Kelvin uko vzr ktk mahojiano,unaonekana kweli umeisomea hii kazi tafauti na wengine ambao wengi ni waganga njaa.Hakuna taarifa unayoitoa ambayo mtu ataisikiliza nusu tu kwa kuidharau,Bigup bro!!Mungu akubariki sn!!
Jamani tumsamehe na tumuombee duwa asrudi tena huko ndomana mungu kaeka toba ametubu tusimuunge mkono ss ni nani nawashanga wengne wanasema bora naye engekufa tu ama akalanika ikiwa mungu amesema atamsamehe yoyote atakae muomba msamaha na kurudi kwake leo ww unamuapiza huenda hizo lana unazo muombea zkakupata ww mana kma kuibiwa ata mm ninae tuma hii sms nilishaibiwa mengi na watu kma hawa lkn mm nme msamehe huyu ndugu yangu na mungu amsimamie maisha yke yote asipate majanga na kurudi tena alipotoka tusemeni amini kwa wanao amini dini na wenye imani za kidini tusemeni amina
Kaka mwenyezi mungu ni mwingi wa rehma. Kama umenusurika na hayo yote rudi kwa mungu tubu sana fanya ibadan sana mungu atakusamehe kwa yote. Daaah ila Pole sana
Ww ni.muislam iladaa unarohombaya. Allah akuongoze.utubu kwayote hayo nauwache.mambo hayo uwemchaa mungu uswali swalatano naswalazausiku umlilie Allah akusamee
@@SifaeliMelittamwambie huyo mshamba mtumwa wa dini kila mtu anapaswa kuwa mwadilifu hata kama hana dini usidhani dini flani ndio inawatu wema njoo huku kwetu uone hao kina abdallah wanavyotoa 0713.... fala kweli
Jamani tuwaombee mno watoto wetyu na kiukwel mungu avilinde vizazi vyetu,,,mm mtoto wa dadaang alichomwa moto na kufariki kwa kosa la wizi kiukwel wote tuliumia ila mamaake mzazi alipata kichaa kwa mda.
Sasa ndugu yangu mama ndio anamtuma mtoto akaibe?au ukishajua ana michezo hiyo umuue??vijana wa sasa wakishakengeuka ni mtihani,hata mama aongee vp hawasikii,na maumivu wanayopata wazazi hakuna wa kuelezea ni Mungu tu anajua...TUZIDI KUOMBEA VIZAZI VYETU🙏
NYIE WASHEZI SANA HAMNA HURUMA MNAUA WENZENU SABABU YA TAMAA ZENU. MUNGU ANGEWAUA WOTE AU ANGEWAKATA MIKONO HIYO MNAYEULIA WENZENU. EEE MUNGU WALANI WEZI WOTE NA VIZAZI VYAO.
Unakosea sna kusema hvo mana hata manabii waliwasamehe walokosea kusu dini na mwisho wa siku ndio wamekuwa viongozi wa dini walipigania dini mpaka kufa kwao wamekufa kwa 7bu ya kiitetea dini kumbuka hao hao waliwahi kuu mfano alo muuwa hamza unajuwa yy ndio alokuwa ana peperusha bendera ya dini ya kiislam
Huyu Leo anaweza kuwa shehe mkubwa na akasimama kwenye dini ndomana ikaekwa toba Tena usimseme vbaya ametubu haijalishi kafanyann huko nyuma huyu namtabiri atakuwa kiongozi Aiza wa dini au wa jambo lolote lile lenye mafundisho na kuelimisha kwanza mpaka hapa tu amesha waelimisha watu nikiwemo mm
Mungu akulaani maisha Yako yote. Mtoto wa dada yangu mlimpeleka kumuua poli la Chanika mpaka Leo hatujaipata maiti yake. Simnge chukuwa pikpik tu? Mashetani nyie
Milango ya toba ipo wazi bado…… Inakubalika toba ya mtu yoyote ikiwa amekubali kutubu si lazima kumuomba uliomkosea maana ikiwa humjui unaongeza kutubu…
Sasa wamepata faida gani wamekufa na moto juu wamechomwa nakilakituwameeacha. Naazabu wanapewahuko kama kunawatu walowauwa au kuwatia kipema. Mtihani wanao wezi.
