MELISA EPISODE 10 HEMEDY CHANDE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 393

  • @hemedychande7956
    @hemedychande7956  5 часов назад +261

    hellow mashabiki zangu!nguvu ya utazamaji ikiwa kubwa basi ntakua natoa kila baada ya siku moja🙏🙏🙏naombeni muongeze kushare ili tusogee pamoja

    • @JulianMuthoni-r1s
      @JulianMuthoni-r1s 5 часов назад +3

      Usiwe unakaisha nayo kushare lazima

    • @menejahimself9855
      @menejahimself9855 5 часов назад +6

      Ni nguvu boss sio nguvi😂😂😂 tunaomba chuma kipya kila siku

    • @hemedychande7956
      @hemedychande7956  5 часов назад +4

      @@menejahimself9855 macho yako mabovu wewe😂😂

    • @menejahimself9855
      @menejahimself9855 5 часов назад +1

      @@hemedychande7956(edited)😂😂😂

    • @JACINDAOKUMU
      @JACINDAOKUMU 4 часа назад +2

      Sawa usicheleweshe sana

  • @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u
    @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u 5 часов назад +100

    Jamen mimi simpendi mama mack kama na wewe umpendi basi gonga like ya chuki 🎉🎉🎉 from mozambiqui 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @NajimaShabani
    @NajimaShabani 4 часа назад +61

    Tunaompendaaa Melissa na hemedy chandee Gongaa like hapaaa👇💖💖❤️❤️💝💝

  • @FatmaChuba-y8e
    @FatmaChuba-y8e 4 часа назад +30

    Wanaomkubali melisa tumpe maua yake🎉🎉🎉

  • @NajmaSaid-sb2lh
    @NajmaSaid-sb2lh 5 часов назад +28

    Leo jamani niwa kwanza kutoka kenya like nipeni 😅❤❤❤

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 4 часа назад +70

    Melesa ni mke aliye kamilika. Wale ambao wana mkubali melisa tujuane

    • @Tigerm69
      @Tigerm69 3 часа назад

      Tuko apa namkubali sana Melisa Ani Kila mkipost nipo nanyie yani ✌️

    • @HanimAbdul
      @HanimAbdul 3 часа назад

      Tuko pamoja nampenda sana melisa

    • @LilianZephrin
      @LilianZephrin Час назад

      Na mim piah namkubali

  • @Zebuu-kp
    @Zebuu-kp 5 часов назад +31

    Kàzi zako zote ni Safi ❤❤❤ weken alam

    • @MassandunjeMassandunje
      @MassandunjeMassandunje 3 часа назад

      👌🥰😘💝💝💖💔

    • @HadijaKanze
      @HadijaKanze Час назад

      Twasubiri plan b we uko kwa comment section surely

    • @VeroniccaAssa
      @VeroniccaAssa Час назад

      ❤❤❤❤❤❤❤❤😂

    • @Chebet254
      @Chebet254 Час назад

      😅kp tunakusubiri wewe pia tuangushie plan B bhc

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 5 часов назад +22

    Nimekua wa kwanza naombeni like zenu jamani kwa wanaomkubali hemedy chande😊😊😊😂😅😅😂😅😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Jasmin-h2u
    @Jasmin-h2u 4 часа назад +26

    Me sipendi melisa anavyokuwa mnyonge kama na wew haupendi weka like

  • @pyxo-d5h
    @pyxo-d5h 25 минут назад +1

    Big up mr chande

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 5 часов назад +16

    Uvumilivu una mwisho wake ..chukii aijawaii kujenga🎉sasa subrien

  • @Estherjacob-ph9jg
    @Estherjacob-ph9jg 4 часа назад +6

    Namimi Jamani tulike 😢😢😢 naombeniii

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 4 часа назад +12

    Duhh kwl ktk ndoa kuna mitihan lkn kwa ushauri 2 bora mark chukua mke wako mhame nyumba😢😢😊

  • @zawadisaid3454
    @zawadisaid3454 5 часов назад +28

    Nipeni like zangu tukoka kenya 🇰🇪 na niko saudia Arabia Riyadh 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

    • @AsfSff-t8d
      @AsfSff-t8d 4 часа назад

      Tuko pmja😅😅

    • @KKK-v6j
      @KKK-v6j 2 часа назад

      🎉🎉🎉🎉

  • @AphurahBoakye
    @AphurahBoakye 5 часов назад +6

    Nipeni like kama unampenda Melisa ❤❤ watching from Doha Qatar 🇶🇦

  • @NkorerimanaSalem
    @NkorerimanaSalem 3 часа назад +3

    Kiukweli chande inatufundisha mengi kupitia movie zako haswa hii ya Melissa duuh tamu san hongera broo natamani nikuone

