SECOND WIFE II HEMEDY CHANDE II M2 II Full Movie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 489

  • @EvaLucas-rc6qg
    @EvaLucas-rc6qg 6 месяцев назад +105

    Wapili jamani naombeni like 5 tu,,,,napenda kaz za hemed chande

    • @Shekhkisofa
      @Shekhkisofa 6 месяцев назад +1

      Muhtari mov zako nafatiria unaigiza vizur san

    • @AshaSuleiman-qf4qv
      @AshaSuleiman-qf4qv 5 месяцев назад

      1122221😅❤​@@Shekhkisofa😅

  • @IslamPeto-fd6wr
    @IslamPeto-fd6wr 6 месяцев назад +27

    Nani km Mungu, hakika akitaka kupa akuletei barua,, nimefurahi sanaa kumuona mtawala na Malik niliwamiss sanaa muda sijawaona.. thanks bro hemed chande kutuletea wao

  • @hidayyahalhabshy4622
    @hidayyahalhabshy4622 5 месяцев назад +13

    Mashaallah Mashaallah mabrook Alf mabrook nmeipenda Mashaallah hemed igiza movie hizi nzur mafunzo Alhamdulilah ina stara waeza angalia na watoto mashaallah shukran kwa ukumbusho

  • @Mwanamisi-q6y
    @Mwanamisi-q6y 6 месяцев назад +26

    Mashallah tabarkallahu fii ❤❤❤Ina mafunz mazuri n pia iko vzuri🎉❤❤much ❤from Kenya 🇰🇪

  • @Mrs.Mumewangu
    @Mrs.Mumewangu 4 месяца назад +17

    MashaAlla ina mafunzo ila swali langu ni, je aisha angekua na uwezo wa kupata mtoto angemruhusu mwenzie kuolewa na mumewe? Sio kweli, kikubwa amekubali mume kuoa kwa sababu ya faida yake pia, mwisho wa siku angeachika tu ila amefanya ili kuinusuru ndoa yake pia sio ati mwenzie apate stara, sio mbaya lakini, lakini sasa ameivuruga ndoa yake mwenyewe zaidi, angezidi kumuomba sana Allah kwa yakin ampe mtoto. Ikishindikana angemwachia mume mwenyewe atafte mke na wakae mbali mbali, isitoshe ulisahau kumshauri Allah kwa jambo lako, ulitakiwa kuswali sana kuhusu ili jambo... Hakuna na hakutowai kua na uke wenza mzuri 💯. Basi kama sio uchawi basi wivu. Sema afadhali wivu zaidi ya uchawi....

  • @Scola-d4w
    @Scola-d4w 6 месяцев назад +21

    Imenifunza hii inapaswa kuqngalia kwa umakin jamn mm ni mkrist lkn kun kit kikubwa nimejifunza aise hemed chand na tim nzima mungu awape maarifa zaid na zqid ❤❤❤

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 6 месяцев назад +7

    Maasha Allah Baraka Ya Allah Mloshiriki Bonge La Move Mungu Awazidishie Maendeleo Yenu Muweze Kufunza Watu Siko Zote Uwambiwa Aduhi Ya Mwanamke Ni Mwanamke Mwenziwe Leo Nimeamini

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez 6 месяцев назад +9

    Mashaallah mungu awazidishie vipaji nyote❤❤😊😊nimeipenda iyo movie🎉🎉hemed chande congratulations 🎊 👏 💐 🥳 tupo pamoja

  • @AbusalimButchery
    @AbusalimButchery 6 месяцев назад +64

    Masha allah hizi ndio movie zamafunzo tunazopenda❤❤🎉

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd 3 месяца назад +7

    Leo nimekomenti, umeua yaani mmeonyesha maadiri ya hali ya juuu❤❤❤❤

  • @JamilaJumanne-rc8hk
    @JamilaJumanne-rc8hk 3 месяца назад +3

    Masha Allah movie nzuri sana I wish ingekuwa na part two tukaona maisha yangekuwaje baada ya misuko suko hii,, baada ya kujifungua,,

  • @Ruth-cm7wr
    @Ruth-cm7wr 6 месяцев назад +14

    Mashallah what a wonderful filam 👌 guys you're so special to us ❤ Big love

  • @فاطمه-ج6ن7س
    @فاطمه-ج6ن7س 6 месяцев назад +8

    Manshallah yani mr.hemed kiukweli hua nakukubali yani hii movei natamani iwe ma muendelezo wallah tena haah yani inafundisha jaman nimeipenda sana ❤❤❤

