HABARI MBAYA ILIYOTUFIKIIA USIKU HUU WOTE WAFARIKI, ALIYENUSURIKA KIFO AFICHUA YAKUTISHA WIZI WA P..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 233

  • @hamidasaid2544
    @hamidasaid2544 Месяц назад +3

    Amina Allah amjaliye amfunguliye rizk nyingi sababu ameacha vitu vichafu Allah amjalie kila la shari amuepushie kila chari Amin

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 17 дней назад +1

    Kelvin uko vzr ktk mahojiano,unaonekana kweli umeisomea hii kazi tafauti na wengine ambao wengi ni waganga njaa.Hakuna taarifa unayoitoa ambayo mtu ataisikiliza nusu tu kwa kuidharau,Bigup bro!!Mungu akubariki sn!!

  • @eddyderrickmail66
    @eddyderrickmail66 Месяц назад +19

    Jamani tumsamehe na tumuombee duwa asrudi tena huko ndomana mungu kaeka toba ametubu tusimuunge mkono ss ni nani nawashanga wengne wanasema bora naye engekufa tu ama akalanika ikiwa mungu amesema atamsamehe yoyote atakae muomba msamaha na kurudi kwake leo ww unamuapiza huenda hizo lana unazo muombea zkakupata ww mana kma kuibiwa ata mm ninae tuma hii sms nilishaibiwa mengi na watu kma hawa lkn mm nme msamehe huyu ndugu yangu na mungu amsimamie maisha yke yote asipate majanga na kurudi tena alipotoka tusemeni amini kwa wanao amini dini na wenye imani za kidini tusemeni amina

  • @daudyluhafu8909
    @daudyluhafu8909 3 дня назад +1

    Utaishi sana maisha mrefu kawasababu umetambua kosa lako

  • @GeorgeErasto-s7q
    @GeorgeErasto-s7q 2 месяца назад +18

    Mshukuru sana MUNGU anakusudi na ww hivyo kubali kubadilika ndugu Yangu

  • @HadijaThabit
    @HadijaThabit 2 месяца назад +13

    Mali za dhuruma sio nzuri . Ujui mtu kaipata kivipi na mbaya kuiba na pia kuwajerui watu. Mungu atakusimamia rudi kwa Allah

  • @SisoPotashiumz-c7n
    @SisoPotashiumz-c7n 2 месяца назад +10

    Mwandishi umehoji vitu vya msingi mno asee hongera saana

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 8 дней назад

    Pole sana rakn pia muombee msamaha sana mama na mwenyezi Mungu kwakweli maan ame kutoa kwenye mazito

  • @Mwana-d1u
    @Mwana-d1u 2 месяца назад +8

    Kaka mwenyezi mungu ni mwingi wa rehma. Kama umenusurika na hayo yote rudi kwa mungu tubu sana fanya ibadan sana mungu atakusamehe kwa yote. Daaah ila Pole sana

  • @Jahra2023-gm1qp
    @Jahra2023-gm1qp 2 месяца назад +11

    Mungu anakupenda Sana ludi kwa Allah utubu

  • @MmohamediPoyo
    @MmohamediPoyo 2 месяца назад +21

    Allah mwingi wa kusamehe tubu sana kijana maisha ya Dunia ni mtian sana

  • @ROBIJOSEPH
    @ROBIJOSEPH 29 дней назад

    Longer sanakwa rehearsal ya mungu, sema alhamdulillah

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад +31

    Ww ni.muislam iladaa unarohombaya. Allah akuongoze.utubu kwayote hayo nauwache.mambo hayo uwemchaa mungu uswali swalatano naswalazausiku umlilie Allah akusamee

    • @SifaeliMelitta
      @SifaeliMelitta 2 месяца назад +1

      Waislam roho mbaya wanazaliwaga nazo

    • @randomtube3002
      @randomtube3002 2 месяца назад

      @@SifaeliMelittamwambie huyo mshamba mtumwa wa dini kila mtu anapaswa kuwa mwadilifu hata kama hana dini usidhani dini flani ndio inawatu wema njoo huku kwetu uone hao kina abdallah wanavyotoa 0713.... fala kweli

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 2 месяца назад

      Kina Osama hawa

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад

      @@SifaeliMelitta jahili hili sijui lawapi roho mbaya inadini. Ww unachuki na uislam. Utajifia maana tunampenda nawengi maashaallah ndiyo diniya haki. ....kazikwako.

