Mlioshrik kumuumiz hyu mToto malipo yke hapahpa dunian mama mwachie mungu ashuulike nao na makonda unakit chako mbiguni hata ukifa utakua msaidiz wa maraika mbigun mungu akubarik sana paul makonda
Eti angekuwa MAKONDA wa kesho ,makofi kwa Makonda wetu🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃Asante MUNGU ametuletea raisi mwema Tena hudumu Baba jembe letu lijalo kwa mwaka kesho👏👏👏
Hongera mno Muenezi wetu kwa kazi kubwa zaidi na Moyo wako wa huruma na Upendo kwa wananchi hakika ulistahili na unastahili,chapa kazi na sisi tupo pamoja nawe Daima.
Kweri inauma sana kazi ya uongozi inahitaji wenye hofu na mungu kwakweri hii haipendezi kabisa kiongozi nimmoja anaeweza saidia Raisi kweri wote jitoleeni
Asante wote mliotoa, Mungu awarudidhie mara dufu. Pia mama mtoto tumia hiyo pesa kwa uangalifu ,ukijigeuza mkopeshaji utalia. Simama Imara mwombe Mungu akusaidie,watanzania tuna kuombea heri.
Asante sana Mtumishi wa Mungu. Unafanyakazi ya Mungu iliyotukuka kwelikweli. Maadui zako wakawe maadui wa Mungu. Mungu akulinde, akutunze na akupe maisha marefu ya amani na uraha Katika Jina Kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Amina.
MH MAKONDA WEWE NI KWELI UNAFANYA KAZI YA MUNGU NA MUNGU AKUZIDISHIE HAZINA YAKO HAPA DUNIANI HADI MBINGUNI NA RAIS WETU MAMA WETU SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AMPE NGUVU AENDELEE KUWA NA HEKIMA., BUSALA NA UPENDO HIVYO HIVYO BADO TUNAMPENA SANA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA TUNAMUOMBEA MUNGU AMZIDISHIE HAZINA YAKE HAPA DUNIANI HADI MBINGUNI AHSANTE SANA
Makonda ukawe YOSHUA ukalivushe taifa hili Mwenyenzi MUNGU akujalie, ukasimamie haki siku zote, usitazame huku na huku wala nyuma songa mbele Mungu akawe mtendaji mkuu kwako
Makonda umepewa kazi ngumu na nzito. Kila unalokutana nalo unaweza bora ya lile. Duuu, mhe. Mungu akutunze na kukusaidia sana, Mungu amtunze mama samia
Wale wanasheria shahada zao ni feki huwezi kuwa mwanasheria na unasimama nyuma ya wahalifu tena wauwaji? Hiyo ni elimu gani ? Tanzania nanyi muna matapeli eti ni wanasheria.
Kwa kweli binadamu siyo malaika. Kuna mambo mengine ambayo ni magumu sana kwa binadamu na hawajui waende wapi maana kila anapkwenda anakwama au kuliowa kidogo tu ambacho hakikingani au kukosa kabisa. Lakini huyu makonda hata akikisea anatakiwa asahishwe lakini misaada anayitoa kwa wanyonge inasaidia sana. Mungu azidi kukuinfiza Makonda.
