Dah stor ninzuli sana imetulia af pia mmevaa usika sana ata gres pia Kai wa huwa namfatilia toka uhulu dah nizuli sana imeniliza mie ilaa chandee mwanang unajua allah azidi kukujalie
@@nahlahassan-fd6le my dear umenielewa vibaya kuwa na mwanamke mi yanihusu nini ko kumsifia ndo kwamba nataka awe mme wangu dada nakupa pole nampenda kama navoweza kumpenda mtu yeyote yule so uwe unasema comment unaelewa mtu ana manisha nini oky
hongera xana tena xana mm niko mtwara ila najifuza kuingiza kwasababu ya kuzitizama muvi zako co napitia wakat mgumu ili niwe kama ww navp kuhuxu dada xapina maana ata mm natumia jina ilo nawatu wananiuliza nimetolea wap jina zur ka hilo mungu awaajaalie ameena❤❤❤❤
Hemedy kwa kweli napenda movies zako pamoja na wewe mwenyewe ❤much love from kenya🇰🇪
Nimeipenda adi nimeshare kwa ddngu❤😂😂😂
Congratulations my brother chande nzuri mno💓💓💓💓💓💟💞💞💖💖💖
Watu waburundi naomba tujuwane basi haki chande unapendwa sana kwetu
Sana turamwemera cane
Hii story inafanana na ya @chesco aka mr . Bigi inaitwa ex wangu but umeifany international sana daaad keep it up my g.❤❤❤❤❤
Hemedy nakupendaga bure Kaka yangu mwenyezi mungu awe pamoja na ww kwenye kazi zako ❤
Hemed napenda sana movies zako sana tena nae nakupenda Sana kipenzi Mungu akurinde 🙏
Hata mimi nakupenda
Vp
Vipi pat two tupeni pat two tumeipenda sana
❤❤jaman nipe xili yamafanikio
Mmwah
Hemedy nakupenda sana naomba mungu akufikishe mbali zaidi ❤❤❤❤❤❤
Sio hemed uyo
Ooooh ni kweli unajuwa so mm nikuombe kitu unisaidiye unitumiye jina za Cinema zako nzuri
🎉
i love hemed upo vizuri
😢😢😢
Jaman wewe mwamba unajua aisee daaa mungu akutie nguvu
Waooo! Mm huwa sio shabiki wa movies za kibongo ila nimeipenda sana🎉
Nimejifunza kitu hapo😂🎉
Uyu jamaa hajawai kufeli kabisaaa kwene movi
Mwamba unajua sana so poa ujawai kufel labisa❤❤❤
Naipenda sana movie zako Mr nakufatilia kutoka Kenya 🇰🇪🇸🇦❤
Kaka Chande hongera kwa kazi nzuri..unaiguza jamii kwa kiasi kikubwa sana
Hemed huwa napenda movies zake zikona mafunzo Sana ❤
Dah stor ninzuli sana imetulia af pia mmevaa usika sana ata gres pia Kai wa huwa namfatilia toka uhulu dah nizuli sana imeniliza mie ilaa chandee mwanang unajua allah azidi kukujalie
Chande nenda ukalewe mpaka ulewe Tena mwache hemed achukue jiko mapenzi hayajaribiwi Chande uliyataka mwenyewe
Finally nilikua naona unachelewa tu😂😂
Bro wewe ni zaidi ya wajuzi kk kwa kweli unajuwa maanisha brother
Congo 🇨🇩 tuko pamoja nawe sana my brother 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏
Movie nzur Masha'Allah Tabbaraqa Allah 🥰😍 ongera bro
Napenda sana movie za hemed😊
Dhaaaaah kaka unabalaaa hujawahi niboa since day one nakubalia unachokifanya natamn some day niwe kama weye
guys jmn mapenz hayajaribiwi ❤❤❤ but it so sad😢😢
Mchezo mwengine lini kaka ❤
Yani steve nakukubali kwa kazi yko nakupenda🎉🎉🎉🎉
Sana❤❤❤🎉
Kaka nime Anza kufatilia muv zako hakika upo kwe lialint og mungu azidishe ufanixi ndani ya utunzi wako amin🎉
More love form kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ila uyu kaka nampenda mpaka basi tu da hemed your so handsome boy
