KIMENUKA: MTOTO WA MCHEPUKO WA MARCO WA ZABRON SINGERS AMEJITOKEZA HAZARANI BILA UWOGA KUTAI URISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 195

  • @NeemaKasiki-e3o
    @NeemaKasiki-e3o 4 дня назад +1

    Hamna hata haya jaman,mrck mwenyew anaonekana mdg kuliko hilo mnalosema toto lake,nyuso zen hazina haya kbs

  • @AgripinaShayo-oo6hc
    @AgripinaShayo-oo6hc День назад

    Kaeni chini muombe mungu atusaidiy tuu jaman

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 18 дней назад +3

    Khaaa 😂😂😂😂 wuwiii ingawa ni msiba leo nimecheka sana,inawezekana marehemu alizaa kabla hajazaliwa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ephraimsaimontv9715
    @ephraimsaimontv9715 20 дней назад +3

    Hili zuzu limezaliwa miaka ya themanini wakati marco amezaliwa miaka ya tisini( 90 ), yaan unatafuta umaarufu kupitia matatizo ya watu...yaani unatafuta kiki kwa kifo cha mtu wa Mungu 😢😢

    • @FlorencesantaNyale
      @FlorencesantaNyale 20 дней назад +1

      Imagine hata hana hata aibu, wakati marehemu alipokuwa mzima hatukumuona leo hii amekufa eti anadai ni mtoto wa marehemu 😂😂😂

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 19 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @ephraimsaimontv9715
      @ephraimsaimontv9715 19 дней назад

      @@FlorencesantaNyale atakuwa ni babu wa marehemu huy

    • @ephraimsaimontv9715
      @ephraimsaimontv9715 19 дней назад +1

      Atakuwa ni babu yake marehemu

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 19 дней назад +1

      @@ephraimsaimontv9715 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @BeatriceKitembe-gs9si
    @BeatriceKitembe-gs9si 19 дней назад +1

    Jinga hiloo oooo.. Nenda zako oo. Na wewe mtangazaji tafuta vitu vya maana vya kuelekea jamiii... Mnatuboaaa hata we mwanahabari sio kbsaaaaa... Fanya kazi vzr kazi yako tusijishushe cv my Bro...

  • @neemajohn3834
    @neemajohn3834 20 дней назад +5

    Mtoto gan lizee hilo kati Marco anaonekana mdogo hata kwa huyo jamaa,nyie waandishi wa habari bhna dahh

  • @amosmafuru8847
    @amosmafuru8847 19 дней назад +3

    Hilo litoto hata halioni aibu mtandaoni huyo MARCO alimzaa akiwa na miaka mingap? Mtoto mwenyewe mzee ukiangalia analingana na MARCO hebu hatutokee huko msipende kujipendekeza nyooooooooooooo

  • @maryachuti4997
    @maryachuti4997 19 дней назад +1

    Hamna mtoto hapo mna upuzi mwingi sana, Marco alimzaa before he was born? Hilo lizee love? And where has been till now?

  • @SarahLugudagiza
    @SarahLugudagiza 8 дней назад

    Sas marehemu ana watoto 12 alaf yeye wa4 khaaaa muogopeni mungu ata kidg jmn😢

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 10 дней назад

    Hivi mbona hamna ht hofu ya Mung?

  • @MillicentMtua-v2y
    @MillicentMtua-v2y 17 часов назад

    Mnakelee kama marco alikua na 30 alizaa lini

  • @Pendobalase-yk4go
    @Pendobalase-yk4go 14 часов назад

    Tena litoto lenyewe libaya Wala halifanani hatakidogo

  • @SamsonMzehe
    @SamsonMzehe 3 дня назад

    Acheni unafiki huyo kapigwa na maisha mtu anamiaka 30 awe na litoto likubwa Hilo tafuta kwajasho wewe kidume acha kujidhalilisha

  • @FRIDAHNTHENYA-i9x
    @FRIDAHNTHENYA-i9x 4 дня назад

    Acha uongo huwezi kuwa mtoto wake mbona mnakiwaga na tamaa na Mali y watu jamani😂😂😂😂

  • @Pendobalase-yk4go
    @Pendobalase-yk4go 14 часов назад

    Mweeee kamani ingewezekana mitandao nayo ingekua inakataa kupokea upumbavu kama huu mbona hata watangazaji nao wamepofushwa macho ,hebu tuoondelee ujinga wenu

