Kama unaroho ndogo USIANGALIE video hii ITAKULIZA, Bibi anaeteswa na mtoto wake amlilia MAKONDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 207

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 5 месяцев назад +30

    Mheshimiwa Makonda ni msaidizi wa raisi wa inchi hii, tumshukuru mama Samia kumteua Makonda lkn pia tumpongeze Makonda kwa ujasiri, hekima,ufahamu na maarifa ktk uongozi wake,
    Tuipongeze pia team yake kwa kuwa washauri wazuri.
    Mungu azidi kuwalinda na kuwaongoza❤❤❤❤

    • @ZainabKarim-j9o
      @ZainabKarim-j9o 5 месяцев назад +1

      Makonda mungu akupe uhai kaka piga kazi

  • @Swaleheadamu-gz4vm
    @Swaleheadamu-gz4vm 4 месяца назад +2

    Pole sana mh makonda kwa kazi gumu kiukweli umekabidhiwa mkoa wenye changamoto kubwa sana watu wamejawa na shida kubwa sana

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 5 месяцев назад +3

    Safi sana makonda anayefatilia unayoyafanya hakika atakuombea na huku akilia ww niwamfano nakuita magufuri mpya piga kazi watajifunza na wengine watu wengi nchi hii tunatenda wema tunazurumiwa haki zetu nadhani umekuja jibu la wanyonge kutoka kwa mungu ubalikiwe sana

  • @kinyangulishabani9396
    @kinyangulishabani9396 5 месяцев назад +32

    Unakubali mama yako kipezi analia kwasababu yamali ww huna akili utapata laanaa ww

    • @ALEXLOTAN
      @ALEXLOTAN 4 месяца назад

      😂noma sana apigwe uyo mtoto

    • @JamalMassawe
      @JamalMassawe 2 месяца назад

      Huyo mtoto ana akili anamtesa mama yake kisa mali hajuwi mali zinatafutwa ila hakuna mama wawili

    • @AllyFeruuz
      @AllyFeruuz Месяц назад

      Kuna watoto wangebaki matumboni wangesumbua wazee kwa maradhi

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 5 месяцев назад +11

    Duh! Nilivyompenda Mama yangu pumzika kwa amani Mama yangu! Unathubutuje kumfanyia hivyo Mama yako?

  • @beathapontian2187
    @beathapontian2187 5 месяцев назад +3

    Makondo Mungu akubariki sana Mungu alikuleta makusudi

  • @AidathRweyongeza
    @AidathRweyongeza 4 месяца назад +3

    😭😭😭dah hata sina neno walahi nimelia😭😭😭 mungu wa mbingu na ardhi simama na viumbe wako. Dah mama mungu akupe nguvu

  • @aminamohammed5373
    @aminamohammed5373 5 месяцев назад +8

    Du kuzaa sikupata kupata majaaliwa uyu bibi kaniliza uyu mtoto anamtesa mama yake mungu anamuona anachomfanyia mama yake

    • @aminamohammed5373
      @aminamohammed5373 5 месяцев назад

      Muishimiwa makonda msaidie uyu bb mungu atakulipa unawasaidia wanyonge

    • @AminaRamadhan-mg9lj
      @AminaRamadhan-mg9lj 5 месяцев назад

      Polee piaa mushkuruu munguu ...mamboo ndokamaa hayaaa sasaa😢😢😢😢😢😢

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 5 месяцев назад +3

    Inauma sana ,kuna vitu vingine ukivisikiza unaona ni wapi tunakwenda

  • @theodosiampogole2672
    @theodosiampogole2672 5 месяцев назад +4

    Mungu turehemu,mzazi unamutesa hivi kwanini asitafute mali zake Hana haki na hizo mali ,machozi yamenitoka hakika mali ni Bora kuliko mzazi ,laana zitamufuata mzazi kukulea ni mali Tisha😭😭😭

  • @mohamedmmubullah1147
    @mohamedmmubullah1147 3 месяца назад

    Makonda mbona uko peke yako mikoa mingine hatuwasikii wanaoweza kuwanyamazisha waliao vilio kama hivyo nivingi sana,kwenye mikoa mingine. unatutoa machozi makonda mungu aendelee kukulinda na kukupa maisha marefu kwa kujuwa wajibu wako.

  • @JosephLaizer-bn1ly
    @JosephLaizer-bn1ly 5 месяцев назад

    Makonda mungu aku bariki sana halika unatenda mema sana unastahili kuigwa na kila kiongozi

  • @JoshuashitaboJuma
    @JoshuashitaboJuma 4 месяца назад +2

    Makonda fanya kazi yako ikiwezekana uwe rais wa nchii hiii

  • @mamaafrica399
    @mamaafrica399 5 месяцев назад +6

    Huyo msichana atazunguka hii dunia mpaka aje Kuga kama umbwa jirani! Niuchungu mkubwa sana! Mii ujua mtoto walkie ndie ushikilia mama huyo vipi mwewe nini!

