YAMEMTOKEA PUANI MUME WA ZUU APATA PIGO ZITO BAADA YA KUOA BILA KU..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 281

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane 8 месяцев назад +21

    Safi na Bado utavuna ulichopanda ..bwa wewe ulitaka uchezee wanawake tu halafu uzidi kupata raha wengine walie Sasa zamu yako umefika hata sikuhurumii mimi

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 8 месяцев назад +2

    Amin 🤲🏻

  • @FatmaShaban-d4s
    @FatmaShaban-d4s 8 месяцев назад +1

    Amiin 🤲❤❤❤

  • @bas2823
    @bas2823 8 месяцев назад

    AMEEN🤲

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 8 месяцев назад

    Mchawi hawezi kuacha uchawi kisa ndoa Tena ukimchezea atawamaliza

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon 8 месяцев назад +11

    Ukiskia kuruka mkojo kukanyaga mavi ndiyo huku Sasa.

  • @christinajisena2634
    @christinajisena2634 8 месяцев назад +7

    Hicho kibarua kiote nyasi tu maana ndo kinakupa jeuri ya kuchezea wanawake, ukibaki na kende zako mbili utamkumbuka huyo alietayari kuuza gengeduka! Huyo Amina anakushobokea tu kwa vile una vihela, ukibaki na tako jeupe sidhani kama atakuvumilia.

    • @DeboraNgura
      @DeboraNgura 8 месяцев назад

      Akibaki na nn😂😂jmn

  • @Leylah-pz5sc
    @Leylah-pz5sc 8 месяцев назад +8

    Huyu jamaa muongo ana tabia mbaya tu hakai na wanawake 😂😂😂😂 Mzeee tumekustukia ww una matatizo

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 8 месяцев назад +7

    We mwenyewe huna imani ndo maana unamuogopa kuliko hata muumba wa viumbe

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 8 месяцев назад +10

    Hapo Mungu hakuachi ukae kwa usalama, ulivyomzingua da Zuu yataendekea kukukuta mpaka uende umuombe msamaha muendelee kuishi wote

  • @husna34562
    @husna34562 8 месяцев назад +16

    Huyu kaka anamatatizo mume materials hawi hiv da zu alivumilia😂 hili gumegume haswa😂

  • @OpMagu
    @OpMagu 8 месяцев назад +15

    Gonga like kama umeona ile ngeu ya ajali aliyopata siku anaenda kuoa Amina ndoa ikafeli.

    • @oneafrica01
      @oneafrica01 8 месяцев назад +2

      Amebaki kutolewa tu roho huyu😂😂

    • @jenifadenis7321
      @jenifadenis7321 8 месяцев назад +1

      Naomba asfe ila apokee mateso

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂 ipo alama kweli

    • @dorahmavazi111
      @dorahmavazi111 8 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @salomeomashibo1971
      @salomeomashibo1971 8 месяцев назад +2

      iyo ndio uzuri ya ku oa oa na kuolewa olewa na watu tofaut tofauti lama unge tulia na bibi yako wakwanza haya yote aunge kutana nayo tama mbele mauti nyuma na ukumbuke machozi ya mke au mme wa ujana wako aiwexi ikakuacha uishi salama😢😢

  • @marryngaiza2061
    @marryngaiza2061 8 месяцев назад +7

    Pole kaka mrudie mke wako Zuuuu. Hayo mengine yaache kwanza

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 8 месяцев назад +7

    Chozi la mwanamke ugopa sana

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 8 месяцев назад +8

    Kuhangaika sana umekutana najini

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 8 месяцев назад +4

    Acha upumbavu, huna lolote, Zuu ajifunze nini wakati huyo wa majini yupo anakupeleka kama gari bovu, mfyuuu, umepamia mkuyu kudadeq

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 8 месяцев назад +4

    WAGANGA NA WACHAWI LAO MOJA WANAO WANAO MCHEZEA NI WAGANGA HAOHAO, NILISEMA TOKA
    MWANZO WAOKOKE NA AMINA MAISHA YAO YANGEBADILIKA, AKIENDELEA NA USHILIKINA
    ATAANGAMIA, LAKINI MUNGU
    ANA KUSUDI NA HUYU KAKA
    MUNGU AMSAIDIYE.

    • @trinahahans3737
      @trinahahans3737 8 месяцев назад +1

      Mbona hata kwenye huo ulokole unaosema wachawi wapo washirikina wapo tusidanganyane jamani

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 8 месяцев назад +5

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan hapo bado hujasema nasemaje bado hujasema 😢😢😢 huruma sana huyu kijana ni wa hovyo kabisa 😂😂😂

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 8 месяцев назад

      Yani komedi hatr🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw 8 месяцев назад +6

    Wewe shida mshilikina kila kitu lazima mganga muogope Allah siku ya malipo

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 8 месяцев назад +5

    wakwanza leo naomben like zen

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 8 месяцев назад +6

    Mwana kulitafuta,

  • @ShamilaIssa-zb6sv
    @ShamilaIssa-zb6sv 4 месяца назад +2

    Mungu fundi kaka, machoz ya da Zuu hayakumwagika bule tena ukome sana na ujifunze.

