DIDA ALIVYOTEMA NYONGO "MIMI SIO MDANGAJI, MAGARI YANGU NA NYUMBA SIJAHONGWA"
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- DIDA ALIVYOTEMA NYONGO "MIMI SIO MDANGAJI, MAGARI YANGU NA NYUMBA SIJAHONGWA"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Wafanyakaz wa wasafi mmezidi nyie kutwaaaa kuongelea wenzenu nyny mkiguswa tuu hamtaki. Yani hiyo redio imekua kituo cha mipasho na masengenyo
Hivi nyie wasafi watangazaji na producer wa hicho kipindi cha dida zeroooooo kabisa. Yaan air time yote dakika 16+ mmetumia kujitetea au kisa mpo media kama mlikua mnataka kujitetea na nyie si mgeingia insta mkamjibu. For real this is very very very unprofessional and disappointing kwa chombo kikubwa kama hiki na watangazaji wakubwa kama nyie
We unahisi kumsema wolper on air umejisafisha au ndo umempa push ya jina lake na bihashara yake .
Really disappointing and unprofessional as well.
Yaan hawa ndo wapuuzi kabisa
Walikaa na mtayarishaji wao wakaona nibora tukajibu on air ambako Tanzania nzima inatusikiliza. Sasa mi pia naona badala ya kumsema wolper ndo mmempandisha
Utumbo mkubwa
Fact
Fanyeni vipindi acheni usengeremaaa
Kituo kimekuwa kama kijiwee
Vipindi venyewe ndio hivyo tuvyonavipenda
Makofi kwawanawake wote tuliojijengea nyumba zetu kwa nguvu zetu
Kama hudangi siungetulia na mimumeo
Ndoa ni rizk ikiisha imeisha hiyo
Ndio tatizo la kuajiri makanjanja,,,!!!
Walper ameyatimba kwa Didah🤣🤣🤣🤣🤣
Ulisikia wapi pedeshe akaajiriwa ?? Jaribuni kuwa professionals please..
😂😂😂😂
Kakutana na dharau za mchaga 😂😂 wachaga kwa dharau hatujambo
Dah! Maana halisi ya utangazaji hawaijui.
Dida ww unapenda San kuwaongelea Wenzio Ila upendi uongelewe
kinajifanya tajiri wenziye hawana na yeye pia mdangaji pia
Wngpy wanerudy baada y wolpa kuonyesh nyumb yke 😂😂😂
Diamond fukuza hawa watu fake kwa jina watangazaji kwani hii studio ni kijiwe sielewi mbona sielewi
🤣🤣
Awafukuze wewe utachukuwa mshara weke
Kwani nilazima amjibu dida au angepigia simu kama dada
Tatzo dida sikuhzi kipndi chako kimekua cha Umbea na Ndo mana Haya yote yanatokea
Didah ukiguswa2 unajidai unajua kuongea na kuchamba kumbe dawa imekuingia muache kuongelea mamb ya watu fanyeni yenu
Sanaa atulie shida Didah Mshamba sanaaaaaaaaaaa tena sana anajionaga kama yeye ndo kila kitu kiuhalisia kama na yeye angekuwa mzuri angeongwa 😂😂😂😂😂😂
Kituo kinatumika kama mahali pa kumaliza beef binafsi za watangazaji jamani.? Na management inaruhusu wafanyakazi wakitumie kituo kwa maugomvi yao binafsi 😮
ajabu sana aise..aibu
Huyu idriss nae dume bwege anamchochea dida azidi kupayuka
Acheni ujinga mbona mnaharibu wasafi hivyo
Mbona povu wakati mwenzio kaongea kidogo tu
Simama kwenye miiko ya uandishi usitumie kipindi kusutana watu
WANAWAKE SIJUI KWANINI HATUPENDANI, KWANZA ACHENI MAMBO YA MEDIA JAMANI KHAAA!!!!
Nikipindi cha kuchambana au, duuu tutaogopa hiii chanel
Kamwambieni Jacklin Walper aache kuwafuatafuata wenzake wameteseka mpaka hapa walipo yeye kapewa tu. Inaumiza Sana kumtukana mtu kuwa hana chochote
Dida hili jambo usingeongelea hapo studio inatakiwa mpaka saivi ulitakiwa uwe umetimuliwa kibarua
Diamond hawa mwisho wa mwezi wanalipwa pesa kwa kazi hizi zakuongelea watu aisee.
