Poleni sana marafiki zetu wa Tanzania🇹🇿 nzima. Hapa Kenya 🇰🇪 pia tumepata pigo kubwa kuwachwa na ndugu yetu Marco. Pole kwa familia. Tuko pamoja wakati huu mgumu🙏
Poleni sana kwa kuondokewa na ndugu Marco Joseph Bukuru. Tunayo matumaini kuwa ijapo amepumzika, tutaweza kuonana tena kwenye ujio wa pili wa ukombozi.
Makiwa ndugu zetu kutoka Tanzania, tunashukuru Mwenyezi Mungu kwa kipindi kifupi tumejaliwa kuwa na Ndugu Marco Duniani. Kwa mazuri na mabaya tumuishie Maulana. Safiri Salama Marco
Pole sana, tena sana mjane na watoto wa Marco, nduguze na wana Zabron singers. Nina jambo nanyi pia, hata nyie, kwanini hamkumpekeka Aga Khan hospitali kisumu baada kujuzwa ana ugonjwa wa moyo....ila huko kuna wataalamu wa moyo???? Hiyo safari yooote😭😭😭😭 Mungu awasamehe tuuu
@@user-np3fe2sl8d Hata huko Tz kuna madaktari mashuhuri. Lakini kutoka Kisumu kwa barabara hadi Tz katikati kupandishwa ndege mpaka Dar, mda ilipotezwa. Kisumu-Nairobi ni karibu, pengine Maisha ingeogolewa.
Mbona wakamrudisha all the way to Tanzania?..if he was already in Kenya' why didnt they rush him to Kenyatta national hospital or even nairobi hospital? this brother could have survived' the people who were with him failed!..may God rest his soul in peace
Poleni sana ndugu na jamaa za Marco,,,,kusimulia kisa chungu kama hiki kinahitaji ujasiri mkuu,,, Mungu azidi kukutia nguvu kaka,awafariji katika wakati huu mgumu.
Poleni sana ndg zetu wana familia ya Zabroni singers kwa kumpoteza mpendwa wetu Marco Mungu wa mbinguni awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Marco
Million 17 mmetoa na bado haikuweza kusaidia kuokoa maisha yake, hivi kama msingekuwa na hiyo 17M hii operation isingefanyika? Najaribu kuwaza tu kama binadamu, hivi kwa wale wa maisha ya chini masikini ahueni yao inatoka wapi?? mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi sana aisee Mungu atuhurumie Sana maisha haya
Wasingemfanyia na huenda asingekufa mapema hivyo,,Sema walifanya haraka Kwa sababu pesa ipo,,wangempumzisha mgonjwa alichoka sana safari zote hizo duh ata hivyo Mungu Bado alikuwa upande wake Sana,,nawaza mengi ila yanachanganya,,Apumzike tu Kwa Amani.
@@magrethdaniel95daniel61 hii operation hata Agakhan ya Nairobi ingeweza kufanyika tena very successful, hiyo bleeding tunayoambiwa ilisababishwa na nn sasa kama kila kitu kilikuwa intact.. why bleeding??
I wish he was treated in kenya,devil is a liar,aliwafumba macho.May God comfort you .To zabron family,be close to the widow.May God comfort you all and gives you strength
Poleni sana Zabron Singers naomba Mungu azidi kuwafunulia tu najua kuna mapungufu mliyoyafanya katika kazi ya Mungu. Mungu wetu ametupatia SDA kazi ya kuipeleka nyakati hizi za mwisho kupitia ujumbe wa malaika watatu. Hivyo kuna mambo aliyotuonyesha ya kufanya katika maisha hasa ulaji na unywaji na pia kaonyesha mimea ya kutumia kama Tiba za asili. Tafuteni kitabu cha Selected message Vol. 2 cha dada Ellen.G.White mkisome mtaona alichokisema.
Nenda salama kijana wetu Mungu akupokee ktk waja wake watakatifu. Na akusamehe dhambi zako zote. Kwa sababu tunajua Kuwa ss wanadamu tukisema kwamba hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe hivyo kz yetu kubwa ni kuomba toba tu. Poleni zabron singers hakika Mungu mnayemtumikia hatawaacha pweke. Alituahidi.
Hata Mimi limeniumiza sana. Poleni sana Zabron singer, pole kwa bibi yake na watoto, pole kwa familia na jamaa wote. Kenya tunawapa pole zetu watanzania
Poleni sana kwa yaliyotokea pia mimi nina uchungu mwingi sana kwa kumpoteza mcha Mungu kama huyo lakini tunaomba mungu atutie nguvu na atutulize juu imekuwa ngumu kuamini haya,,,,mungu awatie nguvu zaidi familia yake😭
I wish they could have done second chance akunywe dawa kwanza they monitor him kwanza 😢Am still in shock that he no anymore na tulikuwa na yeye TikTok the other day.Rip poleni kwa family
Poleni sana kwa msiba. Ila watu wanaongea saaaana kuhusu kifo cha mpendwa huyu. Mimi nasihi kwa kuwa kila mtu anaongea anavyojua au kutaka ni vema tuache maana yanazua na kuzaa mengi ambayo hayana lolote la kubadili hali halisi iliyopo. Kipindi hiki kitumiwe kufariji wafiwa hususan mkewe na watoto. Basi! Watizedi ni watu wa story zisizoisha.
