Hello guys kumekucha like zangu mniwekee na maua ya my brother weeeee mbona hamjaniita mapema jamaniiii mkoje 😊😊😊😊lakini kama ulimumis hemedy kama mimi hapa nipongeze hata like moja🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Mimi nikiwa Kama mdau wa move za hemed chande naomba Sana Sana mtu badilishie nyimbo maana kila move nyimbo hizi izi hapana 🙌ata mtu akiwa na angalia we ukaskia nyimbo unashindwa kutofautisha kujua iyo ni move gani maoni yangu ni hayo move kali tam azina shida😘😘
Hii movie ni nzuri sana 😅 😅nimependezwa na pale dada Asha anakula huku anakula Sima na maji😂😂😂😂😂da iyseeee yani had 🤪 😜 🤪 nawapenda nyote washiriki wa hii movie ❤❤hemed chande nakupenda kazi nzuri 😊
ahsanteni kwa upendo mashabiki zangu ila musisahau kusabscribe ili munipe nguvu ya kuendelea kufanya zaidi😢
Tupo na wewe brother
I really love u ❤️ @Hemedychande7956
Gud san
Pamoko brother,,
Hemedi Zaman tulikua unaishi mtaa mmoja wa ndengeleko mtonganii yule kaka yako chande yuko wapii skuizi
Chande ,chande chande nimekuita mara tatu aseeeh nakupenda Sana movie zako nzuri na zinafundisha ❤️❤️
Mpende mumeo wewe
@@fatimaidresa1283😂😂nimecheka wallahy
😂😂😂
Umesahau kusem km zinafundisha saaan
Hello guys kumekucha like zangu mniwekee na maua ya my brother weeeee mbona hamjaniita mapema jamaniiii mkoje 😊😊😊😊lakini kama ulimumis hemedy kama mimi hapa nipongeze hata like moja🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
habari yako murembo
Nzuri dear🎉@@MATENDOKING-wz2zu
❤❤❤ Nilimiss San move yako hemedy yani haaaaah Ata sijuhi niseme nini Maan am very very happy 🌹🌹
✨✨✨✨
@@ELIZABETH-kp1kw akovizuri walahi 💯💯💝
Mimi wa kwanza kutoka Congo 🇨🇩,
@@DanielwabahambaBarondashabani Asante sana
we're together🥰
nawa penda sana mafans wa hemed chander 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😄
Sasa huyu baba anamuliza mwanae anapata nini kwa yule maskini haoni shundu lile mtoto ameshuswa ❤❤❤❤❤❤
Kam unamkuba hemed chande gonga like
Akuna anae mkuba wote tunamkubali 😁😁😁
Poa kbs❤❤
❤
Mashalaaah jitihada wajada
❤❤❤
Hemedy nimekukubali sana .. movie ni Kali sana
Uyo shoga akeee na asha mrembo sana
❤❤❤
Barikiweni nyote Kwa Kazi nzuri mnayo inayo ifanya nmejifunza mengi ktoka kwenu ❤❤❤
Mnaomkubali Ahmed Chande Like zenu hapa🎉🎉🎉❤❤
M nimekuwa w mwisho jmni naomben like n mm😢😢...anyway more ❤from 🇰🇪
😊
Tuna kupenda wote
Wow ahsante tunashukuru congratulations we appreciate kwa kweli nimejifunza mengi❤❤❤❤
Waaooh. Nice Chande nakukubali sana aseeh c unajua vile nakupenda kinoumar yah. Aaaaaaaiiiiih ❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah movie iko sahihi wallah but part zengine waaaa yani tha n bc,haziitaji mtu mmoja jaman maupendo kibao snaa❤❤❤❤❤
Chande brother aaaaaa unatisha sana Yani sijui tusemaje mashabiki
Hemedy umezidi jamni unavyopenda kunyonya 👄🙄😂😂😂❤️🙌
😂😂😂😂😂chawa tena nimechekaa kwa. Sauti😂😂😂🎉🎉🎉
Chande unachelewa bro ila kazi nzr Mariam Niko oman team strong tujuane
Woyooooo
Tumejaa
Leo niko tano likes zangu basi ata kumi tuh from 🇨🇩 🇨🇩
Jamani Hemedy movie zako zoote nasipenda saana ❤Mana unatubururdisha sana
Napenda saaana muviii zako may God bless you ❤❤❤❤
Love from kenya for real mie shabiki wako
Kaka hemed nakukubali Sana hii move imegusa maisha yangu mpaka nimelia
Nyie jamani nampenda sana uyu kaka🎉
Wazaz wa hv hata hawafai kuigwa na jamii ,, kwnz kamdada kwenyewe hvyo ooh
Hemed Chande una story nzuri sana unajua baba 🎉
Mimi nikiwa Kama mdau wa move za hemed chande naomba Sana Sana mtu badilishie nyimbo maana kila move nyimbo hizi izi hapana 🙌ata mtu akiwa na angalia we ukaskia nyimbo unashindwa kutofautisha kujua iyo ni move gani maoni yangu ni hayo move kali tam azina shida😘😘
sawa
Hemed chande wew ni hatar xan
Mnafanya Kaz nzur hongeren sana
Movie nzur Cy poa chukua maua yak hemed chande 🎉🎉🎉🎉❤❤
Hii movie ni nzuri sana 😅 😅nimependezwa na pale dada Asha anakula huku anakula Sima na maji😂😂😂😂😂da iyseeee yani had 🤪 😜 🤪 nawapenda nyote washiriki wa hii movie ❤❤hemed chande nakupenda kazi nzuri 😊
Kazinzuri sana emedy umenifurahishatusana❤❤❤
Kazi nzuli san tunaapenda san kutoka Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤
Mtu wa kuzagazaga😂😂 npewe like from Kenya 🎉