    • @AyubuIkaku
      @AyubuIkaku Месяц назад

      ​@@wechemakambo2182 Acha chuki za kumezeshwa utotoni, hazitakusaidia

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 2 месяца назад +6

    Aisee Hongera Sana bro Kwa uamuzi WA kuachana na Uhalifu

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 2 месяца назад +4

    Ahsante sana hubby Kelvin 🎉🎉🎉🎉

  • @heavenmakulila2028
    @heavenmakulila2028 Месяц назад

    Jamani tuwaombee mno watoto wetyu na kiukwel mungu avilinde vizazi vyetu,,,mm mtoto wa dadaang alichomwa moto na kufariki kwa kosa la wizi kiukwel wote tuliumia ila mamaake mzazi alipata kichaa kwa mda.

  • @youngtxboy165
    @youngtxboy165 21 день назад

    Uyo Fala Tunamsaka washatuulia sana Ndugu zetu Sio Watu ao

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Месяц назад

    Hongera kwa kuacha eizi
    Fanya Ibada utubu
    WiFi mbaya

  • @SarahKamuanyamukenji
    @SarahKamuanyamukenji Месяц назад

    Ndio kaka pole sana

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 2 месяца назад +10

    I miss you my brother Kelvin japo umenichunia hongera kwa majukumu🎉🎉🎉

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AshaHalidi-v9f
    @AshaHalidi-v9f Месяц назад +1

    Tamaa vijana tuache zurma haina maendeleo

  • @SiaKim-n2l
    @SiaKim-n2l 2 месяца назад +15

    Jessica la police wanatakiwa kumchukua mtu kamahuyu atawasaidia sana mbinu zauhalifu...kwaushauli wangu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +7

    WEWE MKAKA ACHA KABISA WIZI MUNGU AMEKUACHA ILI UTUBU DHAMBI ZAKO. TUBU USAMEHEWE. ILA ACHA ROHO MBAYA

  • @ErnestDaniel-k9u
    @ErnestDaniel-k9u Месяц назад +1

    Pole sana

  • @ayk20
    @ayk20 2 месяца назад +9

    Nilichogundua baadhi ya wamama wengi wanajua matukio ya watoto wao ila wanakaa kimya na wao ndo huwa front kwenye matukio ya watoto wao

    • @dismanManota
      @dismanManota 2 месяца назад

      Ndio lakini hawezi kusema au kumtangaza mtoto wake ila tu lazima amkanye

    • @eddyderrickmail66
      @eddyderrickmail66 Месяц назад

      Uclamu sna kusu hlo mzazi hawezi kumuacha mwae ata awe vp tatzo ni ss watoto mzazi anacheza nafasi yake kma mzazi

    • @sakinamsafiri8660
      @sakinamsafiri8660 Месяц назад +2

      Sasa ndugu yangu mama ndio anamtuma mtoto akaibe?au ukishajua ana michezo hiyo umuue??vijana wa sasa wakishakengeuka ni mtihani,hata mama aongee vp hawasikii,na maumivu wanayopata wazazi hakuna wa kuelezea ni Mungu tu anajua...TUZIDI KUOMBEA VIZAZI VYETU🙏

  • @KuruthumBilali
    @KuruthumBilali Месяц назад +2

    Inna lillah

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 2 месяца назад +2

    Hongera zenu Tik TV

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 2 месяца назад +15

    Sio umasikini ni unyama uliojiunga nao

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Месяц назад

    Eee mungu tuongoze ktk njia ya haqqi waongoze vijana wetu wafanya kz za Hali na waache eizi
    WiFi NI dhuruma kubwa

  • @rosejohn8494
    @rosejohn8494 2 месяца назад +8

    kelvin shayo uwe unaoneka kweny picha wasikilizaji na watazamaji huwa tunapenda kumwona mwandishi

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂Anakimbya usumbufu wa Amina juma 🙌

  • @muuibrahim1805
    @muuibrahim1805 Месяц назад

    😢daaah Allah nusuru kizazi changu huu ugonjwa mmbaya sana.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Месяц назад