  • @WaziriOmari-f3h
    @WaziriOmari-f3h 5 месяцев назад +9

    Mkuu wa mkoa aliepita alikuwa haoni haya kweli mbona madudu yamejaa sana kwenye mkoa wetu nyie

  • @JANEBGOYA
    @JANEBGOYA 4 месяца назад

    Hongera Makonda,ubarikiwe sana

  • @angelasule1119
    @angelasule1119 4 месяца назад +1

    Makonfa mungu alulinde kuliongoza taifa lake l amina

  • @msafirimahenge729
    @msafirimahenge729 4 месяца назад

    Hivi kweli mambo haya mtu anamtendea mama mzazi sina mama sina baba wote walifariki niliishi nao kwa upendo kwa kutaka kupata ijapo neno kutoka kwao nimelia sana ninapo ona mama huyu anavyo jieleza kweli sasa mali ni muhimu kuliko mzazi tumefikia kwenye kizazi cha ibiri na kaini ,makonda fanya kazi tunakufwatilia mamilioni ya watu wewe ijapo hutuoni sisi tulio wengi tunakuona una fanya kazi kama musa enzi zake kazi unayo fanya ni ya Mungu utalipwa mbele ya safari maneno na kazi zako hakika zitaishi ijapo wewe hata ukifa utakuwa umejiwekea thawabu mbinguni amina

  • @qalbi8198
    @qalbi8198 4 месяца назад

    SubhanaAllah Allah akutunze mamangu polee

  • @WittinessOscar
    @WittinessOscar 4 месяца назад +1

    Daaaaaah inauma sana navo mpenda sana mama angu mungu amtunze sana

  • @DullahMamu
    @DullahMamu 4 месяца назад

    Ona dua njema za mama zinaombewa mwenzio na ww unazembea Ewe mungu nijaze mapenzi zaidi na my Angel Mum nimpende pk cku ya kiama InshaAllah

  • @esuvatlukumay9587
    @esuvatlukumay9587 4 месяца назад

    Duuu MUNGU wangu tusaidieeee mama kabisaaa uyo msaidizi wa kuzimu 😂😂😂😂😂😂 mama nakupendaaa MUNGU akupe miaka miaaaa

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 5 месяцев назад +3

    Jamani mama basi uwiiii😭😭😭😭😭jamani dunia inamengi sana mungu tusaidie

  • @DANIELMWAMKINGA
    @DANIELMWAMKINGA 5 месяцев назад +1

    Makonda, makonda, makonda
    MUNGU wa mbinguni akubariki HAKIKA
    kazi ufanyayo si yako ni kazi ya MUNGU.
    USIZIMIE MOYO, UTALIPWA NA MWENYE KAZI

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 5 месяцев назад +5

    Mungu wangu dunia hii inatisha sana

  • @annwaithera5801
    @annwaithera5801 4 месяца назад

    Hii ni laana direct, watoto wacheni kuwalazimisha wazazi wenu kuwapa mali.hiyo mali hukutafuta naye mtapata laana bure navizazi vyenu kuridhi hiyo laana je unaweza kumlipa mama yako garama ya kukuleta duniani hadi ukawa mtu mzima.someni bibilia barakahaitoki kwa mungu inatoka kwa wazazj,acheni upumbavu

  • @DonaldSote
    @DonaldSote 3 месяца назад

    😮😮 Yan ni mtoto Wa kike mbna huna huruma na mama ako wew daaah Mungu akuone tu

  • @lameckbenjamini4827
    @lameckbenjamini4827 3 месяца назад

    alaah akpe maisha mrfu boss wa wanyonge

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 месяцев назад

    Subuhanallah. Subuhaballah Mungu atunusulu. Yani unapataje nguvu ya kumstaki mzazi wako bila yeye ungetamba duniani kweri😢😢 Yarabi tusamee ss na vizaxivyetu Amyn

  • @christineenoi5117
    @christineenoi5117 5 месяцев назад +1

    Makonda Mungu akubariki

  • @salhamohamed9240
    @salhamohamed9240 2 месяца назад

    Maskini mpk nimelia kwa uchungu nimeumia sana unamliza mamako ivo unampandisha presha mzazi wako Inna lillah wainna illaih rajiuun dunia imefika mwisho

