DIDA ALIVYOTEMA NYONGO "MIMI SIO MDANGAJI, MAGARI YANGU NA NYUMBA SIJAHONGWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • DIDA ALIVYOTEMA NYONGO "MIMI SIO MDANGAJI, MAGARI YANGU NA NYUMBA SIJAHONGWA"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 451

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 10 месяцев назад +18

    Wafanyakaz wa wasafi mmezidi nyie kutwaaaa kuongelea wenzenu nyny mkiguswa tuu hamtaki. Yani hiyo redio imekua kituo cha mipasho na masengenyo

  • @infotechtz5837
    @infotechtz5837 10 месяцев назад +8

    Hivi nyie wasafi watangazaji na producer wa hicho kipindi cha dida zeroooooo kabisa. Yaan air time yote dakika 16+ mmetumia kujitetea au kisa mpo media kama mlikua mnataka kujitetea na nyie si mgeingia insta mkamjibu. For real this is very very very unprofessional and disappointing kwa chombo kikubwa kama hiki na watangazaji wakubwa kama nyie
    We unahisi kumsema wolper on air umejisafisha au ndo umempa push ya jina lake na bihashara yake .
    Really disappointing and unprofessional as well.

    • @MzeeGumbo
      @MzeeGumbo 10 месяцев назад +3

      Yaan hawa ndo wapuuzi kabisa

    • @MzeeGumbo
      @MzeeGumbo 10 месяцев назад +4

      Walikaa na mtayarishaji wao wakaona nibora tukajibu on air ambako Tanzania nzima inatusikiliza. Sasa mi pia naona badala ya kumsema wolper ndo mmempandisha

    • @DodomaKwanza
      @DodomaKwanza 10 месяцев назад +3

      Utumbo mkubwa

    • @MariamSuleiman-je5zs
      @MariamSuleiman-je5zs 10 месяцев назад +2

      Fact

  • @EjorisaPriva
    @EjorisaPriva 10 месяцев назад +14

    Fanyeni vipindi acheni usengeremaaa

    • @NikyHassan
      @NikyHassan 10 месяцев назад

      Kituo kimekuwa kama kijiwee

    • @NaimaMohamedi-f7v
      @NaimaMohamedi-f7v 10 месяцев назад

      Vipindi venyewe ndio hivyo tuvyonavipenda

  • @SiwaMwajeka
    @SiwaMwajeka 10 месяцев назад +19

    Makofi kwawanawake wote tuliojijengea nyumba zetu kwa nguvu zetu

  • @boxdad
    @boxdad 10 месяцев назад +12

    Kama hudangi siungetulia na mimumeo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 10 месяцев назад +20

    Ndio tatizo la kuajiri makanjanja,,,!!!

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 10 месяцев назад +17

    Walper ameyatimba kwa Didah🤣🤣🤣🤣🤣

  • @NikyHassan
    @NikyHassan 10 месяцев назад +10

    Ulisikia wapi pedeshe akaajiriwa ?? Jaribuni kuwa professionals please..

    • @noelapeter6288
      @noelapeter6288 10 месяцев назад +1

      😂😂😂😂

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 10 месяцев назад

      Kakutana na dharau za mchaga 😂😂 wachaga kwa dharau hatujambo

    • @CatherineMkuu
      @CatherineMkuu 10 месяцев назад

      Dah! Maana halisi ya utangazaji hawaijui.

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 10 месяцев назад +17

    Dida ww unapenda San kuwaongelea Wenzio Ila upendi uongelewe

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 10 месяцев назад

      kinajifanya tajiri wenziye hawana na yeye pia mdangaji pia

  • @OmarOmar-ob9tb
    @OmarOmar-ob9tb 9 месяцев назад +2

    Wngpy wanerudy baada y wolpa kuonyesh nyumb yke 😂😂😂

  • @gaushehbshshehe3830
    @gaushehbshshehe3830 10 месяцев назад +17

    Diamond fukuza hawa watu fake kwa jina watangazaji kwani hii studio ni kijiwe sielewi mbona sielewi

    • @NikyHassan
      @NikyHassan 10 месяцев назад

      🤣🤣

    • @NaimaMohamedi-f7v
      @NaimaMohamedi-f7v 10 месяцев назад

      Awafukuze wewe utachukuwa mshara weke

    • @NaimaMohamedi-f7v
      @NaimaMohamedi-f7v 10 месяцев назад

      Kwani nilazima amjibu dida au angepigia simu kama dada

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 10 месяцев назад +6

    Tatzo dida sikuhzi kipndi chako kimekua cha Umbea na Ndo mana Haya yote yanatokea

