Unatafuta laana wew kutumia Msiba wa mwenzako km advantage kwako, Mungu ajidhihirishe kwako akufundishe kuwa Marco hakupenda na wew natamani akuonjeshe machungu ya kifo!
Mungu si Mungu wawafu. Hakuna ibada ya wafu kwa watu wa Mungu. Wewe maelezo yako hayana mana kijana. Mungu siwamakaburini . Huyo anayeongea nishetani yuko ndani yako. Wewe ndiye unayetakiwa uombewe utoke kwenye using, uje kwenye wokovu.
Muumbue kaka angu màn atuna aman na napepo na ingekua unadanganya ungesha kufa ata yesu aliubili injili na watu awakumwamini kwaiy ataa wew wapo watakao kuvunja moyo ila tupo tunaekuamin
Wewe kijana , Mungu hakai makabulini , na manabii wa huongo mtawatambua kwa matendo yao, wapendwa naomba tuwe tunasoma neno la Mungu ilibtuweze kuelewa siri za Mungu, sio huongo huu.
Hongera kwakuonywa namakaburi,kwelj umethibitisha wenimtumishi wa kuzimu,mwache kaka wawatu amemtumikia Mungu,na Mungu akamwita kwake,kwataarjfa yako siku yakufa mtu huona kifo chake niwewe tu hujuu.wapo wanaoona vifo vyao kabisa wananeema ndy maana wanaona,lkn wapo ambao hawaoni hawakumpa Mungu nafasi ndani yao..Mtu akiwa na Mungu hujuzwa naroho mtakatifu yajayo,soma Yohana 16:7-15 acha kupotosha nakuchafua watu nakuwaumiza wafiwa pia,Mungu anakuona nashungi lako hilo.
Angalia Sana wewe kijana bado mdogo Sana na pia familia ya Marco mnaiumiA Sana kwa hayo maneno ❤❤❤🎉🎉 badala ya kuwafuta machozi mna waongeza machozi Sasa ndo nn na wewe una hubiri injili makabulini unatanya nn
Wewe kaka Mungu hakusaidie wew bado kijana mdogo, naumia sana kuona unavyokubali kutumiwa na shetani , naomba Mungu hakufungue katika jina la Yesu, ilibhufanye kazi ya Mungu wa Mbinguni.
Utakuwa una shida kichwani,huyu samwelu anatumiwa na shetani gan Huwa unamsikiliza au unaripoka tu,ndio nyie mnashinda makanisani hata aluchohubiti mchungaji huelewi,samwelu ni muhubiri mkubwa sana
Shindwa Pepo kwa jina la Yesu kristo alie hai yani bdo tuna majonzi yani daaaah inauma Sana mungu wangu 😭😭 ebu acha Marko wetu apumzike kwa Aman 😭😭😭😭😭😭😭 wewe kaka acha tafadhal mungu atakulipa wewe 😭😭😭😭😭
Mbona unazunguka ,hueleweki unasimulia kisa Cha Marko au unajisafisha mwenyew, cc tutaaminije kama ww ni WA mungu pia, na kwann uende kuhojiana makaburini ,Kwa mungu ni Nuru na makaburini tena hee😅
Kijana unafanya nni makaburini kwanza,pili haupo freemason io kitu nyeusi umejifunika ya nni,mwisho ,mtu akifa ni yy na mungu wake ,muache propaganda plz kitu ujui achana naye ,,bytha mnaniudhi mkiongelea Marco na bdo tuna machungu ,hii ujinga Iko tanzanzia ,ninaona Kenya 🇰🇪🇰🇪tukiingilia kati ,ujinga imezidi mipaka😢😢😢
Unalaana wew acha marko apumzike make hajui neno lolote kwa sasa acha kabisa mungu atakuazibu kwa hayo utatoa hesabu ya maneno yako kila neno utalitolea hesabu acha kabisa unachokifanya
Yani samweli ndugu yangu kaz uliyonayo ningumu san kibinadu ila kwa roho ya mungu wa yesu Bristol utashida naamiin endelea kumuangusha shetan sikuzote muda wote maana ana wafuasi wengi sana apa dunian