  • @staminacastory5322
    @staminacastory5322 4 месяца назад

    Huyo dada anaishi hajielewi maisha yake yameshikiliwa na shetani aombe rehema kwa Mungu

  • @philipomapundaa6801
    @philipomapundaa6801 5 месяцев назад +1

    Makonda mungu akubaliki

  • @nkidakisenga9004
    @nkidakisenga9004 3 месяца назад +1

    Makonda nakuamini fanya kazi kaka mtu wa miaka 54 anategemea urithi si wampe urithi wa jembe na mtaji wa mbunga akalime

  • @AishaMaganga-vd1jg
    @AishaMaganga-vd1jg 4 месяца назад

    Mungu baba. Saidia huyu mama!!🤲🤲😢😢 kunawatu wanatafuta mama naMungu kachukua, wewe unae unamchezea? Iposiku utamtafuta.

  • @SuleimanKhadija
    @SuleimanKhadija 4 месяца назад

    Mungu akubariki makonda❤❤

  • @winfridamrema3738
    @winfridamrema3738 4 месяца назад

    Ama kweli kaka yangu Erasto unachomfanyia mama siyo kitu kizuri..nimesikitika sana kumwona mama analia hadharani kimeniuma.ulitaka mali za baba yako kwa nini hukumwambia baba akiwa hai?mali zote mali ya mama hadi kiama. Kaka laana ya mama ni mbaya sana.kaka siyo wote machizi wamepata laana kama unayotafuta.mama stela pole sn mama yangu.

  • @sifakisaka2995
    @sifakisaka2995 4 месяца назад +1

    Makonda Mungu akutunze,

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 4 месяца назад

    Hao watoto wengine ni malofa nao na manyumbu ,lkn pia hao watu wa mahakama ipewe meno ili watu kama hawa wasiwe na uwezo wakusumbua hivi mtu anaweje kutoka mahakama ya WILAYA akaruhusiwa kurudishwa mahakama ya mwanzo tena na hapo kutakuwa na watu MAHAKAMANI wanamsaliti huyu mama

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 5 месяцев назад +3

    Hadi uchungu😢😢 Mungu tusaidie waja wako

  • @ixheryusuph1748
    @ixheryusuph1748 4 месяца назад

    Tunazaa kuijaza dunia lakini sio tunazaa wanetu watusaidie mmh hii haipo kwa sasa ila mwenye moyo safi anakusaidia sanaa na hakuachi hata kidogo

  • @RehemaKasanga-vu5nj
    @RehemaKasanga-vu5nj 4 месяца назад

    God bless you makonda

  • @JosephMihayo-zg8se
    @JosephMihayo-zg8se 4 месяца назад

    Ubunifu mkubwa wa mama yetu Dr samia suluh ..lazima uwe na matokeo chanya kama haya ..

  • @salma-te4nq
    @salma-te4nq 5 месяцев назад

    Makonde Mungu akuweke akupe uzima na afya utete kila anae teseka

  • @karimsewando1407
    @karimsewando1407 Месяц назад

    Laana kum uyo kijana mwenzetu, Innalillahi waihnna illaih rajiun

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 4 месяца назад +1

    😭😭😭 nimelia sana mama ako kweli

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 5 месяцев назад +5

    Mzazi wangu ninavompenda hivi wengine wanawachezea

    • @angelamturi2207
      @angelamturi2207 4 месяца назад

      Hako katoto pengine kachawi, sio kwa unyanyasaji huo

  • @GundelindaKibonge
    @GundelindaKibonge 4 месяца назад +1

    Hongera kwa habari motomoto

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 3 месяца назад

    Tena huyo mtt muheshimiwa muweke ndani kifungo cha maisha ametunyanyasa wanawake wotee mpeni mume aolewe huyo na yy akaongwe na wanaume

  • @MagrethLue
    @MagrethLue 4 месяца назад +1

    Imeniuma sanaa.mtoto wako jamani.

  • @ZahorSalum-h9q
    @ZahorSalum-h9q 4 месяца назад

    Mm ndo staki hata kuoa bara.kwabalaa hz zakupenda Mali. Watu watafute Chao. wanataka hata kuua ili waridhii.

