Kaka mie nishabiki wako wanguvu sana nafatilia sana Kaz zako lakini kaka shida ipo sehemu Moja . Ipo kwenye "Ending " nihapo tu kaka ending Bado inachangamoto kaka
@@tinnyboy8105we vipi alo sema twaongelea kuhusu mziki apa ni nan😏kma auna cha kucomment pita kma aujui cha kuandika we vipi kma ujui tunajikuta nani basi endelea kutuongea vibaya kma autaki tuangalie move za tanzania tafuteni mahali mzikeke kwa block wakenya wasiangalie mpka izo nyimbo zenu😏😏
Ucjial mungu ana sababu naww na yupo pmj naww nakuombea Sana Kama unatoa song na message Kama hii kwji yetu eeee mwenyezi mungu akulinde kwaji yetu na family yako🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭
Heshima ni pesa tu hakuna kingine nisingependa kuwa.mnyonge hata siku 1 hata kam sina. Ela mm najiamin kuzitafuta najua ila apo kweny dharau hapan punguzeni dharau nyie wanawake wenye pesa
Huyu demu aliemsaliti Chande performance yke n mbovu sn yan bado anahitaji waalimu wamfunze namna ya kuigiza, muangalie Chande na uyo Haji Adam wanaigiza ila unaona km n uhalisia na c maigizo ila uyu demu bado sn na hata huyo mwanawe Haji Adam pia performance yke sio nzuri sn by the way good job just pull up ya socks🧦 🎉🎉🎉
Hemedi chande nakupenda sana vile ambavyo unaiigiza kaka safi sana🎉❤❤❤ love you upo romantiki love na jamii inajifunza mengi kupitia nyie mfike mbali sana. ❤❤❤
Napenda movie zako ila uyo mwezake amesema vibaya sana eti wanawake nikama buzi wana wake atufanane piya wanahume awafanane pote kuna wabaya wasiyo jihelewa na pote piya kuna wazuri wanaho jihelewa
thank you guys for all the love&support y'all are the best!please remember to subscribe,like,share&live a coment.love always🙏🙏
Kaka mie nishabiki wako wanguvu sana nafatilia sana Kaz zako lakini kaka shida ipo sehemu Moja . Ipo kwenye "Ending " nihapo tu kaka ending Bado inachangamoto kaka
I love this chande💞💞💞
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤🎉
Big up more brother unajua
Napenda movie zako kaka,,,,wakenya tujuane kwa likes🇰🇪🇰🇪
Jamani kweli
Kazi nzuri kaka Fanya KAZI wewe ni mtoto WA kiumu🎉🎉🎉🇰🇪🔥🇰🇪🇰🇪kenya like naombeni
Napenda movie za huyu kaka kwakweli more love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 hata mm naomba like
Wewe sihaki
Siyo kwel
Me,sijaipenda hiyo kwakwel
Jamaa anajua
fmedia.tenor.com/wOLM0RtlerMAAAAM/how-are.gif𓃰
Wanao mkubali hemed Chande piga like❤
❤
❤
❤
wao hemedy nakukbal kwa kuigiza movie
Iike
Kazi nzuri adam❤❤❤❤❤wakenya tujuwane kwa like basi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyie wakenya mjitahid kubalance shobo kwenye vitu vya wabongo mnajikuta akina nani siuui mjue tumewazid kimzik movie ball na vingine Ving kwhyjitafute achen shobo
Kama unamkuba hemedy chande Gonga like
@@tinnyboy8105we vipi alo sema twaongelea kuhusu mziki apa ni nan😏kma auna cha kucomment pita kma aujui cha kuandika we vipi kma ujui tunajikuta nani basi endelea kutuongea vibaya kma autaki tuangalie move za tanzania tafuteni mahali mzikeke kwa block wakenya wasiangalie mpka izo nyimbo zenu😏😏
Sasa wewe shida Yako Nini,heal bana,hatuko mashindano Kenya tuko busy na maendeleo@@tinnyboy8105
wee dinywa bro@@tinnyboy8105
❤❤❤❤❤much love to you Adam ak nilikumiss xan kw movie ya Jamila ak unafanya mmbo mazur kaka Mungu azid kkuinua zaid
Mmmh namm naomben like😢❤ nawapenda wote tua ongalia movie za HEMED🎉
Jaman naomba kuuliza aliyeimba huu wimbo ni msanii gan daaaaah nimeupenda sna
MASHAALAH nzuri sana CONGRATULATIONS MY BROTHER. Hemedy
Wow,I just like hemed chande movies,🎉🎉🎉,big up team all the way mpaka saud
Napenda sana Kaz yako endelea kutoa movies mm nakufatilia sana yaaan unaweza sana
Ucjial mungu ana sababu naww na yupo pmj naww nakuombea Sana Kama unatoa song na message Kama hii kwji yetu eeee mwenyezi mungu akulinde kwaji yetu na family yako🤲🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭
Boooooongeeeeee moja moooooveee yenye maaaan pia.mafunzo bigup mtunga stori chujua❤❤❤❤❤❤❤ ..