Huyu bado ni 😈 devil whorshper Mungu gani wewe unamuomba ukiwa kablini na nguo nyeusi shindwe katika jina la yesu ni nyinyi mlijua kile kilimkula mkamtumia mkuki rohoni shindwe roho chafu ktk jina l yesu
Nguo siyo ushetani Bali nafsi ndo kusema Kama yéyé amekiri kutubu muaceni mungu ndo mjuzi wakila jambo Mbona sisi twavaaa abaya nyeusi ju na cini Inamaanisha nasisi nimashetwani
Soma neno la mungu visuri,wewe si mungu bibilia usema usiukumu usije ukahukumiwa pia yesu alikujis kufia wenye dhambi,wacha kudunga kidonda ya mwenye amefiwa,so painful
Ulikuwa unaongoja akufe ndio ukuje kutuambia, sema chenye kilimuua juu ata ww ni pepo mnaua mtu mnakuja kutuambia ungogo nn hasa unafanya makaburi tuko na uchungu sana mungu atarudi kuwahukumu munaua hadi waimbaji.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mmmm jmn we kaka mwache kijana wa watu apumzike zake kwa amani Maana Mungu ameamua kuchukua ya lake li ngali Bado changa lisije likachafuliwa na mambo ya ulimwengu huu .but wewe unazidi kuiumiza familia ya Marco .
Jamani tunaomba sana serikali ichukue hatua hasa waliopewa mamlaka ya kusimamia mitandao ya kijamii ,imezidi kumbuka leo anachafuliwa marko hata kesho naweza chafuliwa Cv mimi au wewe ambae umelifumbia macho, hafu bila kuwa na ushaidi wa kweli
Duuh nazidii kuumia zaidii nikionaaa watu kama hawaa na sura yako mbayaaa kama msukule wa mozambique duuh nakuchukiaa sanaaaa ushidwee kwa jina la yesuu pepo mchafuuuuuuu wewe😢😢😢😢😢😢😢
Kweli uzini yetu ni furaha kwa wengine kabisa mimi ni mkongo lakini nilikuwa na fata sana nyimba za huyu ndugu ,ila kwa hii vidéo sione maana huu jamaa ali ifanyiya kweli hana hata point moya kbs !! Soyons en Jésus Christ et ne jamais laisser le chemin au diable !! Pole kwa Tanzanie zima nawapenda ndugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kitu kimoja naeza sema au naeza uliza mbona kabla marco hajafariki mbona hamkujitokeza mkaongea haya maneno mnaongea sai sababu mungu mwenyewe alisema tulitoka mavumbini na tutarudi mavumbini kwa hvo acheni kuongea ukijinga mkipost
Ndugu zangu huyu kijana bado anatumiwa na fremason ili kuharibu direction ya watu,yaan watu tuone watumishi wa MUNGU nao wapo huko msijichanganyee huyu ni ajenti wa kuzimu bado
Muongoooooooo at stki kuskia story zenu munaudhi n mmbo yenu mwenye anakubali gonga like apo chini twende nalo😢😢
Kaka hyo samweli Mimi nimeshawasiliana nae alikuwa ananiomba Hela nkamwmbia ctak mazoea mwiz halafu n tapeli.aminini nawaambieni
Mwache aongee ukweli
Marko amelala katika Bwana,Mungu atamfufua atakaporudi duniani
Tumwachie mungu ashughulike yy ndiye anaye ujua ukweli wakila mwanadamu
Unatafuta laana wew kutumia Msiba wa mwenzako km advantage kwako, Mungu ajidhihirishe kwako akufundishe kuwa Marco hakupenda na wew natamani akuonjeshe machungu ya kifo!
Acha kudharirisha watumishi wa mungu mungu mwenyew ndo anaejua.