Kilanikimuona makonda na muona JPM mtupu makonda nipokwenye maombi yangu na mungu wangu kuombea ujekua rais wa taifahili la Tanzania makonda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤. ❤❤❤❤❤❤❤❤
Amina baba mungu akulinde makonda wewe ni future president of afica ❤❤❤
Mungu akuzidichie ekima katika maisha yako yote
Mungu atakutetea dada yote yatapita
Mlioshrik kumuumiz hyu mToto malipo yke hapahpa dunian mama mwachie mungu ashuulike nao na makonda unakit chako mbiguni hata ukifa utakua msaidiz wa maraika mbigun mungu akubarik sana paul makonda
Eti angekuwa MAKONDA wa kesho ,makofi kwa Makonda wetu🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃Asante MUNGU ametuletea raisi mwema Tena hudumu Baba jembe letu lijalo kwa mwaka kesho👏👏👏
Huyu mama ni kweli uwa anakuja kriniki muhimbili na mtoto mzuri kweli ila washamuaribia watu wabaya
Huo ndouongozi bora brother makonda mungu akueke saidien wanyonge mtalipw namungu
Brooo samahani naeza pata namba ya uyu mom me nipo teali kumlipia bima nimeumia sana mpka nimetoa machozi
Mungu atakulipa kaka😢
Nimelia jaman hii dunia kwel 😢😢😢
@@PatriciaMwantemaninimejikuta machozi yanatoka machungu moyoni Dunia hii inamambo ya ajabu sn,,
Unafanya kazi nzuri mheshimiwa barikiwa sana
Ukisikia kazini kuna kazi huku kuna kazi kwakweli,,,Mh.Makonda MUNGU azidi kukutunza unatutetea wanyonge Ubarikiwe mno mno❤❤❤
Mungu akupe maisha mrefu Makonda kiongozi mwema.Asante kwa kufichua matendo mema ya MAMA YETU SAMIA
Hongera mno Muenezi wetu kwa kazi kubwa zaidi na Moyo wako wa huruma na Upendo kwa wananchi hakika ulistahili na unastahili,chapa kazi na sisi tupo pamoja nawe Daima.
Kweri inauma sana kazi ya uongozi inahitaji wenye hofu na mungu kwakweri hii haipendezi kabisa kiongozi nimmoja anaeweza saidia Raisi kweri wote jitoleeni
Asante wote mliotoa, Mungu awarudidhie mara dufu. Pia mama mtoto tumia hiyo pesa kwa uangalifu ,ukijigeuza mkopeshaji utalia. Simama Imara mwombe Mungu akusaidie,watanzania tuna kuombea heri.
Pia asiingie kwenye mambo ya vicoba
Tembea uone jmn Dunia hii sio mbaya ila walimwengu duh htr 😢😢Pole mama malipo hapa hapa
Asante sana Mtumishi wa Mungu. Unafanyakazi ya Mungu iliyotukuka kwelikweli. Maadui zako wakawe maadui wa Mungu. Mungu akulinde, akutunze na akupe maisha marefu ya amani na uraha Katika Jina Kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Amina.
Asante waongozi Mungu awape heli
Makonda mwenyezi mungu akupe maisha marefu. Huyu baba ana moyo wa kusaidia sana . Utadhani Magufuli.
Pole sana dada Mungu akusaidie usisahau kumweleza Mungu shida zko zte
Kaka kazi nzuri sana,mungu awe nawe daima.
From Burundi...nimeumia sna Ila Mungu yipo Mungu akupe maicha malefu Makonde
🙏🙏🙏🙏 makonda unapitia majaribu magumu lakin mungu atakusimamia ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Sheria za mahakama zetu Tanzania mbona Azieleweki kasi kama hiyo mtu Alipwe milioni 2 kesi kumalizika mungu Akubariki mama na kiongozi makonda ❤
Rushwa wameona ndio sehem ya maisha! Umeumizwa unaenda kushitaki akiwapa chochote utazungushwa hadi ukome
Pole sana
Mungu akulinde makonda Unafanya matendo ya Mitume ila Itapendeza sana ukiwa muislam wewe na iman ulionayo peponi moja kwa moja
Hahahah ila amechagua ukristo lakin
Nakuombea uende kwa Kristo ndugu... kuna amani tele,ukweli wa maisha, upendo kwa wenzako.. toka huko
Makonda msaidie huyo mama utapata fungu kubwa kwa mungu na pia pole kwa kazi kungu unayo fanya mungu akulinde
Makonda Asante nakujitoa kwakusaindia watu masikini hongera
Ahsante mungu kwa kunipa familia yenye upendo,pole
