Hili zuzu limezaliwa miaka ya themanini wakati marco amezaliwa miaka ya tisini( 90 ), yaan unatafuta umaarufu kupitia matatizo ya watu...yaani unatafuta kiki kwa kifo cha mtu wa Mungu 😢😢
Jinga hiloo oooo.. Nenda zako oo. Na wewe mtangazaji tafuta vitu vya maana vya kuelekea jamiii... Mnatuboaaa hata we mwanahabari sio kbsaaaaa... Fanya kazi vzr kazi yako tusijishushe cv my Bro...
Hilo litoto hata halioni aibu mtandaoni huyo MARCO alimzaa akiwa na miaka mingap? Mtoto mwenyewe mzee ukiangalia analingana na MARCO hebu hatutokee huko msipende kujipendekeza nyooooooooooooo
Ajana nà marco imangine ana watoto wainne na hilo lizeee umuri wake kabisaaa likatokea wapi hata tuliona kenya mama mumoja alipajikwa mimba na mwenye mahakama ya juu but ikagundulika niogongo katumwa ña wapizani wake na wewe tmwanananiii bure tu sana ajilia mama na watoto wake walie kwa amani jamani
Hapa duniani kuna mambo maana watu hawana aibu wanajitafutia umaarufu kupitia Mareham,Jamaica tumwogope mungu,Marco amefariki akiwa kijana mdogo sana miaka 32, wtu wanajitokeza kutafuta umaarufu kupitia marehemu
Watanzania watangazaji wacheni vituko kama nimba nnue kwao na tena kulingana na umri wake alizaliwa lini, ama nimali ya Joseph wanangangania mshindwe sana na muache kaka alale Sala .
Huyo siyo mutoto wamarehemu barini mume wahuyo muchepuko haoni wa toto wa Marco wa navyo fanana nababa yawo mari ni zawatoto wa nne Na mama yawo muzazi
HUYU NI MPUMBAVU. MALI GANI NA ZA NINI. KAMA ALIYE ZITAFUTA KAZIACHA WE HUTOKUFA?? FANYA KAZI KIJANA MALI ZA KURITHI HUWA HAZIDUMU KAMA MRITHI HANA AKILI
Jamani mtu wa watu asha pumzika lakini kwanini bado mnamtafutia bara sasa huyo ni mtoto gani sijui mmemtoa pande zipi maana anaonekana kamzidi hata umri marehem
Mtu mzima huyo na sio mtoto wake hata sura hamna mnamhukumu Marco Hana kosa malipo ni hapa hapa duniani itawarudia nyie tu wakati akiwa hai mbona hampo akifariki ndo mnajitokeza
You should play your cards well bro , the scare crew you're showing us is the same age with mirco .can you shift to kenye and great you in the name of canning.
Mbona mkubwa kuliko marehemu Marco.. Msuchoshe watu nyie waandishi wa Habari. Muwe naangalia vitu vya kuongea kwenye jamiii...umesomea kazi yako Sawa Sawa kweli.... Msijidhalilishe au Ni ili muonekano mmetoa habariiii
Jaman😅😅😅ebu msichekeshe watu wenye akili zao huyu amekomaa hvi na Marco n mdogo ndo ana miaka 30 amezaa lin watoto wote hao me mwenyewe cna mtt mwenye miaka 12 huyo anaonekana mzee kabsa achen usenge wenu kalimen huko
Ivi ata we mwandishi wa habali ivi ata kwa macho uwoni marehemu na uyo kijana uwoni marehemu ndo mdogo cheki mtoto sasa amekomaa sana acheni mambo yakijinga basi msipende kuzungumza mtu akutangulie mbele ya aki
Hamna hata haya jaman,mrck mwenyew anaonekana mdg kuliko hilo mnalosema toto lake,nyuso zen hazina haya kbs
Kaeni chini muombe mungu atusaidiy tuu jaman
Khaaa 😂😂😂😂 wuwiii ingawa ni msiba leo nimecheka sana,inawezekana marehemu alizaa kabla hajazaliwa🤣🤣🤣🤣🤣
Hili zuzu limezaliwa miaka ya themanini wakati marco amezaliwa miaka ya tisini( 90 ), yaan unatafuta umaarufu kupitia matatizo ya watu...yaani unatafuta kiki kwa kifo cha mtu wa Mungu 😢😢
Imagine hata hana hata aibu, wakati marehemu alipokuwa mzima hatukumuona leo hii amekufa eti anadai ni mtoto wa marehemu 😂😂😂
😂😂😂😂😂
@@FlorencesantaNyale atakuwa ni babu wa marehemu huy
Atakuwa ni babu yake marehemu
@@ephraimsaimontv9715 🤣🤣🤣🤣🤣
Jinga hiloo oooo.. Nenda zako oo. Na wewe mtangazaji tafuta vitu vya maana vya kuelekea jamiii... Mnatuboaaa hata we mwanahabari sio kbsaaaaa... Fanya kazi vzr kazi yako tusijishushe cv my Bro...