  • @fatmaOmmy
    @fatmaOmmy 10 месяцев назад +8

    Didah ukiguswa2 unajidai unajua kuongea na kuchamba kumbe dawa imekuingia muache kuongelea mamb ya watu fanyeni yenu

    • @mariamdominic6222
      @mariamdominic6222 10 месяцев назад

      Sanaa atulie shida Didah Mshamba sanaaaaaaaaaaa tena sana anajionaga kama yeye ndo kila kitu kiuhalisia kama na yeye angekuwa mzuri angeongwa 😂😂😂😂😂😂

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 10 месяцев назад +15

    Kituo kinatumika kama mahali pa kumaliza beef binafsi za watangazaji jamani.? Na management inaruhusu wafanyakazi wakitumie kituo kwa maugomvi yao binafsi 😮

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 10 месяцев назад +2

      ajabu sana aise..aibu

    • @zahormohd
      @zahormohd 10 месяцев назад +1

      Huyu idriss nae dume bwege anamchochea dida azidi kupayuka

    • @BonifaceJacob-o7o
      @BonifaceJacob-o7o 10 месяцев назад

      Acheni ujinga mbona mnaharibu wasafi hivyo

  • @abineryantonykilulu954
    @abineryantonykilulu954 10 месяцев назад +6

    Mbona povu wakati mwenzio kaongea kidogo tu
    Simama kwenye miiko ya uandishi usitumie kipindi kusutana watu

  • @vero57
    @vero57 10 месяцев назад +17

    WANAWAKE SIJUI KWANINI HATUPENDANI, KWANZA ACHENI MAMBO YA MEDIA JAMANI KHAAA!!!!

    • @estherboniphace9695
      @estherboniphace9695 10 месяцев назад

      Nikipindi cha kuchambana au, duuu tutaogopa hiii chanel

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 10 месяцев назад

      Kamwambieni Jacklin Walper aache kuwafuatafuata wenzake wameteseka mpaka hapa walipo yeye kapewa tu. Inaumiza Sana kumtukana mtu kuwa hana chochote

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 10 месяцев назад +9

    Dida hili jambo usingeongelea hapo studio inatakiwa mpaka saivi ulitakiwa uwe umetimuliwa kibarua

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 10 месяцев назад +18

    Diamond hawa mwisho wa mwezi wanalipwa pesa kwa kazi hizi zakuongelea watu aisee.

  • @mwanjaaseif5229
    @mwanjaaseif5229 9 месяцев назад +1

    Nyie mmezidi sana kuongelea watu. Wolper yupo sahihi sana

  • @gaushehbshshehe3830
    @gaushehbshshehe3830 10 месяцев назад +67

    Diamond fanya reform kwa studio fukuza washikaji

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 10 месяцев назад +17

      Hawezi tokea mwanzo imekua ni radio ambayo ni so unprofessional ni kijiwe tu ndo maana leo bab levo nae mchambuzi wa mpira na siasa, ni chombo cha habari chakushangaza sana we uliona wapi mwanahabari analeta mambo binafsi kama ivyo

    • @CalisternongiHaule-vk6ch
      @CalisternongiHaule-vk6ch 10 месяцев назад +7

      Jamani mpaka wanakera,kipindi cha mashamsham kimekuwa kama bongo fleva

    • @NaseMangala
      @NaseMangala 10 месяцев назад +7

      Acheni kujudge mambo yasiyowahusu fanyeni kazi

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 10 месяцев назад +5

      Acha amtandike za uso kamtafuta mwenyewe. Huyu Dida na Gig Money ni moto usiupulize.