HII HALI ILINITOKEA SAA SITA SITA USIKU NIKIWA NIMELALA.Maumivu yalikua makali sanaaa.Hili tatizo la moyo lilinipata usiku nikahisi nakufa ilikua ghafla kama ivo nikaamka nikapiga magoti nikaanza kusali na baadae ukapoa kdg nikaamka asubuhi bado naskia maumivu makali na kama moyo unavuja dam. Kesho yake nikawa siwez kkutembea haraka maana ulikua unapata maumivu makali sana ikawa natembea polepole sana na kukaa kila baada ya hatua tatu hadi tano.Moyo ukidunda mpka nje unaskia sauti kama uwe unachapa kofi dogo maji Ile sauti inayoskika. Mpaka leo sijenda hospital sababu ya uchumi ila naendelea vizuri Ile Hali imepoa. Naomba Mungu anilinde zaidi maana na ndoto za kufanya makubwa na kusaidia sana wenzangu. NAAMINI MUNGU ATANILINDA. REST IN PARADISE BROTHER.
Language of body: Before starting the treatment, we must also know the language of our body, that is, the meaning of signals it gives. Pain or Murmur in heart indicates that the heart requires total rest. The best way is to remain in bed for 24 to 74 hours and take treatment on Brain, pituitary, pineal, Mental nerves, Head Nerves & Heart Matibabu ni rahisi na hayahitaji operesheni kama utapata dr anayejua kushughulika na nerves, ila solar plexus ni muhimu pia kucorrect
Poleni familia nzima ya zabron kwa kuondokewa kwa mpendwa mwanakwaya. Nahisi kuwa madaktari walikosea mahali katika upasuaji wa ndugu yetu. Lakini Mungu anajua yote haya. Rip mpendwa..kutoka kenya..
Kaka marco angechangiwa tu hata km hayo yangetokea huko kwenye ndege huyo kaka ni kipenzi cha wengi karibia nchi nzima na nje ya nchi wanamjua wasingemuachaa aabike 😭😭
Umeambiwa asingeweza kukaa kwa ndege kwa masaaa 9 embu tuheshimu professional za watu pia muelewe Madr ili asafirishwe nje inabidi waandaliwe report wataonekana vipi
Mungu anampango wa kila mmoja wetu nikidhani mungu alitaka impate akiwa nyumbani maana wangempeleka hospitali nzuri hapa kenya na wakenya wangejitolea kuchanga lakini nae mungu alikuwa na mipango yake
😢nikisikia kuamsha moyo najiwazia mimi madactari husumbuka saba kuuamsha nikipoteza fahamu😢ninamshangaa Mungu kuishi hadi 😢na ni tukio sio la maramoja😢,Asante yesu kwa neema ya uhai
Poleni sana family na wanakwaya wenzake Zabron Singers Mungu awatie nguvu sana kwani Marco ameniuma 😭😭sana Mungu amyie nguvu mke wake na watoto. Bwana alitoa na Bwana ametia jina lake lihimidiwe🙏
Nmeumizwa sana sana ila Sina Cha kufanya pole kwa wote MUNGU atupe faraja ktk kipindi hiki kigumu Cha majonzi.Tumwombee pumziko la heri na la milele MUNGU ampumzishe mpendwa wetu mahala pema peponi Amina.
Hata wasio wahi kumfahamu marco baada ya mauti wamemfahamu mungu azidi kukuangazia nuru huko ulipo marco naamin miongoni mwa wanao roho ya marco imepandwa na mungu ndani yake na itaendeleza pale alipoishia marco aaaamein
Poleni sana mungu awape nguvu. Mungu ndie anaejua siku ya kufa ya kila mmoja wetu. Ni uzuni sana but we thank God for the gift of his life. May his soul rest in peace
Mimi namliilia Mungu kwa yule aliyewaza kunzisha kulipia huduma za Afya. Ndio aliechochea vifo vingi vya masikini na wanyonge Tanzania 🇹🇿. Nakufanya wenye nazo, wawe na nafasi kubwa ya kupona katika magonjwa. Kwasababu wao wana uwezo wa kulipia huduma za Afya.
Langu nitaishi kukumbuka kimbao chake ambacho tuliishi kuinga na binamu yangu,,ni wewe....usemao akuna kalamu Wala wino unaoweza elezea jinsi ulivyo ...naamini yupo Kwa mungu muugwana ambaye nilitazamia kumuona najutia Mimi tu apa mjini embu Kenya.
Kulingana na maelezo ya madaktari, hapa kuna fiche! Watu hugongwa na gari au kupata anjali na miili yao kuharibika sana na hiyo haijalishi maana kuna mortuary za kisasa. Mbona wakaharahakisha apelekwe nyumbani haraka kiasi hicho kana kwamba hawana mortuary? Kumbukeni biashara ya figo jameni inaendelezwa jameni. Hapo familia ilichezwa! These doctors must have been covering up something. Halafu taarifa zingine zilisema the same doctors removed the heart battery before time and that is how he died. There must be something here.
Utata gani wa kifo huyo alikuwa mtumishi wa Mungu msilazimishe kuonekana Kuna kitu pokeeni msiba huo Marco Amelala msitengeneze vurugu kwenye familia Kaka unajua
Na washangaa hawa waja wa Mungu. Yaani sijui wanatarajia binaadamu aishi milele? Yaani wanasahau kuwa kila kilicho na roho siku moja kitakufa tu. Asife mtu ila ameuwawa.
