Mheshimiwa Makonda ni msaidizi wa raisi wa inchi hii, tumshukuru mama Samia kumteua Makonda lkn pia tumpongeze Makonda kwa ujasiri, hekima,ufahamu na maarifa ktk uongozi wake, Tuipongeze pia team yake kwa kuwa washauri wazuri. Mungu azidi kuwalinda na kuwaongoza❤❤❤❤
Safi sana makonda anayefatilia unayoyafanya hakika atakuombea na huku akilia ww niwamfano nakuita magufuri mpya piga kazi watajifunza na wengine watu wengi nchi hii tunatenda wema tunazurumiwa haki zetu nadhani umekuja jibu la wanyonge kutoka kwa mungu ubalikiwe sana
Mungu turehemu,mzazi unamutesa hivi kwanini asitafute mali zake Hana haki na hizo mali ,machozi yamenitoka hakika mali ni Bora kuliko mzazi ,laana zitamufuata mzazi kukulea ni mali Tisha😭😭😭
Makonda mbona uko peke yako mikoa mingine hatuwasikii wanaoweza kuwanyamazisha waliao vilio kama hivyo nivingi sana,kwenye mikoa mingine. unatutoa machozi makonda mungu aendelee kukulinda na kukupa maisha marefu kwa kujuwa wajibu wako.
Huyo msichana atazunguka hii dunia mpaka aje Kuga kama umbwa jirani! Niuchungu mkubwa sana! Mii ujua mtoto walkie ndie ushikilia mama huyo vipi mwewe nini!
Hivi kweli mambo haya mtu anamtendea mama mzazi sina mama sina baba wote walifariki niliishi nao kwa upendo kwa kutaka kupata ijapo neno kutoka kwao nimelia sana ninapo ona mama huyu anavyo jieleza kweli sasa mali ni muhimu kuliko mzazi tumefikia kwenye kizazi cha ibiri na kaini ,makonda fanya kazi tunakufwatilia mamilioni ya watu wewe ijapo hutuoni sisi tulio wengi tunakuona una fanya kazi kama musa enzi zake kazi unayo fanya ni ya Mungu utalipwa mbele ya safari maneno na kazi zako hakika zitaishi ijapo wewe hata ukifa utakuwa umejiwekea thawabu mbinguni amina
Hii ni laana direct, watoto wacheni kuwalazimisha wazazi wenu kuwapa mali.hiyo mali hukutafuta naye mtapata laana bure navizazi vyenu kuridhi hiyo laana je unaweza kumlipa mama yako garama ya kukuleta duniani hadi ukawa mtu mzima.someni bibilia barakahaitoki kwa mungu inatoka kwa wazazj,acheni upumbavu
Subuhanallah. Subuhaballah Mungu atunusulu. Yani unapataje nguvu ya kumstaki mzazi wako bila yeye ungetamba duniani kweri😢😢 Yarabi tusamee ss na vizaxivyetu Amyn
Maskini mpk nimelia kwa uchungu nimeumia sana unamliza mamako ivo unampandisha presha mzazi wako Inna lillah wainna illaih rajiuun dunia imefika mwisho
Ama kweli kaka yangu Erasto unachomfanyia mama siyo kitu kizuri..nimesikitika sana kumwona mama analia hadharani kimeniuma.ulitaka mali za baba yako kwa nini hukumwambia baba akiwa hai?mali zote mali ya mama hadi kiama. Kaka laana ya mama ni mbaya sana.kaka siyo wote machizi wamepata laana kama unayotafuta.mama stela pole sn mama yangu.
Hao watoto wengine ni malofa nao na manyumbu ,lkn pia hao watu wa mahakama ipewe meno ili watu kama hawa wasiwe na uwezo wakusumbua hivi mtu anaweje kutoka mahakama ya WILAYA akaruhusiwa kurudishwa mahakama ya mwanzo tena na hapo kutakuwa na watu MAHAKAMANI wanamsaliti huyu mama
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢jamaniiiiiii jamaniiiiiiiiii watu tuweni nahuruma , nipo burundi nafatiriya inauma saaaaana zaidi ya saaaaana
Eeeeeh Mungu naomba unipe mwisho me a niwasaidie wazazi wangu na kuwaheshimu hata wasiponipa chochote kunizaa tuu inatosha...WATOTO WETU WATAFUNDISHWA NA MUNGU
Daaaah aisee Kuna watt na kuna mitoto ya ajabu Dunia hii ila naamn hiyo michoz ya huyo mama itamghalimu huyo kijana wake atailipia kbx yan daaah aiseee
Yani mm nimsumbue mama aangu kwaajili ya Mali aliye dadili ya kumuonge Mali huyu aliyenizaa na kunilea? Tumezoa dalii zamwisho WA Dunia kusoma kwenye vitabu sio laivu jamani masikio yangu Hilo yameshindwa kuelewa kaa!