Ana mwanamke wake uyo na wanapendana❤
@@nahlahassan-fd6le my dear umenielewa vibaya kuwa na mwanamke mi yanihusu nini ko kumsifia ndo kwamba nataka awe mme wangu dada nakupa pole nampenda kama navoweza kumpenda mtu yeyote yule so uwe unasema comment unaelewa mtu ana manisha nini oky
I love the movie😘❤️🥰 but it's too short no wedding parts like seriously! At least you could have shown us that you two got married like daah!🙄😔😞☹️
kaka honger mim napenda kuigiza ila sijapata watu wakunishika mkono nafatilia xan kaz zako kaka
Unaceza vizuliiii sana filamu zako Zina mafunzo mengiii kabisaaa❤❤ from Bdi
I need more romantic movie from you, thanks alot for this
Pongezi sana kwa wahusika wote wa filamu hii kali sana yenye mafunzo katika jamii nzima
Hemedy muendelezo movie nzur sana tunaomb part 2❤
Mwanangu unajua sana sema nini jina la stivu ndo sijaelewa kabisa
Kwani mm so pia
Kaka angu movies zako zinamafuzo mazuri sana Allah akuzidishie alimu uendelee kutoa movies nzuri zaidi inshallah
❤❤
Hemedy we kiboko ,umenifunza mengi kakq
♥️♥️
Videos zako zinanifundisha sana hongera sana sijui kama tunaweza toast ingine pamoja
Movie zk bro zinamafunzo Mazur
Bro chande uwaga utuangushi, mob love from Kenya,, ur ma best actor nakupendaga sanaa
hongera xana tena xana mm niko mtwara ila najifuza kuingiza kwasababu ya kuzitizama muvi zako co napitia wakat mgumu ili niwe kama ww navp kuhuxu dada xapina maana ata mm natumia jina ilo nawatu wananiuliza nimetolea wap jina zur ka hilo mungu awaajaalie ameena❤❤❤❤
Pole san chande ulikuwa unaweka maji kwenye tenga ona sasa
asente sana
❤❤from Zambia inatoa machoz mapenzi ayajaribiw😢😢
Jaman jaman wee mtoto wa mama chande au Steve unanimalizaga Hataz hasta kipengele Cha kutoa hisia zako kwa umpendae unajuaga sana ❤🎉
Mimi nakupenda hemedy n movie zako nazipenda sana yani
bro h.chande respect sana unajua bro 🙏
WOOOW WHAT A AMAZING TALENT YOU HAVE BRO YOU ARE THE MOST TALENTED BONGO ARTIST IN TOP 5 IN MY LIST
Napenda kazi zako chande unaongezea ujuz kwan pia mm nimuigizaji kutoka kenya baran pwani
This movie is master piece god bless you hemedy🎉🎉🎉🎉🎉🎉💐💐💐
Movie nzuri sana.kwa wale wanaume wanaowafanya wake zao kama wachakazi ni virahisi sana kuwapoteza na kuishi maisha ya aibu
Sija wai kulizwa na movie yeyote lakini hii ime nitoa machozi kweli Asant kijana
Nakupendaga kka upo vzri🎉🎉🎉
Hemedi chande nakupenda sna kwanz movie zangu zinanifunza mambo mengii igwa badoo sjaingia kwa ndoa goodies ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
Umekandamiza Sanaa mwanangu unanifanya niludi kufatilia bongo muvis
Mapenzi niupufu ama kwelu ❤❤🎉🎉 Mashallah umeweza❤
Hemedy Chande chukua mauwa yako🎉
Nipo vzr bro so amazing japo kidg tunaomba ubadilishe maana move la maamuzi yangu na first love unasehem Moja na mzik wa move change kidg 💪🤝
Nakubali sana hemedy chande haujawai kosea❤❤❤❤
Wow ,nice Movie ❤❤much love from Uganda 🇺🇬
Jamani Hemedy tunajifnza meng kupitia movie zak aiseee mungu akueke na akupe nguvu uzidi kuendelea na atuendleze na ss inshallah.
