Hiv nyie mme muelewa keliv alicho kiongea hapo hemu wano taka isiishe saiv had waowane na lavness gonga like mchezo mzur san huu et aendeele hd epsd ya 50
@@FaithObash sidhani cz kuna ili bag kuhifadhi kendy n pia kendy aliwaona wakizungumza pole dayana n mr kiznga so ata km dayana atakufa bt kendy anaushaidi
Duh kazi ndio inaeelekea pa moto 💥💥💥 I'm watching from Kenya 🇰🇪 currently Qatar,vipi mauwa 🍀👌🔥💕 kwa kikosi cha kelvine na mie naomba tuu like kumi zanitosha wajombeee 😂😂
Kaz nzuri sana ila hapa dunia usimwamini mtu kamwe maaana dens mhhhhh siyo kwa unyama huo mungu atusaidie sana unaona umepata mwanasheria wa familia yako kumbe bora ukakaa bila mwanasheria na maisha yakaenda mtu wakaribu yako ndo mbaya kuliko wambali funzo kubwa sanaaaa kwa duniaaaa ya leo❤❤❤❤❤❤❤
Hii imekuwa fundisho kwa wazazi kuhusu ubishi wao nakujiona wao ndo Kila kitu wanajua Hawana muda wa kutusikiliza watoto hongera sana Kevin na familia ya donta TV kwa love story nzuri na yenye kusisimua
Kwa kina Kelvin leo n mwendo wa vilio😢😢tu simanzi kibao,,mm kalia kwel ndo wazaz mji funze kwa kufikia hpo bdo magumi n mteke ya wakazawana,,hongera sna Mr Kelvin n wenzako mko makini aisei
Team love atuboi atupoiii alaf tunalingaaa vilevileee maana mama mkweee kashajuaa ukwel arafu kelvin niwetu 💃💃💃 ayaa team hamamuuu mpooo mkujeee apaa tujuaneee
Hatimaye leo mama kelvin ameumbuka😂😂😂c uendlee kushangilia na kumtetea tina na kuona loveness kuwa kero kwako😂😂😂ama kweli mungu halalii wapi likes from kenya🎉🎉🎉🎉🎉
JAMANI NAULIZA VIPI TUMALIZE AU TUENDELEE??
Ebu endelea kelvin utupe Raha ila maliza pia utuletee kitu kipya
😢unamalizaje mpaka tuone mwisho wa bwana kunambi
Tumalize mbona hii ndio inabamba bwana😂😂
Where is kunambi
Endelea bwana
Kama kweli unamini mungu ndo kilakitu🙏🙏 basi hii comment usikose like 🎉🎉 from mozambiqui 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Emeee
Mm nimefurahi maana hakuwa na busara na Wala fikra za kuwaza mbeleni
Sasa loveness uwanja wake😂😂
Mama calvin uwache ukali na roho mbaya Kwa mwana wa mwenzio😊
Amen ila unapaswa kutumia herufi kubwa, Mungu
Mwisho wa ubaya ni aibu sasa mama kelvin atajifunza 😅😅😅😅 timu loveness gonga like apa 🎉🎉🎉🎉
Ubaya ubwelaàaaa😂😂😂
Kilio Cha mama kelvin furaha kwa wangp😂😂Jaman naona kitawaka moto s kitambo 😂😂😂wanapenda loveness sister wa kelvin n kelvin tujuane 😂🇰🇪🇸🇦👊👊🥰🥰🥰
Wote😊
Kilio kwa wote😂😂
❤❤❤❤❤𝕂𝕓𝕩𝕒 𝕜𝕒𝕜𝕒 𝕦𝕞𝕖𝕗𝕟𝕪𝕒 𝕧𝕫𝕣𝕚 𝕜𝕦𝕞𝕦𝕦𝕞𝕓𝕦𝕒 𝕞𝕒𝕞𝕒 𝕜𝕖𝕝𝕧𝕚𝕟
Sote 😂😂😂😂
Hapo siokulia nikuceka jamani sanamwaminia mukwe wake 😂😂
Wangapi wanataka kipindi kiendelee ❤❤
Mafunzo mazuri sana kwa wazazi kulazimishia watoto kuoa penye hawa pendi kazi safy kelvin ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa kwanza jaman team kelvin usipote bila kugonga like hapa
Hiv nyie mme muelewa keliv alicho kiongea hapo hemu wano taka isiishe saiv had waowane na lavness gonga like mchezo mzur san huu et aendeele hd epsd ya 50
Leo wakwanza mimi kutoka Mozambique, nnaomba like zangu ❤
Wanaoamini ndoa iko kwa loveness gonga like tukisonga team hamam hoyeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Hakika Mungu nilie muomba amejibu maombi 🙏🙏 kama tuko wengi bc kushukuru kw like 🎉🎉🎉❤❤❤ kazi nzuri much love to all of us as a DONTA TV 💞💞🌹🌹🇰🇪🇸🇦
Swali n Secretary atakufa n akuna evidence meaning tina watajukua company plz nijibu from saudi Arabia
@@FaithObash sidhani cz kuna ili bag kuhifadhi kendy n pia kendy aliwaona wakizungumza pole dayana n mr kiznga so ata km dayana atakufa bt kendy anaushaidi
Wakwanza Kenya moja.wpi likes
Let us copy this guy