  • @user-wf7db8gc6i
    @user-wf7db8gc6i 18 дней назад

    Marko na hyu Mzee huyu waandishi nyinyi mungu anawaona au hamna Kaz za kufanya

  • @AgnesKavishe-r6e
    @AgnesKavishe-r6e 12 дней назад

    ni mtoto wa marco au babake mbona mnachekesha jaman

  • @AgripinaShayo-oo6hc
    @AgripinaShayo-oo6hc День назад

    Wewe unaye kataa ni mungu au unataka nini hapo

  • @DorcahMokeila
    @DorcahMokeila 19 дней назад +1

    Hata anakaa mkubwa kuliko marco aja zako bwana

  • @eunicembaga4976
    @eunicembaga4976 19 дней назад +1

    Liongo eti mama mdogo hanithamini juzi Tu hata matanga bado. We mtangazaji unazingua. Wachonganishi

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 18 дней назад

      😂😂 yaani hilo halihitaji hata kufikiri , ni uongo wa wazi huo

  • @EverlineNyanchama-z3k
    @EverlineNyanchama-z3k 19 дней назад

    Ajana nà marco imangine ana watoto wainne na hilo lizeee umuri wake kabisaaa likatokea wapi hata tuliona kenya mama mumoja alipajikwa mimba na mwenye mahakama ya juu but ikagundulika niogongo katumwa ña wapizani wake na wewe tmwanananiii bure tu sana ajilia mama na watoto wake walie kwa amani jamani

  • @TumainiPaulo-o1i
    @TumainiPaulo-o1i 19 дней назад +2

    Ha😂😂😂😂😂😂😂 huyu ni mtoto au mzeeee 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jaman dunia ina mambo

    • @user-cg7hb7fz6m
      @user-cg7hb7fz6m 18 дней назад

      😂 mbwa Hawa ety mtoto daa😂😂😂😂😂

  • @Valentine-qt5xj
    @Valentine-qt5xj 7 дней назад

    Dunia Ina mambo

  • @GetrudeRobert-s5j
    @GetrudeRobert-s5j 15 дней назад +1

    Mtoto kastaafu 🥲🤣

  • @happysanga4902
    @happysanga4902 2 дня назад

    Marko wa 94 mtoto gani mzee ivyo mdogo ake mtoto wake

  • @ElizaMakaranga
    @ElizaMakaranga 20 дней назад +1

    Nyie ni mashetani tu maiko awe na litoto linamzid umri hata ukilitazama usoni

  • @JosephGudu
    @JosephGudu 19 дней назад

    Hapa duniani kuna mambo maana watu hawana aibu wanajitafutia umaarufu kupitia Mareham,Jamaica tumwogope mungu,Marco amefariki akiwa kijana mdogo sana miaka 32, wtu wanajitokeza kutafuta umaarufu kupitia marehemu

  • @jasminejocta1734
    @jasminejocta1734 3 дня назад

    Huyu ni familia zingine bwana mwatumalizia mb buree

  • @NeemaKasiki-e3o
    @NeemaKasiki-e3o 4 дня назад

    Pumbav,acha unfki nyauba ww,baba kama Marco utampata wap ww

  • @YUMBOMASUMBUKOPAUL
    @YUMBOMASUMBUKOPAUL 5 дней назад

    Lugha anayotumia siyo ya kimungu kabisa

  • @YUMBOMASUMBUKOPAUL
    @YUMBOMASUMBUKOPAUL 5 дней назад

    Ashindwe na alegee huyu jamaa mbona hata hafanani

  • @NeemaKasiki-e3o
    @NeemaKasiki-e3o 4 дня назад

    Halaf linaita eti mzee,koma ww,usimuite mtoto wa watu mzee wakt ameondoka bad kijanaaaaa,shiit,pumbav 8:58

  • @Maxmillian-mz5dm
    @Maxmillian-mz5dm 19 дней назад

    Mungu anawaona!!!

