Kama una ROHO NDOGO usiangalie ITAKULIZA, alichofanyiwa mtoto huyu, MAKONDA achangisha mamilioni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 262

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 7 месяцев назад +14

    Amina baba mungu akulinde makonda wewe ni future president of afica ❤❤❤

    • @DaimaYusufu
      @DaimaYusufu 7 месяцев назад

      Mungu akuzidichie ekima katika maisha yako yote

    • @MariaIsaya-y2y
      @MariaIsaya-y2y 4 месяца назад

      Mungu atakutetea dada yote yatapita

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny 7 месяцев назад +7

    Mlioshrik kumuumiz hyu mToto malipo yke hapahpa dunian mama mwachie mungu ashuulike nao na makonda unakit chako mbiguni hata ukifa utakua msaidiz wa maraika mbigun mungu akubarik sana paul makonda

  • @Teaching356
    @Teaching356 7 месяцев назад +2

    Eti angekuwa MAKONDA wa kesho ,makofi kwa Makonda wetu🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃Asante MUNGU ametuletea raisi mwema Tena hudumu Baba jembe letu lijalo kwa mwaka kesho👏👏👏

  • @saidimketo6708
    @saidimketo6708 7 месяцев назад +7

    Huyu mama ni kweli uwa anakuja kriniki muhimbili na mtoto mzuri kweli ila washamuaribia watu wabaya

  • @FadgaMole-cp8zs
    @FadgaMole-cp8zs 7 месяцев назад +3

    Huo ndouongozi bora brother makonda mungu akueke saidien wanyonge mtalipw namungu

  • @MohamedNasrah-uo4uk
    @MohamedNasrah-uo4uk 7 месяцев назад +17

    Brooo samahani naeza pata namba ya uyu mom me nipo teali kumlipia bima nimeumia sana mpka nimetoa machozi

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 7 месяцев назад

      Mungu atakulipa kaka😢

    • @PatriciaMwantemani
      @PatriciaMwantemani 7 месяцев назад

      Nimelia jaman hii dunia kwel 😢😢😢

    • @avernegervas5839
      @avernegervas5839 3 месяца назад

      ​@@PatriciaMwantemaninimejikuta machozi yanatoka machungu moyoni Dunia hii inamambo ya ajabu sn,,

  • @devothandesi9001
    @devothandesi9001 6 месяцев назад +2

    Unafanya kazi nzuri mheshimiwa barikiwa sana

  • @RachelNgalya
    @RachelNgalya 3 месяца назад

    Ukisikia kazini kuna kazi huku kuna kazi kwakweli,,,Mh.Makonda MUNGU azidi kukutunza unatutetea wanyonge Ubarikiwe mno mno❤❤❤

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe5800 7 месяцев назад +2

    Mungu akupe maisha mrefu Makonda kiongozi mwema.Asante kwa kufichua matendo mema ya MAMA YETU SAMIA

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwa 7 месяцев назад +1

    Hongera mno Muenezi wetu kwa kazi kubwa zaidi na Moyo wako wa huruma na Upendo kwa wananchi hakika ulistahili na unastahili,chapa kazi na sisi tupo pamoja nawe Daima.

  • @allyflavour8005
    @allyflavour8005 7 месяцев назад +3

    Kweri inauma sana kazi ya uongozi inahitaji wenye hofu na mungu kwakweri hii haipendezi kabisa kiongozi nimmoja anaeweza saidia Raisi kweri wote jitoleeni

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 7 месяцев назад +2

    Asante wote mliotoa, Mungu awarudidhie mara dufu. Pia mama mtoto tumia hiyo pesa kwa uangalifu ,ukijigeuza mkopeshaji utalia. Simama Imara mwombe Mungu akusaidie,watanzania tuna kuombea heri.

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 7 месяцев назад +8

    Tembea uone jmn Dunia hii sio mbaya ila walimwengu duh htr 😢😢Pole mama malipo hapa hapa

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 7 месяцев назад

    Asante sana Mtumishi wa Mungu. Unafanyakazi ya Mungu iliyotukuka kwelikweli. Maadui zako wakawe maadui wa Mungu. Mungu akulinde, akutunze na akupe maisha marefu ya amani na uraha Katika Jina Kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Amina.

  • @MamithaUmutoni
    @MamithaUmutoni 7 месяцев назад +2

    Asante waongozi Mungu awape heli

  • @AtanaweMbawe
    @AtanaweMbawe 5 месяцев назад

    Makonda mwenyezi mungu akupe maisha marefu. Huyu baba ana moyo wa kusaidia sana . Utadhani Magufuli.