  • @FannyMugisha
    @FannyMugisha 41 минуту назад

    Melisa Munguwangu Muombe mungu yote Yataishaaaa🙇‍♂️🙇‍♂️❤❤❤❤

  • @Firdaus-w5j
    @Firdaus-w5j 4 часа назад +4

    Nilikuwa naicunguliy mudaote naipenda kiufup napenda movie zako ❤🎉🎉🎉🎉

  • @Laizer-u5x
    @Laizer-u5x 55 минут назад +1

    Hyo jamaa noma San a

  • @SamouOman
    @SamouOman 4 часа назад +2

    Waoooooo jaman kaka ake mwaaaa💋💋💋 hi move tangu juzi naiwaza woyoooo pongezi kwenu💯♥️

  • @C.E.O-EDDIE
    @C.E.O-EDDIE 5 часов назад +5

    Show love from Kenya....wa kwanza ku comment wapi likes zangu

  • @MariamKidevu
    @MariamKidevu 5 часов назад +7

    Nimekuwa wa kwanza Leo nlikuwa naingoja kwa hamu sana, nawapenda sana team chamde Tv

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 5 минут назад

    Dada sara Shikamoo
    Unajua kabisà kuwa Huyo Mpenzi Wako amempa mimba Rafiki yako na bado unae huyo Mwanamme Dada sara Hongera sana na unakaa nao Pamoja siwata kulana Tena manaa wana Mimba yao❤

  • @MajimbiTz
    @MajimbiTz 5 часов назад +26

    WA KWANZA LEO JAMAN.. NIPENI LIKE 5 TU🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 часа назад +2

    Melisa pole sana uyo mm mkwe kiroho mbaya hatari yendo atalucaguliya mke Hemedi eehe wa mm kama hao mujikerebeshe sio vizuri aceni watoto waishi nawanao wapenda nasi kumitesa mutoto wamwanamke mwenziyo😢

  • @radhiyajumah71
    @radhiyajumah71 2 часа назад +2

    Kazi safi sana

  • @happinesssamira-fp4hh
    @happinesssamira-fp4hh 4 часа назад +4

    Nawapenda wote na timu yako❤❤❤❤❤❤

  • @ashnurbae6562
    @ashnurbae6562 4 часа назад +3

    Kazi nzur san kali san tatz inachelewa kutoka ila hongeren san❤

  • @RadjaboyKubita
    @RadjaboyKubita 28 минут назад

    Filamu hii inahisia kali sana❤❤❤ nawakubali sana Toka Congo 🇨🇩

  • @rizikiMwafungo-ge7fh
    @rizikiMwafungo-ge7fh 2 часа назад +2

    Sema move inachelewa adi tunasahau tulipo ishia

  • @Frola-r9z
    @Frola-r9z Час назад

    Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤❤❤❤

  • @iam_viana4857
    @iam_viana4857 5 часов назад +9

    Wa kwanza leo nipeni like zangu ❤❤❤

  • @Allybakary-f1x
    @Allybakary-f1x 44 минуты назад

    Nakubali sana mkaliii unajuwa

  • @MekiAli-ub4ld
    @MekiAli-ub4ld Час назад

    HEMEDY MASHA'ALLAH KAZI ZAKO NZR SN 🎉🎉🎉

  • @AiratiHamimu
    @AiratiHamimu Час назад

    Napend Sana hii muv inamaana kubwa Sana kwanguuu

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz 5 часов назад +2

    Wakwaza naombeni lahikizenu❤❤❤❤

  • @monicahjoseph2528
    @monicahjoseph2528 Час назад

    Kazi safi sanaa❤❤❤,mambo 🔥🙌

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 57 минут назад

    Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 17 минут назад

    Melisa ni mke na nusu wallahy

  • @AnithaNahimana
    @AnithaNahimana 2 часа назад

    Honger san kaka tuko pamoja

  • @yusuphmohamed7020
    @yusuphmohamed7020 33 минуты назад

    keep up broooo nakubali sana kazi zako naona hii melisa umenikumbusha DHARKAN, Akshey kumal na Sunnil sheet

  • @HanafiMohammed-p3i
    @HanafiMohammed-p3i 2 часа назад

    Unajua sana kuigiza ila hiali ya Melisa itanimalizia mb naipenda sana na ninamkubari Melisa anajua kaka komaa nae