Huyo mtoto mshenzi Sana anasumbu Bibi juu ya jasho lake! Ata aki na bahati huyo msichana akili mbovu! Ajui wasichana sio lazima wapewe Mali! Ebu aende alatafute Mme wake achane na mama hiyo kabisa!
Mh najikuta nalia jmn 😭😭 huyo mtt atakuwa chz jmn mama yako kweli? Unataka mali za baba ako kaona kahangaika huko kufanya umalaya kaona anazeeka anaanza kudai mali z bibi wa watu"!# hao mahakim kwann wasimtie ndan huyo chz? Mm nasema kuna familia zina ogopana" lait huyo dada angekuwa ndugu yetu ss kwenye familia yetu anamsumbua mama etu tungeshamuua" ss familia yetu haitak ujinga haki y Mungu mtu mmoja usumbue watu
Why can't he work for his own properties?shame on him.tell him to be ready for sufferings without end.he will look for her mother for forgiveness but she will be no where.ajitayarishe kwa mateso,hii machinzi ya huyu bibi haitapotea mbure.i may not be understanding every word here but surely am saddened.what is this?
Watoto tuliozaliwa jamani tusiwaumize wazazi wetu uuuuwiiii. Hizo mali ameshasema za baba yake kwani si atafute za kwake? Huyo mtoto apatiwe msaada wa kisaikolojia ni muathirika katika afya ya akili hakuna namna nyingine. Anatafuta laana huyo
Mheshimiwa Makonda ni msaidizi wa raisi wa inchi hii, tumshukuru mama Samia kumteua Makonda lkn pia tumpongeze Makonda kwa ujasiri, hekima,ufahamu na maarifa ktk uongozi wake,
Tuipongeze pia team yake kwa kuwa washauri wazuri.
Mungu azidi kuwalinda na kuwaongoza❤❤❤❤
Makonda mungu akupe uhai kaka piga kazi
Pole sana mh makonda kwa kazi gumu kiukweli umekabidhiwa mkoa wenye changamoto kubwa sana watu wamejawa na shida kubwa sana
Safi sana makonda anayefatilia unayoyafanya hakika atakuombea na huku akilia ww niwamfano nakuita magufuri mpya piga kazi watajifunza na wengine watu wengi nchi hii tunatenda wema tunazurumiwa haki zetu nadhani umekuja jibu la wanyonge kutoka kwa mungu ubalikiwe sana
Unakubali mama yako kipezi analia kwasababu yamali ww huna akili utapata laanaa ww
😂noma sana apigwe uyo mtoto
Huyo mtoto ana akili anamtesa mama yake kisa mali hajuwi mali zinatafutwa ila hakuna mama wawili
Kuna watoto wangebaki matumboni wangesumbua wazee kwa maradhi
Duh! Nilivyompenda Mama yangu pumzika kwa amani Mama yangu! Unathubutuje kumfanyia hivyo Mama yako?
Makondo Mungu akubariki sana Mungu alikuleta makusudi
😭😭😭dah hata sina neno walahi nimelia😭😭😭 mungu wa mbingu na ardhi simama na viumbe wako. Dah mama mungu akupe nguvu
Du kuzaa sikupata kupata majaaliwa uyu bibi kaniliza uyu mtoto anamtesa mama yake mungu anamuona anachomfanyia mama yake
Muishimiwa makonda msaidie uyu bb mungu atakulipa unawasaidia wanyonge
Polee piaa mushkuruu munguu ...mamboo ndokamaa hayaaa sasaa😢😢😢😢😢😢
Inauma sana ,kuna vitu vingine ukivisikiza unaona ni wapi tunakwenda
Mungu turehemu,mzazi unamutesa hivi kwanini asitafute mali zake Hana haki na hizo mali ,machozi yamenitoka hakika mali ni Bora kuliko mzazi ,laana zitamufuata mzazi kukulea ni mali Tisha😭😭😭
Makonda mbona uko peke yako mikoa mingine hatuwasikii wanaoweza kuwanyamazisha waliao vilio kama hivyo nivingi sana,kwenye mikoa mingine. unatutoa machozi makonda mungu aendelee kukulinda na kukupa maisha marefu kwa kujuwa wajibu wako.
