Safi na Bado utavuna ulichopanda ..bwa wewe ulitaka uchezee wanawake tu halafu uzidi kupata raha wengine walie Sasa zamu yako umefika hata sikuhurumii mimi
Hicho kibarua kiote nyasi tu maana ndo kinakupa jeuri ya kuchezea wanawake, ukibaki na kende zako mbili utamkumbuka huyo alietayari kuuza gengeduka! Huyo Amina anakushobokea tu kwa vile una vihela, ukibaki na tako jeupe sidhani kama atakuvumilia.
iyo ndio uzuri ya ku oa oa na kuolewa olewa na watu tofaut tofauti lama unge tulia na bibi yako wakwanza haya yote aunge kutana nayo tama mbele mauti nyuma na ukumbuke machozi ya mke au mme wa ujana wako aiwexi ikakuacha uishi salama😢😢
WAGANGA NA WACHAWI LAO MOJA WANAO WANAO MCHEZEA NI WAGANGA HAOHAO, NILISEMA TOKA MWANZO WAOKOKE NA AMINA MAISHA YAO YANGEBADILIKA, AKIENDELEA NA USHILIKINA ATAANGAMIA, LAKINI MUNGU ANA KUSUDI NA HUYU KAKA MUNGU AMSAIDIYE.
Mazito yote hayo yalio kupitia lakini bado upo na furaha yako yote.ungekaa vizuri na da zuu yote yasingekupata wenda mpaka muda huu ungekuwa na maendeleo mazuri sana kimaisha.sasa upo unatapatapa pakushika na kuacha huna.na unaendelea kutoa matumizi nyumba zote tatu.huoni kama huo ni mzigo wa kujitakia?rudi kwa zuu umuombe msamaha mrudiane mlee watto.
😂😂😂 unalalamika nini sasa 😂😂😂 umekomeshwa Baba Abdul. Muombe Zu msamaha Kaka. Acha misemo kibao na hata kuishi na wake zako huwezi... Badilisha tabia zako
Naufatilia mkasa huu wote mwanzo wa zuu Amina na bi Fatma daa nampa pole sana Aly Kwa upande wa zuu Mimi simuhurumii sababu alimkabidhi mwenyewe mumewe dada wa kazi haiwezekani kabisa uwe unaenda safar ya biashara halafu mume umuachie dada
@@ruqaiamohammed345 unajuwa ndugu yangu ww km mwanamke unaelewa Kweli kajiondowa sababu ni makosa yake Alitakiw muombe mkewe msamaha na arudishe chukulia ni ww ungefanyaje afu wanawake tunapenda kubembelezwa kuliko akae anaangalia hivo bora Atubu arudishe mkewe aowe Amina aendelee namaisha yao kuliko kukokotana na bizimgara
Kama huohooi chochote mpe talaka 🤣🤣🤣🤣 mbona huweleweki?wewe ni thuma amani thuma kafaru.huku unaamini mungu huku huamini ndio mana unajua hivyo.wewe huogopi mpe talaka🤣🤣🤣🤣🤲🙏
DAWA YA HUYO MKE WAKO NI KANISA TUUU KWA MAOMBI. WEWE KANISANI NI DAKIKA TUU. NENDA KWA NABII LUKA MAENEO YA KIBAHA VISIGA. HUYO NI DAKIKA TUU . AU NENDA KWA KUHANI MUSA KIMARA PIA NI DAKIKA TUU.
Baba Abdul nenda kayaeleze hayo kimara temboni utamaliza pesa kwawaganga nenda kimara temboni ataumbukiwa ataombewa hawezi Tena kugusa uchawi wake na hataweza kukufanyia chochote
Tiki TV siku ukikutana nae Baba Aduri muhulize kuusu hiyo Pete yake 😂nani kakwambia chui Anamuogopa paka subili mwanamke huyo mpya ulioa Akutoe kafala😂😂😂😂😂
Safi na Bado utavuna ulichopanda ..bwa wewe ulitaka uchezee wanawake tu halafu uzidi kupata raha wengine walie Sasa zamu yako umefika hata sikuhurumii mimi
Amin 🤲🏻
Amiin 🤲❤❤❤
AMEEN🤲
Mchawi hawezi kuacha uchawi kisa ndoa Tena ukimchezea atawamaliza
Ukiskia kuruka mkojo kukanyaga mavi ndiyo huku Sasa.