Nimefuatilia safari ya ugonjwa na mauti ya Marco. Binafsi nilimpenda sana. Kwanza Mungu alimhifadhi na akaishi na shinda kubwa ya moyo hata akatumika miaka kadhaa. Pili, nawashuku hao matabibu waliozuia asipelekwe India. Walitaka credit kama wangefaulu kutibu mtu maarufu. Garama sio shinda yao. Tungechanga Africa mashariki pamoja na Rais wa Kenya. Sote tuwe pole😢😢😢
Poleni Sana familiya ya Zaburoni singaers kwa kuondokewe na mpendwa wenu mungu awafariji tutammiss Sana bwana alitoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe poleni San wapendwa safari ameimaliza samala
Bora wangempeleka nairobi kuliko kurudi tz Dah kifo kinanguvu Ni mapema mno kibinadamu Ila Mungu amekupenda zaidi Zabron hukumfikiria mkeo na watto wako ukainuka tena 😢😢😢😢
naye mtangazaji mbona unahoji vitu ambavyo havina maana ,umepewa ushirikiano toka mwanzo kuhusu mgonjwa mpaka umauti ulipomfika,sasa unaanza kuuliza mambo ya kwaya ,huoni kuwa sio muda wake kuongelea hayo,ndio maana huwa mnaonekana kama hamna uhakika na taaluma zenu, maana mtu ni kama haujui ni swali lipi linatakiwa kuulizwa
Sayansi hujitahidi sana kueleza na kufafanua mambo ila nilichokitambua ni kwamba Shetani alipanga kuiangamiza kwaya nzima ya Zablon Singers kupitia ajali wakati Marko anaendesha gari! Shetani aliposhindwa akaamua kupita na nguzo muhimu ya kwaya! Kwa ufupi ni kwamba ifikie watumishi kama hawa wawe wepesi kuwasiliana na wanamaombi (maombi ya kivita). Kwa jina la Yesu Kristo na Nguvu ya Roho Mtakatifu hilo pepo la mauti liondoke na likome kuranda randa kwenye familia, kwaya na familia / ukoo huo! Mungu baba wa Mwokozi wetu Yesu 5:43 , awalinde na awashibishe umri Zablon singers na watumishi wake wengine.
Nawashauri ndugu wote mpime moyo, yawezekana ni ugonjwa wa familia mmeridhi,maana mara nyingi ni ugonjwa wa kuridhi pia,iki mkijuwa mapema itakuwa raisi kujitunza.
@@mugapro ukishapima mapema ikaonekana unashida ya moyo,watakwambia ni shida gani na Lina ukubwa gani,maana matatizo ya magonjwa ya moyo ni mengi na yanatofautiana. 1. Watakuelekeza namna ya mfumo wa maisha uishije,Nini ufanye na Nini husifanye ikiwemo vyakula pia,hata kama hutakuwa na tatizo Kwa muda huo 2. Ikaonekana unashida,maana yake utaanza au utafanyiwa matibabu mapema,kuliko kutibiwa shida ikishakuwa kwenye Hali mbaya 3. Unaweza ukapewa dawa za kutumia maisha yako yote kama ilivyo Kwa WAISHIO na virusi vya ukimwi na kuishi muda mrefu, kutegemea na shida yako 4. Kupima afya mara Kwa mara inasaidia sana kujuwa afya yako,ili kujikinga na magonjwa kama HUNA,kupata huduma mapema na hata kusogeza maisha pia Kwa kutumia dawa endapo utakuwa na shida. 5. Kikubwa kwenye magonjwa ya moyo visababishi vipo vingi MFANO Kurithi toka Kwa wazazi Unywaji wa pombe uliopitiliza Uvutaji wa sigara Uhafifu wa kufanya mazoezi ya MWILI Ulaji wa vyakula vyenye mafuta sana Mawazo yaliyopitikiza NA VINGINE VINGIVINGI Kwa hiyo nikujitahidi kuviepuka hivyo visababishi. Mbarikiwe🙏🙏
😂😂 usiwape watu hofu bana.. madaktari hao bingwa wameenda kufanya operation wameshachangwanywa na solar plexus zikiwa haziki center kwenye vipimo hata vya x-Ray moyo utaonekana mpana, ila body language pia imewachenga.. Language of body: Before starting the treatment, we must also know the language of our body, that is, the meaning of signals it gives. Pain or Murmur in heart indicates that the heart requires total rest. The best way is to remain in bed for 24 to 74 hours and take treatment on Brain, pituitary, pineal, Mental nerves, Head Nerves & Heart. Madaktari bingwa bado darasa linawahusu
Poleni sana marafiki zetu wa Tanzania🇹🇿 nzima. Hapa Kenya 🇰🇪 pia tumepata pigo kubwa kuwachwa na ndugu yetu Marco. Pole kwa familia. Tuko pamoja wakati huu mgumu🙏
Poleni. Mungu na awafariji
qqqqqq
Nani amekutuma
Poleni sana kwa kuondokewa na ndugu Marco Joseph Bukuru. Tunayo matumaini kuwa ijapo amepumzika, tutaweza kuonana tena kwenye ujio wa pili wa ukombozi.
Amen
😢
Huyu baba jamani amekuwa jasiri sana. Ameonesha ukomavu na ulezi kwa kweli. Mungu akutunze Director, umeonesha ukomavu na imani kuu.
