Kwanza n Tapeli kawadanganya eti ni officer wa Police, na huyo mwanasheria nae n Tapeli hata Elimu yake haitomsaidia maana hasimamii haki, anajidai eti wamemsikiliza... Mtu msomi kwl kw maelezo ya mkataba hata km ungekuwa sio msomi unaona sio sahihi kabisaa! God bless you Rc, Makonda
Makonda kama Traore na Magufuli...Mungu akuongoze ufikie malengo yako kuwa Rais..Huyo tapeli mkubwa apigwe spana na afunguliwe mashtaka...Mr Makonda hongera kwa kazi
Wa awake wa nchi hii wanateseka jamani. Wametuzaa hatuna heshima mpaka wana kufa. Ni Kaan’a tupu. Tuna Raisi na speaker mwanamke. Tutafanyaje tupate mabadiko nchi hii.Tunahitaji sheria zitende kazi na si kuomba dini wakati wa kazi Za serikali. Sheria safi, haki na katiba mpya. Udisi gize dini.
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Makonda neno moja tu kutoka kwangu.Baba Mungu Jehovah akulinde akupiganie kwa jina la Yesu Kristu Amina
Makonda masikini mwamba huyu Mungu akulinde mwamba
Asante sana mama Samia kwakumchagua Makonda.
Mh Makonda Mungu akulinde Moyo wako dhidi ya Hao wanyonyaji wa Wanyonge
Kwanza n Tapeli kawadanganya eti ni officer wa Police, na huyo mwanasheria nae n Tapeli hata Elimu yake haitomsaidia maana hasimamii haki, anajidai eti wamemsikiliza... Mtu msomi kwl kw maelezo ya mkataba hata km ungekuwa sio msomi unaona sio sahihi kabisaa! God bless you Rc, Makonda
Mtaa mzeesha Makonda jamani😂😂😂😂.maskini mama wawatu pole mama
KAMA NDO HIVYO HII TANZANIA WATU WENGI SANA WATAKUWA WAMEDHULUMIWA
Mungu tunaomba ulinzi wako kwa mwanao Makonda umlinde na mtunze kila hatua
Makonda kama Traore na Magufuli...Mungu akuongoze ufikie malengo yako kuwa Rais..Huyo tapeli mkubwa apigwe spana na afunguliwe mashtaka...Mr Makonda hongera kwa kazi
Makonda endelea na ukabithi Mungu aliogukathi.
Shika taa la Mungu undelete utawala Wa hekima.
Ahsante rais Samia kwa uteuzi wa Paul Makonda, hakika ni mtetezi wa haki za wananchi
Nimeipenda..... Makonda akiona mnataka kujichanganya kuvurugana anawatumbuiza hisia zinakuwa zingine inahamasisha utulivu
Makonda mungu akulinda mweshmiw
Mungu Akubariki Kwa kazi ya kuwasaidia nakuwatetea wa nyonge
Mungu akubariki, Sana
Makonda mungu akupe maisha malefu
Fanya kazi makonda
MAKONDA MUNGU AWATANGULIE KATIKA KAZI ZAKO ASANTE KWA KUONA HAKI YA HUYU BIBI❤
Nahitaji sku1 Tanzania ikuchangue uwe rais
Arusha .kweli Makona shafisha shafi hao
Ayubu amegushi nyaraka anataka amzurumu mama 😢😢😢😢😢 eeeeeejamani
Ndio waliokupa sume hao. Mtenda haki siku zote hawapendezi kwa watu.
Nikisikiliza mkuu wa mkoa napata kugundua mama ana kazi ya ziada ana wafanyakazi hewa wengi hawatatui shida za wananchi
God bless Sir 🙏🙏
Makonda mungu akubaliki sana
Na kama ananyamazishwa hataki umenyamaza. No bora aruhusiwe anarudi nyumbani. Mana hakuna hapo kwa julia ili a kenge mkubwa' PUMBAVU
Kweli kazi kazi moyo wangu naukuimbie jinsi 😂😂😂
Ase unatisha kwa kutenda haki
Dhuluma mbaya
Wa awake wa nchi hii wanateseka jamani. Wametuzaa hatuna heshima mpaka wana kufa. Ni Kaan’a tupu. Tuna Raisi na speaker mwanamke. Tutafanyaje tupate mabadiko nchi hii.Tunahitaji sheria zitende kazi na si kuomba dini wakati wa kazi Za serikali. Sheria safi, haki na katiba mpya. Udisi gize dini.
Kunawingine kweli
Namuona afisa mtendaji aliyepandishwa cheo nafarijika sana
Wapige spana hao wamezidi😂😂😂😂😂
❤
Najua huyu mama analia kwa uchungu..
Mweshimiwa makonda na wanyakazi wa sgr atujaingiziwa pesa zetu nssf Kwa mwaka Moja na nusu sasa unatusaidiaje na Kila mwezi tunakatwa mkuu
ok
Huu si Maktaba, ni utapeli mtupu. Kamtapeli bibi.wote maw akili hawana şifa yoyote.
Arudishiwe kilo 5 yake asepe
Mama amrudishe huyu kwenye uwenezi ni kamanda kwelikwel
Piga spana hao
❤