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 10 месяцев назад +4

      ​@@fahadfaraj6474sasa kwani baba levo kuwa mtangazaji we inakuuma c unasomea tu

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 10 месяцев назад +7

    Dida acha mdomo..hakuna mtu malaya kama ww sema unachezewa tu..ww kila cku una bwana mpya..sasa kwa nyumba gani ile😂😂😂😂😂😂😂mtu mzima hovyooo

    • @asyamgeni9819
      @asyamgeni9819 9 месяцев назад

      Leo anajitia ati anampa hongera wakati ile mwanzo alimkejeli

  • @Tatu-rr9ms
    @Tatu-rr9ms 10 месяцев назад +5

    Tuondeleeni makelele Kaz kumkalia mwenzenu uy dida yeanyamanze kutwa kuachika ilaunamnanga mwenzio

  • @NasraHassan-d5c
    @NasraHassan-d5c 10 месяцев назад +7

    Dida honger mwanmke wa shoka

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 10 месяцев назад +8

    Afu kingine Dida mwanamke nikuhongwa mana hata uwe nakazi yamana kama huhongwi huna uzuri wowote nandomana na wewe ndowa zako hazidumu ju unajivuniya kazo ya hapo wasafi ila inabidi uwe unajishusha mana kukaliya maisha ya wengine siyo powa kabisa

  • @JoyceKweka-q3k
    @JoyceKweka-q3k 10 месяцев назад +16

    Dida nakukubali sana Asante Kwa kutupongeza wanawake tulio Jenga

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 10 месяцев назад +28

    Protocol ya mtangazaji sio kunyonyoana kwenye radio kama kuna matatizo yenu sio kwenye radio au RUclips tv.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 10 месяцев назад +2

      Kabisa ndugu yangu.. Huyu mpuuzi kabisa huyu mama

    • @NikyHassan
      @NikyHassan 10 месяцев назад +2

      Huyu mama kajisahau anadhani kituo ni cha kwake binafsi...Niko na mashaka na taaluma yake...

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 10 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅 Wacha wanyonyoane wajinga hao

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 10 месяцев назад +9

    Limama Lina domo chafu hovyoo wivu ndio unakusumbua linaolewa wiki moja linaachika kwa tabia mbaya kama sura lako

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 10 месяцев назад +1

    Acha umbea Idris we mwanaume acha ugombanishi

  • @djsebons1389
    @djsebons1389 10 месяцев назад +6

    Dida nimekuzarau saana sikuwa najuwa kumbe wanawake wote pumba kasoro maman yangu umecepuka ume panic few sio wakujibizana kwenye radio umekauka saana kwelikweli umesirika eshima yako unaikata tu iviivi ju umecokoneka dah wanawakee koma

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 10 месяцев назад +10

    Dida nakupenda sana let me proud of my self nina miliki mijengo miwil ila usafir bado sina naiman Mungu atanijaalia

  • @boxdad
    @boxdad 10 месяцев назад +6

    Umepanic dida relax libibi ww

    • @SamirSaid-ip8nn
      @SamirSaid-ip8nn 10 месяцев назад

      Dida fanya kz achana na mboo ya kichambana usijishushe

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 10 месяцев назад +10

    Kwani lazima muongee mambo yake? Hilo ndio tatizo worlper mzuri nitafauti na dida

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 10 месяцев назад +1

      Yeye mwenyewe ndiye alilikoroga kwenye media, acha amtandike za uso huyo ni rafiki yake kamnanga kuwa hana kitu ni masikini.

  • @lydiamsheri4095
    @lydiamsheri4095 10 месяцев назад +10

    Fanya mambo yako Dida Achana nao

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 10 месяцев назад +17

    Hawa wanaitaji wote kubadilishwa maana awafai kabisaaaa. Walianza vizuri lkn siku hizi kimekuwa ni kipindi cha Umbea Kuchambana yaani Uchafu Wote Umo. Diamond angalia hili jambo Watatuulia Media yetu. Fukuza Wote plzzz.

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 10 месяцев назад +4

    😂😂dida kakutana na dharau za mchaga 😂😂

  • @omaryguard5929
    @omaryguard5929 10 месяцев назад +5

    Yaani Kati ya watu hawajitambui na kujierewa huwa nashindwaga kuskiliza hii midia kwaajili ya huyu changudoa na yule shoga

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 10 месяцев назад +7

    Umetuombea tusio na nyumba Hilo la msng Sana namm nasema amen

  • @athmanali
    @athmanali 10 месяцев назад +15

    Ati ni Redio presenter and Yuko live alisomea wapi hii kazi kweli.,... Jamani Diamond acha kuajiri watu ambao hawakusoma ili uwalipe cheap labour

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 10 месяцев назад

      Amesomea. Kosa nikuongea against someone through registered media. Angejirecord kivyake na kurusha kivyake.

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 9 месяцев назад

      Hatariii...wanatufundisha kuchamba😢

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 9 месяцев назад

      Hiyo radio ina wasomi wengi tu na hata huwaoni wakijishebedua. Sasa hao nai wapate rizki wanatakiwa wajifunze maadili though informal (si kwa utaratibu usio rasmi).