Pole sana family na Watanzania wote kwa kuondokewa na mpendwa wetu.Madaktari wanatibu Mungu ndo anayepona.Mungu aliyemtoa ndiye alimchukua
Makiwa ndugu zetu kutoka Tanzania, tunashukuru Mwenyezi Mungu kwa kipindi kifupi tumejaliwa kuwa na Ndugu Marco Duniani. Kwa mazuri na mabaya tumuishie Maulana. Safiri Salama Marco
Wangemfanya wangempa dakika waone kama ataaga
Poleni sana.Vita amevipiga, Imani ameilinda na mwendo amemaliza.Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya maisha yake
Amen
Vita gan hivyo?
@@willenmtafungwa1920vya duniani
Ni usemi katika biblia. @@willenmtafungwa1920
@@willenmtafungwa1920 Maisha ni vita hadi mwisho.
Hosptal ya Jakaya irudshe hzo mil17 zkamsaidie mjane kwan hawakuweza kuokoa uhai wa marco,..hvyo warudshe hizo hela za gharama waalizoa toa
Kabisaa maana hawana maana kabisaaa wamepelekee mjane akatumie
Hata ivo 17M kwa hosp. Ya serikali mbona ni kubwa sana
Kabisaaa
@@FreeGod368 upasuaji wa moyo ni gharama, hatahuko India gharama ni kubws zaidi
Warudishe izo pesa bongo matibabu ya moyo bado sana
Poleni sana familia ya Marko, Waimbaji, Kanisa Tz na walio Kenya na waTanzania. Wacha Marko apumzike, tutaonana tena Yesu arudipo.
Pole sana, tena sana mjane na watoto wa Marco, nduguze na wana Zabron singers. Nina jambo nanyi pia, hata nyie, kwanini hamkumpekeka Aga Khan hospitali kisumu baada kujuzwa ana ugonjwa wa moyo....ila huko kuna wataalamu wa moyo???? Hiyo safari yooote😭😭😭😭 Mungu awasamehe tuuu
I feel you aki, but imagine mipango ya Mola aipangavyo hakuna binadamu anaweza elewa
Poleni sana jamaa katika Christo, Kundi la Zabroni inanibariki sana maishani, Kaka Marco kwenda Salama na umepiga vita vizuri. Toka South africa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪tumeomboleza nanyi Sanaa ...mungu ailaze roho yake mahali pema palipo na wema
Am from Kenya wish he was treated in Kenya,,,we have special surgeon to perform operation. Those doctors God is watching u😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yes even mater heart hospital.
@@user-np3fe2sl8d Hata huko Tz kuna madaktari mashuhuri. Lakini kutoka Kisumu kwa barabara hadi Tz katikati kupandishwa ndege mpaka Dar, mda ilipotezwa. Kisumu-Nairobi ni karibu, pengine Maisha ingeogolewa.
Poleni Sana,Kaka umeongea kwa hekima ya ki Mungu. Mungu azidi kuwatia nguvu.
Mbona wakamrudisha all the way to Tanzania?..if he was already in Kenya' why didnt they rush him to Kenyatta national hospital or even nairobi hospital? this brother could have survived' the people who were with him failed!..may God rest his soul in peace
Exactly my thoughts. Maybe they could have saved his life. RIP Marco
Poleni kwa kumpoteza ndugu yetu lakini poleni sana madactari wote mliotoa ushirikiano tunajua mungu nimkubwa zaid akipenda amependa
Kaka amejibu maswali kwa hekima ya Mungu asante kaka poleni sana wapendwa Mungu awape nguvu katika kipindi hichi kigumu amina
Poleni sana Zablon sngers kwa kuondokewa na mpendwa wenu, Mungu awafariji, tuta mmiss sana. Bwana alitoa Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe.
Poleni sana familia na kwaya pia. Mungu awafariji.
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki kwa kuondokewa na Marco zabron singers kwa kwel ni pengo kubwa kwa zabron singers
Poleni sana ndugu na jamaa za Marco,,,,kusimulia kisa chungu kama hiki kinahitaji ujasiri mkuu,,, Mungu azidi kukutia nguvu kaka,awafariji katika wakati huu mgumu.
Bwana atufundishe kuhesabu siku zetu #kifo ni fumbo 😭😭😭till we meet again Marco, tuonane Asubuhi ile iliyo njema kaka pumnzika 💔💔
pole kwa familia ya Tanzania wote sisi ni familia moja faraja ya Mungu itufariji wote
Poleni sana Mungu mwema Kwa kipindi hiki kigumu tulimpenda sana na nyimbo zai zilitukosha sana mtu ukitulia zinafariji Mungu awape uvumilivu
Poleni sana ndg zetu wana familia ya Zabroni singers kwa kumpoteza mpendwa wetu Marco Mungu wa mbinguni awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Marco
Zabron family take heart,till we meet with Marco again.
