MSIBANI: FREEMASON WAFIKA MSIBANI KIFO CHA MARCO WA ZABRON SINGERS KIJANA ALIYEKUWA FREEMASON AKEME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 окт 2024

Комментарии • 567

  • @VeronicahOtwori
    @VeronicahOtwori Месяц назад +32

    Muongoooooooo at stki kuskia story zenu munaudhi n mmbo yenu mwenye anakubali gonga like apo chini twende nalo😢😢

    • @GracePatrick-zc2eb
      @GracePatrick-zc2eb Месяц назад

      Kaka hyo samweli Mimi nimeshawasiliana nae alikuwa ananiomba Hela nkamwmbia ctak mazoea mwiz halafu n tapeli.aminini nawaambieni

    • @SaumuJuma-h1v
      @SaumuJuma-h1v 25 дней назад

      Mwache aongee ukweli

  • @trizamueni6637
    @trizamueni6637 2 месяца назад +22

    Marko amelala katika Bwana,Mungu atamfufua atakaporudi duniani

  • @YusterMgaya-f6l
    @YusterMgaya-f6l 2 месяца назад +12

    Tumwachie mungu ashughulike yy ndiye anaye ujua ukweli wakila mwanadamu

  • @yustakaduma1068
    @yustakaduma1068 22 дня назад +1

    Unatafuta laana wew kutumia Msiba wa mwenzako km advantage kwako, Mungu ajidhihirishe kwako akufundishe kuwa Marco hakupenda na wew natamani akuonjeshe machungu ya kifo!

  • @JANETHAthanas-d3t
    @JANETHAthanas-d3t 29 дней назад +1

    Acha kudharirisha watumishi wa mungu mungu mwenyew ndo anaejua.

  • @SwabahaFaridi
    @SwabahaFaridi 2 месяца назад +4

    Uongoooo, Mungu pekeake ndie anaeza toa roho ya mwanadamu.. wewe pia ni binadamu huna nguvu zozote., basi Mungu ni nani

  • @mijashushu9321
    @mijashushu9321 Месяц назад +1

    Mungu si Mungu wawafu. Hakuna ibada ya wafu kwa watu wa Mungu. Wewe maelezo yako hayana mana kijana. Mungu siwamakaburini . Huyo anayeongea nishetani yuko ndani yako. Wewe ndiye unayetakiwa uombewe utoke kwenye using, uje kwenye wokovu.

  • @Matridaelly
    @Matridaelly Месяц назад +1

    Muumbue kaka angu màn atuna aman na napepo na ingekua unadanganya ungesha kufa ata yesu aliubili injili na watu awakumwamini kwaiy ataa wew wapo watakao kuvunja moyo ila tupo tunaekuamin

  • @SpelathaSimon-u2b
    @SpelathaSimon-u2b 2 месяца назад +3

    Wewe kijana , Mungu hakai makabulini , na manabii wa huongo mtawatambua kwa matendo yao, wapendwa naomba tuwe tunasoma neno la Mungu ilibtuweze kuelewa siri za Mungu, sio huongo huu.

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029
    @jeniphermyingajeniphermyin8029 2 месяца назад

    Hongera kwakuonywa namakaburi,kwelj umethibitisha wenimtumishi wa kuzimu,mwache kaka wawatu amemtumikia Mungu,na Mungu akamwita kwake,kwataarjfa yako siku yakufa mtu huona kifo chake niwewe tu hujuu.wapo wanaoona vifo vyao kabisa wananeema ndy maana wanaona,lkn wapo ambao hawaoni hawakumpa Mungu nafasi ndani yao..Mtu akiwa na Mungu hujuzwa naroho mtakatifu yajayo,soma Yohana 16:7-15 acha kupotosha nakuchafua watu nakuwaumiza wafiwa pia,Mungu anakuona nashungi lako hilo.