Hicho kibarua kiote nyasi tu maana ndo kinakupa jeuri ya kuchezea wanawake, ukibaki na kende zako mbili utamkumbuka huyo alietayari kuuza gengeduka! Huyo Amina anakushobokea tu kwa vile una vihela, ukibaki na tako jeupe sidhani kama atakuvumilia.
Akibaki na nn😂😂jmn
Huyu jamaa muongo ana tabia mbaya tu hakai na wanawake 😂😂😂😂 Mzeee tumekustukia ww una matatizo
We mwenyewe huna imani ndo maana unamuogopa kuliko hata muumba wa viumbe
Hapo Mungu hakuachi ukae kwa usalama, ulivyomzingua da Zuu yataendekea kukukuta mpaka uende umuombe msamaha muendelee kuishi wote
Huyu kaka anamatatizo mume materials hawi hiv da zu alivumilia😂 hili gumegume haswa😂
Gonga like kama umeona ile ngeu ya ajali aliyopata siku anaenda kuoa Amina ndoa ikafeli.
Amebaki kutolewa tu roho huyu😂😂
Naomba asfe ila apokee mateso
😂😂😂😂 ipo alama kweli
🤣🤣🤣🤣
iyo ndio uzuri ya ku oa oa na kuolewa olewa na watu tofaut tofauti lama unge tulia na bibi yako wakwanza haya yote aunge kutana nayo tama mbele mauti nyuma na ukumbuke machozi ya mke au mme wa ujana wako aiwexi ikakuacha uishi salama😢😢
Pole kaka mrudie mke wako Zuuuu. Hayo mengine yaache kwanza
Chozi la mwanamke ugopa sana
Kuhangaika sana umekutana najini
Acha upumbavu, huna lolote, Zuu ajifunze nini wakati huyo wa majini yupo anakupeleka kama gari bovu, mfyuuu, umepamia mkuyu kudadeq
WAGANGA NA WACHAWI LAO MOJA WANAO WANAO MCHEZEA NI WAGANGA HAOHAO, NILISEMA TOKA
MWANZO WAOKOKE NA AMINA MAISHA YAO YANGEBADILIKA, AKIENDELEA NA USHILIKINA
ATAANGAMIA, LAKINI MUNGU
ANA KUSUDI NA HUYU KAKA
MUNGU AMSAIDIYE.
Mbona hata kwenye huo ulokole unaosema wachawi wapo washirikina wapo tusidanganyane jamani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan hapo bado hujasema nasemaje bado hujasema 😢😢😢 huruma sana huyu kijana ni wa hovyo kabisa 😂😂😂
Yani komedi hatr🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe shida mshilikina kila kitu lazima mganga muogope Allah siku ya malipo
wakwanza leo naomben like zen
Mwana kulitafuta,
Mungu fundi kaka, machoz ya da Zuu hayakumwagika bule tena ukome sana na ujifunze.
Bado ajasema na atasema
Yani mpaka aseme pumbavu zake.
@@OpMagu yani huyu kaka anaonekana malaya sana sasa hapo ameingia cha kike yani bado angemtisha zaidi
Ana kiranga huyuu
Mazito yote hayo yalio kupitia lakini bado upo na furaha yako yote.ungekaa vizuri na da zuu yote yasingekupata wenda mpaka muda huu ungekuwa na maendeleo mazuri sana kimaisha.sasa upo unatapatapa pakushika na kuacha huna.na unaendelea kutoa matumizi nyumba zote tatu.huoni kama huo ni mzigo wa kujitakia?rudi kwa zuu umuombe msamaha mrudiane mlee watto.