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 9 месяцев назад

      Amesomea. Ni vile anaona akinyamaa ni kuwa ameshindwa.

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 10 месяцев назад +3

    Sasa yeye kajiajir anapanda juu ya meza wew upo mmam umeajiajiriwa kila mtu ashinde mech zake

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 10 месяцев назад +1

    Babu Idd mpambe wewe Yani mbeya nanusu ,unamchokonoa dida tu apo muone vile

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 10 месяцев назад +19

    Yaani hawa wanaharibu kituo, kazi ya chombo cha habari siyo hii

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 10 месяцев назад +1

    Hii redio ni ya KISENGE? Sasa mabishano yenu sisi wananchi tinaskiliza nini. Hili NI sawa na Danguro tu, pumbavu, Malofa, mafala.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 10 месяцев назад +1

    Jackline Walper mpumbavu. Wenzake wanapambana na maisha kivyaovyao yeye anahongwa anawadharau. Uzuri wake asiwasimange wenzake.

  • @NaimaMohamedi-f7v
    @NaimaMohamedi-f7v 10 месяцев назад +1

    Kipindi ndo kinataka hivyo

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 10 месяцев назад +7

    Dida nakupenda sana umeanza kupambana kitambo, Toka hata jack ajaanza kuigiza,Dida safari za kufata mzigo dubai,china kitambo... Dida mpambanaji sana.

  • @esuvathmollel2475
    @esuvathmollel2475 5 месяцев назад

    Sasa Dida kwamodomo huo ungepata pedeshee yupi😅😅Bora tu ujipedeshee mwenyewe

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 9 месяцев назад +1

    Jamani narudia tena ivi huyu dida ni mzima kweli mbona anashoboka sana na watu au maisha ya watu au ashakuwa kichaa

  • @RehemaRajabu-g2k
    @RehemaRajabu-g2k 9 месяцев назад

    Dida umepata jibu la wolper ,mdomo mwingi wolper kakuchapa na vitendo

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 10 месяцев назад

    SASA HII NI STUDIO AU MISUTO??
    DIDA MBONA WEWE UMEHONGWA SANA NA MABEDE.....
    KWANI KWA KAZI YA UTANGAZAJÌ TU ULIENDA CHINA KUFUNGA MALI¿?😂😂😂😂

  • @jacobmazengo6302
    @jacobmazengo6302 10 месяцев назад +1

    Mnaiharibu media hiyo,huwez Kuta ujinga huu efm au eatv uongoz mlitizame hilo,hayo cyo tunayotaka wasikilizaji

  • @mohamedmagongo9348
    @mohamedmagongo9348 10 месяцев назад

    Inakuwaje unatumia chombo cha habari kumshambulia mtu ambaye una ugomvi naye, huku wewe wenyewe ni mfanyakazi wa hicho chombo cha habari. Sasa hapa Jackline Wolper akikushtaki wewe na chombo chako itakuwaje?

  • @righitkileo
    @righitkileo 10 месяцев назад

    Hii redio kumbe si ya kuelemisha jamii.Kila sikukuchamba watu,hovyo sana.jaman achen kuwen wastaarab .Na Munqu akikupa shukuru matambo jayana maana.wenye vitu hawajiqambi.wako kimua

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 10 месяцев назад +7

    Muache Dida kabisa 😂😂😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 10 месяцев назад +1

    kwa kumbi la moto uliendea kudanga kwa kudanga munadanga nyote tuacheni

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 7 месяцев назад

    Hoyoo turiojenga tujipongeze hata chumba kimoja ni chako kwako ni kwako tu kabsaa dida

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 10 месяцев назад

    Kumbe mnajifanya wa dini kumbe ata hamujui na maana ya maneno neno ishALLAH linamanisha MUNGU akipenda, nashangaa dida anasema ishALLAH amejenga manayake kasema MUNGU akipenda nimejenga vitu ambavyo ha viendani

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 10 месяцев назад

    Redio imekuwa yamajungu na michambano na kurushiana vijembe
    Diamond umefeli kwakweli

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 10 месяцев назад

    Huyu idirisa Ni shoga ata muoneka muoneka a angaria kanavyojin,gata😂😂😂😂,naona wote mashoga pamoja na lokore😅😅😂😂