  • @JOSEPHOUMA-v3d
    @JOSEPHOUMA-v3d Час назад

    Napenda sana movie zako kamanda❤

  • @KijoliHassan
    @KijoliHassan 3 часа назад +1

    Daah nimengojea sana jamn ongez kas jamn ya kutoa

  • @azariajocktan6350
    @azariajocktan6350 28 минут назад +1

    Huyo Get Keeper apewe uangalizi wa karibu asije chafua tena hali ya hewa na hapo😂😂😂😂

  • @NadzuaMrema
    @NadzuaMrema 4 часа назад +3

    Huyo mevyaa anavyonikera sasa duuuh utapangia vp mwanao aowe mtu asiyempenda jamani 😢😢

  • @MussaRasul
    @MussaRasul 3 часа назад +2

    Naona kabisa mtoto wa boss akienda kupelekewa moto na mlinzi wao

  • @hajimelindah
    @hajimelindah Час назад

    Mzigo wamoto hatar❤❤❤

  • @HappyJumanne-v9t
    @HappyJumanne-v9t 4 часа назад +2

    hii move kali namukabali san huyu kak ana juw tuna omba mutoe kwawingi ila melis mwana mke bwan

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 3 часа назад +2

    Baada ya kusubili wiki nzima😊❤

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 4 часа назад

    Kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉

  • @WïzzBanzuli-m9v
    @WïzzBanzuli-m9v 5 часов назад +6

    Jamani kweli wafaana wa brother chande tupo mno. Iivi naweza kukosa ata like 10 tuu

    • @Jasminadamu
      @Jasminadamu 4 часа назад

      Npo kazini sio kibaruani😂

  • @JescaLifat
    @JescaLifat Час назад

    Jamn hii series inanifanyaa nimkumbuke mengi

  • @NatureMw155
    @NatureMw155 3 часа назад

    Sijui chande unaonaga ombi langu..ako ka wimbo ka melisa tutumie

  • @Allexchristopher
    @Allexchristopher 2 часа назад

    ❤❤nzuriii sanaa chande tupo pamoja

  • @ShofaShofaa
    @ShofaShofaa 3 часа назад

    Mzur sana ❤❤

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna Час назад

    Huyu mm ningelikua mm angenusa makwapa yngu maan ningemvuruga vibaya sna,na ashukuru kmpta huo Melissa, n hicho kisorokwinyo kinkuramba ardhi kwa mdomowe

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 2 часа назад

    Huyu mama mark LIONE na Hilo limwili lake hovyoo😅😅😅😅heri mama Melisa yuko smart San from 🇰🇪 kenya 🇰🇪🥰🥰🥰🥰

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 2 часа назад

    Weeeeee mamaa mkwe weee acha roha mbaya

  • @HalimaaKanji
    @HalimaaKanji 28 минут назад

    Melisa umezd kua mnyonge bana mi mpka nachukia si ukazabe mingumi icho kdada

  • @MuqussinHabresh
    @MuqussinHabresh 2 часа назад +1

    Uyoo mama anaamua kuongopa 😅😅 kazi iyendelee Melissa ndio mwanamke na xio uyooo

  • @SarahSalum-z9m
    @SarahSalum-z9m 6 минут назад

    Jaman mbn mnatutesea melisa wetuu 😢😢😢❤❤🎉

  • @JenipharSamsontheu
    @JenipharSamsontheu 3 часа назад

    Nawapenda sana

  • @MwanahawaHamisi-x9t
    @MwanahawaHamisi-x9t 5 часов назад +1

    Nimewah

  • @jokerboy6518
    @jokerboy6518 5 часов назад +4

    Wakanza jamani nipeni like zangu😂😂😂😂😂

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 3 часа назад

    Me nnavyoona Melissa ndio mke bora na sahihi kwa mark Melissa kua mvumilivu na amin wew ndo mke juu wew ndo unamiliki mark na mwapendna tuu vzuri simmieni ndoa yenu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @Paulmnyangulu-f3u
    @Paulmnyangulu-f3u 4 часа назад +2