Na bado ulimdharau saan mkeo 😮😮😮
Niushirikina tu watu waolewa 4vioja kwao tu
😂😂😂😂
😂😂😂
ameyakanyaga akayatimba mswike huyo atoki mtu 😂😂
Ukomeeeee...mwana kulitafuta mwana kulipataaa
😂😂😂 unalalamika nini sasa 😂😂😂 umekomeshwa Baba Abdul. Muombe Zu msamaha Kaka. Acha misemo kibao na hata kuishi na wake zako huwezi... Badilisha tabia zako
Nimecheka kama mazuri
Naufatilia mkasa huu wote mwanzo wa zuu Amina na bi Fatma daa nampa pole sana Aly Kwa upande wa zuu Mimi simuhurumii sababu alimkabidhi mwenyewe mumewe dada wa kazi haiwezekani kabisa uwe unaenda safar ya biashara halafu mume umuachie dada
mwanaume wa hovyo sana huyu hafai kuwa mume au baba wa watoto 😢
😂😂😂😂😂
Wanaume wengi wa sasa hawajitambui haya tunayoyasikia hapa yako mengi mitaani huko
Alafu linasura mbaya hili baba khaaa😮😮
@@aishajuma18wanaume wenye sura kama yake ndio waume sasa sio wale walamba lips 👄
@@aishajuma18Allah ndiyo kamuumba
Huyu nae kila mwanamke kwake sie pia unaishi kwa imani za kushirikina huko unapotea
😢😢😢
Sema kimeumana 😂😂😂😂😂
nabado utakoma huo uhun unaofanya kisa unaela umalaya utakutokea puan
Kuna kitu sijaelewa,huyu bibiye ni mchawi au
Ndyo karisishwa na bibi yake😂😂😂
Ndiooo
Utaisoma namba kuchezea watoto wawatu mbwa wewe laana ya zuu, mwaume mshenzi sana bwa wewe chizi wewe halina akili kabisa baya sura
Amina
AAMEN na kwako pia mtumishi
Hahah nimecheka kweli eti maisha ya yamekuwa Vetinamu na Rambo 🤣🤣
😂😂😂
Ushauri wangu mrudie da zuu yani ushafeli kitambo ndo uone muhimu wa da zuu na hutokaa upate Amani radhi za mkewe hizo
Zuu aliondoka mwenyewe hakufukuzwa wala hajapewa talaka vp amrudie ?
@@ruqaiamohammed345 unajuwa ndugu yangu ww km mwanamke unaelewa Kweli kajiondowa sababu ni makosa yake Alitakiw muombe mkewe msamaha na arudishe chukulia ni ww ungefanyaje afu wanawake tunapenda kubembelezwa kuliko akae anaangalia hivo bora Atubu arudishe mkewe aowe Amina aendelee namaisha yao kuliko kukokotana na bizimgara
Umejiingiza kwa Mwanamke MCHAWI.
Huyu anafaa tu Aishi na mchawi maansa huyu mwanaume tabia yake mbaya sana kuonjaonja wanawame
Kakutana na kigagula kaz anayo
Amen
Ngoja kibarua kiote nyasi akili itamkaa sw
Utalipwa sawasawa nakazi yako nautaachika sana
Ukisimama nambu kisawa sawa hapaharibiki kitu
Amen
Amen
We nae umezoea kuvua chupi ovyo, mfyuuuu
Eti anafanya mambo kimyakimya pyeee wachawi hawawezekani huyu kashachukuliwa kila kitu nywele kucha jasho boxa nyayo,baba huchomoki,kufa ni dk 0 hapo
😂😂😂😂kaka umenichekesha sana ivi unavyo nioji sijuinajasikia mke bi zuu tu
Unalana we kaka umrudieee mkeo
Zuu nilikwambia dini tudan je umeaamin kua malipo yapo ss anajuta ila mungu akusaidie ww kk kitu ulichomfanyia zuu ckizur kwakwel
Wangoni tunasema ugendili gendili hapa uhikili maana yake umetembea tembea apa umefika
Kwani mwenye makosa ni nani, ni Zuu au ni yeye mwanamme ,?