Pongezi kwenu, mmeigiza vizuri sana na story ni nzuri mnoo. Hakika ni ujumbe mzuri kwenye jamii
Hongera sana bradha
Yaani Mungu akuinue kaka naona nikama umenijuwa hio ni history ya ngu kabisaaaa
You ate dowwnnnn with this movie 😭🙏🏾 felt like i was back in Dar watching this on Maisha Magic Bongo
🇹🇿 Taifa Letuu.Hemedy ni moto wa kuotea mbalii
Unamkubali hemed gonga like
Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Duh aiseee chande hujawahi kufeli, nafatilia movie zako sanaaa, ningependa kupata muendelewa wa TAHARUKI
Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kazi zuri sn❤❤❤❤❤
Jamon hemedy chande Unajua sana KABISA congrats 👏👏 for you Yani we mwamba kabisa
So sweet 💕 waiting for part 2plz
Unaempenda ana mwingine na mwingine nae ana mwingine like hapa😊😊
Apo sasa mapenzi nyie😢😢😢😅
sindio hivo sasa
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Bora uende tony mpende rahma jmn anakupendaa😢😢
Kazi nzuri nakkubali sana Yani unajuwa mpaka unajuwa tena
Huwa napenda sana movie zako hemed congrats 👏 💖 bro kazi nzuri sana 🙏
Mashaallaah movie nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wah baba wa mchongo 😂😂😂 kazi nzur sana next part 2 tuone Nadia life ya usingle ilkuaje master plz❤from kenya
Ahmed Suleiman Kazi Yako nzuri siku zote tangu Mimi nianze kujua bongo movie Mwenyezi Mungu ☝️ akubari brother
huyu ni hemedy chande, hemedy Suleiman ni mwingine yye mnne kdgo ila white kam hyu pia
Nakubali brother kazi zako jumaa cheru from Kenya 🇰🇪 tuko mbele pamoja brother
Chande for everybody 🔥🔥✌
Kazi nzuri kabisa. Much Love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
Sisi wapwani tuko la talent sana, sema tunafata Dini inavyo tuambiya. Dunia tumewaachiya nyinyi.
mombasa au
Movie nzur saan nawapenda ote mlioshirik mungu awatie nguvu❤❤❤❤❤
Adam nakukubali sana mzee
❤❤❤❤❤more love from 254
From America just drop a ♥️ for me
kazi mzur,nimeipenda
honger Hemed❤
This movie teaches me never allow a lady to pay for your bills 😢much love, let's gather hear people 🥰
Very true
😂😂but we are not same
@@Chebet254 Uko sure
Nipitieni guys
😂😂😂
Napenda sana kazi yako kaka❤ na napenda kuigiza kam nyie jman
Yani mwanamke akiwa nahela atakutesa sana nikweli heshima ya mwanaume ni pesa ira kwangu mm upendo wakweli ndo kira kitu kwangu ❤❤❤❤❤
Ila kuna sisi hapa hatuna hela ila mdada akishatuangukia nikupeleka moto hadi akili yake inani waza mie siku yote😂😂
Heshima ni pesa tu hakuna kingine nisingependa kuwa.mnyonge hata siku 1 hata kam sina. Ela mm najiamin kuzitafuta najua ila apo kweny dharau hapan punguzeni dharau nyie wanawake wenye pesa
Mtajioa na pesa zenu 😅
Kwa kweli napenda sana movie zake love from kenya❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aiseeeee kama hujaoga unaweza kuogopa kuingiza ndoani kama pigo za ndoa ndo hivi daaaaaaaah😔😔😔😔😔😔
Kazi nzuri sana kaka Mungu akubaliki sana
I loved it ❤part 2 please tuone huoo ex 😂maisha after betrayal
Movie za Hemmed Chande ninzuri hua lkn hazina part 2..apo n mwisho
Kwel
@@ancillarneema zinakuwa nayo but itadelay
Hemmed anakuwaga na movie nzur sana tu ila hazinaga ending,,,huishia juu kwa juu movie kama jesca na nyingine
Big up ninoh wangu 😊❤
Nakukubali bro Hemedy. Kazi yako iko kimataifa kaka, nakutazamia nikiwa 🇶🇦 🇶🇦
Need part two bro 😂 nice movies
Nakukubali sanaaaa umewezaa🎉🎉🎉
Hemedy chande you made again❤❤❤....