  • @DevotaSamsohn
    @DevotaSamsohn 2 месяца назад +2

    Tena usimuite kaka marko marehemu pepo wewe marehemu mwenyewe 😭😭🤸🤸🤸marko wetu kapumzika kalala usingizi

  • @AganoElia
    @AganoElia 6 дней назад

    Acha uongo kijana mwogope mungu mbona ukufichua Siri akiwa hai mpaka umesubiri amekufa acha uongo kijana

  • @stellahrose512
    @stellahrose512 2 месяца назад +2

    Usichezee jina la mungu kama wewe ni mtu wa mungu wafanya Nini makaburini

  • @SimonMwangi-l5d
    @SimonMwangi-l5d 6 дней назад

    Let GOD reveal him self

  • @SOPHIABUNZAR
    @SOPHIABUNZAR Месяц назад +1

    Mbona kama vile Bado upo katka hicho chama ,muonekano tu,hayo yote unayosema mungu do anajua zaid,

  • @Divina-pr6vr
    @Divina-pr6vr Месяц назад

    Time alikuwa hai mbona hukufichua ziri saa hii imefika mwisho ndio unafichua pia uko na rahana kutokumzaidia wachana nayo juu it's too rate😊

  • @EvalineLoket
    @EvalineLoket 2 месяца назад

    Angalia Sana wewe kijana bado mdogo Sana na pia familia ya Marco mnaiumiA Sana kwa hayo maneno ❤❤❤🎉🎉 badala ya kuwafuta machozi mna waongeza machozi Sasa ndo nn na wewe una hubiri injili makabulini unatanya nn

  • @SpelathaSimon-u2b
    @SpelathaSimon-u2b 2 месяца назад +9

    Wewe kaka Mungu hakusaidie wew bado kijana mdogo, naumia sana kuona unavyokubali kutumiwa na shetani , naomba Mungu hakufungue katika jina la Yesu, ilibhufanye kazi ya Mungu wa Mbinguni.

    • @bahatadof5543
      @bahatadof5543 2 месяца назад

      Utakuwa una shida kichwani,huyu samwelu anatumiwa na shetani gan Huwa unamsikiliza au unaripoka tu,ndio nyie mnashinda makanisani hata aluchohubiti mchungaji huelewi,samwelu ni muhubiri mkubwa sana

    • @charlesmahuna
      @charlesmahuna 2 месяца назад

      Hakusaidie ( akusaidie)

    • @charlesmahuna
      @charlesmahuna 2 месяца назад

      Hakufungue(akufungue)

    • @EmilianSaidi
      @EmilianSaidi 2 месяца назад

      Hovyo kweli wew​@@bahatadof5543

    • @vailetvailet6475
      @vailetvailet6475 Месяц назад

      Mungu amsaidie huyu maana hakuna muhubir wa kukaa makaburini

  • @derrickazenze820
    @derrickazenze820 Месяц назад

    Mtumishi wa mungu.kumbuka mungu sio mungu wawafu

  • @samyomondi
    @samyomondi 2 месяца назад +2

    awa watu wanajuana haimanishi alikuwa Adventist sasa asiseme mpaka tujue😮

  • @DevotaSamsohn
    @DevotaSamsohn 2 месяца назад +4

    Shindwa Pepo kwa jina la Yesu kristo alie hai yani bdo tuna majonzi yani daaaah inauma Sana mungu wangu 😭😭 ebu acha Marko wetu apumzike kwa Aman 😭😭😭😭😭😭😭 wewe kaka acha tafadhal mungu atakulipa wewe 😭😭😭😭😭

    • @EdnaPaul-hu4mu
      @EdnaPaul-hu4mu Месяц назад

      Huyu hajielewi anaongea Nini mzabe Kofi astuke usingizini

  • @RaphaelMuhuta
    @RaphaelMuhuta Месяц назад

    Mbona unazunguka ,hueleweki unasimulia kisa Cha Marko au unajisafisha mwenyew, cc tutaaminije kama ww ni WA mungu pia, na kwann uende kuhojiana makaburini ,Kwa mungu ni Nuru na makaburini tena hee😅

  • @linetberry3782
    @linetberry3782 2 месяца назад +5

    Pepo hushindwe kwa jina la yesu

    • @charlesmahuna
      @charlesmahuna 2 месяца назад

      Siyo hushindwe andika ushindwe, mbona mnatuharibia lugha yetu nyie?!