  • @abcdoman8739
    @abcdoman8739 8 месяцев назад +6

    Bado ajasema na atasema

    • @OpMagu
      @OpMagu 8 месяцев назад +3

      Yani mpaka aseme pumbavu zake.

    • @abcdoman8739
      @abcdoman8739 8 месяцев назад

      @@OpMagu yani huyu kaka anaonekana malaya sana sasa hapo ameingia cha kike yani bado angemtisha zaidi

  • @Mauaabdullah
    @Mauaabdullah 8 месяцев назад +5

    Ana kiranga huyuu

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 8 месяцев назад +2

    Mazito yote hayo yalio kupitia lakini bado upo na furaha yako yote.ungekaa vizuri na da zuu yote yasingekupata wenda mpaka muda huu ungekuwa na maendeleo mazuri sana kimaisha.sasa upo unatapatapa pakushika na kuacha huna.na unaendelea kutoa matumizi nyumba zote tatu.huoni kama huo ni mzigo wa kujitakia?rudi kwa zuu umuombe msamaha mrudiane mlee watto.

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 8 месяцев назад +4

    Na bado ulimdharau saan mkeo 😮😮😮

  • @DbkComedian-io8nm
    @DbkComedian-io8nm 8 месяцев назад +5

    😂😂😂😂

  • @raheematanzania2816
    @raheematanzania2816 8 месяцев назад +5

    😂😂😂

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 8 месяцев назад +6

    ameyakanyaga akayatimba mswike huyo atoki mtu 😂😂

  • @SuleimanSaidwande-vq5fs
    @SuleimanSaidwande-vq5fs 8 месяцев назад +4

    Ukomeeeee...mwana kulitafuta mwana kulipataaa

  • @elimukwadada
    @elimukwadada 8 месяцев назад +2

    😂😂😂 unalalamika nini sasa 😂😂😂 umekomeshwa Baba Abdul. Muombe Zu msamaha Kaka. Acha misemo kibao na hata kuishi na wake zako huwezi... Badilisha tabia zako

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 8 месяцев назад +2

    Nimecheka kama mazuri

  • @ZuwenaKuganda
    @ZuwenaKuganda 2 месяца назад +1

    Naufatilia mkasa huu wote mwanzo wa zuu Amina na bi Fatma daa nampa pole sana Aly Kwa upande wa zuu Mimi simuhurumii sababu alimkabidhi mwenyewe mumewe dada wa kazi haiwezekani kabisa uwe unaenda safar ya biashara halafu mume umuachie dada

  • @emmymossesngaswaga
    @emmymossesngaswaga 8 месяцев назад +7

    mwanaume wa hovyo sana huyu hafai kuwa mume au baba wa watoto 😢

    • @HadijaZabroni-pu1lt
      @HadijaZabroni-pu1lt 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 8 месяцев назад +1

      Wanaume wengi wa sasa hawajitambui haya tunayoyasikia hapa yako mengi mitaani huko

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 8 месяцев назад

      Alafu linasura mbaya hili baba khaaa😮😮

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 8 месяцев назад

      ​@@aishajuma18wanaume wenye sura kama yake ndio waume sasa sio wale walamba lips 👄

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 8 месяцев назад

      ​@@aishajuma18Allah ndiyo kamuumba

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo 8 месяцев назад +3

    Huyu nae kila mwanamke kwake sie pia unaishi kwa imani za kushirikina huko unapotea

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon 8 месяцев назад +5

    😢😢😢

  • @daylight1707
    @daylight1707 8 месяцев назад +4

    Sema kimeumana 😂😂😂😂😂

  • @BushurJoel-t4f
    @BushurJoel-t4f 8 месяцев назад +2

    nabado utakoma huo uhun unaofanya kisa unaela umalaya utakutokea puan

  • @puritymaina467
    @puritymaina467 8 месяцев назад +3

    Kuna kitu sijaelewa,huyu bibiye ni mchawi au

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 8 месяцев назад +1

    Utaisoma namba kuchezea watoto wawatu mbwa wewe laana ya zuu, mwaume mshenzi sana bwa wewe chizi wewe halina akili kabisa baya sura

  • @AmerAlamri-h7e
    @AmerAlamri-h7e 8 месяцев назад +4

    Amina

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 7 месяцев назад +1

    AAMEN na kwako pia mtumishi

  • @Emmanuela_pius
    @Emmanuela_pius 8 месяцев назад +4

    Hahah nimecheka kweli eti maisha ya yamekuwa Vetinamu na Rambo 🤣🤣

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 8 месяцев назад +3

    Ushauri wangu mrudie da zuu yani ushafeli kitambo ndo uone muhimu wa da zuu na hutokaa upate Amani radhi za mkewe hizo

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 8 месяцев назад

      Zuu aliondoka mwenyewe hakufukuzwa wala hajapewa talaka vp amrudie ?