Umeona my dear
@@AsendeNyota hana lipa wahuni
Nyie mmezidi sana kuongelea watu. Wolper yupo sahihi sana
Diamond fanya reform kwa studio fukuza washikaji
Hawezi tokea mwanzo imekua ni radio ambayo ni so unprofessional ni kijiwe tu ndo maana leo bab levo nae mchambuzi wa mpira na siasa, ni chombo cha habari chakushangaza sana we uliona wapi mwanahabari analeta mambo binafsi kama ivyo
Jamani mpaka wanakera,kipindi cha mashamsham kimekuwa kama bongo fleva
Acheni kujudge mambo yasiyowahusu fanyeni kazi
Acha amtandike za uso kamtafuta mwenyewe. Huyu Dida na Gig Money ni moto usiupulize.
@@fahadfaraj6474sasa kwani baba levo kuwa mtangazaji we inakuuma c unasomea tu
Dida acha mdomo..hakuna mtu malaya kama ww sema unachezewa tu..ww kila cku una bwana mpya..sasa kwa nyumba gani ile😂😂😂😂😂😂😂mtu mzima hovyooo
Leo anajitia ati anampa hongera wakati ile mwanzo alimkejeli
Tuondeleeni makelele Kaz kumkalia mwenzenu uy dida yeanyamanze kutwa kuachika ilaunamnanga mwenzio
Dida honger mwanmke wa shoka
Afu kingine Dida mwanamke nikuhongwa mana hata uwe nakazi yamana kama huhongwi huna uzuri wowote nandomana na wewe ndowa zako hazidumu ju unajivuniya kazo ya hapo wasafi ila inabidi uwe unajishusha mana kukaliya maisha ya wengine siyo powa kabisa
Dida nakukubali sana Asante Kwa kutupongeza wanawake tulio Jenga
Protocol ya mtangazaji sio kunyonyoana kwenye radio kama kuna matatizo yenu sio kwenye radio au RUclips tv.
Kabisa ndugu yangu.. Huyu mpuuzi kabisa huyu mama
Huyu mama kajisahau anadhani kituo ni cha kwake binafsi...Niko na mashaka na taaluma yake...
😅😅😅😅😅😅 Wacha wanyonyoane wajinga hao
Limama Lina domo chafu hovyoo wivu ndio unakusumbua linaolewa wiki moja linaachika kwa tabia mbaya kama sura lako
😂😂😂😂
Wa ovyo pindi lenu pia la ovyo mmezdi
Acha umbea Idris we mwanaume acha ugombanishi
Dida nimekuzarau saana sikuwa najuwa kumbe wanawake wote pumba kasoro maman yangu umecepuka ume panic few sio wakujibizana kwenye radio umekauka saana kwelikweli umesirika eshima yako unaikata tu iviivi ju umecokoneka dah wanawakee koma
Dida nakupenda sana let me proud of my self nina miliki mijengo miwil ila usafir bado sina naiman Mungu atanijaalia
Umepanic dida relax libibi ww
Dida fanya kz achana na mboo ya kichambana usijishushe
Kwani lazima muongee mambo yake? Hilo ndio tatizo worlper mzuri nitafauti na dida
Yeye mwenyewe ndiye alilikoroga kwenye media, acha amtandike za uso huyo ni rafiki yake kamnanga kuwa hana kitu ni masikini.
Fanya mambo yako Dida Achana nao
Hawa wanaitaji wote kubadilishwa maana awafai kabisaaaa. Walianza vizuri lkn siku hizi kimekuwa ni kipindi cha Umbea Kuchambana yaani Uchafu Wote Umo. Diamond angalia hili jambo Watatuulia Media yetu. Fukuza Wote plzzz.
😂😂😂😂
True
😂😂dida kakutana na dharau za mchaga 😂😂
Yaani Kati ya watu hawajitambui na kujierewa huwa nashindwaga kuskiliza hii midia kwaajili ya huyu changudoa na yule shoga
Hahaha kweli
Umetuombea tusio na nyumba Hilo la msng Sana namm nasema amen
Ati ni Redio presenter and Yuko live alisomea wapi hii kazi kweli.,... Jamani Diamond acha kuajiri watu ambao hawakusoma ili uwalipe cheap labour
Amesomea. Kosa nikuongea against someone through registered media. Angejirecord kivyake na kurusha kivyake.
Hatariii...wanatufundisha kuchamba😢
Hiyo radio ina wasomi wengi tu na hata huwaoni wakijishebedua. Sasa hao nai wapate rizki wanatakiwa wajifunze maadili though informal (si kwa utaratibu usio rasmi).
Amesomea. Ni vile anaona akinyamaa ni kuwa ameshindwa.
Sasa yeye kajiajir anapanda juu ya meza wew upo mmam umeajiajiriwa kila mtu ashinde mech zake
Mnatafuta kujisafisha ovyoo
Babu Idd mpambe wewe Yani mbeya nanusu ,unamchokonoa dida tu apo muone vile
Yaani hawa wanaharibu kituo, kazi ya chombo cha habari siyo hii
Sana iko kituo ni cha udaku na umbea
Wamebuma walah..
