu😢😢😢
Watu wana uchungu mpo bize kuwahoji hv hamjawah kufiwa nyie?maana nimeshangaa hta mke wa marehemu kuhojiwa Leo ,,waandishi wa nchi inaweza ukawapiga ngumi kwa hasira😢😢 looh
Poleni sana familiar ya marco,,,hata sisi.wakenya tunaomboleza kwa huchungu,,😭😭😭
Poleni sana ndugu zetu hatuna chakusema zaidi ya kushukuru Mungu na kuwaombea faraja 😭😭
Poleni sana zabron family tunawapenda
Dah, inauma ila Mungu wetu ni mkubwa atawapoza machungu yote, MUNGU ampokee kwenye raha ya milele Amina 🙏🙏
Poleni sana wapendwa maama Dunia hii tuna pita said tumuombe mungu atusaidie kwakindi hiki kigumu
Poleni sana Zabron singers Mungu awe mfariji wenu ktk kipindi hiki kigumu. pole sana Mrs Marco... Mungu akushike sana. R. I. P Marco. Tutaonana badae 😭😭😭
Poleni sana kwa msiba mliopatwa nao waimbaji wa zalon singers,mungu awaongezee marina sana ya kuendelea na utunzi
And we ugandans we love yo songs sorry to loose our bro marco rest in peace josoph ny son
Poleni sana kwa Wana Zabron singers,Mungu awafariji😭😭😭😭,Makiwa
pole sana kaka usilie sana mshukuru Mungu.
Poleni sana ndugu zangu najua ni kipindi kigumu ila Mungu atawahudumia
Poleni sana kwa huu msiba umeshtua wengi mungu awape nguvu,mungu alitoa na mungu ametwaa
Poleni sana sana watumishi Mungu awape faraja kuu katika kipindi hiki kigumu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 the song nakutuma wimbo uende kwa yule... My favorite song 😭😭😭😭May you Rest In peace brother Marco. For the rest may God gives you strength during this trying moment.
My God I feel sad really sad
Heri wafaao ktk Bwana mana ufufuo wa kwanza ni wao ,mungu azidi kuwafariji ndg zetu Amina
Pole sana japhet na familia Kwa ujumla jamn daah Dunia hii kifo ichi jaman MUNGU atusaidie kwakweli daaah nimeskia uchungu sana
Mungu awatie nguvu,faraja ya Roho mtakatifu iwe juu yenu kwa jina la Yesu
Pole sana mke wa marehem Kwa maumivu hayo ila mungu atafanya jambo Kwa sababu yeye hashindi kitu, atatenda miujiza yake mungu
VVEEEEERRYYYYYY SOORRYY MY DEAR ONES ZABRON SINGERS...
MAY GOD BE YOUR MIGHTY STRENGTH 💪💪 IN ALL THINGS I PRAY 💪🙏🙏😪 AMEN