    • @GatekaFatma
      @GatekaFatma 8 месяцев назад

      @@ruqaiamohammed345 unajuwa ndugu yangu ww km mwanamke unaelewa Kweli kajiondowa sababu ni makosa yake Alitakiw muombe mkewe msamaha na arudishe chukulia ni ww ungefanyaje afu wanawake tunapenda kubembelezwa kuliko akae anaangalia hivo bora Atubu arudishe mkewe aowe Amina aendelee namaisha yao kuliko kukokotana na bizimgara

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 8 месяцев назад +3

    Umejiingiza kwa Mwanamke MCHAWI.

    • @BrendaMarani-ml1lv
      @BrendaMarani-ml1lv 8 месяцев назад

      Huyu anafaa tu Aishi na mchawi maansa huyu mwanaume tabia yake mbaya sana kuonjaonja wanawame

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 8 месяцев назад +2

    Kakutana na kigagula kaz anayo

  • @Grace-l9l8y
    @Grace-l9l8y 8 месяцев назад +3

    Amen

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr 8 месяцев назад +2

    Ngoja kibarua kiote nyasi akili itamkaa sw

  • @BushurJoel-t4f
    @BushurJoel-t4f 8 месяцев назад +2

    Utalipwa sawasawa nakazi yako nautaachika sana

  • @asdasd9253
    @asdasd9253 8 месяцев назад +2

    Ukisimama nambu kisawa sawa hapaharibiki kitu

  • @nyoe1394
    @nyoe1394 8 месяцев назад +2

    Amen

  • @Eunice-k7n
    @Eunice-k7n 8 месяцев назад +2

    Amen

  • @marthalazaro9739
    @marthalazaro9739 8 месяцев назад +1

    We nae umezoea kuvua chupi ovyo, mfyuuuu

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 Месяц назад

    Eti anafanya mambo kimyakimya pyeee wachawi hawawezekani huyu kashachukuliwa kila kitu nywele kucha jasho boxa nyayo,baba huchomoki,kufa ni dk 0 hapo

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 8 месяцев назад +2

    😂😂😂😂kaka umenichekesha sana ivi unavyo nioji sijuinajasikia mke bi zuu tu

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 8 месяцев назад +2

    Unalana we kaka umrudieee mkeo

  • @RahmaAlly-pe2vb
    @RahmaAlly-pe2vb Месяц назад

    Zuu nilikwambia dini tudan je umeaamin kua malipo yapo ss anajuta ila mungu akusaidie ww kk kitu ulichomfanyia zuu ckizur kwakwel

  • @NeemaNchimbi-s2j
    @NeemaNchimbi-s2j 25 дней назад

    Wangoni tunasema ugendili gendili hapa uhikili maana yake umetembea tembea apa umefika

  • @5awlamamari959
    @5awlamamari959 8 месяцев назад +2

    Kwani mwenye makosa ni nani, ni Zuu au ni yeye mwanamme ,?

  • @esthakilicho
    @esthakilicho 8 месяцев назад +2

    Jiagaliye usikurupuke tena 😂😂 uzni lakini

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 8 месяцев назад

    Kama huohooi chochote mpe talaka 🤣🤣🤣🤣 mbona huweleweki?wewe ni thuma amani thuma kafaru.huku unaamini mungu huku huamini ndio mana unajua hivyo.wewe huogopi mpe talaka🤣🤣🤣🤣🤲🙏

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 Месяц назад

    Huyo fatuma ajue nyumba ya zuu hiyo,atasemaje utaondoka wewe mimi utaniacha,

  • @ZubidaAlmasoudi
    @ZubidaAlmasoudi 10 дней назад

    Maaisha ya mitandaoni Mie siwez ht yanifike koon

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 8 месяцев назад +3

    Huyu nae ni mtihani tu

  • @BarkerNassir001
    @BarkerNassir001 4 месяца назад

    Machozi ya mwanamke alie nauchungu haya dongoki bure bro jirekebishe uishi na zuu na uwache mambo mengi

  • @clarabangwa8986
    @clarabangwa8986 8 месяцев назад +2

    Mmmm shida kwer

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 8 месяцев назад +3

    😂😂😂😂Acha amina afurai sasa

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 8 месяцев назад

      Amina mwenyewe kivuruge Tu afurahi nini

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад

    DAWA YA HUYO MKE WAKO NI KANISA TUUU KWA MAOMBI. WEWE KANISANI NI DAKIKA TUU. NENDA KWA NABII LUKA MAENEO YA KIBAHA VISIGA. HUYO NI DAKIKA TUU . AU NENDA KWA KUHANI MUSA KIMARA PIA NI DAKIKA TUU.