Jiagaliye usikurupuke tena 😂😂 uzni lakini
Kama huohooi chochote mpe talaka 🤣🤣🤣🤣 mbona huweleweki?wewe ni thuma amani thuma kafaru.huku unaamini mungu huku huamini ndio mana unajua hivyo.wewe huogopi mpe talaka🤣🤣🤣🤣🤲🙏
Huyo fatuma ajue nyumba ya zuu hiyo,atasemaje utaondoka wewe mimi utaniacha,
Maaisha ya mitandaoni Mie siwez ht yanifike koon
Huyu nae ni mtihani tu
Machozi ya mwanamke alie nauchungu haya dongoki bure bro jirekebishe uishi na zuu na uwache mambo mengi
Mmmm shida kwer
😂😂😂😂Acha amina afurai sasa
Amina mwenyewe kivuruge Tu afurahi nini
DAWA YA HUYO MKE WAKO NI KANISA TUUU KWA MAOMBI. WEWE KANISANI NI DAKIKA TUU. NENDA KWA NABII LUKA MAENEO YA KIBAHA VISIGA. HUYO NI DAKIKA TUU . AU NENDA KWA KUHANI MUSA KIMARA PIA NI DAKIKA TUU.
Wewe kaka wewe kaka muombe msamaha mkeo zuu kwann unahakaika Ivo lakin
Amen 🙏🙌 mwaka huu ni mwaka wangu wa baraka
Kubabababakee nimewapenda tatuma na zuh hy xx c unataka kumuoa amina hy kaoe
Halafu wewe kweli mtanzania wa pwani. Maana unaonekana uswahili umekijaa . Huna la zaidi wewe ni wanawake tuu.
We kaka muombe msamaha mkeo zuu kiukweli bila hivyo utateseka sana
Tatizo wewe nawe unaongea sana ungeyamaliza kimyakimys sasa haya yote sianayasikua?huoni nae atajipanga?hiyo ndio dunia
😂😂😂hayo makonzi tu bakora bado
Imecheka😂😂😂
Leo umetuweza Kevin, baada ya kusubir utamu huu
Ukome. Tena ukome c unajifanya kiboro dinda zipu mkononi
Mimi binafsi mampeda zuu
Baba Abdul nenda kayaeleze hayo kimara temboni utamaliza pesa kwawaganga nenda kimara temboni ataumbukiwa ataombewa hawezi Tena kugusa uchawi wake na hataweza kukufanyia chochote
Nikweli kbx aende kimara temboni atapona
Tunaomba interview ya hawa watu wameishia wapi pls tiktv
Tiki TV siku ukikutana nae Baba Aduri muhulize kuusu hiyo Pete yake 😂nani kakwambia chui Anamuogopa paka subili mwanamke huyo mpya ulioa Akutoe kafala😂😂😂😂😂
Mbona bado makarama ya Zuu hayo haya kaoe tena 😂😂
Amina inshahalla na wewe pia kaka
😢😢😢😂😂😂
Acha zako una jiobopeya t. Ww
Tafuta shekhe aje hapo nyumbani apige kisomo
Kumbe unao wengii . Basi umekkmeshwa.
Asante kaka angu amina usimwache
😂😂😂ila huyu mkamka mungu anamuona anavyo jishauwaga .kuongea😅😅😅
Umalaya umekuzidi muogope Mungu wako
Huyo ndio alikua anampiga Amina viboko
Pole sana IPO siku utampata wako wamilele atatuliya na ww ut
Na bado kitakuramba ndo upunguze umalay
Yaa leo kali 😊😊
Na badooo timu zuu hadi kieleweke😂😂😂
Bado sana kitakulamba
😊😊😊
Tena saaaana
Amen
We made Umezoea kuvua chupi ovyo, mfyuuuu
Amiin yarabby Amiin
Yuko kwenye chamaz Cha kichaw