  • @FridaWanja-ge5ip
    @FridaWanja-ge5ip 12 дней назад

    Kwani akiwa na miaka kumi? Uongo huo

  • @CathrineKaole
    @CathrineKaole 19 дней назад

    Na mwacheni Marco apumzike mnafanya biashara na Marco kwanini Mungu anawaona nyinyi

  • @wemambonge6256
    @wemambonge6256 5 дней назад

    Alizaa akiwa na miaka10.babu kabisaa huyo,anatafuta Kiki huyo

  • @LeahMathias-ls4fm
    @LeahMathias-ls4fm 19 дней назад

    MARCO kazaliwa tisin na mbili mtoto kazaliwa mwaka gn na alikuwa na miaka mingap zeeee hiloooo

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 20 дней назад

    Pole kijana

  • @OcharoJeremiah
    @OcharoJeremiah 19 дней назад

    Watanzania watangazaji wacheni vituko kama nimba nnue kwao na tena kulingana na umri wake alizaliwa lini, ama nimali ya Joseph wanangangania mshindwe sana na muache kaka alale Sala .

  • @andrinemuthoni6246
    @andrinemuthoni6246 12 дней назад

    Uongo mtu wa 1992:hawezi kua na mtoto mkubwa ivi😢

  • @BeatriceKitembe-gs9si
    @BeatriceKitembe-gs9si 19 дней назад

    Marco alikufa akiwa ana miaka 32..huyu Ni mkubwa kuliko maarco jamani muogope I Mungu. Weee kijana fimbo ya Musa haitakuacha

  • @user-tx4ze8kq3x
    @user-tx4ze8kq3x 10 дней назад

    Mwongo sana kuliko shetani

  • @Rehemanyoni-k5m
    @Rehemanyoni-k5m 19 дней назад

    Mbona amuereweki ,maswali unayomuuri tofaut

  • @NeemaKasiki-e3o
    @NeemaKasiki-e3o 4 дня назад

    Halaf linaita eti mzee,koma ww,usimuite mtoto wa watu mzee wakt ameondoka bad kijanaaaaa,shiit,pumbav

  • @DeboraJoseph-jg6yn
    @DeboraJoseph-jg6yn 19 дней назад

    Jamn marehemu alizaaaa akiwa na miaka miwilii

  • @JumaSatarajr
    @JumaSatarajr 19 дней назад

    Huyo siyo mutoto wamarehemu barini mume wahuyo muchepuko haoni wa toto wa Marco wa navyo fanana nababa yawo mari ni zawatoto wa nne Na mama yawo muzazi

  • @ElieshPoul
    @ElieshPoul 18 дней назад

    Mzee huyoo! Mwacheni Marco apumzike! Wala hafanani naye.

  • @user-tx4ze8kq3x
    @user-tx4ze8kq3x 10 дней назад

    Wandishi mnakosa kazi mtoto ni mkumbwa kuliko .baba.kitendawili

  • @JemimahWafula-j9v
    @JemimahWafula-j9v 15 дней назад

    kumbe pia watanzania wako na upusy ivi,ata nimewaogopa, pooh!!

  • @betymkesha210
    @betymkesha210 15 дней назад

    Mlikuwa wapi kabla ya kifo dooh kweli nimeamini ukifa unamali bdoshida hiyo😢

  • @TumainiMwamjengwa
    @TumainiMwamjengwa 8 дней назад

    Uongo uo mbona uyomtoto umri apishani na baba miaka kumi ,baba amekufa miaka 30 mtoto mbona amezidi miaka 25 musi mpepressure mke wa zabron

  • @JelasNtima
    @JelasNtima 11 дней назад

    Una miaka mingapi kwanza😅

  • @BosireFrench
    @BosireFrench 14 дней назад

    Mungu wangu hizi ni gani

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 19 дней назад

    HUYU NI MPUMBAVU. MALI GANI NA ZA NINI. KAMA ALIYE ZITAFUTA KAZIACHA WE HUTOKUFA?? FANYA KAZI KIJANA MALI ZA KURITHI HUWA HAZIDUMU KAMA MRITHI HANA AKILI

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 14 дней назад

    Yeye mwenye anaona aibu zee zima halina hata haya

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 19 дней назад

    Hivi kumchafua aliyetwaliwa huwa mnapatafaida Gani?

