Dada sara Shikamoo Unajua kabisà kuwa Huyo Mpenzi Wako amempa mimba Rafiki yako na bado unae huyo Mwanamme Dada sara Hongera sana na unakaa nao Pamoja siwata kulana Tena manaa wana Mimba yao❤
Melisa pole sana uyo mm mkwe kiroho mbaya hatari yendo atalucaguliya mke Hemedi eehe wa mm kama hao mujikerebeshe sio vizuri aceni watoto waishi nawanao wapenda nasi kumitesa mutoto wamwanamke mwenziyo😢
Huyu mm ningelikua mm angenusa makwapa yngu maan ningemvuruga vibaya sna,na ashukuru kmpta huo Melissa, n hicho kisorokwinyo kinkuramba ardhi kwa mdomowe
Me nnavyoona Melissa ndio mke bora na sahihi kwa mark Melissa kua mvumilivu na amin wew ndo mke juu wew ndo unamiliki mark na mwapendna tuu vzuri simmieni ndoa yenu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Melisa anajua sana kaka nawona mbali hivi umejaribu kuonana na azam hii ya Melisa ikawekwa azam two unatungumbusha kipindi cha sidati kurana au kipindi cha kulufi kaka unajua na Melisa komaa nae ana mvuto
hellow mashabiki zangu!nguvu ya utazamaji ikiwa kubwa basi ntakua natoa kila baada ya siku moja🙏🙏🙏naombeni muongeze kushare ili tusogee pamoja
Usiwe unakaisha nayo kushare lazima
Ni nguvu boss sio nguvi😂😂😂 tunaomba chuma kipya kila siku
@@menejahimself9855 macho yako mabovu wewe😂😂
@@hemedychande7956(edited)😂😂😂
Sawa usicheleweshe sana
Jamen mimi simpendi mama mack kama na wewe umpendi basi gonga like ya chuki 🎉🎉🎉 from mozambiqui 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😂😂😂😂Mm namchukia kbs bora ww umpendi2
😂😂😂😂😂😂😂
Tunaompendaaa Melissa na hemedy chandee Gongaa like hapaaa👇💖💖❤️❤️💝💝
Wanaomkubali melisa tumpe maua yake🎉🎉🎉
🎉🎉❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Melisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo jamani niwa kwanza kutoka kenya like nipeni 😅❤❤❤
Melesa ni mke aliye kamilika. Wale ambao wana mkubali melisa tujuane
Tuko apa namkubali sana Melisa Ani Kila mkipost nipo nanyie yani ✌️
Tuko pamoja nampenda sana melisa
Na mim piah namkubali
Kàzi zako zote ni Safi ❤❤❤ weken alam
👌🥰😘💝💝💖💔
Twasubiri plan b we uko kwa comment section surely
❤❤❤❤❤❤❤❤😂
😅kp tunakusubiri wewe pia tuangushie plan B bhc
Nimekua wa kwanza naombeni like zenu jamani kwa wanaomkubali hemedy chande😊😊😊😂😅😅😂😅😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Me sipendi melisa anavyokuwa mnyonge kama na wew haupendi weka like
Big up mr chande
Uvumilivu una mwisho wake ..chukii aijawaii kujenga🎉sasa subrien
Namimi Jamani tulike 😢😢😢 naombeniii
Duhh kwl ktk ndoa kuna mitihan lkn kwa ushauri 2 bora mark chukua mke wako mhame nyumba😢😢😊
Nipeni like zangu tukoka kenya 🇰🇪 na niko saudia Arabia Riyadh 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Tuko pmja😅😅
🎉🎉🎉🎉
Nipeni like kama unampenda Melisa ❤❤ watching from Doha Qatar 🇶🇦
Kiukweli chande inatufundisha mengi kupitia movie zako haswa hii ya Melissa duuh tamu san hongera broo natamani nikuone
Melisa Munguwangu Muombe mungu yote Yataishaaaa🙇♂️🙇♂️❤❤❤❤
Nilikuwa naicunguliy mudaote naipenda kiufup napenda movie zako ❤🎉🎉🎉🎉
Hyo jamaa noma San a
Waoooooo jaman kaka ake mwaaaa💋💋💋 hi move tangu juzi naiwaza woyoooo pongezi kwenu💯♥️
Show love from Kenya....wa kwanza ku comment wapi likes zangu
Nimekuwa wa kwanza Leo nlikuwa naingoja kwa hamu sana, nawapenda sana team chamde Tv
Tupo pamoja❤❤
Dada sara Shikamoo
Unajua kabisà kuwa Huyo Mpenzi Wako amempa mimba Rafiki yako na bado unae huyo Mwanamme Dada sara Hongera sana na unakaa nao Pamoja siwata kulana Tena manaa wana Mimba yao❤
WA KWANZA LEO JAMAN.. NIPENI LIKE 5 TU🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Melisa pole sana uyo mm mkwe kiroho mbaya hatari yendo atalucaguliya mke Hemedi eehe wa mm kama hao mujikerebeshe sio vizuri aceni watoto waishi nawanao wapenda nasi kumitesa mutoto wamwanamke mwenziyo😢
Kazi safi sana
Nawapenda wote na timu yako❤❤❤❤❤❤
Kazi nzur san kali san tatz inachelewa kutoka ila hongeren san❤