Kwa sehemu kubwa sana wazazi na sisi tunachangia kuachana kunsababisha kwa sehemu kubwa watoto kukosa malezi mema nao watoto huharibika sana na kujiunga na makundi hatarishi
We naye kama hivyo Mungu asingetukumbuka Kila mara anatulazimisha kutubu Hadi anatupa mapigo mazito akiona hatusikii anatupa tukio lingine na lingine Hadi kaamua kufunguka hivyo ujue kaelewa Nini baya Nini jema
Amina Allah amjaliye amfunguliye rizk nyingi sababu ameacha vitu vichafu Allah amjalie kila la shari amuepushie kila chari Amin
Kelvin uko vzr ktk mahojiano,unaonekana kweli umeisomea hii kazi tafauti na wengine ambao wengi ni waganga njaa.Hakuna taarifa unayoitoa ambayo mtu ataisikiliza nusu tu kwa kuidharau,Bigup bro!!Mungu akubariki sn!!
Jamani tumsamehe na tumuombee duwa asrudi tena huko ndomana mungu kaeka toba ametubu tusimuunge mkono ss ni nani nawashanga wengne wanasema bora naye engekufa tu ama akalanika ikiwa mungu amesema atamsamehe yoyote atakae muomba msamaha na kurudi kwake leo ww unamuapiza huenda hizo lana unazo muombea zkakupata ww mana kma kuibiwa ata mm ninae tuma hii sms nilishaibiwa mengi na watu kma hawa lkn mm nme msamehe huyu ndugu yangu na mungu amsimamie maisha yke yote asipate majanga na kurudi tena alipotoka tusemeni amini kwa wanao amini dini na wenye imani za kidini tusemeni amina
Ameen
Utaishi sana maisha mrefu kawasababu umetambua kosa lako
Mshukuru sana MUNGU anakusudi na ww hivyo kubali kubadilika ndugu Yangu
Mali za dhuruma sio nzuri . Ujui mtu kaipata kivipi na mbaya kuiba na pia kuwajerui watu. Mungu atakusimamia rudi kwa Allah
Mwandishi umehoji vitu vya msingi mno asee hongera saana
Pole sana rakn pia muombee msamaha sana mama na mwenyezi Mungu kwakweli maan ame kutoa kwenye mazito
Kaka mwenyezi mungu ni mwingi wa rehma. Kama umenusurika na hayo yote rudi kwa mungu tubu sana fanya ibadan sana mungu atakusamehe kwa yote. Daaah ila Pole sana
Mungu anakupenda Sana ludi kwa Allah utubu
Allah mwingi wa kusamehe tubu sana kijana maisha ya Dunia ni mtian sana
Longer sanakwa rehearsal ya mungu, sema alhamdulillah
Ww ni.muislam iladaa unarohombaya. Allah akuongoze.utubu kwayote hayo nauwache.mambo hayo uwemchaa mungu uswali swalatano naswalazausiku umlilie Allah akusamee
Waislam roho mbaya wanazaliwaga nazo
@@SifaeliMelittamwambie huyo mshamba mtumwa wa dini kila mtu anapaswa kuwa mwadilifu hata kama hana dini usidhani dini flani ndio inawatu wema njoo huku kwetu uone hao kina abdallah wanavyotoa 0713.... fala kweli
Kina Osama hawa
@@SifaeliMelitta jahili hili sijui lawapi roho mbaya inadini. Ww unachuki na uislam. Utajifia maana tunampenda nawengi maashaallah ndiyo diniya haki. ....kazikwako.
@@wechemakambo2182 Acha chuki za kumezeshwa utotoni, hazitakusaidia
Aisee Hongera Sana bro Kwa uamuzi WA kuachana na Uhalifu
Ahsante sana hubby Kelvin 🎉🎉🎉🎉
Jamani tuwaombee mno watoto wetyu na kiukwel mungu avilinde vizazi vyetu,,,mm mtoto wa dadaang alichomwa moto na kufariki kwa kosa la wizi kiukwel wote tuliumia ila mamaake mzazi alipata kichaa kwa mda.