    Shetani anapenda kuwa haribu watoto wa kwanza kwazababu ni viongozi wa wadogo zao Mungu akuimue kijana kwa wema

  • @JamilaManji
    @JamilaManji Месяц назад

    Pole sana kaka yangu ♡♡♡

  • @ElizabethMnanka
    @ElizabethMnanka Месяц назад

    Honger kwa kuach

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 2 месяца назад +2

    Nilikumiss sana Kevin

  • @OnesmoMsafwa
    @OnesmoMsafwa 29 дней назад

    Duuu😢😢😢

  • @BashirIsmail-i9c
    @BashirIsmail-i9c Месяц назад +1

    Duh noma mzee jamaa co pw ila kumuombea aache tu

  • @AishaMwarabu
    @AishaMwarabu 5 дней назад

    Daa nachukiasana ndguyangu amewai kuibiwa tena ukouko anpo pasema pkpk 😢 ndio tuwaulumie ila awasio watu wazuli usikute atakuuwa wameuwa awa daaa😢

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 Месяц назад

    Mimi nakupa pongezi kuacha hiyo tabia Mungu atusamehe na atusimamie na akuongoze kwanye mema

  • @JosephMwailolo
    @JosephMwailolo Месяц назад

    Respect kwa mwandish kuoj unajua kaka

  • @BakariMwamini
    @BakariMwamini Месяц назад

    Poleeee

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih199 2 месяца назад

    KeepOn fire 🔥

  • @ClementMashimla
    @ClementMashimla 2 месяца назад +2

    Tulikutana segerea mwaka huo nimemkumba mimi nilikuwa asikar selo namba tano

  • @JoyceJoram
    @JoyceJoram Месяц назад

    Pole😢

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 месяца назад +4

    Huyu kijana ukimtazana usoni angepata nafasi akiingia jwtz angekuwa kiboko ktk kuongoza mapigano ya kivuta.

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 Месяц назад

      Kwahiyo jeshini ndio wanaenda vibaka sio?

    • @JasmineMasiga
      @JasmineMasiga 23 часа назад

      Sa sindo hapo​@@roberttagaya9098

  • @MamaSada-f5b
    @MamaSada-f5b 2 месяца назад

    Allah anasamehe ukitubu

  • @akonaaybaha9107
    @akonaaybaha9107 2 месяца назад +12

    Afanye Toba ya kweli Allah ni mwingi wakusamehe

  • @AlfaHassani
    @AlfaHassani Месяц назад

    Pole

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 2 месяца назад +1

    Mshukuru mama anakupenda

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 2 месяца назад

    duuuu, hatali sana duuu, 😢😢😢😢

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 2 месяца назад

    Kikubwa umejua kosa na umeelimika mungu azid kukuongoza

  • @antidiuskalugira6727
    @antidiuskalugira6727 2 месяца назад

    Dah 😭😭😭😭😭😭😭

  • @CatherineHiyani
    @CatherineHiyani 28 дней назад

    Huyu kweli mwizi anavyozungusha macho huku na huku ndio mnavyoangalia mtu kabeba nn mumuibie

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +5

    NYIE WASHEZI SANA HAMNA HURUMA MNAUA WENZENU SABABU YA TAMAA ZENU. MUNGU ANGEWAUA WOTE AU ANGEWAKATA MIKONO HIYO MNAYEULIA WENZENU. EEE MUNGU WALANI WEZI WOTE NA VIZAZI VYAO.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 месяца назад

      Jamani ukiwa hukupata malezi bora kwa wazazi wako basi usiilaumu Serekali. Wizi kama hawa siwalaumu wakati wanatiwa moto. 🔥

    • @eddyderrickmail66
      @eddyderrickmail66 Месяц назад

      Unakosea sna kusema hvo mana hata manabii waliwasamehe walokosea kusu dini na mwisho wa siku ndio wamekuwa viongozi wa dini walipigania dini mpaka kufa kwao wamekufa kwa 7bu ya kiitetea dini kumbuka hao hao waliwahi kuu mfano alo muuwa hamza unajuwa yy ndio alokuwa ana peperusha bendera ya dini ya kiislam

    • @eddyderrickmail66
      @eddyderrickmail66 Месяц назад +1

      Huyu Leo anaweza kuwa shehe mkubwa na akasimama kwenye dini ndomana ikaekwa toba Tena usimseme vbaya ametubu haijalishi kafanyann huko nyuma huyu namtabiri atakuwa kiongozi Aiza wa dini au wa jambo lolote lile lenye mafundisho na kuelimisha kwanza mpaka hapa tu amesha waelimisha watu nikiwemo mm

    • @ROBIJOSEPH
      @ROBIJOSEPH 29 дней назад

      I​@@eddyderrickmail66

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 2 месяца назад

    Upewe pole wakati mmeuwa watu kwa wizi wenu?