Poleni sana dada zangu na madugu kw kumpoteza mwensenyu ni ujungu sn na mm nataka kuwatumanishia kidogo ninajo na Niko kenya tatuma vipi
Million 17 mmetoa na bado haikuweza kusaidia kuokoa maisha yake, hivi kama msingekuwa na hiyo 17M hii operation isingefanyika? Najaribu kuwaza tu kama binadamu, hivi kwa wale wa maisha ya chini masikini ahueni yao inatoka wapi?? mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi sana aisee Mungu atuhurumie Sana maisha haya
Wasingemfanyia na huenda asingekufa mapema hivyo,,Sema walifanya haraka Kwa sababu pesa ipo,,wangempumzisha mgonjwa alichoka sana safari zote hizo duh ata hivyo Mungu Bado alikuwa upande wake Sana,,nawaza mengi ila yanachanganya,,Apumzike tu Kwa Amani.
kweli, hiyo opareshen ndio imemmaluza
@@magrethdaniel95daniel61 hii operation hata Agakhan ya Nairobi ingeweza kufanyika tena very successful, hiyo bleeding tunayoambiwa ilisababishwa na nn sasa kama kila kitu kilikuwa intact.. why bleeding??
@@GetruderMfinangauhai ni WA Mungu ikifika mda sayansi haitibu
Hapa duniani sio kwetu kwetu mbinguni polen@@magrethdaniel95daniel61
Poleni Sana Zabron Singer's n Family. Mungu awafariji
Poleni Sana familia ya Marco. Mungu awape ujasiri Kwa wakati huu mgumu. Asubuhi yajaa ,tutaona tena
Poleni Sana 😭😭😭😭 mungu anajua sababu🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️😭😭😭😭😭😭 shine on your way Marco Joseph ulimwengu kote wanalia Sana 😢😢😢😢
I wish he was treated in kenya,devil is a liar,aliwafumba macho.May God comfort you .To zabron family,be close to the widow.May God comfort you all and gives you strength
Na me ndio nashangaaa. Kwanini hakutibiwa Kenya jameni. Wangempeleka Nairobi
Seems like alipata cardiac arrest
Poleni sana Zabron Singers naomba Mungu azidi kuwafunulia tu najua kuna mapungufu mliyoyafanya katika kazi ya Mungu. Mungu wetu ametupatia SDA kazi ya kuipeleka nyakati hizi za mwisho kupitia ujumbe wa malaika watatu. Hivyo kuna mambo aliyotuonyesha ya kufanya katika maisha hasa ulaji na unywaji na pia kaonyesha mimea ya kutumia kama Tiba za asili. Tafuteni kitabu cha Selected message Vol. 2 cha dada Ellen.G.White mkisome mtaona alichokisema.
Malaika umeanza kujudge maswala ya watu . Wenzio wako kwenye majonzi we umeanza mahubiri
Usihukumu, usijeukahukumiwa
Mapungufu gani mbona mnakula majani na mnakufa lol baada ya kuwapa pole unaanza kuongea vitu ambavyo wakati wake si sahihi
Mh! Hivi mtu akila hivyo hafi?
Poleni sana wanafamilia, Mungu awatie nguvu na ujasiri ktk kipindi hiki kigum
Poleni sana familia ya macro mwenyezi mungu awape nguvu ya kukabiliana na huzuni mulio Nayo na pia ailaze roho ya kaka yetu Marco pema peponi
Poleni sana.
Mbona amgekumbaliani atibiwe hapa kenya.
Imeniuma sana
Mungu awape nguvu
Nenda salama kijana wetu Mungu akupokee ktk waja wake watakatifu. Na akusamehe dhambi zako zote. Kwa sababu tunajua Kuwa ss wanadamu tukisema kwamba hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe hivyo kz yetu kubwa ni kuomba toba tu. Poleni zabron singers hakika Mungu mnayemtumikia hatawaacha pweke. Alituahidi.
Hata Mimi limeniumiza sana. Poleni sana Zabron singer, pole kwa bibi yake na watoto, pole kwa familia na jamaa wote. Kenya tunawapa pole zetu watanzania
Poleni sana Mungu awatie nguvu wakati huu mgum Mungu awape faraja yake
Poleni msiba umegusa sana hisia za watu wengi.
Serikal Inapaswa Kuweka Msaada Kwa ajir ya Watu weny Magonjwa ya hivo Maana upotez M17 Na Mtu wako pia, Inauma Sana 😭😭
Haswaaaaa
Poleni sana kwa yaliyotokea pia mimi nina uchungu mwingi sana kwa kumpoteza mcha Mungu kama huyo lakini tunaomba mungu atutie nguvu na atutulize juu imekuwa ngumu kuamini haya,,,,mungu awatie nguvu zaidi familia yake😭
I wish they could have done second chance akunywe dawa kwanza they monitor him kwanza 😢Am still in shock that he no anymore na tulikuwa na yeye TikTok the other day.Rip poleni kwa family
Poleni sana kwa msiba. Ila watu wanaongea saaaana kuhusu kifo cha mpendwa huyu. Mimi nasihi kwa kuwa kila mtu anaongea anavyojua au kutaka ni vema tuache maana yanazua na kuzaa mengi ambayo hayana lolote la kubadili hali halisi iliyopo. Kipindi hiki kitumiwe kufariji wafiwa hususan mkewe na watoto. Basi! Watizedi ni watu wa story zisizoisha.