  • @patricemapike9244
    @patricemapike9244 3 месяца назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢jamaniiiiiii jamaniiiiiiiiii watu tuweni nahuruma , nipo burundi nafatiriya inauma saaaaana zaidi ya saaaaana

  • @MussaMarwa-z3n
    @MussaMarwa-z3n 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂pole sana mama yangu pia pole sana makondo ila mam ayo niyakoo

  • @BeatriceLyatuu-w8j
    @BeatriceLyatuu-w8j 5 месяцев назад

    Eeeeeh Mungu naomba unipe mwisho me a niwasaidie wazazi wangu na kuwaheshimu hata wasiponipa chochote kunizaa tuu inatosha...WATOTO WETU WATAFUNDISHWA NA MUNGU

  • @HellenAlquin
    @HellenAlquin 3 месяца назад

    Daaaah aisee Kuna watt na kuna mitoto ya ajabu Dunia hii ila naamn hiyo michoz ya huyo mama itamghalimu huyo kijana wake atailipia kbx yan daaah aiseee

  • @LameckLameck-v9r
    @LameckLameck-v9r 5 месяцев назад +3

    CHATANDA UKO wp ww mdomo kubwabwaja tu matatizo yote mnayo yaona chanzo chake viongozi tena wezi wa kura

  • @DativaDaud
    @DativaDaud 4 месяца назад

    Nimelia kweli, uyo binti ana rahana

  • @iammarriey2861
    @iammarriey2861 5 месяцев назад +1

    I always cry nki watch hizi videos za makonda God bless you bro

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 5 месяцев назад

    Yani mm nimsumbue mama aangu kwaajili ya Mali aliye dadili ya kumuonge Mali huyu aliyenizaa na kunilea? Tumezoa dalii zamwisho WA Dunia kusoma kwenye vitabu sio laivu jamani masikio yangu Hilo yameshindwa kuelewa kaa!

  • @monikamasasi7582
    @monikamasasi7582 5 месяцев назад

    Ila makonda Mungu akubariki Sana

  • @TajewuoMoseka
    @TajewuoMoseka 5 месяцев назад +2

    Kuna watu wenye laana Dunia hii mama Yako unamtesa kiasi hiki

  • @mamaafrica399
    @mamaafrica399 5 месяцев назад +3

    Huyo mtoto mshenzi Sana anasumbu Bibi juu ya jasho lake! Ata aki na bahati huyo msichana akili mbovu! Ajui wasichana sio lazima wapewe Mali! Ebu aende alatafute Mme wake achane na mama hiyo kabisa!

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 5 месяцев назад

    Mh najikuta nalia jmn 😭😭 huyo mtt atakuwa chz jmn mama yako kweli? Unataka mali za baba ako kaona kahangaika huko kufanya umalaya kaona anazeeka anaanza kudai mali z bibi wa watu"!# hao mahakim kwann wasimtie ndan huyo chz? Mm nasema kuna familia zina ogopana" lait huyo dada angekuwa ndugu yetu ss kwenye familia yetu anamsumbua mama etu tungeshamuua" ss familia yetu haitak ujinga haki y Mungu mtu mmoja usumbue watu

  • @davidcyrus4115
    @davidcyrus4115 4 месяца назад

    Moyo wa mama yako mzazi unauacha unaumia hivi hii laana itakuandama mpaka kaburini walahii...🥹🥹🥹🥹🙌🏿💔

  • @BahatiKasembe-bw9hd
    @BahatiKasembe-bw9hd 4 месяца назад

    Pole mamy,,wazaz tunazaaa na nyoka

  • @machimushukran3742
    @machimushukran3742 4 месяца назад

    Wewe ni mzalendo wa kweli mungu atakulipa

  • @rebecamemu9899
    @rebecamemu9899 3 месяца назад

    Miez Tisa kahangaika k leba ndo mwisho kakulea hujaungua moto Leo anatoa machoz laana ya milele😂😂😂

  • @HassanBambaza
    @HassanBambaza 5 месяцев назад

    Mama ana kiswahili kimeenyooka vizur sana mung atakusaidia

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 месяцев назад

    Lakini mama kwa nn uclilaani hilo mbwa?? Nyoosha mikono juu umlilie Mungu.

  • @MzeeMwadini
    @MzeeMwadini 4 месяца назад

    Kama kweli URITHI yupo sahihi mama kaweni Sawa

  • @z-1il
    @z-1il 3 месяца назад

    Ameen yaraab 🤲🏾

  • @SmilingBuoy-kb1yn
    @SmilingBuoy-kb1yn 5 месяцев назад +1

    Watoto wa siku hizi ndivyo walivyo tunawaona wengi mbona dunia imeisha wazazi wengi wanahangaika na watoto

  • @ndettothejuice3094
    @ndettothejuice3094 4 месяца назад

    Why can't he work for his own properties?shame on him.tell him to be ready for sufferings without end.he will look for her mother for forgiveness but she will be no where.ajitayarishe kwa mateso,hii machinzi ya huyu bibi haitapotea mbure.i may not be understanding every word here but surely am saddened.what is this?