Uyo Fala Tunamsaka washatuulia sana Ndugu zetu Sio Watu ao
Hongera kwa kuacha eizi
Fanya Ibada utubu
WiFi mbaya
Ndio kaka pole sana
I miss you my brother Kelvin japo umenichunia hongera kwa majukumu🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tamaa vijana tuache zurma haina maendeleo
Jessica la police wanatakiwa kumchukua mtu kamahuyu atawasaidia sana mbinu zauhalifu...kwaushauli wangu
wana watumiaga kama ma informar
Sio Jessica ni Jeshi la polisi
😂😂😂@@D.P.O
WEWE MKAKA ACHA KABISA WIZI MUNGU AMEKUACHA ILI UTUBU DHAMBI ZAKO. TUBU USAMEHEWE. ILA ACHA ROHO MBAYA
Pole sana
Nilichogundua baadhi ya wamama wengi wanajua matukio ya watoto wao ila wanakaa kimya na wao ndo huwa front kwenye matukio ya watoto wao
Ndio lakini hawezi kusema au kumtangaza mtoto wake ila tu lazima amkanye
Uclamu sna kusu hlo mzazi hawezi kumuacha mwae ata awe vp tatzo ni ss watoto mzazi anacheza nafasi yake kma mzazi
Sasa ndugu yangu mama ndio anamtuma mtoto akaibe?au ukishajua ana michezo hiyo umuue??vijana wa sasa wakishakengeuka ni mtihani,hata mama aongee vp hawasikii,na maumivu wanayopata wazazi hakuna wa kuelezea ni Mungu tu anajua...TUZIDI KUOMBEA VIZAZI VYETU🙏
Inna lillah
Hongera zenu Tik TV
Sio umasikini ni unyama uliojiunga nao
Eee mungu tuongoze ktk njia ya haqqi waongoze vijana wetu wafanya kz za Hali na waache eizi
WiFi NI dhuruma kubwa
kelvin shayo uwe unaoneka kweny picha wasikilizaji na watazamaji huwa tunapenda kumwona mwandishi
😂😂😂😂😂😂Anakimbya usumbufu wa Amina juma 🙌
😢daaah Allah nusuru kizazi changu huu ugonjwa mmbaya sana.
Shetani anapenda kuwa haribu watoto wa kwanza kwazababu ni viongozi wa wadogo zao Mungu akuimue kijana kwa wema
Pole sana kaka yangu ♡♡♡
Honger kwa kuach
Nilikumiss sana Kevin
Duuu😢😢😢
Duh noma mzee jamaa co pw ila kumuombea aache tu
Daa nachukiasana ndguyangu amewai kuibiwa tena ukouko anpo pasema pkpk 😢 ndio tuwaulumie ila awasio watu wazuli usikute atakuuwa wameuwa awa daaa😢
Mimi nakupa pongezi kuacha hiyo tabia Mungu atusamehe na atusimamie na akuongoze kwanye mema
Respect kwa mwandish kuoj unajua kaka
Poleeee
KeepOn fire 🔥
Tulikutana segerea mwaka huo nimemkumba mimi nilikuwa asikar selo namba tano
Pole😢
Huyu kijana ukimtazana usoni angepata nafasi akiingia jwtz angekuwa kiboko ktk kuongoza mapigano ya kivuta.
Kwahiyo jeshini ndio wanaenda vibaka sio?
Sa sindo hapo@@roberttagaya9098
Allah anasamehe ukitubu
Afanye Toba ya kweli Allah ni mwingi wakusamehe
Pole
Mshukuru mama anakupenda
duuuu, hatali sana duuu, 😢😢😢😢
Kikubwa umejua kosa na umeelimika mungu azid kukuongoza
Dah 😭😭😭😭😭😭😭
Huyu kweli mwizi anavyozungusha macho huku na huku ndio mnavyoangalia mtu kabeba nn mumuibie
NYIE WASHEZI SANA HAMNA HURUMA MNAUA WENZENU SABABU YA TAMAA ZENU. MUNGU ANGEWAUA WOTE AU ANGEWAKATA MIKONO HIYO MNAYEULIA WENZENU. EEE MUNGU WALANI WEZI WOTE NA VIZAZI VYAO.
Jamani ukiwa hukupata malezi bora kwa wazazi wako basi usiilaumu Serekali. Wizi kama hawa siwalaumu wakati wanatiwa moto. 🔥
Unakosea sna kusema hvo mana hata manabii waliwasamehe walokosea kusu dini na mwisho wa siku ndio wamekuwa viongozi wa dini walipigania dini mpaka kufa kwao wamekufa kwa 7bu ya kiitetea dini kumbuka hao hao waliwahi kuu mfano alo muuwa hamza unajuwa yy ndio alokuwa ana peperusha bendera ya dini ya kiislam
Huyu Leo anaweza kuwa shehe mkubwa na akasimama kwenye dini ndomana ikaekwa toba Tena usimseme vbaya ametubu haijalishi kafanyann huko nyuma huyu namtabiri atakuwa kiongozi Aiza wa dini au wa jambo lolote lile lenye mafundisho na kuelimisha kwanza mpaka hapa tu amesha waelimisha watu nikiwemo mm
I@@eddyderrickmail66
Upewe pole wakati mmeuwa watu kwa wizi wenu?
Allaha akuongoz kikubwa sote tuombe mwisho mwema
huyu bado mwizi
Ila dar wez wanakufa kweli juz mmoja alichomwa na pkpk yake alipora smu
Umeacha wiziii?