  • @MiriamNelima-i3r
    @MiriamNelima-i3r Месяц назад

    Kijana unafanya nni makaburini kwanza,pili haupo freemason io kitu nyeusi umejifunika ya nni,mwisho ,mtu akifa ni yy na mungu wake ,muache propaganda plz kitu ujui achana naye ,,bytha mnaniudhi mkiongelea Marco na bdo tuna machungu ,hii ujinga Iko tanzanzia ,ninaona Kenya 🇰🇪🇰🇪tukiingilia kati ,ujinga imezidi mipaka😢😢😢

  • @THEANGLEGABRIELSFAMILY
    @THEANGLEGABRIELSFAMILY 2 месяца назад

    Wewe kijana ogopa kristo...unategea pakutafta kula kwa kuchafua watumishi wa yesu kristo mungu hadhihakiwi...

  • @NeemaAmos-n7z
    @NeemaAmos-n7z 2 месяца назад

    Unalaana wew acha marko apumzike make hajui neno lolote kwa sasa acha kabisa mungu atakuazibu kwa hayo utatoa hesabu ya maneno yako kila neno utalitolea hesabu acha kabisa unachokifanya

  • @OfficialChopra-sd4wq
    @OfficialChopra-sd4wq Месяц назад

    Yani samweli ndugu yangu kaz uliyonayo ningumu san kibinadu ila kwa roho ya mungu wa yesu Bristol utashida naamiin endelea kumuangusha shetan sikuzote muda wote maana ana wafuasi wengi sana apa dunian

  • @RoddaMsabi
    @RoddaMsabi 2 месяца назад +1

    Tumekuchoka mpuuzi wew tafuta kaz nyingin uache ujinga mungu hapend unachokifanya

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 2 месяца назад +18

    We unatakiwa uchukuliwe hatua za kisheria

  • @JacoboFideris
    @JacoboFideris Месяц назад

    Muogope mungu we kijana Marko amekufa akiwa mtakatifu

  • @ScholarSikiliza
    @ScholarSikiliza Месяц назад

    Amekufa katk Yesu hayo mengine ajua Mungu

  • @NeyEmmanuely-ji4ki
    @NeyEmmanuely-ji4ki 2 месяца назад +3

    Jamani tusomeni neno la mungu ili tusidaganyike

  • @Antia-eq5kl
    @Antia-eq5kl Месяц назад

    Nakumbuka ulisema umefanya utafiti ukaona kiboko ya wachawi Ni mtumishi wa Mungu wa kweli, na leo ntakuaminije mimi

  • @AnnahOmagwa
    @AnnahOmagwa 2 месяца назад

    Wee kijana pepo wa kuzimuni hushindwe katika Jina la Yesu 🙏

  • @BillyWanda-nr6kl
    @BillyWanda-nr6kl 2 месяца назад +29

    Mhubiri yupi bado unavaa nguo nyeusi na bado unasimulia ukiwa kaburini kwenda kabisa shetani pepo mbaya

    • @winfredangastin2117
      @winfredangastin2117 2 месяца назад +3

      Huyu bado ni 😈 devil whorshper Mungu gani wewe unamuomba ukiwa kablini na nguo nyeusi shindwe katika jina la yesu ni nyinyi mlijua kile kilimkula mkamtumia mkuki rohoni shindwe roho chafu ktk jina l yesu

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 2 месяца назад +2

      Wanaogea yenye wageogea akiwa hai,makafiri awa

    • @jamuuhaman-ed2ij
      @jamuuhaman-ed2ij 2 месяца назад

      acha ujinga wewe anakufikishia ujumbe uweze kuelewa ​@@winfredangastin2117

    • @annmuthoni1487
      @annmuthoni1487 2 месяца назад +1

      Inaovofya, hata sijaweza kumsikiliza nikamaliza, nashangaa anaendeleza nini na kitambaa cheusi

