MADEBE LIDAI NILIMKOSEA MKE WANGU ANISAMEHE NAMPENDA SANA ILA ASIRUDIE TENA MAMBO YA NDOA KUSEMA NJE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online
    #wasafi,#diamondplatnumz,#alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba
    ,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#RUclipslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonize,#afro east,#linawachoma,#chadema,#rostam,#dodo,#diamond platnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,#nikuone,#sijaona,tetema,niteke,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga, Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online
    #wasafi,#diamond platnumz,alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#RUclipslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonizplatnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize remix,#tanzania,#tutorial,#tumewas
    #hakunakulala,#raha,#nisamehe,#bedroom,
    #yopeyoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
    #nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,
    #thestorybook,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko
    #sukari,#waah,#hasara,#nobody,#wizkid,#davido,#burnaboy
    #diamondplatnumz,#wana,#kwaru,buza#,jeje,#gere,#baclava,#harmonize,#wasafi,
    #thestory book,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#waah#,hasara, #wananchiday2020,#wananchi,#yanga,#youngafricans,#yangasc,
    #antonionugaz #yangaleo,#senzo,#alichokisemanugaz,#kambiyayangakigamboninibalaa,#mshindomsola,#wapesalamu,#shutikalitv,#simba,#azamtv,#azamtvmax,
    #azamsports,#morrison,#hajimanara,#diamondplatnumz,#simbasc,
    #manara,#wasafi,#globaltvonline,#barakampenja,#tuisilakisinda,
    #ligikuu,#azamtv,#michezo,#highlights,#azamsportshd,#azamsports2,
    #yanga,#sportarenawasafitv,#sportarena,#tanzanianews,#wasafitv
    #diamondplatnumz,#wana,#kwaru,#hakunakulala,#raha,#nisamehe,
    #bedroom,#missbuza,j#eje,#gere,#bachela,#dodo,#alikiba,#diamond,
    #yope,#yoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
    #nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,#thestorybook
    ,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#shusa
    #wasafi,#diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,
    #kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,
    #nikuone,#sijaona,#tetema,#kainama,#niteke,#tamu,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga,#sound,#wizkid,#davido,#burnahboy,#chrisbrown,
    #despacito,#inama,#sukari,#shusha #harmonize,#uno,#ibraah,#corona,#covid19,#kondegang,
    #kondemusicworldwide,#diamondplatnumz,
    #wcbwasafi,#rayvanny,#mbosso,#zuchu,#lavalava,#halifa,#snopdoog,
    #davido,african music,#afroeast,#eastafricansound,#afropop,
    #bedroom,#kakatuchat,#sautisoul,#khaligraphjones,#nyanshisk,
    #yemialade,#magufuli,#tiwasavage,#rema,#fire #boy,#joeboy,#skiibii,#gwajima,#joti,#cnn,#mpoki,#salimkikeke,#darasa,
    #bongomovie,#netflix,#samatta,#quarantine,#onenight,#lockdown #swahiliflix #ikulumawasiliano #magufuliliveikulu #chatolive #youtubelive #instalive #jux #ladyjaydee #rostam #stamina #dogojanja #jumalokole #drkumbukauhondo #didashaibu #mashamsham #zarithebosslady #tanashadona #mamadangote #esmaplatnumz #queendareen #uchebe
    #shilolenarommy #babalevo #wolper #kajalanaharmonize #auntezekiel
    #kusah #wasafitvlive #simulizinasauti #Ayotv #rickmediatz #dizimonilne
    #aristote #hamisamobeto #tiffa #koffieolomidenanandy #waa! #diamondnakoffieolomide #papamopao #mwananchidigital #Edigital #middlesimba #ptvtanzania #rayvannysoundofafricaalbum

Комментарии • 90

  • @user-so7qw2xh5x
    @user-so7qw2xh5x 6 месяцев назад +5

    😂😂😂😂madebe anaonekanwa kama mwanga😂😂😂mbwa huyu...namuona kama kichawi...tu sijui kama nimimi tu😂😂😂

  • @NasraAyubu-qx3xz
    @NasraAyubu-qx3xz 7 месяцев назад +4

    Mswahili sana hyu mbaba khaaa na umasikin pia

  • @jemsOzil-rx4nr
    @jemsOzil-rx4nr 7 месяцев назад +3

    Yani anvyo sema nikama movie zake ko ata apo anapo ongea anafundisha ❤🎉

  • @MulkuMassos-um1ix
    @MulkuMassos-um1ix 6 месяцев назад +1

    Ni kweli watu wengi wana uvivu wa kulea watoto wao mtoto wa miaka miwili mpaka minne shule anafata nini ndio maana wanabakwa na kurawitiwa mm niko na wewe madebe mpaka kufa kwenye hili