Mtoto gan lizee hilo kati Marco anaonekana mdogo hata kwa huyo jamaa,nyie waandishi wa habari bhna dahh
Huyu mwandishi mpumbavu anatafuta kiko washitakiwe
😂😂😂
Bans acha tamaa digo
😂😂😂😂😂😂
Hilo litoto hata halioni aibu mtandaoni huyo MARCO alimzaa akiwa na miaka mingap? Mtoto mwenyewe mzee ukiangalia analingana na MARCO hebu hatutokee huko msipende kujipendekeza nyooooooooooooo
Hamna mtoto hapo mna upuzi mwingi sana, Marco alimzaa before he was born? Hilo lizee love? And where has been till now?
Sas marehemu ana watoto 12 alaf yeye wa4 khaaaa muogopeni mungu ata kidg jmn😢
Hivi mbona hamna ht hofu ya Mung?
Mnakelee kama marco alikua na 30 alizaa lini
Tena litoto lenyewe libaya Wala halifanani hatakidogo
Acheni unafiki huyo kapigwa na maisha mtu anamiaka 30 awe na litoto likubwa Hilo tafuta kwajasho wewe kidume acha kujidhalilisha
Acha uongo huwezi kuwa mtoto wake mbona mnakiwaga na tamaa na Mali y watu jamani😂😂😂😂
Mweeee kamani ingewezekana mitandao nayo ingekua inakataa kupokea upumbavu kama huu mbona hata watangazaji nao wamepofushwa macho ,hebu tuoondelee ujinga wenu
Marko na hyu Mzee huyu waandishi nyinyi mungu anawaona au hamna Kaz za kufanya
ni mtoto wa marco au babake mbona mnachekesha jaman
Wewe unaye kataa ni mungu au unataka nini hapo
Hata anakaa mkubwa kuliko marco aja zako bwana
Liongo eti mama mdogo hanithamini juzi Tu hata matanga bado. We mtangazaji unazingua. Wachonganishi
😂😂 yaani hilo halihitaji hata kufikiri , ni uongo wa wazi huo
Ajana nà marco imangine ana watoto wainne na hilo lizeee umuri wake kabisaaa likatokea wapi hata tuliona kenya mama mumoja alipajikwa mimba na mwenye mahakama ya juu but ikagundulika niogongo katumwa ña wapizani wake na wewe tmwanananiii bure tu sana ajilia mama na watoto wake walie kwa amani jamani
Ha😂😂😂😂😂😂😂 huyu ni mtoto au mzeeee 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jaman dunia ina mambo
😂 mbwa Hawa ety mtoto daa😂😂😂😂😂
Dunia Ina mambo
Mtoto kastaafu 🥲🤣
Marko wa 94 mtoto gani mzee ivyo mdogo ake mtoto wake
Nyie ni mashetani tu maiko awe na litoto linamzid umri hata ukilitazama usoni
😅😅😅😂😂
Hapa duniani kuna mambo maana watu hawana aibu wanajitafutia umaarufu kupitia Mareham,Jamaica tumwogope mungu,Marco amefariki akiwa kijana mdogo sana miaka 32, wtu wanajitokeza kutafuta umaarufu kupitia marehemu
Huyu ni familia zingine bwana mwatumalizia mb buree
Pumbav,acha unfki nyauba ww,baba kama Marco utampata wap ww
Lugha anayotumia siyo ya kimungu kabisa
Ashindwe na alegee huyu jamaa mbona hata hafanani
Halaf linaita eti mzee,koma ww,usimuite mtoto wa watu mzee wakt ameondoka bad kijanaaaaa,shiit,pumbav 8:58
Mungu anawaona!!!