  • @DanielAmidu-bk6vo
    @DanielAmidu-bk6vo 6 месяцев назад +1

    Pole sana dada Mungu akusaidie usisahau kumweleza Mungu shida zko zte

  • @WilsonDamian-b3v
    @WilsonDamian-b3v 7 месяцев назад +1

    Kaka kazi nzuri sana,mungu awe nawe daima.

  • @NduwayoAline-c9w
    @NduwayoAline-c9w 4 месяца назад

    From Burundi...nimeumia sna Ila Mungu yipo Mungu akupe maicha malefu Makonde

  • @sophiayBakali
    @sophiayBakali 7 месяцев назад +2

    🙏🙏🙏🙏 makonda unapitia majaribu magumu lakin mungu atakusimamia ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 7 месяцев назад +3

    Sheria za mahakama zetu Tanzania mbona Azieleweki kasi kama hiyo mtu Alipwe milioni 2 kesi kumalizika mungu Akubariki mama na kiongozi makonda ❤

    • @asifamwenga210
      @asifamwenga210 7 месяцев назад

      Rushwa wameona ndio sehem ya maisha! Umeumizwa unaenda kushitaki akiwapa chochote utazungushwa hadi ukome

  • @PrasdiusMwelinde
    @PrasdiusMwelinde 5 месяцев назад +1

    Pole sana

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 7 месяцев назад +1

    Mungu akulinde makonda Unafanya matendo ya Mitume ila Itapendeza sana ukiwa muislam wewe na iman ulionayo peponi moja kwa moja

    • @nassibu-hy5ny
      @nassibu-hy5ny 7 месяцев назад

      Hahahah ila amechagua ukristo lakin

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 месяцев назад

      Nakuombea uende kwa Kristo ndugu... kuna amani tele,ukweli wa maisha, upendo kwa wenzako.. toka huko

  • @OmanOman-hz1qm
    @OmanOman-hz1qm 3 месяца назад

    Makonda msaidie huyo mama utapata fungu kubwa kwa mungu na pia pole kwa kazi kungu unayo fanya mungu akulinde

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 4 месяца назад

    Makonda Asante nakujitoa kwakusaindia watu masikini hongera

  • @twaibamtenya5522
    @twaibamtenya5522 2 месяца назад

    Ahsante mungu kwa kunipa familia yenye upendo,pole

  • @FadhilFadhil-zr1xs
    @FadhilFadhil-zr1xs 3 месяца назад

    Mungu akupe Mwisho Mwema makonda una kiti chaji mbinguni na mungu akuweke sana

  • @AshuraAmani
    @AshuraAmani 2 месяца назад

    Asante mungu tunamuona magu ndani ya makonda

  • @dorcasmruma9001
    @dorcasmruma9001 7 месяцев назад

    Dah pole sana mama mtt anaumwa jamniii
    Mungu atawalipia kwa waliyomfanyia mwanao
    Mwamin Mungu tyuu

  • @LuciaKambona-m8l
    @LuciaKambona-m8l 7 месяцев назад +1

    Kweri tumemupata mudogo wake makufiri jamani wana nchi mungu ametujaria tena mungu amurinde huyu baba 🙏🙏

  • @BonifaceMwakasumi
    @BonifaceMwakasumi 7 месяцев назад +3

    Nawashangaa mnaombeza makonda makonda mungu akupe maisha marefu

    • @HidayaWilley
      @HidayaWilley 7 месяцев назад

      Makonda Allah akuweke zaidi

  • @ZATIUNISaidi
    @ZATIUNISaidi 4 месяца назад

    Aise pole sana ,dada yangu mungu atakusaidia,malipo ni hapa hapa duniani,pole sana dada yangu

  • @KudraPondamali
    @KudraPondamali 6 месяцев назад

    Mr,p,makonda, katibu, uenezi,ccm,taifa,namuomba, m/mungu ,akuongoze utekeleze majukumuyako ,kwa amaninasalama

    • @leonardkidole6005
      @leonardkidole6005 6 месяцев назад

      MH MAKONDA WEWE NI KWELI UNAFANYA KAZI YA MUNGU NA MUNGU AKUZIDISHIE HAZINA YAKO HAPA DUNIANI HADI MBINGUNI
      NA RAIS WETU MAMA WETU SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AMPE NGUVU AENDELEE KUWA NA HEKIMA., BUSALA NA UPENDO HIVYO HIVYO BADO TUNAMPENA SANA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA TUNAMUOMBEA MUNGU AMZIDISHIE HAZINA YAKE HAPA DUNIANI HADI MBINGUNI
      AHSANTE SANA