Uongoooo, Mungu pekeake ndie anaeza toa roho ya mwanadamu.. wewe pia ni binadamu huna nguvu zozote., basi Mungu ni nani
Mungu si Mungu wawafu. Hakuna ibada ya wafu kwa watu wa Mungu. Wewe maelezo yako hayana mana kijana. Mungu siwamakaburini . Huyo anayeongea nishetani yuko ndani yako. Wewe ndiye unayetakiwa uombewe utoke kwenye using, uje kwenye wokovu.
Kwenye ujinga
Muumbue kaka angu màn atuna aman na napepo na ingekua unadanganya ungesha kufa ata yesu aliubili injili na watu awakumwamini kwaiy ataa wew wapo watakao kuvunja moyo ila tupo tunaekuamin
Wewe kijana , Mungu hakai makabulini , na manabii wa huongo mtawatambua kwa matendo yao, wapendwa naomba tuwe tunasoma neno la Mungu ilibtuweze kuelewa siri za Mungu, sio huongo huu.
Siyo huongo ni uongo
Hongera kwakuonywa namakaburi,kwelj umethibitisha wenimtumishi wa kuzimu,mwache kaka wawatu amemtumikia Mungu,na Mungu akamwita kwake,kwataarjfa yako siku yakufa mtu huona kifo chake niwewe tu hujuu.wapo wanaoona vifo vyao kabisa wananeema ndy maana wanaona,lkn wapo ambao hawaoni hawakumpa Mungu nafasi ndani yao..Mtu akiwa na Mungu hujuzwa naroho mtakatifu yajayo,soma Yohana 16:7-15 acha kupotosha nakuchafua watu nakuwaumiza wafiwa pia,Mungu anakuona nashungi lako hilo.
Tena usimuite kaka marko marehemu pepo wewe marehemu mwenyewe 😭😭🤸🤸🤸marko wetu kapumzika kalala usingizi
Acha uongo kijana mwogope mungu mbona ukufichua Siri akiwa hai mpaka umesubiri amekufa acha uongo kijana
Usichezee jina la mungu kama wewe ni mtu wa mungu wafanya Nini makaburini
Let GOD reveal him self
Mbona kama vile Bado upo katka hicho chama ,muonekano tu,hayo yote unayosema mungu do anajua zaid,
Time alikuwa hai mbona hukufichua ziri saa hii imefika mwisho ndio unafichua pia uko na rahana kutokumzaidia wachana nayo juu it's too rate😊
Angalia Sana wewe kijana bado mdogo Sana na pia familia ya Marco mnaiumiA Sana kwa hayo maneno ❤❤❤🎉🎉 badala ya kuwafuta machozi mna waongeza machozi Sasa ndo nn na wewe una hubiri injili makabulini unatanya nn
Wewe kaka Mungu hakusaidie wew bado kijana mdogo, naumia sana kuona unavyokubali kutumiwa na shetani , naomba Mungu hakufungue katika jina la Yesu, ilibhufanye kazi ya Mungu wa Mbinguni.
Utakuwa una shida kichwani,huyu samwelu anatumiwa na shetani gan Huwa unamsikiliza au unaripoka tu,ndio nyie mnashinda makanisani hata aluchohubiti mchungaji huelewi,samwelu ni muhubiri mkubwa sana
Hakusaidie ( akusaidie)
Hakufungue(akufungue)
Hovyo kweli wew@@bahatadof5543
Mungu amsaidie huyu maana hakuna muhubir wa kukaa makaburini
Mtumishi wa mungu.kumbuka mungu sio mungu wawafu
awa watu wanajuana haimanishi alikuwa Adventist sasa asiseme mpaka tujue😮
Shindwa Pepo kwa jina la Yesu kristo alie hai yani bdo tuna majonzi yani daaaah inauma Sana mungu wangu 😭😭 ebu acha Marko wetu apumzike kwa Aman 😭😭😭😭😭😭😭 wewe kaka acha tafadhal mungu atakulipa wewe 😭😭😭😭😭
Huyu hajielewi anaongea Nini mzabe Kofi astuke usingizini
Mbona unazunguka ,hueleweki unasimulia kisa Cha Marko au unajisafisha mwenyew, cc tutaaminije kama ww ni WA mungu pia, na kwann uende kuhojiana makaburini ,Kwa mungu ni Nuru na makaburini tena hee😅
Pepo hushindwe kwa jina la yesu
Siyo hushindwe andika ushindwe, mbona mnatuharibia lugha yetu nyie?!