Kwani akiwa na miaka kumi? Uongo huo
Na mwacheni Marco apumzike mnafanya biashara na Marco kwanini Mungu anawaona nyinyi
Alizaa akiwa na miaka10.babu kabisaa huyo,anatafuta Kiki huyo
MARCO kazaliwa tisin na mbili mtoto kazaliwa mwaka gn na alikuwa na miaka mingap zeeee hiloooo
Pole kijana
Watanzania watangazaji wacheni vituko kama nimba nnue kwao na tena kulingana na umri wake alizaliwa lini, ama nimali ya Joseph wanangangania mshindwe sana na muache kaka alale Sala .
Uongo mtu wa 1992:hawezi kua na mtoto mkubwa ivi😢
Marco alikufa akiwa ana miaka 32..huyu Ni mkubwa kuliko maarco jamani muogope I Mungu. Weee kijana fimbo ya Musa haitakuacha
Mwongo sana kuliko shetani
Mbona amuereweki ,maswali unayomuuri tofaut
Halaf linaita eti mzee,koma ww,usimuite mtoto wa watu mzee wakt ameondoka bad kijanaaaaa,shiit,pumbav
Jamn marehemu alizaaaa akiwa na miaka miwilii
Huyo siyo mutoto wamarehemu barini mume wahuyo muchepuko haoni wa toto wa Marco wa navyo fanana nababa yawo mari ni zawatoto wa nne Na mama yawo muzazi
Mzee huyoo! Mwacheni Marco apumzike! Wala hafanani naye.
Wandishi mnakosa kazi mtoto ni mkumbwa kuliko .baba.kitendawili
kumbe pia watanzania wako na upusy ivi,ata nimewaogopa, pooh!!
Mlikuwa wapi kabla ya kifo dooh kweli nimeamini ukifa unamali bdoshida hiyo😢
Uongo uo mbona uyomtoto umri apishani na baba miaka kumi ,baba amekufa miaka 30 mtoto mbona amezidi miaka 25 musi mpepressure mke wa zabron
Una miaka mingapi kwanza😅
Mungu wangu hizi ni gani
HUYU NI MPUMBAVU. MALI GANI NA ZA NINI. KAMA ALIYE ZITAFUTA KAZIACHA WE HUTOKUFA?? FANYA KAZI KIJANA MALI ZA KURITHI HUWA HAZIDUMU KAMA MRITHI HANA AKILI
Yeye mwenye anaona aibu zee zima halina hata haya
Hivi kumchafua aliyetwaliwa huwa mnapatafaida Gani?
Nyinyi hamna akili kati ya huyu mubaba na Marco nani baba ya mwingine? Hebu jaribu kutuambia ukweli wachana na maisha ya Marco
Hahaahaaahhaha huyoooo. Kijana. Anataka mtajiii kutoka kwa marehem jaman ,, duuuuu ebuuu acheni kumkera mke alie achwa
Jamani mtu wa watu asha pumzika lakini kwanini bado mnamtafutia bara sasa huyo ni mtoto gani sijui mmemtoa pande zipi maana anaonekana kamzidi hata umri marehem
Mtu mzima huyo na sio mtoto wake hata sura hamna mnamhukumu Marco Hana kosa malipo ni hapa hapa duniani itawarudia nyie tu wakati akiwa hai mbona hampo akifariki ndo mnajitokeza
Acha upumbavu kumchafua mtu haendanaye naye Huwa njia ya muongo ni fupi
Litoto lenyewe limekomaa ivo achen uwongoo mikund yen
Mh we mzeee kabisabuyo mbn mnachafua jina la Marco jamani
Marco alikuwa na miaka 32,
You should play your cards well bro , the scare crew you're showing us is the same age with mirco .can you shift to kenye and great you in the name of canning.
