PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 29 | Love Story

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 2 тыс.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  4 часа назад +582

    JAMANI NAULIZA VIPI TUMALIZE AU TUENDELEE??

    • @LatifaMatayo-sz2cb
      @LatifaMatayo-sz2cb 4 часа назад +26

      Ebu endelea kelvin utupe Raha ila maliza pia utuletee kitu kipya

    • @RaySambali
      @RaySambali 4 часа назад +13

      😢unamalizaje mpaka tuone mwisho wa bwana kunambi

    • @Deborahdepsy-qh4rj
      @Deborahdepsy-qh4rj 4 часа назад +7

      Tumalize mbona hii ndio inabamba bwana😂😂

    • @RaySambali
      @RaySambali 4 часа назад +7

      Where is kunambi

    • @JosefinaReuben
      @JosefinaReuben 4 часа назад +7

      Endelea bwana

  • @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u
    @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u 4 часа назад +392

    Kama kweli unamini mungu ndo kilakitu🙏🙏 basi hii comment usikose like 🎉🎉 from mozambiqui 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @NeemaDenja
      @NeemaDenja 3 часа назад

      Emeee

    • @ButhaynaAboff
      @ButhaynaAboff 2 часа назад

      Mm nimefurahi maana hakuwa na busara na Wala fikra za kuwaza mbeleni

    • @ButhaynaAboff
      @ButhaynaAboff 2 часа назад

      Sasa loveness uwanja wake😂😂

    • @ButhaynaAboff
      @ButhaynaAboff 2 часа назад

      Mama calvin uwache ukali na roho mbaya Kwa mwana wa mwenzio😊

    • @LucyMatotay-td7ru
      @LucyMatotay-td7ru 2 часа назад +1

      Amen ila unapaswa kutumia herufi kubwa, Mungu

  • @MonalisaJacob-lm4jv
    @MonalisaJacob-lm4jv 2 часа назад +80

    Mwisho wa ubaya ni aibu sasa mama kelvin atajifunza 😅😅😅😅 timu loveness gonga like apa 🎉🎉🎉🎉

    • @SalahOmar-p2j
      @SalahOmar-p2j 46 минут назад

      Ubaya ubwelaàaaa😂😂😂

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 часа назад +323

    Kilio Cha mama kelvin furaha kwa wangp😂😂Jaman naona kitawaka moto s kitambo 😂😂😂wanapenda loveness sister wa kelvin n kelvin tujuane 😂🇰🇪🇸🇦👊👊🥰🥰🥰

    • @sofiakinyia2734
      @sofiakinyia2734 3 часа назад +1

      Wote😊

    • @MwanalimaMwalimu-c4m
      @MwanalimaMwalimu-c4m 3 часа назад

      Kilio kwa wote😂😂

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 3 часа назад +2

      ❤❤❤❤❤𝕂𝕓𝕩𝕒 𝕜𝕒𝕜𝕒 𝕦𝕞𝕖𝕗𝕟𝕪𝕒 𝕧𝕫𝕣𝕚 𝕜𝕦𝕞𝕦𝕦𝕞𝕓𝕦𝕒 𝕞𝕒𝕞𝕒 𝕜𝕖𝕝𝕧𝕚𝕟

    • @Nadzuwamangale
      @Nadzuwamangale 3 часа назад +1

      Sote 😂😂😂😂

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr 3 часа назад +1

      Hapo siokulia nikuceka jamani sanamwaminia mukwe wake 😂😂

  • @mercynanjala1757
    @mercynanjala1757 3 часа назад +31

    Wangapi wanataka kipindi kiendelee ❤❤

  • @InukaUangaze-s3y
    @InukaUangaze-s3y 3 часа назад +10

    Mafunzo mazuri sana kwa wazazi kulazimishia watoto kuoa penye hawa pendi kazi safy kelvin ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PatrickPeter-ce9zn
    @PatrickPeter-ce9zn 4 часа назад +51