Hii redio ni ya KISENGE? Sasa mabishano yenu sisi wananchi tinaskiliza nini. Hili NI sawa na Danguro tu, pumbavu, Malofa, mafala.
Jackline Walper mpumbavu. Wenzake wanapambana na maisha kivyaovyao yeye anahongwa anawadharau. Uzuri wake asiwasimange wenzake.
Kipindi ndo kinataka hivyo
Dida nakupenda sana umeanza kupambana kitambo, Toka hata jack ajaanza kuigiza,Dida safari za kufata mzigo dubai,china kitambo... Dida mpambanaji sana.
Sasa Dida kwamodomo huo ungepata pedeshee yupi😅😅Bora tu ujipedeshee mwenyewe
Jamani narudia tena ivi huyu dida ni mzima kweli mbona anashoboka sana na watu au maisha ya watu au ashakuwa kichaa
Dida umepata jibu la wolper ,mdomo mwingi wolper kakuchapa na vitendo
SASA HII NI STUDIO AU MISUTO??
DIDA MBONA WEWE UMEHONGWA SANA NA MABEDE.....
KWANI KWA KAZI YA UTANGAZAJÌ TU ULIENDA CHINA KUFUNGA MALI¿?😂😂😂😂
Mnaiharibu media hiyo,huwez Kuta ujinga huu efm au eatv uongoz mlitizame hilo,hayo cyo tunayotaka wasikilizaji
Inakuwaje unatumia chombo cha habari kumshambulia mtu ambaye una ugomvi naye, huku wewe wenyewe ni mfanyakazi wa hicho chombo cha habari. Sasa hapa Jackline Wolper akikushtaki wewe na chombo chako itakuwaje?
Hii redio kumbe si ya kuelemisha jamii.Kila sikukuchamba watu,hovyo sana.jaman achen kuwen wastaarab .Na Munqu akikupa shukuru matambo jayana maana.wenye vitu hawajiqambi.wako kimua
Muache Dida kabisa 😂😂😂
kwa kumbi la moto uliendea kudanga kwa kudanga munadanga nyote tuacheni
Hoyoo turiojenga tujipongeze hata chumba kimoja ni chako kwako ni kwako tu kabsaa dida
Kumbe mnajifanya wa dini kumbe ata hamujui na maana ya maneno neno ishALLAH linamanisha MUNGU akipenda, nashangaa dida anasema ishALLAH amejenga manayake kasema MUNGU akipenda nimejenga vitu ambavyo ha viendani
Redio imekuwa yamajungu na michambano na kurushiana vijembe
Diamond umefeli kwakweli
Huyu idirisa Ni shoga ata muoneka muoneka a angaria kanavyojin,gata😂😂😂😂,naona wote mashoga pamoja na lokore😅😅😂😂
Hvi hii Radio,ukisemana nje unakuja kutukania Redion,ndo misingi ya utangazaji kweli,Tcra tusaidieni
Acheni umbevwasf kipindi chenu nikusema watu t jamn duh tumewachoka
Huyu Dida anaitumia hii wasafi kuchambana? Munaharibu image ya media yenu this is disgusting Diamond hawa sio watangazaji ila ni waharibifu wa media yako. Dida unajua ulichokuwa ukifanya hadi ukaweza kumiliki ulivyonavyo siri yako unaijua mwenyewe sasa usitumie media ya kazi kuchamba wenzio. Aibu hii.
.
.
Mond fukuza hawa Machangu weka watu wenye busara tunaipenda wasafi ila haya yanayoendelea ni mauza uza siyo mazuri kwa kipindi
Huyo alovaa yanga anachochea😂😂
😂😅tena taaratibu😅😅 babu idi 😅
Wacheni Ujinga Milikini Akhera" Nyau nyinyi😂😂😂😂
KUMEKUCHA MHHH NDIO MAANA SINAGA MARAFIK MIMI ZAID YA MUME WANGU YAAAAN WATOTO WA KIKE KWA UNAFKI ATUJAMBO MUME WANGU AYUPO NAZIMA DATA NALALA LAKIN SIO NIENDE KWA JIRAN AU NIMWITE RAFIK YANGU AJE NYUMBAN NO NO NO SASA KILA KITU ADHARAN UWIIII SITAK MARAFIK SITAK
Hivyi iyo nyumba unayo semaga nna nyumba hivi Ile nyumba bhna nyumba creek tupu
Kwakweli siku ya yy JACK kuonyèsha hy nyumba ndo tutaamini. Ila alikosea kusema nyumba ya DIDA km ya walinzi!