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u Месяц назад

    Wewe kaka wewe kaka muombe msamaha mkeo zuu kwann unahakaika Ivo lakin

  • @KeruboIrene1333
    @KeruboIrene1333 8 месяцев назад +4

    Amen 🙏🙌 mwaka huu ni mwaka wangu wa baraka

  • @AminaMohammed-hb9kd
    @AminaMohammed-hb9kd 3 месяца назад

    Kubabababakee nimewapenda tatuma na zuh hy xx c unataka kumuoa amina hy kaoe

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад

    Halafu wewe kweli mtanzania wa pwani. Maana unaonekana uswahili umekijaa . Huna la zaidi wewe ni wanawake tuu.

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u Месяц назад

    We kaka muombe msamaha mkeo zuu kiukweli bila hivyo utateseka sana

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 8 месяцев назад

    Tatizo wewe nawe unaongea sana ungeyamaliza kimyakimys sasa haya yote sianayasikua?huoni nae atajipanga?hiyo ndio dunia

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 8 месяцев назад +2

    😂😂😂hayo makonzi tu bakora bado

    • @RamlaMburi
      @RamlaMburi 8 месяцев назад

      Imecheka😂😂😂

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr 8 месяцев назад +2

    Leo umetuweza Kevin, baada ya kusubir utamu huu

  • @AminaMohammed-hb9kd
    @AminaMohammed-hb9kd 3 месяца назад

    Ukome. Tena ukome c unajifanya kiboro dinda zipu mkononi

  • @fatumanoor2314
    @fatumanoor2314 7 дней назад

    Mimi binafsi mampeda zuu

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 8 месяцев назад +1

    Baba Abdul nenda kayaeleze hayo kimara temboni utamaliza pesa kwawaganga nenda kimara temboni ataumbukiwa ataombewa hawezi Tena kugusa uchawi wake na hataweza kukufanyia chochote

    • @PendoDaniely-v7f
      @PendoDaniely-v7f 8 месяцев назад

      Nikweli kbx aende kimara temboni atapona

  • @faridaabdallah7424
    @faridaabdallah7424 4 месяца назад

    Tunaomba interview ya hawa watu wameishia wapi pls tiktv

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 8 месяцев назад +1

    Tiki TV siku ukikutana nae Baba Aduri muhulize kuusu hiyo Pete yake 😂nani kakwambia chui Anamuogopa paka subili mwanamke huyo mpya ulioa Akutoe kafala😂😂😂😂😂

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 8 месяцев назад +2

    Mbona bado makarama ya Zuu hayo haya kaoe tena 😂😂

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 8 месяцев назад +2

    Amina inshahalla na wewe pia kaka

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 8 месяцев назад +3

    😢😢😢😂😂😂

  • @Zainabu-z1e
    @Zainabu-z1e Месяц назад

    Acha zako una jiobopeya t. Ww

  • @NajatMajid-m7m
    @NajatMajid-m7m 8 месяцев назад

    Tafuta shekhe aje hapo nyumbani apige kisomo

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад

    Kumbe unao wengii . Basi umekkmeshwa.

  • @Latifa123Latifa12
    @Latifa123Latifa12 Месяц назад

    Asante kaka angu amina usimwache

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 8 месяцев назад +1

    😂😂😂ila huyu mkamka mungu anamuona anavyo jishauwaga .kuongea😅😅😅

  • @NahimanaMwamini
    @NahimanaMwamini 8 месяцев назад +1

    Umalaya umekuzidi muogope Mungu wako

  • @halimaPius
    @halimaPius 2 месяца назад

    Huyo ndio alikua anampiga Amina viboko

  • @HusnaMm-h3v
    @HusnaMm-h3v 8 месяцев назад +1

    Pole sana IPO siku utampata wako wamilele atatuliya na ww ut

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 8 месяцев назад

    Na bado kitakuramba ndo upunguze umalay

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 8 месяцев назад +2

    Yaa leo kali 😊😊

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 7 месяцев назад

    Na badooo timu zuu hadi kieleweke😂😂😂

  • @FrolFrol-qq4vk
    @FrolFrol-qq4vk 8 месяцев назад +3

    Bado sana kitakulamba

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 8 месяцев назад +3

    Amen

  • @marthalazaro9739
    @marthalazaro9739 8 месяцев назад

    We made Umezoea kuvua chupi ovyo, mfyuuuu

  • @Vzv-w5q
    @Vzv-w5q 8 месяцев назад +2

    Amiin yarabby Amiin

  • @MarthaKidirya
    @MarthaKidirya 8 месяцев назад

    Yuko kwenye chamaz Cha kichaw