    Wa kwanza jaman team kelvin usipote bila kugonga like hapa

  • @HawaBeka-t4c
    @HawaBeka-t4c 4 часа назад +106

    Hiv nyie mme muelewa keliv alicho kiongea hapo hemu wano taka isiishe saiv had waowane na lavness gonga like mchezo mzur san huu et aendeele hd epsd ya 50

  • @jesusFrancisco-p5u
    @jesusFrancisco-p5u 4 часа назад +36

    Leo wakwanza mimi kutoka Mozambique, nnaomba like zangu ❤

  • @hamidasaid-oh8fs
    @hamidasaid-oh8fs 3 часа назад +45

    Wanaoamini ndoa iko kwa loveness gonga like tukisonga team hamam hoyeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j 3 часа назад +55

    Hakika Mungu nilie muomba amejibu maombi 🙏🙏 kama tuko wengi bc kushukuru kw like 🎉🎉🎉❤❤❤ kazi nzuri much love to all of us as a DONTA TV 💞💞🌹🌹🇰🇪🇸🇦

    • @FaithObash
      @FaithObash 2 часа назад +3

      Swali n Secretary atakufa n akuna evidence meaning tina watajukua company plz nijibu from saudi Arabia

    • @GraceKenya-i4j
      @GraceKenya-i4j Час назад

      @@FaithObash sidhani cz kuna ili bag kuhifadhi kendy n pia kendy aliwaona wakizungumza pole dayana n mr kiznga so ata km dayana atakufa bt kendy anaushaidi

  • @naturebclassic447
    @naturebclassic447 4 часа назад +52

    Wakwanza Kenya moja.wpi likes

  • @CharlesAswani-oe4pr
    @CharlesAswani-oe4pr 4 часа назад +33

    Wapi like za kelvin apa much love from Kenya guys like back ❤ kelvin pig up 💪

  • @judithogaya9730
    @judithogaya9730 3 часа назад +27

    Duh kazi ndio inaeelekea pa moto 💥💥💥 I'm watching from Kenya 🇰🇪 currently Qatar,vipi mauwa 🍀👌🔥💕 kwa kikosi cha kelvine na mie naomba tuu like kumi zanitosha wajombeee 😂😂

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs 3 часа назад +7

    Kaz nzuri sana ila hapa dunia usimwamini mtu kamwe maaana dens mhhhhh siyo kwa unyama huo mungu atusaidie sana unaona umepata mwanasheria wa familia yako kumbe bora ukakaa bila mwanasheria na maisha yakaenda mtu wakaribu yako ndo mbaya kuliko wambali funzo kubwa sanaaaa kwa duniaaaa ya leo❤❤❤❤❤❤❤

  • @deedesheboytv254
    @deedesheboytv254 4 часа назад +22

    Wa kwanza likes zangu zije ..love from kenya

  • @PriscaDonald-e7d
    @PriscaDonald-e7d 4 часа назад +13

    Jaman huy mama kelvin nampenda anajua kuigiza had raha ila kwa kulia hujambo mama angu i lov u

  • @ThomasKajidu
    @ThomasKajidu 4 часа назад +92

    Naaangalia nkiwa kenya napenda sana kazi yenyu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ wakwanza keo naomba like

  • @esthernekoye-ly5cx
    @esthernekoye-ly5cx 3 часа назад +43

    Napenda sana donta TV kilasiku nawatch na kucoment I'm from Uganda 🇺🇬 but no body has ever like my comment 😭😭

  • @BridiesaxineShikati
    @BridiesaxineShikati 3 часа назад +10

    Leo nimewai nionesheni upendo wakenya 🇰🇪🇰🇪wenzangu team gulf mpo kweli pitieni hapa