Wapi like za kelvin apa much love from Kenya guys like back ❤ kelvin pig up 💪
Duh kazi ndio inaeelekea pa moto 💥💥💥 I'm watching from Kenya 🇰🇪 currently Qatar,vipi mauwa 🍀👌🔥💕 kwa kikosi cha kelvine na mie naomba tuu like kumi zanitosha wajombeee 😂😂
Kaz nzuri sana ila hapa dunia usimwamini mtu kamwe maaana dens mhhhhh siyo kwa unyama huo mungu atusaidie sana unaona umepata mwanasheria wa familia yako kumbe bora ukakaa bila mwanasheria na maisha yakaenda mtu wakaribu yako ndo mbaya kuliko wambali funzo kubwa sanaaaa kwa duniaaaa ya leo❤❤❤❤❤❤❤
Wa kwanza likes zangu zije ..love from kenya
Jaman huy mama kelvin nampenda anajua kuigiza had raha ila kwa kulia hujambo mama angu i lov u
Naaangalia nkiwa kenya napenda sana kazi yenyu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ wakwanza keo naomba like
Napenda sana donta TV kilasiku nawatch na kucoment I'm from Uganda 🇺🇬 but no body has ever like my comment 😭😭
Usihuzunike
@@bakariluhala7332 thank you 🤗
Leo nimewai nionesheni upendo wakenya 🇰🇪🇰🇪wenzangu team gulf mpo kweli pitieni hapa
Nimewai Leo ❤❤❤ kelvin KAZI yenu safi sana
Kazi nzuri sana kevin❤ maua Yako hiyo🎉🎉🎉🎉
Mi wakwanza nipeni maua yangu ira loveness Dah❤❤❤❤
Kazi zako zuri sana Kelvin zinanifunz mambo mengi sana chukua maua yako nakupenda
Wow,,leo imekuwa moto kama pasi,,,,,kazi nzuri sana kelvin khan.
Jaman leo wa kwanza nipr like zangu na Mungu atawabariki katika kazi zenu za kila siku
Jaman mbona Mimi ata liké 5 sija wai kuipata ms'Obama from Congo Kolwezi 😢😢🎉🎉
Leo wa kwanza mm apa from Dubai msimamo Ni uleule tu Kelvin na loveness waowane❤
Yani mambo ina zidi kua moto nawapenda sana kazi safi ❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Duu Japo nimecelewa nawapenda sana🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kazi iendelee nawapenda sana, mozambique
Naipenda San hii move 🎉 ina mafunzo Sana
Leo n Leo mama Kevin aja loveness ajukue hiyo position nipee likes zenyu km munakubaliana
Apa sasa mumecheza vizur congratulations nyote mumecheza part zenu❤ vizur one love❤❤❤❤ iendelee
Pole mama jipe moyo
Imefika mapema Leo Wacha tuone 🎉🎉🎉 thanks team donta
Kam unamkubal ❤️ na kelvin gonga lak hap
Mimi Leo wa kwanza jamani naombeni hata like moja
Safi sana mama Calvin na bado ujalia utalia mpaka usage meno ndo utajua kuamini rafiki kuliko familia yako
Tuendelee jamani story tamu Sana mwanasha from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Santa mama kevin ashajua ukwel 💪💪💪
Wakwanza nipeni maua yangu ❤❤❤
Mimi wa kwanza kutoka 🇧🇮🇧🇮 ebu nipeni like hata milioni
😂😂
Waah sasa Mali tumenyang,anywa tu hivyo jamani😢😢 am waiting from Saudi Arabia ❤❤❤❤ good job guys nawapenda sana.
Hiv jaman sis wengine ndo hutupewagi like kwa nin
Hizi like huwa nizanini jamani 😮
Ukijibiwa unambie ju kila mtu anataka likes sjui zanini@@LucyMatotay-td7ru
Mama Kevin ni wewe umemtumbukiza mwanao kama uko pamoja na Mimi leta bendera Yako hapa 🇨🇩🇨🇩
from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@@VestineKazokura karibu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@@AminaSendekwa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✌️✌️
@@AminaSendekwa Karibu
Mwendelee Kelvin munanifuraishaka sana❤
Wa kwanza leo nipeni like zangu❤
Endelea,munacheza vizuri na wapenda sana❤❤❤❤❤
Kelvin upo vizuri brother nakufa nipo South Africa
kazi zuri sana
Kana mda wazazi wanatuaribia maisha ama kweli..shukran bro kelvin kwa mafunzo apa nimejifunza mengi sana
Nimekuwa wa kwanza leo naomba like zanguuuu❤❤❤
Kazi nzuri endeleeni inapamba roho na elimu kwa jamii yote.