Filamu hii inahisia kali sana❤❤❤ nawakubali sana Toka Congo 🇨🇩
Sema move inachelewa adi tunasahau tulipo ishia
Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤❤❤❤
Wa kwanza leo nipeni like zangu ❤❤❤
Nakubali sana mkaliii unajuwa
HEMEDY MASHA'ALLAH KAZI ZAKO NZR SN 🎉🎉🎉
Napend Sana hii muv inamaana kubwa Sana kwanguuu
Wakwaza naombeni lahikizenu❤❤❤❤
Kazi safi sanaa❤❤❤,mambo 🔥🙌
Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Melisa ni mke na nusu wallahy
Honger san kaka tuko pamoja
keep up broooo nakubali sana kazi zako naona hii melisa umenikumbusha DHARKAN, Akshey kumal na Sunnil sheet
Unajua sana kuigiza ila hiali ya Melisa itanimalizia mb naipenda sana na ninamkubari Melisa anajua kaka komaa nae
Napenda sana movie zako kamanda❤
Daah nimengojea sana jamn ongez kas jamn ya kutoa
Huyo Get Keeper apewe uangalizi wa karibu asije chafua tena hali ya hewa na hapo😂😂😂😂
Huyo mevyaa anavyonikera sasa duuuh utapangia vp mwanao aowe mtu asiyempenda jamani 😢😢
Naona kabisa mtoto wa boss akienda kupelekewa moto na mlinzi wao
Kabsaa yaan
Mzigo wamoto hatar❤❤❤
hii move kali namukabali san huyu kak ana juw tuna omba mutoe kwawingi ila melis mwana mke bwan
Baada ya kusubili wiki nzima😊❤
Kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani kweli wafaana wa brother chande tupo mno. Iivi naweza kukosa ata like 10 tuu
Npo kazini sio kibaruani😂
Jamn hii series inanifanyaa nimkumbuke mengi
Sijui chande unaonaga ombi langu..ako ka wimbo ka melisa tutumie
❤❤nzuriii sanaa chande tupo pamoja
Mzur sana ❤❤
Huyu mm ningelikua mm angenusa makwapa yngu maan ningemvuruga vibaya sna,na ashukuru kmpta huo Melissa, n hicho kisorokwinyo kinkuramba ardhi kwa mdomowe
Huyu mama mark LIONE na Hilo limwili lake hovyoo😅😅😅😅heri mama Melisa yuko smart San from 🇰🇪 kenya 🇰🇪🥰🥰🥰🥰
Weeeeee mamaa mkwe weee acha roha mbaya
Melisa umezd kua mnyonge bana mi mpka nachukia si ukazabe mingumi icho kdada
Uyoo mama anaamua kuongopa 😅😅 kazi iyendelee Melissa ndio mwanamke na xio uyooo
Jaman mbn mnatutesea melisa wetuu 😢😢😢❤❤🎉
Nawapenda sana
Nimewah
Wakanza jamani nipeni like zangu😂😂😂😂😂
Me nnavyoona Melissa ndio mke bora na sahihi kwa mark Melissa kua mvumilivu na amin wew ndo mke juu wew ndo unamiliki mark na mwapendna tuu vzuri simmieni ndoa yenu🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Jicho la melissa weeeeh
Ni kweli washa mbiki tuko usijali hemedy
Chande nakupenda sana usiniangushe kwa hili najua una msimamo
Una chelewa sana kutoa muendelezo kaka
Uko vizur sana kaka movie zako Kali sana
movie ya🔥🔥🔥 kazi nzuri sana kaka
Kaz nzur
Mm nacho hona ww achia kazi
Kwakati kaka utaona kasi zasisi mashabiki zako kukutazam kwawakati
Leo wakwanza jamani naomba like zangu ❤❤❤❤
Yuki vizuri melisa
Melisa anajua sana kaka nawona mbali hivi umejaribu kuonana na azam hii ya Melisa ikawekwa azam two unatungumbusha kipindi cha sidati kurana au kipindi cha kulufi kaka unajua na Melisa komaa nae ana mvuto
Me wa kwanza leo
Kaz zuriii xana ❤❤
Jaman wemama umuogop mungu
Kama unatumia wi-fi ya officin weka like apa 😂😂
Daah umegusa penyewe🤣🤣🤣
Ukichelew Kutoa bas jmn nawapend sem musiwe mnacherewesh pak ham inaisha 🙏💋💋
Mama ana matatizo sisi tunampenda Melisa wetu ❤❤❤❤vanylla kutoka Mozambique
Kazi nzuri sana hongereni sana
Hii nakubali hii nitamu
Jamani tumuonee uruma Mélissa maana ananyanyaswa
Sem huyo jamaa wa ras duu me ningemchinjia 😢😢 mbali nimkute na mke wangu haaaa
hii movie inanibarikii sana dah❤
❤❤kali
Anaetak mack na malisa wasiachane gonga like hapa
Melisa nimlemb sana
Melisa ni Mwanamke wsahihi Kwa hemed
Iii mv n moto wa kuotea mbali.
Melisaaa 😍
🎉🎉🎉 nilikua nasubr san
Jmn mtuwahishie kdgo Leo imeishia pazuri sana
Melissa huo msuko hafumui
Mwezangu alf mke wa bos
Mambo mr handsome,hongera kwa kazi nnzuri
Melisa changamka bhan
Wow congratulations ❤❤❤imefikia patamu aisei🎉🎉