  • @FrancisOtieno-l2d
    @FrancisOtieno-l2d 18 дней назад

    Nyinyi hamna akili kati ya huyu mubaba na Marco nani baba ya mwingine? Hebu jaribu kutuambia ukweli wachana na maisha ya Marco

  • @DeboraJoseph-jg6yn
    @DeboraJoseph-jg6yn 19 дней назад

    Hahaahaaahhaha huyoooo. Kijana. Anataka mtajiii kutoka kwa marehem jaman ,, duuuuu ebuuu acheni kumkera mke alie achwa

  • @YasintaKasuga
    @YasintaKasuga 19 дней назад

    Jamani mtu wa watu asha pumzika lakini kwanini bado mnamtafutia bara sasa huyo ni mtoto gani sijui mmemtoa pande zipi maana anaonekana kamzidi hata umri marehem

  • @DominaLohay-ls8kx
    @DominaLohay-ls8kx 20 дней назад

    Mtu mzima huyo na sio mtoto wake hata sura hamna mnamhukumu Marco Hana kosa malipo ni hapa hapa duniani itawarudia nyie tu wakati akiwa hai mbona hampo akifariki ndo mnajitokeza

  • @ElifarajaVictory
    @ElifarajaVictory 11 дней назад

    Acha upumbavu kumchafua mtu haendanaye naye Huwa njia ya muongo ni fupi

  • @ElikaHosea
    @ElikaHosea 7 дней назад

    Litoto lenyewe limekomaa ivo achen uwongoo mikund yen

  • @user-lb1lc7be1p
    @user-lb1lc7be1p 18 дней назад

    Mh we mzeee kabisabuyo mbn mnachafua jina la Marco jamani

  • @JosephGudu
    @JosephGudu 19 дней назад

    Marco alikuwa na miaka 32,

  • @josphataberi1173
    @josphataberi1173 19 дней назад

    You should play your cards well bro , the scare crew you're showing us is the same age with mirco .can you shift to kenye and great you in the name of canning.

  • @ElizabethMlowe-x1d
    @ElizabethMlowe-x1d 19 дней назад

    Jamani dunia imevaa gauni sasa huyo ni babake Marco au ni mtoto hufananiiii hata hebu kwenda kule

  • @BeatriceKitembe-gs9si
    @BeatriceKitembe-gs9si 19 дней назад

    Mbona mkubwa kuliko marehemu Marco.. Msuchoshe watu nyie waandishi wa Habari. Muwe naangalia vitu vya kuongea kwenye jamiii...umesomea kazi yako Sawa Sawa kweli.... Msijidhalilishe au Ni ili muonekano mmetoa habariiii

  • @KassimSaid-bj2gb
    @KassimSaid-bj2gb 19 дней назад

    Jaman😅😅😅ebu msichekeshe watu wenye akili zao huyu amekomaa hvi na Marco n mdogo ndo ana miaka 30 amezaa lin watoto wote hao me mwenyewe cna mtt mwenye miaka 12 huyo anaonekana mzee kabsa achen usenge wenu kalimen huko

  • @WanjalaNekesa
    @WanjalaNekesa 19 дней назад

    Watu wa media wa Tanzania ACHA uongo punguza umbea mbona mnaokota vitu kwa Barbara mkileta story

  • @ElikaHosea
    @ElikaHosea 7 дней назад

    We mkundo wako tokaa apoo maisha yamekupiga ukoo una mbele Wala nyuma

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q 19 дней назад

    Huyu na Marco nani mkubwa 😅😅Mungu kazi unayo wallah

  • @ANGELUSLIJUJA
    @ANGELUSLIJUJA 19 дней назад

    Sasa MBONA MIAKA kama ya baba yake apo ukakasi

  • @ElikaHosea
    @ElikaHosea 7 дней назад

    Sijapenda ujinga uwoo munamkela mkee wa malehem tu

  • @OcharoJeremiah
    @OcharoJeremiah 19 дней назад

    Wasanii na watangazaji hebu muvaeni viatu zenye h iyo familia ya Joseph. Inpitia hebu washeni waombolenze mwana wao apumnzike kwa amani😂

  • @KarenusNafula
    @KarenusNafula 20 дней назад

    Mtoto anakaa ni mkubwa kwa babake

    • @FlorencesantaNyale
      @FlorencesantaNyale 20 дней назад

      Hata hafanani na mwendazake 😂😂😂, kuna watu wanapenda kuharibu tu ndoa za watu

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. 19 дней назад

      😂😅

  • @user-il7iw2rc2e
    @user-il7iw2rc2e 17 дней назад

    Huyo kamzaa akiwa shule ya msingi au?