Makonda mungu aku bariki sana halika unatenda mema sana unastahili kuigwa na kila kiongozi
Makonda fanya kazi yako ikiwezekana uwe rais wa nchii hiii
Huyo msichana atazunguka hii dunia mpaka aje Kuga kama umbwa jirani! Niuchungu mkubwa sana! Mii ujua mtoto walkie ndie ushikilia mama huyo vipi mwewe nini!
Mkuu wa mkoa aliepita alikuwa haoni haya kweli mbona madudu yamejaa sana kwenye mkoa wetu nyie
Dah mm mwenyewe najiuliza😢
Hongera Makonda,ubarikiwe sana
Makonfa mungu alulinde kuliongoza taifa lake l amina
Hivi kweli mambo haya mtu anamtendea mama mzazi sina mama sina baba wote walifariki niliishi nao kwa upendo kwa kutaka kupata ijapo neno kutoka kwao nimelia sana ninapo ona mama huyu anavyo jieleza kweli sasa mali ni muhimu kuliko mzazi tumefikia kwenye kizazi cha ibiri na kaini ,makonda fanya kazi tunakufwatilia mamilioni ya watu wewe ijapo hutuoni sisi tulio wengi tunakuona una fanya kazi kama musa enzi zake kazi unayo fanya ni ya Mungu utalipwa mbele ya safari maneno na kazi zako hakika zitaishi ijapo wewe hata ukifa utakuwa umejiwekea thawabu mbinguni amina
SubhanaAllah Allah akutunze mamangu polee
Daaaaaah inauma sana navo mpenda sana mama angu mungu amtunze sana
Ona dua njema za mama zinaombewa mwenzio na ww unazembea Ewe mungu nijaze mapenzi zaidi na my Angel Mum nimpende pk cku ya kiama InshaAllah
Duuu MUNGU wangu tusaidieeee mama kabisaaa uyo msaidizi wa kuzimu 😂😂😂😂😂😂 mama nakupendaaa MUNGU akupe miaka miaaaa
Jamani mama basi uwiiii😭😭😭😭😭jamani dunia inamengi sana mungu tusaidie
Makonda, makonda, makonda
MUNGU wa mbinguni akubariki HAKIKA
kazi ufanyayo si yako ni kazi ya MUNGU.
USIZIMIE MOYO, UTALIPWA NA MWENYE KAZI
Mungu wangu dunia hii inatisha sana
Hii ni laana direct, watoto wacheni kuwalazimisha wazazi wenu kuwapa mali.hiyo mali hukutafuta naye mtapata laana bure navizazi vyenu kuridhi hiyo laana je unaweza kumlipa mama yako garama ya kukuleta duniani hadi ukawa mtu mzima.someni bibilia barakahaitoki kwa mungu inatoka kwa wazazj,acheni upumbavu
😮😮 Yan ni mtoto Wa kike mbna huna huruma na mama ako wew daaah Mungu akuone tu
alaah akpe maisha mrfu boss wa wanyonge
Subuhanallah. Subuhaballah Mungu atunusulu. Yani unapataje nguvu ya kumstaki mzazi wako bila yeye ungetamba duniani kweri😢😢 Yarabi tusamee ss na vizaxivyetu Amyn
Makonda Mungu akubariki
Maskini mpk nimelia kwa uchungu nimeumia sana unamliza mamako ivo unampandisha presha mzazi wako Inna lillah wainna illaih rajiuun dunia imefika mwisho
Huyo dada anaishi hajielewi maisha yake yameshikiliwa na shetani aombe rehema kwa Mungu
Makonda mungu akubaliki
Makonda nakuamini fanya kazi kaka mtu wa miaka 54 anategemea urithi si wampe urithi wa jembe na mtaji wa mbunga akalime
Mungu baba. Saidia huyu mama!!🤲🤲😢😢 kunawatu wanatafuta mama naMungu kachukua, wewe unae unamchezea? Iposiku utamtafuta.