Kijana unafanya nni makaburini kwanza,pili haupo freemason io kitu nyeusi umejifunika ya nni,mwisho ,mtu akifa ni yy na mungu wake ,muache propaganda plz kitu ujui achana naye ,,bytha mnaniudhi mkiongelea Marco na bdo tuna machungu ,hii ujinga Iko tanzanzia ,ninaona Kenya 🇰🇪🇰🇪tukiingilia kati ,ujinga imezidi mipaka😢😢😢
Wewe kijana ogopa kristo...unategea pakutafta kula kwa kuchafua watumishi wa yesu kristo mungu hadhihakiwi...
Unalaana wew acha marko apumzike make hajui neno lolote kwa sasa acha kabisa mungu atakuazibu kwa hayo utatoa hesabu ya maneno yako kila neno utalitolea hesabu acha kabisa unachokifanya
Yani samweli ndugu yangu kaz uliyonayo ningumu san kibinadu ila kwa roho ya mungu wa yesu Bristol utashida naamiin endelea kumuangusha shetan sikuzote muda wote maana ana wafuasi wengi sana apa dunian
Tumekuchoka mpuuzi wew tafuta kaz nyingin uache ujinga mungu hapend unachokifanya
We unatakiwa uchukuliwe hatua za kisheria
Kweli kabia
Muogope mungu we kijana Marko amekufa akiwa mtakatifu
Amekufa katk Yesu hayo mengine ajua Mungu
Jamani tusomeni neno la mungu ili tusidaganyike
Nakumbuka ulisema umefanya utafiti ukaona kiboko ya wachawi Ni mtumishi wa Mungu wa kweli, na leo ntakuaminije mimi
Wee kijana pepo wa kuzimuni hushindwe katika Jina la Yesu 🙏
Mhubiri yupi bado unavaa nguo nyeusi na bado unasimulia ukiwa kaburini kwenda kabisa shetani pepo mbaya
Huyu bado ni 😈 devil whorshper Mungu gani wewe unamuomba ukiwa kablini na nguo nyeusi shindwe katika jina la yesu ni nyinyi mlijua kile kilimkula mkamtumia mkuki rohoni shindwe roho chafu ktk jina l yesu
Wanaogea yenye wageogea akiwa hai,makafiri awa
acha ujinga wewe anakufikishia ujumbe uweze kuelewa @@winfredangastin2117
Inaovofya, hata sijaweza kumsikiliza nikamaliza, nashangaa anaendeleza nini na kitambaa cheusi
😂😂😂😅😅😅
Mnaumizaa familia nyinyi mpunguzen mihemko bora kalaletu umechoka kuwanga uck nahlo linguo lako hana hata aibu jaman humuogop mung😢😢😢😢😢
Nguo siyo ushetani Bali nafsi ndo kusema
Kama yéyé amekiri kutubu muaceni mungu ndo mjuzi wakila jambo
Mbona sisi twavaaa abaya nyeusi ju na cini
Inamaanisha nasisi nimashetwani
Soma neno la mungu visuri,wewe si mungu bibilia usema usiukumu usije ukahukumiwa pia yesu alikujis kufia wenye dhambi,wacha kudunga kidonda ya mwenye amefiwa,so painful
Unahakika wewe muhammad.yesu akafia nani?.hio sio itikadi ya muhammad.
@@MaMa-gp1pw yes,yesu akuja kwa ajili ya wenye dhambi ili waokolewe wachana na ufumi za uongo,tengeza njia zako yesu apite
Can someone help to translate in English for us to understand what is trying to say
Ukweli nikwamba Bado unatumika,hujatoka kamwe,mungu akusaidie Sanaa,akukomboe
Kaka pole. Zindi kumuomba mungu ili ujue yakupasayo kutenda. Acha uongo imeadikwa wapi. Kwamba marehem anaombewa toba
Wacha Mungu ashugulike na wewe.