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila9185 10 месяцев назад

    Hvi hii Radio,ukisemana nje unakuja kutukania Redion,ndo misingi ya utangazaji kweli,Tcra tusaidieni

  • @LaylaSudu-gz2ig
    @LaylaSudu-gz2ig 10 месяцев назад

    Acheni umbevwasf kipindi chenu nikusema watu t jamn duh tumewachoka

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 8 месяцев назад

    Huyu Dida anaitumia hii wasafi kuchambana? Munaharibu image ya media yenu this is disgusting Diamond hawa sio watangazaji ila ni waharibifu wa media yako. Dida unajua ulichokuwa ukifanya hadi ukaweza kumiliki ulivyonavyo siri yako unaijua mwenyewe sasa usitumie media ya kazi kuchamba wenzio. Aibu hii.
    .
    .

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 10 месяцев назад +1

    Mond fukuza hawa Machangu weka watu wenye busara tunaipenda wasafi ila haya yanayoendelea ni mauza uza siyo mazuri kwa kipindi

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 10 месяцев назад +4

    Huyo alovaa yanga anachochea😂😂

    • @rehemafeysali4444
      @rehemafeysali4444 10 месяцев назад

      😂😅tena taaratibu😅😅 babu idi 😅

  • @Barakatabudul
    @Barakatabudul 10 месяцев назад +2

    Wacheni Ujinga Milikini Akhera" Nyau nyinyi😂😂😂😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 10 месяцев назад +1

    KUMEKUCHA MHHH NDIO MAANA SINAGA MARAFIK MIMI ZAID YA MUME WANGU YAAAAN WATOTO WA KIKE KWA UNAFKI ATUJAMBO MUME WANGU AYUPO NAZIMA DATA NALALA LAKIN SIO NIENDE KWA JIRAN AU NIMWITE RAFIK YANGU AJE NYUMBAN NO NO NO SASA KILA KITU ADHARAN UWIIII SITAK MARAFIK SITAK

  • @josephlucas2786
    @josephlucas2786 10 месяцев назад

    Hivyi iyo nyumba unayo semaga nna nyumba hivi Ile nyumba bhna nyumba creek tupu

  • @rehemasaid796
    @rehemasaid796 10 месяцев назад +5

    Kwakweli siku ya yy JACK kuonyèsha hy nyumba ndo tutaamini. Ila alikosea kusema nyumba ya DIDA km ya walinzi!

  • @MYME-u5d
    @MYME-u5d 7 месяцев назад

    Respect kwa wanawake woooooote wapambanaji half kwa nn wanawake tuna roho za husda jamniii

  • @MwanaAlly-ij2ro
    @MwanaAlly-ij2ro 9 месяцев назад

    Yoote rizki naikiwa hivyo wolpar amekuzidi nyota muhimu kila mmoja aishi kadri mola alivomruzuku

  • @DM.2200
    @DM.2200 8 месяцев назад

    haujatumia hekma, hata kidogo....unazungumzia maisha ya wenzio kisa upo kwenye media ? mmekosa cha kuongea hamna soko nyie wapuuzi sana nyie kwani unamlisha na wanae? kwa nin mumseme? mnamwonea wivu mnaumia na maisha yake wakubwa ovyo nyie.....

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa8655 10 месяцев назад

    Mmezidi kumuongelea yeye n familia yake asa uchonganixhi ktk ndoa yake

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 10 месяцев назад +1

    Muache. Kuongealea watu kwenye media ndiomana. Munagombana wasanii. Kwa wasanii

  • @madahaisack1268
    @madahaisack1268 10 месяцев назад

    Nadhani hiki kipindi watangazaji wabadilishwe,hakunaha michambo kupitia taasisi,tasisi ni ya watu wote

  • @PriscaCassian-xd6dw
    @PriscaCassian-xd6dw 10 месяцев назад

    Msitupigie makelele kujenga hamjaanzanyie acheni ushamba na ulimbukeni semeni mnachogombania ni nini? kama wivu chuki mziache kilamtu anapambana kivyake katika maisha kilamtu akitaja anacho miliki patakuwa hapatoshi msitumie hiyo wasafi kujisafisha wakati mnawakosea wenzenu

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 10 месяцев назад +4

    Walper kayakanyaga kwa dida😂

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 10 месяцев назад

    Unatumia redid hiyo vibaya huna lolote. Wewe una mdomo na mambo ya watu lakini huna kifua mtu akikusema nyooo

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 8 месяцев назад

    Muongo dida kazi yako kukopa kwa watu hadi aibu sasa povu lote hilo la nini mpaka unapanic mnamuharibia Diamond dida hakuna mtu anashindana na wewe dida acha kutumia wcb media na huyo Diamond umemroga

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 10 месяцев назад +3

    Hii ni radio au ????