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj 4 часа назад +19

    Nimewai Leo ❤❤❤ kelvin KAZI yenu safi sana

  • @MercyChepngeno-c1j
    @MercyChepngeno-c1j 4 часа назад +12

    Kazi nzuri sana kevin❤ maua Yako hiyo🎉🎉🎉🎉

  • @DonbrightKenny
    @DonbrightKenny 4 часа назад +14

    Mi wakwanza nipeni maua yangu ira loveness Dah❤❤❤❤

  • @MMlin-bd2mi
    @MMlin-bd2mi 3 часа назад +6

    Kazi zako zuri sana Kelvin zinanifunz mambo mengi sana chukua maua yako nakupenda

  • @DianaDiana-ej6fn
    @DianaDiana-ej6fn 2 часа назад +3

    Wow,,leo imekuwa moto kama pasi,,,,,kazi nzuri sana kelvin khan.

  • @petersiengo8040
    @petersiengo8040 4 часа назад +42

    Jaman leo wa kwanza nipr like zangu na Mungu atawabariki katika kazi zenu za kila siku

  • @KWIBEAMISIOBAMA-congo
    @KWIBEAMISIOBAMA-congo 4 часа назад +45

    Jaman mbona Mimi ata liké 5 sija wai kuipata ms'Obama from Congo Kolwezi 😢😢🎉🎉

  • @MercyMwakera
    @MercyMwakera 4 часа назад +11

    Leo wa kwanza mm apa from Dubai msimamo Ni uleule tu Kelvin na loveness waowane❤

  • @افااقع
    @افااقع 3 часа назад +4

    Yani mambo ina zidi kua moto nawapenda sana kazi safi ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @OmarNzohabonayo
    @OmarNzohabonayo 3 часа назад +6

    Duu Japo nimecelewa nawapenda sana🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @herllizzythaanaplatnumz8154
    @herllizzythaanaplatnumz8154 4 часа назад +6

    Kazi iendelee nawapenda sana, mozambique

  • @ElizabethJuma-v8q
    @ElizabethJuma-v8q 4 часа назад +11

    Naipenda San hii move 🎉 ina mafunzo Sana

  • @CynthiaMoraa-n5b
    @CynthiaMoraa-n5b 4 часа назад +18

    Leo n Leo mama Kevin aja loveness ajukue hiyo position nipee likes zenyu km munakubaliana

  • @SophlinerDaniel
    @SophlinerDaniel 3 часа назад +4

    Apa sasa mumecheza vizur congratulations nyote mumecheza part zenu❤ vizur one love❤❤❤❤ iendelee

  • @PriscarMbura
    @PriscarMbura 3 часа назад +6

    Pole mama jipe moyo

  • @joseulemcheshi1890
    @joseulemcheshi1890 4 часа назад +16

    Imefika mapema Leo Wacha tuone 🎉🎉🎉 thanks team donta

  • @IreneValentine-gt1ex
    @IreneValentine-gt1ex 4 часа назад +21

    Kam unamkubal ❤️ na kelvin gonga lak hap

  • @NuruMalipula
    @NuruMalipula 4 часа назад +23

    Mimi Leo wa kwanza jamani naombeni hata like moja

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 2 часа назад +4

    Safi sana mama Calvin na bado ujalia utalia mpaka usage meno ndo utajua kuamini rafiki kuliko familia yako

  • @MwanashaNyamawi
    @MwanashaNyamawi 3 часа назад +3

    Tuendelee jamani story tamu Sana mwanasha from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Annemumbe-r2z
    @Annemumbe-r2z 3 часа назад +7

    Santa mama kevin ashajua ukwel 💪💪💪

  • @ShaafrPmafukwe
    @ShaafrPmafukwe 4 часа назад +16

    Wakwanza nipeni maua yangu ❤❤❤

  • @NduwayezuFiacre
    @NduwayezuFiacre 4 часа назад +19

    Mimi wa kwanza kutoka 🇧🇮🇧🇮 ebu nipeni like hata milioni

  • @nancyshikuku-vs9le
    @nancyshikuku-vs9le 2 часа назад +3

    Waah sasa Mali tumenyang,anywa tu hivyo jamani😢😢 am waiting from Saudi Arabia ❤❤❤❤ good job guys nawapenda sana.