Mungu akupe Mwisho Mwema makonda una kiti chaji mbinguni na mungu akuweke sana
Asante mungu tunamuona magu ndani ya makonda
Dah pole sana mama mtt anaumwa jamniii
Mungu atawalipia kwa waliyomfanyia mwanao
Mwamin Mungu tyuu
Kweri tumemupata mudogo wake makufiri jamani wana nchi mungu ametujaria tena mungu amurinde huyu baba 🙏🙏
Mungu ni mwema
Nawashangaa mnaombeza makonda makonda mungu akupe maisha marefu
Makonda Allah akuweke zaidi
Aise pole sana ,dada yangu mungu atakusaidia,malipo ni hapa hapa duniani,pole sana dada yangu
Mr,p,makonda, katibu, uenezi,ccm,taifa,namuomba, m/mungu ,akuongoze utekeleze majukumuyako ,kwa amaninasalama
MH MAKONDA WEWE NI KWELI UNAFANYA KAZI YA MUNGU NA MUNGU AKUZIDISHIE HAZINA YAKO HAPA DUNIANI HADI MBINGUNI
NA RAIS WETU MAMA WETU SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AMPE NGUVU AENDELEE KUWA NA HEKIMA., BUSALA NA UPENDO HIVYO HIVYO BADO TUNAMPENA SANA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA TUNAMUOMBEA MUNGU AMZIDISHIE HAZINA YAKE HAPA DUNIANI HADI MBINGUNI
AHSANTE SANA
Mmhhjaman.pole.dada.munguyupamoja.nawee❤❤❤❤❤❤
Daa inaumiza kwakweli Mungu akulinde na kukupgnia ktk utendaj kaz wako baba
Mungu akufanyie wepes mama pia makonda msaidie huyu mama mungu atakulipa kwa njia nyingine❤❤
huyu makonda huku ,mungu akupe maisha marefu Sana uendeleè kuwaokoa wananchi ,nakuombea sana mungu akupe ulizi wakutosha kutoka kwake sio kwa wanadamu
Mungu akutie nguvu dadaangu❤❤❤❤❤
Daaaah 😭💔 Allah tuongoze sisi waja wako tunapoelekea hatujuw ila inauma sana 😢😢
Mungu akulinde sana Makonda unakitu cha Mungu ndani yako
Ubarikiwe mheshimiwa Paul Makonda kusaidia wanyonge
Huo ndiyo upendo wa kweli, Mungu akubariki xn
God bless Tanzania leaders,,,hope Kenya wangekua kama hao leaders wanawapaa wananchi haki zao
Hakika makonda taifa linakutegemea pamoja na mama yetu mungu awape maisha marefu
Makonda Mungu asiye lala usiku wala mchana Mungu akutunze Raisi wetu wa baadaye
Unapokua mzma unapumua na huna shda yeyote mshukuru mungu sanaaaaa
Nimelia jamani kweli haki imepotea na binadamu tumekua na roho mbaya sana
Mungu atakusimamia naatawaazibu pole sana mama 7:36
Makonda ukawe YOSHUA ukalivushe taifa hili Mwenyenzi MUNGU akujalie, ukasimamie haki siku zote, usitazame huku na huku wala nyuma songa mbele Mungu akawe mtendaji mkuu kwako
Makonda umepewa kazi ngumu na nzito. Kila unalokutana nalo unaweza bora ya lile. Duuu, mhe. Mungu akutunze na kukusaidia sana, Mungu amtunze mama samia
Mungu akubariki kaka yetu Makonda, uishi miaka mingi.
Duh! Mpaka nimelia ila zaidi nakushukuru sana makonda. MUNGU azid kukuinua
Ila makonda mungu akupe maisha marefu sana unawasaidia wanyonge
Wale wanasheria shahada zao ni feki huwezi kuwa mwanasheria na unasimama nyuma ya wahalifu tena wauwaji? Hiyo ni elimu gani ? Tanzania nanyi muna matapeli eti ni wanasheria.
Mweshimiwa munguakupe uzima akulinde utokapo,nauingiapo ameni
Makonda mungu akulinde pia na mama samia adi nimeria jamni mmmh
Ee mungu wetu ulie mema na huruma tunakuomba umtangulie malaika huyu ulie teuwa kutatua shida za wanyonge nasii mwingine Bali Paulo makonda❤
Kusema kweli ninampenda sana ,makonda saidia wangonge hatuna cha kukulipa ila mungu atakulipa,asante
Makonda wewe ni wa mungu❤❤❤❤❤
Kwa kweli binadamu siyo malaika. Kuna mambo mengine ambayo ni magumu sana kwa binadamu na hawajui waende wapi maana kila anapkwenda anakwama au kuliowa kidogo tu ambacho hakikingani au kukosa kabisa. Lakini huyu makonda hata akikisea anatakiwa asahishwe lakini misaada anayitoa kwa wanyonge inasaidia sana. Mungu azidi kukuinfiza Makonda.