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa 3 месяца назад

    Mwanaume mzimaaa. Bwegee ww huna faida ya kuwepo dunian

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 5 месяцев назад

    Mungu anakazi,siio, mchezo

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 месяцев назад

    Pole mama😢😢😢nimejawa na uchungu.eemungu mama mzazi kweli😢😢

  • @mariakisinza
    @mariakisinza 4 месяца назад

    So laana tu huyo mungu amufundishe adabu

  • @DukaDanga
    @DukaDanga 3 месяца назад

    Sisi wengine tumefiwa na wazazi wote tukiwa wadogo tunamtamani mama kama ivi ata awe kichaa lakini wapii

  • @MariamThomas-bg4rc
    @MariamThomas-bg4rc 2 месяца назад

    Huyo dada laana itamtafuna mama kalia kwa uchungu😢😢😢

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 5 месяцев назад +1

    Ama kweli nimelia

  • @AsiaAlly-t7z
    @AsiaAlly-t7z 4 месяца назад

    Huyo jamaa shoga nini!! Kama mwanaume si atafute vya kwake 😮

  • @giftmed1a332
    @giftmed1a332 2 месяца назад

    Ivi mikoa mingine hakuna matatazo kabisa,mbona wakuu wengne wamejifungia tu maofisini kimya au Tz mkuu wa mkoa ni makonda tu?

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 5 месяцев назад

    Makonda alikuwa analia mwenyewe jmn Tz kwetu watu wanaonewa sana

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 4 месяца назад

    Kuzaa si kupata mtoto shetani anamliza mzazi wake atakuwa na laana,maisha yake yote

  • @idayagicheha
    @idayagicheha 4 месяца назад

    Mbarikiwe mnaposhugulika

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 5 месяцев назад

    Makonda alindwe sana manawengine hawataki ukweli Jmn

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 4 месяца назад

    Mungu linda makonda musidishie miaka

  • @hildaminja5148
    @hildaminja5148 4 месяца назад

    Watoto tuliozaliwa jamani tusiwaumize wazazi wetu uuuuwiiii. Hizo mali ameshasema za baba yake kwani si atafute za kwake? Huyo mtoto apatiwe msaada wa kisaikolojia ni muathirika katika afya ya akili hakuna namna nyingine. Anatafuta laana huyo

  • @GraceMoshi-yb3pw
    @GraceMoshi-yb3pw 4 месяца назад +1

    TUSOME SANA MAANDIKO MATAKATIFU.ILA vIJANA WENGI HAWAYASOMI.

  • @mwatummselem2411
    @mwatummselem2411 4 месяца назад

    Pole sana makonda

  • @MamboleoPeter
    @MamboleoPeter 4 месяца назад

    Hapo nimeshaona laana kabisaa

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 5 месяцев назад

    Uuwii!!!!! Watoto wanajua kutafuta laana kwa lazimae!!! Jamani!!!. MUNGU mtetee huyu bibi😭😭😭😭😭😭😭!!!!!!.

    • @halimaoman8726
      @halimaoman8726 5 месяцев назад +1

      Sana kuitafuta laana ya mali alfu ww ni mtoto wa kiume tafuta yako jamani unamliza mma yako kweli

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 месяцев назад

    Km limeoa hapo litakuwa linadanganywa na wakwe,huyo mbwa hilo akaolewe huko kwani c linataka mali? Likaolewe limiliki.

  • @HalimaOmari-x8e
    @HalimaOmari-x8e 5 месяцев назад

    Pia tuna kushukuru rahis wetu Samia kwa kumteua makonda ili ashike Ile nafasi ya magufuli

  • @RashidRamadhani-b5o
    @RashidRamadhani-b5o 5 месяцев назад +1

    Watoto wa kuua ndo kama hawa sasa unamuhangaisha bimkubwa wote huyo ndo nini

  • @cristinajeremiah2450
    @cristinajeremiah2450 5 месяцев назад +1

    Mtoto laana hiyo , mama msamehe mwanao imaana halijui atendalo

  • @ShabanRashidi-n6l
    @ShabanRashidi-n6l 4 месяца назад

    Mpaka nimetoa machoz daaaah dunian hapa dampo la mambo machafu kwa kwel

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 5 месяцев назад +6

    Hadi nimetokwa machozi

  • @godfreyfrancis8479
    @godfreyfrancis8479 5 месяцев назад

    Chatanda uko wapi sasa

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 5 месяцев назад

    Duh! Hatari sana hii! Hivi Kuna watu hawana akili kumbe! Duh ! Kesi ngumu hizi wewe mwanaume ni mpumbavu sanaaaaaa! Duh !