  • @Asumandere-rn7nz
    @Asumandere-rn7nz 3 часа назад +91

    Hiv jaman sis wengine ndo hutupewagi like kwa nin

    • @LucyMatotay-td7ru
      @LucyMatotay-td7ru 2 часа назад

      Hizi like huwa nizanini jamani 😮

    • @Anamika-w1h
      @Anamika-w1h Час назад

      Ukijibiwa unambie ju kila mtu anataka likes sjui zanini​@@LucyMatotay-td7ru

  • @RichardMuteke
    @RichardMuteke 4 часа назад +90

    Mama Kevin ni wewe umemtumbukiza mwanao kama uko pamoja na Mimi leta bendera Yako hapa 🇨🇩🇨🇩

    • @VestineKazokura
      @VestineKazokura 3 часа назад +1

      from🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @RichardMuteke
      @RichardMuteke 3 часа назад

      @@VestineKazokura karibu

    • @AminaSendekwa
      @AminaSendekwa 3 часа назад +2

      🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @NajmaAmir-w6v
      @NajmaAmir-w6v 3 часа назад +1

      ​@@AminaSendekwa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✌️✌️

    • @RichardMuteke
      @RichardMuteke 3 часа назад

      @@AminaSendekwa Karibu

  • @PatienceKambale
    @PatienceKambale 4 часа назад +6

    Mwendelee Kelvin munanifuraishaka sana❤

  • @Neylajuma-j2k
    @Neylajuma-j2k 4 часа назад +14

    Wa kwanza leo nipeni like zangu❤

  • @MauaNadegeCIZA
    @MauaNadegeCIZA 3 часа назад +3

    Endelea,munacheza vizuri na wapenda sana❤❤❤❤❤

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 3 часа назад +3

    Kelvin upo vizuri brother nakufa nipo South Africa

  • @nyikasakayanyikasgeeti
    @nyikasakayanyikasgeeti 4 часа назад +7

    kazi zuri sana

  • @AishaSalem-g2v
    @AishaSalem-g2v 3 часа назад +4

    Kana mda wazazi wanatuaribia maisha ama kweli..shukran bro kelvin kwa mafunzo apa nimejifunza mengi sana

  • @norahnorbeth164
    @norahnorbeth164 4 часа назад +16

    Nimekuwa wa kwanza leo naomba like zanguuuu❤❤❤

  • @NeriusKithisyo
    @NeriusKithisyo 2 часа назад +2

    Kazi nzuri endeleeni inapamba roho na elimu kwa jamii yote.

  • @BintiM-di1wm
    @BintiM-di1wm 2 часа назад +3

    Sasa Kelvin mke umekosa na office imernda pia ,wacha tuone kutaendaje ila mungu aingilie kati na yule alopewa sumu mungu amponye ❤❤❤kzi nzr 🔥🔥

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 4 часа назад +6

    Kz nzur mashallah maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MaryKenga-d8v
    @MaryKenga-d8v 3 часа назад +3

    Tuendelee jameni utamu haujaisha mm natengeshea nikiwa Italy jameni pamoja sana❤❤❤❤❤❤napenda KAZI zenu Allah awazidishie inshallah

  • @AsiaOmari-w8q
    @AsiaOmari-w8q 3 часа назад +3

    Hìi move iko na mafunzo sn yaan ongereni kz nzur ❤❤❤

  • @AminaSada-h4p
    @AminaSada-h4p 2 часа назад +2

    Mama kelvin umeumbuka sana but nimejifunza kitu thanks so much ❤❤❤❤

  • @paaboytz5855
    @paaboytz5855 3 часа назад +8

    Hii imekuwa fundisho kwa wazazi kuhusu ubishi wao nakujiona wao ndo Kila kitu wanajua Hawana muda wa kutusikiliza watoto hongera sana Kevin na familia ya donta TV kwa love story nzuri na yenye kusisimua