I really love watching your movie's they are so lovely❤❤❤❤❤❤❤
You did a Good job guys.
Kali movie❤❤ Warundi tujuane
Much love from Kenya
Nzuri sanaaa dah....rafki msaliti dunia ya ss tunajifunza mengi...❤
Good job love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Huyu demu aliemsaliti Chande performance yke n mbovu sn yan bado anahitaji waalimu wamfunze namna ya kuigiza, muangalie Chande na uyo Haji Adam wanaigiza ila unaona km n uhalisia na c maigizo ila uyu demu bado sn na hata huyo mwanawe Haji Adam pia performance yke sio nzuri sn by the way good job just pull up ya socks🧦 🎉🎉🎉
Much love from Kenya 🎉🎉
Kitu tamu kweli,Tangua Pazia nakufuatiliaabtuu, likes from Kenya
Chande umetishaa sana pongezi kwako pt2 muhimu
Daaaa kaka unajua sana nakukubali sana apload zaid kama hizi mungu akuongezeee
nice movie
Lkn wazazi twakosea kabisa sio vizuri acha mtoto amchangue ampendae ❤❤
Daaa ndio hvo wazazi watuache techague mtu sahihi unayempend xana❤❤❤❤❤
Tony you're the best
Aisee hata kabla sijaangalia mpaka mwisho hii movie tam sana much love hemedy chande❤❤❤
Kazii ya moto🔥🙌🏻Mmeua sana wana
Sikupingi ata kidogo kaka nakubali saana kazi zako yes you can
Heshima ya mwanaume ni maokoto..... 💯💯
Woow maashallah but usiwe unakaa muda sana bila kutoa movie mashabik wako we want even kla mwez utoee we lavyuu 😊😊
Congratulations chande❤
Kama unapenda move za hemedi PG like
I love it❤❤❤
Hemedi chande nakupenda sana vile ambavyo unaiigiza kaka safi sana🎉❤❤❤ love you upo romantiki love na jamii inajifunza mengi kupitia nyie mfike mbali sana. ❤❤❤
Namkubar sana hemed chand
Ubarikiwe sana hemed bapenda sana kazi zako maana nimotooo🔥🔥🔥🔥🔥🙏❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰
Rahma kama rahma very cute 🥰❤❤❤ bby
Exactly
Napenda movie zako ila uyo mwezake amesema vibaya sana eti wanawake nikama buzi wana wake atufanane piya wanahume awafanane pote kuna wabaya wasiyo jihelewa na pote piya kuna wazuri wanaho jihelewa
Mm nazipenda sana filamu zako ilah ww unatupeza mpk basi
Keep it up my son Adam
Mtot rahmaaa kaelewa mapigooo bado kupashwa kiporooo tuuuu😅😂😂😂😂
Kazi njema Sana hemmed,
Yan kaka unajua adi unaboa an keep it up unakitu ndan🌹
Hajj yaani unamtafutia bint wa miaka 22 barubaru uko seriously 🤣🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂hamtakii heli Rahma
Kelele mja kwa hemedy kaka yet kwa KAZI nzur ❤
Nice Movie❤
Naitajii kumjua uyo msaniii ambae nymbo yake inaimbwa🎉
Inaibwa😁😁
Tony kwani una miaka 😅😅😅mingqpi 😅😅😅28 sioo mbayaaa tayariii mtuuu ataliwa
Rahma unamtaftia matatizo tony😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
Acha2😂😂😂😂😂
Much love from Kenya ❤❤❤❤
Adam napenda san vyeny huwa unaakt 😊😊😊😊 a from kenya 🇰🇪
❤❤
Mupunguze mazogo ya mizik 😮kazi nzur namkubal sana huyu dogo kwa mapenzi km sharuk khan😂😂ila bado hujamfkia sharuk ni babalao.
Awesome ❤
Bro kazi zako ni nzuri sana , tuna enjoy your talent
Uyu Tony yuaonyesha n mjeuri maisha yake
🎉Wow Kazi nzuri sana 👏👏
I love nice movie ❤❤❤❤
..HEMEDY CHANNEL TV much love from Kenya 🥰💯
Good job 🎉🎉🎉❤
Much love from 🇰🇪 🇰🇪 kenya
So nice chandeee