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 3 месяца назад +11

    Nimejifunza ki2 Mungu awape uwezo muendelee kutuilimisha wema inaponza ila tufanye malipo ni kwake Allah

  • @MaimunaNangabo
    @MaimunaNangabo 6 месяцев назад +17

    Mashaallah kazi nzuri sana hemedi mungu akuzidishie Imani na kipaji

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 5 месяцев назад +4

    Wallah mwenyez mungu ajaallie iwe nisehemu ya mema yenu mmewekeza katika kher kizaz na kizaz kitajifunza

  • @JumaBarua-u4y
    @JumaBarua-u4y 6 месяцев назад +7

    Mashalla move imeweza xn mungu awazidishie maisha marefu tuzidi kupata nyengine zaidi

  • @DonnaLareine-lm3ks
    @DonnaLareine-lm3ks 6 месяцев назад +10

    Mashallah iyi movie mmeicheza vzr pia umetumiy ubunifu mkubwa big up brother umeupiga mwingi ❤❤❤❤❤

  • @Fauziabeja-uy8ty
    @Fauziabeja-uy8ty 6 месяцев назад +7

    Mashaallah movie nzuri Sana Na yenye mafunzo.hakika mwenyezi mungu hatupo mja wake.

  • @HuseniSabiti
    @HuseniSabiti 5 месяцев назад +6

    Fupi tamu.
    Asanteni wake wenza.
    Asante shekhe

  • @haleemahhamisi2534
    @haleemahhamisi2534 6 месяцев назад +7

    Chande amecheka sana mwisho mashaallh mungu awaongoze team chandw🎉🎉❤❤

  • @khadijak-f7n
    @khadijak-f7n 6 месяцев назад +6

    Mashaallah Hemedy Jazanda 😂 Allah akuzidishie umaarufu wampangilio wa filamu zako zaburudisha nakuelimisha pia,marafiki tuchangue jamani mabanati

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 6 месяцев назад +15

    Yani mie namkubali sana hemedy namwenzake uyo daa wamependeza bala nyoote moivo icheza hii kislam kabisa namavazi yame wapendeza hatari

  • @umumuhammad1352
    @umumuhammad1352 6 месяцев назад +9

    Mashallah film nzuri ya maadili mazuri,hizi ndo Zina mafunzo mazuri zinazofaa

  • @shabani6631
    @shabani6631 6 месяцев назад +18

    Namuona Shekh juma wa Islaah Allah Ampe umri mrefu

  • @alinyamawi2968
    @alinyamawi2968 6 месяцев назад +17

    Maa shaa Allah yaan nmefurahi mwanzo mwisho kazi maridadi kabisa

  • @BentiM-q2c
    @BentiM-q2c Месяц назад

    Hii move imenifunza sana na bado sijaingia kwenye ndoa ila nimejifuza vitu vitatu ❤ naipenda sana hemed mung akuongeze akili nying kazi yako nzur mung akuepushe na hasda za kila aina saluti kwako

  • @kidydee5044
    @kidydee5044 6 месяцев назад +6

    Mimi namkubali sana nikiwa kenya mombasa bamburi mbona mimi nafatilia movie zake sana Mungu akuzidishie broo🔥🔥🔥

  • @FiridausRashidi
    @FiridausRashidi 6 месяцев назад +8

    Mashallah medi umewaza nn kutoa movies nzuri sna yani

  • @mayatione6
    @mayatione6 4 месяца назад +6

    Mashallah move nzur na unamafundisho mea ya dini ya kiislam.Allah ataline wanawake wote wa kiislam tuwe na moyo mzur mwema kama bi Aysha ameen.kazi nzur sana sana

  • @MREZI-u9d
    @MREZI-u9d 6 месяцев назад +7

    Mashaallah mungu akuzidishie movies zko.

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 6 месяцев назад +8

    Dada Aisha Hongera kwa Huruma Yako Allah wadada wakiolewa wa pilii Ndio zao kutia Dawa,, kwa chakula wapendwe wao wakasahau Wema Wako Ulio ufanya kabla

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 3 месяца назад

      Wakwe wakubwa mara nying sana ndo wanakua wakorofi, itokezee kweli kweli wake wadogo kua wakorofi sio sana yaani.