  • @Saumu-vr4bc
    @Saumu-vr4bc 4 часа назад +12

    Wakwanza leo penda sana don't tv

  • @KhadlanKahlani
    @KhadlanKahlani 4 часа назад +8

    Wow nmekuw wakwaz leo jmn 😊

  • @khamiskhamis3278
    @khamiskhamis3278 4 часа назад +7

    Kazi nzuri. I'm no 1!❤

  • @YASINFADHILI-er1xp
    @YASINFADHILI-er1xp 2 часа назад +3

    Yaaani jaman hii movie nzuri sana yani kam movie za wazungu ivii yani tam sana na hii mipang so pw wahuni wanasem iinaunyama xanaaaaaa❤❤❤

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 2 часа назад +2

    Kwa kina Kelvin leo n mwendo wa vilio😢😢tu simanzi kibao,,mm kalia kwel ndo wazaz mji funze kwa kufikia hpo bdo magumi n mteke ya wakazawana,,hongera sna Mr Kelvin n wenzako mko makini aisei

  • @RahmaDdd-m2f
    @RahmaDdd-m2f 3 часа назад +6

    Muendelee jamani ❤❤❤❤❤❤❤

  • @CharleneArakaza-x6j
    @CharleneArakaza-x6j 4 часа назад +26

    I'm number one in the comment charlen from Burundi nipeni like zangu jamani❤

  • @RemtahNanzala-k3k
    @RemtahNanzala-k3k 4 часа назад +8

    Mimi wa kwanza kutoka kenya

  • @FalidaIssa
    @FalidaIssa 3 часа назад +2

    Pole mama umeona uliekua unamuonabola kumbe nyoka Kali sana Tina ninyoka

  • @EmanuelLangwe
    @EmanuelLangwe Час назад +4

    Bonge la series, hongereni sana # DONTA TV kwa kazi nzuri. Kama unakubali gonga like hapa🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @geraldinho240
    @geraldinho240 4 часа назад +10

    Some time wazazi nao huwa wanakosea kukuchagulia mke nini sasa hiki Ndio liwe funzo na kwa wengine

  • @MajimbiTz
    @MajimbiTz 4 часа назад +23

    WA MWISHO LEO NAOMBA LIKE 5 TU JAMAN.. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @MaryMmole-en9qz
    @MaryMmole-en9qz 3 часа назад +3

    Pole mama ukujua kumbe

  • @Mani_Maher
    @Mani_Maher 2 часа назад +2

    Denis usidhani kama umepata, msariti usaritiwa. Hasa kwenye hiyo family ni wasariti wakubwa.
    POLE SANA KELVIN, KUWA NA MOYO, KUWA NA ❤NESS.

  • @ZAHARA-s2m
    @ZAHARA-s2m 2 часа назад +2

    Jaman 🎉🎉🎉🎉kazi nzur sana walahi next please tuone hicho kikao wanavyosambaratisha ndoa mchana kweupe 😅😅

  • @FlorenceWanjala-u9k
    @FlorenceWanjala-u9k 3 часа назад +4

    Kila mtu nimewahi , nipe like, tunataka comments sio kuwahi na kuomba like, always kev kazi nzuri sana

  • @EdinaRemi
    @EdinaRemi 4 часа назад +8

    Jmn MI leo wa kwanza ku see nimpe bc maua yangu

    • @MarionSalama-b7w
      @MarionSalama-b7w 4 часа назад

      Mm hata sio lazima likes 😂😂bora ni watch tuu

  • @AishaBanyiyezako
    @AishaBanyiyezako 3 часа назад +5

    Tunabapnda Sanaa 🇧🇮🇧🇮❤️❤️

  • @JACKYMUMBI
    @JACKYMUMBI Час назад +1

    Napenda donta TV lazima nifuatilie kila series, goodwork donta TV from kenya

  • @KmssKkss
    @KmssKkss 2 часа назад +2

    Team love atuboi atupoiii alaf tunalingaaa vilevileee maana mama mkweee kashajuaa ukwel arafu kelvin niwetu 💃💃💃 ayaa team hamamuuu mpooo mkujeee apaa tujuaneee