😢matumbo yetu yana zaa jmn MUNGU baba tusaidie jaman
Mm nachukia wezi mm sikupendi hata kidogo ww kaka😢
Hivi kelvin mbona unajificha mm nakutaka wew sio huyu. Basi utakuta mtu anaingiza neno apo
Kama namuona Amina Juma
Sauti ni yake kelvin
@@catherinensemwa3907😂😂😂😂watu wa Mbeya sana jamanii
Nyie kupigwa mliumia mlivokua mnapiga wenzangu bila uruma na kuuwa daah mtu bu sana mngu awasamehe
Mtihan wallah tubia kwakweliy😢 safar nzito
Bro bora ungekufa
Kah
Mludie mungu ndugu
❤❤❤
Huyu dogo niliwahi kufanya nae kazi pale M.M miaka ya 2015-16. Kisa chake ni darasa kubwa sana
Duu
Mie wala sikuamini hata kidogo Lila mungu ndie atakae kuhukumu
Mungu akulaani maisha Yako yote. Mtoto wa dada yangu mlimpeleka kumuua poli la Chanika mpaka Leo hatujaipata maiti yake. Simnge chukuwa pikpik tu? Mashetani nyie
Duh
Usidubu kwa wanadamu Haina kikubwa tubu kwa MUNGU
w
Alone haaaaaaa haaaaaaa haaaaaaaa😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😮😢
poresana
Toba haikubaliki mpaka ukaombe msamaha kwa watu uliowadhurumu,roho zao na Mali zao.
Na'am
Huyu anasema hajawahi kuua
Milango ya toba ipo wazi bado……
Inakubalika toba ya mtu yoyote ikiwa amekubali kutubu si lazima kumuomba uliomkosea maana ikiwa humjui unaongeza kutubu…
Sasa wamepata faida gani wamekufa na moto juu wamechomwa nakilakituwameeacha. Naazabu wanapewahuko kama kunawatu walowauwa au kuwatia kipema. Mtihani wanao wezi.
Machali watundu
KATIKA KUWAPIGA BODABODA KUWAPUNGIZA NGUVU MUMEWAUA WATU WANGAPI KUWATUPA MSITUNI MULIZE WAMEUA WANGAPI?????
Vijana wengi wameshapitia kushiriki matukio madogo na makubwa ya uhalifu
Mwizi ni mwizi 3
Kumbe kwenda segerea ni kubahatika🙆😅😅
😅😅😅😅
Yani Mimi ninge mkuta huyu kaka ninge mumwagia kitu aunguwe maana mume wangu alivunjwa meno napikipiki ilienda
Umeacha kweli wizi?
Tulibahatika kwenda segerea
😂😂😂 nibaht hy we uogop
Kwakweli mtihani Allah nusuru na vizazi vyetu
Ameen
ww ni muuwaji kaka tubu kwa Allah
Hii kitu sikia kwa wengine ila wizi sio kitu kizuri sema aya maisha tu.....walikufa mungu awapumzishe mahari wanapostaili mlibaki tubuni sana.
Yani Wewe MUNGU. Atokusamee Adi
Awanaga uruma hao wanakula mbandandu awaelew awalud nyuma anachosema apo yote kweli aya magroup yote kaish nayo wala sio muvi
Hakupa malez
Nyinyi ni wezi sugu na mulikua munafaa muuwawe
Kwa sehemu kubwa sana wazazi na sisi tunachangia kuachana kunsababisha kwa sehemu kubwa watoto kukosa malezi mema nao watoto huharibika sana na kujiunga na makundi hatarishi
Jamn MUNGU hajusiki na mabaya,hz ni kazi za shetani
Uyuu jamaa kauwa san m2 wengi ndio maana anawasisasi sana machoni mwake
Kwel kaacha au ndio maneno
Angekuwa hajaacha asingekubali kutoa siri zao namna hii...Mungu azidi kumuongoza ktk njia iliyo nyooka🙏
Hela ya wizi tamu???? Kuua wenzenu na kuwapora mali. zao!!!!!????
NAJUA UMU WEZI WAPO,,NA MPUMBAVU MWENZENU ANAWAPA MOYO...ILA SKILIZENI;;KAMA UMECHAGUA KUIBA TARAJIA HAYA MAWILI;;;KIFO AU JELA
😮😮tubu kwanza
Nawaona watu wengi wanamwambia atubu akati toba ya kweli kuambiwi wala hulazimishwi mana utatubu oungo tu
We naye kama hivyo Mungu asingetukumbuka Kila mara anatulazimisha kutubu Hadi anatupa mapigo mazito akiona hatusikii anatupa tukio lingine na lingine Hadi kaamua kufunguka hivyo ujue kaelewa Nini baya Nini jema
Vijana kama hawa ni jela ya MILELE.... ni wabaya sana kwenye UMMA.