Mm wakwanza kutoka Uganda nipewe lakise jaman ,kaz nzuri kak chande ❤❤❤
Jmn naombeni like zangu nimekua wa kwanza
😅una taka ufanyie nn😊
Akikujibu niambie na mimi😅😅
😂😂😂😂😂na me
@@AgnesMasoud😂😂daah
@@AgnesMasoud 😁😁
Chombo nimeipenda iko kwenye ubora wake
Wapi kelele kwa hemedy chande🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤weeeeèee
Movie nzuri hemedy nik nyuma Yako tena napend kaz Yako unacheza vuzili nanusapoti sana mimi hapa kutoka Burundi 🌹🌹
Tunakupenda wote ❤❤❤
I don't know the way I like hemedy❤❤❤
Uko vizuli Sana KK hongela san.tunakupendasanda ❤❤
Mimi wa kwanza jameni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 likes nazitaka
Waaaaoh jmn tunaomb nyingn please❤❤❤🎉
Daah chande mii nishabiki wako kufa na kuzikana kk❤❤
Nawakubali sana mungu awa tangulie 😂😂❤
Nazielewaga sana hizi movie za jamaaa ❤❤
Watching from kenya love you team chande 🎉🎉🎉 movie yenu imejaa mafunzo sana 🎉🎉🎉❤
Huyu mzee waovyo 🎉🎉
😂😂😂 sanaaa
❤daa@aaaaaaaaah huyu mtu ga store yuko vzr sana aiseeeee shabiki wa kwanza hapa 🤷
Dah ma kiss jamn had me naona wivu lakin hemedy why😂😂me nakupenda sio kukupend bure🥰
Dah mpaka naliya kweli , from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Frère, je suis fatigué et je te vois comme 🎉😂😂😂😂😂😂
Mwisho nimelia kwa furaha hongereni nyote ❤❤❤❤❤❤ wooow 💋💋💋
Hemed nakubalii sana movie zako kutak 🇰🇪
Kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwamba unajua sana kazi nzuri sana
Nakufata nikiwa Congo wewe ni Noma🇨🇩🇨🇩💪💪
Hemedy nilikuwa nimekumiss sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pokea zawadi yako
Kazi nzur Ahmed pamoja sana 🎉🎉
Sijui kwann finally la hemedi wanakuwaga wazur kijijini kwetu kuna hemedi huyo mzur hatar😂
Hongera sana hemed movie nzuri sana 💕💕💕💕
Congratulations for you hemedy chandeee ❤❤❤❤❤ big up sanaaa
Mimi ninavyo kukubali sijuwi kama kuna mwengine I like you Hemedy chande
Nakubali sana kazi ze hemedi chande
Chande kwa kwelii big up sana wa kwanza from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wow 👌 I like it chande pokea maua yako na aisha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
unajuwa sana naunawatu wanaojuwa brooo tuko pa1
This is so much better. More love from kenya nakubali kazi yako bro.
Nmependa hiyo my Dad
Jaman huyu dada wa kaz sasa😅😅😅😅
Kafanyaje bby😂
😂😂😂😂
Kaz nzuriiiih ❤❤
Jamaa anajuw cna hanaga kazi chafu
hii kiss ya mwisho noma sana🤣🤣
Khai 😂😂😂
Your movies are always the bestttttt❤️❤️
Nakukubali sana mwamby hemedychande mtaalam 🫡
Love you guys from Burundi 🇧🇮
Baada ya kunitajia tu nikakimbia moja kwa moja kuiangalia namkubari sana hemedy 🥰
Me nilijikuta na cheka kama kichaa nimeipend hii baraaa❤😊
Oya mwanangu hemedy umetisha kinyama nyama yani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hemed siku hizi hutupi vitu kila siku wakaa mpaka nakusahau 😂😂❤🎉
Mungu akuzidishie ujuzi na maarifa kaka❤❤❤❤
Nililia mwanzo ila mwishon nimecheka i like it ❤
Nakkubali bro chande mm ni shabiki wko kutoka kenya naangali muvie zko nikiwa gulf am team strong ❤❤❤lady z,k.
mjomba unapiga kaz nakubar sana kazi zako ni nzur sanaa kiukwer unapambana kiukweli
Congratulations 🎉🎉🎉bro much love from 🇰🇪 ❤
Team strong 💪 tujuane kwa chooni😂
Chooni veepe nakaa apo namwarab ananiona natizama😂😂😂
Eeeeh hii movie imefanya nkalia aki iko part 2 ikam aki❤❤
Hemedy hauna baya kwenye movie zako hapo kwa baba amefanya vizuri kama mzazi kupiga kofii ya kisawasawa😂😂😂😂
Mimi wa kwanza kutoka Mozambique napenda sana movie ❤❤❤❤❤
nakubal sana👍👍
Hemed like the way you act I'm from Europe
Pole sana dada kwekweli umeumia❤❤😂😂😂
Sana🥹
Kwa kweli chande movie zako MashaAllah 👌tule teeni nyingine InshaAllah
Cijawahii kukosaaa movies za chandeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ujaulizwa😂
Upo vizuri broo Uwe natowa cinéma kwa muda maana tuna Ku miss saaaana
Movie nzr sanaaaah, imetulia
Hemedy nimependa sn haki ww ndio kwanaume mkamilifu❤
Mkali sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ movie zako zikonamafunzi mazuli sana i love you. Somuch❤🇧🇮🇧🇮
Walah mtoto wa kiume nakupenda tu bure chande from kenyan
Pamoja sana chande kazi nzuri usichele kuleta nyingine😊❤