  • @HellenMwanzuga
    @HellenMwanzuga 6 месяцев назад +13

    I like your video uko mzuri kaka hemed❤

  • @DenisPeter-bb3qz
    @DenisPeter-bb3qz 6 месяцев назад +16

    HEMED unafundisha meng San 💯💯💯💯 so weka mwendelezo wa series ya jesca

    • @Zulf-e9k
      @Zulf-e9k 6 месяцев назад

      Maaashalaa kazi nzuri san

  • @MwanakombomohammedKimbonja
    @MwanakombomohammedKimbonja 6 месяцев назад +9

    Kweli mwanamke mpuuzi huvunja ndoa yake kwa mikono yake na marafikri tu ❤❤❤😊

  • @vkivurugecomedy1496
    @vkivurugecomedy1496 6 месяцев назад +9

    Hongereni sana aseee mnajua sana hadi mnakera

  • @RukiaMbarak-s2k
    @RukiaMbarak-s2k 6 месяцев назад +7

    MashaAllah Tabarakallah mafunzo mema kabisa ila shida ya ukewenza naiyogopa sana wampokeya mwenzio vizuri baadaye yakurudia mwenyewe

  • @UmuKurusumu
    @UmuKurusumu 6 месяцев назад +4

    Aisha nakupenda sana. Uko mwana Mke muzli sana. Hemed. Unaceza vizuli sana narafiki yako. Angecoka kwa maneno unge mwambia alakini hawezi kukuaca

  • @FaiziIssa
    @FaiziIssa Месяц назад

    Jmn maashallah tuwe na subra atimaye Aisha mungu kamuona nayy ma'am wema wak ukitaka kumponza pongez kwa dada wak naye kafanya jambo kias chake

  • @Aishabby-p5q
    @Aishabby-p5q 2 месяца назад +2

    Wallai Aisha hongera mamaa umeweza mashaallah but ingelikua kwel usingekubali mm mwenyewe siwez hata kidogo much love your movies Hemeby chande big up broo kama wakubali movie zake nipe likes baxi jamn 😢😅😅😅😅

  • @NanaHassan-s8x
    @NanaHassan-s8x 6 месяцев назад +7

    Masha Allah tabarakallah huu ndio uislam 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 6 месяцев назад +7

    Nime kubali kazi lkn pongez kwa b Aysha love u❤❤

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 6 месяцев назад +6

    Masha Allah hongereni sana kwa kazini nzuri 🎉🎉😊😊

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 6 месяцев назад +12

    Mashaallh ❤🎉🎉 hongera sana kaka kwa kazi nzuri

  • @Mrs.Mumewangu
    @Mrs.Mumewangu 4 месяца назад +3

    Mbona hio kahawa kwenye kikombe kikubwa mno.. Sijamalizia kuangalia lakini uyu aisha maskini hajui akishaolewa mwenzie lazima uwivu utamu ingia tu, Acha nifatilie nione mwisho wake.... Wamjua sabra kwa mambo mengine ila sio kwa kushare mume.. Kheir insha'Allah Acha nitizame mpaka mwisho

  • @MwajumaKhamis-d5b
    @MwajumaKhamis-d5b 6 месяцев назад +7

    M2 Masha Allah umenenepa mpaka umebadilika sura

  • @batihubadiy3106
    @batihubadiy3106 6 месяцев назад +13

    Huyu Mdada w hapa kw Muktar MBONA amevaa Rozal thn anasema anaswal Kivip inashndkana kuwa na uhalisiaaa

  • @UbumwemediaSevenTv
    @UbumwemediaSevenTv 6 месяцев назад +30

    nimekawa ila wapendwa wa bongo movies naombebi like

  • @MaryOwano-d2n
    @MaryOwano-d2n 5 месяцев назад +3

    Marshall ah...napenda video zako...keep it up

  • @josephdeogratius4921
    @josephdeogratius4921 6 месяцев назад +9

    Huyu Aisha amenikosha sana asee Mashaallah ❤❤❤❤

  • @Josphinasebast-mf7ld
    @Josphinasebast-mf7ld 6 месяцев назад +90

    wanaokubali mv za hemed zote gonga like hapo tujuane jmn

    • @Anita-b4s
      @Anita-b4s 2 месяца назад

      ❤🎉jamani ndugu zangu mnafanya kazi zenu vizuli naomba kujiunga nanyie

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 3 месяца назад

    Mashaa Allah tabaraka Allah nmelia kwa fyraha somo yangu amepitia wakati mgumu ila.allah kareem kaleta rehma zake 😢❤jamani wanawake tuacheni shirki ukimkuta mwenzio kaolewa wa kwanza mpende mpe heshma zake😢 aisha nakupnda sna❤💖😍😘🌹 Allah azidi kukulinda huko ulio somo yangu 🙏hongera hemed n malik mumejuwa kuigiza filamu nzuri sana ina madili mema❤🎉🎉🎉🎉