Sasa Kelvin mke umekosa na office imernda pia ,wacha tuone kutaendaje ila mungu aingilie kati na yule alopewa sumu mungu amponye ❤❤❤kzi nzr 🔥🔥
Kz nzur mashallah maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tuendelee jameni utamu haujaisha mm natengeshea nikiwa Italy jameni pamoja sana❤❤❤❤❤❤napenda KAZI zenu Allah awazidishie inshallah
Hìi move iko na mafunzo sn yaan ongereni kz nzur ❤❤❤
Mama kelvin umeumbuka sana but nimejifunza kitu thanks so much ❤❤❤❤
Hii imekuwa fundisho kwa wazazi kuhusu ubishi wao nakujiona wao ndo Kila kitu wanajua Hawana muda wa kutusikiliza watoto hongera sana Kevin na familia ya donta TV kwa love story nzuri na yenye kusisimua
Wakwanza leo penda sana don't tv
Wow nmekuw wakwaz leo jmn 😊
Kazi nzuri. I'm no 1!❤
Yaaani jaman hii movie nzuri sana yani kam movie za wazungu ivii yani tam sana na hii mipang so pw wahuni wanasem iinaunyama xanaaaaaa❤❤❤
Kwa kina Kelvin leo n mwendo wa vilio😢😢tu simanzi kibao,,mm kalia kwel ndo wazaz mji funze kwa kufikia hpo bdo magumi n mteke ya wakazawana,,hongera sna Mr Kelvin n wenzako mko makini aisei
Muendelee jamani ❤❤❤❤❤❤❤
I'm number one in the comment charlen from Burundi nipeni like zangu jamani❤
Mimi wa kwanza kutoka kenya
Pole mama umeona uliekua unamuonabola kumbe nyoka Kali sana Tina ninyoka
Bonge la series, hongereni sana # DONTA TV kwa kazi nzuri. Kama unakubali gonga like hapa🎉🎉🎉🎉❤❤
Some time wazazi nao huwa wanakosea kukuchagulia mke nini sasa hiki Ndio liwe funzo na kwa wengine
WA MWISHO LEO NAOMBA LIKE 5 TU JAMAN.. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Pole mama ukujua kumbe
Denis usidhani kama umepata, msariti usaritiwa. Hasa kwenye hiyo family ni wasariti wakubwa.
POLE SANA KELVIN, KUWA NA MOYO, KUWA NA ❤NESS.
Jaman 🎉🎉🎉🎉kazi nzur sana walahi next please tuone hicho kikao wanavyosambaratisha ndoa mchana kweupe 😅😅
Kila mtu nimewahi , nipe like, tunataka comments sio kuwahi na kuomba like, always kev kazi nzuri sana
Jmn MI leo wa kwanza ku see nimpe bc maua yangu
Mm hata sio lazima likes 😂😂bora ni watch tuu
Tunabapnda Sanaa 🇧🇮🇧🇮❤️❤️
Napenda donta TV lazima nifuatilie kila series, goodwork donta TV from kenya
Team love atuboi atupoiii alaf tunalingaaa vilevileee maana mama mkweee kashajuaa ukwel arafu kelvin niwetu 💃💃💃 ayaa team hamamuuu mpooo mkujeee apaa tujuaneee
Leo nimewahi jmn kutoka kenya nsinionee 😢😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Vizil sana kuitoa mwendelezo napenda sana kaz zen
Wakwanza jamani kutokea kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni like na mie leo🎉🎉🎉🎉🎉
Tuendelee tumefika pazuri muno nawapenda sanaaa ❤❤❤
Please msimalize mimi natamani sana ifike episode 35 thanks for good work DONTA TV
Kazi Zuri mfanya ..hogeraaaaaaaaaaa❤❤❤❤
Tusimalizeee bhana
Wa kwanza leo nimepeni like zangu
Nawapongeza kwa filamu nzuri
Waswahili kikulacho kikoni nguoni nimwako kweli
Hange saana nao unaye amini
Kaz nzur sana nimeipenda uyu mama Kevin atalia vibaya sana wake wengne sio
Sitaki mtu alike comment yangu otherwise tutagombana
Wakwanza jamani lik😊
yaaan unakuta tumeisubilii mda wote❤❤l❤❤
walio chelewa bass nime gawa like 👍 za kutosha jamn duuuuuhhh
Budget ni kubwa tukisema tuendelee hapa tu inatosha .shukurani nyingi kwa sponserd team and DontaTv family .tunawapenda sana
Tuendelee adi tuone Kelvin umemuoa Loveness❤❤❤❤
Waooo leo mama unaumbukaa vibaya
Hapana uendelee Iko vizuri sana
Wa kwanza leo 🇰🇪
Kelvn tuendelee huu mchezo mzur sna nafurahi ninapo utazama n tupe mbili mbili kma doss
Hatimaye leo mama kelvin ameumbuka😂😂😂c uendlee kushangilia na kumtetea tina na kuona loveness kuwa kero kwako😂😂😂ama kweli mungu halalii wapi likes from kenya🎉🎉🎉🎉🎉