Mungu akubariki makonda❤❤
Ama kweli kaka yangu Erasto unachomfanyia mama siyo kitu kizuri..nimesikitika sana kumwona mama analia hadharani kimeniuma.ulitaka mali za baba yako kwa nini hukumwambia baba akiwa hai?mali zote mali ya mama hadi kiama. Kaka laana ya mama ni mbaya sana.kaka siyo wote machizi wamepata laana kama unayotafuta.mama stela pole sn mama yangu.
Makonda Mungu akutunze,
Hao watoto wengine ni malofa nao na manyumbu ,lkn pia hao watu wa mahakama ipewe meno ili watu kama hawa wasiwe na uwezo wakusumbua hivi mtu anaweje kutoka mahakama ya WILAYA akaruhusiwa kurudishwa mahakama ya mwanzo tena na hapo kutakuwa na watu MAHAKAMANI wanamsaliti huyu mama
Hadi uchungu😢😢 Mungu tusaidie waja wako
Tunazaa kuijaza dunia lakini sio tunazaa wanetu watusaidie mmh hii haipo kwa sasa ila mwenye moyo safi anakusaidia sanaa na hakuachi hata kidogo
God bless you makonda
Ubunifu mkubwa wa mama yetu Dr samia suluh ..lazima uwe na matokeo chanya kama haya ..
Makonde Mungu akuweke akupe uzima na afya utete kila anae teseka
Laana kum uyo kijana mwenzetu, Innalillahi waihnna illaih rajiun
😭😭😭 nimelia sana mama ako kweli
Mzazi wangu ninavompenda hivi wengine wanawachezea
Hako katoto pengine kachawi, sio kwa unyanyasaji huo
Hongera kwa habari motomoto
Huyo mtoto anatafuta laana
Tena huyo mtt muheshimiwa muweke ndani kifungo cha maisha ametunyanyasa wanawake wotee mpeni mume aolewe huyo na yy akaongwe na wanaume
Imeniuma sanaa.mtoto wako jamani.
Mm ndo staki hata kuoa bara.kwabalaa hz zakupenda Mali. Watu watafute Chao. wanataka hata kuua ili waridhii.
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢jamaniiiiiii jamaniiiiiiiiii watu tuweni nahuruma , nipo burundi nafatiriya inauma saaaaana zaidi ya saaaaana
😂😂😂😂😂😂😂pole sana mama yangu pia pole sana makondo ila mam ayo niyakoo
Eeeeeh Mungu naomba unipe mwisho me a niwasaidie wazazi wangu na kuwaheshimu hata wasiponipa chochote kunizaa tuu inatosha...WATOTO WETU WATAFUNDISHWA NA MUNGU
Daaaah aisee Kuna watt na kuna mitoto ya ajabu Dunia hii ila naamn hiyo michoz ya huyo mama itamghalimu huyo kijana wake atailipia kbx yan daaah aiseee
CHATANDA UKO wp ww mdomo kubwabwaja tu matatizo yote mnayo yaona chanzo chake viongozi tena wezi wa kura
Nimelia kweli, uyo binti ana rahana
I always cry nki watch hizi videos za makonda God bless you bro
Yani mm nimsumbue mama aangu kwaajili ya Mali aliye dadili ya kumuonge Mali huyu aliyenizaa na kunilea? Tumezoa dalii zamwisho WA Dunia kusoma kwenye vitabu sio laivu jamani masikio yangu Hilo yameshindwa kuelewa kaa!
Ila makonda Mungu akubariki Sana
Kuna watu wenye laana Dunia hii mama Yako unamtesa kiasi hiki
Huyo mtoto mshenzi Sana anasumbu Bibi juu ya jasho lake! Ata aki na bahati huyo msichana akili mbovu! Ajui wasichana sio lazima wapewe Mali! Ebu aende alatafute Mme wake achane na mama hiyo kabisa!