Mimi nina swali jamani😢😢😢 hiv😮 Hawa watoto wanaoumizwa iv jamani watapona kwa izo biashara ,pesa😢😢😢😢😢
Sidhani kama kweli kwenye moto wa mungu tutatosha kweli kwa haya tunayo ya fanya kwenye dunia yake😢😢😢
hahahaha tunakaz
mungu akubariki baba na mtoto apone uyo
Naona ile roho ya baba yetu Magu ipo ndani yako brother umekuja kwa wakati muafaka kaka naomba Mungu akulinde siku zote
NIMELIA KWA UCHUNGU SANA WANYONGWE JAMANI HAO WANAO BAKA TOENI HUKUMU YA KUNYONGA
Mungu wanguuu!pole sana mungu amponye
Mungu amsimamie sana mtoto huyo na imani kuwa atakuwa imara zaidi ya alivokuwa
Mungu akulinde Sanaa makonda
Baba tusaidie na mungu atakupa Zaid mtetez Wawa nyongee
Pole sana mungu upo
Ingekuwa ni mimi ningeua kuanzia mama na hao vijana wote
Yaani inauma sana mtoto anatia huruma inaliza 😭😭😭
@@fatmachikambo8780yaani wanaharibu mtoto wa mwenzao jamani waeza uwa 😢
Ningeenda kununua uchawi malawi😢😢😢😢😢😢
Pole Sana mamaangu mungu akutienguvu
Pole sana mama sisi site roho zinauma pole
Sawa makonda mungu akurinde
mungu mkumbuke makonda
Pole sana mama mungu akufanyie wepes
Mungu akuhifadhi sana
Mungu akulinde makond kuwaangalia maskini
Inaumaaa jamanii pole mungu amfinyange kwa upya❤
Inaumaaaaaa Inaumaaaa eeeh Mungu tusaidie
Daaaa makonda mungu akulinde
Mungu atashughulika na nyinyi mlio mfanyia ukatili huyu mtoto hapa hapa duniani.
Inauma sana ,mimi kama mzazi inaniuma sana poleni sana
Mungu akusaidie tumelia kweli wenye roho ndogo
Duuh maskini kumbe baada ya mzee wetu Magufuli watu wana shida san na hawana pakusemea
Kabisa,
Mungu akutunze makonda❤❤
Makonda you're the future Prizida
Mungu atatenda kwa yule aliye mfanyia ukatili uyo mtoto
Makonda Mungu akuweke miaka mingi hakika u mtetezi wa wanyonge
Ee mungu msaidie huyu mtoto apone had machonzi yamenitoka kwa huruma ee mungu wa mbinguni msaidie inauma jaman
mungu akuweke manisha marefu makonda
Ee mwenyezi mungu utpe zaidi viongozi wa aina hii
kweli mfumo umekufa kabisa , huyo ni mmoja kunawatu wanateseka kweli. Sijui mtachangia wangapi
Makonda ww nikula za ndio yani tuombe maisha malefu hapa duniani
Ple sna dd.mungu ypo p1 nawe
Mungu yup na atatenda, pole mama
Jamani Mh.Makonda amefanya kitu kuzuri nmetokwa na machoz ya furaha na uchungu pia Kwa wakati Mmoja
Kilanikimuona makonda na muona JPM mtupu makonda nipokwenye maombi yangu na mungu wangu kuombea ujekua rais wa taifahili la Tanzania makonda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤. ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mh. Emdelea hivihivi sisi wananchi tusiona wakubwa wa kututetea tu, ndo tunaokuhitaji
Namuona makonda kama magufuri,jamani nimelia sana mung ampe wepesi jaman
Daaah aisee nmeumia sana dunia hii haina huruma Mungu muhukumu hpa hpa dunian huyo mkatili
Makonda utoaji mzuri xafi xn