Nimependa sana❤hii move but keep it
Mapenzi hayajaribiwi jaman mwisho unapenda kweli❤❤
Hemed nmeikubli San hii movie nmwomba Mungu akupe maish maref n ufanisi mkubwa katik Kaz yakooo🎉❤❤
You are one of the best actor Mr chande Hemed
Team strong tuko.mbele tena
Tuko mbele kama mfuko washati
Far we go🇸🇦🇰🇪❤️
Tuko mbele kama yenyewe 😂😂😂
Kapixa
Tuko mbele kam kawaida mtupee likes zetu
Safi napenda sn movie zko hemed hongera sn❤❤❤❤
Brother brother brother. Nimekuita mara3 bro ya 4.. unajua mwanangu napenda unachokifanya
Hongera napendanga movie zako nikupe 🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sana yan movie zako nazipenda san zaidi kutoka zaidi na zaidi
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 movie nzuri sana nimeipenda Sana
Nimesema mfunge ndoa haraka sana steve
Daah mmetisha sana napendaa san muvi zako
Chande hujawah kukosea broo what a movie🔥🔥🔥
Nice vedeo,mnisaidie sehemu ya2 ya first love
Nakupenda chande from Kenya
Hujawah kosea chande keep it up
Hemed nilikuonea huruma ila hongera❤❤
Kaz mzur mashallah hemed chand upo romantick😂😂😂❤❤❤ mnanisisimuwa
Kali sana chande anajuwa 😊
Kiukwel napenda sana move zako ❤
Great one watched it twice❤❤..love it from kenya🇰🇪🇰🇪
Kazi kazi!!! Iko vizuriii sanaaa
Nzuri kbs nimependa pia mafunzo mazuri
Kazi nzur mnoooo❤
Daah...Steve kikojozi big up bro!!!!tamu kweli
Hemedi chande nakukubali sana Allah ajalie kazi zako ufike mbali ameen 🙏 ❤
Tuko pamoja kaka jitahidi usichelewe kutowa ili tusichoke kukufatili movie nzuri sana
Hemed Yani nafatiliaga movies zako uko Bomba kinoma kaka Na kubali Sana mashallah congratulation kaka🎉
This is a beautiful movie ❤❤
Nawapenda san 😊😊❤
Dagh brodah uko vzr san ktk kuigiza mungu azid kukusimamia ila ukifany kaz na steve mweusi utatisha san
😂😂😂😂
Loooh😂😂😂😂😂
Background sound on fire ,,,,,,,
Mary ujue laki5 c ndogo ee😅😅😅😅😅😅namm nikifanya deel zangu naongezea naenda kutoa mahari kwenu😢😢😅😅😅😅😅😅
Like who does that 😅😅😅
😂😂😂😂 uko sahihii kabsa mwamba
😅😅😅😅😅😅😅😅😅hatari kweli
Mpuuzi sana huyo jamaa😂😂
Marry! Usifanye kaxi hlf ujilipie mahari!!
Hongeren sana broo kwa kazi nzuri sana ❤❤❤
Nawatch from🇰🇪🇧🇭
uko vzur ndo nine ziona mbli I bilv utatiza ndoto zako na za wengi wanao kusapot nev given up
Chanda unamupeana mwenyewe bibi😂😂😂
Más força mano hemedy,gosto das suas histórias
Chande nakubali na unaandaa stor nzuri pamoja
Nime penda Sana picha zako much love from 🇶🇦🇸🇦