  • @SaumuMndeme-fb9fu
    @SaumuMndeme-fb9fu 4 месяца назад

    Mmhhjaman.pole.dada.munguyupamoja.nawee❤❤❤❤❤❤

  • @DanielAmidu-bk6vo
    @DanielAmidu-bk6vo 6 месяцев назад

    Daa inaumiza kwakweli Mungu akulinde na kukupgnia ktk utendaj kaz wako baba

  • @MariamjuliasMariamjulias
    @MariamjuliasMariamjulias 3 месяца назад

    Mungu akufanyie wepes mama pia makonda msaidie huyu mama mungu atakulipa kwa njia nyingine❤❤

  • @Hadija-o5b
    @Hadija-o5b 3 месяца назад

    huyu makonda huku ,mungu akupe maisha marefu Sana uendeleè kuwaokoa wananchi ,nakuombea sana mungu akupe ulizi wakutosha kutoka kwake sio kwa wanadamu

  • @MariamjuliasMariamjulias
    @MariamjuliasMariamjulias 3 месяца назад

    Mungu akutie nguvu dadaangu❤❤❤❤❤

  • @MariamMmary-yn9nu
    @MariamMmary-yn9nu 3 месяца назад

    Daaaah 😭💔 Allah tuongoze sisi waja wako tunapoelekea hatujuw ila inauma sana 😢😢

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga4350 3 месяца назад

    Mungu akulinde sana Makonda unakitu cha Mungu ndani yako

  • @rhodalissu6953
    @rhodalissu6953 7 месяцев назад

    Ubarikiwe mheshimiwa Paul Makonda kusaidia wanyonge

  • @Japhetmrema-e5n
    @Japhetmrema-e5n 5 месяцев назад

    Huo ndiyo upendo wa kweli, Mungu akubariki xn

  • @NewtonMugango
    @NewtonMugango 7 месяцев назад

    God bless Tanzania leaders,,,hope Kenya wangekua kama hao leaders wanawapaa wananchi haki zao

  • @GreceAdoroph
    @GreceAdoroph 6 месяцев назад

    Hakika makonda taifa linakutegemea pamoja na mama yetu mungu awape maisha marefu

  • @happymcharo9059
    @happymcharo9059 5 месяцев назад

    Makonda Mungu asiye lala usiku wala mchana Mungu akutunze Raisi wetu wa baadaye

  • @DanielKasanda-r2w
    @DanielKasanda-r2w 7 месяцев назад +5

    Unapokua mzma unapumua na huna shda yeyote mshukuru mungu sanaaaaa

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 7 месяцев назад +2

    Nimelia jamani kweli haki imepotea na binadamu tumekua na roho mbaya sana

  • @NzingoAthumani
    @NzingoAthumani 6 месяцев назад +1

    Mungu atakusimamia naatawaazibu pole sana mama 7:36

  • @SimonIgelele
    @SimonIgelele 7 месяцев назад

    Makonda ukawe YOSHUA ukalivushe taifa hili Mwenyenzi MUNGU akujalie, ukasimamie haki siku zote, usitazame huku na huku wala nyuma songa mbele Mungu akawe mtendaji mkuu kwako

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz 7 месяцев назад +1

    Makonda umepewa kazi ngumu na nzito. Kila unalokutana nalo unaweza bora ya lile. Duuu, mhe. Mungu akutunze na kukusaidia sana, Mungu amtunze mama samia

  • @EdithaErro-cb8fp
    @EdithaErro-cb8fp 7 месяцев назад

    Mungu akubariki kaka yetu Makonda, uishi miaka mingi.

  • @EnjooHamiss-sg3nx
    @EnjooHamiss-sg3nx 4 месяца назад

    Duh! Mpaka nimelia ila zaidi nakushukuru sana makonda. MUNGU azid kukuinua

  • @orgenisabisai919
    @orgenisabisai919 7 месяцев назад

    Ila makonda mungu akupe maisha marefu sana unawasaidia wanyonge

  • @ndabarinzesamuel9333
    @ndabarinzesamuel9333 7 месяцев назад +1

    Wale wanasheria shahada zao ni feki huwezi kuwa mwanasheria na unasimama nyuma ya wahalifu tena wauwaji? Hiyo ni elimu gani ? Tanzania nanyi muna matapeli eti ni wanasheria.