HII HALI ILINITOKEA SAA SITA SITA USIKU NIKIWA NIMELALA.Maumivu yalikua makali sanaaa.Hili tatizo la moyo lilinipata usiku nikahisi nakufa ilikua ghafla kama ivo nikaamka nikapiga magoti nikaanza kusali na baadae ukapoa kdg nikaamka asubuhi bado naskia maumivu makali na kama moyo unavuja dam. Kesho yake nikawa siwez kkutembea haraka maana ulikua unapata maumivu makali sana ikawa natembea polepole sana na kukaa kila baada ya hatua tatu hadi tano.Moyo ukidunda mpka nje unaskia sauti kama uwe unachapa kofi dogo maji Ile sauti inayoskika. Mpaka leo sijenda hospital sababu ya uchumi ila naendelea vizuri Ile Hali imepoa. Naomba Mungu anilinde zaidi maana na ndoto za kufanya makubwa na kusaidia sana wenzangu. NAAMINI MUNGU ATANILINDA. REST IN PARADISE BROTHER.
Pole
@@MonicaMfinanga Asante sana ndugu Mungu ni mwema sana.
Dah nenda hospital jaman
Language of body: Before starting the treatment, we must also know the language of our body, that is, the meaning of signals it gives.
Pain or Murmur in heart indicates that the heart requires total rest. The best way is to remain in bed for 24 to 74 hours and take treatment on
Brain, pituitary, pineal, Mental nerves, Head Nerves & Heart
Matibabu ni rahisi na hayahitaji operesheni kama utapata dr anayejua kushughulika na nerves, ila solar plexus ni muhimu pia kucorrect
@@facef5577 Thank you bro,kwa ushauri mzuri. Nadhani utakuta doctor kwa namna ulivyongea mambo ya kitaalamu. Ubarikiwe sana.
Poleni sana jamaa na marafiki qwa kupoteza shujaa wetu🇰🇪🇰🇪🇸🇦 ,mungu airehemu roho yake, family mungu akawafute machozi
poleni sana Mungu wa mbinguni awape nguvu katika kipindi hiki kigumu mnachopitia
Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Poleni familia nzima ya zabron kwa kuondokewa kwa mpendwa mwanakwaya.
Nahisi kuwa madaktari walikosea mahali katika upasuaji wa ndugu yetu. Lakini Mungu anajua yote haya. Rip mpendwa..kutoka kenya..
Poleni sana wanaZabron singers family Mungu awape moyo wa mkuu.
Ila mwanaume atabaki kua mwanaume tu angekua mwanamke asingeweza kuelezea bira kutoa machozi😭😭😭 basi wangerudisha pesa japo nusu iwasaidie kwa msiba😭
Kaka marco angechangiwa tu hata km hayo yangetokea huko kwenye ndege huyo kaka ni kipenzi cha wengi karibia nchi nzima na nje ya nchi wanamjua wasingemuachaa aabike 😭😭
Umeambiwa asingeweza kukaa kwa ndege kwa masaaa 9 embu tuheshimu professional za watu pia muelewe Madr ili asafirishwe nje inabidi waandaliwe report wataonekana vipi
@@faustinombilinyi9809utawaweza watu
Polen sana wapemdwa wa MUNGU Kwa kuondokewa na MTUMISHI wa MUNGU Marco Joseph bukuru apumzike Kwa amani
Still young jaman marco wety😢 pumzika kwa Aman kaka marco
Mungu anampango wa kila mmoja wetu nikidhani mungu alitaka impate akiwa nyumbani maana wangempeleka hospitali nzuri hapa kenya na wakenya wangejitolea kuchanga lakini nae mungu alikuwa na mipango yake
😢nikisikia kuamsha moyo najiwazia mimi madactari husumbuka saba kuuamsha nikipoteza fahamu😢ninamshangaa Mungu kuishi hadi 😢na ni tukio sio la maramoja😢,Asante yesu kwa neema ya uhai
Amen dear..ni kwa neema tu tupo Hai mpaka leo
ZIPO SABABU ZA MUNGU KUKUPA NEEMA YA UHAI MARA HIZO ZOTE.FANYA MAPENZI YA MUNGU KWA KUTIMIZA WITO UNAOKUPA MSUKUMO NDANI YA MOYO WAKO.
Poleni sana family na wanakwaya wenzake Zabron Singers Mungu awatie nguvu sana kwani Marco ameniuma 😭😭sana Mungu amyie nguvu mke wake na watoto. Bwana alitoa na Bwana ametia jina lake lihimidiwe🙏
Wote tu wasafiri, hatujui kuwa tutaondokaje hapa duniani. Mungu ni mwaminifu wa kila jambo ameamua Marco apumzike. Pumzika kwa amani.
Poleni sana, huku Kenya tuko na huzuni...
Pole sana familia. May God grant you sufficient grace during this difficult time.
Nmeumizwa sana sana ila Sina Cha kufanya pole kwa wote MUNGU atupe faraja ktk kipindi hiki kigumu Cha majonzi.Tumwombee pumziko la heri na la milele MUNGU ampumzishe mpendwa wetu mahala pema peponi Amina.
Why DD you have to travel him back to Tanzania instead of seeking medication in Kenya until he gets out of danger?
Poleni sana wanafamilia na ndugu kwa ujumla safari ni yetu sote,mungu akailaze mahali pema peponi mpendwa wetu
Pole kubwa kwa wanafamilia wa Zabron.mungu awafariji tu sana.naitwa Sammy kutoka kenya
Ni uchungu sana,pole zangu kwa watanzania n zabron singers at large, May Marco's soul rip 💔😭
Mimi kifo chake kimenigusa nkalia, nahofia familia sasa wako aje,mungu awape nguvu poleni ndugu
Hata wasio wahi kumfahamu marco baada ya mauti wamemfahamu mungu azidi kukuangazia nuru huko ulipo marco naamin miongoni mwa wanao roho ya marco imepandwa na mungu ndani yake na itaendeleza pale alipoishia marco aaaamein
Poleni familia na marafiki kwa ujumla, kwa kumpoteza mpendwa wa watu wote duniani. Makiweni familia kwa kipindi hiki kigumu .