Mwambie shetani kakosea kukupa kazi hii!! Unaumbika kweliii!! Aibu kwako muumini wa shetani!!
Ulikuwa unaongoja akufe ndio ukuje kutuambia, sema chenye kilimuua juu ata ww ni pepo mnaua mtu mnakuja kutuambia ungogo nn hasa unafanya makaburi tuko na uchungu sana mungu atarudi kuwahukumu munaua hadi waimbaji.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Na wewe si uongeee Yani inazungua zunguka tu wewe vipi?
Jamani tumuogope mungu huyu kijana shetani kabisa muongo mchonganishi
Mmmm jmn we kaka mwache kijana wa watu apumzike zake kwa amani
Maana Mungu ameamua kuchukua ya lake li ngali Bado changa lisije likachafuliwa na mambo ya ulimwengu huu .but wewe unazidi kuiumiza familia ya Marco .
Jamani tunaomba sana serikali ichukue hatua hasa waliopewa mamlaka ya kusimamia mitandao ya kijamii ,imezidi kumbuka leo anachafuliwa marko hata kesho naweza chafuliwa Cv mimi au wewe ambae umelifumbia macho, hafu bila kuwa na ushaidi wa kweli
Duuh nazidii kuumia zaidii nikionaaa watu kama hawaa na sura yako mbayaaa kama msukule wa mozambique duuh nakuchukiaa sanaaaa ushidwee kwa jina la yesuu pepo mchafuuuuuuu wewe😢😢😢😢😢😢😢
Jishtukie ww bhana kama ndo chanzo Cha Hela Kwa kula bando za watu ,Bora uende makanisan au omba .na sio kuchezea bando za watu.
Mungu anakuona kaka, kila kitu cha freemason unakijua wewe na tayali unajiita ulishaokoka na huko ulishatoka.
Sasa unataka kutuambia Marco alikuwa freemanso??
acha uongo wako mungu anakuona mjue mungu na uijue kwel nayo kwel itakuweka huru kwelkwel kijana mdogo hvo dah!!! 16:34
Serikali acheni kudharirisha nchi pamoja na watu wake kamata mbwa Koko huyo weken ndan au nyonga kabsa kaka yetu amepumzika salam
Mungu ndo anaejuwa
Ivi wewe kijana unamatani na mungu hao unaosema nimatapeli ww nitapeli namba moja Tena acha utani na Kaz ya mungu
Heli aliekufa kwahaki kaka tutaonana tena yesu akija tena
Hivi yesu mnamkuchukuaje lakini ,,akiibuka mganga anasema ametumwa lkn bado ana viashilia vya kishetani hebuvtulieni
Unazo dalili zote kwamba bado uko kwa shetani, nguo nyeusi, umekaa makaburini, na huna neno la Mungu unalolitamka.
Sijaona kipya hapo ndg😮,zaidi ya kutukumbusha kuhusu kifo.
Sasa wew kaka kama we umeachana na hayo mambo kwanin uko makaburini na umevaa nguo nyeusi
Kuna watu wanamtania mungu kweli yaani hivi kwwli marco kafari😢k k
Kweli uzini yetu ni furaha kwa wengine kabisa mimi ni mkongo lakini nilikuwa na fata sana nyimba za huyu ndugu ,ila kwa hii vidéo sione maana huu jamaa ali ifanyiya kweli hana hata point moya kbs !! Soyons en Jésus Christ et ne jamais laisser le chemin au diable !! Pole kwa Tanzanie zima nawapenda ndugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hyo haikuhusu mkono waaa Mungu utakushughulikia hela hzo unazotafuta kwa kusema watumishi wa Mungu utapata tabu 😢
Wewe siyo Mungu elezea unachotaka kusema pia kama wewe ni mtumishi wa Mungu acha kuvaa kaniki kabisa
Mhh we kaka muogope mungu
Kitu kimoja naeza sema au naeza uliza mbona kabla marco hajafariki mbona hamkujitokeza mkaongea haya maneno mnaongea sai sababu mungu mwenyewe alisema tulitoka mavumbini na tutarudi mavumbini kwa hvo acheni kuongea ukijinga mkipost
Mmmmh mambo ya Dunia n mengi sana
Songa mbele upo vzr me nakuelewa
Ushindwe kwaa jina la yesu,pepo ww,ngoja na ww tusubil kifo chako tuone unaishia wapi
Mimi ninashida ya uzazi samweli najua jina hilo ni kubwa mimi niombee nimefugwa uzazi
Ushindwe katika kina la yesu
Sahvi haisaidii kitu .tulia mwache mungu ashughulike
Unalipwa shingap Kwan? Au unapata faida Gani? Usiukumu usije ukahukumiwa, kikombe kile kile unyeshayo mwenzio ndio utanyweshewa.