  • @Najmabn
    @Najmabn 2 месяца назад +6

    Allaha akuongoz kikubwa sote tuombe mwisho mwema

  • @Amosmakuba-r2k
    @Amosmakuba-r2k 2 месяца назад +6

    huyu bado mwizi

  • @PeterMgonja-u1m
    @PeterMgonja-u1m 2 месяца назад +1

    Ila dar wez wanakufa kweli juz mmoja alichomwa na pkpk yake alipora smu

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 2 месяца назад +5

    Umeacha wiziii?

  • @JamilaJumanne-u7q
    @JamilaJumanne-u7q Месяц назад

    😢matumbo yetu yana zaa jmn MUNGU baba tusaidie jaman

  • @MerryRenatus-ck4lz
    @MerryRenatus-ck4lz 2 месяца назад

    Mm nachukia wezi mm sikupendi hata kidogo ww kaka😢

  • @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
    @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs 2 месяца назад +3

    Hivi kelvin mbona unajificha mm nakutaka wew sio huyu. Basi utakuta mtu anaingiza neno apo

  • @BullahSambiga
    @BullahSambiga 2 месяца назад

    Nyie kupigwa mliumia mlivokua mnapiga wenzangu bila uruma na kuuwa daah mtu bu sana mngu awasamehe

  • @LilianCharles-q3h
    @LilianCharles-q3h 2 месяца назад +1

    Mtihan wallah tubia kwakweliy😢 safar nzito

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 2 месяца назад +1

    Bro bora ungekufa

  • @eliasmyamba4767
    @eliasmyamba4767 2 месяца назад

    Mludie mungu ndugu

  • @MariamuAhmadi
    @MariamuAhmadi 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @christopherkateti3797
    @christopherkateti3797 2 месяца назад +2

    Huyu dogo niliwahi kufanya nae kazi pale M.M miaka ya 2015-16. Kisa chake ni darasa kubwa sana

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v 2 месяца назад +4

    Mie wala sikuamini hata kidogo Lila mungu ndie atakae kuhukumu

  • @fasantafapeter3043
    @fasantafapeter3043 2 месяца назад

    Mungu akulaani maisha Yako yote. Mtoto wa dada yangu mlimpeleka kumuua poli la Chanika mpaka Leo hatujaipata maiti yake. Simnge chukuwa pikpik tu? Mashetani nyie

  • @MaishaBabu-m2g
    @MaishaBabu-m2g 2 месяца назад

    Duh

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 2 месяца назад +11

    Usidubu kwa wanadamu Haina kikubwa tubu kwa MUNGU

  • @DerickDerick-s6w
    @DerickDerick-s6w Месяц назад

    Alone haaaaaaa haaaaaaa haaaaaaaa😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😮😢

  • @EliasAmos-i4y
    @EliasAmos-i4y Месяц назад

    poresana

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 месяца назад +2

    Toba haikubaliki mpaka ukaombe msamaha kwa watu uliowadhurumu,roho zao na Mali zao.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 месяца назад

      Na'am

    • @funnycomedyvines1467
      @funnycomedyvines1467 2 месяца назад

      Huyu anasema hajawahi kuua

    • @shamzone388
      @shamzone388 2 месяца назад +2

      Milango ya toba ipo wazi bado……
      Inakubalika toba ya mtu yoyote ikiwa amekubali kutubu si lazima kumuomba uliomkosea maana ikiwa humjui unaongeza kutubu…

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад

    Sasa wamepata faida gani wamekufa na moto juu wamechomwa nakilakituwameeacha. Naazabu wanapewahuko kama kunawatu walowauwa au kuwatia kipema. Mtihani wanao wezi.