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 4 часа назад +10

    Leo nimewahi jmn kutoka kenya nsinionee 😢😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @SilvestaMgeni-q2p
    @SilvestaMgeni-q2p 4 часа назад +6

    Vizil sana kuitoa mwendelezo napenda sana kaz zen

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 4 часа назад +16

    Wakwanza jamani kutokea kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni like na mie leo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SamuelByakisake
    @SamuelByakisake 3 часа назад +2

    Tuendelee tumefika pazuri muno nawapenda sanaaa ❤❤❤

  • @Loverboy-i2y
    @Loverboy-i2y 2 часа назад +2

    Please msimalize mimi natamani sana ifike episode 35 thanks for good work DONTA TV

  • @frankmwangangi3756
    @frankmwangangi3756 4 часа назад +6

    Kazi Zuri mfanya ..hogeraaaaaaaaaaa❤❤❤❤

  • @WhitemoonJunior
    @WhitemoonJunior 4 часа назад +5

    Tusimalizeee bhana

  • @MosesNguma-t2z
    @MosesNguma-t2z 4 часа назад +8

    Wa kwanza leo nimepeni like zangu

  • @JoramMANIRAKIZA
    @JoramMANIRAKIZA 2 часа назад +2

    Nawapongeza kwa filamu nzuri
    Waswahili kikulacho kikoni nguoni nimwako kweli
    Hange saana nao unaye amini

  • @TanashaDully
    @TanashaDully 3 часа назад +2

    Kaz nzur sana nimeipenda uyu mama Kevin atalia vibaya sana wake wengne sio

  • @pisanotz5348
    @pisanotz5348 2 часа назад +10

    Sitaki mtu alike comment yangu otherwise tutagombana

  • @jamilamvunyi2247
    @jamilamvunyi2247 4 часа назад +10

    Wakwanza jamani lik😊

  • @StephanoStephano-xe2px
    @StephanoStephano-xe2px 4 часа назад +6

    yaaan unakuta tumeisubilii mda wote❤❤l❤❤

  • @albertkassian1495
    @albertkassian1495 2 часа назад +2

    Budget ni kubwa tukisema tuendelee hapa tu inatosha .shukurani nyingi kwa sponserd team and DontaTv family .tunawapenda sana

  • @EsterMkumbo-b7d
    @EsterMkumbo-b7d 3 часа назад +2

    Tuendelee adi tuone Kelvin umemuoa Loveness❤❤❤❤

  • @MariamMchomvu-q3s
    @MariamMchomvu-q3s 3 часа назад +3

    Waooo leo mama unaumbukaa vibaya

  • @vailethkalinga6504
    @vailethkalinga6504 2 часа назад +3

    Hapana uendelee Iko vizuri sana

  • @chombosamoo7958
    @chombosamoo7958 4 часа назад +11

    Wa kwanza leo 🇰🇪

  • @MaryamMaryam-vl8lm
    @MaryamMaryam-vl8lm 2 часа назад +1

    Kelvn tuendelee huu mchezo mzur sna nafurahi ninapo utazama n tupe mbili mbili kma doss

  • @MaryianKea
    @MaryianKea 2 часа назад +3

    Hatimaye leo mama kelvin ameumbuka😂😂😂c uendlee kushangilia na kumtetea tina na kuona loveness kuwa kero kwako😂😂😂ama kweli mungu halalii wapi likes from kenya🎉🎉🎉🎉🎉