  • @TuyizereSafuruPapaYusra
    @TuyizereSafuruPapaYusra Месяц назад

    Assante kwa kunifunza mengi hapa nimekubari , Allahubariqi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🤝🙏

  • @MariamMariam-h8h
    @MariamMariam-h8h 6 месяцев назад +8

    Nyie uyu jamaa Yuko sawa kweli🙏weekeni likes zenu hapa kama mnakubali hemed

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 6 месяцев назад +6

    Sema waigizaji wahiii movie wote wameiva❤❤

  • @williamismail-y1g
    @williamismail-y1g 6 месяцев назад +7

    Kwakwelii mov zako nazikubali 🥰😘👍

  • @BintiSheria
    @BintiSheria 6 месяцев назад +5

    Mashaallah mungu awazidishie

  • @SofiaRashid-cc9mh
    @SofiaRashid-cc9mh 6 месяцев назад +8

    Tanzania wote wange igiza ivi wakiwa kwenye sitar raha san mungu angetujalia kila kit

  • @hussainalajmi5511
    @hussainalajmi5511 6 месяцев назад +6

    Michezo yote nangaliya ila hii nimependa mar x 100000000000 inamafunzo haswa❤

  • @shemutigang
    @shemutigang 6 месяцев назад +24

    Hongera kaka piga KAZI Allah akusimami🎉🎉🎉

  • @mishimwazabe
    @mishimwazabe 5 месяцев назад +1

    MASHAALLAH movie nzuri yenye mafunzo,from KENYA Haki Team Hemed mko Vzr❤

  • @shaabanmakame9162
    @shaabanmakame9162 6 месяцев назад +26

    Hemed chande namkubali sana ila Leo nimkosoe kidogo t kwenye kivazi alicho vaaa kanzu ukivaa uvae suruali yake la km hauna suruali basi uvaae nguo ambayo haitaonekana chini siwe ndefu

  • @ZahraJumanne-g9n
    @ZahraJumanne-g9n 6 месяцев назад +6

    Chande hiz move za kiislamu zinakupendeza Sana mashallah

  • @AnasaAthuman
    @AnasaAthuman 6 месяцев назад +5

    Mashallah movie zako nazipenda sana

  • @Zuhurajuma-hq3xd
    @Zuhurajuma-hq3xd Месяц назад

    mashaalh mashaaalh movoe nzur sana nampenda sana ahmed😊😊

  • @emmanuelmachiya034
    @emmanuelmachiya034 6 месяцев назад +5

    one love nakubar sana movie zako sema unaachelewa sana kuwekaa kazi

  • @AhmedAhmedkhalfan-vl8ci
    @AhmedAhmedkhalfan-vl8ci 6 месяцев назад +172

    Kama unamkuba hemed chande gonga like

  • @ShamsaAbasi
    @ShamsaAbasi Месяц назад

    Mashalah muvi ninzuri aanlla ah akujalie ktk kazi yako

  • @عاملهمنزليه-ي8ض
    @عاملهمنزليه-ي8ض 3 месяца назад

    Mashahalla hii movie i say n nzr San na inatufunza mengi asant team muktary❤❤❤❤❤

  • @Mwanamwakaathumamwandekw-zb2fq
    @Mwanamwakaathumamwandekw-zb2fq 4 месяца назад +3

    Malik Mbna ujaoa 😂😂, oa na ww nije harusi , Mbna ww uowi waambia wenzako tu 😂😂😂😂, we pia ushakua baba tafuta jiko n ww ❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉

  • @salamajuma-l8t
    @salamajuma-l8t 6 месяцев назад +2

    production 100% Quality and director yuko powa sana

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 6 месяцев назад +17

    Nimeipenda ina mafunzo bt hapo pakuishi nyumba moja wakewenza mm hapana bora kila mmoja hawe na kwake😂😂😂