Jamani dunia imevaa gauni sasa huyo ni babake Marco au ni mtoto hufananiiii hata hebu kwenda kule
Mbona mkubwa kuliko marehemu Marco.. Msuchoshe watu nyie waandishi wa Habari. Muwe naangalia vitu vya kuongea kwenye jamiii...umesomea kazi yako Sawa Sawa kweli.... Msijidhalilishe au Ni ili muonekano mmetoa habariiii
Jaman😅😅😅ebu msichekeshe watu wenye akili zao huyu amekomaa hvi na Marco n mdogo ndo ana miaka 30 amezaa lin watoto wote hao me mwenyewe cna mtt mwenye miaka 12 huyo anaonekana mzee kabsa achen usenge wenu kalimen huko
Watu wa media wa Tanzania ACHA uongo punguza umbea mbona mnaokota vitu kwa Barbara mkileta story
We mkundo wako tokaa apoo maisha yamekupiga ukoo una mbele Wala nyuma
Huyu na Marco nani mkubwa 😅😅Mungu kazi unayo wallah
Sasa MBONA MIAKA kama ya baba yake apo ukakasi
Sijapenda ujinga uwoo munamkela mkee wa malehem tu
Wasanii na watangazaji hebu muvaeni viatu zenye h iyo familia ya Joseph. Inpitia hebu washeni waombolenze mwana wao apumnzike kwa amani😂
Mtoto anakaa ni mkubwa kwa babake
Hata hafanani na mwendazake 😂😂😂, kuna watu wanapenda kuharibu tu ndoa za watu
😂😅
Huyo kamzaa akiwa shule ya msingi au?
Jamani watanzania achani msitudanganye Kwa ajiri ya kutengeneza majina yenu na umalufu wenu
Hiiii nayo ni mchezo bwana kwani huyu mzee akuwa vipi mtoto wa Marco jameni hana hata aibu.
jamani acheni kutumalizia mb zetu, toto gani baya kama zombi azae chefu
Uchizi umemkaa huyu kijana taila liltoto gani na mindevu yote hyo
Mbona mnachafua marehemu iv jaman had mnakera
Mbona ni Babu yake marco ,mtoto mwenye mafuzi
Mungu aturehemu
Uwongo mbona hakujitokeza wakati Marco alikua uhai
Ivi ata we mwandishi wa habali ivi ata kwa macho uwoni marehemu na uyo kijana uwoni marehemu ndo mdogo cheki mtoto sasa amekomaa sana acheni mambo yakijinga basi msipende kuzungumza mtu akutangulie mbele ya aki
😂😅😅
Mbn umri wa mtoto ni sawa na wa baba,,mtoto mwehu huyo mpeleken akapime akili ikiwezekan aende milembe karukwa na akili huyo mwehu wewe
Mungu Ni samehe jamani, mbona mtoto anaonekana, .....…! mmhhh jamani, jamani!
Umudaga yin-yang tu bien lakini malipo ni hapahapa
Toka pâle we mutagazaji mukorofi nakwaza wenjo ulimuwa chocolat mukubwa
Mwizi wa Mali kabisa chokoraha
Makubwa and how old is he ......
Toa taka taka hiyo zeee limekomaaa nyoooo
Acha ujinga huyo mzee na Marco ni mtu wa 199os tafadhali acha Marehemu apumzike kwa amani
Nyinyi mnamwelewa?
Mitandao ni kitu Cha ovyo kweli asa mwandish ukiangalia maiko kazaliwa 1992 na uyo jamaa 1990 nani mtoto nani baba 😂😂😂
Jaman miaka 30 awe na miaka 28 😂
Tafadhali familia inaitaji wakati wa kuomboleza mtoto wao waachwe Kwa amani
Njaa mbaya sana mfyuuuuu mbwa koko wewe!!
Hata hafananiiii
Hawafanani hata kidogo.
Harafu huyu mbona ni kama mdogo wake na siyo mtoto wake??
Marehemu alikuwa na miaka mingapi??
Marco alikuwa na miaka 32