Haya kaonyesha sasa 😅
Respect kwa wanawake woooooote wapambanaji half kwa nn wanawake tuna roho za husda jamniii
Yoote rizki naikiwa hivyo wolpar amekuzidi nyota muhimu kila mmoja aishi kadri mola alivomruzuku
haujatumia hekma, hata kidogo....unazungumzia maisha ya wenzio kisa upo kwenye media ? mmekosa cha kuongea hamna soko nyie wapuuzi sana nyie kwani unamlisha na wanae? kwa nin mumseme? mnamwonea wivu mnaumia na maisha yake wakubwa ovyo nyie.....
Mmezidi kumuongelea yeye n familia yake asa uchonganixhi ktk ndoa yake
Muache. Kuongealea watu kwenye media ndiomana. Munagombana wasanii. Kwa wasanii
Nadhani hiki kipindi watangazaji wabadilishwe,hakunaha michambo kupitia taasisi,tasisi ni ya watu wote
Msitupigie makelele kujenga hamjaanzanyie acheni ushamba na ulimbukeni semeni mnachogombania ni nini? kama wivu chuki mziache kilamtu anapambana kivyake katika maisha kilamtu akitaja anacho miliki patakuwa hapatoshi msitumie hiyo wasafi kujisafisha wakati mnawakosea wenzenu
Walper kayakanyaga kwa dida😂
Unatumia redid hiyo vibaya huna lolote. Wewe una mdomo na mambo ya watu lakini huna kifua mtu akikusema nyooo
Muongo dida kazi yako kukopa kwa watu hadi aibu sasa povu lote hilo la nini mpaka unapanic mnamuharibia Diamond dida hakuna mtu anashindana na wewe dida acha kutumia wcb media na huyo Diamond umemroga
Hii ni radio au ????
Hik kipind skielewagi maanake ni udaku tuu 😂😂😂😂 lakin hakukuwa na haja ya kuja kusemea kwenye kipind eboooo
Dida unafanga sana tu ila unafanga kiaina na hivyo vindoa vyako visivyo dumu.huko pia ni kudanga naupunguze huo mdomo wako
Sasa unatumia chombo cha mtu kumshambulia mwenzio ambaye hana chombo ni sawa?
Kumamae zenu eti jk ana matatizoo ya apfa Bora dida tunaweza kusema Ni yawanawke he na huyu shoga mwenye kofia anatipika nini
Nyie mmezidi umbe a nyote hapo Sasa mmechambwa na walpa mnasemaaaa lakini kikubwa ache ni umbea mmezidi umbea kwani kipind i chenu kinahusu nini mbona kazi ye nu nikuwachamba watu tu tulieni wolpa awape dawa
Ukorooofiii,kwann muwazungumzie watu maisha yao,mbona mkisemwa nyie mnapanic,kutwa kusema watu vibaya watu wana familia zao wanawakwe zao nyie kutwa kuwasema vbya ili mpate views, naww idriss acha umama unaongea sana kama demu unachochea kuni,acheni kuzungumzia watu vibayaaaaa
Washenzi wakubwa nyie kutwa kucha kusema wenzenu
Nambona kama dida anafanyiwa interview sasa hahahaaa nakadhamiria kutumia kipind chake ipasavyo
Didaaaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂hatujali lolote MICHAMBO FC juma lokole Yuko wapiiii?
Na na na na No sense
Mbona km umepanic af usitumie media kujibu watu tafuta blog za mtaani
Mlimuanza dada wa watu! Kawajibu halafu mmeanza kupanic,Hamisa huwa mnamsimanga sana anakaa kimya! Acheni ujinga jamani
Wamekutana na dharau za uchagani😂
Mashoga wa Wasafi wanachamba watu Kkkkkkkk
Babu idi uwapatanisheee usi chochoye moto baba idiii😢😢😢
Wolper🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwana kulitafuta mwanakulipata'
Wewe fata yako unaongea ya mwingine haikussidiii kitu dada fateni yenu.
Nyie wasafi ndo mnashindwa kuheshimu wasanii,hasa mashamsham
Kasha waonesha limjengo lake sasa mtafumba midomo
Hivi kweli mwisho wa mwezi mnalipwa kwa kazi za kuongelea watu jmn hii media ina mashoga tu
huongwe nanani ww sura km shilingi za zamani zile acha ujinga bibi ww😂
sasa kama china ulikuwa unakwenda kwa pesa yakoo na yeye hivo hivoo kudanga munadanga nyote musituchezee akili hakuna mdangaji anayesema anadanga labda masha love
Ata wewe kaka unavaaa hereni? Innalillahi wainna ilaihi raajing'uun mtihan wallah