  • @Mwanaferuz
    @Mwanaferuz 25 дней назад

    Mashaallah kuna cha kujifunza hapa sio 2naangalia 2 huu ni ujumbe adhim kwa wana ndoa wote m/ mungu awafanyie wepesi ktk kazi zenu m2juze haya na mengine inshaallah 🙏🙏

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 6 месяцев назад +1

    Wow mashallah mashallah Allah awajalie kla la kher inshallah ❤❤❤❤

  • @akimanamariam4451
    @akimanamariam4451 Месяц назад

    Adi rahaa manshaallah nzuri sanaa❤❤❤🎉🎉

  • @MishiGambo
    @MishiGambo 6 месяцев назад +5

    MashaAllah ❤🎉 hongerani sana

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th 3 месяца назад

    Mashaallah Kama Bado kunawanawake kamahawa mungu akawalelipe kwakwelo

  • @saidshatta827
    @saidshatta827 6 месяцев назад +4

    Mashallah Allah azid kukupa akili hii hii nduguu yaangu❤❤

  • @FatumaMwavyema-sv8ro
    @FatumaMwavyema-sv8ro 6 месяцев назад +4

    MashaAllah movie nzuri sana ❤❤🎉🎉🎉

  • @BagramenshZuma
    @BagramenshZuma 3 месяца назад

    MashaAllah mke mkubwa yuko vzur san ndo wanawake wa kiislamu wanapaswa kuwa

  • @SaidCharo-tm5tp
    @SaidCharo-tm5tp 5 месяцев назад +2

    Masha Allah! Movie yko nzuri sana

  • @SadaMohamed-xl9rc
    @SadaMohamed-xl9rc 5 месяцев назад +2

    Mashaallah movie nzur sana na ina mafunzo

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 3 месяца назад

    Hemedy nakupenda sana kazi yako mzuri sana EP 3❤❤❤

  • @AnnaMandia-fw1lt
    @AnnaMandia-fw1lt 6 месяцев назад +2

    Nampendaa sanaa na kazi zakee❤❤❤

  • @AlilyaMohammed
    @AlilyaMohammed 6 месяцев назад +4

    Mashaallah bi aisha yuko vizur❤

  • @JodaJoda-vb1zi
    @JodaJoda-vb1zi 6 месяцев назад +4

    Much love❤❤ movie keep it up

  • @MaryMahenzoKazungu
    @MaryMahenzoKazungu 6 месяцев назад +5

    Somo zuri hongera❤️❤️

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 4 месяца назад

    Wow movie nzuri sana nmeipenda mno ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MWANAHALIMAALI
    @MWANAHALIMAALI 6 месяцев назад +4

    Maashaa allah kazi nzur 🤲🤲

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 4 месяца назад

    Kazi uzuri nsana hongeren kwa kweri❤❤❤

  • @AMINAHamisi-wr2xu
    @AMINAHamisi-wr2xu 3 месяца назад

    Kaz nzr sanaaa na nimependaaa napenda kuigiza kwazia sasa

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v 6 месяцев назад +4

    Mashaa AllAh nmependa hiyo Aisha

  • @RoseJoseph-e7l
    @RoseJoseph-e7l Месяц назад

    Daaah! Kwa mara ya kwanza nmeanza kupenda mv za hv

  • @1czay
    @1czay 6 месяцев назад +6

    To much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤🎉🎉🎉

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 6 месяцев назад +2

    Hongeren sana ❤❤❤

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 6 месяцев назад +3

    Mashallah movie nzur❤❤❤

  • @rayaali9082
    @rayaali9082 6 месяцев назад +4

    Masha Allah hongereni sana

  • @KajenezaAboubacaruthaimin
    @KajenezaAboubacaruthaimin 6 месяцев назад +4

    Masha allah mnanifurahisha sana

  • @NancyMutindi
    @NancyMutindi 5 месяцев назад

    Wow movie nzuri mashallah ya gelbi ❤😂

  • @mkudesimba-d2n
    @mkudesimba-d2n 6 месяцев назад +18

    Una baya chande🎉🎉🎉

    • @MyMobile-ee6iv
      @MyMobile-ee6iv 6 месяцев назад +1

      Mashallah, ji funzo kwa wanawake ambao wanakta tamaa ya kupt mtoto,mungu ndo kila kitu ,akitaka kupa hakuandikii barua ,ukup kwa wakt wake, kikubwa tuwe na iman , inshallah kher nice move