KIVUMBI LEO RC MAKONDA AZUWIYA NYUMBA YA KIFAHARI KUTOKA MIKONONI KWA MATAPELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2024
  • #AdilTV

Комментарии • 42

  • @hbdina
    @hbdina Месяц назад +11

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Makonda neno moja tu kutoka kwangu.Baba Mungu Jehovah akulinde akupiganie kwa jina la Yesu Kristu Amina

  • @MansourAbubakar-l2b
    @MansourAbubakar-l2b Месяц назад +9

    Makonda masikini mwamba huyu Mungu akulinde mwamba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад +7

    Asante sana mama Samia kwakumchagua Makonda.

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 Месяц назад +3

    Mh Makonda Mungu akulinde Moyo wako dhidi ya Hao wanyonyaji wa Wanyonge

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumu Месяц назад +2

    Kwanza n Tapeli kawadanganya eti ni officer wa Police, na huyo mwanasheria nae n Tapeli hata Elimu yake haitomsaidia maana hasimamii haki, anajidai eti wamemsikiliza... Mtu msomi kwl kw maelezo ya mkataba hata km ungekuwa sio msomi unaona sio sahihi kabisaa! God bless you Rc, Makonda

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад +6

    Mtaa mzeesha Makonda jamani😂😂😂😂.maskini mama wawatu pole mama

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Месяц назад +3

    KAMA NDO HIVYO HII TANZANIA WATU WENGI SANA WATAKUWA WAMEDHULUMIWA

  • @TabithaObellykasangila
    @TabithaObellykasangila Месяц назад +3

    Mungu tunaomba ulinzi wako kwa mwanao Makonda umlinde na mtunze kila hatua

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Месяц назад

    Makonda kama Traore na Magufuli...Mungu akuongoze ufikie malengo yako kuwa Rais..Huyo tapeli mkubwa apigwe spana na afunguliwe mashtaka...Mr Makonda hongera kwa kazi

  • @minanielikana
    @minanielikana Месяц назад

    Makonda endelea na ukabithi Mungu aliogukathi.
    Shika taa la Mungu undelete utawala Wa hekima.

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Месяц назад

    Ahsante rais Samia kwa uteuzi wa Paul Makonda, hakika ni mtetezi wa haki za wananchi

  • @BoisDonkoil-rk8lr
    @BoisDonkoil-rk8lr Месяц назад +1

    Nimeipenda..... Makonda akiona mnataka kujichanganya kuvurugana anawatumbuiza hisia zinakuwa zingine inahamasisha utulivu

  • @mandileykiritokangai3042
    @mandileykiritokangai3042 29 дней назад

    Makonda mungu akulinda mweshmiw

  • @AureusLupogo
    @AureusLupogo Месяц назад

    Mungu Akubariki Kwa kazi ya kuwasaidia nakuwatetea wa nyonge

  • @olivermassau5695
    @olivermassau5695 23 дня назад

    Mungu akubariki, Sana

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Месяц назад +1

    Makonda mungu akupe maisha malefu

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i Месяц назад +2

    Fanya kazi makonda

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Месяц назад

    MAKONDA MUNGU AWATANGULIE KATIKA KAZI ZAKO ASANTE KWA KUONA HAKI YA HUYU BIBI❤

  • @HamisMasele-tb7lj
    @HamisMasele-tb7lj Месяц назад +1

    Nahitaji sku1 Tanzania ikuchangue uwe rais

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад +1

    Arusha .kweli Makona shafisha shafi hao

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад +1

    Ayubu amegushi nyaraka anataka amzurumu mama 😢😢😢😢😢 eeeeeejamani

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 20 дней назад

    Ndio waliokupa sume hao. Mtenda haki siku zote hawapendezi kwa watu.

  • @ibrahimrutta464
    @ibrahimrutta464 Месяц назад +1

    Nikisikiliza mkuu wa mkoa napata kugundua mama ana kazi ya ziada ana wafanyakazi hewa wengi hawatatui shida za wananchi

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 Месяц назад

    God bless Sir 🙏🙏

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh Месяц назад

    Makonda mungu akubaliki sana

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 Месяц назад +1

    Na kama ananyamazishwa hataki umenyamaza. No bora aruhusiwe anarudi nyumbani. Mana hakuna hapo kwa julia ili a kenge mkubwa' PUMBAVU

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад +1

    Kweli kazi kazi moyo wangu naukuimbie jinsi 😂😂😂

  • @oneonego705
    @oneonego705 Месяц назад

    Ase unatisha kwa kutenda haki

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад +1

    Dhuluma mbaya

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Месяц назад

    Wa awake wa nchi hii wanateseka jamani. Wametuzaa hatuna heshima mpaka wana kufa. Ni Kaan’a tupu. Tuna Raisi na speaker mwanamke. Tutafanyaje tupate mabadiko nchi hii.Tunahitaji sheria zitende kazi na si kuomba dini wakati wa kazi Za serikali. Sheria safi, haki na katiba mpya. Udisi gize dini.

  • @user-mw9md1iq1n
    @user-mw9md1iq1n 21 день назад

    Kunawingine kweli

  • @user-is6np5vf6b
    @user-is6np5vf6b Месяц назад

    Namuona afisa mtendaji aliyepandishwa cheo nafarijika sana

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Месяц назад +1

    Wapige spana hao wamezidi😂😂😂😂😂

  • @gildopitapita1383
    @gildopitapita1383 Месяц назад +1

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 Месяц назад

    Najua huyu mama analia kwa uchungu..

  • @elipokeaakyoo6858
    @elipokeaakyoo6858 Месяц назад

    Mweshimiwa makonda na wanyakazi wa sgr atujaingiziwa pesa zetu nssf Kwa mwaka Moja na nusu sasa unatusaidiaje na Kila mwezi tunakatwa mkuu

  • @sujaiazicani9510
    @sujaiazicani9510 Месяц назад

    ok

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Месяц назад

    Huu si Maktaba, ni utapeli mtupu. Kamtapeli bibi.wote maw akili hawana şifa yoyote.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад

    Arudishiwe kilo 5 yake asepe

  • @JosephMwaipopo-px4wi
    @JosephMwaipopo-px4wi Месяц назад

    Mama amrudishe huyu kwenye uwenezi ni kamanda kwelikwel

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Месяц назад

    Piga spana hao

  • @mariomachecajoaquim1921
    @mariomachecajoaquim1921 Месяц назад