  • @lilysam-cd7qz
    @lilysam-cd7qz 6 месяцев назад

    Mweshimiwa munguakupe uzima akulinde utokapo,nauingiapo ameni

  • @TatuMasudy
    @TatuMasudy 5 месяцев назад

    Makonda mungu akulinde pia na mama samia adi nimeria jamni mmmh

  • @MussaNdoipo
    @MussaNdoipo 7 месяцев назад +1

    Ee mungu wetu ulie mema na huruma tunakuomba umtangulie malaika huyu ulie teuwa kutatua shida za wanyonge nasii mwingine Bali Paulo makonda❤

  • @ZATIUNISaidi
    @ZATIUNISaidi 4 месяца назад

    Kusema kweli ninampenda sana ,makonda saidia wangonge hatuna cha kukulipa ila mungu atakulipa,asante

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 месяцев назад +1

    Makonda wewe ni wa mungu❤❤❤❤❤

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 7 месяцев назад

    Kwa kweli binadamu siyo malaika. Kuna mambo mengine ambayo ni magumu sana kwa binadamu na hawajui waende wapi maana kila anapkwenda anakwama au kuliowa kidogo tu ambacho hakikingani au kukosa kabisa. Lakini huyu makonda hata akikisea anatakiwa asahishwe lakini misaada anayitoa kwa wanyonge inasaidia sana. Mungu azidi kukuinfiza Makonda.

  • @bernadettestone6514
    @bernadettestone6514 3 месяца назад

    Mimi nina swali jamani😢😢😢 hiv😮 Hawa watoto wanaoumizwa iv jamani watapona kwa izo biashara ,pesa😢😢😢😢😢

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 7 месяцев назад +5

    Sidhani kama kweli kwenye moto wa mungu tutatosha kweli kwa haya tunayo ya fanya kwenye dunia yake😢😢😢

  • @SubiraMwashilindi-b1m
    @SubiraMwashilindi-b1m 2 месяца назад

    mungu akubariki baba na mtoto apone uyo

  • @CharlesTarimo-db6li
    @CharlesTarimo-db6li 7 месяцев назад

    Naona ile roho ya baba yetu Magu ipo ndani yako brother umekuja kwa wakati muafaka kaka naomba Mungu akulinde siku zote