Yaniwewe nimuongo Kama wengine (isaya 23:3-6)dan7:25)yoh15:9-10)kut20:23-17)
Unahubiri injilii ya mapepo maana neno la mungu linasema msijisumbue kwa neno lolote bali kwa kusali na kuomba
Naomba msimtukane marko hakuwa malaika chunguzeni kwanza dunia inasiri kubwa sana
Sasa umengoja mtu afe😢surely mbona mnapenda kuweka machungu kwa machungu tena 😢😢😢😢😢😢
Liongo hili,linaumiza wafiwa,Kama katoka huko anahubiri lnjili ya Yesu mbona Hilo dude haachi kuvaa,labda lnjili yakuzimu TU ndy anahubiri
Sijapenda sijakuelewa wala sitakuelewa yesu ni bwana wa vita hadhihakiwi
Mmmmmh, Mungu ndo anae jua yote so achen kuchafua watu kwani ipo siku hayo maneno mtalipia , na machozi ya mtu asiye na hatia yawe juu yenu .
Si ungepumzika ukamuachia baba mchungaji wa kanisa Lake na nduguze wakaongea?
Hunalolote😏 unataka tu MB zetu hakuna chamaana hapo Mungu amrehemu Marco wetu🙏
ushindwe kwa jina la yesuu
Mungu akusaidie napia akusamehe ulijui urifanyaro
Acha kuwachafua watumishi wa Mungu nakuwaumiza wafiwa,
Mbn unajifinika nguo nyeusi?ungaliki thu frimanson acha kutudanganya
Wewe una Mungu toka pepo
Ushindwe Kwa jina la yesu acha upotoshaji hakuna mungu hapo Bali umevaa ngozi ya baba Yako shetani Kwa ajiri ya upotoshaji ushindwe pepo
Wwe kka achakuchafua watu wa mungu,mungu akusaidie uachekushudiauongo
Mbona hajamchafuwa mtu
Kwa kweli si kila mtu hufurahia mafanikio yako maishani waaaaaaa
Acha uongo kijana
Wew mwenyewe ni tapeli pia acha kka yetu mpendwa Marco wewe ni Pepo na aliyekutuma ashindwe kama wew
Sijakuelewa unataka kusema kichwa na maelezo unayotupa mbona tofauti?
Kushinda kutumbia ulikua ujui freemason n y mashetani walai si mungu na ata mtoto wa miaka 7 anajua freemason n y nn na madharau kma wwe
Ndugu zangu huyu kijana bado anatumiwa na fremason ili kuharibu direction ya watu,yaan watu tuone watumishi wa MUNGU nao wapo huko msijichanganyee huyu ni ajenti wa kuzimu bado
Ulikua wapi kufichua Bada ya kumpoteza mpendwa wetu
People wew nakukemea kwajina la yesu acha kumchafua m2 wa wa2
Ushindwe katika jina la yesu
marco amelala katika Bwana na Bwana atakuja kumfufua tena
Mchungajiiiii hyo kwiyoooo. Kumamamakeeeeeee weweeee muache Zabroni wetu apumzike kwa amani
Mama wakamatwe mganga wa kieyej na buyo fremason
Mbona mnamchafua marehemu jamani mnaushahidi gani sio vizurii