    • @EstherOloo-no3bz
      @EstherOloo-no3bz 2 месяца назад +1

      😂😂😂😅😅😅

  • @ceedanstan6780
    @ceedanstan6780 2 месяца назад +2

    Mnaumizaa familia nyinyi mpunguzen mihemko bora kalaletu umechoka kuwanga uck nahlo linguo lako hana hata aibu jaman humuogop mung😢😢😢😢😢

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman 2 месяца назад

    Nguo siyo ushetani Bali nafsi ndo kusema
    Kama yéyé amekiri kutubu muaceni mungu ndo mjuzi wakila jambo
    Mbona sisi twavaaa abaya nyeusi ju na cini
    Inamaanisha nasisi nimashetwani

  • @Muhammad-jy1vx
    @Muhammad-jy1vx 2 месяца назад +1

    Soma neno la mungu visuri,wewe si mungu bibilia usema usiukumu usije ukahukumiwa pia yesu alikujis kufia wenye dhambi,wacha kudunga kidonda ya mwenye amefiwa,so painful

    • @MaMa-gp1pw
      @MaMa-gp1pw 2 месяца назад +1

      Unahakika wewe muhammad.yesu akafia nani?.hio sio itikadi ya muhammad.

    • @Muhammad-jy1vx
      @Muhammad-jy1vx 2 месяца назад

      @@MaMa-gp1pw yes,yesu akuja kwa ajili ya wenye dhambi ili waokolewe wachana na ufumi za uongo,tengeza njia zako yesu apite

  • @Mwape-b7u
    @Mwape-b7u 18 дней назад

    Can someone help to translate in English for us to understand what is trying to say

  • @JoyceCharo-c3x
    @JoyceCharo-c3x 2 месяца назад

    Ukweli nikwamba Bado unatumika,hujatoka kamwe,mungu akusaidie Sanaa,akukomboe

  • @NeyEmmanuely-ji4ki
    @NeyEmmanuely-ji4ki 2 месяца назад

    Kaka pole. Zindi kumuomba mungu ili ujue yakupasayo kutenda. Acha uongo imeadikwa wapi. Kwamba marehem anaombewa toba

  • @MaureenOgutu-i9d
    @MaureenOgutu-i9d 2 дня назад

    Wacha Mungu ashugulike na wewe.

  • @FrolaMkolo
    @FrolaMkolo 2 месяца назад

    Mwambie shetani kakosea kukupa kazi hii!! Unaumbika kweliii!! Aibu kwako muumini wa shetani!!

  • @Kenyalydiahmonayo
    @Kenyalydiahmonayo 2 месяца назад +3

    Ulikuwa unaongoja akufe ndio ukuje kutuambia, sema chenye kilimuua juu ata ww ni pepo mnaua mtu mnakuja kutuambia ungogo nn hasa unafanya makaburi tuko na uchungu sana mungu atarudi kuwahukumu munaua hadi waimbaji.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @OzanaMtwangi-e4w
      @OzanaMtwangi-e4w 2 месяца назад

      Na wewe si uongeee Yani inazungua zunguka tu wewe vipi?

    • @SamwelSempo-q6o
      @SamwelSempo-q6o 2 месяца назад

      Jamani tumuogope mungu huyu kijana shetani kabisa muongo mchonganishi

  • @TeresaMushi-w5f
    @TeresaMushi-w5f Месяц назад

    Mmmm jmn we kaka mwache kijana wa watu apumzike zake kwa amani
    Maana Mungu ameamua kuchukua ya lake li ngali Bado changa lisije likachafuliwa na mambo ya ulimwengu huu .but wewe unazidi kuiumiza familia ya Marco .