  • @TumainiletuJeremia
    @TumainiletuJeremia Месяц назад

    Machali watundu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад

    KATIKA KUWAPIGA BODABODA KUWAPUNGIZA NGUVU MUMEWAUA WATU WANGAPI KUWATUPA MSITUNI MULIZE WAMEUA WANGAPI?????

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa Месяц назад

    Vijana wengi wameshapitia kushiriki matukio madogo na makubwa ya uhalifu

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 2 месяца назад

    Mwizi ni mwizi 3

  • @djparasite2556
    @djparasite2556 2 месяца назад

    Kumbe kwenda segerea ni kubahatika🙆😅😅

  • @NeemaMpagike-k7i
    @NeemaMpagike-k7i 2 месяца назад

    Yani Mimi ninge mkuta huyu kaka ninge mumwagia kitu aunguwe maana mume wangu alivunjwa meno napikipiki ilienda

  • @KamojaAmri
    @KamojaAmri Месяц назад

    Umeacha kweli wizi?

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 месяца назад +4

    Tulibahatika kwenda segerea

  • @maryammo-gd3me
    @maryammo-gd3me 2 месяца назад

    Kwakweli mtihani Allah nusuru na vizazi vyetu

  • @CheteMwachitema
    @CheteMwachitema 2 месяца назад

    ww ni muuwaji kaka tubu kwa Allah

  • @rajabukabogi4492
    @rajabukabogi4492 Месяц назад

    Hii kitu sikia kwa wengine ila wizi sio kitu kizuri sema aya maisha tu.....walikufa mungu awapumzishe mahari wanapostaili mlibaki tubuni sana.

  • @PaziOmary
    @PaziOmary Месяц назад

    Yani Wewe MUNGU. Atokusamee Adi

  • @ThomasMorris-p1s
    @ThomasMorris-p1s 2 месяца назад +4

    Awanaga uruma hao wanakula mbandandu awaelew awalud nyuma anachosema apo yote kweli aya magroup yote kaish nayo wala sio muvi

  • @ashaothman-vz7ro
    @ashaothman-vz7ro Месяц назад

    Hakupa malez

  • @AliNgao-r3j
    @AliNgao-r3j 2 месяца назад

    Nyinyi ni wezi sugu na mulikua munafaa muuwawe

  • @masweto
    @masweto 2 месяца назад +2

    Kwa sehemu kubwa sana wazazi na sisi tunachangia kuachana kunsababisha kwa sehemu kubwa watoto kukosa malezi mema nao watoto huharibika sana na kujiunga na makundi hatarishi

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Месяц назад

    Jamn MUNGU hajusiki na mabaya,hz ni kazi za shetani

  • @MikidadiChamwande
    @MikidadiChamwande 2 месяца назад

    Uyuu jamaa kauwa san m2 wengi ndio maana anawasisasi sana machoni mwake

  • @JosephMwailolo
    @JosephMwailolo Месяц назад

    Kwel kaacha au ndio maneno

    • @sakinamsafiri8660
      @sakinamsafiri8660 Месяц назад

      Angekuwa hajaacha asingekubali kutoa siri zao namna hii...Mungu azidi kumuongoza ktk njia iliyo nyooka🙏

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Месяц назад

    Hela ya wizi tamu???? Kuua wenzenu na kuwapora mali. zao!!!!!????

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад

    NAJUA UMU WEZI WAPO,,NA MPUMBAVU MWENZENU ANAWAPA MOYO...ILA SKILIZENI;;KAMA UMECHAGUA KUIBA TARAJIA HAYA MAWILI;;;KIFO AU JELA

  • @MmohamediPoyo
    @MmohamediPoyo 2 месяца назад

    😮😮tubu kwanza

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 2 месяца назад

    Nawaona watu wengi wanamwambia atubu akati toba ya kweli kuambiwi wala hulazimishwi mana utatubu oungo tu

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Месяц назад

      We naye kama hivyo Mungu asingetukumbuka Kila mara anatulazimisha kutubu Hadi anatupa mapigo mazito akiona hatusikii anatupa tukio lingine na lingine Hadi kaamua kufunguka hivyo ujue kaelewa Nini baya Nini jema

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 месяца назад

    Vijana kama hawa ni jela ya MILELE.... ni wabaya sana kwenye UMMA.