  • @ZolufaMas-ie4un
    @ZolufaMas-ie4un 6 месяцев назад +1

    Ww n mjinga sana

  • @jasmineomary4325
    @jasmineomary4325 4 месяца назад +1

    Kama zimwi hili jamani mtt miaka mi6 asiende shule mbwa huyu sura nzito

  • @user-dh6ol7sn1u
    @user-dh6ol7sn1u 6 месяцев назад +1

    Tazama hata movie zake makash kash mengi sana hata hivo chanuo umejikaza sana kuishi na huyu jamaa

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 6 месяцев назад +1

    Kabisa kuna wa kuelimishwa na huyu watu wengine bwana

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад +3

    Kwanza unaolewaje na huyu 😂😂

  • @ayoubmtulia2748
    @ayoubmtulia2748 6 месяцев назад +1

    Kioo cha jamii sio hiki

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 7 месяцев назад +3

    Sura yake inaonesha huyu anamikwala sana kwake

  • @HappyBarongo
    @HappyBarongo 6 месяцев назад +2

    Una shida sana mche mungu wako

  • @lisamandela9987
    @lisamandela9987 6 месяцев назад +1

    Kumbe huyo sio mzima et miaka 5 aendelee kukaa wanawake tutafute hela

  • @DavidsonAngel-xn8cl
    @DavidsonAngel-xn8cl 6 месяцев назад +3

    Wewe wacha kupotosha watu wewe nyeusi ulifanyia yule Dada vibaya bahada ya kumwalibia maisha mwanaume bwege kabisa ndoa nikufumiliana wewe nyeusi

  • @user-xn1hi2pm4s
    @user-xn1hi2pm4s 6 месяцев назад +1

    Mbn ulimwacha bila hata chakula hata huruma kwa wanao

  • @prisikachande
    @prisikachande 7 месяцев назад +7

    madebe ujitambui kumbe yule mwanamke nimkweli tamisemi wametuma xmx mtoto anaanza shule miaka mitano wasita anaanza lakwanza ili awe muelewa mapema asa we wawapi usojielewa iyo muvis yako tizama mwenyewe

  • @user-eu4pk3eh5d
    @user-eu4pk3eh5d 7 месяцев назад +4

    Serekali inasisitiza watoto Kuanza chekechea ili wakienda shule ya msingi wanajitambuwa

  • @user-nn3xc1ex8o
    @user-nn3xc1ex8o 4 месяца назад +1

    Madebe kubalii kosaa kuomba msamah ni neno ndog tu

  • @user-xn1hi2pm4s
    @user-xn1hi2pm4s 6 месяцев назад +1

    Tatizo umalaya umewaacha wangap hopo mwenye tatizo ni nani kama siyo ww

  • @louisejeanne8306
    @louisejeanne8306 6 месяцев назад +1

    Madebe unatabia mbaya na wala hufai katika jamii 😢wanawake saba wote wawe wabaya? Tena kwa hadhi yako uliotuonesha mtandaoni? Apana! Haiwezekani wanawake wote hao wawe wabaya. Ni heri kidogo chanuo angekuwa mke wa kwanza kwako au pili tungesema labda wake zako wabaya. Lakini wanawake wote hao wote hakuna aliekuwa mzuri kwako? Mmmmh! Mimi nitakachokuomba ni uokoke tu kupitia jina la Yesu Christo ili tabia zako ziwe sawa mbele za Mungu na mbele za watu . Ukiokoka tu madebe utatulia na mke mmoja vizuri sana.

  • @elgarnzisa6139
    @elgarnzisa6139 7 месяцев назад +6

    Huyu msee ana ile tabia ya kufinyilia mwanamke na usiongee ukiongea unakua mbaya huskii..haezi kubali makosa yake huyu..mtu mzima ovyoooo😏 sitai sikiza mawaidha yako tena NKT!!!

    • @rashiduchongole1333
      @rashiduchongole1333 7 месяцев назад

      Ss mke gani yuwalewa watoto watakuwa kwenye ulinzi gani

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 7 месяцев назад

      Kwani Unafikiri Watu Wooote Hatupishani Dunia Yakizazi Cha INSTAGRAMU Kila kitu Matangazo Mtu Haja Akijamba pia Anatangaza

    • @rashiduchongole1333
      @rashiduchongole1333 7 месяцев назад

      Tafauti ni dini je ww mke wako akiwa Muslim utamruhusu kulewa wakati watoto wako bado wadogo