  • @LujaLukalanga
    @LujaLukalanga 2 месяца назад

    Jamani tunaomba sana serikali ichukue hatua hasa waliopewa mamlaka ya kusimamia mitandao ya kijamii ,imezidi kumbuka leo anachafuliwa marko hata kesho naweza chafuliwa Cv mimi au wewe ambae umelifumbia macho, hafu bila kuwa na ushaidi wa kweli

  • @JeniphaEmanuel
    @JeniphaEmanuel 2 месяца назад +4

    Duuh nazidii kuumia zaidii nikionaaa watu kama hawaa na sura yako mbayaaa kama msukule wa mozambique duuh nakuchukiaa sanaaaa ushidwee kwa jina la yesuu pepo mchafuuuuuuu wewe😢😢😢😢😢😢😢

  • @RaphaelMuhuta
    @RaphaelMuhuta Месяц назад

    Jishtukie ww bhana kama ndo chanzo Cha Hela Kwa kula bando za watu ,Bora uende makanisan au omba .na sio kuchezea bando za watu.

  • @MagrethSingo
    @MagrethSingo 2 месяца назад

    Mungu anakuona kaka, kila kitu cha freemason unakijua wewe na tayali unajiita ulishaokoka na huko ulishatoka.

  • @pollineshirima5023
    @pollineshirima5023 2 месяца назад +1

    Sasa unataka kutuambia Marco alikuwa freemanso??

  • @JOYCEMACHUGU
    @JOYCEMACHUGU Месяц назад

    acha uongo wako mungu anakuona mjue mungu na uijue kwel nayo kwel itakuweka huru kwelkwel kijana mdogo hvo dah!!! 16:34

  • @JacoboFideris
    @JacoboFideris Месяц назад

    Serikali acheni kudharirisha nchi pamoja na watu wake kamata mbwa Koko huyo weken ndan au nyonga kabsa kaka yetu amepumzika salam

  • @DianaFilbert-s2e
    @DianaFilbert-s2e Месяц назад

    Mungu ndo anaejuwa

  • @PendoMasunga-cp1kt
    @PendoMasunga-cp1kt 2 месяца назад

    Ivi wewe kijana unamatani na mungu hao unaosema nimatapeli ww nitapeli namba moja Tena acha utani na Kaz ya mungu

  • @nkombemwita3737
    @nkombemwita3737 Месяц назад

    Heli aliekufa kwahaki kaka tutaonana tena yesu akija tena

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 2 месяца назад

    Hivi yesu mnamkuchukuaje lakini ,,akiibuka mganga anasema ametumwa lkn bado ana viashilia vya kishetani hebuvtulieni

  • @TeamJesus-c8c
    @TeamJesus-c8c 2 месяца назад

    Unazo dalili zote kwamba bado uko kwa shetani, nguo nyeusi, umekaa makaburini, na huna neno la Mungu unalolitamka.

  • @ZacMahenge
    @ZacMahenge 2 месяца назад

    Sijaona kipya hapo ndg😮,zaidi ya kutukumbusha kuhusu kifo.

  • @JoyceVodacom
    @JoyceVodacom 2 месяца назад +1

    Sasa wew kaka kama we umeachana na hayo mambo kwanin uko makaburini na umevaa nguo nyeusi

  • @MrVibezesCheet
    @MrVibezesCheet Месяц назад

    Kuna watu wanamtania mungu kweli yaani hivi kwwli marco kafari😢k k

  • @IsraëlLebonCiza
    @IsraëlLebonCiza 2 месяца назад

    Kweli uzini yetu ni furaha kwa wengine kabisa mimi ni mkongo lakini nilikuwa na fata sana nyimba za huyu ndugu ,ila kwa hii vidéo sione maana huu jamaa ali ifanyiya kweli hana hata point moya kbs !! Soyons en Jésus Christ et ne jamais laisser le chemin au diable !! Pole kwa Tanzanie zima nawapenda ndugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @EstherSimon-im2lh
    @EstherSimon-im2lh 2 месяца назад