  • @abiyafocus6992
    @abiyafocus6992 7 месяцев назад +1

    NIMELIA KWA UCHUNGU SANA WANYONGWE JAMANI HAO WANAO BAKA TOENI HUKUMU YA KUNYONGA

  • @tinaassa6435
    @tinaassa6435 6 месяцев назад

    Mungu wanguuu!pole sana mungu amponye

  • @rosemarympinge4127
    @rosemarympinge4127 7 месяцев назад

    Mungu amsimamie sana mtoto huyo na imani kuwa atakuwa imara zaidi ya alivokuwa

  • @AshaRamadhani-r2o
    @AshaRamadhani-r2o 4 месяца назад

    Mungu akulinde Sanaa makonda

  • @AshaRamadhani-r2o
    @AshaRamadhani-r2o 4 месяца назад

    Baba tusaidie na mungu atakupa Zaid mtetez Wawa nyongee

  • @EdwardGitari-qi8be
    @EdwardGitari-qi8be 3 месяца назад

    Pole sana mungu upo

  • @clemencelisonga8261
    @clemencelisonga8261 7 месяцев назад +3

    Ingekuwa ni mimi ningeua kuanzia mama na hao vijana wote

    • @fatmachikambo8780
      @fatmachikambo8780 7 месяцев назад

      Yaani inauma sana mtoto anatia huruma inaliza 😭😭😭

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 7 месяцев назад

      ​@@fatmachikambo8780yaani wanaharibu mtoto wa mwenzao jamani waeza uwa 😢

    • @tunsumemwakinyuke661
      @tunsumemwakinyuke661 7 месяцев назад

      Ningeenda kununua uchawi malawi😢😢😢😢😢😢

  • @NEEMACHISONGERA
    @NEEMACHISONGERA 6 месяцев назад

    Pole Sana mamaangu mungu akutienguvu

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 4 месяца назад

    Pole sana mama sisi site roho zinauma pole

  • @AminaFaustine
    @AminaFaustine 6 месяцев назад

    Sawa makonda mungu akurinde
    mungu mkumbuke makonda

  • @MarcoJoseph-g3f
    @MarcoJoseph-g3f 6 месяцев назад

    Pole sana mama mungu akufanyie wepes

  • @NasibuTolu06
    @NasibuTolu06 7 месяцев назад

    Mungu akuhifadhi sana

  • @annahjabu
    @annahjabu 7 месяцев назад

    Mungu akulinde makond kuwaangalia maskini

  • @tinaassa6435
    @tinaassa6435 6 месяцев назад

    Inaumaaa jamanii pole mungu amfinyange kwa upya❤

  • @jemimamakono3569
    @jemimamakono3569 5 месяцев назад

    Inaumaaaaaa Inaumaaaa eeeh Mungu tusaidie

  • @sondalasalumu5423
    @sondalasalumu5423 7 месяцев назад +1

    Daaaa makonda mungu akulinde

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 7 месяцев назад

    Mungu atashughulika na nyinyi mlio mfanyia ukatili huyu mtoto hapa hapa duniani.

  • @ZATIUNISaidi
    @ZATIUNISaidi 4 месяца назад

    Inauma sana ,mimi kama mzazi inaniuma sana poleni sana

  • @zainabmbarak1043
    @zainabmbarak1043 6 месяцев назад

    Mungu akusaidie tumelia kweli wenye roho ndogo

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 7 месяцев назад +2

    Duuh maskini kumbe baada ya mzee wetu Magufuli watu wana shida san na hawana pakusemea

  • @tinaassa6435
    @tinaassa6435 6 месяцев назад

    Mungu akutunze makonda❤❤

  • @RoseBarasa-wm2yi
    @RoseBarasa-wm2yi 7 месяцев назад

    Makonda you're the future Prizida

  • @CoreenNabassa
    @CoreenNabassa 5 месяцев назад

    Mungu atatenda kwa yule aliye mfanyia ukatili uyo mtoto

  • @Rahma-z8c
    @Rahma-z8c 7 месяцев назад

    Makonda Mungu akuweke miaka mingi hakika u mtetezi wa wanyonge

    • @abdulally514
      @abdulally514 7 месяцев назад

      Ee mungu msaidie huyu mtoto apone had machonzi yamenitoka kwa huruma ee mungu wa mbinguni msaidie inauma jaman

  • @elizabethjoseph-j8d
    @elizabethjoseph-j8d 6 месяцев назад

    mungu akuweke manisha marefu makonda

  • @rosemarympinge4127
    @rosemarympinge4127 7 месяцев назад

    Ee mwenyezi mungu utpe zaidi viongozi wa aina hii

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani 7 месяцев назад +3

    kweli mfumo umekufa kabisa , huyo ni mmoja kunawatu wanateseka kweli. Sijui mtachangia wangapi

  • @mamkunyapraa3491
    @mamkunyapraa3491 6 месяцев назад

    Makonda ww nikula za ndio yani tuombe maisha malefu hapa duniani

  • @ramadhaniiddi9930
    @ramadhaniiddi9930 7 месяцев назад

    Ple sna dd.mungu ypo p1 nawe

  • @MaryMapunda-u7q
    @MaryMapunda-u7q 7 месяцев назад

    Mungu yup na atatenda, pole mama

  • @JescahSamson
    @JescahSamson 6 месяцев назад

    Jamani Mh.Makonda amefanya kitu kuzuri nmetokwa na machoz ya furaha na uchungu pia Kwa wakati Mmoja

  • @mamkunyapraa3491
    @mamkunyapraa3491 6 месяцев назад

    Kilanikimuona makonda na muona JPM mtupu makonda nipokwenye maombi yangu na mungu wangu kuombea ujekua rais wa taifahili la Tanzania makonda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤. ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 7 месяцев назад

    Mh. Emdelea hivihivi sisi wananchi tusiona wakubwa wa kututetea tu, ndo tunaokuhitaji

  • @HelsonRuchagula
    @HelsonRuchagula 6 месяцев назад

    Namuona makonda kama magufuri,jamani nimelia sana mung ampe wepesi jaman

  • @KuruthumMsumi
    @KuruthumMsumi 7 месяцев назад

    Daaah aisee nmeumia sana dunia hii haina huruma Mungu muhukumu hpa hpa dunian huyo mkatili

  • @Japhetmrema-e5n
    @Japhetmrema-e5n 5 месяцев назад

    Makonda utoaji mzuri xafi xn