  • @wesleykabugi112
    @wesleykabugi112 6 месяцев назад +1

    Madebe ni WA ovyo sana

  • @agnesnandutu3877
    @agnesnandutu3877 6 месяцев назад +1

    Anajenga kwa watu kwake kwabomoka ovyo sana madebe

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 6 месяцев назад +1

    😱😱😱😱😃😃😃😃😃😃 huyo ndio madebe mmmhh

  • @irenefurahamushi2487
    @irenefurahamushi2487 6 месяцев назад +1

    Jinga hili

  • @LinahThobias-wh9lf
    @LinahThobias-wh9lf 7 месяцев назад +1

    Jamani Kila mmoja anamapungufu tusimlaum madebe Wala chanuo chakufanya walikubaliana wawili wayamalize wawili

  • @NajmaSaid-xo2te
    @NajmaSaid-xo2te 6 месяцев назад +1

    Huyu kaka ni muongo htr umalaya tu

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 7 месяцев назад +2

    Huyu jamaa kiruka njia humbani kwa maswali

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 7 месяцев назад +4

    Kuishi na mwanamke yoyote mwanaume unatakiwa uvumilie sana maumivi ya dharau,matusi,na unyanyasaji wa kijinsia sasa kwa kuepuka kwenda jela maisha au kujipeleka mwenyewe kaburini na yeye pia bora umuache tu na kuishi peke yako watoto watakutembelea

  • @user-ql7xq9jd1m
    @user-ql7xq9jd1m 6 месяцев назад +2

    Wakwanza anashida wapiri nae anashida wewe sio muowaji

  • @user-it1os7hu6m
    @user-it1os7hu6m 6 месяцев назад +1

    Yaani huyu ni zaidi ya mbwa Koko hafai

  • @user-jx8qj8gm5g
    @user-jx8qj8gm5g 6 месяцев назад +1

    Aliowa anaelewa kama bado hujawowa huwezi ukaelewa ila ukiwowa utaelewa

  • @user-tf2bz8ou1c
    @user-tf2bz8ou1c 7 месяцев назад +2

    Kwahiyo mwamba anataka asikilizwe yeye tu dah!!!

  • @user-eq9xt7qi3n
    @user-eq9xt7qi3n 6 месяцев назад +1

    Wewe nibure tu misamiati. Mingi kutunza wanawake huezi

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 3 месяца назад +1

    Tena wewe mbaba n imekuchukia Sana hufai hata bule

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад +5

    Mzee kwa kupangua huyu😂😂😂 huwezi kukubali hata moja kwani mtt wa miaka mitano siaende nusary

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui 6 месяцев назад

      nyiny mnajifany mnajua Sana mtt wa mwaka mmj na nusu aende shule ya Kwanza ni wazaz

    • @christinelihavi4068
      @christinelihavi4068 6 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @aishaMape-jc4ef
    @aishaMape-jc4ef 6 месяцев назад +1

    Hovyo ww

  • @MariyamSimba-ub7lz
    @MariyamSimba-ub7lz 6 месяцев назад +1

    Huyo anaongea Kama kameza cd

  • @user-pg8yy6nk4p
    @user-pg8yy6nk4p 7 месяцев назад +2

    Utafika mbiguni umechoka

  • @Emanuel-hl2jh
    @Emanuel-hl2jh 7 месяцев назад +1

    Nakuelewa madebe

  • @doctorpctz8363
    @doctorpctz8363 7 месяцев назад +1

    Madebe unaakili sanaaaa

  • @lulumussa9009
    @lulumussa9009 7 месяцев назад +1

    Mbabaishaji

  • @user-pr6rt5je8u
    @user-pr6rt5je8u 7 месяцев назад +2

    Mtoto anatakiwa aende shule kumkuza kiakili pia hata kama anaumri mdogo

  • @user-or4wz4ik5c
    @user-or4wz4ik5c 7 месяцев назад +1

    Mh niatar

  • @THAUSIHUSSEIN-pc4qs
    @THAUSIHUSSEIN-pc4qs 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 7 месяцев назад +1

    Baba wewe mswahili kama ulivo daaah!

  • @SaumuLekule-de4hr
    @SaumuLekule-de4hr 6 месяцев назад

    Chekechea hasom

  • @user-sb1he7ez6k
    @user-sb1he7ez6k 7 месяцев назад +1

    Una jipya

  • @SaedYusuf
    @SaedYusuf 7 месяцев назад

    Mimi nakuelewa sana kaka kunawatu wengine wanasaau jinsia zao hasa walewanao letewa malalamiko ya mausiano au wanao hoji

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 6 месяцев назад

      Mimi ni mwanamke lakin namuelewa sana madebe sisi wanawake baadhi yetu tuna matatizo sana