  • @Agath45
    @Agath45 9 месяцев назад

    Hik kipind skielewagi maanake ni udaku tuu 😂😂😂😂 lakin hakukuwa na haja ya kuja kusemea kwenye kipind eboooo

  • @MariaCassian787
    @MariaCassian787 7 месяцев назад

    Dida unafanga sana tu ila unafanga kiaina na hivyo vindoa vyako visivyo dumu.huko pia ni kudanga naupunguze huo mdomo wako

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 9 месяцев назад

    Sasa unatumia chombo cha mtu kumshambulia mwenzio ambaye hana chombo ni sawa?

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 10 месяцев назад

    Kumamae zenu eti jk ana matatizoo ya apfa Bora dida tunaweza kusema Ni yawanawke he na huyu shoga mwenye kofia anatipika nini

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 10 месяцев назад

    Nyie mmezidi umbe a nyote hapo Sasa mmechambwa na walpa mnasemaaaa lakini kikubwa ache ni umbea mmezidi umbea kwani kipind i chenu kinahusu nini mbona kazi ye nu nikuwachamba watu tu tulieni wolpa awape dawa

  • @rehmakondo
    @rehmakondo 10 месяцев назад +1

    Ukorooofiii,kwann muwazungumzie watu maisha yao,mbona mkisemwa nyie mnapanic,kutwa kusema watu vibaya watu wana familia zao wanawakwe zao nyie kutwa kuwasema vbya ili mpate views, naww idriss acha umama unaongea sana kama demu unachochea kuni,acheni kuzungumzia watu vibayaaaaa

  • @nahodhamshamu
    @nahodhamshamu 10 месяцев назад +5

    Washenzi wakubwa nyie kutwa kucha kusema wenzenu

  • @josephmshana5833
    @josephmshana5833 10 месяцев назад +3

    Nambona kama dida anafanyiwa interview sasa hahahaaa nakadhamiria kutumia kipind chake ipasavyo

  • @jumajames1767
    @jumajames1767 10 месяцев назад +2

    Didaaaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂hatujali lolote MICHAMBO FC juma lokole Yuko wapiiii?

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 10 месяцев назад +2

    Na na na na No sense

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka6948 10 месяцев назад

    Mbona km umepanic af usitumie media kujibu watu tafuta blog za mtaani

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 10 месяцев назад +2

    Mlimuanza dada wa watu! Kawajibu halafu mmeanza kupanic,Hamisa huwa mnamsimanga sana anakaa kimya! Acheni ujinga jamani

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 10 месяцев назад

      Wamekutana na dharau za uchagani😂

  • @frankkikambako9281
    @frankkikambako9281 10 месяцев назад +3

    Mashoga wa Wasafi wanachamba watu Kkkkkkkk

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo 10 месяцев назад +1

    Babu idi uwapatanisheee usi chochoye moto baba idiii😢😢😢

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 7 месяцев назад

    Wolper🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwana kulitafuta mwanakulipata'

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 10 месяцев назад

    Wewe fata yako unaongea ya mwingine haikussidiii kitu dada fateni yenu.

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 10 месяцев назад +6

    Nyie wasafi ndo mnashindwa kuheshimu wasanii,hasa mashamsham

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 9 месяцев назад

    Kasha waonesha limjengo lake sasa mtafumba midomo

  • @reginardtibishubwamu1522
    @reginardtibishubwamu1522 10 месяцев назад +12

    Hivi kweli mwisho wa mwezi mnalipwa kwa kazi za kuongelea watu jmn hii media ina mashoga tu

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 7 месяцев назад

    huongwe nanani ww sura km shilingi za zamani zile acha ujinga bibi ww😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 10 месяцев назад +2

    sasa kama china ulikuwa unakwenda kwa pesa yakoo na yeye hivo hivoo kudanga munadanga nyote musituchezee akili hakuna mdangaji anayesema anadanga labda masha love

  • @rahemaissa9867
    @rahemaissa9867 9 месяцев назад

    Ata wewe kaka unavaaa hereni? Innalillahi wainna ilaihi raajing'uun mtihan wallah