    Jicho la melissa weeeeh

  • @MoiseSemasake
    @MoiseSemasake 4 часа назад +1

    Ni kweli washa mbiki tuko usijali hemedy

  • @MMlin-bd2mi
    @MMlin-bd2mi 5 часов назад +1

    Chande nakupenda sana usiniangushe kwa hili najua una msimamo

  • @stevenandrea549
    @stevenandrea549 2 часа назад

    Una chelewa sana kutoa muendelezo kaka

  • @AshrafChozy
    @AshrafChozy 4 часа назад +1

    Uko vizur sana kaka movie zako Kali sana

  • @RajIbrahim-n7z
    @RajIbrahim-n7z 3 часа назад +1

    movie ya🔥🔥🔥 kazi nzuri sana kaka

  • @JacksonFaustine-be1gk
    @JacksonFaustine-be1gk 3 минуты назад

    Kaz nzur

  • @VicentStwati
    @VicentStwati 4 часа назад +1

    Mm nacho hona ww achia kazi
    Kwakati kaka utaona kasi zasisi mashabiki zako kukutazam kwawakati

  • @TuyizereDembere
    @TuyizereDembere 5 часов назад +4

    Leo wakwanza jamani naomba like zangu ❤❤❤❤

  • @MariamKuziwa
    @MariamKuziwa 3 часа назад

    Yuki vizuri melisa

  • @HanafiMohammed-p3i
    @HanafiMohammed-p3i 2 часа назад

    Melisa anajua sana kaka nawona mbali hivi umejaribu kuonana na azam hii ya Melisa ikawekwa azam two unatungumbusha kipindi cha sidati kurana au kipindi cha kulufi kaka unajua na Melisa komaa nae ana mvuto

  • @KevinJuma-r1x
    @KevinJuma-r1x 5 часов назад +7

    Me wa kwanza leo

  • @mareiaMerry
    @mareiaMerry 4 часа назад +2

    Kaz zuriii xana ❤❤

  • @AminaIssa-v1d
    @AminaIssa-v1d 2 часа назад

    Jaman wemama umuogop mungu

  • @SarahMbelembe-fe6hi
    @SarahMbelembe-fe6hi 4 часа назад +17

    Kama unatumia wi-fi ya officin weka like apa 😂😂

    • @nova2380
      @nova2380 Час назад

      Daah umegusa penyewe🤣🤣🤣

  • @ZawadiStanley-w9j
    @ZawadiStanley-w9j 2 часа назад

    Ukichelew Kutoa bas jmn nawapend sem musiwe mnacherewesh pak ham inaisha 🙏💋💋

  • @JohnBosco-y3s
    @JohnBosco-y3s 4 часа назад +1

    Mama ana matatizo sisi tunampenda Melisa wetu ❤❤❤❤vanylla kutoka Mozambique

  • @ElizabethChai-o7s
    @ElizabethChai-o7s 4 часа назад

    Kazi nzuri sana hongereni sana

  • @JastonnaruweniJaston-cu5rm
    @JastonnaruweniJaston-cu5rm 5 часов назад +2

    Hii nakubali hii nitamu

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama 2 часа назад

    Jamani tumuonee uruma Mélissa maana ananyanyaswa

  • @Laizer-u5x
    @Laizer-u5x 56 минут назад

    Sem huyo jamaa wa ras duu me ningemchinjia 😢😢 mbali nimkute na mke wangu haaaa

  • @CatherineHans-n8y
    @CatherineHans-n8y 4 часа назад

    hii movie inanibarikii sana dah❤

  • @Bambikatv
    @Bambikatv Час назад +1

    ❤❤kali

  • @SUNNY-ij9to
    @SUNNY-ij9to Час назад +1

    Anaetak mack na malisa wasiachane gonga like hapa

  • @AgnesNyagawa-o9p
    @AgnesNyagawa-o9p 2 часа назад

    Melisa nimlemb sana

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 2 часа назад

    Melisa ni Mwanamke wsahihi Kwa hemed

  • @SleepyBeachHammock-xr8mb
    @SleepyBeachHammock-xr8mb 2 часа назад

    Iii mv n moto wa kuotea mbali.

  • @NeymuhMussa
    @NeymuhMussa 4 часа назад +3

    Melisaaa 😍

  • @ShaxNyika
    @ShaxNyika 5 часов назад +2

    🎉🎉🎉 nilikua nasubr san

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 4 часа назад

    Jmn mtuwahishie kdgo Leo imeishia pazuri sana

  • @AminaKhatibu-o2w
    @AminaKhatibu-o2w 4 часа назад +5

    Melissa huo msuko hafumui

  • @KizaziSanaagroup
    @KizaziSanaagroup 3 часа назад

    Mambo mr handsome,hongera kwa kazi nnzuri

  • @SaraMalando
    @SaraMalando 56 минут назад

    Melisa changamka bhan

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 4 часа назад

    Wow congratulations ❤❤❤imefikia patamu aisei🎉🎉