  • @user-ht9ni1sn9r
    @user-ht9ni1sn9r 6 месяцев назад

    Kumbe madebe bure kweli wewe yaan mtoto miaka mitano hajaenda shule wewe ni bure

  • @user-rr7bu4ky4t
    @user-rr7bu4ky4t 5 месяцев назад

    Yaan ili jitu akil zake sawasawa na kundi la nyani 45 nakwambia

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 7 месяцев назад

    Wanawake wengi
    Wanapenda kuishikimazowea
    Hawatii hata ibaada mpaka ulalame
    Akiachwa ndolawama

  • @mohdbaa5383
    @mohdbaa5383 7 месяцев назад

    Hivi munao tukana matusi mshawahi kupima akili zenu na muna ushahidi gani kwenye hilo

  • @lemijocgcg8555
    @lemijocgcg8555 7 месяцев назад

    yan inakuaga mwanamke kabra hujamuoa anakuwa msitalab sana ila ukishamuoa bas ataaza kua natabia nyingine kwasabab tayar kesha pata ndoa bas ataaza kuonyesha makucha yake

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад +1

      Mimi ananishangaza hivo anayoyaongea lakini wanawake anaishi nao kwanza kabla ya ndoa si vizuri

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 6 месяцев назад

    MAPLASTIKI LILIPE

  • @abubakarilugina-zw4gt
    @abubakarilugina-zw4gt 7 месяцев назад

    Madebe lidai uko sahihi.. Pole kwa unayopitia ktk ndoa yako

  • @SarahEnock-kq6ys
    @SarahEnock-kq6ys 6 месяцев назад

    Kumbe madebe we nimushamba sana eee mtoto anatakiwa aanze shule na miaka sita ?? huna akili wewe mpumbavu moja wewe

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 6 месяцев назад

    Ila kwenye shule alibugi chanuo

  • @user-sh5ks5hg9r
    @user-sh5ks5hg9r 6 месяцев назад

    Wee madebe ACHA uongo mtoto miaka mitanoo shule

  • @SaedYusuf
    @SaedYusuf 7 месяцев назад

    Utakuta m2anamlaumu mwana ume wakati yeye ni mwanaume ukondiokusaau jinsia

  • @JeniphaEdward
    @JeniphaEdward 6 месяцев назад

    Sasa huyu anaongea nn hata ufanye mema99 mo1 ukafeli linashikwa Hilo kosa 1

  • @mpagikhatib3684
    @mpagikhatib3684 6 месяцев назад +1

    Madabe mtoto anaanza shule akiwa namiyaka minne ndio miyaka sita huweda shule ya msingi

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 7 месяцев назад

    Binafsi huwa nasimama upande wa mwanaume

  • @khadijab7066
    @khadijab7066 6 месяцев назад

    Iri bwege sana, sasa rinaongerea nini?

  • @mohdsuleiman8458
    @mohdsuleiman8458 7 месяцев назад

    Ndio basi tena mm na ww basi kaka

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 7 месяцев назад

    Mshenzi

  • @AnnoyedLimePie-lc5sw
    @AnnoyedLimePie-lc5sw 6 месяцев назад

    Kaka unazngua

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 6 месяцев назад

    Huyu ni mpumbavu na uso wake mpana kama ukuta 😏

  • @lulumussa9009
    @lulumussa9009 7 месяцев назад

    Mkoloni

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 7 месяцев назад

    maadeebee mwachhiie aeendee sisi. ttummenndde tumuowwee

  • @AnnaAnna-sz3vo
    @AnnaAnna-sz3vo 7 месяцев назад +1

    Utandawazi ukuharib sana haswa wewe

  • @user-sf8sr1sg5y
    @user-sf8sr1sg5y 6 месяцев назад

    Auna lolotee siulikua unamzuia kufanya kazi wewe😅 dunia ni hihi hii utakumbuka mungu anapokwenda kumuinua

  • @MamaAnuary-sl9ze
    @MamaAnuary-sl9ze 7 месяцев назад +2

    Unagubu huna lolote hunajipya

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 7 месяцев назад

      Kaongea vizuri sana kuishi na mwanamke yoyote mwanaume unatakiwa uvumilie sana maumivi ya dharau,matusi,na unyanyasaji wa kijinsia

    • @agnesnason4841
      @agnesnason4841 6 месяцев назад

      Sahihi kabisa.wanawake tunakosea sana,kawaida Mungu amewaumba wanaume kuheshimiwa,kusikilizwa,daima wanaume huwa hawapendi kelele.wanapenda kuelekezwa kama watoto

  • @Bekakiluasha-fu7pw
    @Bekakiluasha-fu7pw 6 месяцев назад

    Hizo coment za wadada sas...ndo utagunda wote akili yao moja2