Poleni sana mungu awape nguvu. Mungu ndie anaejua siku ya kufa ya kila mmoja wetu. Ni uzuni sana but we thank God for the gift of his life. May his soul rest in peace
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie,apumzike kwa Amani,Amina 🙏
Mimi namliilia Mungu kwa yule aliyewaza kunzisha kulipia huduma za Afya.
Ndio aliechochea vifo vingi vya masikini na wanyonge Tanzania 🇹🇿.
Nakufanya wenye nazo, wawe na nafasi kubwa ya kupona katika magonjwa.
Kwasababu wao wana uwezo wa kulipia huduma za Afya.
Langu nitaishi kukumbuka kimbao chake ambacho tuliishi kuinga na binamu yangu,,ni wewe....usemao akuna kalamu Wala wino unaoweza elezea jinsi ulivyo ...naamini yupo Kwa mungu muugwana ambaye nilitazamia kumuona najutia Mimi tu apa mjini embu Kenya.
poleni sana familiya ya zabron singes kwa kuondokewa na ndgu yetu marco mngu ayilaze loho yake mahili pema peponi daima tuta mkumbuk😂😂😂😂🙏🙏🙏
Poleni sana wazazi,familia,ndugu na marafiki wa ndani na nje.Mungu ndiye ajuaye yote.Hakika tumeumia,hii ni premature death.
Kulingana na maelezo ya madaktari, hapa kuna fiche! Watu hugongwa na gari au kupata anjali na miili yao kuharibika sana na hiyo haijalishi maana kuna mortuary za kisasa. Mbona wakaharahakisha apelekwe nyumbani haraka kiasi hicho kana kwamba hawana mortuary? Kumbukeni biashara ya figo jameni inaendelezwa jameni. Hapo familia ilichezwa! These doctors must have been covering up something. Halafu taarifa zingine zilisema the same doctors removed the heart battery before time and that is how he died. There must be something here.
I feel sad😢
Poleni sana waimbaji wa Zabloni. Mungu awape faraja iliyo kuu.
Utata gani wa kifo huyo alikuwa mtumishi wa Mungu msilazimishe kuonekana Kuna kitu pokeeni msiba huo Marco Amelala msitengeneze vurugu kwenye familia Kaka unajua
Huyo ameeondolewa tu hakuna cha mtumishi wa Mungu wala nn
Na washangaa hawa waja wa Mungu. Yaani sijui wanatarajia binaadamu aishi milele? Yaani wanasahau kuwa kila kilicho na roho siku moja kitakufa tu. Asife mtu ila ameuwawa.
@kwekwenyotakwekwenyota183wewe ndo umemuomdoa? Shetani we
Poleni sana wenzetu kwa kufiwa ,mungu awatie nguvu na awafariji.😂😂😂😂
Mungu awatie nguvu wafiwa wote,hakika kila nafsi itaonja mauti, Mungu tukumbushe kuhesabu siku zetu,R.I.P kaka Marco😂
Poleni sana Wana familia pia nyinyi mlijangia kitfo chake mbona Kenya Kuna hospital nzuri ambazo mngemueka atipiwe.
Hujui kuwa ahad yake imefika? Au hujui pia binadamu tunaish mwisho wa ck tutakufa kila mtu na ahad yake?
Nimefuatilia safari ya ugonjwa na mauti ya Marco. Binafsi nilimpenda sana. Kwanza Mungu alimhifadhi na akaishi na shinda kubwa ya moyo hata akatumika miaka kadhaa. Pili, nawashuku hao matabibu waliozuia asipelekwe India. Walitaka credit kama wangefaulu kutibu mtu maarufu. Garama sio shinda yao. Tungechanga Africa mashariki pamoja na Rais wa Kenya. Sote tuwe pole😢😢😢
Poleni Sana familiya ya Zaburoni singaers kwa kuondokewe na mpendwa wenu mungu awafariji tutammiss Sana bwana alitoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe poleni San wapendwa safari ameimaliza samala
Poleni sana jamani wa Tanzania Marko kundi nzima na familia yake Mungu aliye mfariji mkuu awashike mkono awalinde na kuwatunza siku zote.