    Hyo haikuhusu mkono waaa Mungu utakushughulikia hela hzo unazotafuta kwa kusema watumishi wa Mungu utapata tabu 😢

  • @SophiaMogitu
    @SophiaMogitu 2 месяца назад +1

    Wewe siyo Mungu elezea unachotaka kusema pia kama wewe ni mtumishi wa Mungu acha kuvaa kaniki kabisa

  • @ElizaGama-f5t
    @ElizaGama-f5t 19 дней назад

    Mhh we kaka muogope mungu

  • @AlbertRama-r1m
    @AlbertRama-r1m 2 месяца назад

    Kitu kimoja naeza sema au naeza uliza mbona kabla marco hajafariki mbona hamkujitokeza mkaongea haya maneno mnaongea sai sababu mungu mwenyewe alisema tulitoka mavumbini na tutarudi mavumbini kwa hvo acheni kuongea ukijinga mkipost

  • @FranciscoLaurent-f3f
    @FranciscoLaurent-f3f Месяц назад

    Mmmmh mambo ya Dunia n mengi sana

  • @FranciscoDaniel-j3p
    @FranciscoDaniel-j3p 2 месяца назад +2

    Songa mbele upo vzr me nakuelewa

  • @TimotheoZakayo
    @TimotheoZakayo 2 месяца назад

    Ushindwe kwaa jina la yesu,pepo ww,ngoja na ww tusubil kifo chako tuone unaishia wapi

  • @RegnaPaulosumuni
    @RegnaPaulosumuni 7 дней назад

    Mimi ninashida ya uzazi samweli najua jina hilo ni kubwa mimi niombee nimefugwa uzazi

  • @OyooOnyango07-kc1yk
    @OyooOnyango07-kc1yk 2 месяца назад

    Ushindwe katika kina la yesu

  • @JescaJohn-i8r
    @JescaJohn-i8r 2 месяца назад +1

    Sahvi haisaidii kitu .tulia mwache mungu ashughulike

  • @RafikiKigogo
    @RafikiKigogo Месяц назад

    Unalipwa shingap Kwan? Au unapata faida Gani? Usiukumu usije ukahukumiwa, kikombe kile kile unyeshayo mwenzio ndio utanyweshewa.

  • @JofryDaud-kc2du
    @JofryDaud-kc2du 2 месяца назад

    Yaniwewe nimuongo Kama wengine (isaya 23:3-6)dan7:25)yoh15:9-10)kut20:23-17)

  • @NeemaAmos-n7z
    @NeemaAmos-n7z 2 месяца назад

    Unahubiri injilii ya mapepo maana neno la mungu linasema msijisumbue kwa neno lolote bali kwa kusali na kuomba

  • @InnocentMlembe-m3e
    @InnocentMlembe-m3e Месяц назад

    Naomba msimtukane marko hakuwa malaika chunguzeni kwanza dunia inasiri kubwa sana

  • @GodliverMutachi
    @GodliverMutachi 2 месяца назад +2

    Sasa umengoja mtu afe😢surely mbona mnapenda kuweka machungu kwa machungu tena 😢😢😢😢😢😢

    • @jeniphermyingajeniphermyin8029
      @jeniphermyingajeniphermyin8029 2 месяца назад +1

      Liongo hili,linaumiza wafiwa,Kama katoka huko anahubiri lnjili ya Yesu mbona Hilo dude haachi kuvaa,labda lnjili yakuzimu TU ndy anahubiri

  • @OlivaGara
    @OlivaGara Месяц назад

    Sijapenda sijakuelewa wala sitakuelewa yesu ni bwana wa vita hadhihakiwi

  • @NYOROBIMWIGULU
    @NYOROBIMWIGULU 2 месяца назад

    Mmmmmh, Mungu ndo anae jua yote so achen kuchafua watu kwani ipo siku hayo maneno mtalipia , na machozi ya mtu asiye na hatia yawe juu yenu .