  • @GichenaNyamgini
    @GichenaNyamgini 19 дней назад

    Jamani watanzania achani msitudanganye Kwa ajiri ya kutengeneza majina yenu na umalufu wenu

  • @ashantidesire8635
    @ashantidesire8635 19 дней назад

    Hiiii nayo ni mchezo bwana kwani huyu mzee akuwa vipi mtoto wa Marco jameni hana hata aibu.

  • @LeahMwasomola
    @LeahMwasomola 19 дней назад

    jamani acheni kutumalizia mb zetu, toto gani baya kama zombi azae chefu

  • @amosmafuru8847
    @amosmafuru8847 19 дней назад

    Uchizi umemkaa huyu kijana taila liltoto gani na mindevu yote hyo

  • @AnnaNnko-n1b
    @AnnaNnko-n1b 20 дней назад

    Mbona mnachafua marehemu iv jaman had mnakera

  • @samwelmsongoa1861
    @samwelmsongoa1861 19 дней назад

    Mbona ni Babu yake marco ,mtoto mwenye mafuzi

  • @EstherRichard-x1x
    @EstherRichard-x1x 19 дней назад

    Mungu aturehemu

  • @NekesaPhilis-kk6dj
    @NekesaPhilis-kk6dj 20 дней назад

    Uwongo mbona hakujitokeza wakati Marco alikua uhai

  • @janethmbutwa7893
    @janethmbutwa7893 20 дней назад

    Ivi ata we mwandishi wa habali ivi ata kwa macho uwoni marehemu na uyo kijana uwoni marehemu ndo mdogo cheki mtoto sasa amekomaa sana acheni mambo yakijinga basi msipende kuzungumza mtu akutangulie mbele ya aki

  • @AgnesBarack
    @AgnesBarack 12 дней назад

    Mbn umri wa mtoto ni sawa na wa baba,,mtoto mwehu huyo mpeleken akapime akili ikiwezekan aende milembe karukwa na akili huyo mwehu wewe

  • @EdithTelemark
    @EdithTelemark 19 дней назад

    Mungu Ni samehe jamani, mbona mtoto anaonekana, .....…! mmhhh jamani, jamani!

  • @UwezoketiaFurahe-h1f
    @UwezoketiaFurahe-h1f 12 дней назад

    Umudaga yin-yang tu bien lakini malipo ni hapahapa

  • @UwezoketiaFurahe-h1f
    @UwezoketiaFurahe-h1f 12 дней назад

    Toka pâle we mutagazaji mukorofi nakwaza wenjo ulimuwa chocolat mukubwa

  • @ClemenceSekarera
    @ClemenceSekarera 6 дней назад

    Mwizi wa Mali kabisa chokoraha

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 20 дней назад

    Makubwa and how old is he ......

  • @LeahMathias-ls4fm
    @LeahMathias-ls4fm 19 дней назад

    Toa taka taka hiyo zeee limekomaaa nyoooo

  • @BosireFrench
    @BosireFrench 14 дней назад

    Acha ujinga huyo mzee na Marco ni mtu wa 199os tafadhali acha Marehemu apumzike kwa amani

  • @HildaMacharia
    @HildaMacharia 19 дней назад

    Nyinyi mnamwelewa?

  • @veronicamuhasa9427
    @veronicamuhasa9427 19 дней назад

    Mitandao ni kitu Cha ovyo kweli asa mwandish ukiangalia maiko kazaliwa 1992 na uyo jamaa 1990 nani mtoto nani baba 😂😂😂

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 18 дней назад

    Jaman miaka 30 awe na miaka 28 😂

  • @keilahmwende4649
    @keilahmwende4649 19 дней назад

    Tafadhali familia inaitaji wakati wa kuomboleza mtoto wao waachwe Kwa amani

  • @RuthDaniel-f7f
    @RuthDaniel-f7f 13 дней назад

    Njaa mbaya sana mfyuuuuu mbwa koko wewe!!

  • @DeboraJoseph-jg6yn
    @DeboraJoseph-jg6yn 19 дней назад

    Hata hafananiiii

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412. 19 дней назад

    Hawafanani hata kidogo.
    Harafu huyu mbona ni kama mdogo wake na siyo mtoto wake??
    Marehemu alikuwa na miaka mingapi??

    • @JosephGudu
      @JosephGudu 19 дней назад

      Marco alikuwa na miaka 32