IRP Marco wa Zabron,, Mungu awape faraja ndg wote wa marehem kwa kpnd hik kigumu kwenu
Kama ilikua pressure hangeweza kupanda ndege😭😭..Mungu alikubali haya machozi yametosha acha tukubuli😊
Yanibora mngempeleka tu huko India maana walosema asingefika ni wanadam ! Mungu angeweza mfikisha na angerudi kwakuwa maombi yalikuwa yanaendelea😢
Umenena. Imani yaponya
Bora wangempeleka nairobi kuliko kurudi tz
Dah kifo kinanguvu
Ni mapema mno kibinadamu
Ila Mungu amekupenda zaidi
Zabron hukumfikiria mkeo na watto wako ukainuka tena 😢😢😢😢
Pole sna ak mungu ailinde familia yke ak pole
Moyo unauma sana yalomtokea Marco ndo yalomtokea mwanangu mpaka kupelekea umauti pole sana FAMILIA
Pole
Pole sana
Polen Sana wanazablon nawatumishi wa Mungu,tumeumka wengi yaan CD yenu ninayo mmmh,nimipango ya Mungu 🙏
It seems like he may have died on the operating table...may God rest his soul and give strength to his family
naye mtangazaji mbona unahoji vitu ambavyo havina maana ,umepewa ushirikiano toka mwanzo kuhusu mgonjwa mpaka umauti ulipomfika,sasa unaanza kuuliza mambo ya kwaya ,huoni kuwa sio muda wake kuongelea hayo,ndio maana huwa mnaonekana kama hamna uhakika na taaluma zenu, maana mtu ni kama haujui ni swali lipi linatakiwa kuulizwa
Poleni sana, may God comfort you all, Rosemary from Kenya.
pole sana wana family mungu awatie nguvu nipengo ambalo hatutolisahau daima amin
Madactar mmeshugulika mungu awazidishie uwezo hayupo anae zuia tarhe ya mungu aliyo ipanga siku za kuishi za mwanadamu
Mungu awatie nguvu familia ya singer
Tumwachie Mungu maana yeye ndiye anayejua yote,,naye ndio Hakimu wa haki,,,atatenda kwa wakati.
BWANA AMETOA,,BWANA AMETWAA,,,JINA LA BWANA LIIMIDIWE🙏
Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike Kwa amani Amina
Sayansi hujitahidi sana kueleza na kufafanua mambo ila nilichokitambua ni kwamba Shetani alipanga kuiangamiza kwaya nzima ya Zablon Singers kupitia ajali wakati Marko anaendesha gari!
Shetani aliposhindwa akaamua kupita na nguzo muhimu ya kwaya!
Kwa ufupi ni kwamba ifikie watumishi kama hawa wawe wepesi kuwasiliana na wanamaombi (maombi ya kivita).
Kwa jina la Yesu Kristo na Nguvu ya Roho Mtakatifu hilo pepo la mauti liondoke na likome kuranda randa kwenye familia, kwaya na familia / ukoo huo!
Mungu baba wa Mwokozi wetu Yesu 5:43 , awalinde na awashibishe umri Zablon singers na watumishi wake wengine.
Nawashauri ndugu wote mpime moyo, yawezekana ni ugonjwa wa familia mmeridhi,maana mara nyingi ni ugonjwa wa kuridhi pia,iki mkijuwa mapema itakuwa raisi kujitunza.
Hebu tuelekeze jinsi ya kujitunza, maana mpaka naogopa
@@mugapro ukishapima mapema ikaonekana unashida ya moyo,watakwambia ni shida gani na Lina ukubwa gani,maana matatizo ya magonjwa ya moyo ni mengi na yanatofautiana.
1. Watakuelekeza namna ya mfumo wa maisha uishije,Nini ufanye na Nini husifanye ikiwemo vyakula pia,hata kama hutakuwa na tatizo Kwa muda huo
2. Ikaonekana unashida,maana yake utaanza au utafanyiwa matibabu mapema,kuliko kutibiwa shida ikishakuwa kwenye Hali mbaya
3. Unaweza ukapewa dawa za kutumia maisha yako yote kama ilivyo Kwa WAISHIO na virusi vya ukimwi na kuishi muda mrefu, kutegemea na shida yako
4. Kupima afya mara Kwa mara inasaidia sana kujuwa afya yako,ili kujikinga na magonjwa kama HUNA,kupata huduma mapema na hata kusogeza maisha pia Kwa kutumia dawa endapo utakuwa na shida.
5. Kikubwa kwenye magonjwa ya moyo visababishi vipo vingi MFANO
Kurithi toka Kwa wazazi
Unywaji wa pombe uliopitiliza
Uvutaji wa sigara
Uhafifu wa kufanya mazoezi ya MWILI
Ulaji wa vyakula vyenye mafuta sana
Mawazo yaliyopitikiza
NA VINGINE VINGIVINGI
Kwa hiyo nikujitahidi kuviepuka hivyo visababishi.
Mbarikiwe🙏🙏
😂😂 usiwape watu hofu bana.. madaktari hao bingwa wameenda kufanya operation wameshachangwanywa na solar plexus zikiwa haziki center kwenye vipimo hata vya x-Ray moyo utaonekana mpana, ila body language pia imewachenga..
Language of body: Before starting the treatment, we must also know the language of our body, that is, the meaning of signals it gives.
Pain or Murmur in heart indicates that the heart requires total rest. The best way is to remain in bed for 24 to 74 hours and take treatment on
Brain, pituitary, pineal, Mental nerves, Head Nerves & Heart.
Madaktari bingwa bado darasa linawahusu
@@facef5577 no wajuwe tu Hali zao.
@@facef5577we umepima?? Nani kakwambia ugonjwa wa moyo kutanuka ni wa kurithi??😂😂😂😂😂
Mungu ampokee mtumishi wake tulimpenda na yeye ndo kampenda zaidi kwa kweli inauma ila haina budi kulizika na kumwombea kwa mungu
Congo tunaliya mwimbaji Marco amerudi munguamupokeye Magali ambapo analazwa.
Huu msiba jmn umeniumiza sauti ya marco hatutaisikia tena😭😭😭😭😭