Mh najikuta nalia jmn 😭😭 huyo mtt atakuwa chz jmn mama yako kweli? Unataka mali za baba ako kaona kahangaika huko kufanya umalaya kaona anazeeka anaanza kudai mali z bibi wa watu"!# hao mahakim kwann wasimtie ndan huyo chz? Mm nasema kuna familia zina ogopana" lait huyo dada angekuwa ndugu yetu ss kwenye familia yetu anamsumbua mama etu tungeshamuua" ss familia yetu haitak ujinga haki y Mungu mtu mmoja usumbue watu
Moyo wa mama yako mzazi unauacha unaumia hivi hii laana itakuandama mpaka kaburini walahii...🥹🥹🥹🥹🙌🏿💔
Pole mamy,,wazaz tunazaaa na nyoka
Wewe ni mzalendo wa kweli mungu atakulipa
Miez Tisa kahangaika k leba ndo mwisho kakulea hujaungua moto Leo anatoa machoz laana ya milele😂😂😂
Mama ana kiswahili kimeenyooka vizur sana mung atakusaidia
Lakini mama kwa nn uclilaani hilo mbwa?? Nyoosha mikono juu umlilie Mungu.
Kama kweli URITHI yupo sahihi mama kaweni Sawa
Ameen yaraab 🤲🏾
Watoto wa siku hizi ndivyo walivyo tunawaona wengi mbona dunia imeisha wazazi wengi wanahangaika na watoto
Why can't he work for his own properties?shame on him.tell him to be ready for sufferings without end.he will look for her mother for forgiveness but she will be no where.ajitayarishe kwa mateso,hii machinzi ya huyu bibi haitapotea mbure.i may not be understanding every word here but surely am saddened.what is this?
Mwanaume mzimaaa. Bwegee ww huna faida ya kuwepo dunian
Mungu anakazi,siio, mchezo
Pole mama😢😢😢nimejawa na uchungu.eemungu mama mzazi kweli😢😢
So laana tu huyo mungu amufundishe adabu
Sisi wengine tumefiwa na wazazi wote tukiwa wadogo tunamtamani mama kama ivi ata awe kichaa lakini wapii
Huyo dada laana itamtafuna mama kalia kwa uchungu😢😢😢
Ama kweli nimelia
Huyo jamaa shoga nini!! Kama mwanaume si atafute vya kwake 😮
Ivi mikoa mingine hakuna matatazo kabisa,mbona wakuu wengne wamejifungia tu maofisini kimya au Tz mkuu wa mkoa ni makonda tu?
Makonda alikuwa analia mwenyewe jmn Tz kwetu watu wanaonewa sana
Kuzaa si kupata mtoto shetani anamliza mzazi wake atakuwa na laana,maisha yake yote
Mbarikiwe mnaposhugulika
Makonda alindwe sana manawengine hawataki ukweli Jmn
Mungu linda makonda musidishie miaka
Watoto tuliozaliwa jamani tusiwaumize wazazi wetu uuuuwiiii. Hizo mali ameshasema za baba yake kwani si atafute za kwake? Huyo mtoto apatiwe msaada wa kisaikolojia ni muathirika katika afya ya akili hakuna namna nyingine. Anatafuta laana huyo
TUSOME SANA MAANDIKO MATAKATIFU.ILA vIJANA WENGI HAWAYASOMI.
Pole sana makonda
Hapo nimeshaona laana kabisaa
Uuwii!!!!! Watoto wanajua kutafuta laana kwa lazimae!!! Jamani!!!. MUNGU mtetee huyu bibi😭😭😭😭😭😭😭!!!!!!.
Sana kuitafuta laana ya mali alfu ww ni mtoto wa kiume tafuta yako jamani unamliza mma yako kweli
Km limeoa hapo litakuwa linadanganywa na wakwe,huyo mbwa hilo akaolewe huko kwani c linataka mali? Likaolewe limiliki.
Pia tuna kushukuru rahis wetu Samia kwa kumteua makonda ili ashike Ile nafasi ya magufuli
Watoto wa kuua ndo kama hawa sasa unamuhangaisha bimkubwa wote huyo ndo nini
Mtoto laana hiyo , mama msamehe mwanao imaana halijui atendalo
Mpaka nimetoa machoz daaaah dunian hapa dampo la mambo machafu kwa kwel
Hadi nimetokwa machozi
Chatanda uko wapi sasa
Duh! Hatari sana hii! Hivi Kuna watu hawana akili kumbe! Duh ! Kesi ngumu hizi wewe mwanaume ni mpumbavu sanaaaaaa! Duh !