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 2 месяца назад

    Si ungepumzika ukamuachia baba mchungaji wa kanisa Lake na nduguze wakaongea?

  • @irenemfinanga7441
    @irenemfinanga7441 2 месяца назад

    Hunalolote😏 unataka tu MB zetu hakuna chamaana hapo Mungu amrehemu Marco wetu🙏

  • @EsterMazoya
    @EsterMazoya Месяц назад

    ushindwe kwa jina la yesuu

  • @DIANAANDREW-bq6no
    @DIANAANDREW-bq6no 2 месяца назад

    Mungu akusaidie napia akusamehe ulijui urifanyaro

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029
    @jeniphermyingajeniphermyin8029 2 месяца назад

    Acha kuwachafua watumishi wa Mungu nakuwaumiza wafiwa,

  • @benakizmannews
    @benakizmannews 2 месяца назад

    Mbn unajifinika nguo nyeusi?ungaliki thu frimanson acha kutudanganya

  • @NURDINIABUKARI
    @NURDINIABUKARI 2 месяца назад +1

    Wewe una Mungu toka pepo

  • @BarakaMgonyoro
    @BarakaMgonyoro 2 месяца назад +2

    Ushindwe Kwa jina la yesu acha upotoshaji hakuna mungu hapo Bali umevaa ngozi ya baba Yako shetani Kwa ajiri ya upotoshaji ushindwe pepo

  • @NeemaLadslaus
    @NeemaLadslaus 2 месяца назад +5

    Wwe kka achakuchafua watu wa mungu,mungu akusaidie uachekushudiauongo

    • @GatekaFatma
      @GatekaFatma 2 месяца назад

      Mbona hajamchafuwa mtu

  • @VeronicaNaliaka-d9s
    @VeronicaNaliaka-d9s 2 месяца назад

    Kwa kweli si kila mtu hufurahia mafanikio yako maishani waaaaaaa

  • @RAPHAELJOLAMU
    @RAPHAELJOLAMU 13 дней назад

    Acha uongo kijana

  • @ladysophia1014
    @ladysophia1014 2 месяца назад

    Wew mwenyewe ni tapeli pia acha kka yetu mpendwa Marco wewe ni Pepo na aliyekutuma ashindwe kama wew

  • @venancemwalukasa6197
    @venancemwalukasa6197 2 месяца назад

    Sijakuelewa unataka kusema kichwa na maelezo unayotupa mbona tofauti?

  • @NamuliaLois
    @NamuliaLois 2 месяца назад

    Kushinda kutumbia ulikua ujui freemason n y mashetani walai si mungu na ata mtoto wa miaka 7 anajua freemason n y nn na madharau kma wwe

  • @UpendoMtavangu
    @UpendoMtavangu 2 месяца назад

    Ndugu zangu huyu kijana bado anatumiwa na fremason ili kuharibu direction ya watu,yaan watu tuone watumishi wa MUNGU nao wapo huko msijichanganyee huyu ni ajenti wa kuzimu bado

  • @JumaMasongi
    @JumaMasongi 2 месяца назад +4

    Ulikua wapi kufichua Bada ya kumpoteza mpendwa wetu

  • @HidayaNzunda-f3f
    @HidayaNzunda-f3f Месяц назад

    People wew nakukemea kwajina la yesu acha kumchafua m2 wa wa2

  • @DivinahMoranga-i9f
    @DivinahMoranga-i9f 2 месяца назад

    Ushindwe katika jina la yesu

  • @sayunilyego
    @sayunilyego Месяц назад

    marco amelala katika Bwana na Bwana atakuja kumfufua tena

  • @IgnasKapita
    @IgnasKapita Месяц назад

    Mchungajiiiii hyo kwiyoooo. Kumamamakeeeeeee weweeee muache Zabroni wetu apumzike kwa amani

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co Месяц назад

    Mama wakamatwe mganga wa kieyej na buyo fremason

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 2 месяца назад

    Mbona mnamchafua marehemu jamani mnaushahidi gani sio vizurii